Ukiota Na Nyoka Wa Rangi Hizi 4 Zina Manisha Nini?
Вставка
- Опубліковано 29 сер 2022
- Katika channel hii, huwa ninakusaidia kujua nini maana ya ndoto zako nikitumia misingi ya Bibilia Takatifu. Subscribe na ubonyeze Kengele ya Notification ili uzipate video zangu pindi ninapoenda live. Pia ukitaka kuwa wa msaada kwa huduma hii kupitia matoleo unaweza nipigia simu kupitia/Whatsapp 0706945821
- Розваги
AMEN AMEN 🙏🙏
Wimbo mzuri sana,barikiwa sana mchungaji
Amen Mungu amfunue mchawi anaenisumbua ktk familia
Thank you baba mungu akubariki kwa maarifa
Kabisa mtumishi barikiwa sana
Amen Amen and amen
Amen barikiwa Sana
Mtumishi ukiota nyoka WA gord anaingia sehemu za Siri inamana gani
Mchungaji naomba niombee nateseka nandoto zanyoka wiki nzima Leo nimeota mwanangu kag.atwa nanyoka mkononi nyoka alikua kwenye mti
Praise God,,,nabarikiwa sana
Nabarikiwa sana na hio tenzi
Ukiota nyoka mweusi na ana mstari mweupe amepanda juu ya paa na akashuka chini na vile alishuka nikaona panya mkubwa anatambaa
Shalom mtumishi
Ubalikiwe sana ukiota nanyoka wa nyano wengi wakakugonga ukipita njia yapoli
Ameen
Niliota na mama mndogo, nyuma yake kulikuwa nyoka nyeusi amelala.inamaanishaje
Rangi ya ugolo
Nabarikiwa kutoka Tanzania, Nina mambo mengi mno ya kuuliza, huenda ningepata namba yako ya what's up ingekuwa vyema zaidi
Ukiota unapita sehemu kuna shimo la karo wakati umeruka ghafla likabomoka upande lakini nilishavuka.
Niliota nataka kuonga, mama fulani akanitokea sikuonga. Inamaana gani???
Nini maana ya kuota ety unaskia nyoka kisha ety ukaiona Kubwa nyeusi ikapita qwa miguu kitadani, ikaanza kutoa sauti na mimi nkaanza kushout nkiita mungu, ikatabaa ikaeda, nkaamka n doto
Ukiota nyoka anarangi nyingi inamaana gan?
Nimeota mwanaume amepepa nyoka mbili ya kijani na brown but ziko na msitari Moja kutelemuka rangi ya Gold, brown mkono wa kulia na kijani mkono wa kushoto
Kahawia
Maji ya kunde
Sauti iko sawa kabisa
Amen mtumish ni rangi ya ugoro ndio brauni
Brian ni kahawia au Rangi ya kahawa
Nimeota nyoka akitokea kwenye kisogo Cha mme wangu sijui maana yake
ua-cam.com/users/liveh6j4DtVcbTU?feature=share
Kaha wiya
Baba namm nimeota nimeumwa nanyoko mweusi kwenye mkon wangu lkn kabra hajaondok nilimshika namm nikamuuuwa yule nyoka mn yak nini baba
Ni rangibya kahawia au udongo
Niliota mara ya kwanza nikiokota sindano ya kushona nyingi,tena mara ya pili nimeita napatiwa sindano nyingi na mtu sijui🤔 nizaidie kujua hii msg please mtumishi
Dady nini maana ya kuota na mbuzi
Nimeota nyoka wa kahawia
Inaitwa kahawia
Brown, ni kahawia
Ukiota nyoka wa kijani amekufa inamaana gani?
Rangi ya ugoro
Hauta Weza Kuzisoma Zote !
@Sarah Kamande nifuatilie kila usiku saa mbili nikiwa live nitakujibu vizuri
Paster mi niliota nashika nyoka kubwa na mkono nikaigogesha chini ikafa. Pia nikaona nyoka mwingine Akiniangalia sikuogopa.
😢
Umenichekesha mchungaji 🤣🤣🤣 blowin ni kwaswahili ni ugoro
Mchungaji niliota nimeuwa nyoka
Mungu akupe umri mlefu mtumishi nakufatilia nikiwa niko Tz
@ Moshi Ally Kuua nyoka ni ishara kuwa kuna adui wako umemshinda. Sasa tarajia ushindi
Amina
Amina mchungaji
Nabarikiwa sana na hio tenzi
Nabarikiwa kutoka Tanzania, Nina mambo mengi mno ya kuuliza, huenda ningepata namba yako ya what's up ingekuwa vyema zaidi
Hello uliweza kupata msaada au namba ya Rev. Easy way subscribe utapata notification na akiwa live utaweza andika ndoto na utajibiwa
Nimetoka napita kando ya mto nikakutana na joka kubwa jeusi likawa linatoka Kama kunifata pia Kuna mtu katokea kaliita kwamuito Fulani IV likaalisha kunifata Mimi likawa linaelekea kwingine nikawa nashtuka
@@SalomeFrenk-wz1ep subscribe kwa channel utapata jibu live Rev akiingia live