PART2:KIJANA ALIEPENDWA NA JINI KUWA WAPENZI/AMENIHARIBU NGUVU ZA KIUME/NINAE SIJUI NAMUACHAJE

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 267

  • @chujjuma2408
    @chujjuma2408 4 роки тому +13

    Davistar tunaomba saa nne ucku utupe kipande kimoja aisee mana story n nzuri sana ukizingatia ata anavoongea inafurahisha na inafundisha pia tunakuomba ucku tupate kipande kimoja cha kulalia cha hii story if you don't mind

  • @jamilaally3172
    @jamilaally3172 4 роки тому +3

    Dah kwer pamoja sana another episode my favourite chanel back again big up

  • @vaghoghontweki9827
    @vaghoghontweki9827 4 роки тому +5

    Hii story tamu,,,hongera mr Fact watu wako tpo nyuma yako🤝

  • @abdulhalimhumud1917
    @abdulhalimhumud1917 4 роки тому +2

    Pamoja Mr Mata Kazi Mzuri

  • @elibarikielikana1824
    @elibarikielikana1824 3 роки тому +2

    Najifunza makubwa sana kupitia mata davista uko vema sana kaka keep it up brother

  • @emmanuelyraphaely3343
    @emmanuelyraphaely3343 4 роки тому +3

    Ukitaka kumsikiliza vzr uyu jamaa lazima uwe umevaa edifon lasivyo maneno mengine uwez kuyaelewa maana iyo lafuz yake mmh 😂😁😁

  • @beatricekweka6683
    @beatricekweka6683 4 роки тому +6

    Njoonii tulisongeshee...Asante davistar

  • @nasibubalonzizubusa3449
    @nasibubalonzizubusa3449 4 роки тому +1

    Pole Sana mmakode

  • @mercikatate9033
    @mercikatate9033 4 роки тому +1

    Thanks kk

  • @iadeclementine5604
    @iadeclementine5604 4 роки тому +3

    Ntumeeeeee😂😂😂😂😂raha sana ...davistar nae kacheka😂😂from +250 🇷🇼🇷🇼🇷🇼 tujuane

  • @immasanga5713
    @immasanga5713 4 роки тому +1

    Nkamwambia basi sawaa,I like it

  • @naythardarling1115
    @naythardarling1115 4 роки тому +1

    Kaka davista mm nimempenda uyo kijana anavyoongea tuu yaan nasikia raha sana pia anajiamini na rafudhi yake Mashallah

  • @basiltobiasi6047
    @basiltobiasi6047 4 роки тому +1

    Mwendo uleule brother davista tupo pamoja sana mungu akubariki

  • @zubedanyamsha1971
    @zubedanyamsha1971 4 роки тому +4

    😉nmekaa naisubr kwa hamu jmi, thanks davistar

  • @zulekhamohd9363
    @zulekhamohd9363 2 роки тому +1

    Pole san

  • @mishidede5473
    @mishidede5473 4 роки тому +2

    🤣🤣🤣💃💃💃Nani ameskia hiyo, mtumeeeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣💃💃💃jamaa yuwanipunga kweli na simulizi yake

  • @hhrr7815
    @hhrr7815 4 роки тому +2

    Pole kaka

  • @yasintasamson8198
    @yasintasamson8198 4 роки тому +5

    Waooh, leo wa 9 siamini

  • @aishabeka5562
    @aishabeka5562 4 роки тому +3

    Safiii story nzurii...hahahahaha eti ntumeeeeeeeee

  • @bintimrope
    @bintimrope 4 роки тому +1

    Nikasema ntumeee😃😃😃kusini raha sana sijawahi kujuta kuwa mzaliwa wa kusini❣❣❣❣

  • @beatricekweka6683
    @beatricekweka6683 4 роки тому +3

    Wakwanzaa

  • @dativaminja2278
    @dativaminja2278 3 роки тому +3

    MUNGU anisamehe hapo mwisho mwisho nimejikuta nacheka sana eti Giza tororooo ntoto akatoweka😂😂😂😂 mtumee

  • @neemaabdallah3567
    @neemaabdallah3567 4 роки тому +1

    Tupe Raha Davistar😘

  • @khamisfaki2902
    @khamisfaki2902 4 роки тому +2

    Jamaa anamoyo wa ukaidi lakini ndio vizuri

  • @abdulmakatarivo4185
    @abdulmakatarivo4185 4 роки тому +1

    Mzur sana story

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 4 роки тому +7

    Story nzuri Sana! Mariam alijua kukuchezea akili kwasababu wewe upo really na innocent 😇.

