As young generation let's follow what the word of God says and work with our hands while trusting in our Lord Jesus Christ we will be blessed.The word of God says sake first the kingdom of God and everything will be added into you.
Munguakubariki Mtu Makinii💪🔥🔥♥♥ ::::Duh pole YAKE Maisha haya ukoseMali upateAkili DahMwambaa ndio basiii sanaa sasaa utaishi vipiii maisha haya🙆 korodani umezikaangia kiepe😥😭Mungu wanguUtafutaji ganihuuu wa kujitoaaa hiviiiDuh mwambaaaaapoleeeww
Kweli dunia ina mambo meng yaan kila kukicha mambo yanazid kuwa motoo...ila binaadam tunapenda sana kupata pesa kwa njia za mkatoo bila kujua madhara yatakayokuja kutupata badae
Ghii mungu akupe nini kakangu pole sana ila sisi wazazi wa kike tuache kudekeza watoto mtoto akikosa apewe adhabu sio kuanza kumuona mumeo hapendi watoto waona sasa
Unaenda fwata utajiri sai unakosa nguvu SubhanahAllah heri niuze mihogo tu, manake kipato cha kichawi sio kizuri ni majanga tu
Davistar Asante kwa kazi nzuri
Dah kwer pamoja sana another episode my favourite chanel back again big
,
Watatuuu.....Asantee davii
Nakubar sana kazi zako bro
Mungu akulipe
As young generation let's follow what the word of God says and work with our hands while trusting in our Lord Jesus Christ we will be blessed.The word of God says sake first the kingdom of God and everything will be added into you.
Asante davi😘siboeki kabisa
Mm namba 3
Uko vizur kweny kaz yako davistar big up sana brooo
Pole sana majuto mjukuu dv mludishe tena ntumeeeeee
Noma
Hodiii Dv wangu endelea kutuelimisha👍
Tamaaa Mbaya
Du pole Sana majuto ni mjukuu
Daaa mungu turumie kizazi chetu Yallaabyy Daaa AISSEH mungu tulindie kizazi hiki cha leo
Mr facts ww ni bonge la handsome
Pamoja mzee Baba
Daaaaaaa eee bana eee ila pole kaka🙏
Nakukubali
Munguakubariki Mtu Makinii💪🔥🔥♥♥ ::::Duh pole YAKE Maisha haya ukoseMali upateAkili DahMwambaa ndio basiii sanaa sasaa utaishi vipiii maisha haya🙆 korodani umezikaangia kiepe😥😭Mungu wanguUtafutaji ganihuuu wa kujitoaaa hiviiiDuh mwambaaaaapoleeeww
😂😂😂😂😂
😀😀😀
😂😂😂😂zegee la chipsi swaaafiiiii
Daah watu mnavipaji vya kukoment daah
duuh polee ndg
Pamoja sana davistar
Mpaka ukatumia madawa pole sana kk
No 1 leo nimejaribu
Watu wako makin sanaaa sijui Lin nitakuwa wakwanza
Dah yani huyu kakosa ya kuchagua dah kwa kweli awe pole 😂😂😂😂mana mbali na kumkosea mungu we mwenyewe umejipa adhabu ya maisha
Tamambaya
Kweli dunia ina mambo meng yaan kila kukicha mambo yanazid kuwa motoo...ila binaadam tunapenda sana kupata pesa kwa njia za mkatoo bila kujua madhara yatakayokuja kutupata badae
sawa
Davista kijan wako hp mtu mwenye utu wang respect 👊
Kama.umeon mtu anafagia kama mm gong like twende saw ya makusud hayan pole kijana part 2
Ndani
Sauti brother
Davistar mata mtu makini💪
Davista work on the background sound not necessary
Naomi mbona inaleta radha....
😀😀😀😀😀 nacheka kama mazuri yani utolewe kizazi daah acha TUKUFOKEE WATOTO wa wanaume wenzako maana umeyataka mwenyewe
Duh!
Davistar mata 😍❤ achia cm yako nikucheki wasp pls!
Hehe eti kutoka kwenye familia ya kitajir😅😅😅😅😅
Muombe mungu atakusaidia
Hello...wazma wote
Kwahiyo davister ulivoskia mamu yuko around ukastisha na kutumalizia story
Unafanya mchezo na viboko walivyokula wazazi wa mfaume. Davi akaona bora niishie hapa😂😂
Amekatisha utamu
@@susanejd7775 😂😂😂😂 kwakwel naona na mimi hvo
@@aishaha3538 Ilikua nzur kwel
Yann
Najifunz mengi sana kupitia hii channel
Najifunza Mengi
Duller Mzungu hapa
Nimechelewa na 1 hour, gonga like
Ghii mungu akupe nini kakangu pole sana ila sisi wazazi wa kike tuache kudekeza watoto mtoto akikosa apewe adhabu sio kuanza kumuona mumeo hapendi watoto waona sasa
No 14
Pole yaniuna kosa sitalehe kubwa kulikozote😔😔
Ukweli Usio Na Uhongo Tumalizie Stol Ya Mrembo Maliyam Mana Safari Na Mziki Na Ile Stol Ni Mziki Safi Sana
Da jamani mtihni kwakweli pole sana
Daaaah maisha haya duh
Maisha haya🤔
Tupo pamoja mkuu davista matta
Leo wa 6 dah poa sana
Pesa.zakichawi.zinarangigani?.pesanipesatu
Mtu makini katika ubora wako pamoja sana kaka angu waukweli ulipo nipo
Asante sana kaka Davister kwani napata elimu ya kutosha kupitia channel yako
Yaani mim tangu niijue hii channel sijutii chaji yangu wala simu yangu
@@dorcaskidoti249 uko kama mm daa aki
@@hebronsdaughter1661 Davistar katukamata🙄🙄🙄
@@dorcaskidoti249 😂😂😂😂
@@hebronsdaughter1661 sijui katupulizia nini kila mtu anaeijuwa hii channel hajutii kbs.
