AFISA UTUMISHI aingia 18 ZA MAKONDA, APEWA KIBANO KIZITO "NIKISEMA UNALINDA WEZI NITAKUWA NAKOSEA?"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 тра 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 392

  • @user-wq5vf3rq7o
    @user-wq5vf3rq7o Місяць тому +70

    Sipendi kusikiliza viongozi lakin kwa makonda ananifanya niunge bando Kila siku 👏👏👏👏👏👏👏

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya Місяць тому +3

      Kwasiku unatumia bando rashingapi jiri ya makonda

    • @Hmsungu-xn1xf
      @Hmsungu-xn1xf Місяць тому +2

      Unajua sana makonda Yuko vizur kwenye uwongozi wake

    • @volcaremigius6881
      @volcaremigius6881 28 днів тому

      🎉Kumbe tupo wengi jamaa katushika

    • @riazshaikh8577
      @riazshaikh8577 21 день тому

      Sana wangu, kwa kweli tunawahitaji viongozi kama huyu, si kijana bado, anatembea kukagua hata kwenye matope, wazee wakichaguliwa mapresha na sukari, nahamia Arusha nione mtu anidai rushwa 😂😂

    • @estherkibajiro3480
      @estherkibajiro3480 13 годин тому

      Kabisa😂

  • @PiusNjelekela
    @PiusNjelekela Місяць тому +12

    wanaarusha mwombeeni sana makonda haki huwa unapigwa vita mno makonda wanamtafuta wengi ila Mungu atamlinda Piga kazi taifa litainika nakuhakikishia mama samia arusha itang'ara hutaamini umefanya vema mno kumpa kazi makonda asante sana mama

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Місяць тому +18

    Makonda mungu akulinde,,ur strong leader,be blessed 🙏🙏

    • @Zaburi-
      @Zaburi- Місяць тому +1

      Mungu/MUNGU sio mungu

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 Місяць тому +28

    Kwakweli mh makonda mungu arujalie tusije kupoteza kama mzee magufuli nitakupenda hadi nakufa , love u much

  • @user-gn9rh7sw7r
    @user-gn9rh7sw7r Місяць тому +27

    Wakuu wa mikoa wengine nchini wako wapiiiii waone kazikazi wananchi wanaonewa sana Rais Samia toa neno mama waliolala maofisini waamke

  • @godwinmasoud7180
    @godwinmasoud7180 Місяць тому +27

    Makonda tunakuombea sana unafanya kazi kubwa sana kwenye hili taifa. Unafaa kuwa Waziri Mkuu ajae

  • @angelmashauri6961
    @angelmashauri6961 Місяць тому +7

    Hongera mh. Makonda kwa kazi nzuri…Mwenyez Mungu akulinde daima…🙏🏻

  • @bakarininga4100
    @bakarininga4100 Місяць тому +22

    Arusha DC sio pouwa wanapiga hela sio kawaida

  • @user-yf5uq6bl2w
    @user-yf5uq6bl2w 27 днів тому +2

    Makonda nimesimama kawaida ila moyoni mwangu mikono juu kwa utendaji wako. Wewe nijembe . Viongoziwengine igeni mfano na si kumuonea kijicho huyu mkuu ktk utendaji wake. Shukrani kwa Mama Samia kwa kumleta MAKONDA ARUSHA

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g Місяць тому +25

    Mh Makonda jeshi la mtu mmoja nguvu kazi piga spana 🔧🔧

  • @costanciamkinga5040
    @costanciamkinga5040 Місяць тому +4

    Tatizo hili lipo ktk Halmashauri karibu zote Tz
    Wakuu wa mikoa wengine fanyeni angalau muige mfano huu .
    Big up Mwanawane👏👏

