MAMBO YALIYOMCHEFUA MAGUFULI KUPITA KIASI LEO NI HAYA..

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 жов 2024
  • MAMBO YALIYOMCHEFUA MAGUFULI KUPITA KIASI LEO NI HAYA..
    Rais Dkt John Magufuli, leo Novemba 27, ameanza ziara rasmi katika mkoa wa Shinyanga, ambapo kabla ya kuwasili amesimama katika maeneo tofauti tofauti barabarani na kuzungumza na wananchi..
    #MAGUFULI
    YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
    ----------------------------------------------------------------------------------------------------------------
    HABARI MPYA DAILY:
    www.youtube.co....
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
    www.youtube.co....
    GLOBAL RADIO TV:
    www.youtube.co....
    EXCLUSIVE INTERVIEW:
    www.youtube.co...

КОМЕНТАРІ • 724

  • @boombasticjoseph1105
    @boombasticjoseph1105 3 роки тому +47

    Now i understand why some Tanzanians were fainting during body viewing! The Best President i ever seen on earth, have never seen a leader who is very close to his people than this guy. RIP Mr. President!

  • @mckiboevents
    @mckiboevents Рік тому +50

    Niko 2023 bado nafuatilia hizi clips Hadi zitakapofutwa. Kama bado unafuatilia gonga like hapa.

  • @natafutapesa9678
    @natafutapesa9678 3 роки тому +55

    Mungu anayaona machozi yetu. Pumzika kwa amani jemedali wetu mfalme wetu

  • @JINASAVIATIONCOLLEGE
    @JINASAVIATIONCOLLEGE 8 місяців тому +19

    Nitakukumbuka sana rais wangu magufuri mpaka mwisho wa maisha yangu

  • @mustaphakijazi9807
    @mustaphakijazi9807 Рік тому +109

    Wanao itazama hii mpaka sasa mwaka 2023 naombeni like zenu

  • @jenifercynthiakazimoto5392
    @jenifercynthiakazimoto5392 3 роки тому +15

    Asante Mungu kwakutupatia Raisi mwenye upendo Kama Raisi wetu Magufuri love you Baba.

  • @wilsonkimani-j5d
    @wilsonkimani-j5d Рік тому +17

    Am a kenyan pastor,bt the presie has touched mie,he act like genuine pastor,may the lord protect his soul in heaven!❤❤❤❤❤

  • @imanuelpoteza6846
    @imanuelpoteza6846 2 роки тому +160

    Jamani waliommisi huyu mzee tujuane kwa like hapa

  • @NURUMASUNZU
    @NURUMASUNZU 4 місяці тому +41

    2024 tunaoitazama gonga like.

  • @kombosalehe3156
    @kombosalehe3156 3 роки тому +49

    Kuna funzo kubwa sana kwenye crip hii! Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi! 😢

  • @feldeterchilanga2092
    @feldeterchilanga2092 3 роки тому +46

    Tanzanians people am really sorry for the big loss magufuli you have broken my heart 😭😭😭😭😭😭💔💔😭

    • @mulongonzazi9241
      @mulongonzazi9241 3 роки тому +1

      Realy it is a big lost from Drcy heart is broken 🙈🙈🙈🙈🙈na muliya kabisa makufuli Mungu umushunge mutumishi wako

    • @MH-nq7wy
      @MH-nq7wy Рік тому

      ​@@mulongonzazi9241 This big man as a socialist was killed by capitalist.
      TZ as a country of oportunities, Magufuli couldn't live longer!!

    • @MerlinaKubadesha
      @MerlinaKubadesha 2 місяці тому

      Hakika tunaliabna kusaga meno enzi hiz za Samia mungu atulindeb tz bila vita 2sije tukawa watumwa kumbe ni nch yetu

  • @JONATHANMUMOMUSIC
    @JONATHANMUMOMUSIC 8 місяців тому +11

    ❤❤❤ I'm from Kenya and I really value this president my his soul rest in peace

  • @chuwaloonlinetv6672
    @chuwaloonlinetv6672 4 роки тому +39

    Anaesema magufur mbabe mwache kwan hajui uchungu wa mwana much respect magufuri

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 4 роки тому +36

    Namuomba mungu akuingize kwenye rehma zake amiin

  • @robertsimba5081
    @robertsimba5081 4 роки тому +20

    Am a Kenyan but I admire alot how this president comes to the ground ...what a humble person he is...God bless him always

  • @benjaminfataki6898
    @benjaminfataki6898 4 роки тому +29

    huyu baba magufuli mungu amuzidishiye maisha marefu anajuwa teteya haki za binadamu.

