Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
PART1:KIJANA ALIETONGOZA MWANAMKE FACEBOOK NA KUFUNGA NAE NDOA NA KISHA KUJA KUGUNDUA NI JINI
- Додати в
- Мій плейлист
- Переглянути пізніше
- Поділитися
Поділитися
Вставка
Розмір відео:
- Опубліковано 6 сер 2020
КОМЕНТАРІ • 270
Наступне
Автоматичне відтворення
PART1:KIJANA ALIEPENDWA NA JINI KUWA WAPENZI/AMENIHARIBU NGUVU ZA KIUME/NINAE SIJUI NAMUACHAJEDavistar Mata Media
Переглядів 30 тис.
CHARSE MKENYA MVUVI ALIEPOTEA NDANI YA ZIWA VICTORIA/NILIZUNGUKWA NA VIUMBE VISIVYO NA MACHODavistar Mata Media
Переглядів 7 тис.
PART1:MWANAMKE ALIEFUNGA NDOA NA JINI BILA KUJUA AKIDHANI NI BINADAMU WA KAWAIDADavistar Mata Media
Переглядів 17 тис.
لااا! هذه البرتقالة مزعجة جدًا #قصيرOne More Arabic
Переглядів 39 млн
Танки ВСУ в Курской области. Что происходит? Руслан Левиев о прорыве границыТелеканал Дождь
Переглядів 2,5 млн
А вы часто мамкайте?😳 #shorts #funny #millionviews #хелпик #юмор #ромаихелпик #приколРома и Хелпик
Переглядів 1,7 млн
Почему саморез не держится в дереве. Столярные секреты.Стройхак
Переглядів 2,3 млн
PART1:KIJANA ALIEOA JINI AKIDHANI NI BINADAMU NA KUZAA NAE/AMEUA MAMA ANGU/WANAKUJA SAA 6 USIKU TUDavistar Mata Media
Переглядів 18 тис.
ASKOFU MKUU DR. DANIEL KULOLA BILA HOFU NA WASIWASI AZUNGUMZA MANENO MAZITOSEIC TV
Переглядів 3,7 тис.
PART1:KIJANA ANAEMILIKI JOKA LINALOTEMA PESA AELEZA ALIVYOLALA MAKABURINI SIKU 7/NILIFUKIWA SHIMONIDavistar Mata Media
Переглядів 16 тис.
NILILALA NA MAITI ILI NIPATE UTAJIRI/MGANGA ALIFUFUA MAITI YA BIBI KIZEE/JINI LIMEUA WATOTODavistar Mata Media
Переглядів 9 тис.
PART1:KIJANA ASIMULIA MAHUSIANO YAKE NA JINI ALIEUA FAMILIA YAKE YOTE NA KUMTIA UPOFU/KWAKE MAKUBURNDavistar Mata Media
Переглядів 28 тис.
KIJANA AONANA NA JINI LIVE KWENYE BAHARI, ASIMULIA MKASA MZITO ULIVYO TOKEAMbengo Tv
Переглядів 41 тис.
PART5:MWENYEKITI WA WACHAWI TZ SHEKHE ALIEOKOKA/NILIUA MKE NA KUISHI NAE TENA/UCHAWI NIMESOMA CHUODavistar Mata Media
Переглядів 13 тис.
PART1:MCHIMBA MADINI AELEZA JINSI ALIVYOMCHINJA MWENZAKE/NILIMKATA SHINGO/PANGA LILIJAA DAMU/MSIBADavistar Mata Media
Переглядів 27 тис.
PART2:KIJANA ALIEPENDWA NA JINI KUWA WAPENZI/AMENIHARIBU NGUVU ZA KIUME/NINAE SIJUI NAMUACHAJEDavistar Mata Media
Переглядів 20 тис.
ЗСУ йдуть углиб Курської області. Таємничий нacтyп на росію та його метаSTERNENKO
Переглядів 869 тис.
