TOP 16: MAMBO ALIYOFANYA MAGUFULI NDANI YA MIAKA MINNE
Вставка
- Опубліковано 2 лис 2019
- TOP 16: MAMBO ALIYOFANYA MAGUFULI NDANI YA MIAKA MINNE
Makala maalum iliyobeba mambo 16 aliyofanya Rais Magufuli, ndani ya miaka minne aliyokaa madarakani.
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
-------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY: ua-cam.com/users/playlist?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:ua-cam.com/users/playlist?list...
GLOBAL RADIO TV:ua-cam.com/users/playlist?list...
EXCLUSIVE INTERVIEW:ua-cam.com/users/playlist?li
Mheshimiwa rais Magufuli 👏🏻Kheri na tumbo lililokuzaa🙏🏻. Wewe ni binadamu adimu, Mungu anatupenda Tanzania, tunamshukuru kwa kutupatia mtu mwadilifu, chapa kazi, mzalendo, asiyechumia tumbo lake bali kuwanufaisha watanzania wote, Mungu aliyekuweka akupe afya njema, amani na maisha marefu.
Aaaamiiiin
Allahumma Rabbi
Katika watu wajinga na wapumbavu ni sisi Watanzania. Walipa kodi wa nchi hii ni Watanzania wote wakiwemo CCM, CHADEMA, ACT, CUF, CHAUMA, TLP, NCCR na wengine wengi. Wakusanya kodi wa nchi hii ni CCM na Magufuli. Hivyo kama walivyo Marais wengine waliopita wa chama cha CCM Magufuli ndie aliweza kuwa na matumizi mazuri sana ya kodi zetu japokuwa hayako wazi. Tatizo la Magufuli anafanya kazi kwa kutumia kodi za Watanzania lakini balaa alilo nalo ni kuwagawa Watanzania. Nchi imekuwa na watu wa Mwalimu Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Kinana, Nape, Membe na wengineo kwa masifa kuwa kabadili nchi. Kinachobadili nchi ya Tanzania sio Magufuli ni kodi zetu tunazolipa na fedha zingine kuporwa kwa nguvu na Serekali kwa visingizio vya Ufisadi. Kuna baadhi ya watu wamekuwa wakifanya kazi zao kwa jasho tokea uhuru na wakapata fedha na utajiri. Hawajawahi kufanya kazi Serekalini lakini kwa ujinga wetu tunawagawa Watanzania kwa kujua au kutokujua kwa visingizio eti huyu ni CCM na huyu ni CHADEMA matokeo yake hata maadui wamepata nafasi ya kushangilia wakiona tunavyonyanyasana. Ukiwaona viongozi wabovu kama Makonda, Polepole, Musiba wanabaki kuwasema wenzao kama vile sio Watanzania. Katika maisha yangu sijawahi kusikia hotuba za Wapinzani wakipiga vita kuwa na reli au Ndege. Watu huwa wanatoa ushauri na ukikataliwa haiwezi kuwa maadui wala haizuii kufanya kazi. Ikikamatwa Ndege wanasema CHADEMA au ACT wakijua kabisa Deni la Taifa ni Trlioni 52. Mimi nitaendelea kuwapiga vita watu wanaochonganisha viongozi huku wakijua kila Mtanzania ni mchangiaji. Huku kuigawa nchi wakati tukijua Katiba tulitunga yenye vyama vingi kutatuongezea maadui. Tanzania tunao uhuru lakini amani hatuna ila tuna utulivu tu kwa sababu watu wenye Elimu kama Polepole wanapotosha Watanzania. Sasa hivi nchi hii tunao maadui wengi sana baada ya sisi wenyewe kujikuta tunaishi kwa Makundi.
Sasa nikwambieni nyie Mazuzu katika Rais mjinga namba moja ni Magufuli anaeua wapiga kura wake. Akiua upinzani anawarudia nyie Shit. Hakuna nchi inaendelea bila upinzani. Kule Arusha nimeona amewapa watu vitambulisho vya kupanga vitu chini mpaka Watalii wameukimbia ule mji. Nani anakuja kutumia fedha zake kwenye nchi haiheshimu wageni. Kupita barabarani mpaka upishane na Nyanya, Baiskeli, Pikipiki, Magari, Mkokoteni, Bajaji nk. Tanzania inaongozwa na chama cha watu Washenzi tu hasa huyo Magufuli. Inategemea upate Mtalii VIP wakati nchi inaongozwa na watu washenzi.
