Matukio MATANO YALIYOTIKISA Mkutano wa JPM na WAFANYABIASHARA
Вставка
- Опубліковано 7 чер 2019
- HAYA HAPA MATUKIO MATANO YALIYOTIKISA KATIKA MKUTANO WA JPM NA WAFANYABIASHARA
June 7, 2019 ilikuwa ni siku ya tofauti sana kwa wafanyabiashara nchini ikiwa ni baada ya Rais Magufuli kuamua kukutana nao Iku,lu jijini DaR ES Salaam kwaajili yakufanya mazungumzo huku kipaumbele kikiwa ni kusikiliza kero zao.
Kama ilivyokuwa Ada mazungumzo hayo yalikwenda salama salmini ndani ya masaa 9 Rais Jpm na baadhi ya wafanyabiashara walioziwakilisha Halmashauri zao walikuwa na wakati mzuri kweli kweli kwaajili yakuhakikisha mambo yanakwenda sawa katika biashara zao pamoja na maslahi ya nchi kwa upande wa kodi.
MTAZAMAJI HAPA NIMEKUANDALIA MATUKIO MA5 YALIYOTIKISA KATIKA MKUTANO WA JPM NA WAFANYABIASHARA
Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter:
GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Like kwa tunao rudia kuangalia hotuba za JPM
Na Mimi pia nagalia mikutano ya jpm
Vlb
@@messihenry9431 magu mwendazake mjinga tu hao hao wanaishi kama malaika yeye atawashusha waishi kama mashetani.
Sasa hapo anajiosha dikteta huyo marehemu.
Magufuli nilaisi wakipekeeeee🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Milo usituletee chuki zako za kibwege,uliku mwiz,au ulitumbuliwa au vyeti fake
2024 wangapi tunaenderea kumucheki mzee
Sio siri nimpenda sana magu lakni allah amupenda zaidi😭😭
Mimi Rafiki Yangu Alinipigia Simu Usiku Kama saa 23:30 Ananiambia kwamba JPM wetu Mzalendo Amefariki dah roho iliniuma Sana to be Honest Nililia Sana , Durban Yaan Wacongoman na Waburudi wanatuheshimu Sana Kwa sababu Ya JPM Na vitu Vya Maendeleo anayoyafany a Hapa Nchini Kwetu Tanzania
Nani kasema Alla alimoenda zaid
Magufuli was a HEROO! Nimejifunza jambooo...kwa wale wanaotaka usawa...wa 50/50 wenzangu tunadanganyanya....mwanaume NI mwanaume TU....na hii inaoneshwa kwa haya yanayotendeka Sasa! Tuache kudai uhuru tusio na UWEZO nao wanawake wenzangu! Rest in peace magufuli!
Wangapi tumerudia kumuangalia Hayati magufuli? R.I.P BABA
Selikar hii sichoki kuisikiliza yaani nahisi bado inaongoza
Sichokagi kumskiliza na kummombea.
Mwenyezimungu akustirie mazambi yako huko ulipo🙏🏿
Na akulindie familia yako.🙏🏿
This is very fantastic ofcourse you was born to lead go baba is our daily song God paradise u
Ama kweli MUNGU atabaki kuitwa MUNGU milele na milele raisi wangu nilikupenda sana na ndani ya miaka niliopo duniani nilikua nikitamani kuwa na raisi Kama huyu ambae anaipenda nchi na watu wake wote ila hatuna la kusema maana upendo wetu kwako imedhihilika Ila MUNGU kakupenda zaidi pumzika salama Nam Kama mwanaichi wa kawaida nilioko duniani nahidi kufuata nyayo zako za kumtegemea MUNGU pumzika salama Baba
I'm really going to miss JPM..mchapa kazi
I miss him already
@@paulondiek1345 Asante sana Ndugu Yangu comment Yako tuu lnaonyesha Tu wewe Mzalendo
Hongera Singida oyeee uko straight sana
Inaumiza sana kuangalia. President of my life eti.