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 Місяць тому +14

    Makonda majaliwa jerry silaa raisi waziri mkuu na sipika wa bunge

  • @ommyntigiry9332
    @ommyntigiry9332 Місяць тому +19

    🎉hii nchi si mumpe jmn uyu au Kasim majaliwa mmoja Kati yao apewe nchi

  • @user-qv2tg9cz8c
    @user-qv2tg9cz8c Місяць тому +14

    Mungu atuhurumie Baba piga kazi

  • @obedpeter6874
    @obedpeter6874 27 днів тому +2

    Afande anajua kuhoji ila kuhojiwa na makonda kabaki aaa mh aaa afande OCD kawa mdogo kama pirton,usiombe kukutana na maswali ya ana kwa ana na mh makonda utaimba haleluya

  • @pascalpetro6623
    @pascalpetro6623 Місяць тому +12

    Asante Mungu

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 Місяць тому +14

    Saizi hata Panadol hospital hakuna wezi kibao

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 Місяць тому +16

    Ni mtu akikutwa mwizi aache kazi na arudishe ela wajue mtaan palivo pagumu

  • @MollelAman
    @MollelAman 3 дні тому

    Mzee uko vzur sana unanikosha san mungu akulinde mungu akusaidie uje uwe rais

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki5442 Місяць тому +10

    Mama Samia, watumishi wako wanakula sana hela.Naomba utoe mwongozo wabadhirifu washughulikie.

    • @edrisalusonge4141
      @edrisalusonge4141 24 дні тому

      Kwani Hawa wakuu wa mikoa wengine ni watu wa nchi gani mbona wamekuwa hivyo kiasi hiki Yani makonda ndio anatakiwa kuwa mkuu wa mkoa Kila sehemu kwa nyakati tofauti tofauti Hawa viongozi wengine wa mikoa ni bovyo

  • @MukameMachel
    @MukameMachel Місяць тому +12

    Mkuu wa mkoa Arusha, wewe ndie ulikuwa unastaili kuwa kiongozi wetu Tanzania

  • @joycmsokile9220
    @joycmsokile9220 Місяць тому +7

    Nchi hii tunahitaji viongozi like you Rc Makonda ,

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 Місяць тому +12

    Hlf wanasema makonda mtu mbaya kama alikua na mapungufu zamani now yuko sawa anakimbiza tena anamsaidia mama na waziri wa ardhi doctor silaaa hivi ni vichwa hakuna kuogopa mtu wanafanya watu wanakua na maisha magumu sana ilihali kiongozi inatakiwa asimamie haki za wananchi

    • @PeterJohn-sg4oe
      @PeterJohn-sg4oe Місяць тому

      Hatua zilishachuliwa na Polisi kuna haja gani ya kupiga kelele hapo kwa wananchi, hizo ni siasa tu

    • @Abillsn
      @Abillsn Місяць тому +2

      ​@@PeterJohn-sg4oevichwa maji kama ninyi ndio sababu ya wajinga na wezi kuendelea kuwepo

    • @martinabayyo9982
      @martinabayyo9982 Місяць тому +1

      ​@@PeterJohn-sg4oezero brain, unasuport ujinga au nawe ni mhusika?

    • @emmanuelthomas1078
      @emmanuelthomas1078 Місяць тому

      ​@@PeterJohn-sg4oeWee itakuwa ndo familia ya alietoroka na hayo ma million🤔🤔

  • @kalindimazjkkabuje2562
    @kalindimazjkkabuje2562 Місяць тому +8

    Mungu akusaidie makonda nataman upite mikoa yotee

  • @jokhamohammed976
    @jokhamohammed976 Місяць тому +3

    Dah mungu akuepushie na Kila baraha Nakupenda sana Baba mungu akupe maisha marefu yenye baraka tere Afya njema na Amani 🎁🌹🎁🌹 pokea zawadi yako na maua yako

  • @ShijaNzenzule
    @ShijaNzenzule Місяць тому +7

    Makonda kwa namna unavyo chapa kazi unastahili ungekuwa na kazi ya kutumikia watu nchi nzima na siyo mkoa tu ili usaidie wengi maana changamoto ni nyingi Kila sehemu

  • @Jeneffershishi-ik4jo
    @Jeneffershishi-ik4jo Місяць тому +6

    Congratulation muheshimiwa

  • @Kidd11168
    @Kidd11168 Місяць тому +5

    Anafikiri, huyo Haji tambui nini anacho kifanya,lakini kuna papa litasimama kwenye majukwa kusema ana dharirishwa. Washindwe na WA muogope Mungu.

