Ostzaz mm nililala naota usiku nipo usingizin ila naota Kuna watu wabaya wamekuja ila nawafukuza nikiwa nimelala natukana ama mda mwingine najua noonge kialabu wakat sijasoma
Unapoota unaoga baharini kisha unapomaliza kuoga unataka kutoka unakuta wenzio wamekukimbia ila unaogopa kutoka unaona simba wapo pembeni wawili kulia wawili kushoto unabaki ktk maji Mara unaona gari ndogo inakuja unaomba msaada lkn na wao wanaona simba wanakuacha Ina maana gn
Kupabda mlima kunajulisha kufanikiwa katika maisha yako, lakini inapokuja nukita ya kutofika kileleni na ukaporomoka, hiyo hujulisha kusha mafanikio yako.
Ostzaz mm nililala naota usiku nipo usingizin ila naota Kuna watu wabaya wamekuja ila nawafukuza nikiwa nimelala natukana ama mda mwingine najua noonge kialabu wakat sijasoma
Mtihani
Mimi nimeota naogelea lakin sio baharin Yani Bahar kubwa sijui ni wapi pale na maji hayakuwa ni mengi sana
Sasa mimi nauliza niliota nikiogelea kichali chali lakini kwenye maji machafu inamanisha nini?
Mimi juzi juzi nimeota naogelea
Pila nililala nikiota nachota maj.ama.navuka mto basi aikai sk tatu msiba unatokea ndugu au mtu wakalubu ama julani.inamaana Gani ostaz
Mim nimeota niko naogelea baharini bahari imetuliy kish niko na mtoto mgongoni
Unapoota unaoga baharini kisha unapomaliza kuoga unataka kutoka unakuta wenzio wamekukimbia ila unaogopa kutoka unaona simba wapo pembeni wawili kulia wawili kushoto unabaki ktk maji Mara unaona gari ndogo inakuja unaomba msaada lkn na wao wanaona simba wanakuacha Ina maana gn
Tatu naota nipo naoga njee nikiwa mwenyewe gafla watu wamejaa najua Sina chakujiifazia mala nastuka
Halafu sikuwa peke yangu niliota naogekea nipo na watu
Ndio Inatakiwa qfanyiwa duwa shekhe duww kwani unasomaga Bei gani na unapatikana wapi
Ukiota upo kwenye maji na unachukua udhu na tena maji yanachumvi maana yake ni nn
nimeota naogerea na huo mto ninao oga uko nyumbani kwetu
Nini tafsiri ya ndoto ukiwa unaota unapanda mlima kabla hujafika kileleni unaporomoka na kudondoka chini .kisha unarejelea tena.?
Kupabda mlima kunajulisha kufanikiwa katika maisha yako, lakini inapokuja nukita ya kutofika kileleni na ukaporomoka, hiyo hujulisha kusha mafanikio yako.