Utajir kax jmn khaa
Duh
Aiseee hatari nakillo
Davista am back
Duuuhhhhh watu mnawahi humu kahhh
Ya Allah wanusuru vijana wetu maana huu utajir
Mungu awaepushe na kila shari
@@mamajecha7856 musiba mkubwa
Nimekuwa namba nne leo oyoooooo
Wazee wa kujikaanga mpo, mtu unaomba kuhasiwa duh pole xana
Mamuu ndo tamu
Wa4 leo🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮watu mna comments hamjaona MWisho hahhahhaahha🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Tumekuona 😁😁
Chanael hii ni bora sn kwanz inamafunzo ASA ukiyaz ngatia
Team kuchelewaa Niko hapa
😢😢😢😢
Hixi pesa jamani zitatoa roho za watu
Dahhh!! Muendelezo bc.... alafu na ile ya mamu jamani Davi
Mmhh kwa kipindi chote icho ilikuwa hajijuwi kama naniliyu yake siyooo🤔
Maji hufata mkondoo ukifatilia kwenye ukoo ww c wa kwanza kufanya hvy
🇹🇿✌️👊
Shetani hajawahi muacha mtu salama kwa kweli,,,,
Yan nikose kila kitu lakin nisikose kuchapa mashine daa Mwenyez Mungu utamwambiaje
Nakuaminiya huwo ndio wanadume
Yo come on hahahahah
Hvyo huwezi ishi bila kuchapa!!!!??
Ntumeee tumalizie basi
inaitwa asie sikia la mkuu uvunjika guuu
Kisa kubwa saana majuto sasa
Siheri ungechagua namba 2
Nimooooo 🤣🤣🤣 🤣
Davistar fanya yote bro unayo fanya but utumalizie Ile stori ya yule mwenye jini aitwae maryam
Ishaisha ile mzee
@@ylosvijevana6815 Ile bado Davistar alikatizia alipo skia yule jini yuko pale
@@sjfamily8121 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ivyo viboko vya saa 12 asubuhi kila siku ataviwezaa??
@@dorcaskidoti249 Davistar alingia baridi Kisha akaikatisha
@@sjfamily8121 au alimkanyaa jmn
Muendelezo wa mariam please mr fact
😃😃😃😃Ntoto mamu
@@rahmahamisi7604 😃😃
Sasa unapata utajiri halafu wa kuurithi hakuna inasaidia nini???
Sehem zote anazotaja nazijua viwanja vya mwanza
Asie funzwa na wazazi hufunzwa na dunia....pole sana.
Uyo jmaa inaonekana alikuwa anakunywa konyagi sana ndo maana sautii yake iko hivo
Maskin weee ndo basi tena ulikula bata eeeee
Jamani njoeni huku kuna mtu amekula corodan a.k.a kende za maiti,🙆
Ww unachekesha mtihami 😁😁
😂😂😂😂😂
Duuuu
Mh
ASANTE sana kka mkubwa
Mh
Davister umemkimbia mariam jama anakuambia yupo hapahapa arufu yake naiskia turudishe kwa mariam bhana
Dunia hii inamambo
Wewe mwenye tamaa ya utajiri wa kichawi vp bado tamaa unayo au???? Tamaa mbaya sana bounge la sauti ya kiume lakini dooooh!!!😨😨😨
😀😀😀😀
Kwani unawalipa au wanakulipa kilasiku wanakuja wapya
Davistar usichelewe tumskilize jamaa pumbavu
😳🙆
Ghii mungu akupe nini mtoto wewe
This is madness wavijana wa ache tama, akuna hara Kama ukiwa na familiar yako hata Kama wewe ni maskini
100%
Haya Goodluck mambo yako Haya 😂
Akili za watu wengine za bunuwasi kweli na wengine wapo nakubali kumwagwa mavi kwa tamaa .fanyani kazi nyie pumbavu kweli
Davista...bado ujatumalizia kwa yule Ntu wa Mawuta,hatukufika kwa yale matatizo yake ya nguvu za kiume,Ntumeee
Ntumeeeee prt3 mbona ipo online mda tu
Kaogopa alivo sikia mamu yupo pale alipo akaona nishida
@@dorcaskidoti249 yeah...part3 nimeisolola mpaka mwisho ila naona kama bado mengine ukiangalia kichwa cha habari ile...
@@fatmaalrshdii7615 😁😉😃
@@shenjamamzingi7950 hayo mengine utayamalizia ww😂😂😂😂😂😂..sie tunajuwa ile imeishaaa