Aliyeona Nyoka ndotoni (1):Skh Jafari Mtavassy

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 тра 2018
  • Watu wengi huota Nyoka usingizini ndoto hii njozi hii hujulisha taarifa ya kwamba Luna jambo jipya nalo ndio hili ambalo anatujuza Imaam Skh Jafari Mtavassy .usisahau kushea ili wengi waelimike maana leo watu wanadanganywa na wanadhulumiwa tu kila kukicha wanahamu na kujua nini chakufanya ila wanakutana na watu waongo wanawapotosha na kuwadanganya usisahau ku subscrib na kama una jambo tunaomba comment yako

КОМЕНТАРІ • 76

  • @greatiq8234
    @greatiq8234 4 роки тому +3

    Ndoto ya kung'atwa mikono na mtu mwenye umbo la kamba wabaharini, pembeni kukiwa na mama (binaadamu) mwenye macho ya papa(shark) huku viatu vyangu (nikiwa mgeni wao) wakivifanya ndiyo bakuli za kulishia kuku wao machicha ya nazi.
    Nimepambana sana nikuone nilipo kuwa Tanzania lakini bahatihaikuwa yangu. Hata kwa simu!

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  4 роки тому

      Wewe unaandamwa sana japo ni habari ndefu kukuelezea maana inaonyesha unayo taarifa ya kinachokusibu na kama haujui tafuta muda

    • @greatiq8234
      @greatiq8234 4 роки тому

      @@MTAVASSYTv Mimi sipo Tanzania. Nilikuwa huko miezi mitatu nyuma. Nilikutafuta lakini uliniambia uko bize. Ulikuwa Tanganadhani. Ni mpaka nije tena likizo.
      Nina mitihani mingi mno inasumbua maisha yangu. Naomba dua zako. Naomba dua zenu.

    • @khadijaabdallah3074
      @khadijaabdallah3074 2 роки тому

      Asalam Aleykum warahmatullah wabarakatuh.shekhe Mimi nimemuota nyoka mwekundu kasimama watoto wakaniambia mama nyoka nikawaambia nimemuona.ila kulikuwa na shemeji yangu na mjomba wake wapo nyuma yangu wamekaa wanambia tokeni nikawajibu tunatoka Ila mtoke pole pole asijue ili Sisi tumuue.tukatoka nikakuta wanafunzi wengi wananawa ili kujiandaa kwenda shuleni na Mimi wangu pia walikuwa wananawa vile kwenda shule .walipo maliza kunawa wakaenda shule ndipo nikarudi ndani kuwauliza shemeji yangu na mjomba wake.mumemuuwa wakajibu ndio Ila tumehangaika kumuua mpaka tumemchoma na mkuki huo mkuki ni wangu nilinunua .sasa sijui ina maana gani shekhe nisaidie

  • @user-gq4hc3yy6n
    @user-gq4hc3yy6n Місяць тому

    Baadae walikua wawili moja ni wa rangi ya kijani mwengine ni mweusi wa kubwa

  • @florencemkaighombo5608
    @florencemkaighombo5608 2 місяці тому

    Mtoto wangu aliota nyoka ya green imemuuma

  • @user-gq4hc3yy6n
    @user-gq4hc3yy6n Місяць тому

    Mimi niliota nilipeleka nyoka nyumbani akiwa mdogo baadae akawa mkubwa babangu akamuua

  • @jenelomboma9882
    @jenelomboma9882 5 років тому +3

    As.alaykum skh shukran saana naomba nikubashirie na weweskh wetu maaashaa Allah weweni kinana na unaakili nyingi na uwezo was kufikiri Mana ndoto watu wanasoma misingi tu Sasa kwa umri huo unaoonekana nao Basi Allaah akikuongezea kidogo tu umri ukaapta kwenda kwenye 40 nakubashiria kwamba hakuna skh was Zama hizo ila atatamani akuone apte Dua yako skh natamani Sana Sana Kama ningekuwa mmoja wa watoto wako was mshipa ili niirithi kwako elimu namisingi yake Kama ulivyoichukua naomba Allaah ayathibitishe niliyoyanena na uendelee kuwa juu ya ubora aamiin

    • @watototunawezatuwezeshwe6126
      @watototunawezatuwezeshwe6126 2 роки тому

      Allah atakujaalia elimu unayoitamani na uitumie katika misingi ya Kiislam. Jitahidi kusoma na Allah hana hiyana.

