SHEIKH ALHAD AMWAGA MACHOZI AMLIZA MUFTI , UMETUVUMILIA MENGI, HUZUNI NA MAJONZI VYATAWALA MSIKITINI

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 150

  • @highmedland9280
    @highmedland9280 Рік тому +7

    Shekh wangu kuondoshwa ktk cheo ulichokua nacho umshukuru sana Allah na uwape shukran walio kutoa ktk uwongozi hio ndio kheri y'ako ya kusamehewa madhambi y'ako kubaki salama na mwenye afya njema,
    Allah akurehem na akufanyie wepesi ktk hajazako njema inshaallah🙏

  • @salmakaratta1420
    @salmakaratta1420 Рік тому +3

    Daima vipenzi vya Allah ndy hupitia mitihani migumu,Hivyo Mwenyezi Mungu atakupa njia ya kutokea InshaAllah.

  • @salmasaid1521
    @salmasaid1521 Рік тому +1

    Mitihani tumeumbiwa wanadam ila yote ni kumshukuru allah ktk kila mtihani unaokukuta neno moja tu ni kuseme alhamdulillah huwezi jua ya mungu ni kwann wamekuondoa ktk nafasi hii dua yangu kwa allah akujalie subra uvumilivu na akupe kheri hapa duniani na kesho akhera

  • @jasminyabdully499
    @jasminyabdully499 Рік тому +11

    😭😭😭Allah akuongeze Sheikh Alhad Mussa

  • @fadhilplatnumz8474
    @fadhilplatnumz8474 Рік тому +4

    Huyu ndo stering ✔️ ALLAH akupe nguvu kwahiki kipindi kigumu Shekhe wetu tukopamoja sana nawe usivunjike Nguvu Mkuu Insha Allah 👍

  • @sokoinemallya3395
    @sokoinemallya3395 Рік тому

    Huyu shekhe wa mkoa alikuwa anakubalika sana ni kiongozi mwenye hekima na muadilifu sana MUNGU akujalie subira na imani siku moja utakuwa shekhe mkuu wa Tanzania.mimi japo mkristu namkubali sana shekhe huyu anaeongea. Mungu akupandishe juu baba musa

  • @safiambamba8722
    @safiambamba8722 Рік тому +7

    Alhamdulillah. Natamani masheikh wetu waachane na kusema mabaya ya watu katika vyombo vya habari na hata katika mijumuiko ya watu mana dininyetu inakataza. Mwite mwambie, mkosoe na mwelekeze ili akawe mjumbe mzuri zaidi kwa waumini wengine
    Jamani it’s not a muslim culture kusimama mbele za watu kumzungumzia vibaya muumini mwenzio. Subhanallah!!

  • @bonnymwajombe779
    @bonnymwajombe779 Рік тому +1

    Kiukweli waislamu mmefeli sana Doctor mwaka mhuni tu wa mjini anawafitinisha hadi mnamuondoa huyu shehk ktk kiti jamani ,kiukwel mimi ingawa ni mkristo imeniuma sana

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 2 роки тому +7

    Yarabi tuzidishie Imani na mapenzi baina yetu kwa ajili yako.

  • @christinaonditi9341
    @christinaonditi9341 Рік тому +1

    Allah akujaalie Pepo inshaallah kwa chozi lako la kheri m ele ya mjjumbe wa Allah na !mbele zetu sis zote ameen

  • @daawaonlinetv4486
    @daawaonlinetv4486 2 роки тому +5

    ALLAHUMMA GHUFIR LAHU WAARHAMHU MASKANAHU FILJANNA. POLE SANA MUFT WETU, SHEIKH WETU WAMKOA, SHEIKH WA WILAYA YA KOROGWE TANGA, WAFIWA PAMOJA WAISLAMU WOTE MLIYO GUSWA NA MSIBA HUO ALLAH MJAALIYE MAKAZI MEMA MAREHEMU WETU WOTE WAKIISLAM NA UWAEPUSHE NA ADHABU YA QABR KWAREHMA ZAKO TUKUFU

  • @kinotasontravel3883
    @kinotasontravel3883 Рік тому

    Sheikh Alhad kuwa na subra Allah akupe stahimilivu ndani ya moyo wako mengi uliyatatua kihekima Allah akupe Afya njema