  • @kanankirannko6174
    @kanankirannko6174 Місяць тому +14

    Huyu Dada ni mdogo sana mpeni kazi nyingine ataonewa tu hapo masikini Huu mkoa unatakiwa watu maalum Wa kufanya kazi hapa undugu mwingii ukabila mwingii

  • @user-sp2fu3wh6q
    @user-sp2fu3wh6q Місяць тому +3

    Muheshiwa Makonda mungu akubarik sana unaongea ukweri

  • @malikkb6444
    @malikkb6444 Місяць тому +10

    Hivi nchi nzima ni shilingi ngapi inapotea kwa uzembe wa viongozi wasio wajibika?

  • @user-sg6ez3cf1f
    @user-sg6ez3cf1f Місяць тому +12

    Namkumbuka Magufuli kupitia utendaji wako Mh Paul Makonda.

  • @democritenzoisaba9117
    @democritenzoisaba9117 Місяць тому +4

    God bless Mr Makonda ,good job

  • @mpambanajitz7026
    @mpambanajitz7026 Місяць тому +3

    Tunataka kiongozi wa aina Gani?
    Tunataka Nini watanzania,,
    Hongera SANA MWAMBA makonda unajua kaka.
    Na kuna siku watajua unajua

  • @masikitikomwakyonde1259
    @masikitikomwakyonde1259 Місяць тому +2

    Mmi mwenyewe sipendi kusikiliza viongozi mara nyingi kupitia mheshimiwa Makonda nimekipenda chama Cha CCM na nikaamua chukua kadi kabisa kumbe chama sio tatizo,tatizo ni viongozi.

  • @ThomasErro
    @ThomasErro Місяць тому +10

    mimi napenda kumpa makonda zawadi yake kwa kazi nzuri anaofanya je nitampaje

  • @user-kx1fp2ub4i
    @user-kx1fp2ub4i 14 годин тому

    Mungu akubariki makonda na weendeleye nayii Hali natamani ata Congo tungepata kiongozi kama ww

  • @abiudmichael
    @abiudmichael Місяць тому +1

    Makonda ni kiongozi thabiti sana. Nakukubali sana mkuu natamani nifanye kazi karibu na wewe🎉🎉🎉🎉

  • @user-xv7mo8tw7c
    @user-xv7mo8tw7c Місяць тому +6

    Mie nlkuwa nashabkia upizana ila makonda akigombea anakura yangu

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 Місяць тому +11

    HAo wanabebana ukichunguza hapo hzo pesa wote hao wanahuska wote wezi hao

    • @FridaUrassa-pj7yt
      @FridaUrassa-pj7yt 27 днів тому

      Moto wa mh Makonda umewaibua wakatngeneza uchunguzi!!!!

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw Місяць тому +6

    Hawa polisi wanaweza kuwafuatilia raia wakikosea lakin watumishi wanawaacha

  • @jonathanakhabuhaya1693
    @jonathanakhabuhaya1693 Місяць тому +1

    Hongera kwa spana Mh. Makonda.Naomba Mh. Rais akuongezee cheo kikubwa. Usimamie kupiga rushwa nchi nzima.Pengine utarudisha heshima ya Serikali na Chama.