  • @mzeemzee2467
    @mzeemzee2467 4 роки тому +25

    Hapa ndo ninapomfahamu Mh. rais kuwa kazi ya urais ni kazi ngumu sana. Mungu akusaidie na akupe moyo huo huo wa kutatua matatizo ya wananchi wako.

  • @mercyokari8233
    @mercyokari8233 3 роки тому +17

    Can't stop watching this😢😢😢continue resting in peace Mzee magufuli until we meet again in heaven😭😭😭

  • @rosekamwesa964
    @rosekamwesa964 Рік тому +15

    This was a true shepherd who took interest in the experiences of those he led.
    Wish we had more of him in Africa!

  • @shaabansoma7661
    @shaabansoma7661 4 роки тому +21

    I'm in love with magufuli a man of people, also a gift from Allah so as to save people who have been crying for long time without help.Magufuli a president of the century from Bongo.

  • @christophermzumara4267
    @christophermzumara4267 2 роки тому +9

    This man was a true definition of a generous leader, backed with a sense of humor and integrity

  • @aminashabani5399
    @aminashabani5399 4 роки тому +33

    Mwenyezi Mungu akulinde Rais wetu uweze ishi maisha marefu

    • @mudamape8415
      @mudamape8415 3 роки тому

      Inauma sana

    • @MerlinaKubadesha
      @MerlinaKubadesha 2 місяці тому

      Sana tena sana Kwan tulipenda sana hakuna aliyemuchukia ila mafisadi walikuwepo so hakuna m2 asiye chukiwa hapa duniani tumuombe mungu 2 atupe maisha marefu na yenye mibalak na tuepuke kuzimubtwende mbign 2ulith ufalmebwa mungu ameen gonga like kama umenielewa

  • @pili1234
    @pili1234 3 роки тому +12

    Allah akupe maisha marefu uzima na afya rais wetu wa wanyo wanyonge

  • @thulanicele7843
    @thulanicele7843 4 роки тому +27

    this is the only president who has made me shade tears cause of what he does.the love for his people.much love my hero and role model.

  • @zeinabhassan6071
    @zeinabhassan6071 3 роки тому +34

    African lost a great leader....Tanzania people are very lucky to have a wonderful leader like magufuli...may his soul rest in peace

  • @kamaukamau6233
    @kamaukamau6233 3 роки тому +15

    Let negative people say what they want to say about the late President John Pombe Magufuli,but I don't know if Tanzanians will get another president with a heart of Gold like Magufuli,indeed he was like a real father to his countrymen

    • @hijaiddi6950
      @hijaiddi6950 3 роки тому

      Mung amuwoke mahalo pema

    • @mariaalfred8463
      @mariaalfred8463 3 роки тому

      Mungu akupumzishe laisi wetu laisi wawnyonge tunakukumbuka

  • @emmysam1510
    @emmysam1510 3 роки тому +14

    John wangu jamani..we miss you babaaaa😭😭

  • @emanuelsiara3937
    @emanuelsiara3937 4 роки тому +9

    Mwenyenzi Mungu, umlinde rais wetu.

  • @pastorrusagarajosephsolo8692
    @pastorrusagarajosephsolo8692 2 роки тому +23

    Tupate wapi tena mtu kama huyu ambaye Mungu alikaa ndani yake 😭😭😭😭😭😭

  • @godfreylyimo4177
    @godfreylyimo4177 3 роки тому +14

    Tutakukumbuka sn Rais wetu!! Viatu vyako ni vikubwa sn

  • @aminamussa5122
    @aminamussa5122 4 роки тому +20

    Daudi atafutwe, JPM ahsante Muheshimiwa, Toeni hela ndio mtajifunza.

  • @mamymdogomamy3670
    @mamymdogomamy3670 4 роки тому +13

    Masikini mpaka mwafanya Rais yuwalia mungu amjalie apite tena muhula ujao🙏🙏

  • @PetersonNyaga-dk5oi
    @PetersonNyaga-dk5oi 8 місяців тому +3

    The best president Africa has ever had,.. maghufuli was a real deal for this continent

  • @samuelmtasha9272
    @samuelmtasha9272 4 роки тому +28

    Maskini Rais hadi analia, so painful! Mungu mbariki Rais wetu

    • @husseinbararukaza428
      @husseinbararukaza428 3 роки тому +4

      Eee MUNGU sidhani kama itakujatokea Rais wa wanyonge km huyu daaah MUNGU ninamuweka Rais wetu mikononi mwako umlinde na kila aina ya uadui na magonjwa mpe kibali cha kuongoza mpaka utakapo sema bac

