UTAJIRI WA MPOKI, ASEMA ANAMILIKI NYUMBA 11, MASHAMBA YA MPUNGA HEKA 50 NA MENGINE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 23 тра 2021
  • Mchekeshaji Mpoki ameamua kuweka wazi sehemu ya vile anavyovimiliki, ambapo amesema anazo nyunba 11 kwa hapa Daresalaam na mkoani Pia Ana viwanja ambavyo hajajenga Pamoja na shamba la mpunga la Heka 50. Play kupata taarifa kamili

КОМЕНТАРІ • 151

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 3 роки тому +14

    Unayo nidhamu ya pesa. Umekuwa Mwl. Mzuri kwa hili. Mwenyezi Mungu tubariki Watoto wa Tz

  • @sakinaomar305
    @sakinaomar305 3 роки тому +4

    Mashallah habipty wangu Allah akuongezee

  • @samsonezekiel5239
    @samsonezekiel5239 3 роки тому +5

    Safi somo zuri kwa wakadiriaji wa maisha ya watu kengeeeee

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr 3 роки тому +8

    Mungu azidi kumpa barka

  • @jumaharuna9899
    @jumaharuna9899 3 роки тому +4

    Hongera jamaa ,unapothubutu unafanikiwa

  • @aoman5214
    @aoman5214 3 роки тому +3

    Hongera Sana Aiseee uko vizur Sana

  • @halimasulaiman3229
    @halimasulaiman3229 3 роки тому +6

    Masha Allah

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 3 роки тому +5

    Masha'allah

  • @maryamm7765
    @maryamm7765 3 роки тому +4

    Mashaa Allah

  • @user-po8hz7xw9j
    @user-po8hz7xw9j 3 роки тому +3

    Safi kaka safi sanaa

  • @khadijahomankweliyamjahaya7421
    @khadijahomankweliyamjahaya7421 3 роки тому +2

    Ma shaa allah

  • @adjussahkindamba3111
    @adjussahkindamba3111 3 роки тому +4

    🇦🇪Nice mpoki

  • @lewiswanyama2596
    @lewiswanyama2596 3 роки тому

    Ooooh nice

  • @rubensaitoti6839
    @rubensaitoti6839 3 роки тому +1

    Hongera San Kaka kuweka adhzina

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 3 роки тому +2

    Hongera sana

  • @musitemusite4316
    @musitemusite4316 3 роки тому +2

    Maashaallah

  • @lovvy854
    @lovvy854 3 роки тому +2

    Mashallah

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 3 роки тому +1

    Konde boy fanya mamb makubwa like mpok

  • @jei_maimu6957
    @jei_maimu6957 3 роки тому +4

    🤣🤣Bongo unahaso ukifanikiwa Wabongo wanakunanga we FreeMason🙌🙌
    HONGERA MPOKI

  • @omaraliiddi1424
    @omaraliiddi1424 3 роки тому

    MashaAllah

  • @dottohamisi9844
    @dottohamisi9844 3 роки тому

    Hongera sana kaka

  • @safiaothman1098
    @safiaothman1098 3 роки тому +1

    Maa Shaa Allah

    • @Omarion268
      @Omarion268 3 роки тому

      ua-cam.com/video/fpP0bvnfeOs/v-deo.html🔥🇹🇿🇷🇼

  • @georgedamas2771
    @georgedamas2771 3 роки тому +4

    Tafuta kwanza ufulume wa mbingun mengineyo achana nayo ndugu

  • @singidaone5628
    @singidaone5628 3 роки тому +15

    Huyo Ndiyo mhaya halisi sasa macho kwenye pesa achana na makabila mengine watu wakipata pikipiki tu hatupumui mtaan

    • @wilsonthomas9176
      @wilsonthomas9176 3 роки тому +1

      Kina nan asee hao 😅😅

    • @kishingokishingo1840
      @kishingokishingo1840 3 роки тому +2

      @@wilsonthomas9176 baba levo mwiny jaku nk

    • @hadijalukas5959
      @hadijalukas5959 3 роки тому

      @@kishingokishingo1840 🤣🤣🤣🤣🤣🤣💃💃💃💃

    • @korneliserafini7843
      @korneliserafini7843 3 роки тому +2

      Tanzania hakuna ukabila

    • @hadijalukas5959
      @hadijalukas5959 3 роки тому

      kweli kagera asili yenu ni waganda, sasa ukabira umekujaje hapo? acheni ushamba wa kizamani

  • @salamanauthartanzania6301
    @salamanauthartanzania6301 3 роки тому

    Mashaallah

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 3 роки тому +1

    H baba angewekeza kama ivi sasa ivi asingekuwa na stress za maisha #mpoki wasanuwe wana wajuwe kujiongeza😍😍😍😍

    • @Cyper255
      @Cyper255 3 роки тому

      H. baba Anamijengo miwili mikubwa Mwanza. Jaribu kugoogle NYUMBA ZA H. BABA MWANZA utaona

    • @beatricekamenge7000
      @beatricekamenge7000 3 роки тому +1

      Njoo mwanza uone mijengo ya h.baba utoamin

  • @kokubanzafrancic9725
    @kokubanzafrancic9725 3 роки тому +2

    Waoneshe......nyoo

  • @hallin9561
    @hallin9561 3 роки тому +4

    Uyu mwamba fwedha anazo, maana nikitazama ndinga anazomiliki ni kwere asee

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 3 роки тому +2

    Hao ndo wanaume wenye KOROMEA 🤸🙌sio sadala unaropoka hovyo kamvaa dira sifa nyingi majigambo ushamba mwingi sadala kama sadala

