Maghufuli left a great legacy, he set the pace and I'm glad seeing this going on after his death. Initially I thought it was during the lifetime of president Maghufuli but seeing the poster of Mama Samia behind assured me that she's truly followed the footsteps of her predecessor. But please I wish Mama Samia too went round to directly listen to her people's problems like Maghufuli did. Thank you Tanzania and Tanzanians for your uzalendo and being true to your country. God bless Tanzania
Mkuu mkuu shikamoo uzidi kubarikiwa aseee kwanzia leo nimeamini mungu nimkubwa sana ivi ayayote unayaoteshwa mkuu????? Maana unaoji mpaka mtu anajikuta ametubu zambi bilakujuwa aseee
This man Makonda seem to be a good person,he speak well ,he communicate with common mwananchi with a lot of humility,To my opinion he has great future,but on the other hand am wondering how come there's rumours that he was involved on assassination attempt of Tundu Lisu.?
ki ukweli nakiona kile kilichomfanya Mzee Magufulina hata sasa Mama Samia kukuteua Jamani Weye unaweza Mungu akuweke kiongozi wetu maaana sio kwa busara hizo ulizonazo
Kunayo muda viongozi wanao wateuwa hawa wakuu wa mikoa na wilaya wanapsswa kijitathmini sana, hivi kwa jins mkuu wa mkoa alivyo anza kuongea kwa jazba na kwa mkwara utafikiri ni kweli jamaa hana haki, kumbe ni kujihami,, waweke watu sahihi jamani kwenye hizi nafasi za uamuzi
People fighting for the land. Land is listening to them whilst takes all the weight of human being when they walk and stand on it. BUT, when Land hit back and swallow human being, everyone is crying and forgot what they have done to the land before.
Muheshimiwa Makonda! Nakufurahia sana! Bado namuomba Mungu akulinde na macho ya husda
Naposikia haya namkumbuka hayati magufuli aliko mungu amuraze pema makonda big up sana magufuli wa pili anakuja
anakuja arakini😭😭😭 arakini uhhhmmmmmm😭😭😭😭😭
Makonda mungu akuweke sana mimi nakuahidi mungu atakusimamia na endelea ktk hilo
Fanya kazi baba makonda uko Safi unaweza ukawa kiongozi bora sana brother
Mama Asante sana, Mungu akupe umri mrefu Kwa kumrejesha Makonda. Msamehe na kumkumbuka Tena katika ufalme wako, ALI HAPI na SABAYA. 🙏🙏
Makonda you reminded me Magufuli good job ❤❤❤❤
He fight for the next election 2025, haya maisha bhana Mimi nimechill tu
@@selemanimchana3598Akichaguliwa na akafanya hivi ndipo tutajua kwamba ni mzuri ama mbaya
😂😂😂😂😂😂😂
Hamna mkuu wa mkoa hapo huyo mama yupo upande wa wawekezaji si aseme tu na Hana mpango wa kusaidia wananch
Mh. Makonda ni chuma cha pua....he is a man of the peple
Mr makonda Alla akupe umuri uendelee hivohibo kuwasaidia wananchi ❤
Ama kweli makonda nimekukubali upo vizuri kaka piga kazi
Bado Kuna Mt anaitwa ALLY HAPPY apewe nafasi mchapa Kaz kweli naye, wakiunganishwa na huyu mwamba itakuwa
kwel kabisa yaani ni watu ninaowatamani jumlisha sabaya nchi ingekua mwake
Wow true
Yulee yupo busy na ukulima abaki tuuuh uko uko
Anhaa! Kaka umemsahau LENGAI OLE SABAYA! Na yeye arudi serikalini
Ally Hapi mwamba namkubali sana mrangi yule ni kichwa kwel kwel
Walipoona Magufuli amekufa amemdhulumu huyo Mkuu wa Mkoa
Mkuu wa mkoa hovyo kabisa. Anajifanya anahasira.