@KUHANGA_ZENA UKIJITAMBUA TUTAKUELEWA LAKINI USIPOJITAMBUA KATIKA HOJA ZAKO USITEGEMEE KUNA MTU ATAKUELEWA HAPA NA POROJO ZAKO
Congo drc tungempata raisi kama Makufuli sijuwe inchi gani duniani ingeweza kujilingalisha nasisi ila ipo siku, Tanzania imebarikiwa kuwa na Makufuli mungu ibariki tz mungu ibariki afrc one day we will be the best of the world
Baba mbona hufiki mkoa wa tanga wilaya ya lushoto ukatumbua majipu
Yameiva Sana
Amen in Jesus might name
Kweli kwa hilo sisi wa congomani tunaitaji Rais kama magufuli na 🇨🇩 yetu inamatatizo mengi mno ila ipo siku tulio injee tusome hili twende kubadili kwetu naitwa Lutula Ismail Hashim Maruzuku kutoka 🇺🇸 hasa WaSwahili tujitazame na tujuwe kipi chakufanya kuusu kwetu ndugu yangu.
@@lutulalihim1585 njoon tuwape Tundu lissu atawasaidia sana maana wazungu wanamkubali
Kama Tunampenda MAGUFULI Like zenu hapa MAGUFULI OYEEEE
Hagela kwakazi nzuli baba
Magufuli oyeeeeeeeee!
Hongelasana mzzebaba
Asante Magufuliiooyee
Kijana
Shikamoo Rais wetu mtukufu ,Mungu akusimamie tuwe na wewe ukiwa madarakani miaka kumi ijayo watapotea kabisa wapinzani kama China.
Mimi kama mkenya ninawaomba kina ndungu na dada kule Tanzania mumpe JPM kura tena. Jpm yuko anafanya kazi nzuri sana. Pongezi na Hongera kwa JPM
True he's a man and a Leader of the people hongera JPM
Atapewa usihofu
Jeff Koinage....anamuuliza PLO Lumumba kuhusu jinsi anavyomfahamu Magufuli..."PLO you spent time in Tanzania and you have just mentioned Magufuli....is this man the real deal?.....PLO Lumumba anajibu..."Magufuli is the real deal, and I can assure you the spirit of Mwalimu Nyerere is well and alive in Magufuli and those who think this is just the momentum out of elections will be shocked, this is the gentleman who in the next ten years is going to provide moral and political leadership in the East African region, I am not a Jewish prophet nor related to one but watch the space''......hii kwa jina lingine inaitwa Magufulication of Afrika.......Wajihi wa Rais Magufuli si kwamba ni Rais wa Tanzania tu.....huyu ni nembo halisi ya MTOTO WA AFRIKA...yaani...MWANAAFRIKA HALISI.
Uwanja wa Ndege Heko Kwa Uongozi wa Awamu ya 5, Flyover na Daraja la Kigamboni Awamu ya 5, Mwendo Kasi Dar Awamu ya 5, Daraja la Kagera Awamu ya 5, Luganzila Hospital Awamo ya 5, Mihimbili Jakaya Kikwete 💓 Institute Awamu ya 5 nk. Kila Awamu ilifanya yake. Asara za ATCL hasara alizozisema Rai's Kikwete
Asante global kwa Habari yako umeichambua vizur ata ambae hana upeo mkubwa anaelewa vizur GOd bless you endelea kuweka vitu mezani
RAISWETU NI DECTATOR WA MAFISADIII. HURRRREEEYYYY KIPENZICHETU RAIS WETU JOHN POMBE MAGUFULI. TUNAKUPENDA SANA WATANZANIA.
Asante sana toka Ufaransa Magufuli ! We love good african presidents
The same love frome grenoble France 🇨🇵🇨🇵🇨🇵
Pamoja na changamoto unazokutana nazo nakuombea usichoke endelea kuifanya kazi ambayo MUNGU amekuteua kutenda na akujalie sawasawa na mawazo yako mema udumu MAGUFULI katika uongozi amen
Kama kawaida huyu mjomba asitoke kwenye u Rais na kama ataondoka madarakani atuachie Majaliwa...Kama mmenisoma gonga like Kama zote...