  • @mashamramba3461
    @mashamramba3461 4 роки тому +3

    Mtemii amwambia acha uchizi kamba kanywa gongoo !! Chawa adai mm mbona home ni sea ? Heee mtemi auluza kwani ww jini nn ? Ambiwa skizia perfume iyooo

  • @salumbunga240
    @salumbunga240 4 роки тому +2

    Davista kijan wako hp mtu mwenye utu wangu respect 👊

  • @euniceeunice7680
    @euniceeunice7680 4 роки тому +2

    😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌watu wa kusini mbona mnanizalilisha mimi uku eti mtumeeeee

  • @babyboss2886
    @babyboss2886 4 роки тому +2

    Ndani kama mshale

  • @goodgood9370
    @goodgood9370 4 роки тому +1

    Davi you made my day this afternoon 🥰🥰😃😃😃😃😃😃😃

  • @juliusjaliwa9887
    @juliusjaliwa9887 3 роки тому +1

    Daaaaaa mtumeeerhhh 🤣🤣🤣🤣🙋‍♂️❤

  • @AbdulAbdul-pr9qe
    @AbdulAbdul-pr9qe 4 роки тому +1

    sawa

  • @mwashumcubwa1928
    @mwashumcubwa1928 4 роки тому +4

    Wallah nimecheka kwa sauti et alivyorudi akasema mtumee😂🤣🤣iyi chanel inanikoshag moyo

  • @aminaismail4221
    @aminaismail4221 4 роки тому +1

    Huyu amenikosha ana lafuzi nzuri sana pia ajuwa kuelezea

  • @henrymtimila2685
    @henrymtimila2685 4 роки тому +2

    Tupo pamoja kaka

  • @carolinetalam5832
    @carolinetalam5832 4 роки тому +1

    Tuned 🇰🇪

  • @RahmaRahma-xp9jr
    @RahmaRahma-xp9jr 4 роки тому +3

    Pole Sana napumzika kwaza ninamawazoo 🤣🤣

  • @africandarling6925
    @africandarling6925 4 роки тому +5

    Mfaume wewe sasa unataka kutupeleka zambini ujue 🤣🤣🤣🤣🤣doooo sio kwa vituko hivyo dooo hatari sana

  • @thamsaid7736
    @thamsaid7736 4 роки тому +4

    Hahaaaaa 😂😂😂... Eti Ntumeee

  • @zubedakilenza9998
    @zubedakilenza9998 4 роки тому +2

    😃😃😃hapo nikasema ntumeeeee

  • @benjaminkiteleke8458
    @benjaminkiteleke8458 4 роки тому +1

    Story tamu sanaaaa. Jamaaa anajua kusimulia

  • @mrsochu-hv7bm
    @mrsochu-hv7bm 4 роки тому +1

    Alosikia neno la mwisho kwa mfaume
    Ntumeeeeee 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @daishajumanne5990
    @daishajumanne5990 4 роки тому

    wallah nacheka sana daah ana nitoa stress 😀😀😀😀😁😁

  • @mosesjohnswilla9926
    @mosesjohnswilla9926 4 місяці тому +1

    Story za Davistar zimenifanya nikapenda ushirikina.....ila ninachochukia ni kuua watu tu.

  • @kalssambaboo9705
    @kalssambaboo9705 4 роки тому +1

    😂😂😂😂kasema tumeeeeee tulia tuuh siumetaka mwenyewe😂😂😂😂

  • @kitkat-pr4mv
    @kitkat-pr4mv 4 роки тому +2

    Tupo pamojaaaa✌🏻✌🏻✌🏻

  • @beatricekweka6683
    @beatricekweka6683 4 роки тому +4

    Mtumeee imaishaa jamaniiii..tupe nyinginee

  • @OmanOman-ik9sp
    @OmanOman-ik9sp 4 роки тому +3

    Unanikosha unavyoongea mtu hachoki kukusikiliza😂😂😂😂

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 4 роки тому

      Na kikohozi nasikia anabanja tu...sii ageuke pembeni akohoe

  • @benahdesigner
    @benahdesigner 4 роки тому +1

    😂😂Et washikaji wangu wananiletea nchezo

  • @roseuwambe8089
    @roseuwambe8089 4 роки тому +2

    Mfaume uliliwasha limoto utakoma🤣🤣saanafunga liziki🤣🤣🙌🙌🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @fatmafatoom6553
    @fatmafatoom6553 4 роки тому +1

