MAGUFULI AMKAANGA KIGOGO TAKUKURU "MNAJIPENDEKEZA KWANGU, MIMI MOYO USHAKUA SUGU"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 лип 2020

КОМЕНТАРІ • 200

  • @joharijumbe6543
    @joharijumbe6543 4 роки тому +27

    Jamani katiba ingekuwa inaruhusu magufuli angekaa ata miaka 30 tunakupenda sana raisi

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 4 роки тому +20

    Super Mheshimia Dkt Magufuli unamiliki kona zote Katika Nchi nzima pamoja na Rushwa ya kila siku hongera sana

  • @benedictaustard3423
    @benedictaustard3423 4 роки тому +18

    Huyu ndiye Mh.Raisi Magufuli.
    Unanifanya nitembee kifua wazi mzee wangu!.

  • @aaaaaah290
    @aaaaaah290 4 роки тому +28

    WENYE ROHO NDOGO TUNAISHIA KUTOA MACHOZI TUU,, SIO YA MAUMIVU, BALI NIYA FURAHA NA SHUKRANI KWA MUNGU ALIYE JUU YA FALME ZOTE. ILIMPENDEZA ATUPE JPM 🙏🏽🙏🏽

  • @rugijofrey3685
    @rugijofrey3685 4 роки тому +22

    Kweli ofisi ni nzuri sana,naijua na inafaa mno, hii ni bahati kweli msema kweli mpenzi wa Mungu, Hongera Mh Rais

  • @razakpaulo6407
    @razakpaulo6407 4 роки тому +16

    Nampenda sana raisi wangu nakuombea miaka buku jero ukiwa raisi wa Tanzania

  • @aminamtikaonlinetv7305
    @aminamtikaonlinetv7305 4 роки тому +39

    Aiseee watanzania tuna bahati sana,
    Hii ni bahati iliyoje,nakupenda Sana Mh rais mungu azidi kukubariki ktk utendaji wako wa kazi, yaani Kila nikisikiliza hotuba zako najihisi nimeshiba hata Kama Nina njaa.
    Mungu ibariki Tanzania,mungu mbariki Rais wetu JPM.

    • @clifordmsongole1134
      @clifordmsongole1134 4 роки тому

      Amen

    • @calebcaleb3193
      @calebcaleb3193 2 роки тому

      Ni Maombi yetu kwa mungu tupate mtu kama huyu

    • @calebcaleb3193
      @calebcaleb3193 2 роки тому +1

      Kweli kizuri akidumu tulimpenda lakini mungu alimpenda zaid

    • @calebcaleb3193
      @calebcaleb3193 2 роки тому

      Huyu ndiyo rais watu wanapanga dili za wizi yeye anapangua hapo hapo akuna cha kuhunda tume time ni wizi mwingine baba hapo ulipo lala mungu atume malaika wake usiku Na mchana tulikupenda sana lakini kwakua kazi ya mungu aina makosa yeye aliyetupa jpm kuna siku atatupa mwingine kama huyu tusichoke kumuomba kila kukicha

    • @user-cz9sk1yq7r
      @user-cz9sk1yq7r Рік тому

      kabisa😊😊

  • @masakaupdate1488
    @masakaupdate1488 4 роки тому +13

    Rais anaongea point sanaa akwepeshii uyuu ndiee mwanamume sio mwanaume ni #MWANAMUME

  • @janeyoj8228
    @janeyoj8228 4 роки тому +26

    "Mjipendekeze Chato wakati nimeshaondoka kwenye uraisi"
    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
    Safi JPM...
    Haya wale wakupinga, mpinge na hili

  • @joxevictus3720
    @joxevictus3720 4 роки тому +17

    Haya sasa wale makenge wanao sema raisi anapendelea mkoa wake wako wapi wajifanye wanajikuna, au wajifanye wanaongea na sim waone fekelea mbali😊😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @moshiomarymnyeda8907
    @moshiomarymnyeda8907 4 роки тому +15

    MHANDISI + DOCTOR UTAMDANGANYA NINI HUYU MZEE JPM 😍😍😍

  • @lasteckmmary9741
    @lasteckmmary9741 4 роки тому +17

    Huwa silijutii bando langu ninapokusikiliza rais wanguu, nakuombea kwa mungu uwe raisi wa tanzania, milele na milele mpk mwisho wa uhai wakoo

  • @generaltanzania1810
    @generaltanzania1810 4 роки тому +11

    Inatia Matumaini, Rais JPM Watanzania nina imani wote wanakupenda. Piga kazi Baba.

