TAFSIRI YA NDOTO UNAPOMUONA NYOKA USINGIZINI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 кві 2021
  • #RiyadhTvZnz #Zanzibar #Tafsirndoto

КОМЕНТАРІ • 74

  • @user-xh8zt4fr6i
    @user-xh8zt4fr6i Рік тому +3

    Hasbiyallahu waniimal wakil minsharri hasidin idhaa hasad Allah anihifadhi mimi pamoja nakizazi changu aniepushe mabalaa pamoja nafamiliayangu

  • @user-gd2xj3xd1b
    @user-gd2xj3xd1b 2 місяці тому +4

    Unaporojo sana had Yale ya maana hauyaongei

  • @husna34562
    @husna34562 Рік тому +1

    Subhanallah hasbunallah waneemal wakil

  • @zaituniabubakari7329
    @zaituniabubakari7329 Рік тому

    Nyoka namwogopa mimi ila sinabudi kinanitokea Allah niondolee yarab subhanallah

  • @husna34562
    @husna34562 Рік тому +2

    Allah atunusur na balaa na atukinge na shar za mahasid

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 2 роки тому

    Shukran ya sheykh

  • @khadijaismail5013
    @khadijaismail5013 Рік тому

    Subhanallah mtihan

  • @sifamanyori-kf9vq
    @sifamanyori-kf9vq Рік тому

    Bona wakina dayamodi anafuka nyoka kimahisha mungu apedi uongo wamahisha anapenda Himani yako

  • @abdulwahidsaid4186
    @abdulwahidsaid4186 3 роки тому +10

    Asalam alaykum sheikh nashukuru kwa darsa yako kuhusu ndogo y’a nyoka,mm nimemuota nyoka mkubwa amejiviringisha na amejificha kichwa chake Lkn nyoka huyo yupo jikoni nyumbani kwangu karibu Na sink y’a kunawiya maji chini Lkn baadae Nikamuona kama kile kichwa chake kimekuwa kama samaki kambare mkavu Lkn mwili wake unajiviringisha naona msaada wako imma watafsiri Na dua ili nifanye au kisomo nifanye Dawa yyte jifanye ili niondoe uadui shukran.

    • @askaobengo2253
      @askaobengo2253 2 роки тому

      Asalam alekum nimeota nyoka mkubwa ikiniona ikakimbia ikapotea

    • @ashurayassin2541
      @ashurayassin2541 2 місяці тому

      Mimi nimeota nyoka mwenye vichwa viwili mkian na kichwan ananitembea mwilin

  • @latifahstephano9038
    @latifahstephano9038 10 місяців тому

    Nashukuru sana kiukweli leo nimejua maana ya kuota nyoka 😭😭😭😭

  • @sumeiyamaddy95
    @sumeiyamaddy95 Рік тому

    Mm pia naota sana nyoka Allah atuhifadhi inshallah

  • @MariaPlmbuki
    @MariaPlmbuki Рік тому +1

    Niliota nimeng'atwa na nyoka mwenye sumu kari sana,niliota ndoto hiyo mara tatu kwa siku tofauti tofauti.aiseee nilikuja kupatwa na maumivu ambayo yalifikia maumivu ya sumu ile na nikajua aliekua nyoka alikua ni mutu wa karibu nami sana,hivyo usipuuze ndoto,zingatia

  • @gasharazarehema1427
    @gasharazarehema1427 10 днів тому

    Asalam alaikum warhamatullah wabarakatuh nikiota nyoka nifanye Dua Gani ili niepuke madhara ya ndoto iyo

  • @paulineemali8008
    @paulineemali8008 Місяць тому

    Nimeota na nyoka wawili mmoja eti ni mzuri mwingine anadhuru

  • @sifamanyori-kf9vq
    @sifamanyori-kf9vq Рік тому

    Kubuka doto za nyoka kubuka kunamari uripo mukosea mungu wabinguni

  • @ghareebatotoz1342
    @ghareebatotoz1342 2 роки тому +2

    Ndoto nyengine za nyoka naskia ni asili ya jini mbuki ni kweli sheikh

  • @samiamohamed7602
    @samiamohamed7602 2 роки тому

    Aslam alaykum sheikh,, pole na majukum,, naomba kujua ndoto hii,,niliota nimeumwa na nyoka maranying Hua naota ivo na pia namwote na mwanangu anakimbiza na nyoka