  • @aishajuma7192
    @aishajuma7192 2 роки тому

    Mimi nimemuota nyoka mdog mdog na kakimbilia kwenye Nyumba ya Jirani Yangu ambaye anamjua kabisa

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 9 місяців тому +1

    Mume Wangu kasema amemuota nyoka mkubwa wa kijani lakin hakiwadhuru

  • @watototunawezatuwezeshwe6126
    @watototunawezatuwezeshwe6126 2 роки тому +2

    Assalam alaykum wapenzi wote na sheikh Mtavassy. Sheikh mimi nimeota mwanangu wa kike anawalisha nyoka kwa mkono nao wanakula bila ya kuwepo ishara mbaya. Kama rafiki. Naomba unifasirie ndoto yangu asante sana na Allah akuzidishie ujuzi amiin

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  2 роки тому

      Wa,salaaamu warahmatullahi wabarakaatuh hii naifasiri kwa clip kesho inshaallah au kive streaming usikose tutamtaja mtu wa aina hiyo na maana yake

    • @samamussakibwana5703
      @samamussakibwana5703 2 роки тому

      Uzazi utapata mtoto

  • @hadijahussein6302
    @hadijahussein6302 2 роки тому +1

    As salamu alaikumu wa rahmatulah wabarakatu barkalah fika,

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  2 роки тому

      Wa,salaamu warahmatullahi wabarakaatuh

  • @WinifredMwashilindi
    @WinifredMwashilindi 3 місяці тому

    Niliota nyoka wakati nimelala wapo mwishoni mwa kitanda miguun watatu. wawili ni wadogo mmoja mkubwa hawa wawili. mdogo wangu akawauwa abaki mkubwa yule mkubwa akawa anapandisha ukuta anaondoka maana yake ni Nini?

  • @bayaanhumud4328
    @bayaanhumud4328 5 років тому +3

    Shekh mm niliota nimemuona nyoka chumbani ninapo lala mkubwa yumo ndani ya mfuko kijizonga zonga ila kichwa katoa nje ya ule mfuko yaani sehemu yake fupi pamoja na kichwa chake kajitoa nje ya mfuko lakini nikampiga nikamuua

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  5 років тому

      Utamshinda adui yako tena inaweza kuwa adui mwanamke au jinni shaitwaan amma mtu unaekwenda kushindananae

  • @salmahamis7415
    @salmahamis7415 4 роки тому

    Shehe nimeota nyoka wengi wadogo duuu naogopasana

  • @AinaMsakwa-pc7em
    @AinaMsakwa-pc7em Рік тому

    Nimeota nimeona nyoka ndani ya nyumba kwenye Kona amezaa vitoto....nikatoka kumwita mtu amuue. Akaanza kumpiga kwa fimbo

  • @mwantumuyusuph1209
    @mwantumuyusuph1209 5 років тому

    mwalimu asante sana unatuelimisha kuna watu wezii majiziiii wanadanganya watu na wanawatapeli kwa kujifanya waganga na wakiwaeleza njozi tata tu basi wanawatisha wanawatapeli nilipoona video zako naapa machozi yalinitoka Mungu akushike mkono aamin

    • @rukiakassim7925
      @rukiakassim7925 4 роки тому

      Asalam alaykum shkhe mm nimeota nyoka mkubwa mfano wa chatu lkn baada ya wiki mbili nimeota joka hilo limela chali limenyooka sawa sawa inamaana gani hii ndoto naomba jibu

    • @mariammariam642
      @mariammariam642 4 роки тому

      👏👏

  • @misslady43
    @misslady43 2 роки тому

    Shekhe mm nimeota nimekunjiwa nyoka shingon nimepelekwa mahakaman bila kosa, nilipo fikishwa ndiyo wakaniambia mzungushie nyoka shingon asije kukimbia nilkuwa napandishwa g'horofa tu ndefu nimeamka nimechoka nipo hoi hapa sjui hii ndoto ina maana gan jmn

