Aoe wawili kwa pamoja siku moja kwakua Mw.mungu ameanza na wawili,watatu,wanne ukishindwa mmoja hakuanza na mmoja.Tatizo linakija pale munapopata shida na mume baadae mmefanikiwa eti anaoa mwingine inatakiwa tupate shida wote.
SHUKRAN HABIBTY WANGU ❤❤❤JAZAKHALAUKHER🙏mume wangu kaoa niko miaka 13 ya ndoa nae.lkn baada ya kusikia hii UMEJUA KUNIJENGA MASHALAAH mengi nmejfunza ukhty khadja. ALLAH AKUHIFADHI🙏
Khutba nzuri maneno matamu mashallah ila haijawai niingia hata kidogo Mungu aniepushie huu mtihani au anipe iman ya ju maana daah anyway laa yukhalifu Allah nafsan illa ùs'àha
Masha Allah ukhty hadija hakika nimepona yamenikuta Ila nilisubir piaah Ila umeniongezea Tina Allah akuongoze katka kuwapa wengne tiba kwa ajili ya allah
Mi dada nikuambie kitu. Hao wanaosema kua hawawezi tena ukewenza, ajabu nikua: Wao wakiachwa huenda kuingia katika kuolewa na mwanaume mwenye mke. Nyinyi shida yenu hua hamtaki kuongezewa, lakini hua mnataka muongezwe. Nyinyi kua wake wa 2-3-4 hua hamuoni shida, shida yenu nikuongezewa tu. Mbaya zaidi, saivi wake zetu wanaona nibora mumewe AKAZINI wanavumilia, lakini hawezi kuvumilia mumewe akioa. TUNAMUOMBA ALLAH ATUONGOZE TU LKN NICHANGAMOTO.
Ukhty Khadija Maashaa Allah maashaa Allah dada etu umejitahid Sana Sana sisi ndugu zenu mnatufariji Sana zidini kutupa njian za kujikombo ktk mitihan tuna Iman kubwa Sana na yaqin kua haya mbo ni Qadar yake Allah s.w na ni kipimo Cha Iman zetu. uhibbuk fii llah dada Khadija.
Maa shaa Allah waache kuumia hayo Ni maamrisho ya Allah,Mimi mke wangu aliniambia nimuoe Rafiki yake awe mke wa pili,nili fanya hivyo ,na bado Ni marafiki
MashaAllah Mungu akujaalie afya na uzima nimepitia mengi zaidi yako lkn niombee uvumilivu zaidi ya hapo. Ni miaka 13 saa hii niko ndoani. Allah atuezeshe. Ameen.
Maallah allah akulipe umenifundisha kitu nikijapata mkemwenza nitajua nn nifanye maana hawa wanaume sasa hawaowei sunnah wanaoaoa tu na hawana uadilifu
Majeraha ya uke mwenza kumtokea ajali,bado hata kichwa cha habar hakijakaa sawa yaani mimi huwa nafikiria kumpima mwanamke imani yake ya utu na ni katika suala la kuoa mke wa pili
Yaan dada mm nimeolewa hata wiki haijaisha mke mwenzangu kafanya ushilikina mume haj Tena kwangu n hatak hata kupokea cm zangu nipo tu yaan hata sielew dada ukeweza mgumu ukikutana n ushilikina maana aliwai kunambia kwenye saba kuwa roho yake mzito kuja kwangu n anajiona anamuogopa Sana mkewe subhana llah bc mpaka Sasa ndo haj namutumiz hakuna cm hapokei innalilahi wainnailaihi rajiuun
Umeongea pointi pote ila umearibu kunako swala la vikoba na mikopo na kufanya kazi huko kutamshugulisha zaidi akaisahau familia yake na ibada zake na kumfanya awe jeuri katika ndoa . ( ikikupendeza ifanyie taraja kauli hiyo vikoba na kukopa maana vikoba ni miongoni mwa riba na kumshauri mke wa mtu awe bize na kazi siyo ) baraka llah fiykum
Vikoba na kukopa ni miongoni mwa riba??ni busara kukaa kimya kama huna maarifa juu ya jambo.Si kila kikoba au mkopo una riba .Ukht ameiweka vyema.Amesema vikoba na mikopo ya halali
@@kalamuMedia sawa aina shida akisha kopa eende wapi na hizo pesa? Hayo si mafundisho ya mtume Muhammad swalallah allay wasallam wala haipo katika aya wa hadithi kwamba mwanamke akafanye biashara . Ila imekuja kwamba makazi bora na salama kwa mwanamke nikukaa nyumbani kwake. Ila kama una unauelewa zaidi yangu alihamdulillah si vibaya nika stafidi kwako kwa aya na hadithi sahihi..lakini hizo nifikra za ki ekwani musilimun
Brother ahmed... Asalamu Alaikum warahmatullah wabarakaatuh.... Kufanya kazi ni kujipanga... Wake za Mtume walijishughulisha na kazi za nje pia... Kazi yenyewe ni ibada.. Bora iwe halali.. Bibi khadija alikua mtwiifu.. Wala hajamdharau RASUUL S.A.W. Dharau ni tabia ya mtu binafsi.. Sikipato.. Si vikoba vyote vyenye riba..vyengine twahara
@@aishamohamed9981 bibi Aisha alifanya biasha ila hakua biz na nyumba yk km uko kwenda soma unafanya iinda na inadi kwa kua mume ametkeleza agizo la Allah?
