ALIYEPEWA SHAMBA NA MAGUFULI ADAI KUDHULUMIWA NA MKOA, MKUU WA MKOA AWAKA "ACHAKUMDANGANYA MWENEZI"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 504

  • @leonardkinanda3284
    @leonardkinanda3284 8 місяців тому +55

    Muheshimiwa Makonda! Nakufurahia sana! Bado namuomba Mungu akulinde na macho ya husda

  • @daudbulba9153
    @daudbulba9153 8 місяців тому +68

    Naposikia haya namkumbuka hayati magufuli aliko mungu amuraze pema makonda big up sana magufuli wa pili anakuja

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya 4 місяці тому

      anakuja arakini😭😭😭 arakini uhhhmmmmmm😭😭😭😭😭

  • @killingmleke1810
    @killingmleke1810 8 місяців тому +32

    Makonda mungu akuweke sana mimi nakuahidi mungu atakusimamia na endelea ktk hilo

  • @MarwaRange-m2e
    @MarwaRange-m2e 8 місяців тому +15

    Fanya kazi baba makonda uko Safi unaweza ukawa kiongozi bora sana brother

  • @ashangonyani7989
    @ashangonyani7989 8 місяців тому +8

    Mama Asante sana, Mungu akupe umri mrefu Kwa kumrejesha Makonda. Msamehe na kumkumbuka Tena katika ufalme wako, ALI HAPI na SABAYA. 🙏🙏

  • @mrsab303
    @mrsab303 8 місяців тому +33

    Makonda you reminded me Magufuli good job ❤❤❤❤

    • @selemanimchana3598
      @selemanimchana3598 7 місяців тому

      He fight for the next election 2025, haya maisha bhana Mimi nimechill tu

    • @lilianeerica3318
      @lilianeerica3318 7 місяців тому +1

      ​@@selemanimchana3598Akichaguliwa na akafanya hivi ndipo tutajua kwamba ni mzuri ama mbaya

    • @FatumaShaban-g7g
      @FatumaShaban-g7g 2 місяці тому

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @nurumwenkale7278
    @nurumwenkale7278 8 місяців тому +23

    Hamna mkuu wa mkoa hapo huyo mama yupo upande wa wawekezaji si aseme tu na Hana mpango wa kusaidia wananch

  • @elinipendokarisha9570
    @elinipendokarisha9570 8 місяців тому +23

    Mh. Makonda ni chuma cha pua....he is a man of the peple

  • @mms9158
    @mms9158 7 місяців тому +4

    Mr makonda Alla akupe umuri uendelee hivohibo kuwasaidia wananchi ❤

  • @AlphonceJumanne
    @AlphonceJumanne 8 місяців тому +15

    Ama kweli makonda nimekukubali upo vizuri kaka piga kazi

  • @asajileraphael1951
    @asajileraphael1951 8 місяців тому +53

    Bado Kuna Mt anaitwa ALLY HAPPY apewe nafasi mchapa Kaz kweli naye, wakiunganishwa na huyu mwamba itakuwa

    • @josephineokama2200
      @josephineokama2200 8 місяців тому +3

      kwel kabisa yaani ni watu ninaowatamani jumlisha sabaya nchi ingekua mwake

    • @hopehealthcs3294
      @hopehealthcs3294 8 місяців тому +2

      Wow true

    • @aishaabrahaman9957
      @aishaabrahaman9957 8 місяців тому

      Yulee yupo busy na ukulima abaki tuuuh uko uko

    • @MgangaDaud
      @MgangaDaud 8 місяців тому +3

      Anhaa! Kaka umemsahau LENGAI OLE SABAYA! Na yeye arudi serikalini

    • @abdulmelele7322
      @abdulmelele7322 7 місяців тому +2

      Ally Hapi mwamba namkubali sana mrangi yule ni kichwa kwel kwel

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 8 місяців тому +19

    Walipoona Magufuli amekufa amemdhulumu huyo Mkuu wa Mkoa

    • @Obasaniyo
      @Obasaniyo 8 місяців тому +1

      Mkuu wa mkoa hovyo kabisa. Anajifanya anahasira.