  • @user-yy6iz5le9l
    @user-yy6iz5le9l 5 місяців тому

    🙌🙌🙌

  • @rahimaamour2756
    @rahimaamour2756 9 місяців тому

    Mimi naota sana nyoka ila inanipa sana shida kujuwa maana japo huwa nahisi . kunasiku pia niliota nyoka mkuwa sana mweusu . nilishtuka na kumjuza mdogo wangu ili aweze kunisaidia maana ila nae hakuwa anajuwa .ila leo nashkur umenipa ufafanuzi nyoka ni uwaduei wa ndani yameshanitokea mpaka nikaachishwa kz ila nashkur mungu amenipa zaidi ya ile

  • @nurumwinyi796
    @nurumwinyi796 2 роки тому

    Aslm Aleikum warramatullahi. Mmi niliota nipo chumbni na nyoka mkubwa yupo sakafuni yuwaranda randa chini ya kitanda ila ukishuka chini ndio yuwakufukuza bt ukiwa juu ya kitanda hakufuati.

  • @lrene4442
    @lrene4442 Рік тому

    Naomba uniambie kila siku naota naibiwa pesa au vitu vya ndani yani kama vile kidanda ngodoro vitu vyote kwa ujumla nimeota mara nyingi sana😢

  • @anliomaromar7163
    @anliomaromar7163 2 роки тому

    Asalamu alaykum mualimu.mim nimeota ananifukuza nyoka mkubua Ana mabaka meusy badae nikanza kunfukuza na Mimi alikimbilia shimoni

  • @rozina2161
    @rozina2161 2 роки тому

    Hii ni kweli mm nliota nyoka mara nyingi sana nkaskia mamangu na jirani zangu wamegombana wakajenga uadui

  • @halimabaishe2326
    @halimabaishe2326 2 роки тому +1

    Assalama laikum warahmatullah wabarakatu Shekhe Mimi niliota nyoka wawili wakinaangaliya tuliangaliyana machokwamacho lakini nikawanaogopa natetema katika ndoto ndio nikastuka ucngizi hiyo maana yake nini Shekhe manake Toka niote sinaraha nimtu sayote nimnyonge

  • @rehemaomary9804
    @rehemaomary9804 2 роки тому +1

    Nimeota nakimbizwa na nyoka wawili weupeee

  • @asha.mwambamwamba1774
    @asha.mwambamwamba1774 2 роки тому

    Mimi nikimuona nyoka usingizini. Napigaa niganyejr

  • @HawaSalehe
    @HawaSalehe Місяць тому

    Shekh mm naota sana hao nyoka na kuwaota marehem je nifanye nn

  • @mankagema5267
    @mankagema5267 2 роки тому +1

    mimi nimetoa gamba la nyoka wa kijani

  • @salumsaid4574
    @salumsaid4574 Рік тому

    Asalaam aleikum sheikh mm nimgonjwa naumwa sna na maradhi ya ki sihri Jana nimelala usku nikaota nimeumwa na nyoka nikawa na hangaika kutafuta msaada lkn hakuna anae nisaidia nikawa natoa mapofu mdomoni baadae nikatoa damu nikawa na hangaika kuzunguka Kila nnae mfata hanipi msaada baadae nikaona nakufa kivuli kinatengna na mwili wangu Kisha Nika amka kutoka usingizni naomba uniambie hii ndoto Ina maana gani