Mume wangu kaoa mke wa 2 siumii kwakuwa kaoa mke wa 2 ila kinachoniumiza ni huyo mke wake wakt alipokuwa mchepuko alinitukana hajanibakisha tusi lolote kanidharau kanijejeli kunifanyia Kila balaa icho ndokinachoniumiza basi Yani uyo mwanamke nisema ukweli kutoka moyoni simpendi na wala simpendi alf mume wangu kaoa bila ata kunambia chochote nimesikia nnje kwa watu km kaoa
Pole ila hata Mimi kwangu ni opposite make Mkubwa kanitusj nilivo kua mchepuko nimeolewa alhamdillah nimetulia hatulizani Wala Hali na mwenza ila ninamchukia,yaani I hate her sana mungu anisamehe
Mashallah ukhuty wangu uko vzur lakin mbana unarua Allah alivosma lau ningeamrisha watu wasujudiane ningemmrisha kwanamke amsujudie mume wake mbona hajasema mzazi wala mtoto
Ombi langu nyie walimu wakike munge kuwa munaweka namba zenu ili mtusaidie tunao pitia kwenye wakati mgumu ktk ndoa zetu mimi Nina mtihani sana na mke wangu nakosa msaada wallah
❤❤❤, mashallah tabarakah allah, tutajifunza, na sisì 😊
Mawaidha mazuri mnoooooo mashallah mashallah mashallah.... Allah atupe subra kwenye ndoa zetu za uke wenza
Yaan ukhtyy natamann mke wangu asikilize mawaidha yako ili nistarehh na mm .ila dahh .mungu akupe umri mreff uzidi kuwaelimisha ukewenza
Asante sana hii video imeniponya maana ndo nilichokuwa napitia kwa sasa..nataman kupata no ya huyu ukty nahitaji sana darasa kutoka kwakee
Alhamdulillah
Allah akujaalie utupe elimu zaidi inshallah
Aoe wawili kwa pamoja siku moja kwakua Mw.mungu ameanza na wawili,watatu,wanne ukishindwa mmoja hakuanza na mmoja.Tatizo linakija pale munapopata shida na mume baadae mmefanikiwa eti anaoa mwingine inatakiwa tupate shida wote.
Ha ha ha ha a a a a hicho Ndo kinachowaumaga wanawake wengi , Ila c Wote walioandikiwa Shida Wengine n Raha
MASHALLAH MASHALLAH ALLAH AKULIPE KILA LA KHERI ISHALLAH AKHUT
Mashaallah''' ukhti yangu nakupenda kwa ajili ya Allah. Mada ni nzuri na imeeleweka almuhim kuifanyia kazi ili ndoa zetu zidumu.
Mashaa Allah dadaake
Allah akuhifadhi duniani na kesho a akhera
Aaamin
Amiin
MASHAALLAAH MANENO YENYE MAZINGATIO NA YENYE LADHA NDANI NIMEJIFUNZA MAMBO MAPYA NA MAZURI ALLAAH AKULIPE KHERI NAKUPENDA KWA AJILI YA ALLAAH ❤
SHUKRAN HABIBTY WANGU ❤❤❤JAZAKHALAUKHER🙏mume wangu kaoa niko miaka 13 ya ndoa nae.lkn baada ya kusikia hii UMEJUA KUNIJENGA MASHALAAH mengi nmejfunza ukhty khadja. ALLAH AKUHIFADHI🙏
Amiin, Atupe lenye sote
Masha Allah Shukran Jazaqallah kher Mungu Akujazie Dadaa
Khutba nzuri maneno matamu mashallah ila haijawai niingia hata kidogo Mungu aniepushie huu mtihani au anipe iman ya ju maana daah anyway laa yukhalifu Allah nafsan illa ùs'àha
Nakuombea kwa Allah mtukuf akumiminie khairaat za dunia na akhera.na ma ukhty wenzako ukhty Fatma mdidi nawe unajitahid
Masha Allah ukhty hadija hakika nimepona yamenikuta Ila nilisubir piaah Ila umeniongezea Tina Allah akuongoze katka kuwapa wengne tiba kwa ajili ya allah
Mungu akupeni ushind ktk kuwaelimisha wanawke wakislam
Mashaallah hyu ndio wakumskiliza maana anamaneno mazur yakutuliza moyo.