  • @Ihsankeizer
    @Ihsankeizer 7 місяців тому +3

    Maghufuli left a great legacy, he set the pace and I'm glad seeing this going on after his death. Initially I thought it was during the lifetime of president Maghufuli but seeing the poster of Mama Samia behind assured me that she's truly followed the footsteps of her predecessor. But please I wish Mama Samia too went round to directly listen to her people's problems like Maghufuli did. Thank you Tanzania and Tanzanians for your uzalendo and being true to your country. God bless Tanzania

  • @alexandersangi1724
    @alexandersangi1724 8 місяців тому +15

    Mm nazani makonda baada ya mama ufate wewe kuwa Raisi.

  • @emmanuelkyandochali990
    @emmanuelkyandochali990 8 місяців тому +18

    Eti muogope mungu yaan limekaa Limama linawatetea wawekezaji linaumiza wananchi wake sa sijui linawaongoza wawekezaji au wananchi

  • @AliFakiMati-m7n
    @AliFakiMati-m7n 8 місяців тому +7

    Wewe mwanamke huna haya hata kuzungumza uongo humuogopi mungu.

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 8 місяців тому +10

    Ni huzuni Sana Tanzania yangu 😢😢😢😢😢kila kona ni kilio dhuruma imetawala

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 8 місяців тому

      Yn ni haibu nchi ya hamani tunajulikana dunia nzima lkn ndan ya mchi akuna hamani imejaa zuruma tupu

  • @AbdulmalikFedrick-ct7nb
    @AbdulmalikFedrick-ct7nb 8 місяців тому +10

    Mueshimiwa makonda Alha akulinde
    Na Kila adui CCM oyeeee

  • @ashangonyani7989
    @ashangonyani7989 8 місяців тому +8

    ALI HAPI! ALI HAPI! ALI HAPI! Mama mkumbuke huyu kijana mzalendo na jasiri kama Makonda.

    • @denisyohana8104
      @denisyohana8104 8 місяців тому

      nimemmic sana ALI HAPI ,asant MAKONDA

  • @Muuzambuzi
    @Muuzambuzi 8 місяців тому +6

    Makonda oeeeeeee big up sana.

  • @grayjordan3900
    @grayjordan3900 8 місяців тому +15

    Kwa nini wanateuliwa watu hovyo namna hii nivigezo gani wanatumia kuteua watu wa hovyo, mkuu wa mkoa anadiriki kutishia wanainchi kweli

    • @boniphacewambura1427
      @boniphacewambura1427 8 місяців тому +2

      Ndio maana mm huwa huwa sipend hizi nafasi za kutwuliwa maa hawana hofu na wananchi wao huwa wanahofu na aliyewateuwa

  • @MaliusMaliuskagumisa
    @MaliusMaliuskagumisa 8 місяців тому +8

    Mkuu mkuu shikamoo uzidi kubarikiwa aseee kwanzia leo nimeamini mungu nimkubwa sana ivi ayayote unayaoteshwa mkuu????? Maana unaoji mpaka mtu anajikuta ametubu zambi bilakujuwa aseee

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 8 місяців тому +10

    Huyo mama mmmmhhh

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 8 місяців тому +8

    Kusema kweli watendaji wa serikali huwa hawana msaada kwa wananchi😢

    • @FatumaMohamedi-t6t
      @FatumaMohamedi-t6t 8 місяців тому +1

      Tena wanadharau ukiwa maskin wanahis huna haki hat yakuishi ni majinga sana.

    • @FredrickOlotu-u8n
      @FredrickOlotu-u8n 2 місяці тому

      Jamani mungu amoaze mgufuri rushwa ilikomeshwa makonda tunakuomba uje morogor jamani uwi!

