NDOTO NA TAFSIRI ZAKE ~ UKIOTA UNAOGELEA KATIKA BAHARI AU SEHEMU YEYOTE ~ SHEIKH KHAMIS SULEIMAN

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 січ 2023

КОМЕНТАРІ • 15

  • @user-pt4uf3he7d
    @user-pt4uf3he7d 7 годин тому

    Ostzaz mm nililala naota usiku nipo usingizin ila naota Kuna watu wabaya wamekuja ila nawafukuza nikiwa nimelala natukana ama mda mwingine najua noonge kialabu wakat sijasoma

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 10 місяців тому

    Mtihani

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 10 місяців тому +1

    Mimi nimeota naogelea lakin sio baharin Yani Bahar kubwa sijui ni wapi pale na maji hayakuwa ni mengi sana

  • @marynamachanja1836
    @marynamachanja1836 Рік тому +1

    Sasa mimi nauliza niliota nikiogelea kichali chali lakini kwenye maji machafu inamanisha nini?

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 10 місяців тому +1

    Mimi juzi juzi nimeota naogelea

  • @user-pt4uf3he7d
    @user-pt4uf3he7d 7 годин тому

    Pila nililala nikiota nachota maj.ama.navuka mto basi aikai sk tatu msiba unatokea ndugu au mtu wakalubu ama julani.inamaana Gani ostaz

  • @kadeejakadeeja1929
    @kadeejakadeeja1929 8 місяців тому

    Mim nimeota niko naogelea baharini bahari imetuliy kish niko na mtoto mgongoni

  • @UmmyMgawe-pj1zb
    @UmmyMgawe-pj1zb Рік тому

    Unapoota unaoga baharini kisha unapomaliza kuoga unataka kutoka unakuta wenzio wamekukimbia ila unaogopa kutoka unaona simba wapo pembeni wawili kulia wawili kushoto unabaki ktk maji Mara unaona gari ndogo inakuja unaomba msaada lkn na wao wanaona simba wanakuacha Ina maana gn

  • @user-pt4uf3he7d
    @user-pt4uf3he7d 7 годин тому

    Tatu naota nipo naoga njee nikiwa mwenyewe gafla watu wamejaa najua Sina chakujiifazia mala nastuka

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 10 місяців тому

    Halafu sikuwa peke yangu niliota naogekea nipo na watu

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 10 місяців тому

    Ndio Inatakiwa qfanyiwa duwa shekhe duww kwani unasomaga Bei gani na unapatikana wapi

  • @user-ck3ii9im7l
    @user-ck3ii9im7l 5 місяців тому

    Ukiota upo kwenye maji na unachukua udhu na tena maji yanachumvi maana yake ni nn

  • @user-wx6qb3fh3m
    @user-wx6qb3fh3m 5 місяців тому

    nimeota naogerea na huo mto ninao oga uko nyumbani kwetu

  • @issakhalid8512
    @issakhalid8512 Рік тому +1

    Nini tafsiri ya ndoto ukiwa unaota unapanda mlima kabla hujafika kileleni unaporomoka na kudondoka chini .kisha unarejelea tena.?

    • @nyumbayatibanadua737
      @nyumbayatibanadua737 Рік тому +1

      Kupabda mlima kunajulisha kufanikiwa katika maisha yako, lakini inapokuja nukita ya kutofika kileleni na ukaporomoka, hiyo hujulisha kusha mafanikio yako.