" Mungu akulinde baba, na kukutunza ukweli utabaki kuwa kweli, Mungu ibaraki Tanzania.
Fatima. Karum
Amen
Amin yarabi amin mungu atuekee mtetezi wetu
Inna lilahi wa inna ilahi rajiun.. Nlimpenda sanaa Magu toka kenya hadi wa leo sijarecover
@MagufuliJP. Hongera Sana Kazi unayoifanya Rais Magufuli hajawahi kufanya yeyote kabla yako. Kura kwa hakika 95%✓✓✓★★★★★★★♥️🇹🇿🌻👏🏽 Magufuli Daima Juu Daima Oyeee ♥️🇹🇿🌻👍🏽👏🏽 UBaarikiwe Kipenzi Chetu Rais wetu Mwema Mzalendo Mwadilifu Mkweli Jasiri Mwenye-Enzi-Mungu-Allah-Subhana-Mlezi AkuTangulie Daima na AkuLinde Daima na Milele ♥️
viswer
@@uepbuburundi2288 wacha akajibu mashtaka mbele ya Mungu huko ahera dikteta huyo.
Huyu mzee kaniacha hoi. Eti wanagawana kama wamechanga wow! Hii kali.
😂😂😂
kanifurahisha sana
Still watching R I P FATHER
2024 watching. Magufuli
Dada nimeisikiliza yote yaani umesummerize vizuri sanaa
I love Jesus
Still watching in 2021 march, from U.K REST IN POWER JPM
Aisee mungu alitupa zawadi kubwa ambayo tumeshindwa kuitumia. Asante kwa uongoz uliotukuka, nitakukumbuka daima baba.
Uyu mzee Mahenge yuko innocent sana, 😂😂😂😂😂 kutoa rushwa tunatoa😂😂😂
Huyu rais the best in world!!
Mungu akulinde Rais wetu
Tanzania ilichelewa sana kumpata Rais wa aina hii.Wafujaji watamkoma Msukuma huyu.
Kuapishwa maeaziri
JPM RESPECT
Raisi anajitahidi kuwa krb na wananchi/ wafanyabiashara lkn wasaidizi wake kenge KBS.
Hongera mh. Lukuvi uko vzr
Kwa kweli kila ninapo isikia sauti ya mwamba wetu jpm machozi yananitoka tu hadi leo hii amejaa kwenye ufaham wangu haaaa RIp baba nitakukumbuka daima.
Mh Raisi bora ukutane na hawa wafanya biashara mara kwa Mara, hii ni zaidi ya bunge hawa wanatoa ya moyoni
Mwadishi taarifa yako umeipanga vizuri sana.
Asante san raisi wetu raisi wetu mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe
Ameen Ameen Ameen yarab
Vijana wa mejieza vizuri mheshimiwa lazama kuna kitu nazan ameji funza kitu na Tanzania inaweza ikabadilika Sana hongera
Lukuvi hakika ni mtu mmoja afanyaye kazi nzuri mno....wengine baadhi nishida kwa mzee wetu.....msukuma ni balaaa nawenzio hao wanajikanyaga kanyaga tu hoja hazipo na mzee anataka changamoto wao ni hoi daaaaaaaaa! Kwakweli mzee pressure lazima aje apate
Naumia Sana mpaka Sasa. Jpm ulikuwa mtetezi wa watanzani. Mungu akulaze mahali pema peponi
Umefanya kazi nzuri yakufupisha endelea utafikambali
Baba! Tutakukumbuka daima.
Koti limetoboka 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂jamani Magufuli huyu jamani, natamani ungetuongoza mpaka mwisho wa uhai wako babaa🔥🔥🔥🔥🔥
Mutalemwa Gabriel 😂😂😂
Tena mm naomba awepo mpk uzeeni
Katuongoza hadi mwisho wa uhai kweli😢
😭😭😭maneno yanaish jaman
Beautiful ones are born in Tz. Magufuli is beautful one
Ediga Mwagala handsome not beautiful
Wabunge hawana jipya,zaidi yavijembe. Wafanyabishara oyee.
