WENYE ROHO NDOGO TUNAISHIA KUTOA MACHOZI TUU,, SIO YA MAUMIVU, BALI NIYA FURAHA NA SHUKRANI KWA MUNGU ALIYE JUU YA FALME ZOTE. ILIMPENDEZA ATUPE JPM 🙏🏽🙏🏽
Aiseee watanzania tuna bahati sana, Hii ni bahati iliyoje,nakupenda Sana Mh rais mungu azidi kukubariki ktk utendaji wako wa kazi, yaani Kila nikisikiliza hotuba zako najihisi nimeshiba hata Kama Nina njaa. Mungu ibariki Tanzania,mungu mbariki Rais wetu JPM.
Huyu ndiyo rais watu wanapanga dili za wizi yeye anapangua hapo hapo akuna cha kuhunda tume time ni wizi mwingine baba hapo ulipo lala mungu atume malaika wake usiku Na mchana tulikupenda sana lakini kwakua kazi ya mungu aina makosa yeye aliyetupa jpm kuna siku atatupa mwingine kama huyu tusichoke kumuomba kila kukicha
Haya sasa wale makenge wanao sema raisi anapendelea mkoa wake wako wapi wajifanye wanajikuna, au wajifanye wanaongea na sim waone fekelea mbali😊😊😊😊😊😊😊😊😊
Mr.mwanri sir that man who was in charge at tabora please that man is a man to help you in your very difficult job of giving equal justice to your people
Huy Muheshimiw kiboko ya wote tumlinde tumuwekee ulinzi wa kama Kim jong yun ....kwa nguvu zote....nan alisubut hay nambien wadau awam 1,2,3,4,nani zaid ya Magu ....mpaka Takukuru nao chupi zinawaban...
Hongera rais makufuli tunaomba takukulu wafanyakazi wawe wanahamishwa uku mbarali toka nipo shule ya msingi hawajawahi kuamishwa utafiki wanakijiji hawana lolote wanakunywa pombe mda wote
Yani magufuri nakupigia kula Asubui mapema ww ndio mkombozi ila tuchunguzie wabunge walioshinda maendeleo uku kwetu bdo miaka 5 ajafanya kitu sasa kapita tena ivi kweli haki tizama n.a. hilo
Alex Kihongola ....ntakutumia bandle ni dai kweny ukweli hutak kupinda pinda lazima tunyooshe maelezo kwa hali tunavyoina viongoz wetu wa Africa huwez linganisha na Magu ht robo ....pumbav...
rais kauzu kweli, et anamwambia yule mjeda kaa bhana nicjute hzo nyota nilizokupa 😀😀😀 kwa kweli bado najiuliza ukauzu huu nani anauweza ? Takukuru Ng'ata😀😀😀🔙 leo nimecheka mpaka machozi yametoka. Uyu mzee anatufariji sana sisi wananchi, yaani tunaishi bila ya hof swaaaaaf kabisa😀😀😀. Lini tena utahutubia hata kama nina safar nisiende ctak kuadisiwa mimi 😀😀😀.
Jamani katiba ingekuwa inaruhusu magufuli angekaa ata miaka 30 tunakupenda sana raisi
Super Mheshimia Dkt Magufuli unamiliki kona zote Katika Nchi nzima pamoja na Rushwa ya kila siku hongera sana
Huyu ndiye Mh.Raisi Magufuli.
Unanifanya nitembee kifua wazi mzee wangu!.
WENYE ROHO NDOGO TUNAISHIA KUTOA MACHOZI TUU,, SIO YA MAUMIVU, BALI NIYA FURAHA NA SHUKRANI KWA MUNGU ALIYE JUU YA FALME ZOTE. ILIMPENDEZA ATUPE JPM 🙏🏽🙏🏽
Ubarikiwe sana kwakulitambua hili
Kabisa
Kweli ofisi ni nzuri sana,naijua na inafaa mno, hii ni bahati kweli msema kweli mpenzi wa Mungu, Hongera Mh Rais
Nampenda sana raisi wangu nakuombea miaka buku jero ukiwa raisi wa Tanzania
Aiseee watanzania tuna bahati sana,
Hii ni bahati iliyoje,nakupenda Sana Mh rais mungu azidi kukubariki ktk utendaji wako wa kazi, yaani Kila nikisikiliza hotuba zako najihisi nimeshiba hata Kama Nina njaa.