  • @mariammariam642
    @mariammariam642 4 роки тому +2

    Mashallah

  • @aksamayuni911
    @aksamayuni911 3 роки тому +1

    Asalam Alaikum haliyako Ostaz mie nimeota nimekwenda safar namwenzang gafla nikaona mayai yanyoka tuka yapasuwa gafla akatokey nyoka mweupe aka mfukuza aka mtafun yule mwenzang aka geuka akawa ana nifukuza nmie nikawa nakimbiya gafla akaniuma namie ila sikuzurika hii ina man gani Ostaz naomab msad wako

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  3 роки тому

      Unae adui ambae bado hajakudhuru kwa anayoyafanya dhidi yako ila ni hatari huyo

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 Рік тому +1

    Asalam alykum nini maana ukiota unauza nyoka hatari sana

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  Рік тому

      wa,salaamu warahmatullaah utasababisha bfitna wewe kwani nyoka hana faida hupatikana sumu kwake hivyo ni fitna inatajwa badilika kitabia na uchunge ushsuri wako na pia kauli zako kuwa makini sana maana inaweza ikajuza kama kuna jambo umefanya kwamba wewe ndio chanzo cha hayo yanayotokea

    • @lifeinmiddleeast8179
      @lifeinmiddleeast8179 Рік тому +1

      Subhana llah nadhani nilikosea kuandika Bali nilimkanyaga nyoka na kumuuwa

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  Рік тому +1

      @@lifeinmiddleeast8179 hapo utamshinda adui au adui atakata tamaa kwako

  • @hazamhazam8294
    @hazamhazam8294 Рік тому +1

    Nyoka anauliwa na watu ni nipo pembeni natiza tu

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  Рік тому

      Hapo unaombewa udua kuondoa shetani au matatizo. Tafuta dua haraka huwezi ona hii ndoto ila kuna jambo laja au upo matatizoni

  • @johainachari8374
    @johainachari8374 4 роки тому +1

    MI niriota nyoka watatu wakubwa wawiri mtoto mmoja nikauwa mkubwa namdogo mmoja kakibia mwazoni warikua wananitisha nikawa nakibia

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  4 роки тому

      Toa maelezo vizuri ili nisielewe tofauti ndugu yangu

  • @kassimnandule918
    @kassimnandule918 5 років тому

    Nimeota nimemkamata nyoka mkubwa kichwani tena kwenye chumba cha mteja wangu na nipo na mfanyakazi mwenzangu tena huyo nyoka alinilushia yeye nikamkamata kwa mikono yangu miwili sehem ya kichwa mpaka nikamkata kichwa damu zilitapakaa chumba kizima ikabakia kufuta damu kwani kila kona kulikuwa na damu nilivyomaliza zile damu kufuta nikatoka nje nikakutana na mwenye nyumba na familia yake wakanipa kazi ya hela nyingi sana mara nikashu2ka kutoka usingizini hii inamaana gani Dr

  • @khadijaahmed7455
    @khadijaahmed7455 3 роки тому +1

    Asalam alaykum sheikh, mimi niliona nyoka 3 mmoja rangi ya brown mmoja simkumbuki rangi mwengine amechorwa kama vile masanam yale ya misri huyu yeye alikua na rangi nyingi ila ya mamjano ndo imekoza zaid,kati ya hao yule wa rangi ya brown ndo alinifuza na nilipigana nae mpaka alipasuka zile damu zikaniingia mwlilini na uson ila hakufa alinikimbia tu na wale wawili walikua wakitazama tu..