  • @OsmanMussa-ry6mh
    @OsmanMussa-ry6mh Місяць тому

    Unadarsa nzuri lakini una long introduction shekh

  • @somosaria8167
    @somosaria8167 5 місяців тому

    Nimeota nyoka napewa na mtibabu alafu kuna dawa ukimwalia yuwajivua magamba nimeshtuka sana walah na sijawahi hata kwenda kwa mtibabu hii inamanisha nini jamani tena nyoka mkubwa sana

  • @user-ub3uc4yd9y
    @user-ub3uc4yd9y 3 місяці тому

    Asalam alaykum sheikh Ukiota nyoka kajivingisha kichwani kwako nini mahana yake sheikh 🙏🙏

  • @reginadzame6015
    @reginadzame6015 4 місяці тому

    Unamuota nyoka unamkimbiza umuuwe na yeye na kutoroka

  • @johnsonproductions254
    @johnsonproductions254 Рік тому

    Hi

  • @halimahamis3742
    @halimahamis3742 2 роки тому

    Shekhe mimi huwa naota nge tandu nikiwa usingizini marakwamara inajirudia kila mara

  • @FaridaMwinyi
    @FaridaMwinyi Рік тому

    Sheikh mm naota sana naokota pesa tena zkiwa zimepagwa kla nkienda mbele naziokota ila ikifka ya nne au ya tano kuokota tu hunijia ah pengne ni mtego wa kitu kibaya huziacha haraka naomba unitafsirie

  • @HalimaBeyyazid
    @HalimaBeyyazid Місяць тому

    mm nimeota nyoka mkumbwa

  • @NajimaNichole-oz3zv
    @NajimaNichole-oz3zv 7 місяців тому

    Niliota nyoka mkubwaaa kazunguka kabati lakini kichwa chake juuuu ni sura ya mama yangu tena kakasirika ana muangalia vibaya dada yngu yuko getini kubwa na dadayangu pia anaogopa kuingia getini 🙏

  • @zaituniabubakari7329
    @zaituniabubakari7329 Рік тому

    Uyu shekh nampataje niko na hiyo tatizo toka juzi napatwa nahilo tatizo nashutka nafukunzwa na nyoka naota silali kwa raha simchana wala usiku

  • @alimaomary8515
    @alimaomary8515 Рік тому

    Naombe mnisaidie hili jamani ua naita nipo namimba tena kumbwa yakukomaa napia wakati mwengine uota zaidi yamara mbili kwausiku mmoja niambieni jamani hiyo ndoto ninzuri au mbaya mana hinafululiza kila siku

  • @adelbethaclemensilyenji2951
    @adelbethaclemensilyenji2951 11 місяців тому

    She Mimi niliota ndoto nyoka wa njano amekatika kichwa lakini Bado anatembea anakitafuta kichwa chake

  • @bellahashim3787
    @bellahashim3787 2 роки тому

    Ukiwota watu watatu wasiyo eleweka wanagewuka wanyama wakali. Kama nyoka mukubwa sana na Simba wamakali pamoja mamba mukubwa sana

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 2 роки тому

    Naomba niombee dua nimemuota huyo mnyama lakini nilimuota upande nyoka kichwani lakini mkiani ana mkia wasamaki

  • @user-us1wc1qy9n
    @user-us1wc1qy9n 8 місяців тому

    Mimi nimeota nyoka amenirukia nikiwa nimelala

  • @elizabethndege4458
    @elizabethndege4458 2 роки тому

    Shykrani natamani nipate namba ya Whatsapp nipate mafundisho mengi

  • @siaalexander609
    @siaalexander609 Рік тому

    Mimi nimeota ndoto ya nyoka wengi,wengine wakubwa,wengine wakawaida,wengine nawaua wengine siwauwi.....inamaana gani

    • @lrene4442
      @lrene4442 Рік тому

      Uyo ni mimi kabisa jamani

  • @kennedykalenga1506
    @kennedykalenga1506 Рік тому

    Nilishaka wai kulota ivo

  • @user-sn8rn9hn5d
    @user-sn8rn9hn5d 4 місяці тому

    Shehee nisaidie maana ya hii nyoka naota napigana nayo na nikamshinda nyoka huyo

  • @akimuabdallah8039
    @akimuabdallah8039 2 роки тому

    Ili usiote ndoto yoyote unatakiwa usilale ila ukilala tu lazma utaota unataka usitake

