MAMBO YALIYOMCHEFUA MAGUFULI KUPITA KIASI LEO NI HAYA..
Вставка
- Опубліковано 4 жов 2024
- MAMBO YALIYOMCHEFUA MAGUFULI KUPITA KIASI LEO NI HAYA..
Rais Dkt John Magufuli, leo Novemba 27, ameanza ziara rasmi katika mkoa wa Shinyanga, ambapo kabla ya kuwasili amesimama katika maeneo tofauti tofauti barabarani na kuzungumza na wananchi..
#MAGUFULI
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
----------------------------------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY:
www.youtube.co....
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
www.youtube.co....
GLOBAL RADIO TV:
www.youtube.co....
EXCLUSIVE INTERVIEW:
www.youtube.co...
Now i understand why some Tanzanians were fainting during body viewing! The Best President i ever seen on earth, have never seen a leader who is very close to his people than this guy. RIP Mr. President!
Niko 2023 bado nafuatilia hizi clips Hadi zitakapofutwa. Kama bado unafuatilia gonga like hapa.
Mungu anayaona machozi yetu. Pumzika kwa amani jemedali wetu mfalme wetu
Mungu akusamehe akupunguzie Adhabu John wet hatutakusahahh
Kwell kabisa
Ameen
Nitakukumbuka sana rais wangu magufuri mpaka mwisho wa maisha yangu
Wanao itazama hii mpaka sasa mwaka 2023 naombeni like zenu
Hawezi kusahaulika
Mpaka sasa 2024 tupooo
@@EdithaJohn-qc3me❤❤❤❤
Mpaka 2024 na kuendelea🎉
2024
Asante Mungu kwakutupatia Raisi mwenye upendo Kama Raisi wetu Magufuri love you Baba.
Asante mungu nilizaliwa tanzania
Am a kenyan pastor,bt the presie has touched mie,he act like genuine pastor,may the lord protect his soul in heaven!❤❤❤❤❤
Ulipaswa kuishi Magufuli
Jamani waliommisi huyu mzee tujuane kwa like hapa
nimemkumbka sana jamaa
Mic you dady
I miss u my dady magufuli forever
2024 tunaoitazama gonga like.
Kuna funzo kubwa sana kwenye crip hii! Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi! 😢
Daaah
😢😢😢😢
Ameen
Ameen
Tanzanians people am really sorry for the big loss magufuli you have broken my heart 😭😭😭😭😭😭💔💔😭
Realy it is a big lost from Drcy heart is broken 🙈🙈🙈🙈🙈na muliya kabisa makufuli Mungu umushunge mutumishi wako
@@mulongonzazi9241 This big man as a socialist was killed by capitalist.
TZ as a country of oportunities, Magufuli couldn't live longer!!
Hakika tunaliabna kusaga meno enzi hiz za Samia mungu atulindeb tz bila vita 2sije tukawa watumwa kumbe ni nch yetu
❤❤❤ I'm from Kenya and I really value this president my his soul rest in peace
Anaesema magufur mbabe mwache kwan hajui uchungu wa mwana much respect magufuri
Umeonaeeee
mungu amutuze rais makufuli
It will get a
Namuomba mungu akuingize kwenye rehma zake amiin
Amin atatenda daimaaa n mweemaa
Am a Kenyan but I admire alot how this president comes to the ground ...what a humble person he is...God bless him always
Mungu azidi kumtunza rais maguful ni rais wa wanyonge
@@happymasaweyangababalao4486😅
huyu baba magufuli mungu amuzidishiye maisha marefu anajuwa teteya haki za binadamu.
Hapa ndo ninapomfahamu Mh. rais kuwa kazi ya urais ni kazi ngumu sana. Mungu akusaidie na akupe moyo huo huo wa kutatua matatizo ya wananchi wako.
...pamoja n hayo watu wanaikimbilia sana...kwa kweli inaliza kwa kweli...
😭😭😭😭 jaman nalia apumzike tu
Ameen
Can't stop watching this😢😢😢continue resting in peace Mzee magufuli until we meet again in heaven😭😭😭
This was a true shepherd who took interest in the experiences of those he led.
Wish we had more of him in Africa!
I'm in love with magufuli a man of people, also a gift from Allah so as to save people who have been crying for long time without help.Magufuli a president of the century from Bongo.
This man was a true definition of a generous leader, backed with a sense of humor and integrity
Mwenyezi Mungu akulinde Rais wetu uweze ishi maisha marefu
Inauma sana
Sana tena sana Kwan tulipenda sana hakuna aliyemuchukia ila mafisadi walikuwepo so hakuna m2 asiye chukiwa hapa duniani tumuombe mungu 2 atupe maisha marefu na yenye mibalak na tuepuke kuzimubtwende mbign 2ulith ufalmebwa mungu ameen gonga like kama umenielewa
Allah akupe maisha marefu uzima na afya rais wetu wa wanyo wanyonge
this is the only president who has made me shade tears cause of what he does.the love for his people.much love my hero and role model.