Почему саморез не держится в дереве. Столярные секреты.Стройхак
Переглядів 2,3 млн
Алексей Щербаков разнес ВДВшниковBody Mania
Переглядів 8 млн
Современные отношения #непосредственнокахаК-Media
Переглядів 1,9 млн
🔥 Война пришла в РОССИЮ! Глубинный народ глотает ОТВЕТКУ за атаки по УкраинеFREEДOM. LIVE
Переглядів 381 тис.
😳 Все русские уже знают итальянский?🇮🇹Super Italiano
Переглядів 2,4 млн
Просеивание пляжного песка совкомFD Vasya
Переглядів 2,6 млн
Идеально повторил? Хотите вторую часть?⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Переглядів 14 млн
Amkeni kumekucha wa 23 Nikita comment kuanzia 24 lazima nikute like hapa kwangu
Haiwezekani ukoment bila kulike mzee
@@ayshamahariq6665 mwone🤗🤗
Davistar nna khofu hii kuhoji hao watu wenye majini. Isijekua jini mmoja akakupenda ikawa balaa. Tutakosa uhondo😂😂😂
Dah kwer pamoja sana another episode my favourite chanel back again big up
Mm leo wa kwanza naomba like zenu nikanunue maandazi
Chungua bure🤣🤣
@@cynthianawambugha7663 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Unachekesha
Zimekushibisha😆😆😆
Duh kuanzia leo sitaki kutongozwa mtandaoni
Kk Davi, wabongo mnapenda sana mapenzi ndipo wengine huishia pabaya siku hiyo hiyo mahusiano dhuu😄😂😂😂
Mr Facts hongera kaka Kwa Kazi yako Mzuri ❤️
Shukran kwa juhud zako
Mungu akutangulie kwa kila unachokifanya
Amen
Fb hatari mwaya yuwakuta binti kajiremba full mapoda yuwaonekana muzuri avutia saaana yuwampenda mwisho yuwakutana nae na kudate nae kumbe wengine ni majini.dv masta we respect u bro
Kk Davi, unauliza kama ni mzuri, mzuri utakuja pata na ww ujue😄😂😂😂
Majini yametapakaa sana nchi za uarabuni na maeneo ya pwani. Inahitaji umakini mkubwa na uwepo wa nguvu za Mungu unapoishi hayo maeneo.
Kweli kabisa
Haha MR FACTS 😜😜🤣🤣🤣🤣🤣🤣eti alikuwaa mzuri mzuri Haha
Mwanaume mubishi hangekubali atoke guest namwanamke bila hilo tendo😜😜😜😜😜😜 watoto wakiume mwapenda warabu mana weupeèeeeee Haha tena wewe anakutumia hela ya mahari wewe faster UKAKUBALI ZALI NA METALI
Kkkkkkkkk !! Like this . Mr fats anauliza alikuwa msupaa ? Kkkkkkkkk !! Of course alikuwa ridhoo
Safii sana nategea nikiwa Dubai sonapur . Nasubiria part 2
Mitandao ni mizuri napia ni mibaya tujihadharini sana napia tusimame na Mungu
Amina.
Kabsa
AMEEN
@@mariyamdalas8091 🤗🤗
Watu ni wale wale hata jini unaeza kutana kweny maisha ya kawaida
Napenda sana story nzuri kama izi😘😘
Nina hamu ya muendelezo simulizi nzuri sana.
Pole sana 🙏🙏
Duh Majini haya yanatualibia watoto zetu wa jinsia zote dooo mungu tusaidie watoto zetu
Tendo ra ndoa au tendo la uzinifuuuuu???? Wajameni mpoooooooh🤣🤣🤣😍😍😂
🤣🤣🤣🤣🤣haki kweli
Davi uko poa sana na kazi zako hivi majini wote wanakua kwa mfano wa kiarabu na ndio vijana wanapenda warembo Davistar kua makini na warembo
Wanaume mmjifunze mmezidi mtu akikuomba tu urafik huyo kashafika in box Mara wap iyo Mara nimekuelewa Mara nakupenda jifunzen hapa
Davister mater unaamsha ari za maisha ya watu. Mungu akubariki
asante kwa kutufungua macho
Part 2 plz
Story tam sanaaa big up davister
Davistar kijan wako hp mtu mwenye utu wang respect 👊
Part 2 please
Davista jaribu kuweka video moja ikawa full kulik kuweka part 1 na 2 na mpaka 3 nk.