    Kapotea pafuuuu,,,, ntumeee

  • @mwesigwaannte6751
    @mwesigwaannte6751 4 роки тому

    Davistar Thanks for the good work lakini mimi nimeona hivi huyo jini alileta jini mwezake kwa sura ya wini tu na sio wini

  • @fredichaki4868
    @fredichaki4868 4 роки тому

    Southern region mpo wapi wezangu gonga like hapa wote akapotea tu gafla hapa nkasema ntumeeeeee....

  • @yussrakhalfani5604
    @yussrakhalfani5604 4 роки тому +3

    😆😆😆😆😆😆 jamani Leo nimecheka eti mtumeeeeee

  • @saidbakar3595
    @saidbakar3595 4 роки тому +2

    Nilikuwa naisubiri kwa hamu

  • @mariamuharuna5271
    @mariamuharuna5271 4 роки тому +7

    Anaeleza vinaeleweka kama juma🤣

  • @ayushsaeed1051
    @ayushsaeed1051 4 роки тому +3

    Baaaa bwana ww

  • @latifahissa8581
    @latifahissa8581 4 роки тому +1

    🔥🔥🔥🔥

  • @balistakevike7492
    @balistakevike7492 4 роки тому +3

    dar jamaa ananikosha xana uongeaj wake allow!

  • @khammykisenga1364
    @khammykisenga1364 4 роки тому +2

    Nimependa anavyoongea had I story inakuwa nzuri

  • @salumsamesame1741
    @salumsamesame1741 4 роки тому +1

    Mtumeeeeee😂😂😂.Mtu Makini mbavu sina huku😂😂

  • @lasandrasandra7453
    @lasandrasandra7453 4 роки тому +3

    😂😂😂 eti mtumee 😂😂

  • @ZakiaAbby
    @ZakiaAbby Рік тому +1

    Tena moyò wangu ngangariii😁😁

  • @emanuelmwihambi7994
    @emanuelmwihambi7994 4 роки тому +1

    Hahaaa ctory zahivi huwa nazipend sana

  • @nyendochamwela3031
    @nyendochamwela3031 4 роки тому +1

    Davistar bila Shaka na wewe umeanza kuongea hiyo rafudhi 😁😀😀😀😀

  • @hebronsdaughter1661
    @hebronsdaughter1661 4 роки тому +1

    Pole kaka kwa mitihani unayo pitia ila wanifurahisha 😂😂😂😂

  • @emmaraphael5982
    @emmaraphael5982 4 роки тому +1

    😂😂😂😂😂😂😂njingo dada aaa kitambo san

  • @shebaminde7656
    @shebaminde7656 4 роки тому +2

    Njoeni jamaniiiii babe amekasirika

  • @ibrahimrukundo3064
    @ibrahimrukundo3064 4 роки тому +5

    mwenye kuhojiwa nimfafanuzi mzuri.

    • @africandarling6925
      @africandarling6925 4 роки тому

      Ibrahim yani lazima ucheke doooo Anavituko Mfaume kama juma no 17 wa julieti dooo mungu hatusamee tu kwa kucheka matatizo ya mfaume 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣dooooo

  • @felisterkinyanjui9855
    @felisterkinyanjui9855 4 роки тому +1

    Twangojea part3

  • @OmarMohamed-cb1tu
    @OmarMohamed-cb1tu 4 роки тому +5

    Ntumeee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mercikatate9033
    @mercikatate9033 4 роки тому

    Vipi kuna part nyingine?

  • @hawaynatimam982
    @hawaynatimam982 3 роки тому +1

    Eti ngoja ninywe maji kwanza nitoe presha 😂😂😂😂

  • @fatmaalrshdii7615
    @fatmaalrshdii7615 4 роки тому

    Mtu makini katika ubora wako pamoja sana kaka angu wa ukweli endelea kutusomesha tutaelewa tu japo kimya kimya