    • @athumankigoma4585
      @athumankigoma4585 3 роки тому

      @@husseinbararukaza428 j

  • @edwardsostenes8048
    @edwardsostenes8048 2 роки тому +29

    he will never die in my heart until I die

  • @ahmadisaidi8195
    @ahmadisaidi8195 Рік тому +4

    Wen ever I watche magufuli😢😢😢😢so sad my god bless him rip

  • @estherkamate8061
    @estherkamate8061 3 роки тому +13

    He was a really father, tume poteza jameni

  • @officialnaa8470
    @officialnaa8470 4 роки тому +25

    Hongera sana Rais wetu na pole kwa kwa kazi ngumu

  • @ngisian
    @ngisian 3 роки тому +4

    Ooh GOD..What a leader we've lost. Mungu alikupenda zaidi

  • @angelatarimo1969
    @angelatarimo1969 3 роки тому +7

    Hapa ndipo nampompenda rais kwa kweli Gold bless you Magu 🙏

    • @hijaiddi6950
      @hijaiddi6950 3 роки тому

      Tutakukumbuk Sana baba♥️♥️♥️

  • @Shuku-w1b
    @Shuku-w1b 2 місяці тому +1

    Tunae tazama 2024 gonga like

  • @bulugubujashi6378
    @bulugubujashi6378 4 роки тому +11

    Nimempenda sana huyu rpc Yuko vizuri sana aise

  • @HildaDogani
    @HildaDogani 8 місяців тому +2

    ..this man was an Angel sent from heaven.
    I can't stop crying for him😭
    My one wish kama Kuna uwezekano Mungu amuinue jman😭
    Rest in peace Dr.JPM❤

  • @moddysalim5839
    @moddysalim5839 4 роки тому +7

    Moddy from kenya hongera rais makufuli marais wote wa Africa hasa east africa wangize mwenendo wake mungu akulinde rais mtenda kazi

  • @AugenBatista-qg3rc
    @AugenBatista-qg3rc 8 місяців тому +3

    He was logical and reasonable 🙌

  • @DottRoBroc
    @DottRoBroc 3 роки тому +8

    I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa!

  • @evab5386
    @evab5386 4 роки тому +10

    Makufuli mungu akubariki you're a good president in African 🌹😭😭😭😭

  • @nancymohamedy7672
    @nancymohamedy7672 3 роки тому +2

    Mwenyezi mungu ampe maisha marefu muheshimiwa rais wetu Magufuri

  • @jacquesntabagara3682
    @jacquesntabagara3682 3 роки тому +4

    God bless our Africa United president Pompe Magufuli for real.Jah know

  • @merryloya4893
    @merryloya4893 4 роки тому +6

    Mungu akutunze Rais wetu

  • @zipporamosinya4193
    @zipporamosinya4193 3 роки тому +2

    Makuvuri Ali fanya kazi nzuri mungu humuweke pazuri hapumusike sarama amina

  • @mugishachance8844
    @mugishachance8844 3 роки тому +6

    Iam really crying like now! Nimeguswa na ubinadamu Dr president Magufuri alikuwa nao kweli ameondoka Imeniuma na kuona Video zake jinsi alikuwa Anasaidia watu yani machozi tuuu nalia tu. Yani alikuwa na ubinadamu mwingi moyoni mwake ,, kweli tungekuwa na watu Kama yeye dunia ingebadirika Paradise. Rest in Peace Sasa hivi umekaa na mungu mbinguni ulisha fika. Tutakukumbuka forever.

  • @gastonamnon7005
    @gastonamnon7005 3 роки тому +7

    Tumempoteza Mtu mmoja kama watu Billion 1 😭😭😭😭😭💔🕊🕊🕊

  • @iddikibaitz514
    @iddikibaitz514 4 місяці тому +1

    Mungu akuwekee sehem salama ishaallah peponi

  • @hdmtanzania2617
    @hdmtanzania2617 4 роки тому +6

    Mwenyez Mungu akujalie mh Rais

  • @manmwananzungu8945
    @manmwananzungu8945 4 роки тому +3

    Ww nirais wa wanyonge nakupenda cn makufuli kimbilio la wanyonge mungu akupe umri mrefu

  • @johnpesambili4806
    @johnpesambili4806 4 роки тому +18

    Kuna siku tutayajibu haya mbele ya mungu na nalipo ni hapa hapa duniani. Yaani kumbe bila Rais utu haupo viongozi wa ngazi za mikoa, wilaya ,tarafa , kata viongozi wa kijiji na viongozi wa dini kweli hatuyaoni haya hayatuumi mioyo yetu mpaka Raisi aje basi tumuogope hata mungu jamani.