9999999
I love him and the way he works
African lost a great leader....Tanzania people are very lucky to have a wonderful leader like magufuli...may his soul rest in peace
Let negative people say what they want to say about the late President John Pombe Magufuli,but I don't know if Tanzanians will get another president with a heart of Gold like Magufuli,indeed he was like a real father to his countrymen
Mung amuwoke mahalo pema
Mungu akupumzishe laisi wetu laisi wawnyonge tunakukumbuka
John wangu jamani..we miss you babaaaa😭😭
We will always mic uuuuu
Mwenyenzi Mungu, umlinde rais wetu.
Nc
Tupate wapi tena mtu kama huyu ambaye Mungu alikaa ndani yake 😭😭😭😭😭😭
Yaani acha tu"!!
Labda azaliwe mwaka huu
😢
Tutakukumbuka sn Rais wetu!! Viatu vyako ni vikubwa sn
Sanaaaaaaaa
Daudi atafutwe, JPM ahsante Muheshimiwa, Toeni hela ndio mtajifunza.
Masikini mpaka mwafanya Rais yuwalia mungu amjalie apite tena muhula ujao🙏🙏
Mungu akubariki kwafaraja barikiwa
The best president Africa has ever had,.. maghufuli was a real deal for this continent
Maskini Rais hadi analia, so painful! Mungu mbariki Rais wetu
Eee MUNGU sidhani kama itakujatokea Rais wa wanyonge km huyu daaah MUNGU ninamuweka Rais wetu mikononi mwako umlinde na kila aina ya uadui na magonjwa mpe kibali cha kuongoza mpaka utakapo sema bac
@@husseinbararukaza428 j
he will never die in my heart until I die
Oh my God
Kaka magufuli maishani mwangu siwezi kukusau kamwe
Wewe ni shujaaa🎉🎉🎉❤❤❤
Wen ever I watche magufuli😢😢😢😢so sad my god bless him rip
He was a really father, tume poteza jameni
Hakika jamani
Hongera sana Rais wetu na pole kwa kwa kazi ngumu
Ooh GOD..What a leader we've lost. Mungu alikupenda zaidi
Hapa ndipo nampompenda rais kwa kweli Gold bless you Magu 🙏
Tutakukumbuk Sana baba♥️♥️♥️
Tunae tazama 2024 gonga like
Nimempenda sana huyu rpc Yuko vizuri sana aise
..this man was an Angel sent from heaven.
I can't stop crying for him😭
My one wish kama Kuna uwezekano Mungu amuinue jman😭
Rest in peace Dr.JPM❤
Moddy from kenya hongera rais makufuli marais wote wa Africa hasa east africa wangize mwenendo wake mungu akulinde rais mtenda kazi
He was logical and reasonable 🙌
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa!
True
true 👍 he died of heart problems
Makufuli mungu akubariki you're a good president in African 🌹😭😭😭😭
Mwenyezi mungu ampe maisha marefu muheshimiwa rais wetu Magufuri
God bless our Africa United president Pompe Magufuli for real.Jah know
Mungu akutunze Rais wetu
Makuvuri Ali fanya kazi nzuri mungu humuweke pazuri hapumusike sarama amina
Iam really crying like now! Nimeguswa na ubinadamu Dr president Magufuri alikuwa nao kweli ameondoka Imeniuma na kuona Video zake jinsi alikuwa Anasaidia watu yani machozi tuuu nalia tu. Yani alikuwa na ubinadamu mwingi moyoni mwake ,, kweli tungekuwa na watu Kama yeye dunia ingebadirika Paradise. Rest in Peace Sasa hivi umekaa na mungu mbinguni ulisha fika. Tutakukumbuka forever.
Hatutamsahau milele
Tumempoteza Mtu mmoja kama watu Billion 1 😭😭😭😭😭💔🕊🕊🕊
Pooole saana, nakuombea sana rais kwa kuondok
REST IN Peace BABA
Akonamapenzi ka ma yesukristo
@@mangretiluboya2990 W
Mungu akuwekee sehem salama ishaallah peponi
Mwenyez Mungu akujalie mh Rais
Ww nirais wa wanyonge nakupenda cn makufuli kimbilio la wanyonge mungu akupe umri mrefu
Kuna siku tutayajibu haya mbele ya mungu na nalipo ni hapa hapa duniani. Yaani kumbe bila Rais utu haupo viongozi wa ngazi za mikoa, wilaya ,tarafa , kata viongozi wa kijiji na viongozi wa dini kweli hatuyaoni haya hayatuumi mioyo yetu mpaka Raisi aje basi tumuogope hata mungu jamani.
Ukweli kaka yangu hadi mimi nashangaa kuwa huyu mama hakusaidiwa mpaka Rais JPM alikuja kumsaidia. Hata hapa nchini mwetu Kenya wabunge, mawaziri, polisi, viongozi hawajali maisha ya wananchi wao heri jeshi ndio watu wanategemea pamoja na Mungu.