Kama zio majaliwa! Basi awe professor kabudi anastahili kabisa 😂
Kabudiiiiiii
Majaliwa
Rais magufuli kwangu ndio rais bora duniani kwasasa
Sawa
asante waandishi muwape habari Watanzania waelewe asante baba yetu mpendwa Magufuli na mama Samia, waziri wetu mkuu Kassim Majaliwa na viongozi wote wema na wachapa kazi asante Mungu
Asante mungu hakika Magufuli ni mkombozi wa Tanzania maana hachagui habagui yeye anachapa kazi tu mungu ibariki Tz, Mungu mbariki Raisi wetu mpendwa JPM amen......
Huyu ndiye rais wangu mpendwa msikilizeni yeye
Mungu akubariki , damu ya Yesu ikunenee mema Rais wetu
damu ya yesu ndiyo nini? au ys ndiyo nani?
@@barakatisalum8296 Mohammed ndio nani huyo mbakaji ana oa katoto kadogo😂
@@dennybrown7930 ebu acheni kutukanana kuhusu imani
@@barakatisalum8296 acheni kutukaniana imani zenu
@@abdulrazakgwotta5561 wanaleta usenge damu ya yesu ninini? mujitu mizima inangopewa
Anastahiki kubaki Raisi hadi kufa kwake.. Mungu azidi kumzidishia baraka zake dani ya maisha yake..
Na maombi yako yamekubaliwa amefariki akiwa raisi 😭😭
Muheshimiwa John pombe magufuli HAPA KAZI Tu hakika kazi umeifanya tunajivunia kuwa na kiongoz Bora kama kwel we ni mzalendo wa NCHI yako piga like ya kishindo
Lkn huyu rais kwakweli sina lakusema..mana nikisikia jina lake bac nanyamaza kwa zaid ya dakika moja..hiyo ni kwa kumheshimu mno. Nampenda sana. Tutakuombea daima. Na siku zote. Mungu akubariki sana mh rais.
Kama mimi
Hapa nikazi tu.😍😍😍.
Can't explain how much I love Tanzania though am not a Tanzanian Citizen. And I have never been in this Beautiful & great Country. 💖
Bonge la raisi
Eti wanasema magufuli Ni dictator, ,Ni dictator wa mafisadi na bado mtaisoma mamba 🇹🇿🙄. (👇 HAPA KAZI TU )
Tanzania haina amani ina utulivu tu. Magufuli amefukuza Wafanyakazi 15000 bila kuwalipa stahiki zao na kuajiri watu wa kumsifia na kumshangilia, Anaweka viongozi wa upinzani ndani na kuwadhalilisha, Anapiga watu Risasi na kuwaua wakiwemo waandishi wa habari. Amempiga TUNDU ANTIPASI LISU risasi hadi leo hajarudi nyumbani. Amefilisi Watanzania waliopata fedha zao kihalali ili anunue ndege na kuwasingizia ni Mafisadi. Analipa watu kuhama vyama. Anateka wafanya biashara ili wampe fedha. Amesababisha Matajiri wenye uwezo wa kutoa ajira wamekimbia nchi. Ameshindwa kufufua viwanda alivyovianzisha Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Kama mtu angekuwa anakufa na kufufuka Mwalimu angerudi amchape viboko. Hivi unajua ni Watanzania wangapi wameuwawa na Magufuli tokea ameingia madarakani. Alafu unamsifia. "JAMBO USILOLIJUA NI SAWA NA USIKU WA GIZA TUACHE FALA WEWE" Zungumzia mambo ya kwenu achana na Tanzania kabisa. Tumewawa sana, Tumefilisiwa sana, Tumedhalilishwa sana lakini nimwambie Magufuli malipo yote ni Duniani. MUNGU hapokeagi uchafu. Anaemsifia Magufuli ni juha tu hana Dini wala upendo na wenzake. Magufuli ni mtu wa kuonywa na viongozi wa Dini lakini wamenunulkiwa. Inakuwaje watu wanatekwa, Wanapigwa, wanadhalilishwa, wanaporwa mali zao wao wako kimya tu. "MUNGU ATAWAHUKUMU"
@@kuhangazena4316 unauhakika gani kuwa yeye ndio kampiga Tundu Lisu??