  • @mwashumcubwa1928
    @mwashumcubwa1928 4 роки тому

    Oooh lala uyu kaka noma umezid ubishi unambisha jini

  • @rehimamohamedi634
    @rehimamohamedi634 4 роки тому

    Davista please naomba uendeleze leo pls usiache ilale

  • @wantangosaimon5295
    @wantangosaimon5295 4 роки тому

    Pole xana mzee ila umeniflahixha ulipomtoa baruti hakuna macheko

  • @seadogs4460
    @seadogs4460 4 роки тому

    Davistar mata napenda story za Faume wallahi,sichoki kuangalia hadi nacheka mwenyewe kama Chizi

  • @farhadhassansaid1297
    @farhadhassansaid1297 4 роки тому

    Part 3

  • @assilaibra4563
    @assilaibra4563 4 роки тому +1

    Ntumeeeeeeee,,,,,,,,,!!!!!!!!
    😂😂😂😂😂😂

  • @abdulrahmanhassan9254
    @abdulrahmanhassan9254 4 роки тому +1

    Hahaha hapo ndio ninkasemaa ntumeee🤣🤣🤣

  • @babymansouth1164
    @babymansouth1164 4 роки тому +1

    Bora wewe Mkweliii kuliko bwana Chura😝😥 kaka unajua kujielezaaa hadiiirahaa ntontooo Mamuuu kaletabalaaaa

    • @aishachambo3293
      @aishachambo3293 4 роки тому

      Yule jamaa kajua kutudanganya 😂😂😂😂

    • @twaibumikidadi7377
      @twaibumikidadi7377 4 роки тому +1

      chura mm binafs alkuwa muongo tu!!!
      yule alkıwa anaahadithia ndoto alyoota ucku!

  • @bebebebe5677
    @bebebebe5677 4 роки тому

    Davistar kaka we cheka 2 maana daah hii kar hawa majin sas part 3

  • @alimohamedalhinduwaan6742
    @alimohamedalhinduwaan6742 4 роки тому +1

    Mtumeee, bwana mfaume umechomoa betri sasa 😂😂😂😂

  • @OmarMohamed-cb1tu
    @OmarMohamed-cb1tu 4 роки тому

    Uninpenda nawe unanipendraaaa

  • @margarithagasper6838
    @margarithagasper6838 4 роки тому

    😀😀kaka anataka kuoshea kwa washkajii

  • @naythardarling1115
    @naythardarling1115 4 роки тому +5

    😂😂😂🤣🤣🤣🤣Kaka dvista mm nampenda uyu kaka anavyoongea tuu jaman

    • @lindajohn2156
      @lindajohn2156 4 роки тому

      Hehe Mimi pia aisee alafu hacheki na anachekesha

    • @naythardarling1115
      @naythardarling1115 4 роки тому +1

      @@lindajohn2156 yaan ina ashiria anavyovisema ni ukwl mtupu kwani afichi hata kitu kimoja pia anajitambua xn

  • @mashamramba3461
    @mashamramba3461 4 роки тому +2

    Kkkkkkkkk !!! Weeee umetaka majabuu Mara mtume tena !! Kkkkkkkkkkk !! Mara giza totoroo , taa haliwakii ....kisha mwanga karegea na mtoto kapotea ....

  • @mariamm2724
    @mariamm2724 4 роки тому

    Yenyewe inatisha , pia inafurahisha

  • @yusufuvea5311
    @yusufuvea5311 4 роки тому

    Mtumeeeeee

  • @salmadalaquimane2364
    @salmadalaquimane2364 4 роки тому

    Mtumeeeeee😀😀😀😀

  • @aishamustapha7381
    @aishamustapha7381 4 роки тому +1

    Kule kuongea tu mi cna mbavu.ongera sana mtu wetu makini kwakusakanya watu kama .pig up.piga kaz baba

  • @khalidally114
    @khalidally114 4 роки тому +2

    Tena moyo wangu ngangariii🤣🤣🤣🤣

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 4 роки тому

    Imebidi nicheke 😀

  • @fatumakidogobasi4973
    @fatumakidogobasi4973 4 роки тому

    Type vipande vingine

  • @sakinaally6572
    @sakinaally6572 4 роки тому +1

    Hahaaaaaa eti ntumeeee 😆😆😆.

  • @christiansimba8770
    @christiansimba8770 2 роки тому +1

    Nikasema mtumeeee 😅😅😅

  • @glorianishimwe1587
    @glorianishimwe1587 4 роки тому

    Naceka kama mazuriu eti mutumeeeeeee😅😅 mwendelezo plse

  • @swaumujuma6333
    @swaumujuma6333 4 роки тому +1

    Ntumee🤣🤣🤣🤣makonde laha sana