PRISDAT MAQUFULI NI MOTO MAZURI KUWA WANAISHI YAKI MAQUFULI JUUU JUUU JUUU SANA❤
Mheshimiwa mm ni Mzbar binafsi kura yng ilikuja kwako na 2020 in sha Allah sirudi nyuma. Ila na sisi huku shida tunazo.
Polen sn sie tz bara tuna peta tu na rais wetu mtetez wa wanyonge lkn huko zanzibar mwinyi c yupo?
Mwinyi si yupo..siye kashatangulia mbele za haki
Mungu akulaze mahala pema peponi Jemedari wa Africa
Rais mungu akulipe kwa mema unayowafanyia wa2 wako unaowaongoza mungu akupiganie kwan unasafar ndef shetan yupo mawindon akikuwinda lakin kwa jna la yesu ashindwe milele
Oyoooooo miaka Mia baba kweliweweni laisi wa wanyonge
Nimeambulia Julia tu machozi mie.Nasema mungu mtunze magufuli nakuombea Sana
Mungu akurehemu rais wetu mpendwa umeondoka bado tulikuwa tunakuhitaji mungu tunaomba utende maajabu katika karine hii wewe ndy kimbilio letu
Allah akupe maisha marefu Rais wetu Insha Allah
Nakupenda sana Mh Raisi Magufuli nakupenda sana nakuombea sana mema makubwa sana toka kwa Mwenyenzi Mungu Mkuu Mtakatifu
Mungu akubariki kwa kazi nzuri mheshimiwa raisi
I can't just stop watching this man and for sure, the world will never find a man like this and Africa has lost Her Son. Poleni sana wana Tanzania na Mungu awarehemu
,m
Magu cna neno na ww ila nakuombea kwa mwenyeenzi mungu akusimamie
Feels heavenly when a prominent person got humanity and believes in God. SO HEAVENLY
Mungu akupokeye baba
Minapenda magufuri sana but African presidents plz work magufuri RIP
Not only Tanzania lost a very power committed president but African, worl we lost very powerful Man who could one day Transform Africa 😢😢😢😢😢 may your soul rest easy President John Pombe Magufuli still hear in +254 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 its like we have lost you today ur words solving issues was more of a leadership God grand Tanzania, Uganda Kenya such people 😢😢😢
Congo 🇨🇩 tungelipata rahisi kama magufuli mungu aku weke pama
Yaan nimejikita nalia 😢😢 tu mungu akulaze mahali pema baba tutakukumbuka hakika
Tawala milele Raisi wetu🙏
Rais akiwa mcha Mungu inchi inabarikiwa.
Pumzika SHUJAA WETU😭😭😭😭
Nitakumisi Sana raisi wangu magufuli nitalia milele
Truely you were a servant of people. May you continue resting in peace. John Pombe Magufuli
Sometime s I watch this & cry 😭😭 may God 🙏 keep magufulis soul on internal peace..
Same here 😢😢
Pole sana mama angu mungu yupo atakusaidi mama
ubarikiwe sana mkuu, Mungu akuzidishie ukawe taa kwa wenye giza la kunyanyaswa
We have lost the great leader of Africa who showed good heart to his people and showed other leaders the way of ruling your own people, may your soul rest in peace mzee
We will miss you so much our dad Magufuli😭😭
Nampenda Rais wangu mambo yake ni makuu yakinabii
R.I.P HERO JPM 🙏
I can't stop crying for mister magufuli
Tears dropping when absorbing this
Nimelia tena upya jmn!!! Tumpate wapi tena mtu km huyu... Ambaye Mungu anakaa ndani yake... Pumzika kwa Amani baba yetu...
Kagonga kaua halafu anazurura tuu mtaani? Apate life in prison wajifunze Naaaah wanaonewa sana ahsante JPM.
Mungu umlinde raisi wetu magufuri
😢😭😭😭 nimejikuta tu leo naludia matukio ya baba yetu mpendwa mchozi unanitoka 😭
God fearing man Gobleess his soul rest in peace Papa
Tunakukumbuka sana mweshimiwa hayati magufuli ukweli ulitenda haki kwa wanyonge.
Aky natamani nkuwe mtazania
nichek kwa namba yangu.....naweza kukufanya uwe mtanzania
Allha ampumzishe Kwa amani alikuwa anatetea Sana wanyonge
Mungu amsamehe baba yetu magufuli ameen
Maweeee buzila nkendee jamn tutakukumbuka daimaaa mwamba wetu
Hapo ndio utajua rais pia NI binadamu , anachukizwa na uzembe na ucheleweshwaji wa maamuzi , sio kwamba anatumia pesa au nguvu...... Huo ndio ukweli watanzania tunamazoea yàkipumbavu sana
Siamin chochote bado namuona Tu Rais wangu wacha tukulilie Kwa kweli tunahaki ya kukulilia