  • @joxevictus3720
    @joxevictus3720 4 роки тому +11

    Wewe mzee wewe hapo nyuma ebu sema baba😁😁imekaje kaaje usiogope hakuna wa kukufukuza😊😊😊JPM oyoooooo🙏🙏🙏🙏🙏

  • @fredrickphilomena8613
    @fredrickphilomena8613 4 роки тому +22

    Hila ukiambiwa unajipendekeza inauma hiyo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 4 роки тому

      Sana,,,ila kauli kama hiyo haipendezi sana !!!

    • @solemba595
      @solemba595 4 роки тому +4

      Huo ndio ukweli Kuna Viongozi wanafanyakazi kwa kujiendekeza, Uzuri JPM amesha shtukia mchezo

    • @wazirmlogi7532
      @wazirmlogi7532 4 роки тому +1

      Inauma sanaaaaa😂😂😂😂😂waache kujipendekeza

    • @timothmwakakusyu4563
      @timothmwakakusyu4563 4 роки тому

      Ndo waache kujipendekeza

    • @user-un3df1sl2h
      @user-un3df1sl2h 3 роки тому

      Kuambiwa unajipendekeza inauma sana,mimi mwenyewe nikiambiwa najipendekeza ata kama nindugu yangu,nakaa nae mbali sana

  • @angelshio2617
    @angelshio2617 4 роки тому +15

    Tangia asubuhi ninakufuatilia baba uwe mkweli siku zote waache kujipendekeza

  • @setholivier4862
    @setholivier4862 4 роки тому +11

    Hapa ndo vizuri unamwambia mtu waziwazi, ili hata viongozi wanao jipendekeza wakitizama hii clip waache kujipendekeza

  • @cheupestefano5424
    @cheupestefano5424 4 роки тому +15

    Mr.mwanri sir that man who was in charge at tabora please that man is a man to help you in your very difficult job of giving equal justice to your people

  • @elibaricksadock9562
    @elibaricksadock9562 4 роки тому +11

    Binafs nataman uwe Rais hata miaaka 20

  • @rechrontv2453
    @rechrontv2453 4 роки тому +1

    FAHAMU NJIA ZA KUSOMA NA KUFAURU CHUONI KWA URAHISI
    gusa link hapo chini kutazama
    ua-cam.com/video/jxlIjgvE6T8/v-deo.html

  • @bornifaceshombe4159
    @bornifaceshombe4159 4 роки тому +7

    Safi,naona viongozi waliowengi hawajaelewa maono ya Raisi wangu.Mungu ibariki Tanzania.

  • @ayoubabdull1265
    @ayoubabdull1265 4 роки тому +16

    Huy Muheshimiw kiboko ya wote tumlinde tumuwekee ulinzi wa kama Kim jong yun ....kwa nguvu zote....nan alisubut hay nambien wadau awam 1,2,3,4,nani zaid ya Magu ....mpaka Takukuru nao chupi zinawaban...

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi9761 4 роки тому +10

    Ukweli na uwazi unasema ukweli mheshimiwa.

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 4 роки тому +2

    Asante Sanaa Baba magufuri Mw/MUNGU akujalie maisha marefu Zaid 🙏 🙏

  • @atuganilemsomba3028
    @atuganilemsomba3028 4 роки тому +5

    Huyu mzee baba ananifurahisha sana anaonaga mbaaaaliiii eti dalili za rushwa duuh mwangaluka

  • @nasserrostom6340
    @nasserrostom6340 4 роки тому +3

    Hongera rais makufuli tunaomba takukulu wafanyakazi wawe wanahamishwa uku mbarali toka nipo shule ya msingi hawajawahi kuamishwa utafiki wanakijiji hawana lolote wanakunywa pombe mda wote

  • @said306nyatu9
    @said306nyatu9 4 роки тому +9

    Kaaa bwana nisije nikasema izi nyota nimekupa za bure

  • @alimarezi7543
    @alimarezi7543 4 роки тому +5

    Magufuli ukimaliza mhula wako njoo uku kwetu Kenya,tukupe urais,huyu wetu ni boya sana

  • @theeyechannel8601
    @theeyechannel8601 4 роки тому +5

    Nisije ni kakuona nimekupa nyata za bure!! Kainyoshe nchi hiyo Mzee wanyike.

