Shekh wangu kuondoshwa ktk cheo ulichokua nacho umshukuru sana Allah na uwape shukran walio kutoa ktk uwongozi hio ndio kheri y'ako ya kusamehewa madhambi y'ako kubaki salama na mwenye afya njema, Allah akurehem na akufanyie wepesi ktk hajazako njema inshaallah🙏
Mitihani tumeumbiwa wanadam ila yote ni kumshukuru allah ktk kila mtihani unaokukuta neno moja tu ni kuseme alhamdulillah huwezi jua ya mungu ni kwann wamekuondoa ktk nafasi hii dua yangu kwa allah akujalie subra uvumilivu na akupe kheri hapa duniani na kesho akhera
Huyu shekhe wa mkoa alikuwa anakubalika sana ni kiongozi mwenye hekima na muadilifu sana MUNGU akujalie subira na imani siku moja utakuwa shekhe mkuu wa Tanzania.mimi japo mkristu namkubali sana shekhe huyu anaeongea. Mungu akupandishe juu baba musa
Alhamdulillah. Natamani masheikh wetu waachane na kusema mabaya ya watu katika vyombo vya habari na hata katika mijumuiko ya watu mana dininyetu inakataza. Mwite mwambie, mkosoe na mwelekeze ili akawe mjumbe mzuri zaidi kwa waumini wengine Jamani it’s not a muslim culture kusimama mbele za watu kumzungumzia vibaya muumini mwenzio. Subhanallah!!
Kiukweli waislamu mmefeli sana Doctor mwaka mhuni tu wa mjini anawafitinisha hadi mnamuondoa huyu shehk ktk kiti jamani ,kiukwel mimi ingawa ni mkristo imeniuma sana
ALLAHUMMA GHUFIR LAHU WAARHAMHU MASKANAHU FILJANNA. POLE SANA MUFT WETU, SHEIKH WETU WAMKOA, SHEIKH WA WILAYA YA KOROGWE TANGA, WAFIWA PAMOJA WAISLAMU WOTE MLIYO GUSWA NA MSIBA HUO ALLAH MJAALIYE MAKAZI MEMA MAREHEMU WETU WOTE WAKIISLAM NA UWAEPUSHE NA ADHABU YA QABR KWAREHMA ZAKO TUKUFU
Mie pia machozi yamenitoka mwenyezi mungu akuongoze ila kama umfanya sheria inavyosema katika ili linalokuondoa leo madalakani basi mwenyezi mungu hulipa hapa hapa duniani naka kweli ulikwenda kinyume ba sheria katika ilo linalokuondoa apo ulipo basi mwaka atakaa na mkewe inshallah
Alhadulillah Assalatu assalamu alayka yea rasulallah sallallahu alayhi wasallam alllah hafiz alllah huakbar,yes all'answer control of allah no tention, waiting that's right.also, alllah Allahus samad,
Maalim @alhad twashukuru sana kwakutuongoza paka kufikia Leo kuondoka kwa cheo chako maana kila binadam anamapungufu yake kwakwel umejitahid mwalimu au shekh wetu alhad mussa salum mungu AKULINDE insha'Allah ,,ILA shekh wetu mcheshi we shekh wareed karibu sana katika kitu cha cheo🙏🙏🙏😍😍
Umefanya mema sana na pia umefanya mabaya, ila mda umefika wa wewe cheo hicho kukuacha si kwa ajili ya Dr mwaka ila tu mda umefika. Mwenyezi mungu anawapenda waja wake, bado yupo na wewe usilie umesalimika na balaha ambalo lingekushinda, mshukuru Mwenyezi mungu sana kwa kukuepusha
Nimemfahamu shekhe walid nikiwa nasoma kwa shekhe ramia bagamoyo ni mtu mzuri sana na nini dalili za mtu mzuri watu wengi humkimbilia na yeye hachagui wote ni wake kama mzee muhiya na wa wanawe na ndio uislamu ukiwa na cheo usijione bora kuliko wengine ALLHA ATUHIFADH WAISLAMU WOTE ALLHA HUMA AMEEN.