  • @sabrinamchipu7657
    @sabrinamchipu7657 Рік тому +2

    Mie pia machozi yamenitoka mwenyezi mungu akuongoze ila kama umfanya sheria inavyosema katika ili linalokuondoa leo madalakani basi mwenyezi mungu hulipa hapa hapa duniani naka kweli ulikwenda kinyume ba sheria katika ilo linalokuondoa apo ulipo basi mwaka atakaa na mkewe inshallah

  • @fatumakingi9753
    @fatumakingi9753 Рік тому +1

    Rizk imeisha babangu inshallah utapata zaidi ya hapo🙏🙏🙏

  • @anikulislam4851
    @anikulislam4851 2 роки тому +4

    Alhadulillah Assalatu assalamu alayka yea rasulallah sallallahu alayhi wasallam alllah hafiz alllah huakbar,yes all'answer control of allah no tention, waiting that's right.also, alllah Allahus samad,

  • @twalibumasoud0783
    @twalibumasoud0783 Рік тому +2

    Maalim @alhad twashukuru sana kwakutuongoza paka kufikia Leo kuondoka kwa cheo chako maana kila binadam anamapungufu yake kwakwel umejitahid mwalimu au shekh wetu alhad mussa salum mungu AKULINDE insha'Allah ,,ILA shekh wetu mcheshi we shekh wareed karibu sana katika kitu cha cheo🙏🙏🙏😍😍

  • @mariamukila7595
    @mariamukila7595 Рік тому

    Ee mwenyez mungu tuongoze wajawako na utuepuxhe na Kila baya lililo mbele yetu na uwajalie upondo maxhee wetu wote Kwa ujumla

  • @nehemiahbudi5753
    @nehemiahbudi5753 Рік тому +1

    Umefanya mema sana na pia umefanya mabaya, ila mda umefika wa wewe cheo hicho kukuacha si kwa ajili ya Dr mwaka ila tu mda umefika. Mwenyezi mungu anawapenda waja wake, bado yupo na wewe usilie umesalimika na balaha ambalo lingekushinda, mshukuru Mwenyezi mungu sana kwa kukuepusha

  • @hussainmaulatz6758
    @hussainmaulatz6758 Рік тому +4

    Nimemfahamu shekhe walid nikiwa nasoma kwa shekhe ramia bagamoyo ni mtu mzuri sana na nini dalili za mtu mzuri watu wengi humkimbilia na yeye hachagui wote ni wake kama mzee muhiya na wa wanawe na ndio uislamu ukiwa na cheo usijione bora kuliko wengine ALLHA ATUHIFADH WAISLAMU WOTE ALLHA HUMA AMEEN.

    • @hajimnubi4581
      @hajimnubi4581 Рік тому

      Walid yupi sasa,maana wako wawili...huyu alietumbuliwa au alieteuliwa

  • @abdallahsaid8157
    @abdallahsaid8157 2 роки тому +2

    MashaAllah!

  • @OmanOman-ky2oo
    @OmanOman-ky2oo 2 роки тому +2

    Amin

  • @abuuminya8746
    @abuuminya8746 2 роки тому

    اللهم صل على سيدنا محمد عدد ما تنفست الأرواح منذ خلقتها

  • @beatricemsita6776
    @beatricemsita6776 Рік тому

    Mimi siyo mwislam kwa dini
    Ila tujitahidi kuwaheshimisha viongozi wanao tuombeeni na kutuongoza kwa khaki ya MWENYEEZI MUNGU.
    Hatuwafundishi wasio mjuwa MUNGU kuona Wema na kuonyana kwa upendo na subila kiukweri ni kumpa Adui nafasi
    Ya KUTUKANWA mwenye heshima mpe heshima tujifunze kwa MANABII na mitume kustahimiliana

  • @bakariomari8758
    @bakariomari8758 Рік тому +16

    Hapa haikutumika hekma ilifaa hata kwa baadae wamuondoe ila sio kwa hii style maana haikuleta picha nzuri. Kwa sasa, watachimbuka wengi kama kina mwaka. Haijapendeza

    • @sallyandmozachannelchannel37
      @sallyandmozachannelchannel37 Рік тому +1

      Ni muda muafaka, kinyume hii kadhia ingeendelea

    • @kalssambaboo9932
      @kalssambaboo9932 Рік тому

      Wangeitana huko ofsin wakayaonge wakayqmqliza kuliko hivi mitandaon haileti picha nzur