Davister much love for u
Sahio unaringa nimepata kumbe umepatikana doh pole mdogo wangu
Davix tunaomba part 2 ukichelewa nakuxhuxha kixhipa mzee. Tena LA kilo 20 kama kindoo
Njomana situmianagi invitation kabisa maana Facebook niatari.
Daah, hii itakuwa poa
Ndio mukome kutongoza tongoza ovyo munakwama wapi nyinyi wanaume badala ya kutongoza jirani yako unae mjua waenda tongoza wa mitandaoni ....
Pole mwaya
Aaah Fb hivi duh kuanzia Leo xtaki urafiki na mtu ambae cmjui kumbe na haya yamo duh kubwa kuliko
Inaonekana nzuriiiiii
Pamoja sana bro
Davistar yaan umeniteka kila nikiamka nachunguli youtube umetuletea nn part two tafadhali
Sio kweli munatuzungua jamaa nimemsoma nimuongo sana anaonekana katunga story
Tunga na yako tukuone
Tunga yako na u
Haya mimi wamwisho kucoment
Jamani mpaka tunaishi na uwoga sasa 😭nashkuru facebook sipo mm ni utube na whatsapp tosha
Kila sehem wapo
Daah Aisha tena jamani nimeshituka balaa mm mwenyewe ninae mpenzi wa Facebook vile vile na hatujaonana duuuh mambo hayo 😂😂😂😂Aishaaaaaa
Kuwa makini na usimutumie picture za t.. p..
@@hamisihassan2620 nahofia kuwa anasema mm pia ni jini coz jina la huyo jini ndio hilo langu sasa 😂si nitakataliwa tu ataona ndio wale wale
Kabsa
@@hamisihassan2620 😂😂😂duuuh 🤔
Aisha... Shauriako jina litie mbwebwe ashley frm today wasije wakakuita jini🤣🤣
Mambo yamtandao nilikoma mtu anakuambia anakupenda kumbe anatumia picha yamtu mwingine hapo ndonilikoma hata kueka picha yangu naogopa hata mtu akini reqst mpka niingie kwa wall yake nitixame kwaza ila mm kurest mtu mybe niwe nashidaa naye lkn hivi hivi 👐👐👐👐👐👐 😂😂😂😂😂😂😂😂.
UZURI WAMWANAMKE SIO SURA KAKA TABIAAA TUUUUUUUU UPOOOOO haya endeleeni kuwatafuta huko mtandaoni
Hehe ulipatikanae
Subhannallah
Ogopeni saana mitandao ya kijamiii ni hataree
Dah! Wanaume mna tamaa sana dah!! Ushirikina nyie kuuwawa watu kwa utajiri nyie kuzini na watt wenu nyie yaan punguzeni tamaa mbona xx wanawake tumekubali kuchoma mihogo vitumbua ili mradi tupate vya halali bado hapo hapo tuna wahudumia wanaume jaman mbona amridhiki wanaume??
Tuma hizo friends request hii pande [nchi jirani], covid19 ime mess economy yetu. Hiyo deal ina weza boost mambo kwetu huku.
ndani
Duh Tanzania Kuna mithihani subhana ALLAH
😂😂😂😂😂 jamani FACEBOOK 😂
Daah. Leo na Mie Niko top ten. Namba sita hapa.
😂😂😂Fcbook hizi
Mura mbona unaona aibu?