  • @baylamkandwa3895
    @baylamkandwa3895 4 роки тому

    Kama joka likiwa kubwaa Alafu laingia ndani kinyume nyume

  • @yusuphmjili7763
    @yusuphmjili7763 4 роки тому +1

    asalam alaykum maalim naomba kujua niliota napaa juu nasikushuka chini alaf naelea angani

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  4 роки тому

      Utapata neema ama utajiri au kiwashinda wengine katika jambo munaloshindana

  • @aishanimeipendasanajuma101
    @aishanimeipendasanajuma101 4 роки тому +1

    Japo siku moja nijb comment zangu hujawahi nijb swali langu hata moja na nimfatiaji sana wa vpnd vyako lkn cjui nina bahati gan kwako

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  4 роки тому

      Pole dada uliza nikujibu inshaa Allaah

  • @yasobush8987
    @yasobush8987 3 роки тому +1

    Shekh,Nimeota chatu kwenye mti anamlewesha nyoka mdogo wa kijivu juu ya kichwa,nikakimbia nikaondoka.

  • @khadijaally7271
    @khadijaally7271 3 роки тому +1

    Sheikh mimi niliota nyoka wawili mmoja mkubwa tena mnene na ni mweusi na mwengine mdogodogo wa kijani wanatoka katika kitanda nilicholala lakini sikulala pekeangu nikawa napiga kelele

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  3 роки тому

      Yaweza juza kuwa kuna fitna itakuja kwenye mahusiano yako au unashaitwaan anaefanya mambo yako ya kimahusiano kuharibika

  • @petersanga2314
    @petersanga2314 5 років тому

    Nimemuota nyoka mkubwa chatu mweusi ananikimbiza akameza mwanangu na wadogozangu, akawa kalala chini mamba wakamvuta kwenyeshimo. Nikashituka nikalala tena nikaota nyoka yupo ndani kwangu kwenye jaba LA maji nini maana yake

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  5 років тому

      ni uadui kutoka kwa mtu wa karibu

  • @alexkalonga3632
    @alexkalonga3632 4 роки тому +1

    Mi nimeota nyoka ananikimbiza shekhe

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  4 роки тому

      Pole sana nenda ufanyiwe msaada na wewe ujiombee pia kuna adui anakuwinda kichawi

  • @bayaanhumud4328
    @bayaanhumud4328 5 років тому +1

    Please shekh kama ukiona comments yangu naomba unijuze

  • @halimathadey7240
    @halimathadey7240 Рік тому +1

    Nimeota nyoka anamng'ata mwanangu alafu Nika muua nin tafsir yake

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  Рік тому

      ataumwa na kupona kama tu haisemi atapatwa na uchawi au ugomvi na hali hizo zitakwisha inshaallah

  • @ayushsaeed1051
    @ayushsaeed1051 4 роки тому

    Mm niliota joka jeusiii tiii ananiangalia na ulimi wake anautoa nje na kuurudizha ndani

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  4 роки тому +1

      Achana na mambo ya mizimu fanya ibada iliyonyooka hata hao majini wanaabudu kwa Muumba wa mbingu na ardhi na viumbe vyote vya stahiki kuabudu kwa haki sasa inaonyesha kuna jambo mizimuni linakusumbua nakuhusia usishikamane na hilo

    • @ayushsaeed1051
      @ayushsaeed1051 4 роки тому

      Asante lkn sijawahi na sijui mzimu ni nn labda mabibi waliopita je nitaepukaje hii ali

  • @winifridakilumbu148
    @winifridakilumbu148 4 роки тому

    Njoka wa njano yupo juu ya meza hakutaka kunigonga ila Nina taka kumuuwa akaingia kwenye shimo akapotea sikumuona inamaana gani??

  • @nzeyimanaanassi3585
    @nzeyimanaanassi3585 3 роки тому

    Nimeota mtu ameshik nyoka mweusi shingoni anapambana nayo nikakimbia isinizuru

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  3 роки тому

      Ndoto inakujuza umeepushwa na matatizo makubwa yasikufikie

  • @aishanimeipendasanajuma101
    @aishanimeipendasanajuma101 4 роки тому +1

    Mm nimeota nyoka lkn c kumuona ila wenzangu wakawa waniambia njoo muone nyoka huyo aja huko nikawa na kimbia sikutaka kumuona nasikumuona ina maanisha nn

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  4 роки тому

      Hiyo ni ishara ya kuwa wewe unaambiwa kuhusu adui unadharau au kuna adui unaepushwanae kwa bila wewe kujua