  • @HamadiMgaluka-ld7hv
    @HamadiMgaluka-ld7hv 8 місяців тому +5

    tunataka viongozi kama mh makonda. mama kamaitawapendeza mpeni kitengo Ally Happy nae ni mzuri kwenye kazi

  • @rosesilio9008
    @rosesilio9008 3 місяці тому +2

    Da ila hii nchi ni ngumu watu wanaonewa wanadhulumiwa hatari

  • @BahatiMohammed-s8f
    @BahatiMohammed-s8f 8 місяців тому +10

    Nawapata vizuri nikiwa dar. Tanzania

  • @Pendobalase-yk4go
    @Pendobalase-yk4go 11 днів тому

    Mungu akuinue sana mtumishi makonda kwa kuwajali wananchi kama alivyofanya John pombe magufuri ubarikiwe sana

  • @lucaschipanga4466
    @lucaschipanga4466 8 місяців тому +6

    Makonda kaka ukovizuri mungu tuuu akuride honja zingine mariza hapo hapo tuone mfano

  • @costantinochibago9768
    @costantinochibago9768 8 місяців тому +14

    Tungepata watumishi japo 10 kama mh.p makonda kwenye taifa letu tungeishi kama wafalume Mungu akulinde sana maana hhhh

  • @jacobmwashambwa4893
    @jacobmwashambwa4893 8 місяців тому +15

    Nakufuatilia sana Comrade Makonda najifunza mengi

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 8 місяців тому +7

    Da mama Mkuu wa mkao huyo, hajui mkono wake wa kulia wala wa kushoto.🙆😂🤷‍♂️

  • @salimalaquimane3077
    @salimalaquimane3077 8 місяців тому +19

    Kwan sheria ai ruhusu wwe kua rais toka alivyo kufa JPM ckuwah kua na matumain 🎉

  • @johnbernad3990
    @johnbernad3990 8 місяців тому +9

    Wizala ya ardhi inashida sana yaani imejaa zurma sana nyambafu sana hawa

  • @EmmanuelMwanza-ef9bf
    @EmmanuelMwanza-ef9bf 8 місяців тому +4

    Yani huyo mama anaongea kama vile anachambana na wanawake wenzake kwenye vikoba

  • @daudisaimon7466
    @daudisaimon7466 8 місяців тому +7

    Huwezi miliki leseni bila kulipa watu fidia za maeneo husika

  • @isaacmambwe6547
    @isaacmambwe6547 8 місяців тому +9

    Tanzania yangu shikamooooooo

  • @ErickMbuma
    @ErickMbuma 8 місяців тому +8

    Hii nchi watu wanaonewa wengi asa Kwan viongoz wengine wanalala tu

  • @martinisadru9899
    @martinisadru9899 8 місяців тому +10

    Huyo mkuu wa mkoa anaonekani ni m'babe sana, atakua mkorofi sana, anaweza kumpiga makofi huyo jamaa, baada ya mwenezi kutoka hapo.

    • @mot.tvmsamvu6770
      @mot.tvmsamvu6770 8 місяців тому +3

      hawa ndoo waaribifu ktk nchi hii hawajuo chochote kile

    • @MonaAlmona-c1n
      @MonaAlmona-c1n 8 місяців тому +1

      Angefukuzwa kaz akajifunze upendo na nidhamu
      Hawa awajawakiliwa na jua la maisha

    • @jackiefredrick586
      @jackiefredrick586 8 місяців тому

      ​@@MonaAlmona-c1nafukuzwe na nani

    • @maryamChumas
      @maryamChumas 3 місяці тому

      😂😂😂😂😂😂kwamba mwenezi akitoka jamaa anakipigo😂😂😂😂imebidi nicheke

  • @MtegekiKaijage
    @MtegekiKaijage 8 місяців тому +9

    Kwani shinyanga si kuna uchawi wanasubili nini kuroga hawa watu kuanzia muwekezaji, mkuu wa mkoa na afsa/kamishna wa ardhi

  • @juliusmogaka2735
    @juliusmogaka2735 8 місяців тому +13

    I wish for this man to be the next Tz president

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 8 місяців тому +3

    Waandishi na wanahabar peleken hisia zetu kwa mama Samia kwamba Tunampenda sana Makonda tena apewe ulinzi mkal

  • @SAIDSAID-zb8xr
    @SAIDSAID-zb8xr 8 місяців тому +7

    Hawa viongozi wanateuliwa kwa vigezo gani Yani mkuu wa mkoa mzima anakuja na hoja hazieleweki hii nchi ngumu Sana