@@kuhangazena4316 hhhh umeongea negative tu mbona positive hauweki kanunua ndege eeeh ndio kanunua faida hazionekani kuna watu wangapi wameajiriwa kupitia hizo ndege yaani watu waibe waje wanyanganywe we we useme raisi ndio mwenye makosa. Umepata raisi ambaye anaweza mwambia mzungu hapana tunafanya hivi bado unataka unakaa na kupiga kelele kwavitu mnavyo danganyana uko we we kuwa proud na nchi yako imepata mkombozi acha kuwa na akili za upinzani.
@@kuhangazena4316 Mimi ndo maana nasemaga binadamu hawana shukrani yaaan wanaweka scandal za mitaan na maneno yawapinzani wanaotaka madaraka kumpinga rais na hii sio Tanzania tyuu nchi nyingi zina feli kwasababu yakufuata maneno ya wabaya kama Irani sa hizi tangia raisi aliyeleta maendeleo Irani kupingwa na wapinzani wanaotumiwa na wazungu kutumia propaganda kama hizi zinazosemwa Tanzania kamwe siku zote nchi haiwezi endelea endapo kiongozi anataka kuinua Tanzania kiuchumi be careful people not everybody wants Tanzania to succeed what president of Tanzania wants is to reduce corruption and serve the money to raise the country's economy na Mimi naefuatilia uchumi Wa viwanda Tanzania kwel magufuli ni amazing kwa mda mfupi magufuli kafufua viwanda vilivokufa vingi na kuzindua viwanda vingi sana ambapo hakuna rais Africa anaweza Fanya hivo tusubiri 2025 tuone miracle zake
KUHANGA ZENA nyinyi mna mzarau magufuli sisi wa congomani tunaitaji kupata rais kama magu watanzania mungu ana waona mtakuja kujuta msubiri
Mimi nimesoma nje kila MTU akiona mim mtanzania basis ni sifa kuu cjapata taabu kwa kupendwa na wenzangu sofa tele kwa watania wote kupitia yanayofanywa na raid wetu magufuri...nje tunaishi vizuri kupitia sofa zake...kiukweli niwe mkweli ili nione mbingu..magufuri mwenyezimungu akulipe pepo.amiiina
HATUTAK UCHAGUZ MWINGINE HUYU JAMAA ANATOSHA ,ASANTE MUNGU ushukuliwe
Kabisa
Ukweli he is enough
Na hakikataa a hala, lazimishwweee
Kweliii
Huyu ndiyo Raisi wa ukweli. Watakaokuja baada yake wasiturejeshe tulipotoka
Aturudishe tulipotoka tena ili iweje!???atakionaaa sasa hivi wengi tumeamkaa kiakilii ndugu
guenster chuzi yaani kwasasa Mtz alie baki mbumbu niwale nyumbu basi lakin nao wanajitoa ufaham tu mziki washauelewa
Hongera jembe kutoka chato 🛫🛬🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿👊
@@lamecktheonest225 alaf eti bado kuna mtu anabeza kazi hizi!!huenda ni mchumia tumbo lake
Baada ya JPM ni Majaliwa Kassimu Majaliwa
Mashallah... ALLAH akuogoze...baba
Apa Tanzania tumepata rais, naiona Tz mpya +
Kabisa
Uyu bwana aendelee tu Hana mpinzani
tuongepata viongozi wa aina hii Tanzania kwa miaka 20 Tungekuwa nchi Tajiri sana kwa uchumi wetu Be blessed our president .
Mwenyezi Mungu akubariki Raisi wetu na akupe afya na umri mrefu ili utuongoze kwa uadilifu, haki, wema, mafanikio, heri na baraka nyingi na umoja wetu sote. Amiin.
Mungu ametupendelea sana, kazi nzuri sana za mh.rais wetu.mh.John Joseph Pombe Magufuli..
Viva Magufuli ni kama ndoto vile,, ni muda mfupi sana ,,lkn kazi tunaiona ,hakika umejirahisishia kampeni 2020 , sioni wa kupambana na wewe ,,kwanza atakuja na swaga gani?? tunahitaji kuona mengi zaidi ,,nadhani kwako bado haya ni machache,tunakupa mitano tena ufanye more wonders,, Be blessed once again
Kongole our Super President JPM 🔥🔥🌋
Tanzania you have the Best President. God Bless JPM, God bless Tanzania.