  • @richardjoseph9642
    @richardjoseph9642 2 роки тому +3

    Mungu akupunguzie azabu ya kabr kamanda

  • @emmanuelmohammed1294
    @emmanuelmohammed1294 4 роки тому +5

    " Mimi moyo ulishakuwa sugu"...😂😂😂😂😂😂

  • @salimsalim8421
    @salimsalim8421 4 роки тому +4

    Hongera, hakuna mchezo na pesa za wana nchi, lazima mtu akae sana tuu

  • @markkayuni99
    @markkayuni99 4 роки тому +4

    Mweshimiwa Rais kura yangu umepata sema hao wakujipendekeza kwa kukufuraisha wewe na wachinja kilakitu ndio ndio wa kina msukuma hao

  • @yasinigao3589
    @yasinigao3589 4 місяці тому +1

    Sawa pambana na ufisandi Rais wetu

  • @ednajeremiah8671
    @ednajeremiah8671 4 роки тому +5

    Wakomeshe baba hapa kazi tu

    • @calebcaleb3193
      @calebcaleb3193 2 роки тому

      Nivigumu kumpata kama jpm lakini kwa mungu yanawezekana

  • @fadhilharuna9804
    @fadhilharuna9804 Рік тому +1

    Good president magufuri

  • @lightmashauri1725
    @lightmashauri1725 4 роки тому +4

    Haaaaa baba hao wanakuvuruga kweli ....bado hawajakujua vizuri😀😀😀

  • @malcomg1004
    @malcomg1004 2 роки тому +1

    Hii ndo ilkua Serikali bna,RIP mr President JPM much love to you

  • @ahmedomar3020
    @ahmedomar3020 4 роки тому +2

    Mungu amuekee huyu mzee magufuli kwa kweli..oohhh ..magufuli oyeee

  • @justusmuendo7823
    @justusmuendo7823 Рік тому +3

    Very insightive,magufuli continue resting in peace

  • @afredyohana356
    @afredyohana356 4 роки тому +5

    Ndio shida ya kufanya kazi kwa mihemko hiyo itawakost

  • @mamaahmad8615
    @mamaahmad8615 4 роки тому +2

    Yaani nakupenda sana baba rais wetu tumbuwa tumbuwa hao warudishe hela watumbuwe

  • @lemameasi1723
    @lemameasi1723 4 роки тому +3

    NI VIGUMU KUPATA RAIS ALIYEKO SERIOUS KAMA JPM HUKU AFRICA

  • @MukandilwaProspere-th2xu
    @MukandilwaProspere-th2xu Рік тому +1

    Courage baba wetu Sisi watoto wa Congo tunakuliliya mungu akulaze Mali pema

  • @asrymohd6690
    @asrymohd6690 4 роки тому +2

    Tumbua huyo na mkuuwao kwanini mnajipendekeza huyo ndo Rais tunaemuhitaji sio mliomtaka

  • @tanzaniakwanza9564
    @tanzaniakwanza9564 4 роки тому +4

    Hii inaitwa makavu live 😃

  • @kambiibrahim415
    @kambiibrahim415 4 роки тому +2

    Thank you so much Mr.President much love to you

  • @petermatonya8078
    @petermatonya8078 4 роки тому +2

    Mungu akupe maisha malefu lais wabgu

  • @denicejoseph8632
    @denicejoseph8632 4 роки тому +11

    Hotuba kam hiz n tam san yani zaidi ya sali n sukari

    • @saumsaid5717
      @saumsaid5717 4 роки тому

      Yani we baba nakupenda mpaka naumwa

    • @tebogolucia6889
      @tebogolucia6889 4 роки тому

      C.simba Johannesburg magufuli nakukubar sn mzee Wang

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 Рік тому +1

    Alikufa Kiongozi wa Tanzania 😭

  • @gaspeldaniel1140
    @gaspeldaniel1140 Рік тому +1

    Tanzania ilikua na Rais kweli lakini Leo hii hatuna Rais tuna mafisadi

  • @mbonijabut1405
    @mbonijabut1405 4 роки тому +3

    Yani magufuri nakupigia kula Asubui mapema ww ndio mkombozi ila tuchunguzie wabunge walioshinda maendeleo uku kwetu bdo miaka 5 ajafanya kitu sasa kapita tena ivi kweli haki tizama n.a. hilo

    • @kambamazig02024
      @kambamazig02024 4 роки тому +1

      wapi huko? Wa kulaumiwa ni hao waliompigia tena kura za maoni.