  • @rukiakassim7925
    @rukiakassim7925 4 роки тому +1

    Shekh mm nimeota nyoka mkubwa mfano wa chatu kujizonga kwenye ringi la gar linachezacheza inamaana gani? Lkn cha kushangaza nimekaa km mwezi mmoja nikaliota ilo joka limelala chali, limenyooka naomba shekh inamaana gani hii ndoto

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  4 роки тому

      kuna shaitwaani wa kijini anachezea neema zako anafanya kazi ya kukusumbua na kupumzika baada ya kuona mafanikio na ukiwa wanyookewa aja tena jihadhari kwa maana hela itakuwa haikai kwako na matztizo mengi

  • @babyshee2671
    @babyshee2671 4 роки тому

    A

  • @inabikorwaneema8815
    @inabikorwaneema8815 5 років тому

    Jazzak'Allah kheir

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  5 років тому

      aamiin wa anta kadhaalika

  • @rahabudecandy4442
    @rahabudecandy4442 4 роки тому

    Nimeota nyoka was njano anamadoa meusi na mistar meusi nikaita watu walipo kuja wakamuua lakin nilipo amka asubuh nikamuona nyoka yule yule ila akiwa katika hali ya udogo na rangi yake ileile na akakimbia kwenye mti mdogo wenye rangi ya njano na kijan nikamuita mtu mmoja akamuua km kwenye ndoto maana yake nn?

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  4 роки тому

      haitaki tafsiri tena hutkeaga mtu kuona jambo likawa asubuhi hivyohivyo au baada ya masiku

  • @zaynabsheby8139
    @zaynabsheby8139 4 роки тому +1

    Mm niliota nyoka ananikimbiza Sana lakini yy mkubwa alikuwa na vicha vi nne mwekundu lakini wakati nakimbia nilifika kwenye nyumba moja nakufunga mlango wakwaza nikakimbitena nakufunga wapili nikawa na soma kuruani sana tu nikashituka kuangalia saa ilikuwa 8:12 nn maana yake

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  4 роки тому

      Dumu na qur an au tafuta hata wataalamu zaidi wakusaidie ndio itakuwa kinga yako kuna uadui utakuandama wewe yainyesha au umo ndani yake na usikate tamaa kwani waweza ombewa na ukahic bado kuna fujo fujo sasa wewe dymu na haki hiyo kwani uliona ukifunga mlango zaidi ya mara moja yaani ukifunga milango miwili kwa maana yakupasa nililokwambia

    • @zaynabsheby8139
      @zaynabsheby8139 4 роки тому

      @@MTAVASSYTv ndiyo nilifunga wakaza na wapili ndiyo nikawa nimeuegemea mlango huku nasoma quruni

  • @jacklinechalse1966
    @jacklinechalse1966 4 роки тому

    Habari SHEHE nimeota uck Wa Leo vitu vya dhahabu katika hivyo vitu kuna mama mmoja alikuwa anaviiba badae akaondoka na mimi nilivitaman sana nivichukue nilipoenda katika chumba ili nichukue vikapotea sikujua vieenda wap naomba unisaidie nini maana ya hii ndoto

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  4 роки тому

      kama hautakosa mirathi wewe basi basi ni kupata khasara na mkosi yaani nuksi katika maisha yako tafuta njia ya kujinasua jiombee na tafuta tiba madhubuti hata kinafsi pia

  • @jenelomboma9882
    @jenelomboma9882 5 років тому +1

    As.alaykum skh shukran saana naomba nikubashirie na weweskh wetu maaashaa Allah weweni kinana na unaakili nyingi na uwezo was kufikiri Mana ndoto watu wanasoma misingi tu Sasa kwa umri huo unaoonekana nao Basi Allaah akikuongezea kidogo tu umri ukaapta kwenda kwenye 40 nakubashiria kwamba hakuna skh was Zama hizo ila atatamani akuone apte Dua yako skh natamani Sana Sana Kama ningekuwa mmoja wa watoto wako was mshipa ili niirithi kwako elimu namisingi yake Kama ulivyoichukua naomba Allaah ayathibitishe niliyoyanena na uendelee kuwa juu ya ubora aamiin