TUTA KUKUMBUKA SANA JPM
The true leader of Africa, R.I.P JPM 😪😭
Mungu Akubariki Mh.JPM
Jamani watanzania mlipata rais kwa hili 2020 jpm hana mpinzani . Watanzania tutamuchagua asilimia 100. We mungu mbaliki rais wetu.
Jamani mungu akupe maisha marefu sana baba yetu magufuri
Kama unangali 2021 sema r l p
R.I.P mtetez wa wanyonge
Hapa ndio nimesikia ukweli kutoka moyoni. Tukienda hivi nchi hii itaenda.
Yaani baba wa mbea alinimaliza ni msema kweli zaidi ya masai 🤣🤣🤣
Safi sana Mheshimiwa Rais.
Hahaha. Huyu magu wakati mwingine huniacha hoi
Mungu akubariki sana rais wetu wa jamuhuri wa muungano wa tanzania mungu akubariki udumu miaka 300 nakupenda sana unapo simamia haki ya wanainchi wako ubarikiwe sana
L
Yaani mimi ananimalizaga utadhani comedian 🤣🤣🤣🤣
huyu wa mbeya kiboko. asante kwaukweli wako wote. barikiwa
Samia hakia ya Mungu mikutano yake sijui km atapata watu wengi hivi.
subutu
Watanzania wenzangu tuzidi kuwaombea viongozi wetu wote kwa mwenyez MUNGU kwa imani zetu
Hatutokuja kupata raisi kama huyu jamani
Mungu akusamehe sana magufuri history yako ni vigumu sana kufutika ulikuwa rais wa mfano africa nzima na hata tokea wa aina yako
R.I.P JPM hakika tutakukumbuka
global tv very nice👊
Napenda hoja za msukuma . Akitoa hoja hadi raha. Yuko vizuri yani hoja zake ziko nkoki.
Nikama yukohai daaaaaa inauma saana😭😭😭😭😭😭
Jamani Naskia alitoa no zake mwenye nazo Naomba plz
Magu nampenda sana
Daa kazi kweli
Rais wanguuuuu wa nguvuuuuu💪💪💪💪
I love you Daddy mh John Joseph pombe magufuri
utasikia mengi sana, yapo mengi huku chini
safi sana
Ndege mjanja hunasa kwenye tundu bofu
T. R. A wafanyakazi wengi ni wachaga na kama unavyojua wachaga wanavyopenda hela wao wanapata nyingi na serikali inapata kidogo.
Mh Rais atumbue wakubwa wa T. R. A kodi ikiwa halali inalipika ila kodi ikiwa nusu ya mtaji ni ngumu kulipa.
Nakumbuka wakati tumaliza chuo,ile harakati za kutafuta kazi....kuna baadhi ya sehem ukiomba kazi unaambiwa kabisa km we sio mchaga usipoteze muda!
Tra,crdb bank nk....
Tena kuna mdada alikuwa na certificate anatuambia kuanzia babu yake wote wapo tra
her jamani
Ubaguzi plus wivu
@@christinewomanoffaith5479 kweli?
Wivu tuu
Du rais anavaa kitu limechanika Mungu akutunze na kukuhifadhi.
Nampenda sana rais Wangu Magufuri
Dada umetishaaaaa san
Safi Rais wangu MTU akiamuwa kuleta wawekezaji akapiga chake nakodi ikalipa kunaubaya gn sinipesa za wachina hizo wairudishe Tu hati hiyo .