  • @emmanuelmohammed1294
    @emmanuelmohammed1294 4 роки тому +3

    Tumuongezee mda huyu Rais wetu ainyooshe nchi!

    • @pendomsulwa5806
      @pendomsulwa5806 4 роки тому

      kula yangu haikupotea kabisaa MUNGU akuweke pia natamn utawale miaka yotee

  • @joxevictus3720
    @joxevictus3720 4 роки тому +5

    Takukuru😂soma iyoooo😁😁😁😁

  • @patrickjohnlucas3827
    @patrickjohnlucas3827 4 роки тому +6

    Kweli mweshimiwa

  • @musasabu6969
    @musasabu6969 4 роки тому +3

    Wanajpendekeze had wanakela

  • @wilsonkaseha2034
    @wilsonkaseha2034 4 роки тому +2

    Duh JPM hahaaaa hatari sana! Usiombe ubananishwe naye😅

  • @justinaissa2278
    @justinaissa2278 4 роки тому +3

    Mh uko sawa kabisa

  • @seifmohamedseif9467
    @seifmohamedseif9467 4 роки тому +4

    Duh usitake nione nyota nilizo kupa za bure 🤣

  • @allykingo3558
    @allykingo3558 4 роки тому +4

    Wamejikologa lolote litalokea hapo lazima

  • @mshumbusideogratias9567
    @mshumbusideogratias9567 4 роки тому +2

    Nmesikiliza Mara 10

  • @bashiryusuph6750
    @bashiryusuph6750 4 роки тому +1

    😂😂😂wamesha fanya no dili walijua huwaangaliii 🤣🤣🤣wapigadili mbona same hamna jengo la takukuru mnajipendekeza kwa babu 🤣🤣🤣🤣

  • @abdulaziz703
    @abdulaziz703 4 роки тому +2

    Yes..
    Preach father preach.!!

  • @selemanimsofe7321
    @selemanimsofe7321 4 роки тому +4

    unajua mtanivuruga hapa

  • @wahabingaheka637
    @wahabingaheka637 4 роки тому +2

    Baba maliza wabaya wote

  • @abubakarsuleiman1588
    @abubakarsuleiman1588 4 роки тому +2

    Ahsante MH rais

  • @sistertrashid2488
    @sistertrashid2488 4 роки тому +2

    Safi sana Rais wangu

  • @ayoubabdull1265
    @ayoubabdull1265 4 роки тому +2

    Alex Kihongola ....ntakutumia bandle ni dai kweny ukweli hutak kupinda pinda lazima tunyooshe maelezo kwa hali tunavyoina viongoz wetu wa Africa huwez linganisha na Magu ht robo ....pumbav...

  • @jameschubiri9453
    @jameschubiri9453 4 роки тому +2

    Huyu mzee kwanini hamtaki kumuelewa jamani

  • @wahabingaheka637
    @wahabingaheka637 4 роки тому +3

    Nchi iwe Safi hii wamezoea hao

  • @denicejoseph8632
    @denicejoseph8632 4 роки тому +4

    Magu anajuwa adumu milele ewe mwenyezi mung jaliya ameni...😘😘

  • @matanobaya7660
    @matanobaya7660 4 роки тому +1

    Kenya tungepata kiongozi Kama huyu.ningejivunia kuwa mkenya sana, NAVUMILIA TU!MILEVI MIIZI.

  • @ahmedomar3020
    @ahmedomar3020 4 роки тому +1

    Safiiiii. Mzee magufulii oyeeee...