    • @user-hs8fu1ut8r
      @user-hs8fu1ut8r Рік тому +7

      Wamemuonea sana sana huyu shekh..kama kweli wamemtoa kwenye uongozi kwasababu ya mke wa mwaka watapata malipo yao hapahapa duniani..maana huyu shekh yeye hakumuita mke wa mwaka aende kushtaki pale bakwata naomba hilo lijulikane

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 Рік тому

      @@user-hs8fu1ut8r hamna sidhani Kama hiyo ni sababu

    • @joycehamis4925
      @joycehamis4925 Рік тому +1

      Umenena vyema sana🙏🙏🙏

  • @thabit6861
    @thabit6861 Рік тому +2

    Hawezi kuwa na tabia za mtume acha uongo

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 2 роки тому +1

    Allahumma Amiin

  • @khamisiramadhani3380
    @khamisiramadhani3380 Рік тому +5

    Shekhe analilia cheo chake kimekwenda kwa mtu sahihi sana Allah amjalie shekuu mpya khery na baraka zake aenderee kuwa mcheshi kama kawaida yake

    • @wadudi2741
      @wadudi2741 Рік тому

      Hhhhhhhhh

    • @abdaraudugu33
      @abdaraudugu33 Рік тому

      Wewe simugu huwezijua yamoyoni

    • @twahambowe440
      @twahambowe440 Рік тому

      Aamiin Aamiin allaahumma Aamiin

    • @rahmalutengwe2901
      @rahmalutengwe2901 Рік тому

      Siku zote kuna vitu 2 yaaani elimu na akili.Yatupasa kutumia akili Zaidi.katika muktadha mbalimbali

    • @saadomar2480
      @saadomar2480 Рік тому

      Acha tabia uhaasid kaka haikusaidii. Ebu kua namaneno mazuri yauchamungu.

  • @aminatasaid8531
    @aminatasaid8531 Рік тому +1

    Allah akupe subra

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Рік тому +1

    Nisiwe mnafiki ingekuwa sura ndo uislam basi shekhe huyu angekuwa no.1 ila uislam si sura Mungu anajua yupi muislam Safi

  • @farajimketo3272
    @farajimketo3272 Рік тому +1

    Allah amfanyie wepes

  • @mlawatvonline3720
    @mlawatvonline3720 2 роки тому +2

    Mashaallah

  • @Ahmadasshii-raazy8888
    @Ahmadasshii-raazy8888 2 роки тому

    غفر الله له واسكنه فسيح جنانه

  • @nooraallahuakibarumwenyeez3079
    @nooraallahuakibarumwenyeez3079 2 роки тому

    Mashaa Allah

  • @haridsalum5545
    @haridsalum5545 Рік тому

    Nakumbuka aliwahi kumfananisha magufuri na nabiah Allah Muhammad swallaallah was aley wasalam na hayo ndiyo malipo yake

  • @hassanambarakmbarak8759
    @hassanambarakmbarak8759 Рік тому

    ALIKUWA afaa aondolewe kitambo wamechelewa ALIKUWA anaharibu Tanzania kwa kibri chake na kujiona dini anaipeleka kwa KICHWA chake vibaya

  • @animamichael3968
    @animamichael3968 Рік тому

    allahumma amiyn

  • @mozasalim9697
    @mozasalim9697 Рік тому

    Mwalimu wangu alhad mussa tangia akiwa mwalimu wa madrasat maamory alikua ako na machozi yaharaka sanaaaaa ilikuaga yuatuliza marangine pale maamory tmk.

  • @kinotasontravel3883
    @kinotasontravel3883 Рік тому

    Ni sheikh wa kuigwa una hekma ulizojaaliwa na Allah

  • @yahayaolomi1057
    @yahayaolomi1057 Рік тому

    Sasa hivi Kawa mpole baada ya kupigwa chini ndio anaonyesha unyenyekevu wamuonee huruma au

  • @anikulislam4851
    @anikulislam4851 2 роки тому +2

    Wa alaikum salaam wa rahmatullahi wa barakatuh

  • @joharilissu1618
    @joharilissu1618 Рік тому

    Allah atujalie iman

  • @husseinally5550
    @husseinally5550 2 роки тому +5

    Kulia kwa mtu hakufahamishi ukweli wa maneno yake

    • @saimonijonas4356
      @saimonijonas4356 Рік тому

      Ukiwa na roho mbaya huwezi elewa nini maana ya machozi.Tena hasa kwa mtu mzima anafanya jambo hilo mbere ya macho ya watu wengi.Hata kama anabaya inamaana hana hata jambo moja zuri alilo watendea waislam?