Maghufuli left a great legacy, he set the pace and I'm glad seeing this going on after his death. Initially I thought it was during the lifetime of president Maghufuli but seeing the poster of Mama Samia behind assured me that she's truly followed the footsteps of her predecessor. But please I wish Mama Samia too went round to directly listen to her people's problems like Maghufuli did. Thank you Tanzania and Tanzanians for your uzalendo and being true to your country. God bless Tanzania
Mm nazani makonda baada ya mama ufate wewe kuwa Raisi.
Eti muogope mungu yaan limekaa Limama linawatetea wawekezaji linaumiza wananchi wake sa sijui linawaongoza wawekezaji au wananchi
Si kapewa hela mbwa huyu mama
Ana mgao wake Kwa wawekezaji
Wewe mwanamke huna haya hata kuzungumza uongo humuogopi mungu.
Ni huzuni Sana Tanzania yangu 😢😢😢😢😢kila kona ni kilio dhuruma imetawala
Yn ni haibu nchi ya hamani tunajulikana dunia nzima lkn ndan ya mchi akuna hamani imejaa zuruma tupu
Mueshimiwa makonda Alha akulinde
Na Kila adui CCM oyeeee
ALI HAPI! ALI HAPI! ALI HAPI! Mama mkumbuke huyu kijana mzalendo na jasiri kama Makonda.
nimemmic sana ALI HAPI ,asant MAKONDA
Makonda oeeeeeee big up sana.
Kwa nini wanateuliwa watu hovyo namna hii nivigezo gani wanatumia kuteua watu wa hovyo, mkuu wa mkoa anadiriki kutishia wanainchi kweli
Ndio maana mm huwa huwa sipend hizi nafasi za kutwuliwa maa hawana hofu na wananchi wao huwa wanahofu na aliyewateuwa
Mkuu mkuu shikamoo uzidi kubarikiwa aseee kwanzia leo nimeamini mungu nimkubwa sana ivi ayayote unayaoteshwa mkuu????? Maana unaoji mpaka mtu anajikuta ametubu zambi bilakujuwa aseee
Huyo mama mmmmhhh
Kusema kweli watendaji wa serikali huwa hawana msaada kwa wananchi😢
Tena wanadharau ukiwa maskin wanahis huna haki hat yakuishi ni majinga sana.
Jamani mungu amoaze mgufuri rushwa ilikomeshwa makonda tunakuomba uje morogor jamani uwi!
tunataka viongozi kama mh makonda. mama kamaitawapendeza mpeni kitengo Ally Happy nae ni mzuri kwenye kazi
Da ila hii nchi ni ngumu watu wanaonewa wanadhulumiwa hatari
Nawapata vizuri nikiwa dar. Tanzania
Mungu akuinue sana mtumishi makonda kwa kuwajali wananchi kama alivyofanya John pombe magufuri ubarikiwe sana
Makonda kaka ukovizuri mungu tuuu akuride honja zingine mariza hapo hapo tuone mfano
Tungepata watumishi japo 10 kama mh.p makonda kwenye taifa letu tungeishi kama wafalume Mungu akulinde sana maana hhhh
Nakufuatilia sana Comrade Makonda najifunza mengi
Da mama Mkuu wa mkao huyo, hajui mkono wake wa kulia wala wa kushoto.🙆😂🤷♂️
Kwan sheria ai ruhusu wwe kua rais toka alivyo kufa JPM ckuwah kua na matumain 🎉
Wizala ya ardhi inashida sana yaani imejaa zurma sana nyambafu sana hawa
Yani huyo mama anaongea kama vile anachambana na wanawake wenzake kwenye vikoba
Huwezi miliki leseni bila kulipa watu fidia za maeneo husika
Tanzania yangu shikamooooooo
Hii nchi watu wanaonewa wengi asa Kwan viongoz wengine wanalala tu
Huyo mkuu wa mkoa anaonekani ni m'babe sana, atakua mkorofi sana, anaweza kumpiga makofi huyo jamaa, baada ya mwenezi kutoka hapo.