R. I. P
Jembe umelala pumzika kwa amani
Sauti yako bado tunaisikia masikioni mwetu,we ni mwambaaaa
ety kwa miez minne viwanda 10 😁😁😁hata kama sijui viwanda ila niache2 bora tu hata ulinyimwa
Napenda jpm hadi raha.jpm majariwa ni kiboko yao. Hawana mchezo . Wako siliasi . Watanzania tuwaombee waishi milele.
Huyu ndii rais kudadeki mtanyooka tu
Kuliko
Lukuvi
Mh rais tre Wametufiris reo wafanya Biashara tunarubaruba tu mhe rais
Jpm noma yupo vzr sana god bless always and Ccm hoyeeeeee.
We miss you president
More and more
Mungu amlaze mahali pema peponi😭😭
Allah amrehemu shujaa wetu
Amina
Amina
Amina
tuongoze miaka 30 mambo yatanyooka
Pamoja sana!!!👍🏽👍🏽👍🏽 Magufuli Daima Oyeee ♥️🇹🇿🌻
Kapimwe akili ww unayeshinikiza mtu kuvunja katiba
kwa sheria ipi we kuku???
Bora rais wetu uendelee kuwaita na kuongea na wananchi wako kuliko kuendelea kutengemea bunge letu ambalo ki ukweli unajionea yanayoendelea!!!!
Ukweli mh rais tunaumia sana na hawa jamaa wa tra
Hongera tata jpm
🤣🤣🤣🤣🔥🔥Magu hoyeeee❤️🔥🔥🔥👌👌✌️✌️
Raisi huyu nilimpenda sana heshima ilirudi katika taasisi za serikali na tulilipwa stahiki Mungu akupe kila la kheri
4yrs ago and am still here.. RIP mzee
Yaaaani Rais wetu mpendwa Dr.JPM tutakukumbuka daima utendaji wako ulikuwa very unique, Pumzika kwa Amani baba yetu
Wanawake tupige kazi jaman naona suti na mabichwa makubwa tuu hapo
Nice
Magufuli Oyeeeee
Mungu akupokee jpm kipenzi
Nakupongeza sana mh.Raisi unajenga Tanzania mpya tuliyo ingoja kwa muda mrefu sana
Good good huyu ndiye Rais
Nampenda raisi
The great leader he was,rip JPM the best leader I have ever come across....hope others will follow your footsteps.Uongozi wako ulikuwa ni wa kipekee I have not come across like you.
Maisha ndani ya Yesu
Dah!!! hatari sana
Haki yanani watu wanatililika.
Huyu ndie Rais tulie muomba kwa Mungu ongoza miaka 40 Baba ili tupate Tanzania mpya
Inauma sana😭😭😭😭
@@zakiarashed144 iume nini wewe kwa huyo dikteta mkuu sukuma gang? Mwache moto wa milele umuangazie
Ha ha haaaaa,Rais wangu et chana apo hii lazim niitoe😆😆😆😆😆
Mweshimiwa Rais napia Baba yetu ,Tuna amini unachofanya, Ila pia ili swala la mkuwa wilaya kuchapa raia naomba ulifuatilie atakama mtukakosa Sheria ichukuliwe,nasiyo Raia aliye pewa madaraka kuanza kuadhibu wananchi na hii inaleta udhalilishaji wawana nchi atakama kakosea nidhahiri sana kumchukulia sheria zilizo wekwa,naomba Muheshimiwa uangalie ili.watu wachukuliwe sheria zilizowekwa siyo kuchapa watu na KU Post mitandaoni Tuna kuamini Sana Rais wetu,Mungu akulinde.
Chema hakidumu mwenyez mungu mlaze mahali pema mtetez wetu
Hahahaaaaaaaa ety mnagawana km vile ulichanga nao.
Interesting
Jamani mstukumbushe mtangazaji kibonde
Am really interested with your spearch
Nampenda huyu mzeee san jamaniii
Hivi viongozi wa leo hawaini hizi klip wajifunze
hahahaha mzeee wetu
ndio mzee baba...lekebisha nchi