Ulimi wangu na ugandamane na kaakaa LA kinywa Changu nisimpo Sema neno asante Mungu kwa kutupatia Magufuli oooh magufuli tunahaja nawe
Baba Magu kanyaga twende mpaka 2030 ndio tuchague mwingine mambo yakupoteza hela kwenye uchaguzi bora izo hela ziongeze kituo cha afya
Mimi mtanzania harali naomba uchaguzi usiwepo kwa sababu rais tunae miaka kama yoteeee
Ha ha haaaaa
Upo na mawazo ya maendeleo kama Mheshimiwa John Magufuli,hongera Kwa wazo hilo ela italingana na katiba kama itamruhusu kubaki mamlakani au laa
Mimi nipo Canada na kukubali sana Rais
Ondoa wapinzani bakiwewetu mbaka utakapokufa nakukubali sana mag
safi sana mr magufuli asije raisi mwengine tu akaziharibu mungu atulinde
nampenda sana rais wangu mungu akutunze.akupe maisha marefu..najivunia kuwa Mtanzania....mungu awe upande wako!!!
Hongera Sana Mheshimiwa. Tuone na Wazanzibar.
Baba watanzania MUNGU akupe afya njema na maisha malefu yenye Baraka tele
Heri tumbo lililokuzaa na heri maziwa uliyonyonya. Mzee ubarikiwe sana na aliye juu. Jamani maskini mnyongeni Bali haki yake mpeni. Kwa utashi wangu dhaifu mimi nakuita wewe ni mwl. Namba 2 toka hayati baba wa Taifa Mtumishi wa Mungu Mwl. Nyerere. Tumeonewa vya kutosha tumenyonywa vya kutosha. tumepuuzwa vya kutosha. Unyonge na woga wetu umetufikisha kwenye hayo yote. Sasa basi tummwunge mono Mh. Raisi ili tusinyonywe tena tusipuuzwe tena na wala tusionewe tena.
Hongera sana Rais wetu kwa ufanisi huo na juhudi zako ziendelee na mwenyezi Mungu atakusimamia kikamilifu kutimiza uliyoyapanga
Kwakweli mtoa mada hongera xn kaka umetufurahisha xn watz wapenda maendeleo,sio vi- online TV vingine vina kaz tu ya kuturushia upumbavu wao wa vibaraka na mashoga wa wazungu pamoja na wacheza uchi pumbavu xn
Usitukane acha sindano zikuingie jpm songa mbele
spot on
All the best Sir
So sad that this HERO left too soon!! May God rest his soul in His Eternal peace
AMEEN.
Safi sana Magufuli
Its true,Kenya has sold its birth right to Tanzania. Tanzania and Rwanda will never be the same again
mwenyezi mungu akulinde na maadui tunakuombea mungu,akuwezeshe kutuletea maendeleo ya inchi yetu,ya, Tanzania.
endelea kuwabana mafisadi endelea hivyohivyo.nakutakia maisha mema ukae madarakani mpaka mwenyezi mungu atakapo kupenda zaidi.
Mwenyezimungu akulinde baba.
thanks Global Tv for nice & fantastic newz👏 also thanks mR president for your excellent work👏
Lukas emanuel
Safi sana👍🏾👍🏾
Mungu yuu mwema kwa kila jambo sifa na utukufu vikurudie wewe Baba
Amina
Magufuri nimwema sana hataki watu wamadrama washezi wasio jierewa anataka watu wahari sana wenye kuwa makini kwaichi yatanzania hataki wakorofi
Thanks u alot Dr pombe at least ungelikuwa mkenya rais ningelifuraia xana rais wewe tenda wema kwa watanzania.
Mungu mbariki rais was tanzania
He did ti
Nakupenda tu bure Mr President 🇰🇪🇰🇪
Thanks lord for blessing Tanzania with good leader may God bless you magufuri pray for us Uganda to get a leader like jpm.
Mwenyzi Mungu akujlie afya njema babaa kazi tunaziona kweli unafanya
Huyu ndio Rais wangu John Pombe Joseph Magufuli Mungu akupe maisha marefu uendelee kutengeneza upya hii Nchi iliyokua imeoza
From Australia,,, I love best African presidents
we need this Man for almost 20years to be Toronto
Upo vizurii raisi wetu mungu azidi kukupa nguvu uzidi kutuongozaa vizurii 2020 kula yangu niyako
The best in Africa...