hawa ndoo waaribifu ktk nchi hii hawajuo chochote kile
Angefukuzwa kaz akajifunze upendo na nidhamu
Hawa awajawakiliwa na jua la maisha
@@MonaAlmona-c1nafukuzwe na nani
😂😂😂😂😂😂kwamba mwenezi akitoka jamaa anakipigo😂😂😂😂imebidi nicheke
Kwani shinyanga si kuna uchawi wanasubili nini kuroga hawa watu kuanzia muwekezaji, mkuu wa mkoa na afsa/kamishna wa ardhi
Nimepda hiii
Hahahahahaha😅😅😅
Mefari tayari huyo mwwkezaji
😂😂😂
I wish for this man to be the next Tz president
Me too
Waandishi na wanahabar peleken hisia zetu kwa mama Samia kwamba Tunampenda sana Makonda tena apewe ulinzi mkal
Hawa viongozi wanateuliwa kwa vigezo gani Yani mkuu wa mkoa mzima anakuja na hoja hazieleweki hii nchi ngumu Sana
Mimi kanishangaza. Huyo hawezi kuwa mtetezi wa wanyonge
watu wa bara kwa uongozi wapo vzr❤
Ni majembe
Hawa watendaji mda mwingine huwa wanaichonganisha serikali na wananchi
This man Makonda seem to be a good person,he speak well ,he communicate with common mwananchi with a lot of humility,To my opinion he has great future,but on the other hand am wondering how come there's rumours that he was involved on assassination attempt of Tundu Lisu.?
I miss you daddy magufuli but nimefarijika kumona mwanao makonda amefuata nyayo zako😢
Wewe ni kiongozi mzuri usiogope jitie moyo mkuu na mungu atakuwezesha❤
Huyo mkuu anatumia jaziba hata mbele yako makonda je akuwa nawanyonge tu si kesi
Uyu mama na miwani yake kama fundi maget ameanza kwa mbwembwe za umuogopi Mungu utadhan yeye anamuogopa muone gaun lake kama mwanafunz wa chekechea
Sikutemea kucheka usiku huu wa manane 😂😂😂😂
😂😂 na hilo tumbo Lake sasa
😂😂😂😂niacheee
@emmanuelmayunga1518 usimseme vibaya Kwa uumbwaji, maana hakuomba, Bali mseme Kwa mabaya aliyonayo kutoka moyoni mwake.
Huyu mama hamna kitu!
Makonda baada ya mitano tena ya mama. Aki Mungu iposiku utaiyongoza ii nchi japo silaisi kazaa
mitano ya nini tena tumpe makonda tu
Ilo limama linafika lishakula pesa limalaya likubwa ilo sura kama bundi
Mi ningependa inch iongozwe na Wasukuma 😂😂
Wasukuma wako vizuri
asaante makonda
Wasukuma wengi roho safi
Haswaaaa😅😅
Yaani Nawapenda sana Wasukuma hawapend ubabaifu
Roho ya magufuli bado inaendelea kuishi still😢😢
Nimemis mikutano ya makonda jaman dah!! Sijui yuko wap kwa sasa jaman 😢😢
ki ukweli nakiona kile kilichomfanya Mzee Magufulina hata sasa Mama Samia kukuteua Jamani Weye unaweza Mungu akuweke kiongozi wetu maaana sio kwa busara hizo ulizonazo
Dunia simama nishuke wanawake muogopeni mungu nyie
Nakupenda sana baba Mungu akutunze na akukinge na kila jambo baya
Kunayo muda viongozi wanao wateuwa hawa wakuu wa mikoa na wilaya wanapsswa kijitathmini sana, hivi kwa jins mkuu wa mkoa alivyo anza kuongea kwa jazba na kwa mkwara utafikiri ni kweli jamaa hana haki, kumbe ni kujihami,, waweke watu sahihi jamani kwenye hizi nafasi za uamuzi
Mungu akulinde makonda upo sahihi kibisa 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ofisi za Umma zimejaa wala Rushwa na matapeli
Kuweka matumbo hofisini tu na kutumbua tu pesa ndowanaotia serekalihasarana wananchi