Milion mbili ya tz hiyo pesa zuri yakuoa mtoto wakitajiri😂😂😂😂😂😂😂😂 hujawaiishika hiyo hata unachanganyikiwaa kwaza
Wapo waliofanikiwa kupata wenza wao kwenye facebook ila huyu akuwa na bahati maskinii akakutana na jini... Yani majini awatulii ujinini kila siku kusumbua binadamu😩😩
Binadamu wenyewe wanawapa nafas ndio maana Sisi family yetu amna mwenye majini tangia nimezaliwa mpaka sasa sijawah muona mtu ktk family yngu ana majini sijawah....majini yamewatawa wale wanao penda kwa waganga
@@euniceeunice7680 kumbeee ni kweli haki unachosema hao majini wana watu wao
Nimecheka na comment yako
Hapo sasa😁😁
Daah Umenistua na hilo jina la Aisha uwiii
First
Facebook kuna majini mbona mi sikutani nayo? nahitaji kuonana na jini
Majini wako mtandaoni? Tanzania mta tumaliza. Kenya tuli ona Internet kitambo na bado sijawai skia kama hiyo. Team mafisi confirm kama ni ukweli.
Yani hyu Davistar anavopenda story za Majini...wanakuzoom wenyewe Ujue 🤣🤣 angalia usije na ww ukaangukia kwa Dada Jini.
Kweli na pia za ushirikina🤣bali zina mafunzo big up davi❤️
Nataman kujua jina kamil la yuyo dem jin nimsach fb not mwone🙄
Aisha
Iyimitandao inamambo mengi
Haaa haaa haaa 🤣🤣🤣🤣mahali anatoa muolewaji😁😁😁😁😁
Ngoja nisikilize somo apa maana na mm facebook uwa najichanganyaga
Hatari
Eeh pole
Tunasubiri part2 hii story nzuri 🙏🙏
Hivyo ndo mnavyotaka ila xtory za kwenu mmeatamia, mbona ulikataliwa ukataka kujinyonga mbona hutuadisii hahahaaa
Naingoja pia yaonekana kuwa nzuri
@@wantangosaimon5295 DM hajarejesha majibu bd ombi langu liko kwa Mrs Davistar.
@@hebronsdaughter1661 sana tena sana
Duh hii noma
Wapenda vitonga tupoooo
Wapo mpaka kwenye mitandao😲😲
Huko nyuma kun kivuli cheupe kinapitapua au cjui hamuon hhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh aish kaja
Izi story za majini nazipenda
Heheee!!!! Chumaa 😅😅😅
EEEEE WATOTO WAKIUME MUWE MAKINI KWENYE MITANDAONI NI NANGOJA SEHEMU YA PILI BRO 🤔
Kwenye hii mitandao majini wapo wengi
Mabaharia daah tunapitia mengi
Tuma jina aise tumsearch kaka please 😋
Leo mapema
Hii stry yaonekana tam balaa
Majin wanawapendaga wa2 wapole
Na wanakuwaga wasumbufu fb kutongoza 🤣🤣🤣
huyu na uchebe hawana tofauti wote wameolewa
Duuuh kumekucha jamani
Kitonga hiyo yaan mpaka mahari ulipiwe bila hata kujuwa ni.mtu wa aina gan
Mtu makini katika ubora wako pamoja sana kaka
Aisha ndio mimi jini mwenyewe 😂😂😂😂😂
Wacha😲😲😲
Story ibambe parte 2
Watu wame-sabscrbe ikiwekwa tu wanaamka nayo
Mmh Mambo ya FB hayooo
Second
Du hatar na fb sasahivi watu wanaongoza kutongoza watu bila kujua ninani😁😁
Pore san kaka fb ina mambo mengi
Nmewahi Leo
Na watongoze tu sinwanaume wao
Yani ww hata kama mm ningekuchuna ww hata kuingea hujui
Kwahiyo Facebook pia kuna majini???? Sasa hawa majini mnakuja mpaka mitandaoni mhhh
2012 darasa la 7,bas wee mdogo
2012 mimi namaliza form six daah he is very young
Ni bahati mbaya hiyo , bahati mbaya aichagui popote pale ukupata
EEEEE WATOTO WAKIUME MUWE MAKINI KWENYE MITANDAONI NI NANGOJA SEHEMU YA PILI BRO
Ivi mtu unampendaje mtu mtandaoni 🤔🤔🤔 eti vitonga 😆😆😆