  • @user-ej5sl9mn5k
    @user-ej5sl9mn5k Місяць тому +6

    Kwel ni aibu sana mama kuwa mkali ktk pesa zako mamamama watoto wa masikini hawana kazi

  • @RamadanPaul
    @RamadanPaul Місяць тому +3

    Huyu jamaa awe raisi basi❤❤❤

  • @user-st6lo6if2l
    @user-st6lo6if2l 21 день тому +1

    Nimegundua watu wa Kanda ya ziwa vichwa sana

  • @Fabianfideltz
    @Fabianfideltz 21 день тому +1

    Mrith wa baba maguful ❤❤❤❤

  • @RaphaelMmbaga
    @RaphaelMmbaga 25 днів тому

    Hongera sana mh Makonda kwa kazi unayoifanya yan unafanya kaz kama mwamba. Magufuli

  • @AMBROSIJOSEPH-qc7xo
    @AMBROSIJOSEPH-qc7xo 16 днів тому

    Makonda mungu akulinde utarudisha faraja ya Tanzania

  • @yusuphwaziri1189
    @yusuphwaziri1189 12 днів тому

    Daaaah!huwa Namuomba mungu makonda uje kuiyongoza hii nchi afu pia huwa Namuomba mungu uje kuwa kiongozi ktk mkoa wetu wa shinyanga.

  • @MariamMlowe
    @MariamMlowe 11 днів тому

    Makonda umenifany nipende kkusikiliza kila siku ❤❤❤

  • @dunstanchacha2128
    @dunstanchacha2128 Місяць тому +1

    I wish all other government officials wangetenda kazi kama Makonda.... We pray for you mheshimiwa

  • @user-gp5wx1ev9f
    @user-gp5wx1ev9f Місяць тому

    Ndugu Paul Makonda una kazi kubwa ya kufanya wanyoroshe wote waliolala. Natazama na kusikiliza nikwa Saudi Arabia RIYADH CITY ila natoka Kenya. Nataka Africa Mashariki iwe na viongozi wakuona na kutetea wananchi kama Muheshimiwa Paul Makonda Mkuu wa Mkoa Wa Arusha. Hachezi na kazi yake kabisa. Wewe ni Raisi wa miaka michache ijayo.nTanzania Juu. Nakuombea MUNGU akupe maisha marefu. Maana watumishi wengi na wataalamu hatakupenda kwa kazi unayoifanya na wakurugenzi na watemdaji bali endelea kuifanya kazi ya wananchi. MUNGU Akubariki sana. Mama Dr. Samia Suluhu Hassan. Hapo uko na Jembe la ajabu sio mchezo. Paul Makonda juu zaidi. Muache qinyoroshe Arusha kisha umpelekee kwengine nako akawayie adabu wataalamu wengine.

  • @MariamMlowe
    @MariamMlowe 11 днів тому

    Mungu baba akupe maisha marefu makonda ili uendelee kusaidia wanyonge

  • @daudimaniseli759
    @daudimaniseli759 Місяць тому +3

    IBRAHIM LA CAPTAIN TRAULE

  • @iddirashidi4753
    @iddirashidi4753 Місяць тому +1

    Mungu akulinde Mh Makonda

  • @fadhiliramadhani2402
    @fadhiliramadhani2402 Місяць тому +7

    Kaka unapambana sana

  • @SelijusiMalambo-rh6sf
    @SelijusiMalambo-rh6sf Місяць тому +3

    Huyo hajuwi majukumu yake ye ye ndio alitakiwa awasaidie police

  • @johnbernad3990
    @johnbernad3990 18 днів тому

    Mh. Makonda Mungu akulinde sana tunakuombea sana uje kuwa kiongozi wa Taifa letu.

  • @joycmsokile9220
    @joycmsokile9220 Місяць тому +2

    Makonda anafaa kuungwa mkono kwa kazi kubwa anayoifanya,

  • @user-cu9sq7yk3z
    @user-cu9sq7yk3z 17 днів тому

    Wacha tu Makonda hongera ukiwa mwaminifu hutakiwi utauawa watu wote wanakuchukia tunakuombea udumu kazi Yako ni nzuri untetetea haki

  • @tresphorymvulla363
    @tresphorymvulla363 12 днів тому

    I am actually being interesting with Paul Makonda for his ways to deal with leaders who are not trustful.

