Kisa Wasanii, Msukuma Awalipua TRA kwa JPM, Maagizo Mazito Yatolewa

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 вер 2024
  • Kisa Wasanii, Musukuma Awalipua TRA kwa JPM, Maagizo Mazito Yatolewa
    MSUKUMA Alivyoibua SHANGWE Kwa WASANII, Ailipua TRA Kwa JPM
    Mbunge wa jimbo la Geita vijijini Joseph Kasheku Msukuma ameibua shangwe katika kikao cha wafanyabiashara kilichofanyika ikulu na Rais Magufuli kwa kusema "Mimi ni balozi wa wasanii hapa nchini, wasanii wanaazungushwa na kusumbuliwa sana.
    #MSUKUMA#JPM
    /GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
    globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

КОМЕНТАРІ • 59

  • @magrethsanga942
    @magrethsanga942 5 років тому +4

    Amen

  • @binlubawa8387
    @binlubawa8387 5 років тому +1

    Mungu akuweke Mh. Rais

  • @punguwasasa7975
    @punguwasasa7975 5 років тому +7

    Maana unavyojilipua kwa ukaribu sana na kufatilia sema ulishatuacha pale kwenye ngo'mbe,ukaenda kwenye madini akuenda kwenye mabasi ukamalizia CD ndo ikawa kwikwi apo ila uko nyuma pia kwikwi mh kweli msukuma upo vizuri ulivyopangilia asee Allah akulinde na husda na akupe mwisho mwema msukuma kwa kuongea ukweli kutoka moyoni inshaallah

  • @kelvinmarisi6825
    @kelvinmarisi6825 5 років тому +2

    Big up msukuma

  • @zackrichard3617
    @zackrichard3617 5 років тому +1

    👏👏👏👍👍👍👍👍

    • @tomaskijigo8341
      @tomaskijigo8341 5 років тому

      Kweli

    • @tomaskijigo8341
      @tomaskijigo8341 5 років тому +2

      Kweli muzee magafuri nakukubari

    • @uswegemwakyusa3950
      @uswegemwakyusa3950 5 років тому

      Umenena mr Msukuma, inasikitisha sana kuona jambo linaloleta maendeleo linapingwa na watu wachache...iyo idara ichunguzwe

  • @deograthiusalphonce6977
    @deograthiusalphonce6977 5 років тому +13

    Akili ya kuzaliwa ya Kisukuma

    • @venancemagodi5913
      @venancemagodi5913 5 років тому +2

      Kwakweli kuwa wazili sikujuwa kuongea ,hongela msukuma:

  • @zenaamani371
    @zenaamani371 5 років тому +13

    Kwa kweli Wafanyabiashara wengi wamefunga biashara kwa sababu ya watu wa TRA.

  • @margarethsaramaki1100
    @margarethsaramaki1100 5 років тому +7

    Yaani ni kweli kabisa uonevu ili wachukue hela,hawana fair tena wanakwambia nenda hata kwa waziri.

  • @yangoshatv5327
    @yangoshatv5327 5 років тому +6

    bado hawajauheshimu uongozi uncle magu

  • @nyanziratatou5404
    @nyanziratatou5404 4 місяці тому

    Huwa Kuna mda niache kuangaliya izi video , napatwa na uchungu sana.

  • @fidelismukandara932
    @fidelismukandara932 5 років тому +5

    Safi Sana'a Msukumaa true definition of leader

  • @fabianfaustine444
    @fabianfaustine444 5 років тому +7

    Wekeni vijana haya mazee yameishanyonya sana Mali za watu

  • @athumanomary1438
    @athumanomary1438 5 років тому +4

    Watanzania wenzangu tuzidi kuwaombea viongozi wetu kwa mwenyez MUNGU azidi kuwaongoza vyema

  • @OmbeniLuka
    @OmbeniLuka 6 місяців тому

    Baadhi ya watendaji wa serikali ni ovyoo

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 5 років тому +11

    Msukuma pamoja na kuwa darasa la saba, ningekuwa na uwezo ungekuwa waziri angalau uwe wa mifugo

  • @ALOYCE007
    @ALOYCE007 5 років тому +7

    Msukuma asante kabisa

  • @athumandoka9168
    @athumandoka9168 5 років тому +4

    Daaa uyu jamaa angekua mkoani kwangu hasimami tena jukwaani kura yangu ingekua ya milele