Mashaa Allah tabaraka Allah Allah akuzidishie Kwa kutujuza
Mashallah barakala Mwenyezi Mungu akutunze Bi Hadija
Akutunze nawe pia
@@kalamuMedia waleikum slm ya ustadha shukran kwa mawaidha . Na wenye kusukumwa na kuoa na mavia ?
Huu kweli ni mtihani ndugu zanguni subhanallah
Mashallah tabaraka llah Ukhty wajina Wang Allah akuwekeye wepesi paliopo uzito na akupe mwisho mwema Ukhty ❤️❤️❤️
🛑🛑maashaalah wakumbushe ukhtiy ili nasi tupate nafasi ya kupeperusha bendera ya kuoa Nathan WA thulaathaa WA rubaagha
Asante sana Dada mawaiza Yako yamenijenga kiakili hendelea kutupa mawaiza tuimalike
Ma shaa Allah!!!! Somo limeeleweka. Shukraaan mwl Khadija!!!!
Mi dada nikuambie kitu.
Hao wanaosema kua hawawezi tena ukewenza, ajabu nikua: Wao wakiachwa huenda kuingia katika kuolewa na mwanaume mwenye mke. Nyinyi shida yenu hua hamtaki kuongezewa, lakini hua mnataka muongezwe.
Nyinyi kua wake wa 2-3-4 hua hamuoni shida, shida yenu nikuongezewa tu.
Mbaya zaidi, saivi wake zetu wanaona nibora mumewe AKAZINI wanavumilia, lakini hawezi kuvumilia mumewe akioa.
TUNAMUOMBA ALLAH ATUONGOZE TU LKN NICHANGAMOTO.
Tatizo lenu sio waadirifu
Kabla yakuongeza mke jitasmini huyo 1 ulonae unafika walau nusu ya mahitaji yake? Alafu sasa fanya maamuzi
Shukran ukhty Allah akulipe umeniongezea Tiba niseme umeniponya
Allah akuzidishie elimu umefikisha ujumbe mzuri sana ambae hatoelewa atubu kwa mwenyezimungu
Ukhty Khadija Maashaa Allah maashaa Allah dada etu umejitahid Sana Sana sisi ndugu zenu mnatufariji Sana zidini kutupa njian za kujikombo ktk mitihan tuna Iman kubwa Sana na yaqin kua haya mbo ni Qadar yake Allah s.w na ni kipimo Cha Iman zetu. uhibbuk fii llah dada Khadija.
Akupende zaidi Mola wetu mlezi, habibty
Maa shaa Allah waache kuumia hayo Ni maamrisho ya Allah,Mimi mke wangu aliniambia nimuoe Rafiki yake awe mke wa pili,nili fanya hivyo ,na bado Ni marafiki
@@kitengenyembo4223 Ma shàa Allah Allah awape upendo wa dhati
Allah akubariki ww na familia yako
@@kitengenyembo4223 Maa shaa Allah.Allah awazidishie mapenz nawe uzid kuwaombea Dua wake zako
Subhana'allah loe nimesikiya points kilasiku tunataka mawaidha kamahayo masha'allah
umenichekeeeesha sana ,worth sharing
MashaAllah Mungu akujaalie afya na uzima nimepitia mengi zaidi yako lkn niombee uvumilivu zaidi ya hapo. Ni miaka 13 saa hii niko ndoani. Allah atuezeshe. Ameen.
Mashallah Mashallah barakallah ❤❤
Alhamdulillah Allah akulipe kheri dear na akuongoze katika wema
Assalam alykm Dada iyo Mada ninzuri Sana ila Kanahawa wake wadogo ndo wanao sababisha matatizo
Mashaallah! Shukran kwa darsa
Naomba taratibu za kumpata dada huyu tumpe mwaliko aje singida kwa ajili ya dawa
Mashallah Mwenyezi Mungu akulipe
Masha Allha wajina Allha akuzidishie kila lakheli tunazidi kujifunza mengi
Maa shaa Allah bi Khadija umenijenga kwakwel Allah akulipe kheir
Alhamdulillah
Mashallah mashallah mashallah mwenyezi Mungu akubariki uendelee hivyo hivyo kutupa darasa nzuri
Mungu akulinde pamoja nafamilia yako uzidi kutupoza vidonda
Mashallah, Allah akullipe kheri inshallah
Allah akulipe kheri Maashallah
Maa shaa Allah jazakallah kheir
Shukran jaziilan
A w w ahsante sana dada mwenyrzi mungu akulipe mashaallah
Allah akuhifadhi ukhtih uke wenza unauma ila umenifariji
NAKWELI KABISA, ALLAH NDIO AWE KIPENZI CHAKO ZAIDI, KISHA MTUME, KISHA MENGINE.
