HOTUBA YA MAGUFULI KWENYE MKUTANO NA WADAU WA MADINI 22/1/20199

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 січ 2019
  • Rais John Magufuli siku ya Jumanne alikutana na kufanya mkutano na wadau mbalimbali wa madini mkutano ambao uliwashirikisha wakuu wa mikoa, mawaziri na wafanyabiashara wa kada mbalimbali za sekta hiyo.
    Baada ya kusikiliza yote yaliyozungumzwa, Rais Magufuli akatoa hotuba yake akisisitiza kutazamwa vyema kwa msururu wa malipo kwenye sekta hiyo pia akataka kuimarishwa kwa ulinzi kwenye maeneo ya uchimbaji na kumtaka waziri wa madini, Dotto Biteko kuhakikisha kamera za CCTV zinafungwa ndani ya mwezi mmoja.

КОМЕНТАРІ • 18

  • @suleymanaziz3567
    @suleymanaziz3567 2 місяці тому +1

    Nakubal sana kiongoz shupavu r i p

  • @Joseph-lu4yj
    @Joseph-lu4yj 2 роки тому +2

    Utaendelea kuishi moyoni kwa watanzania, baba kazi uliipiga tunakukumbuka sana na ulikuwa na nia ya dhati kwelikweli now days ahhhhhii...!!

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 4 роки тому +3

    mtu mzalendo anakuwa mbunifu ni sawa na mtu mwenye uchungu wakuiona kampuni yake ikikuwa..huyu jamaa anauchungu mno na government yake. he is a real patriot. Magufuli is very good sincerely

  • @user-rb6pg1mt7o
    @user-rb6pg1mt7o 3 місяці тому

    Our hero

  • @EliahParpulisEvalyneMkulati
    @EliahParpulisEvalyneMkulati 5 років тому +1

    Sekta zote zinahitaji kuangaliwa upya sio madini tu......!!

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 4 роки тому +1

    Sisi watanzania kama hatutakuwa wazalendo kama huyu mtu, atafanya kazi mwenyewe nasie tutaendelea kuwa wasindikizaji na wabinafsi..mbona anamaumivu mengi tuu na uchungu ya nchi yake lakini hwata waliohapo sioni kama wanastuka? zaidi sana wanacheka

  • @estermpagama9664
    @estermpagama9664 Рік тому

    Tutakukumbuka ni tulikuwa nawe hapa duniani hatunawe tena ila ni mipango ya Mungu twakuombea Mungu akusamehe akupe heri zote huko ulipo tunakukumbuka Sana

  • @zeffamatias9302
    @zeffamatias9302 5 років тому

    goood

  • @josephnchunga1247
    @josephnchunga1247 2 роки тому

    Taifa limepoteza mtu muhimu sana kwetu sisi wanyonge ,sasa Mara tozo, kwenye halmashauri zetu Mara service leave 6000|=

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 5 місяців тому

    Hizi hutuba za Magufuli ziwe zinarudiwa rudiwa kwenye tv za Tanganyika Zina madini mengi na hope zitawaamsha na watawala

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 Рік тому

    Tulimpoteza Mtu Huyu 🙄

  • @ngwanafabian7532
    @ngwanafabian7532 3 роки тому

    real

  • @estudio3650
    @estudio3650 3 місяці тому

    Watoto wetu wajue kama tuliishi miaka mingi wakisoma kichwa cha habari cha video hii.

  • @jairosmnahi1218
    @jairosmnahi1218 5 років тому

    Asnte jpm kwa kwel tumepata rais jamaniii duh....MUNGU Ampatie afya na miaka mingi hapa dunian aendelee kuiongoza nchi yetu kwa weledi..

  • @deogratiuspaul1244
    @deogratiuspaul1244 2 роки тому +1

    uyu mama kabra tu alionekana anaroo ya ira

  • @kivinwike6190
    @kivinwike6190 5 років тому +1

    kweli kabisa mkuu kuendelea kusoma akili inaporuty kabisa unakuwa una apply hayo madude yao huwezi fanikiwa coz elimu yenyewe wameileta wazungu, cc wenye inform education yetu mbona nzuri tuu