  • @user-lv3pf9mq3c
    @user-lv3pf9mq3c 6 місяців тому

    Mm niliota nyoka ameumia mkia wake lakin anatoa Moshi nnin maana yake

  • @candypowz1274
    @candypowz1274 2 роки тому

    Mbona mm huwa naota nyoka wengi ila hawanitafuni wala hawanifanyi chochote napita na wao wapo

  • @alonngoko7814
    @alonngoko7814 Рік тому

    Nliota ndoto mwanangu amegusa nyoka paspo kjua akang'atwa mkono nakatka harakati yakumsaidia nkaamka Toka usngzn nauliza mama ya ndoto hiyo Nini?

  • @sumeiyamaddy95
    @sumeiyamaddy95 Рік тому

    Yani mpka kitandan naota

  • @nameno8608
    @nameno8608 2 роки тому

    Mimi niliambiwa Nyoka ni mizimu yetu ukiota nyoka ujue mizimu inakulinda pia nyoka wote si wabaya wapo wenye sumu na wengine ni wema tu tusiwachukie nyoka ni viumbe kama sisi

    • @chinguilechinguile1501
      @chinguilechinguile1501 9 місяців тому

      Mlinzi wa kweli na haki ni Allah pekee.tumtegemee Allah pekee tuache habari za mizimu ni shirki.

  • @sharifayusuph7
    @sharifayusuph7 Рік тому

    Naomba nisaidie kujua maana ya ndoto hii...nmeota nitojifungua watoto mapacha wawili wakiume na watu wananishangaa nimejifungua vipi wakati sikua na mimba

  • @samiyamwinyihaji1351
    @samiyamwinyihaji1351 Рік тому

    poa

  • @dahumsuya-tp8zd
    @dahumsuya-tp8zd 6 місяців тому

    Shekhe hujibu SMS lakn kwann jmn

  • @anithabashir6406
    @anithabashir6406 Рік тому

    Nimeota ndoto nyoka watatu wame fariki

  • @salmauae2261
    @salmauae2261 Рік тому +1

    Mimeota nazaa nyoka mpaka nimeshituka

  • @user-jd8th7xd6u
    @user-jd8th7xd6u 8 місяців тому

    Sekh mm tangu nilipofikish miaka 12 paka sasa nina miaka 18 na haiwez kupita wiki bila kuota Njozi za nyoka na nyoka wenyew naota nyoka zaid ya 50 alfu japo na wingi wao wote hakuna nyoka hata mmoja ambaye ananinga'ata sasa labda unisaidie ndotohii maana ake nini maana ni miaka mingi sana na ndoto ni aina tofauti tofauti ila zimejazwa nyoka kila pande zinaishia kunitambaa tu

  • @moshially2543
    @moshially2543 Рік тому +1

    Tatizo shekeeeeeeee unaongea sanaaaaa mb zenyewe nizashd sn☹️

    • @zuwenasalim2794
      @zuwenasalim2794 Рік тому

      🤣🤣🤣🤣ndokashaamua yn MB zetu ajui za kuungaunga

  • @stephanomaduhu5426
    @stephanomaduhu5426 7 місяців тому

    Hiyo miezi nusu maana yake ni nini

  • @asnathyasnathy4876
    @asnathyasnathy4876 2 роки тому +1

    Mimi nimemuota nyoka kaningata ila yani nilikua namsaidia mtu kupambana nao ndo nikangatwa ila nikawa siogopi

    • @fatmag8983
      @fatmag8983 2 роки тому

      Daaa hat mm nilioat hiv nilikuw namsaidia mtu

    • @filsanshamsi6129
      @filsanshamsi6129 Рік тому

      Kheee mbn tunafanana tena nilikuwa nasaidia mtu asiyejulikana