TAFSIR ZA NDOTO NA MAANA YA KUOTA NYOKA // MAJALIS YA KWANZA // SHEIKH ABUU JADAWI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 гру 2021
  • TAFSIR ZA NDOTO NA MAANA YA KUOTA NYOKA // MAJALIS YA KWANZA // SHEIKH ABUU JADAWI

КОМЕНТАРІ • 20

  • @shekhefaraji5400
    @shekhefaraji5400 2 роки тому +2

    naam

  • @abdullahmassoud9183
    @abdullahmassoud9183 2 роки тому +5

    asalam aleykum naomba na mm ubitafsirie ndoto yangu jana nimelala mchana nikaota nipo sehem ila nikaona majeshi mengi wana pambana na watu 2 wana piki piki wale majeshi wana vifaa vingi ila hawawauwi wale watu zaid ya wao ndioo wanao kufa apo apo nikaota kua nipo ndani wameputa wanawake 4 warefu sana kuliko atahii nyumba yetu wakafika sehem pana mpera ila usiku wake nilota nimeenda sehem kumfata mt ila iyo sehem kuna makaburi tele na pana msikiti wazaman ule msikiti ndani ni msafi ila hauswaliwi nikakutana na watoto wanacheza na kumwagiana maji na mm nikacheza naoo akatokea kijana wa makamo akanambia kua shekhe anakazi ndani jee unaweza ukamsubiri mm nikamwambia bas nitakuja siku nyengine akanambia bas tushirikiane kucheza na watoto apa mpaka atakapo toka mm nikamwabia nacherea nitakuja siku nyengine wakat naondoka ktk yale makaburi nikakutana na bibi 1 avi akawa anaifahamisha binti fulani ivi ukoo wake apo nikashtuka ilikua ni usiku saa 9

  • @swaumumakunga2469
    @swaumumakunga2469 2 роки тому

    Shukran

  • @marymkumbimarymkumbi5153
    @marymkumbimarymkumbi5153 Рік тому

    Mim nimeota joka lipo juu ya mbuyu na mim nipo chin na badae akageuka na kuanza kuruka akinifata na nikaingia kwenye bwawa la maji akaenda kutua Ng,ambo ya pili na mim nikaibuka kwenye maji na kurudi nilipo ingilia kuzama keenye bwawa kwaiyo tukapishana yeye Ng,ambo hii na mim kule tukiangaliana kwa hasira naomba tafsir yako shehe 🙏🙏

  • @RamadhaniLeila-px4kz
    @RamadhaniLeila-px4kz 8 місяців тому

    Mimi nimeota majoka mawili moja wanjano na mwekundu nilikua kati yao alafu yule mwekundu ndokaniuma nikafunga kitamba sumu ikazidi kua nikapelekwa hospitali ndonikasituka naombeni dua zenu jamani

  • @Ruthmpoa-sv9ul
    @Ruthmpoa-sv9ul 28 днів тому

    Niliota nimeshika nyoka nikaikata na nikaipika na nikaikula 😢😢😢 sijui maana yake

  • @HubaidaKimolo-it1do
    @HubaidaKimolo-it1do Місяць тому

    Shekh mimi nimeota naswali kisha nyoka akatokea mbeleyangu

  • @SamsonOmondi-po2nf
    @SamsonOmondi-po2nf 18 днів тому

    P
    L😊o

  • @user-pm1mx7ff4l
    @user-pm1mx7ff4l 5 місяців тому

    Shekh mm nimeota nyoka mwenye vichwa vitatu ameniuma lkn nilimuuwa 🥺

  • @nibigiramwajuma7925
    @nibigiramwajuma7925 2 роки тому

    Asalam alykum warahmatullah wa barakatuh nieota nyoka anakikomoa katika mgu wa kulia ila mwenye nilikuwa nae akamuua kisha ile sum iliingiya mwili wangu lakini haikunizuru kbs

  • @mwachamwacha-ko6jq
    @mwachamwacha-ko6jq Рік тому

    Shekh mm nimeota kuwa nilikuwa na mbwa ambay nilikuwa nampenda kisha akamezwa na nyoka mkubwa chatu mwnye rangi kama kombati ya jesh nilijalibu kumsaidia yulembwa kisha niliamka usingizn

  • @mwavitaiteriteka5065
    @mwavitaiteriteka5065 11 місяців тому

    Sas sheh unatusaidiaj

  • @abdulhakimnassor4350
    @abdulhakimnassor4350 Рік тому

    ASALAM ALAIYKUM NIMEOTA NAKULA NYOKA NAOMBA TAFSIRI YAKE

  • @nurukimea3804
    @nurukimea3804 2 місяці тому

    Nimeota nimeona nyoka mkubwa ila ananikimbia nin maana yak

  • @annmukiri8686
    @annmukiri8686 Рік тому

    Niliota nyoka ameingia kwa nyumba ya my grandfather na akarudi akatoka akaenda 😮

  • @salmanassor8732
    @salmanassor8732 3 місяці тому

    Nimeota kuna mtu ameniletea nyoka lkn kila nikitaka kumshika ananikimbia

  • @mwavitaiteriteka5065
    @mwavitaiteriteka5065 11 місяців тому

    Me nimeot na pigan na nyok alinium ila nilimzibit nikamfung sehem

  • @umuhozashakira6837
    @umuhozashakira6837 2 роки тому

    Tunaomba number yako sheikh

  • @ramadhanimtetu7246
    @ramadhanimtetu7246 2 роки тому

    Elimu hii Asili yake Si Uislamu ni Falsafa Za Kichawi Za Kiyunani

  • @zainabonlinetv2210
    @zainabonlinetv2210  Рік тому

    We unaesema falsafa rejea kisa cha nabii yusuf alipo fasiri ndoto au mtume alipozigawanya ndoto ktk mafungu matatu we uko mbali mno na ulimwengu wa kiisilamu