Mimi siyo mwislam kwa dini Ila tujitahidi kuwaheshimisha viongozi wanao tuombeeni na kutuongoza kwa khaki ya MWENYEEZI MUNGU. Hatuwafundishi wasio mjuwa MUNGU kuona Wema na kuonyana kwa upendo na subila kiukweri ni kumpa Adui nafasi Ya KUTUKANWA mwenye heshima mpe heshima tujifunze kwa MANABII na mitume kustahimiliana
Hapa haikutumika hekma ilifaa hata kwa baadae wamuondoe ila sio kwa hii style maana haikuleta picha nzuri. Kwa sasa, watachimbuka wengi kama kina mwaka. Haijapendeza
Wamemuonea sana sana huyu shekh..kama kweli wamemtoa kwenye uongozi kwasababu ya mke wa mwaka watapata malipo yao hapahapa duniani..maana huyu shekh yeye hakumuita mke wa mwaka aende kushtaki pale bakwata naomba hilo lijulikane
Mwalimu wangu alhad mussa tangia akiwa mwalimu wa madrasat maamory alikua ako na machozi yaharaka sanaaaaa ilikuaga yuatuliza marangine pale maamory tmk.
Ukiwa na roho mbaya huwezi elewa nini maana ya machozi.Tena hasa kwa mtu mzima anafanya jambo hilo mbere ya macho ya watu wengi.Hata kama anabaya inamaana hana hata jambo moja zuri alilo watendea waislam?
Msanii Alhadi, Hapo Tayari Kashamkorofisha Mufti, Ana khofia Kuenguliwa nafasi yake na Ndio Maana Anakimbilia Silaha ya Watoto (Kuliaa😭😭😭) Alhadi Ni msanii Sana, Tena Anaweza kuwauza Wooooote hapo, 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
huyu kinachoörisha cıo kukosa kaz ya uongoz n khof ya kuish hapo mjinin maana alkuwa akıwasema mashekh wenzake NJAA tu cjuı hamna pa kwenda sasa leo yyy atakuwa mgen wa nani??????
Kupokezana ktk madaraka ni Jambo la kawaida unakililia cheo ulitaka uongoze Hadi kifo? Lazima uamini qadar, pia hata mimi uliniuzi kusimamia kuua ndoa ya mtu si Jambo zuri, wewe ungejisikiaje kama unakorofoshana na mkeo hakuheshimu Halafu ukagundua Kuna kiongozi anampa taraka huoni nawe unamtia kiburi mke wa mwenzio?
Huyu msanii sana katoka kulia kwa marehemu kaja kumlilia mufti eti anamvumilia ili azidi kumvumilia kwa upuuzi wake kilamtu anamjua anaachisha ndoa za watu halafu anawatomgozaa wanawake walioachanishwa na yy dah huyu jamaa noma ila iko siku kiti anachojigamba nacho kitamfedhehesha tu maskini samaah mufti mkarimu mchamungu mtu wa watu ila kwa huyu hapana msani tu
@@abdulrahmanmwadini5925 mpuuzi niww unaeongeaa upuuzi na kutetea wapuuz kuna Lundo la mashahidi ninaaakili timamu najua ninachoandika kwahio usitete watu wenye makosa we unajua kuachanisha wana ndoa arshi inatikisika au hujui dhambi yake kwahio mwambie msanii wako Allah anamuona na atamlipa atubu haraka na awe muadilifu. Laasivo machungu aliowafanyia watu hayatapita bure kamaatadinu tudanu what's goes around comes around hakuna mkamilifu tubuu taubatan nasuhaa
Bismillah,kwa kiongozi mkubwa kama huyu ilitakiwa kutumika hekima na busara kukaa naye kumueleza mapungufu take,kwa maana ss binadamu hakuna mkamilifu.
Hawakumtendea haki kwa nn wasimuite kwenye baraza hakumlazimisha Mkewe Dr Mwaka kutengua ndoa yake bali ni matakwa yake Queen mbona hadi leo anaitaka talaka yake ilaanazungushwa pana kitu nyuma ya pazia mdhambi kubwa sn mliyomtendea Sheikh kumtengua na inasikitisha sn sn
Shekh wangu kuondoshwa ktk cheo ulichokua nacho umshukuru sana Allah na uwape shukran walio kutoa ktk uwongozi hio ndio kheri y'ako ya kusamehewa madhambi y'ako kubaki salama na mwenye afya njema,
Allah akurehem na akufanyie wepesi ktk hajazako njema inshaallah🙏
Amevuna alichopanda
Daima vipenzi vya Allah ndy hupitia mitihani migumu,Hivyo Mwenyezi Mungu atakupa njia ya kutokea InshaAllah.