  • @emanuelawe-ur5hf
    @emanuelawe-ur5hf Місяць тому +1

    Mungu akubariki

  • @user-vf1gn4gu3s
    @user-vf1gn4gu3s Місяць тому +1

    Mheshimiwa makonda big up sana kaza spanaaaaaaaaah!

  • @MiliamNeneka-us5ks
    @MiliamNeneka-us5ks Місяць тому +7

    Huyu baba anakiti chake mbinguni..... Wanyoshe tulale wote njaa

    • @melanialeonard4031
      @melanialeonard4031 Місяць тому +1

      Kabisa biashara hazitoki mambo ni magumu mno hela zipo kwa watu wachache na familia zao wanapokezana vyeo safisha wote

  • @joycmsokile9220
    @joycmsokile9220 Місяць тому +1

    Safi Sana

  • @francismadirisha3511
    @francismadirisha3511 Місяць тому +1

    Habari ndio hiyo asante mama kwa makonda mitano tena

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in Місяць тому +4

    Wanapigwa spana 😂😂😂

  • @Kidd11168
    @Kidd11168 Місяць тому +1

    Hakika kazi IPO, BW Makondo unaye kazi. Watahama Mkoa, mapapa wanao walinda walisema watakufa Kwa pressure. Na hata aibu hawaoni.

  • @user-mp4yt7ps5q
    @user-mp4yt7ps5q Місяць тому +1

    Makonda Mungu akulinde maana

  • @abdilillahramadhan9637
    @abdilillahramadhan9637 Місяць тому

    Mh uko vizuri tunaimani nawewe mama chagua wakuu wamikoa kama mh makonda kazi yuko vizuri kiburi kwenye office zauma

  • @user-cs2ud6id9e
    @user-cs2ud6id9e 20 днів тому

    Kuanzia Leo nakuombea Mungu akulinde nenda na kijinini kwetu olturumet Arusha

  • @dismaslalubare4196
    @dismaslalubare4196 Місяць тому +1

    Makonda spana zikichakaa niite nakununulia tools box mpya box spana rings spana combination spana full na nyundo na tindo tindua wrote hawo

  • @paulmutailuka2417
    @paulmutailuka2417 29 днів тому +1

    Arusha imeozaa kwa rushwaaaaaaaaaaa. Makonda pigaaa spanaaaaaaaaaaaaaaaa baba.🔧🔧🔨🛠

  • @augustinomlewa9662
    @augustinomlewa9662 Місяць тому +1

    2namshukuru sana mama anaupiga mwingi

  • @godfreybigeyo4356
    @godfreybigeyo4356 Місяць тому +2

    Mungu siku moja atakusaidia

  • @saulocharles9306
    @saulocharles9306 Місяць тому +1

    Mungu yupamoja nawe

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw Місяць тому +2

    Kuogoza watu kama hawa yataka moyo yaan mtu kaiba pesa bado umemueka hapo kwenye ofisi kama makonda hajaenda hapo wananchi wangekula majani

  • @justinmasangula2142
    @justinmasangula2142 14 днів тому

    Jaman mungu ni mwem yan makonda hana tofauti na magufuli asante mungu kutupatia chombo bora

    • @justinmasangula2142
      @justinmasangula2142 14 днів тому

      Bab tunaomba uje kuwa hais watu matumbo moto wew ni hatari ya majambazi

  • @omaryyusuph7877
    @omaryyusuph7877 Місяць тому +1

    Africa ndio maana maendeleo yanasuasua sana viongozi muogopeni mungu watu wanateseka hospital nyie mnakula hera daaah Africa 😢

  • @lucascosmas908
    @lucascosmas908 Місяць тому

    Dah aisee yaani mkuu safi sana na mm najua viongozi wenzio takribani wote sasa wana kuangalia unavyo unguruma na ninacho shangaa awataki kuku iga mkuu hakika ww ni m'bunifu apa kazi tu ongera kiongozi makini apa spana mwanzo mwisho