    • @Obasaniyo
      @Obasaniyo 8 місяців тому +1

      Mimi kanishangaza. Huyo hawezi kuwa mtetezi wa wanyonge

  • @mihayokakwimba9524
    @mihayokakwimba9524 8 місяців тому +6

    watu wa bara kwa uongozi wapo vzr❤

  • @issaabdallah7660
    @issaabdallah7660 8 місяців тому +11

    Hawa watendaji mda mwingine huwa wanaichonganisha serikali na wananchi

  • @adieldennis1316
    @adieldennis1316 7 місяців тому +3

    This man Makonda seem to be a good person,he speak well ,he communicate with common mwananchi with a lot of humility,To my opinion he has great future,but on the other hand am wondering how come there's rumours that he was involved on assassination attempt of Tundu Lisu.?

  • @nadiatanzania
    @nadiatanzania 4 місяці тому +1

    I miss you daddy magufuli but nimefarijika kumona mwanao makonda amefuata nyayo zako😢

  • @ErickPazia
    @ErickPazia 3 місяці тому

    Wewe ni kiongozi mzuri usiogope jitie moyo mkuu na mungu atakuwezesha❤

  • @basumegheMbotwa
    @basumegheMbotwa 8 місяців тому +5

    Huyo mkuu anatumia jaziba hata mbele yako makonda je akuwa nawanyonge tu si kesi

  • @banguha
    @banguha 8 місяців тому +52

    Uyu mama na miwani yake kama fundi maget ameanza kwa mbwembwe za umuogopi Mungu utadhan yeye anamuogopa muone gaun lake kama mwanafunz wa chekechea

    • @johnbernad3990
      @johnbernad3990 8 місяців тому +10

      Sikutemea kucheka usiku huu wa manane 😂😂😂😂

    • @emmanuelmayunga1518
      @emmanuelmayunga1518 8 місяців тому +3

      😂😂 na hilo tumbo Lake sasa

    • @fatumamilimo7336
      @fatumamilimo7336 8 місяців тому +2

      😂😂😂😂niacheee

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 8 місяців тому +1

      @emmanuelmayunga1518 usimseme vibaya Kwa uumbwaji, maana hakuomba, Bali mseme Kwa mabaya aliyonayo kutoka moyoni mwake.

    • @seifkulwa3346
      @seifkulwa3346 8 місяців тому +3

      Huyu mama hamna kitu!

  • @mrrockboy9508
    @mrrockboy9508 8 місяців тому +4

    Makonda baada ya mitano tena ya mama. Aki Mungu iposiku utaiyongoza ii nchi japo silaisi kazaa

  • @MariamWiliam-z8k
    @MariamWiliam-z8k 8 місяців тому +5

    Ilo limama linafika lishakula pesa limalaya likubwa ilo sura kama bundi

  • @juchaonline4084
    @juchaonline4084 8 місяців тому +19

    Mi ningependa inch iongozwe na Wasukuma 😂😂

  • @vincentauxerbius7554
    @vincentauxerbius7554 2 місяці тому +1

    Roho ya magufuli bado inaendelea kuishi still😢😢

  • @snurathalokobogo
    @snurathalokobogo Місяць тому +1

    Nimemis mikutano ya makonda jaman dah!! Sijui yuko wap kwa sasa jaman 😢😢

  • @hamishassan6784
    @hamishassan6784 8 місяців тому +4

    ki ukweli nakiona kile kilichomfanya Mzee Magufulina hata sasa Mama Samia kukuteua Jamani Weye unaweza Mungu akuweke kiongozi wetu maaana sio kwa busara hizo ulizonazo

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 8 місяців тому +12

    Dunia simama nishuke wanawake muogopeni mungu nyie

  • @ROSEENOCK-l3j
    @ROSEENOCK-l3j 2 місяці тому

    Nakupenda sana baba Mungu akutunze na akukinge na kila jambo baya

  • @emanuelgella8201
    @emanuelgella8201 8 місяців тому +8

    Kunayo muda viongozi wanao wateuwa hawa wakuu wa mikoa na wilaya wanapsswa kijitathmini sana, hivi kwa jins mkuu wa mkoa alivyo anza kuongea kwa jazba na kwa mkwara utafikiri ni kweli jamaa hana haki, kumbe ni kujihami,, waweke watu sahihi jamani kwenye hizi nafasi za uamuzi