  • @deusmgema1204
    @deusmgema1204 5 років тому +16

    Msukuma uko vizuri unauwezo mkubwa wa kutengeneza hoja na kuisimamia hongera sana

  • @gottacheckintorehab7697
    @gottacheckintorehab7697 5 років тому +3

    Kumbe magu ana hotel 😱😱😱😰

  • @user-cl2jr3re4s
    @user-cl2jr3re4s 5 років тому +5

    Thanx President magu bless you 😁

  • @ngasikajoel9576
    @ngasikajoel9576 5 років тому +2

    It's better Rais akateua watu walio na uchungu na hii nchi sio wapigaji tu ..kuna wasomi vijana wengi tupo tu mtaani tuna hasira na maendeleo ya nchi yetu...wazee waliostaafu achana nao kidogo

  • @josekaze7710
    @josekaze7710 3 роки тому

    Thats why I said Musukuma his new president off Tanzania.

  • @SmilingBowtieCat-yn2dm
    @SmilingBowtieCat-yn2dm 8 місяців тому

    Zuchu

  • @zakiazakia4552
    @zakiazakia4552 5 років тому +4

    Watumbue kabisaa

  • @binlubawa8387
    @binlubawa8387 5 років тому +2

    Mungu akuweke Mh. Rais

  • @jumannejuma4796
    @jumannejuma4796 2 роки тому

    turiomariza darasa rasaba tunajitaidi kupembua mambo makubwa tena mazito tunauhujasiri natena tunaweza Kira jambo zito josefu msukuma unatosha sana

  • @manenoalex7453
    @manenoalex7453 5 років тому +3

    umenena king hao T E R wanasumbua xna tena xna hasa ifakara

    • @neemalaizer1871
      @neemalaizer1871 5 років тому

      Maneno Alex I will 8m:yy:y77th :676;u7777777:9# to get get 7u

  • @punguwasasa7975
    @punguwasasa7975 5 років тому +3

    Msukuma inabid upewe uwaziri wa biashala

  • @allymahamudu9492
    @allymahamudu9492 3 роки тому +1

    Ujumbe umefika

  • @menicomichael9345
    @menicomichael9345 5 років тому +1

    Uyo jamaa wa pemben kwa msukuma ananyonga jicho

  • @WaziriJuma-m2p
    @WaziriJuma-m2p 4 місяці тому

    Haya tutayamisi sana kuyaona dah Rip magu

  • @emanuelmuna2296
    @emanuelmuna2296 5 років тому

    kwa kweli TRA ni kero sana! mh. Rais pole sana maana hawa walishazoea kupiga dili kuna uchafu mwingi sana kungekuwa na uwezekano ukawasikiliza na wafanyabiashara wa kati ungejua madudud mengi zaid ushaur wa msukuma kuweka jeshi ni sahihi kabisa! walau kwa mwez mmoja tu!!

  • @augustinomwakanyamale9887
    @augustinomwakanyamale9887 5 років тому +1

    Mungu akulinde mh raisi

  • @EsterBurugu
    @EsterBurugu 7 місяців тому

    Emanuel saimon kasongj

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 3 роки тому

    Hiii speech iendeleee iwekenii yotee

  • @yasinjumahamis6267
    @yasinjumahamis6267 Рік тому

    Nakubar sana msukuma

  • @niokoemahenge4312
    @niokoemahenge4312 3 роки тому

    Kitu msukuma

  • @madirishasimon9692
    @madirishasimon9692 3 роки тому

    Jembe hili

  • @godfreypaulo236
    @godfreypaulo236 5 років тому

    Hapo umeongea msukuma

  • @leilainnocent6532
    @leilainnocent6532 5 років тому +1

    Musukuma nakupenda sana ispokua bangi tu ndiyo naipinga ktk maoni yako.

    • @mrope348
      @mrope348 5 років тому +2

      Bangi ni dawa ndio inampa misimamo yakutoa nondo zote hizo, bangi ni mmea mtakatifu believe or not

    • @leilainnocent6532
      @leilainnocent6532 5 років тому +1

      @@mrope348 no way

    • @mufasamufas6023
      @mufasamufas6023 5 років тому +1

      @@mrope348 kweli

    • @zuleyvendor6577
      @zuleyvendor6577 5 років тому +1

      @@mrope348 that's true👏

  • @tomaskijigo8341
    @tomaskijigo8341 5 років тому +2

    Wee

  • @emmanuelzao
    @emmanuelzao 4 роки тому

    😎