    • @johnmathenge3406
      @johnmathenge3406 2 роки тому +1

      Ukweli kaka yangu hadi mimi nashangaa kuwa huyu mama hakusaidiwa mpaka Rais JPM alikuja kumsaidia. Hata hapa nchini mwetu Kenya wabunge, mawaziri, polisi, viongozi hawajali maisha ya wananchi wao heri jeshi ndio watu wanategemea pamoja na Mungu.

  • @miriambony3679
    @miriambony3679 10 місяців тому +2

    PRISDAT MAQUFULI NI MOTO MAZURI KUWA WANAISHI YAKI MAQUFULI JUUU JUUU JUUU SANA❤

  • @saumuhassan3796
    @saumuhassan3796 4 роки тому +8

    Mheshimiwa mm ni Mzbar binafsi kura yng ilikuja kwako na 2020 in sha Allah sirudi nyuma. Ila na sisi huku shida tunazo.

    • @ruqayaruqaya4283
      @ruqayaruqaya4283 3 роки тому

      Polen sn sie tz bara tuna peta tu na rais wetu mtetez wa wanyonge lkn huko zanzibar mwinyi c yupo?

    • @emmysam1510
      @emmysam1510 3 роки тому

      Mwinyi si yupo..siye kashatangulia mbele za haki

  • @petrofidelis5751
    @petrofidelis5751 2 роки тому +2

    Mungu akulaze mahala pema peponi Jemedari wa Africa

  • @geraldmakaranga9385
    @geraldmakaranga9385 4 роки тому +3

    Rais mungu akulipe kwa mema unayowafanyia wa2 wako unaowaongoza mungu akupiganie kwan unasafar ndef shetan yupo mawindon akikuwinda lakin kwa jna la yesu ashindwe milele

  • @elizabethdeus1343
    @elizabethdeus1343 4 роки тому +10

    Oyoooooo miaka Mia baba kweliweweni laisi wa wanyonge

  • @ashamwandu3781
    @ashamwandu3781 4 роки тому +6

    Nimeambulia Julia tu machozi mie.Nasema mungu mtunze magufuli nakuombea Sana

  • @mbereser0saidi318
    @mbereser0saidi318 2 роки тому +1

    Mungu akurehemu rais wetu mpendwa umeondoka bado tulikuwa tunakuhitaji mungu tunaomba utende maajabu katika karine hii wewe ndy kimbilio letu

  • @mariamuseifu3065
    @mariamuseifu3065 3 роки тому +3

    Allah akupe maisha marefu Rais wetu Insha Allah

  • @georgekimboka6218
    @georgekimboka6218 4 роки тому +8

    Nakupenda sana Mh Raisi Magufuli nakupenda sana nakuombea sana mema makubwa sana toka kwa Mwenyenzi Mungu Mkuu Mtakatifu

  • @wanguibundi4017
    @wanguibundi4017 4 роки тому +3

    Mungu akubariki kwa kazi nzuri mheshimiwa raisi

  • @ianolango8207
    @ianolango8207 3 роки тому +45

    I can't just stop watching this man and for sure, the world will never find a man like this and Africa has lost Her Son. Poleni sana wana Tanzania na Mungu awarehemu

  • @neemamayco3238
    @neemamayco3238 4 роки тому +8

    Magu cna neno na ww ila nakuombea kwa mwenyeenzi mungu akusimamie

  • @JaphethKinanga
    @JaphethKinanga 4 місяці тому

    Feels heavenly when a prominent person got humanity and believes in God. SO HEAVENLY

  • @mariekyosse2684
    @mariekyosse2684 2 роки тому +2

    Mungu akupokeye baba

  • @FrankBugingo-q5n
    @FrankBugingo-q5n 5 місяців тому +1

    Minapenda magufuri sana but African presidents plz work magufuri RIP

  • @isaacmasibo3183
    @isaacmasibo3183 Рік тому +2

    Not only Tanzania lost a very power committed president but African, worl we lost very powerful Man who could one day Transform Africa 😢😢😢😢😢 may your soul rest easy President John Pombe Magufuli still hear in +254 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 its like we have lost you today ur words solving issues was more of a leadership God grand Tanzania, Uganda Kenya such people 😢😢😢

  • @ZuaideeGermain-qr6bz
    @ZuaideeGermain-qr6bz 8 місяців тому +1

    Congo 🇨🇩 tungelipata rahisi kama magufuli mungu aku weke pama

  • @JamesJunior-dy6wr
    @JamesJunior-dy6wr 2 місяці тому +1

    Yaan nimejikita nalia 😢😢 tu mungu akulaze mahali pema baba tutakukumbuka hakika

  • @rahelgika3870
    @rahelgika3870 4 роки тому +6

    Tawala milele Raisi wetu🙏

  • @evelynlehnard3928
    @evelynlehnard3928 4 роки тому +6

    Rais akiwa mcha Mungu inchi inabarikiwa.