  • @EmanuelMusa-qp5je
    @EmanuelMusa-qp5je 3 місяці тому

    Mungu akulinde makonda upo sahihi kibisa 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @evaristmbuya6220
    @evaristmbuya6220 8 місяців тому +5

    Ofisi za Umma zimejaa wala Rushwa na matapeli

  • @MfiriFulgensi
    @MfiriFulgensi 8 місяців тому +3

    Kuweka matumbo hofisini tu na kutumbua tu pesa ndowanaotia serekalihasarana wananchi

  • @EliasMalendeja
    @EliasMalendeja 3 місяці тому

    Mungu akubariki sana jembe makonda na jembe la ilinga mungu awalinde

  • @doricecyprian7246
    @doricecyprian7246 8 місяців тому +3

    Yani mwekezaji na hekari mia sita zote 600 na wananchi wanangaika😂😂

  • @MfiriFulgensi
    @MfiriFulgensi 8 місяців тому +3

    Chama cha mapinduzi tunaomba huu utatuzi anaufanya makonda uendelee maana tatizo kati ta w

  • @SayyidAhmadBaalawy
    @SayyidAhmadBaalawy 7 місяців тому +1

    Huyo Mama Muongo Hasemi Ukweli! Mweke Sawa

  • @esthermwikali5403
    @esthermwikali5403 4 місяці тому

    Mimi ni mkenya Rakini makonde achopanya ana mwenzake mungu akulinde na akupatie maisha marefu

  • @AbdulJuma-i7e
    @AbdulJuma-i7e 3 місяці тому

    Baba pambana tupo pamoja mungu atakusimamia Mimi msukuma mweupe nuu tabu turio pamoja

  • @WillySikorei
    @WillySikorei 4 місяці тому

    Mungu akulinde miaka za milele ,

  • @SaidHassan-wz1px
    @SaidHassan-wz1px 8 місяців тому +5

    MAKONDA ANAFAA KUA WAZIRI MKUU

  • @BahatiMohammed-s8f
    @BahatiMohammed-s8f 8 місяців тому +2

    Umenikubusha hayati Magufuli

    • @Zengeni-gz8fe
      @Zengeni-gz8fe 4 місяці тому

      Acha tu ndugu YANGU ❤ magufuri

  • @WinfridaMdemu
    @WinfridaMdemu 4 місяці тому

    We mama mungu anakuona kuwa makini utapigwa pigo kubwa sana

  • @giftmusa6543
    @giftmusa6543 8 місяців тому +5

    Mie karatasi ya serikali sishiki wala sisomi sasa,mkuu wa wilaya ndio ataisoma😅

  • @MfiriFulgensi
    @MfiriFulgensi 8 місяців тому +4

    Acha uwongo mama karatas kazipata wapi

  • @MfiriFulgensi
    @MfiriFulgensi 8 місяців тому +3

    Mnapokeza uongo tu watu mlioaminiwa na serika na wananchi

  • @raymondkaria1451
    @raymondkaria1451 3 місяці тому

    Huku ndiko kurudishiwa vilivyoliwa na madumadu na tunutu na parare Bwana Yesu asifiwe Katibu mwenezi,, Mungu akulinde

  • @HaulSidney
    @HaulSidney 8 місяців тому +1

    Hawa wa serikali ni wezi Sana,viva makonda,

  • @TeddyKimario-m4f
    @TeddyKimario-m4f 6 місяців тому

    makondo yawezekana wew u mmoja wa yesu kristo mnazareti mungu akulinde siku zote

  • @madinajamada9180
    @madinajamada9180 7 місяців тому

    Dhuruma sio nzuri tuogope allah tutaulizwa siku ya mwisho

  • @jamesmgimba7403
    @jamesmgimba7403 8 місяців тому +3

    Muwekezaji anamikikishwaje eneo la mtu bila fidia kwa mwenye eneo?