    • @sufuzo2298
      @sufuzo2298 Рік тому

      Hakika inahuzunisha

  • @sudaissaid8428
    @sudaissaid8428 2 роки тому +1

    msanii no moja Tanzania top in dar

  • @aramamisamatime3183
    @aramamisamatime3183 Рік тому +3

    Shekh Alhad Mussa ulikua sahiii ndoa ailazimishwi ulisimamia haki

    • @user-li4kt7lz1r
      @user-li4kt7lz1r Рік тому

      Swali najiuliza hii ndoa ilio ya mwaka ndio yakwanza kuivunja na kama alikosa kwann hawakumkanya yani hii si haki wallah

  • @wspwsp2764
    @wspwsp2764 Рік тому

    Ktk cmnt watukanaji wengi .tenawajuuzi kweli ,lakiniyafaa wawepia wenye subira kwani nawao itafikasiku watatukanwa,,,,,,,,kamatudani tudani,,,,,,,,Allah atustir nahalihio

  • @rahmayaledi1722
    @rahmayaledi1722 Рік тому +1

    Sikuzote vipenzi vyamungu ndivyo vinavyopitia majalibu mengi

  • @lovsply
    @lovsply Рік тому

    Mimi ni mkristo… lakini najivunia uongozi mzuri wa waislamu nchini kwetu Tanzania 🇹🇿…. MUFTI NI MTU MZURI SANA

  • @aishaabdi2059
    @aishaabdi2059 Рік тому +1

    😭😭😭😭subuhannaAllah

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 Рік тому +1

    Braza meni ulijusahau Sana wala hayupo Kwa ajili ya waislam Bali tumbo lako,pole kila jambo huwa huisha

  • @hajihamzaabdulhameed7337
    @hajihamzaabdulhameed7337 Рік тому

    Amyna yarab

  • @ummiramadhan5144
    @ummiramadhan5144 Рік тому +1

    Am really sorry shekhe wangu

  • @khalidbelhasa2137
    @khalidbelhasa2137 Рік тому +2

    UKIZOEA KULA KUKU WA BURE SIKU, UKIWAKOSA ,LAZIMA UZIMIE NA KULIA AU KUCHANGANYIKIWA.

    • @hasnanassoro7142
      @hasnanassoro7142 Рік тому

      Muogop Allah,nayy ndo muhukum,tumswalie mtum S,W,W,

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Рік тому

    Kumbe watu wazuri anawajua, sjui kwann hakufuata nyayo za hao anaowajua akaparaganyika na njia zake.... 🙄🙄🙄🙄

  • @hassanambarakmbarak8759
    @hassanambarakmbarak8759 Рік тому

    Astagfirullah MFANO wa watuwapeponi

  • @salamanauthar5261
    @salamanauthar5261 Рік тому

    Jamani jamani jamani😭😭😭😭

  • @yasiryusra3333
    @yasiryusra3333 Рік тому

    Hhh dah noma sana

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze7311 Рік тому

    Cheikh moussa acha Julia ndo Ivo imebaki wislam kutia magomvi Yao adharani mitandaoni hâta kujizalilisha kwa makafiri

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 Рік тому

    😭😭😭😭

  • @banihashim5347
    @banihashim5347 2 роки тому +3

    Msanii Alhadi, Hapo Tayari Kashamkorofisha Mufti, Ana khofia Kuenguliwa nafasi yake na Ndio Maana Anakimbilia Silaha ya Watoto
    (Kuliaa😭😭😭) Alhadi Ni msanii Sana, Tena Anaweza kuwauza Wooooote hapo, 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze7311 Рік тому

    Hakuna siri TN baina ya mwislam na mwislam ndugu yake 'kuitana wake chini water shida Zao wenyewe lazima Yao wafike mitandaoni njo wawajue kia wasomi

  • @mdsaid1527
    @mdsaid1527 Рік тому

    Kila Jambo Lina sababu huenda ni kher kwako shekhe kuondolewa katika chemo hicho

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 Рік тому

    Shekhee ALHAD analia mmmmmh kweli. Maji .yamezidi unga cheo. Kineenda kwa kuto kupendana majungu hayoo

