We Masanja analima sana kama huamini nenda Kapunga kuanzia mwezi wa kumi nambili mpaka mwezi wa kwanza uko Kapunga wilayani mbaral utamuona Masanja na company yake mashamban uko na hatanii katka kilimo
Duniani hakuna tajili mkurima bari mkulima ni mjasiliamari sawa.sawa.kiulize huyo ndooo walikua wanampambanisha na mond kweli yaniii hayo magunia yote ni show moja2 ya mond
Katika Iman kila kitu kinawezekena ,mali na vijavyo Dunia ni mali ya Mwenyez MUNGU,
Dah! cjui nakosea wap maana!
Within 5 years i will be on way to be like you
Tapping the blessings 🙏
Huyu kwa kilimo ni moma
Kuna watu hawaamini kama kilimo kinalipa
Ni nouma sana
Uli mvahaa veyaa
Wasanii watabaki Wasaani ukiwaiga maisha Yao umeuawa.Yupo kwenye ghala la Taifa la kihifadhi mazao anadai la kwake
We Masanja analima sana kama huamini nenda Kapunga kuanzia mwezi wa kumi nambili mpaka mwezi wa kwanza uko Kapunga wilayani mbaral utamuona Masanja na company yake mashamban uko na hatanii katka kilimo
Hamna panya humo
Duniani hakuna tajili mkurima bari mkulima ni mjasiliamari sawa.sawa.kiulize huyo ndooo walikua wanampambanisha na mond kweli yaniii hayo magunia yote ni show moja2 ya mond
Mazafaka mbona huna akili mtt wa show za kiume hizo kma huamini pole
Hujui nini maana ya kilimo
@@user-tq6st3gz5f nayo kazi hiyo au uchafu
@@enemtv4637 hahaha wasimbe
@@user-tq6st3gz5f hahahaha hiyo sio kaziii bro
Wadanganye hao unao wadanganya, biashara inayo kuingizia hela tunaijua na wanao kulinda kwemye system tunawajua
ni ipi iyoo wanasiri kubwa hawa mioyo yao
dona AKA Sembe na biashara haramu ya kusafirisha watu uarabuni@@sabihaibrahim143
Tafuta pesa kijana wivu hauwez kukupa pesa
Hata kama unachokisema ni kweli, Kwa kuandika hivyo unaonekana hujielewi.Mungu akuponye.
Masanja hajatamka kabisa kwenye hii clip kwamba hiyo ni store yake.
Hivyo unamvamia kimakosa sana.