Mungu ibariki Tanzania,mungu mbariki Rais wetu JPM.
Amen
Ni Maombi yetu kwa mungu tupate mtu kama huyu
Kweli kizuri akidumu tulimpenda lakini mungu alimpenda zaid
Huyu ndiyo rais watu wanapanga dili za wizi yeye anapangua hapo hapo akuna cha kuhunda tume time ni wizi mwingine baba hapo ulipo lala mungu atume malaika wake usiku Na mchana tulikupenda sana lakini kwakua kazi ya mungu aina makosa yeye aliyetupa jpm kuna siku atatupa mwingine kama huyu tusichoke kumuomba kila kukicha
kabisa😊😊
Rais anaongea point sanaa akwepeshii uyuu ndiee mwanamume sio mwanaume ni #MWANAMUME
"Mjipendekeze Chato wakati nimeshaondoka kwenye uraisi"
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Safi JPM...
Haya wale wakupinga, mpinge na hili
Haya sasa wale makenge wanao sema raisi anapendelea mkoa wake wako wapi wajifanye wanajikuna, au wajifanye wanaongea na sim waone fekelea mbali😊😊😊😊😊😊😊😊😊
Watakua wanajikuna saizi
MHANDISI + DOCTOR UTAMDANGANYA NINI HUYU MZEE JPM 😍😍😍
Huwa silijutii bando langu ninapokusikiliza rais wanguu, nakuombea kwa mungu uwe raisi wa tanzania, milele na milele mpk mwisho wa uhai wakoo
Ukweli usemwe raise dkt magufuli
Inatia Matumaini, Rais JPM Watanzania nina imani wote wanakupenda. Piga kazi Baba.
Tundulisu jeh!😂😂😂
Wewe mzee wewe hapo nyuma ebu sema baba😁😁imekaje kaaje usiogope hakuna wa kukufukuza😊😊😊JPM oyoooooo🙏🙏🙏🙏🙏
KAPATWA NA UBUBU
Hila ukiambiwa unajipendekeza inauma hiyo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sana,,,ila kauli kama hiyo haipendezi sana !!!
Huo ndio ukweli Kuna Viongozi wanafanyakazi kwa kujiendekeza, Uzuri JPM amesha shtukia mchezo
Inauma sanaaaaa😂😂😂😂😂waache kujipendekeza
Ndo waache kujipendekeza
Kuambiwa unajipendekeza inauma sana,mimi mwenyewe nikiambiwa najipendekeza ata kama nindugu yangu,nakaa nae mbali sana
Tangia asubuhi ninakufuatilia baba uwe mkweli siku zote waache kujipendekeza
Hapa ndo vizuri unamwambia mtu waziwazi, ili hata viongozi wanao jipendekeza wakitizama hii clip waache kujipendekeza
Mr.mwanri sir that man who was in charge at tabora please that man is a man to help you in your very difficult job of giving equal justice to your people
I also need that oldman back!
Binafs nataman uwe Rais hata miaaka 20
FAHAMU NJIA ZA KUSOMA NA KUFAURU CHUONI KWA URAHISI
gusa link hapo chini kutazama
ua-cam.com/video/jxlIjgvE6T8/v-deo.html
Safi,naona viongozi waliowengi hawajaelewa maono ya Raisi wangu.Mungu ibariki Tanzania.