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 2 роки тому +3

    Huyu sheikh anatumika na makafir

  • @ummiramadhan5144
    @ummiramadhan5144 Рік тому

    😭😭

  • @allythabit3236
    @allythabit3236 Рік тому

    Mwenzenu analia kw kukumbuk alivyotumbuliw mengine n zuga tu

  • @abdulkareemseif1892
    @abdulkareemseif1892 2 роки тому +1

    Jamaa anawapeleka watu peponi tu

  • @tracemsolla7604
    @tracemsolla7604 Рік тому

    😭😭😭

  • @sashawambura
    @sashawambura Рік тому +3

    Anastahili msamaha kwa kujutia aliyo kosea..

  • @abusultanzimbawy501
    @abusultanzimbawy501 2 роки тому +1

    Si ww ulpata Ushee kwa kuaguliwa ulipewa Ushee na wagaga kule Mkoa wa pwani na pia masasi

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Рік тому

      WEWE UTOPOLO NDIO MAMBO YENO HAYO 🤣🤣🤣🤣🤣 MTANIIIII

  • @allymwazoa8750
    @allymwazoa8750 Рік тому

    Muhadhara huu niwamuda mrefu hauhusiani chochote na yaliyotokea karibuni.Mola ayatengeneze yote yaliyoharibika ktk mambo ya waislamu.

  • @ramadhanibundala580
    @ramadhanibundala580 Рік тому +3

    Asiekujua atakuonea huruma

    • @kessytajiri6320
      @kessytajiri6320 Рік тому

      Mwamba Mussa Salum alijawa Kiburi. Acha akae pembeni, imetosha.

  • @hishamally4846
    @hishamally4846 Рік тому

    nakshii manii

  • @omarimasanga
    @omarimasanga 2 роки тому

    Huu ni msikiti gani?

  • @sudaissaid8428
    @sudaissaid8428 2 роки тому +4

    anakuvumilia sana upuuzi wako

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 Рік тому

    huyu kinachoörisha cıo kukosa kaz ya uongoz
    n khof ya kuish hapo mjinin
    maana alkuwa akıwasema mashekh wenzake NJAA tu cjuı hamna pa kwenda
    sasa leo yyy atakuwa mgen wa nani??????

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 Рік тому

    Poole ulijusahau Sana

  • @zaidyabdalah3691
    @zaidyabdalah3691 Рік тому

    Unalialia ki sinema tu, kwa makosa yako hukustahiki kuwa Sheikh mkuu.

    • @saidkahulu6112
      @saidkahulu6112 Рік тому

      Allah ndo mwenyekujua imani ya kila mtu tusihukumu jamani

  • @binallyamuz6895
    @binallyamuz6895 Рік тому +1

    Ukikosa madaraka na kula hii ndo shida yake

  • @kashobatv7710
    @kashobatv7710 Рік тому +1

    Shekh akida yake inachangamoto

  • @aleyidukury8333
    @aleyidukury8333 Рік тому

    Hubay bin salul kumbe bado mpo ulikuwa shekh wamipasho

  • @abusultanzimbawy501
    @abusultanzimbawy501 2 роки тому +1

    Wewe wacha unafiki

  • @jumahamadomar9124
    @jumahamadomar9124 Рік тому

    Kwa nini hawa mabakwata wana videvu vya nandi ndevu kwao hawataki kabisaa sijui kwa nini au ni wale makachero ya nyerere

  • @rehemamsuya2263
    @rehemamsuya2263 Рік тому

    Nimeumia kwakweli ht km ana makosa wasingefqnyq harakq hivyo

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze7311 Рік тому

    Itanani waislam make chini mmalize shida zenu kiwislam kiundugu bila mitandaoni inaumalkn Sawa nyie niwasomi

  • @hashimmazige
    @hashimmazige Рік тому

    Kupokezana ktk madaraka ni Jambo la kawaida unakililia cheo ulitaka uongoze Hadi kifo? Lazima uamini qadar, pia hata mimi uliniuzi kusimamia kuua ndoa ya mtu si Jambo zuri, wewe ungejisikiaje kama unakorofoshana na mkeo hakuheshimu Halafu ukagundua Kuna kiongozi anampa taraka huoni nawe unamtia kiburi mke wa mwenzio?