Mungu anipe moyo kama wako sijui nitaweza mume wangu anawake wanne naisi kufa
MashaAllah asante kwa darasa nzuri
Jazakallah khayran
Mashaallah umenijibu maswali niliyo kuwa najiuliza mume akiingia akitoka neno hata ongeza mkee
Mashaaallah
Wafikishie MAANA wanamaradhi Sana ya USUMBUFU
Ujumbe ni wa wote. Tujielimishe
Alhamdhulillah nikweli tutajitahidi mungu atuwezeshe insha'Allah
Mansha allah allah awazidishiye
salalahu calayhi wasalam ♥️
Jazakallah khyra!!!!
MashaAllah ❤❤❤ shukraan habibty
Inauma sana ukewenza maana kuna na ushirikina na maradhi
Allah akupe pepo ya daraja ya juu ukhty
Amiin
Shukran San Anty
Shukrani ukhty
masha allah
Mashallah mashallah
Manshalla maneno mazuri sana
ALAH akubaariki Sana ktka DAAWA yako ya uke wenza
Amiin, Atubariki sote
dada uko vizuriiiiiiiiiiii sana
Ma Shaa allah naomba namba ya ustadhat in Shaa allah
Mungu akutongoze siku zote umenisaidia Sana🙏🙏
Shukren..
Ma shaa Allah Allah akujaze kher
Ameen
Mashallah allah bariki
Mshlah jazzakaAllah khairah
Asalam alaykum aky hivyo unavyoongea ndio msimamo nliouchukua alhamdulillah nko na aman wala sibabaiki
Naomba namba yako
Mashaallah Namuomba Allah akulipe gheri atusamehe pale tulipoghafilika
Uko vizuri ukhtii
We ndo mimi mashaallah hata sim sishiki
MASHAALLAH
Kuoa ni sunna hata mke mmoja sunna na sunna bora ni kua na mke mmoja wanaume hawawezi majukumu yao
Masha Allah
Mashaallah, ukthi umeitendea haki mada
Mashaallah shukran kwa darsa nzuri
Ni mazingatio makubwa .... Kiukweli Ndoa ni changamoto kiufupi ni kusema alhamdulillah na kuendelea na maisha
Uko sahihi bi Khadija tuteye nasie tuone kama tutapata ndoa hâta ya uke wenza
Maallah allah akulipe umenifundisha kitu nikijapata mkemwenza nitajua nn nifanye maana hawa wanaume sasa hawaowei sunnah wanaoaoa tu na hawana uadilifu
Mashallah
wanawake acheni kwenda kwa waganga kwa sababu ya jambo hili tutakufa tu
Tena Sana,waganga waongo na ukienda KW mganga kisa kuroga mme abaki kwako uko siku Sawa zitaisha nguvu Allah atuepushe KW hili
Mashaallah
Ukewenza sio shida shida Ni mwanaume
Asalam alaykum mm muume wng akiowa naenda mpaka harusini wala sina kinyongo chochote kile na tunapenda sana
mashaAllah
mwashallah❤
Allah wQbar
Mashaanlah
Mada ni nzul ila hata wake wakubw wanamitihan yao
Majeraha ya uke mwenza kumtokea ajali,bado hata kichwa cha habar hakijakaa sawa yaani mimi huwa nafikiria kumpima mwanamke imani yake ya utu na ni katika suala la kuoa mke wa pili
waalykum msaalam waramatulsh wabarakatul. Masha Allah tabaraka Allah ❤❤❤
Yaan dada mm nimeolewa hata wiki haijaisha mke mwenzangu kafanya ushilikina mume haj Tena kwangu n hatak hata kupokea cm zangu nipo tu yaan hata sielew dada ukeweza mgumu ukikutana n ushilikina maana aliwai kunambia kwenye saba kuwa roho yake mzito kuja kwangu n anajiona anamuogopa Sana mkewe subhana llah bc mpaka Sasa ndo haj namutumiz hakuna cm hapokei innalilahi wainnailaihi rajiuun
Pole sana,Allah akufanyie wepesi
Pole ndugu mhh
Subuhanna Allah..Allah akuzidishie Subra..kuwa karibu na Ibada Mumeo atarudi usifanye Shirki..