Huy Muheshimiw kiboko ya wote tumlinde tumuwekee ulinzi wa kama Kim jong yun ....kwa nguvu zote....nan alisubut hay nambien wadau awam 1,2,3,4,nani zaid ya Magu ....mpaka Takukuru nao chupi zinawaban...
Acha tu kakangu
JPM mwamba mno, Hakuna wa kumfananisha nae, na hajazaliwa Bado, wengine marais wa maonyesho tu.
Nasema hivi anaeweza kuwa kama yeye ni Dr kakulwa katibu mkuu wa ccm
HAKUNA KAMA MAGU BWANA
Ukweli na uwazi unasema ukweli mheshimiwa.
Asante Sanaa Baba magufuri Mw/MUNGU akujalie maisha marefu Zaid 🙏 🙏
Huyu mzee baba ananifurahisha sana anaonaga mbaaaaliiii eti dalili za rushwa duuh mwangaluka
Hongera rais makufuli tunaomba takukulu wafanyakazi wawe wanahamishwa uku mbarali toka nipo shule ya msingi hawajawahi kuamishwa utafiki wanakijiji hawana lolote wanakunywa pombe mda wote
Kaaa bwana nisije nikasema izi nyota nimekupa za bure
Magufuli ukimaliza mhula wako njoo uku kwetu Kenya,tukupe urais,huyu wetu ni boya sana
😂😂😂😂😂eti boyaa,,, Dah
Nisije ni kakuona nimekupa nyata za bure!! Kainyoshe nchi hiyo Mzee wanyike.
Mungu akupunguzie azabu ya kabr kamanda
" Mimi moyo ulishakuwa sugu"...😂😂😂😂😂😂
Hongera, hakuna mchezo na pesa za wana nchi, lazima mtu akae sana tuu
Mweshimiwa Rais kura yangu umepata sema hao wakujipendekeza kwa kukufuraisha wewe na wachinja kilakitu ndio ndio wa kina msukuma hao
JPM wanyooooshe walizoeakula bike hao
Sawa pambana na ufisandi Rais wetu
Wakomeshe baba hapa kazi tu
Nivigumu kumpata kama jpm lakini kwa mungu yanawezekana
Good president magufuri
Haaaaa baba hao wanakuvuruga kweli ....bado hawajakujua vizuri😀😀😀
Hii ndo ilkua Serikali bna,RIP mr President JPM much love to you
Mungu amuekee huyu mzee magufuli kwa kweli..oohhh ..magufuli oyeee
Very insightive,magufuli continue resting in peace
Ndio shida ya kufanya kazi kwa mihemko hiyo itawakost
Yaani nakupenda sana baba rais wetu tumbuwa tumbuwa hao warudishe hela watumbuwe
NI VIGUMU KUPATA RAIS ALIYEKO SERIOUS KAMA JPM HUKU AFRICA
Courage baba wetu Sisi watoto wa Congo tunakuliliya mungu akulaze Mali pema
Tumbua huyo na mkuuwao kwanini mnajipendekeza huyo ndo Rais tunaemuhitaji sio mliomtaka
Hii inaitwa makavu live 😃
Thank you so much Mr.President much love to you
Mungu akupe maisha malefu lais wabgu
Hotuba kam hiz n tam san yani zaidi ya sali n sukari
Yani we baba nakupenda mpaka naumwa
C.simba Johannesburg magufuli nakukubar sn mzee Wang
Alikufa Kiongozi wa Tanzania 😭
Tanzania ilikua na Rais kweli lakini Leo hii hatuna Rais tuna mafisadi
Yani magufuri nakupigia kula Asubui mapema ww ndio mkombozi ila tuchunguzie wabunge walioshinda maendeleo uku kwetu bdo miaka 5 ajafanya kitu sasa kapita tena ivi kweli haki tizama n.a. hilo
wapi huko? Wa kulaumiwa ni hao waliompigia tena kura za maoni.