Mungu akubariki sana jembe makonda na jembe la ilinga mungu awalinde
Yani mwekezaji na hekari mia sita zote 600 na wananchi wanangaika😂😂
Chama cha mapinduzi tunaomba huu utatuzi anaufanya makonda uendelee maana tatizo kati ta w
Huyo Mama Muongo Hasemi Ukweli! Mweke Sawa
Mimi ni mkenya Rakini makonde achopanya ana mwenzake mungu akulinde na akupatie maisha marefu
Baba pambana tupo pamoja mungu atakusimamia Mimi msukuma mweupe nuu tabu turio pamoja
Mungu akulinde miaka za milele ,
MAKONDA ANAFAA KUA WAZIRI MKUU
Umenikubusha hayati Magufuli
Acha tu ndugu YANGU ❤ magufuri
We mama mungu anakuona kuwa makini utapigwa pigo kubwa sana
Mie karatasi ya serikali sishiki wala sisomi sasa,mkuu wa wilaya ndio ataisoma😅
😂😂😂😂s
@@neema-ee6qm hatari
Acha uwongo mama karatas kazipata wapi
Mnapokeza uongo tu watu mlioaminiwa na serika na wananchi
Huku ndiko kurudishiwa vilivyoliwa na madumadu na tunutu na parare Bwana Yesu asifiwe Katibu mwenezi,, Mungu akulinde
Amina
Hawa wa serikali ni wezi Sana,viva makonda,
makondo yawezekana wew u mmoja wa yesu kristo mnazareti mungu akulinde siku zote
Dhuruma sio nzuri tuogope allah tutaulizwa siku ya mwisho
Muwekezaji anamikikishwaje eneo la mtu bila fidia kwa mwenye eneo?
Jaman viongoz wa ccm mbn mna matatizo namnaiharibu ccm iv wachawi nyinyi bora makonda umeanza kazi yamungu
Daah hii nnch inamajanga Sana kwakwel sijui tutafanya nn kila siku majanga viongoz wetu changamoto
Huyu bwana kamuita raisi samiya wala siyo mama samia kimu mkazi atasaidiwa kweli
😂😂😂😂
😂😂😂
Duuu jamani hawa vingozi wengine hawa sijui wabebwaje hawa yaani viongizi wanakua hawajielewi kweli
dhuluma zime jaa sana hii nchi
People fighting for the land. Land is listening to them whilst takes all the weight of human being when they walk and stand on it. BUT, when Land hit back and swallow human being, everyone is crying and forgot what they have done to the land before.
Mheshimiwa makonda tusaidie mloganzira kibamba tusaidie tusaidie tusaidie
🙏👊👊
Deeply fact user🎉
Daah ... Allah lhe abençoe homem, você é credível 🙏 x Off Maguful X Moçambique uanguikuigueuenii nyie tungui endelea sana lâkini Moz pabovu🇲🇿
Makonda bona kama unataka nikupe kula nyingi naomba ugombe chochotee
Huyu mwamba akigombea kiti cha urais Asubuh na mapema yaani anashinda na hana mpinzani kabisa
Jamani Paul Makonda anafaa kuchukua kiti cha Urais 🇹🇿 Tanzania
Hao wakuu wa wilaya na wakuu wa mikoa toa hawafai kabisa
Mrisi wa magu
Makondaaa ni magufili wa pili 😢😢😢 mama azid kukuinua babaaaa
😢Mh makonda Mungu akutanulie kwa Kaz unayoifanya nakuonea huruma lshaallh tunakuombea
Makonda we ni mtuu na nusu💪💪Mungu ibaliki 🇹🇿🇹🇿
Huy makonda alla ambariki maishyakeyaduniani hadi kesh akher
Mwenezi ruhusu waoneshe karatasi zao ndomuse serekali sikuzi inatoa mihuri feki?
Nakupenda mh makonda mpka nakuota
Daaah yani jamaa wanatatua mgogoro bila kufika field aiseee hii ajabu sana
Mhe. Makonda Mungu akubariki sana kutujali maskini .halafu anasema angalia mbele kwa wananchi sio kwangu.
Asanteeeeee Makonda