Tanzania mna bahati sana sisi hapa Kenya ni kukopa China na zaliwa tu. Magufuli awe Rais wa Jumuia ya Afrika Mashariki
It was tanzanian affair...usitaje kenya hapa...kaa na mamayako
@@jacobmalingu2769 Boya wewe
@@fredducaunt1724 leo ndiyo umepata bundles 8 months after...🙃🙃🙃🙃
@@jacobmalingu2769 kumbe!?
@@fredducaunt1724 next time vitu ziktrend pia wewe trend...boya peleka majini
This man is the best leader ive seen. The others are just politicians. I am Kenyan but I love Tanzania. God bless Tanzania
Mungu akupe maisha marefu Jpm!
Hongera xn amin
Hiyo nafasi ya Uraisi imemfaa sana aendelee mpaka atakapo choka mwenyewe
Wee wacha mambo yako uongozi wake Ni 10 yrs only
Abuu Rashid utapata tabu sana
Masunga Kibinza kwakweriii jamn
Yuko good sana sijui wengine wanamchukia kwanin
Yani magu muacheni atawale mpaka atakapo choka mwenyewe
Hatuwezi kuendelea kwa marumbano ya hoja tunaendelea kwa kupiga kazi kwa kawaida yangu toka nikiwa mdogo mpaka sasa ninamiaka 22 sijawahi penda kusaidiwa sababu naamini hata Baba yangu aliye juu ananishangaa natamani kupiga hatua zaidi na zaidi.Mwanadam fikiri kutoa msaada na si kupokea labda kwasababu za Mungu mwenyewe.Thanks JPM
Rais wa kipekee sana na mwenye kubali,
Hongeraa sanaa
Even when I don't speak the langauge i can feel the words that go with video.and watch it all.. i will be learning Swahili for sure. TANZANIA has one the very best African leader im history and the very best in 2020
PL
MASHAALLAH TANZANIA YANGU TU ME JITAMBUA MUNGU TUBALIKI INSHALLAH
Mungu amlinde in shaa allah hana mpinzani apewe miaka kumi mingine hapa kazi tu.
RAIS TUMEPATA ASANTE MUNGU TUPE AFYA CC NA RAIS WETU AMIIN🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Rais wetu tumongeze ulinzi maana mabeberu yanatuonea wivu napendekeza alindwe zaidi ya rais wa korea kazikazin na bajeti ya ulinzi iongezwe mara dufu uyo nikati ya marais wachache sana waliobakia Africa
Nampenda JPM bingwa wa maendeleo..mimi ni Mkenya.
Thanks so much His excellence the president of TZ. YOU LOVE YOUR COUNTRY AND THE PEOPLE OF TANZANIA. KEEP IT UP.
Jpm rais tunamushukuru. Hata wewe mwandishi ni mzarendo Kwa kutangaza mambo makuu hayo.
Joseph Silla
Nakupenda sana rais wang magufuli ♥️♥️♥️♥️♥️
Sitamani ataatoke madarakani 👍 akika Raisi wetu Ni zawadi ambayo MUNGU ametupatia🇹🇿💓💓
Nikupongeze sana ndugu kwa kazi nzuri kwa kweli hii hotuba nimeitunza nitakuwa naisikiliza kila wakati
2020 TUSIFANYE MAKOSA,SUMU HUWA HAIONJWI,MAZIWA TUMEYAONJA HAYANA MAJI NI REAL KABISA.
Hakna Rais kama huyu Dunia ila binadam ha2na shukuran
Ukosawa
Kweli
Rais wa kuua watu na kufukuza watu makazini ndio bora kuliko wote Duniani Duh Watanzania mumelishwa libwata na CCM. Kwa hiyo Ndege zimenunuliwa zisimame hapa Airport kisa CCM wananunua watu kuwatukana Wazungu. Ombeni basi viwanja vya kutua China ha ha ha. CCM makubwa Jinga tu.
@KUHANGA_ZENA
WANAO NA WAJUKUU ZAKO NDO WATAKUJA KUMSHUKURU MAGUFULI SIO WEWE USIEJIELEWA,UKIONA HAKUNA HAKI HAMA NCHI
@@@kuhangazena4316 huwezi kuona faida ya ndege ikiwa pasport huna afu akili huna hata kidogo yan bichwa lako kubwa ubongo wa mende.