Mitihani tumeumbiwa wanadam ila yote ni kumshukuru allah ktk kila mtihani unaokukuta neno moja tu ni kuseme alhamdulillah huwezi jua ya mungu ni kwann wamekuondoa ktk nafasi hii dua yangu kwa allah akujalie subra uvumilivu na akupe kheri hapa duniani na kesho akhera
😭😭😭Allah akuongeze Sheikh Alhad Mussa
Huyu ndo stering ✔️ ALLAH akupe nguvu kwahiki kipindi kigumu Shekhe wetu tukopamoja sana nawe usivunjike Nguvu Mkuu Insha Allah 👍
Huyu shekhe wa mkoa alikuwa anakubalika sana ni kiongozi mwenye hekima na muadilifu sana MUNGU akujalie subira na imani siku moja utakuwa shekhe mkuu wa Tanzania.mimi japo mkristu namkubali sana shekhe huyu anaeongea. Mungu akupandishe juu baba musa
Alhamdulillah. Natamani masheikh wetu waachane na kusema mabaya ya watu katika vyombo vya habari na hata katika mijumuiko ya watu mana dininyetu inakataza. Mwite mwambie, mkosoe na mwelekeze ili akawe mjumbe mzuri zaidi kwa waumini wengine
Jamani it’s not a muslim culture kusimama mbele za watu kumzungumzia vibaya muumini mwenzio. Subhanallah!!
Duh
Kiukweli waislamu mmefeli sana Doctor mwaka mhuni tu wa mjini anawafitinisha hadi mnamuondoa huyu shehk ktk kiti jamani ,kiukwel mimi ingawa ni mkristo imeniuma sana
Yarabi tuzidishie Imani na mapenzi baina yetu kwa ajili yako.
Amiin
Amiin
Allah akujaalie Pepo inshaallah kwa chozi lako la kheri m ele ya mjjumbe wa Allah na !mbele zetu sis zote ameen
ALLAHUMMA GHUFIR LAHU WAARHAMHU MASKANAHU FILJANNA. POLE SANA MUFT WETU, SHEIKH WETU WAMKOA, SHEIKH WA WILAYA YA KOROGWE TANGA, WAFIWA PAMOJA WAISLAMU WOTE MLIYO GUSWA NA MSIBA HUO ALLAH MJAALIYE MAKAZI MEMA MAREHEMU WETU WOTE WAKIISLAM NA UWAEPUSHE NA ADHABU YA QABR KWAREHMA ZAKO TUKUFU
Kwani nani kafarikihapo
Jamani ww, aamiin
Sheikh Alhad kuwa na subra Allah akupe stahimilivu ndani ya moyo wako mengi uliyatatua kihekima Allah akupe Afya njema
Mie pia machozi yamenitoka mwenyezi mungu akuongoze ila kama umfanya sheria inavyosema katika ili linalokuondoa leo madalakani basi mwenyezi mungu hulipa hapa hapa duniani naka kweli ulikwenda kinyume ba sheria katika ilo linalokuondoa apo ulipo basi mwaka atakaa na mkewe inshallah
Rizk imeisha babangu inshallah utapata zaidi ya hapo🙏🙏🙏
Alhadulillah Assalatu assalamu alayka yea rasulallah sallallahu alayhi wasallam alllah hafiz alllah huakbar,yes all'answer control of allah no tention, waiting that's right.also, alllah Allahus samad,
Maalim @alhad twashukuru sana kwakutuongoza paka kufikia Leo kuondoka kwa cheo chako maana kila binadam anamapungufu yake kwakwel umejitahid mwalimu au shekh wetu alhad mussa salum mungu AKULINDE insha'Allah ,,ILA shekh wetu mcheshi we shekh wareed karibu sana katika kitu cha cheo🙏🙏🙏😍😍
Ee mwenyez mungu tuongoze wajawako na utuepuxhe na Kila baya lililo mbele yetu na uwajalie upondo maxhee wetu wote Kwa ujumla
Umefanya mema sana na pia umefanya mabaya, ila mda umefika wa wewe cheo hicho kukuacha si kwa ajili ya Dr mwaka ila tu mda umefika. Mwenyezi mungu anawapenda waja wake, bado yupo na wewe usilie umesalimika na balaha ambalo lingekushinda, mshukuru Mwenyezi mungu sana kwa kukuepusha
Nimemfahamu shekhe walid nikiwa nasoma kwa shekhe ramia bagamoyo ni mtu mzuri sana na nini dalili za mtu mzuri watu wengi humkimbilia na yeye hachagui wote ni wake kama mzee muhiya na wa wanawe na ndio uislamu ukiwa na cheo usijione bora kuliko wengine ALLHA ATUHIFADH WAISLAMU WOTE ALLHA HUMA AMEEN.