  • @user-vn7ew6di3t
    @user-vn7ew6di3t Місяць тому

    Big up Kamanda Makonda

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv Місяць тому +1

    Umetisha mkuu makonda wanaokupinga wakanye mavi

  • @gideonibatangaki1317
    @gideonibatangaki1317 Місяць тому +1

    Viongozi mnaponzwa nakitu kidogo,anapotua Mh,Makonda anakuja akielewa kila kitu Sasa wao wanaingia 18 zake

  • @jacksportman5181
    @jacksportman5181 Місяць тому +16

    Kila mahali anapoenda Makonda watumishi wanaosimama ni kina mama ivi ile 50%/50% mbona kama imefika 90%🤔

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 Місяць тому +1

      Sasa hivi 💯 😂😂😂

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 Місяць тому

      Wanaume mpooooo

    • @IsraelNada
      @IsraelNada Місяць тому

      Mh

    • @lumulyimage4826
      @lumulyimage4826 Місяць тому

      😂😂😂😂😂😂

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 Місяць тому +1

      Hiyo staili ni kutimia Kwa alichokiona Socrates!! Tunajikwamisha wenyewe. Muhimu ni uwezo wa mtu Kwa nafasi aliyopo.

  • @HenryHabeli-iy5dv
    @HenryHabeli-iy5dv Місяць тому +1

    Makonda nimekukubali janja janja ilikuwa imeota mizizi mkoa was arusha hebu wanyooshe wapigaji wote

  • @MasawilaGoa
    @MasawilaGoa Місяць тому

    Ww jamaa mungu akupe maisha maref sana akulinde damu ys baba ww magu

  • @user-ov3bt3pf1b
    @user-ov3bt3pf1b Місяць тому +1

    Hawajitibu na hizo hela kwa maana tayari wana kadi za bure za NHIF. Ziko tumboni kwao

  • @vladimirputn1809
    @vladimirputn1809 Місяць тому +1

    munguakulinde

  • @PauloKasimu
    @PauloKasimu 21 день тому

    Mkuu mungu akubariki Sana kwakutea wananch

  • @osumsafi2095
    @osumsafi2095 Місяць тому +1

    MUNGU akubaliki sana makonda

  • @AugustKisaka-qy7kl
    @AugustKisaka-qy7kl 27 днів тому +1

    Uongozi sasa unakufa kutuongoza baraka zangu nakupa kiongozi

  • @JaphasonSumar
    @JaphasonSumar Місяць тому +1

    Baba tunakuelewa kweli una dhamira yakweli yakusaidia ukandanizaji Kwa wananchi

  • @ConstanciaShangali
    @ConstanciaShangali Місяць тому +6

    PIGAA SPANAA MKUU🔧🔧⛓️🛠️💉💊

  • @ullujaffariyohani1186
    @ullujaffariyohani1186 Місяць тому +2

    Dahhhhhh yaani hii Nchi ni ya ajabu sana mijitu inaiba hlf bado inaendelea na kazi 😢😮

  • @abdulibrahim8477
    @abdulibrahim8477 10 днів тому

    muheshimiwa makonda siku akigombea urais kama Mwenyezi Mungu atatuweka kura yangu ni yake

  • @user-nj2sn1kz2k
    @user-nj2sn1kz2k 25 днів тому

    Kamanda Makonda uko vizuri kwani unawasikiliza wananchi MUNGU aendelee kukupa uzima

  • @JumaRobilichi
    @JumaRobilichi 27 днів тому

    Mzee mungu akupe maisha malefu

  • @DiniMwambashi
    @DiniMwambashi Місяць тому +2

    Umepigaje hapo

  • @AishaKawisa-ic8hj
    @AishaKawisa-ic8hj 5 днів тому

    Mm sijawapenda viongozi hata siku moja lakin makonda sipendi kumkosa ata siku moja

  • @GracePhilimon
    @GracePhilimon 28 днів тому

    Mungu azidi kukupa ufunuo wa kusaidia watu na nchi yako