Love from Kenya. Hongera JPM
Jpm anatosha
Anuary Allure
Mzee angeongeza tena kumi mingine itapendeza beijing itahamia bongo
haha👍
Na hakikataa halazimiswheeeee
😂😂 umeonaeee
Ubalikiwe sana Rais Magufuli
Thank You Magufuli
This guy is Angel's president sent by almighty God. I have never seen the president like him in world wide. I born in congo 🇨🇩 but right now I'm in 🇺🇸 USA .
Mie nadhani huyu rais ameweka kiwango cha marais wajao, ukiwa chini ya kiwango cha JPM tunakutoa hata kwa ngumi. Endelea kupiga kazi Ndugu Rais JPM🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Asante mungu kwa Kutupa Rais mwenye huruma na nchi yetu mungu mbariki Rais wetu magufuli mungu ibarik Tanzania mungu tubarik na sisi wa Tanzania
Ahsante sana JPM hata tulioko mbali tunasikia na kukubali kazi uliyofanya Tanzania ijulikane ngazi za kimataifa ,,Hapa Kazi Tu "....big up sana JPM
Hii ni historia haijawah tokea matrilion karibia 100 kwa mamiradi yote hayo
Tumuombee akae madaran miaka mingi kama Rais Museveni
Mungu saidia Rais wetu Magufuri ahendelee kutuongoza ata miaka 20 mungu mpe uzima na afya
Watanzania tupendekeze awe rais wakudumu
Natamani iwe ivyoo jamani
Mungu akubaliki rais wetu mwenye upeo wa hali ya juuu mungu akubaliki sanaaaaaaaaa tena sanaaaaaa@
Naomba watanzania mtusaidie tu na rais POMBE kwa siku atleast 30 awe rais wetu hapa kenya, kenya hatuna uongozi
hongera sana jpm
Msimulizi unajua sana kazi yako. Unasimulia vizuri sana na kuleta hamasa ya mtu kusikiliza.
Yani anajua mpaka unajiona umetulia tu kuskiliza na kwa mtu ambae hajui kinachoendelea anaelewa kwa ufasaha nchi inaendaje
Daaah yaan nme fika Africa hivi karbun aiseee songea baadh ya mitaa una kataa kabisaaa aupo tz
Tunamuitaji Burundi Rais Magu 🇧🇮
Big Mr president mye Allah protect you
Mimi raiya wa congo mtusaidie magufuli akimaliza aje kwetu hadi kufa
Hahhahahaaa sawa
Hahahahahahahaaaaaa, tafuteni wa kwenu
Alhamdulillah
Mungu akulipe mradufu raisi wangu Magufuli
Mgufuli ni mkombozi wa Tanzania
Walopita hawakuwa wakombozi?
@@lukandotv8101 hawakua wakombozi Bali walikua maraisi
Really he the best
Rais magufuli huyu tumepewa malaika na mungu maana sijawahi kuona rais anaejali wananchi wake km magufuli mungu akupe afya njema na maisha marefu tunakupenda sana watanzania mm nipo omani ila nakuombea ndugu rais umeipa tanzania yetu sifa kubwa
Jamani mm nawaomba ndugu zangu wananchi magufuli sio wa kuachia tena na kuchagua rais mwingine huyu nawaombeni ndugu wananchi rais huyu tumueke awe mfalme hanakumaliza urais huyu ndio wa mwisho
Alhamdullillah mwenyezi mungu turindie Raisi wetu❤️❤️❤️❤️❤️❤️♥️
Man i don't understand the language but this man did a lot of things in JUST 5 YEARS! Imagine Him and Sankarra are my role models
John Magafuli was a visionary. From day one when he took office he just hit the ground running. So much achieved in just five years, that is record breaking 🙌 . What a loss to the Tanzanian people.
Exactly
Tanzaians vote this guy again in four years u have fruits of your votes but us its 35 years nothing is done
Jamani mimi naomba mungu atupe afya ya mwili na akili pamoja na uhai tuyale matunda ya nchi yetu.😍😍😍
Walahi hongera mama mzaa chema mungu akupiganie