SubhannaAllah 😢😢😢
Umeongea pointi pote ila umearibu kunako swala la vikoba na mikopo na kufanya kazi huko kutamshugulisha zaidi akaisahau familia yake na ibada zake na kumfanya awe jeuri katika ndoa . ( ikikupendeza ifanyie taraja kauli hiyo vikoba na kukopa maana vikoba ni miongoni mwa riba na kumshauri mke wa mtu awe bize na kazi siyo ) baraka llah fiykum
Vikoba na kukopa ni miongoni mwa riba??ni busara kukaa kimya kama huna maarifa juu ya jambo.Si kila kikoba au mkopo una riba .Ukht ameiweka vyema.Amesema vikoba na mikopo ya halali
@@kalamuMedia sawa aina shida akisha kopa eende wapi na hizo pesa? Hayo si mafundisho ya mtume Muhammad swalallah allay wasallam wala haipo katika aya wa hadithi kwamba mwanamke akafanye biashara . Ila imekuja kwamba makazi bora na salama kwa mwanamke nikukaa nyumbani kwake. Ila kama una unauelewa zaidi yangu alihamdulillah si vibaya nika stafidi kwako kwa aya na hadithi sahihi..lakini hizo nifikra za ki ekwani musilimun
Brother ahmed... Asalamu Alaikum warahmatullah wabarakaatuh.... Kufanya kazi ni kujipanga... Wake za Mtume walijishughulisha na kazi za nje pia...
Kazi yenyewe ni ibada.. Bora iwe halali.. Bibi khadija alikua mtwiifu.. Wala hajamdharau RASUUL S.A.W.
Dharau ni tabia ya mtu binafsi.. Sikipato..
Si vikoba vyote vyenye riba..vyengine twahara
Yes binadam atatubu apo
@@aishamohamed9981 bibi Aisha alifanya biasha ila hakua biz na nyumba yk km uko kwenda soma unafanya iinda na inadi kwa kua mume ametkeleza agizo la Allah?
Maneno mazuri kabisa.
Ni kweli kabisa, lakini kuna ubaguzi hapo kwa siku zijazo.
Kama kipi
@@aisharajimbo6784 vizazi vijavyo kuhusu watoto yaَ nini kuoa oa kuletesha fitna?
@@fatmaalnabhani3609maisha yote ya dunian fitina ww kuepo kwako hp dunian bas fitina kwako na kw wat wengne
@@fatmaalnabhani3609 Yani hizi fitina Ni mikakati ya Allah hapa dunian lengo kuchuuja msafi na mchafu
@@fatmaalnabhani3609 dada angu tulete istghfar na tusijihisi tuko peke etu na ndo tunastahiki zaid Yale alotufitinia mwenye enz mungu
Mume wangu ndo hasubutu kuongelea kitu ukimuambia tuongee ha utajuta kuzaliwa
Yaaani kuongelea kuhusu uke wenza ama katika jambo lolote ndugu yangu
Mume wangu kaoa mke wa 2 siumii kwakuwa kaoa mke wa 2 ila kinachoniumiza ni huyo mke wake wakt alipokuwa mchepuko alinitukana hajanibakisha tusi lolote kanidharau kanijejeli kunifanyia Kila balaa icho ndokinachoniumiza basi Yani uyo mwanamke nisema ukweli kutoka moyoni simpendi na wala simpendi alf mume wangu kaoa bila ata kunambia chochote nimesikia nnje kwa watu km kaoa
Pole ila hata Mimi kwangu ni opposite make Mkubwa kanitusj nilivo kua mchepuko nimeolewa alhamdillah nimetulia hatulizani Wala Hali na mwenza ila ninamchukia,yaani I hate her sana mungu anisamehe
Mashallah ukhuty wangu uko vzur lakin mbana unarua Allah alivosma lau ningeamrisha watu wasujudiane ningemmrisha kwanamke amsujudie mume wake mbona hajasema mzazi wala mtoto
Kuna utii na mapenzi, somo ni mapenzi sio utii
Ombi langu nyie walimu wakike munge kuwa munaweka namba zenu ili mtusaidie tunao pitia kwenye wakati mgumu ktk ndoa zetu mimi Nina mtihani sana na mke wangu nakosa msaada wallah
Pole Sana kaka inshaaallah tuombe kheri mtihani utakuondoka
Pole sana kaka angu
Usichoke kumuomba Allah akufanyie wepesi maana ndoa pia ni mtihani