  • @saidmussa9587
    @saidmussa9587 2 роки тому +3

    Hill jinafka hili halielewek kilsto au pagan

    • @makameshibli2797
      @makameshibli2797 Рік тому

      muogope Mungu ndugu yangu una uwezo wa kumjua mnafiki

  • @jumaarashidi6265
    @jumaarashidi6265 Рік тому

    tahira

  • @rosekitunda1563
    @rosekitunda1563 Рік тому

    Utumishi ni kalama

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 Рік тому

    Mwaka kapewa nguvu bila jasho

    • @saadomar2480
      @saadomar2480 Рік тому

      Lkn alhad nimwanachuoni. .mwaka nimfanyabiashara. Hanalolote

  • @aly_asgar
    @aly_asgar Рік тому

    Bora katolewa

  • @mnolamanyendi4956
    @mnolamanyendi4956 Рік тому +1

    Hahaha umezingua Sana wewe

  • @uledihassan6065
    @uledihassan6065 2 роки тому +2

    Hana lolote msanii tu huyu

  • @uledihassan6065
    @uledihassan6065 Рік тому

    Msanii huyu

  • @alhabsi6430
    @alhabsi6430 Рік тому

    Sasa anamliza mzee wa watu

  • @markazalqaim
    @markazalqaim Рік тому

    🤣🤣🤣🤣shahada ya firaun

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 2 роки тому

    Huyu msanii sana katoka kulia kwa marehemu kaja kumlilia mufti eti anamvumilia ili azidi kumvumilia kwa upuuzi wake kilamtu anamjua anaachisha ndoa za watu halafu anawatomgozaa wanawake walioachanishwa na yy dah huyu jamaa noma ila iko siku kiti anachojigamba nacho kitamfedhehesha tu maskini samaah mufti mkarimu mchamungu mtu wa watu ila kwa huyu hapana msani tu

    • @abdulrahmanmwadini5925
      @abdulrahmanmwadini5925 2 роки тому +1

      Wewe mpuuzi sana ukiambiwa utoe ushahidi unaoo?

    • @sudaissaid8428
      @sudaissaid8428 2 роки тому

      ushahidi anao ndo akasema..kwn we hujui

    • @abdallahally842
      @abdallahally842 2 роки тому

      @@abdulrahmanmwadini5925 mpuuzi niww unaeongeaa upuuzi na kutetea wapuuz kuna Lundo la mashahidi ninaaakili timamu najua ninachoandika kwahio usitete watu wenye makosa we unajua kuachanisha wana ndoa arshi inatikisika au hujui dhambi yake kwahio mwambie msanii wako Allah anamuona na atamlipa atubu haraka na awe muadilifu. Laasivo machungu aliowafanyia watu hayatapita bure kamaatadinu tudanu what's goes around comes around hakuna mkamilifu tubuu taubatan nasuhaa

    • @abdaraudugu33
      @abdaraudugu33 Рік тому

      @@sudaissaid8428 wewe jivishe uungutu kujifanya unajua yaliyopo nyoyoni mwawatu

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Рік тому

      @@sudaissaid8428 MWACHE ALIEULIZWA AJIBU MWENYEWE HAJAKUULIZA WEWE KUNA HESABU SIKU YA KIYAMA

  • @salmakaratta1420
    @salmakaratta1420 Рік тому

    Bismillah,kwa kiongozi mkubwa kama huyu ilitakiwa kutumika hekima na busara kukaa naye kumueleza mapungufu take,kwa maana ss binadamu hakuna mkamilifu.

  • @sheikhfirdaus9857
    @sheikhfirdaus9857 2 роки тому

    Mashaallah

  • @aleyidukury8333
    @aleyidukury8333 Рік тому

    Hubay bin salul kumbe bado mpo ulikuwa shekh wamipasho

    • @ibrahimundee5234
      @ibrahimundee5234 Рік тому

      Mungu atuepushe nauchi wamadarak mbaya Sana kulewa namadaraka

    • @magrethchussi386
      @magrethchussi386 Рік тому

      Hawakumtendea haki kwa nn wasimuite kwenye baraza hakumlazimisha Mkewe Dr Mwaka kutengua ndoa yake bali ni matakwa yake Queen mbona hadi leo anaitaka talaka yake ilaanazungushwa pana kitu nyuma ya pazia mdhambi kubwa sn mliyomtendea Sheikh kumtengua na inasikitisha sn sn