Walid yupi sasa,maana wako wawili...huyu alietumbuliwa au alieteuliwa
MashaAllah!
Amin
اللهم صل على سيدنا محمد عدد ما تنفست الأرواح منذ خلقتها
Mimi siyo mwislam kwa dini
Ila tujitahidi kuwaheshimisha viongozi wanao tuombeeni na kutuongoza kwa khaki ya MWENYEEZI MUNGU.
Hatuwafundishi wasio mjuwa MUNGU kuona Wema na kuonyana kwa upendo na subila kiukweri ni kumpa Adui nafasi
Ya KUTUKANWA mwenye heshima mpe heshima tujifunze kwa MANABII na mitume kustahimiliana
Hapa haikutumika hekma ilifaa hata kwa baadae wamuondoe ila sio kwa hii style maana haikuleta picha nzuri. Kwa sasa, watachimbuka wengi kama kina mwaka. Haijapendeza
Ni muda muafaka, kinyume hii kadhia ingeendelea
Wangeitana huko ofsin wakayaonge wakayqmqliza kuliko hivi mitandaon haileti picha nzur
Wamemuonea sana sana huyu shekh..kama kweli wamemtoa kwenye uongozi kwasababu ya mke wa mwaka watapata malipo yao hapahapa duniani..maana huyu shekh yeye hakumuita mke wa mwaka aende kushtaki pale bakwata naomba hilo lijulikane
@@user-hs8fu1ut8r hamna sidhani Kama hiyo ni sababu
Umenena vyema sana🙏🙏🙏
Hawezi kuwa na tabia za mtume acha uongo
Allahumma Amiin
Shekhe analilia cheo chake kimekwenda kwa mtu sahihi sana Allah amjalie shekuu mpya khery na baraka zake aenderee kuwa mcheshi kama kawaida yake
Hhhhhhhhh
Wewe simugu huwezijua yamoyoni
Aamiin Aamiin allaahumma Aamiin
Siku zote kuna vitu 2 yaaani elimu na akili.Yatupasa kutumia akili Zaidi.katika muktadha mbalimbali
Acha tabia uhaasid kaka haikusaidii. Ebu kua namaneno mazuri yauchamungu.
Allah akupe subra
Nisiwe mnafiki ingekuwa sura ndo uislam basi shekhe huyu angekuwa no.1 ila uislam si sura Mungu anajua yupi muislam Safi
Allah amfanyie wepes
Mashaallah
غفر الله له واسكنه فسيح جنانه
Mashaa Allah
Nakumbuka aliwahi kumfananisha magufuri na nabiah Allah Muhammad swallaallah was aley wasalam na hayo ndiyo malipo yake
ALIKUWA afaa aondolewe kitambo wamechelewa ALIKUWA anaharibu Tanzania kwa kibri chake na kujiona dini anaipeleka kwa KICHWA chake vibaya
allahumma amiyn
Mwalimu wangu alhad mussa tangia akiwa mwalimu wa madrasat maamory alikua ako na machozi yaharaka sanaaaaa ilikuaga yuatuliza marangine pale maamory tmk.
Ni sheikh wa kuigwa una hekma ulizojaaliwa na Allah
Sasa hivi Kawa mpole baada ya kupigwa chini ndio anaonyesha unyenyekevu wamuonee huruma au
Wa alaikum salaam wa rahmatullahi wa barakatuh
Allah atujalie iman
Kulia kwa mtu hakufahamishi ukweli wa maneno yake
Ukiwa na roho mbaya huwezi elewa nini maana ya machozi.Tena hasa kwa mtu mzima anafanya jambo hilo mbere ya macho ya watu wengi.Hata kama anabaya inamaana hana hata jambo moja zuri alilo watendea waislam?