  • @ashasalehe7726
    @ashasalehe7726 3 роки тому +6

    Pumzika SHUJAA WETU😭😭😭😭

  • @magemushi5594
    @magemushi5594 3 роки тому +2

    Nitakumisi Sana raisi wangu magufuli nitalia milele

  • @michaelmbata8582
    @michaelmbata8582 Рік тому +1

    Truely you were a servant of people. May you continue resting in peace. John Pombe Magufuli

  • @willywaire50
    @willywaire50 2 роки тому +3

    Sometime s I watch this & cry 😭😭 may God 🙏 keep magufulis soul on internal peace..

  • @emmanuelmagembe8256
    @emmanuelmagembe8256 4 роки тому +4

    Pole sana mama angu mungu yupo atakusaidi mama

  • @kibonaamenye6878
    @kibonaamenye6878 4 роки тому +3

    ubarikiwe sana mkuu, Mungu akuzidishie ukawe taa kwa wenye giza la kunyanyaswa

  • @SiwaRobert-mj4pd
    @SiwaRobert-mj4pd 7 місяців тому +1

    We have lost the great leader of Africa who showed good heart to his people and showed other leaders the way of ruling your own people, may your soul rest in peace mzee

  • @saidiuchebe5203
    @saidiuchebe5203 3 роки тому +26

    We will miss you so much our dad Magufuli😭😭

  • @veronicaoman8764
    @veronicaoman8764 4 роки тому +4

    Nampenda Rais wangu mambo yake ni makuu yakinabii

  • @fidelisvenance6431
    @fidelisvenance6431 3 роки тому +9

    R.I.P HERO JPM 🙏

  • @masambamichel6453
    @masambamichel6453 3 роки тому +8

    I can't stop crying for mister magufuli

  • @GraceKwayu-yo4zf
    @GraceKwayu-yo4zf Рік тому +1

    Nimelia tena upya jmn!!! Tumpate wapi tena mtu km huyu... Ambaye Mungu anakaa ndani yake... Pumzika kwa Amani baba yetu...

  • @aminamussa5122
    @aminamussa5122 4 роки тому +8

    Kagonga kaua halafu anazurura tuu mtaani? Apate life in prison wajifunze Naaaah wanaonewa sana ahsante JPM.

  • @mariammohamed4772
    @mariammohamed4772 4 роки тому +2

    Mungu umlinde raisi wetu magufuri

  • @mamasalhat
    @mamasalhat 9 місяців тому +1

    😢😭😭😭 nimejikuta tu leo naludia matukio ya baba yetu mpendwa mchozi unanitoka 😭

  • @Jean-bj5md
    @Jean-bj5md 3 роки тому +4

    God fearing man Gobleess his soul rest in peace Papa

  • @lusajomwandambo853
    @lusajomwandambo853 2 роки тому +1

    Tunakukumbuka sana mweshimiwa hayati magufuli ukweli ulitenda haki kwa wanyonge.

  • @aishsharuni3151
    @aishsharuni3151 4 роки тому +7

    Aky natamani nkuwe mtazania

    • @djangounchained6867
      @djangounchained6867 4 роки тому +1

      nichek kwa namba yangu.....naweza kukufanya uwe mtanzania

  • @ZainabuMwambashi
    @ZainabuMwambashi 8 місяців тому +1

    Allha ampumzishe Kwa amani alikuwa anatetea Sana wanyonge

  • @ZenaBalekao
    @ZenaBalekao 2 місяці тому

    Mungu amsamehe baba yetu magufuli ameen

  • @Anita-c4n9m
    @Anita-c4n9m 5 місяців тому +1

    Maweeee buzila nkendee jamn tutakukumbuka daimaaa mwamba wetu

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 4 роки тому +13

    Hapo ndio utajua rais pia NI binadamu , anachukizwa na uzembe na ucheleweshwaji wa maamuzi , sio kwamba anatumia pesa au nguvu...... Huo ndio ukweli watanzania tunamazoea yàkipumbavu sana

  • @mtitagirloriginal6890
    @mtitagirloriginal6890 3 роки тому +4

    Siamin chochote bado namuona Tu Rais wangu wacha tukulilie Kwa kweli tunahaki ya kukulilia