Tumuongezee mda huyu Rais wetu ainyooshe nchi!
kula yangu haikupotea kabisaa MUNGU akuweke pia natamn utawale miaka yotee
Takukuru😂soma iyoooo😁😁😁😁
Kweli mweshimiwa
Wanajpendekeze had wanakela
Duh JPM hahaaaa hatari sana! Usiombe ubananishwe naye😅
Mh uko sawa kabisa
Duh usitake nione nyota nilizo kupa za bure 🤣
Wamejikologa lolote litalokea hapo lazima
Nmesikiliza Mara 10
😂😂😂wamesha fanya no dili walijua huwaangaliii 🤣🤣🤣wapigadili mbona same hamna jengo la takukuru mnajipendekeza kwa babu 🤣🤣🤣🤣
Yes..
Preach father preach.!!
unajua mtanivuruga hapa
Baba maliza wabaya wote
Ahsante MH rais
Safi sana Rais wangu
Alex Kihongola ....ntakutumia bandle ni dai kweny ukweli hutak kupinda pinda lazima tunyooshe maelezo kwa hali tunavyoina viongoz wetu wa Africa huwez linganisha na Magu ht robo ....pumbav...
Huyu mzee kwanini hamtaki kumuelewa jamani
Nchi iwe Safi hii wamezoea hao
Magu anajuwa adumu milele ewe mwenyezi mung jaliya ameni...😘😘
Rais Leo nimekusifia sna
Kenya tungepata kiongozi Kama huyu.ningejivunia kuwa mkenya sana, NAVUMILIA TU!MILEVI MIIZI.
Safiiiii. Mzee magufulii oyeeee...
Was a geneous person may god rest in peace our lovelly president
😆😆😆 unaionaje hiyo??? Mzee anajiuma
Mungu aiweke robo magu peponi amina
Jamaniii huyu mzee aendelee tu ..huyu ndio rais tunaemtaka
Hongera sana Rais.
Sidhani kama Takukuru watajing'ata wenyewe. TAKUKURU NG'ATA.
Huyu baba apumzike kwa amani
Uyu Mzee ni mfano wa Dunia
Daaah.....J.P.M ni Noma sana .🙌🙌🙌
Safi sana mheshimiwa
Safi sana mh Raisi
Mkulu kashasema hataki shobo
Ziteendeeni mema izo pesa Kuna vitu kibao vya kufanya
Baba Ng'ataaaaaa
Pumzika kwa Amani Mpendwa wetu Rais
awakujui baba watoboe
rais kauzu kweli, et anamwambia yule mjeda kaa bhana nicjute hzo nyota nilizokupa 😀😀😀 kwa kweli bado najiuliza ukauzu huu nani anauweza ? Takukuru Ng'ata😀😀😀🔙 leo nimecheka mpaka machozi yametoka. Uyu mzee anatufariji sana sisi wananchi, yaani tunaishi bila ya hof swaaaaaf kabisa😀😀😀. Lini tena utahutubia hata kama nina safar nisiende ctak kuadisiwa mimi 😀😀😀.
Mzee magu polesana kwakazi ngumu uliyonayo yani sijui kwanini huwa hawakuelewi usichoki kwene ukweli mungu yupo nawewe
Sio rushwa mzee ila hiyo ni kujipendekeza kwako
vua nyota izo anatia haibu jeshi
Daima utakuwa mioyon mwetu😢😢🙏🙏
Very nice rip john pombe
Takukuru ng'ata
El pressdente. My president God bless you sir
Ukweli unauma duh huyu rais hana upuuzi ni straight forward yani. wezi wote wanaogopa yani JPM oyeeeh.....
Chuma kinazungumza
Mh jaman wa tz tumepata rais Mungu azidi, kulimlinda
Mwanakulitafuta Mwanakulipata 😂😂😂😂
Tazama hapa pia uone Wimbo mzuri wa Maombolezo ya mheshimiwa BENJAMIN MKAPA Kutoka kwa TUNDA MAN pa1 na producer ZEST