Hakika inahuzunisha
msanii no moja Tanzania top in dar
Shekh Alhad Mussa ulikua sahiii ndoa ailazimishwi ulisimamia haki
Swali najiuliza hii ndoa ilio ya mwaka ndio yakwanza kuivunja na kama alikosa kwann hawakumkanya yani hii si haki wallah
Ktk cmnt watukanaji wengi .tenawajuuzi kweli ,lakiniyafaa wawepia wenye subira kwani nawao itafikasiku watatukanwa,,,,,,,,kamatudani tudani,,,,,,,,Allah atustir nahalihio
Sikuzote vipenzi vyamungu ndivyo vinavyopitia majalibu mengi
Mimi ni mkristo… lakini najivunia uongozi mzuri wa waislamu nchini kwetu Tanzania 🇹🇿…. MUFTI NI MTU MZURI SANA
😭😭😭😭subuhannaAllah
Braza meni ulijusahau Sana wala hayupo Kwa ajili ya waislam Bali tumbo lako,pole kila jambo huwa huisha
Amyna yarab
Am really sorry shekhe wangu
😄😄
Hehehh
UKIZOEA KULA KUKU WA BURE SIKU, UKIWAKOSA ,LAZIMA UZIMIE NA KULIA AU KUCHANGANYIKIWA.
Muogop Allah,nayy ndo muhukum,tumswalie mtum S,W,W,
Kumbe watu wazuri anawajua, sjui kwann hakufuata nyayo za hao anaowajua akaparaganyika na njia zake.... 🙄🙄🙄🙄
Astagfirullah MFANO wa watuwapeponi
Jamani jamani jamani😭😭😭😭
Hhh dah noma sana
Cheikh moussa acha Julia ndo Ivo imebaki wislam kutia magomvi Yao adharani mitandaoni hâta kujizalilisha kwa makafiri
😭😭😭😭
Msanii Alhadi, Hapo Tayari Kashamkorofisha Mufti, Ana khofia Kuenguliwa nafasi yake na Ndio Maana Anakimbilia Silaha ya Watoto
(Kuliaa😭😭😭) Alhadi Ni msanii Sana, Tena Anaweza kuwauza Wooooote hapo, 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
kweli huyu ni kenge
Imeishahiyooooo
Hakuna mapya hapo
Angekua hivyo basi huyo mufti asingempa binti yake wakumzaa amuowe acheni kuongea msiyo yajua
Hakuna siri TN baina ya mwislam na mwislam ndugu yake 'kuitana wake chini water shida Zao wenyewe lazima Yao wafike mitandaoni njo wawajue kia wasomi
Kila Jambo Lina sababu huenda ni kher kwako shekhe kuondolewa katika chemo hicho
Shekhee ALHAD analia mmmmmh kweli. Maji .yamezidi unga cheo. Kineenda kwa kuto kupendana majungu hayoo
Huyu sheikh anatumika na makafir
Mungu akusamehe!
Makafiri Ndio Watu Gani Samaki Wewe
😭😭
Mwenzenu analia kw kukumbuk alivyotumbuliw mengine n zuga tu
Jamaa anawapeleka watu peponi tu
😭😭😭
Anastahili msamaha kwa kujutia aliyo kosea..
Si ww ulpata Ushee kwa kuaguliwa ulipewa Ushee na wagaga kule Mkoa wa pwani na pia masasi
WEWE UTOPOLO NDIO MAMBO YENO HAYO 🤣🤣🤣🤣🤣 MTANIIIII
Muhadhara huu niwamuda mrefu hauhusiani chochote na yaliyotokea karibuni.Mola ayatengeneze yote yaliyoharibika ktk mambo ya waislamu.
Asiekujua atakuonea huruma
Mwamba Mussa Salum alijawa Kiburi. Acha akae pembeni, imetosha.
nakshii manii
Huu ni msikiti gani?
anakuvumilia sana upuuzi wako
huyu kinachoörisha cıo kukosa kaz ya uongoz
n khof ya kuish hapo mjinin
maana alkuwa akıwasema mashekh wenzake NJAA tu cjuı hamna pa kwenda
sasa leo yyy atakuwa mgen wa nani??????