  • @meshackkanyetisahani5584
    @meshackkanyetisahani5584 2 роки тому +1

    Was a geneous person may god rest in peace our lovelly president

  • @mtorosenga1272
    @mtorosenga1272 2 роки тому +1

    😆😆😆 unaionaje hiyo??? Mzee anajiuma

  • @salmahillu
    @salmahillu Місяць тому

    Mungu aiweke robo magu peponi amina

  • @ahmedomar3020
    @ahmedomar3020 4 роки тому +1

    Jamaniii huyu mzee aendelee tu ..huyu ndio rais tunaemtaka

  • @majaliwakavinga2752
    @majaliwakavinga2752 4 роки тому +1

    Hongera sana Rais.

  • @fakihibakari7701
    @fakihibakari7701 4 роки тому +2

    Sidhani kama Takukuru watajing'ata wenyewe. TAKUKURU NG'ATA.

  • @rehemanmkumbo5631
    @rehemanmkumbo5631 2 роки тому +1

    Huyu baba apumzike kwa amani

  • @yaletbweye5565
    @yaletbweye5565 4 роки тому +2

    Uyu Mzee ni mfano wa Dunia

  • @erickendrick3330
    @erickendrick3330 4 роки тому +2

    Daaah.....J.P.M ni Noma sana .🙌🙌🙌

  • @mlashanikisinini6020
    @mlashanikisinini6020 4 роки тому +2

    Safi sana mheshimiwa

  • @daudirajabu6798
    @daudirajabu6798 4 роки тому +1

    Safi sana mh Raisi

  • @watakaniitaje1215
    @watakaniitaje1215 4 роки тому +1

    Mkulu kashasema hataki shobo
    Ziteendeeni mema izo pesa Kuna vitu kibao vya kufanya

  • @elisanteelisante172
    @elisanteelisante172 4 роки тому +2

    Baba Ng'ataaaaaa

  • @user-qv2tg9cz8c
    @user-qv2tg9cz8c 4 місяці тому

    Pumzika kwa Amani Mpendwa wetu Rais

  • @prosperthedubaiexplorer8980
    @prosperthedubaiexplorer8980 4 роки тому +2

    awakujui baba watoboe

  • @allyfaraji1697
    @allyfaraji1697 4 роки тому +4

    rais kauzu kweli, et anamwambia yule mjeda kaa bhana nicjute hzo nyota nilizokupa 😀😀😀 kwa kweli bado najiuliza ukauzu huu nani anauweza ? Takukuru Ng'ata😀😀😀🔙 leo nimecheka mpaka machozi yametoka. Uyu mzee anatufariji sana sisi wananchi, yaani tunaishi bila ya hof swaaaaaf kabisa😀😀😀. Lini tena utahutubia hata kama nina safar nisiende ctak kuadisiwa mimi 😀😀😀.

  • @jumakalukule5312
    @jumakalukule5312 3 роки тому

    Mzee magu polesana kwakazi ngumu uliyonayo yani sijui kwanini huwa hawakuelewi usichoki kwene ukweli mungu yupo nawewe

  • @nickomlimbila217
    @nickomlimbila217 4 роки тому +1

    Sio rushwa mzee ila hiyo ni kujipendekeza kwako

  • @sixmangwela4543
    @sixmangwela4543 4 роки тому +2

    vua nyota izo anatia haibu jeshi

  • @laurnyandwi-sb1gu
    @laurnyandwi-sb1gu 6 місяців тому

    Daima utakuwa mioyon mwetu😢😢🙏🙏

  • @rshidyrajabu255
    @rshidyrajabu255 Місяць тому

    Very nice rip john pombe

  • @mwakamtungirehi4773
    @mwakamtungirehi4773 4 роки тому +2

    Takukuru ng'ata

  • @jonathanlema7782
    @jonathanlema7782 4 роки тому

    El pressdente. My president God bless you sir

  • @55goodmen
    @55goodmen 4 роки тому

    Ukweli unauma duh huyu rais hana upuuzi ni straight forward yani. wezi wote wanaogopa yani JPM oyeeeh.....

  • @hassanimussa5776
    @hassanimussa5776 4 роки тому +3

    Chuma kinazungumza

  • @matindembaratani6221
    @matindembaratani6221 4 роки тому +1

    Mwanakulitafuta Mwanakulipata 😂😂😂😂

  • @solomonkikeke2795
    @solomonkikeke2795 4 роки тому

    Tazama hapa pia uone Wimbo mzuri wa Maombolezo ya mheshimiwa BENJAMIN MKAPA Kutoka kwa TUNDA MAN pa1 na producer ZEST