  • @MariamWiliam-z8k
    @MariamWiliam-z8k 8 місяців тому +3

    Jaman viongoz wa ccm mbn mna matatizo namnaiharibu ccm iv wachawi nyinyi bora makonda umeanza kazi yamungu

  • @bwagizoselemani8434
    @bwagizoselemani8434 8 місяців тому

    Daah hii nnch inamajanga Sana kwakwel sijui tutafanya nn kila siku majanga viongoz wetu changamoto

  • @Gamba81
    @Gamba81 8 місяців тому +7

    Huyu bwana kamuita raisi samiya wala siyo mama samia kimu mkazi atasaidiwa kweli

  • @HADSONPAUL
    @HADSONPAUL 8 місяців тому +1

    Duuu jamani hawa vingozi wengine hawa sijui wabebwaje hawa yaani viongizi wanakua hawajielewi kweli

  • @billgussy6099
    @billgussy6099 8 місяців тому +3

    dhuluma zime jaa sana hii nchi

  • @ماجكموزجوني
    @ماجكموزجوني 8 місяців тому +14

    People fighting for the land. Land is listening to them whilst takes all the weight of human being when they walk and stand on it. BUT, when Land hit back and swallow human being, everyone is crying and forgot what they have done to the land before.

  • @AbubacarAbdulAbdul
    @AbubacarAbdulAbdul 8 місяців тому

    Daah ... Allah lhe abençoe homem, você é credível 🙏 x Off Maguful X Moçambique uanguikuigueuenii nyie tungui endelea sana lâkini Moz pabovu🇲🇿

  • @AmosJuma-wp2pe
    @AmosJuma-wp2pe 8 місяців тому +2

    Makonda bona kama unataka nikupe kula nyingi naomba ugombe chochotee

    • @JophasJohn-oh8zu
      @JophasJohn-oh8zu 8 місяців тому

      Huyu mwamba akigombea kiti cha urais Asubuh na mapema yaani anashinda na hana mpinzani kabisa

  • @LumanijaMatiga-j6h
    @LumanijaMatiga-j6h Місяць тому

    Jamani Paul Makonda anafaa kuchukua kiti cha Urais 🇹🇿 Tanzania

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 8 місяців тому +5

    Hao wakuu wa wilaya na wakuu wa mikoa toa hawafai kabisa

  • @AzhadSaid-j1t
    @AzhadSaid-j1t 4 місяці тому +1

    Mrisi wa magu

  • @gabrielbagonambona
    @gabrielbagonambona 4 місяці тому

    Makondaaa ni magufili wa pili 😢😢😢 mama azid kukuinua babaaaa

  • @mariamalhashmi-zj7hp
    @mariamalhashmi-zj7hp 7 місяців тому

    😢Mh makonda Mungu akutanulie kwa Kaz unayoifanya nakuonea huruma lshaallh tunakuombea

  • @deusisindwa616
    @deusisindwa616 8 місяців тому

    Makonda we ni mtuu na nusu💪💪Mungu ibaliki 🇹🇿🇹🇿

  • @AnzurunIbrahim
    @AnzurunIbrahim Місяць тому

    Huy makonda alla ambariki maishyakeyaduniani hadi kesh akher

  • @MfiriFulgensi
    @MfiriFulgensi 8 місяців тому +4

    Mwenezi ruhusu waoneshe karatasi zao ndomuse serekali sikuzi inatoa mihuri feki?

  • @AirfaAirfa-ic8sr
    @AirfaAirfa-ic8sr 3 місяці тому

    Nakupenda mh makonda mpka nakuota

  • @shijamakoye6544
    @shijamakoye6544 8 місяців тому +2

    Daaah yani jamaa wanatatua mgogoro bila kufika field aiseee hii ajabu sana

  • @kissakayuni767
    @kissakayuni767 8 місяців тому

    Mhe. Makonda Mungu akubariki sana kutujali maskini .halafu anasema angalia mbele kwa wananchi sio kwangu.

  • @elizalutiga6287
    @elizalutiga6287 8 місяців тому +1

    Asanteeeeee Makonda