Poole ulijusahau Sana
Unalialia ki sinema tu, kwa makosa yako hukustahiki kuwa Sheikh mkuu.
Allah ndo mwenyekujua imani ya kila mtu tusihukumu jamani
Ukikosa madaraka na kula hii ndo shida yake
Shekh akida yake inachangamoto
Hubay bin salul kumbe bado mpo ulikuwa shekh wamipasho
Wewe wacha unafiki
Kwa nini hawa mabakwata wana videvu vya nandi ndevu kwao hawataki kabisaa sijui kwa nini au ni wale makachero ya nyerere
Nimeumia kwakweli ht km ana makosa wasingefqnyq harakq hivyo
Itanani waislam make chini mmalize shida zenu kiwislam kiundugu bila mitandaoni inaumalkn Sawa nyie niwasomi
Kupokezana ktk madaraka ni Jambo la kawaida unakililia cheo ulitaka uongoze Hadi kifo? Lazima uamini qadar, pia hata mimi uliniuzi kusimamia kuua ndoa ya mtu si Jambo zuri, wewe ungejisikiaje kama unakorofoshana na mkeo hakuheshimu Halafu ukagundua Kuna kiongozi anampa taraka huoni nawe unamtia kiburi mke wa mwenzio?
Hill jinafka hili halielewek kilsto au pagan
muogope Mungu ndugu yangu una uwezo wa kumjua mnafiki
tahira
Utumishi ni kalama
Mwaka kapewa nguvu bila jasho
Lkn alhad nimwanachuoni. .mwaka nimfanyabiashara. Hanalolote
Bora katolewa
Hahaha umezingua Sana wewe
Hana lolote msanii tu huyu
Msanii huyu
Sasa anamliza mzee wa watu
hahahaaaa
🤣🤣🤣🤣shahada ya firaun
Huyu msanii sana katoka kulia kwa marehemu kaja kumlilia mufti eti anamvumilia ili azidi kumvumilia kwa upuuzi wake kilamtu anamjua anaachisha ndoa za watu halafu anawatomgozaa wanawake walioachanishwa na yy dah huyu jamaa noma ila iko siku kiti anachojigamba nacho kitamfedhehesha tu maskini samaah mufti mkarimu mchamungu mtu wa watu ila kwa huyu hapana msani tu
Wewe mpuuzi sana ukiambiwa utoe ushahidi unaoo?
ushahidi anao ndo akasema..kwn we hujui
@@abdulrahmanmwadini5925 mpuuzi niww unaeongeaa upuuzi na kutetea wapuuz kuna Lundo la mashahidi ninaaakili timamu najua ninachoandika kwahio usitete watu wenye makosa we unajua kuachanisha wana ndoa arshi inatikisika au hujui dhambi yake kwahio mwambie msanii wako Allah anamuona na atamlipa atubu haraka na awe muadilifu. Laasivo machungu aliowafanyia watu hayatapita bure kamaatadinu tudanu what's goes around comes around hakuna mkamilifu tubuu taubatan nasuhaa
@@sudaissaid8428 wewe jivishe uungutu kujifanya unajua yaliyopo nyoyoni mwawatu
@@sudaissaid8428 MWACHE ALIEULIZWA AJIBU MWENYEWE HAJAKUULIZA WEWE KUNA HESABU SIKU YA KIYAMA
Bismillah,kwa kiongozi mkubwa kama huyu ilitakiwa kutumika hekima na busara kukaa naye kumueleza mapungufu take,kwa maana ss binadamu hakuna mkamilifu.
Mashaallah
Hubay bin salul kumbe bado mpo ulikuwa shekh wamipasho
Mungu atuepushe nauchi wamadarak mbaya Sana kulewa namadaraka
Hawakumtendea haki kwa nn wasimuite kwenye baraza hakumlazimisha Mkewe Dr Mwaka kutengua ndoa yake bali ni matakwa yake Queen mbona hadi leo anaitaka talaka yake ilaanazungushwa pana kitu nyuma ya pazia mdhambi kubwa sn mliyomtendea Sheikh kumtengua na inasikitisha sn sn