    • @khadijacharles2433
      @khadijacharles2433 3 роки тому +2

      Acha kumsema mtu msifie aliyokuonesha nyumba zake nyoooo

  • @imazotzkikwete3494
    @imazotzkikwete3494 3 роки тому

    Sna sana mpoki

  • @mteieliapenda7841
    @mteieliapenda7841 3 роки тому

    Gems

  • @abuumaryam1628
    @abuumaryam1628 3 роки тому +1

    Ngoja tu gugo FORBES

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula2220 Рік тому

    Kajitahidi sana

  • @ramadhanimtetu7246
    @ramadhanimtetu7246 3 роки тому +3

    SIsi Tuna Hela Weweee

  • @nassoronassoro5784
    @nassoronassoro5784 3 роки тому +3

    Umesahau zigine zipo kibada na kisalawe ii

  • @almadrasatmuhammadiyah4101
    @almadrasatmuhammadiyah4101 2 роки тому

    safisana mpoki

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 3 роки тому +2

    🙄🙄🙄🙄 ZAKE AU 🙆‍♀️🙆‍♀️🤷‍♀️

  • @mamylnkuzi8482
    @mamylnkuzi8482 3 роки тому +1

    Kweli MUNGU MKUBWA.UKIFANYA KAZI KWA BIDII LAZM UBALIKIWE.MPOKI MUNGU AKUZIDISHIE

  • @pendonuru6499
    @pendonuru6499 3 роки тому

    Mmmh hongera. Yake

  • @nassabtransportation7024
    @nassabtransportation7024 3 роки тому

    haya Tajiri wa ndevu

  • @danielmwakaseka3555
    @danielmwakaseka3555 3 роки тому +9

    😂😂😂Nilitaka kushangaa, Muhaya?

    • @achouraachoura5763
      @achouraachoura5763 3 роки тому +2

      Hahaha 🤣🤣😂🤣 kajitahidi masha'allah

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 3 роки тому +1

      Hivi ni muhaya wa ukweli

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 3 роки тому

    Duh

  • @paulomwalimu6731
    @paulomwalimu6731 3 роки тому

    Kweli wenye hela hawana maneno mengiiiii

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 3 роки тому +8

    Hii ndio maana ya kuongea kwa vitendo nasio porojo kama yule dogo mwenye nyumba mia hewa au dream nyumba mia 😃😀 . Nyumba ni bonge la biashara na zitakuelea alafu ni biashara isiyo kuwa na stress sana . Hongera tena.

    • @nakundwamkubwe7823
      @nakundwamkubwe7823 3 роки тому

      @@issakamba1902 weee msenge nini kusema ukweli ni roho mbaya ? Nikamuonee mtu wivu mwenye mali za haramu ? Kama mkweli aonyeshe basi 😀😌

    • @nakundwamkubwe7823
      @nakundwamkubwe7823 3 роки тому

      @@issakamba1902 huwezi kujua haramu kama na wewe ni mwanaharamu. Embu achana na mimi Nguruwe pori wewe . Tena koma kunitag.

    • @nakundwamkubwe7823
      @nakundwamkubwe7823 3 роки тому

      @@issakamba1902 mkundu akupe baba ako sio mimi . Mimi mtu na heshima zangu.

    • @nakundwamkubwe7823
      @nakundwamkubwe7823 3 роки тому

      @@issakamba1902 mimi nimecoment maneno yangu nani kakwambia unijibu Kwa kunitag ? Kwani ungepita kimya kimya unge pungua nini ? Au ina uchungu sana na boss wako ? By theway Alhamudilah mama angu ana Kuma wako sijui kakuzaa na mkundu. Khanithi wewe.

    • @nakundwamkubwe7823
      @nakundwamkubwe7823 3 роки тому

      @@issakamba1902 mimi mwanamke sio shoga wewe ndio shoga sio kawaida kutoka povu na kuchanganyikiwa kisa boss kaambiwa hana nyumba 😀😅 wallah sio Rizki wewe

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 3 роки тому

    Hawa ndio watu muhim

  • @georgedamas2771
    @georgedamas2771 3 роки тому

    Bado sana huo sio utajiri bado amjaelewa maana ya utajiri

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 3 роки тому

    Mmh

  • @franshyera8970
    @franshyera8970 3 роки тому +2

    Msimpandishe mtu. Mpoki Ni wakawaida sanaaaa.sio tajiri

  • @emilipaul9474
    @emilipaul9474 3 роки тому +2

    Mpaka hapo tayari kashaonyesha sifa ikumbukwe huyo ni MUHAYA 😀😀😀 WATU WA KUJISIFIA

    • @adaboychibu1659
      @adaboychibu1659 3 роки тому +1

      Mpoki ni mpogoro si mhaya!huwa anaigiza Kama mhaya tuu

    • @anicyaedward5605
      @anicyaedward5605 3 роки тому +1

      Haters mtabaki hiyo stage kisa mhaya ndo udhan uongo eeeh leta zao tuonee..

    • @anicyaedward5605
      @anicyaedward5605 3 роки тому

      Mhaya pure tena wazaz woteee .. na wahaya ndo kabila linalojivunia kuwa wahaya wengine makabila they don’t proud

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 3 роки тому

      @@anicyaedward5605 Wasukuma? Wazanaki?

  • @jumachande4318
    @jumachande4318 3 роки тому

    Kiki izo!

  • @maimunakassim2840
    @maimunakassim2840 3 роки тому

    Kaka
    Zote zako nisaidie na mimi nimalize kakibanda kangu kamoja tu nipate hifadhi

  • @mariammuscat4300
    @mariammuscat4300 3 роки тому

    .mashalllah

  • @julianajohn7917
    @julianajohn7917 3 роки тому

    Dhubutu 11 ni viota vya ndge nyumbaaaaa

  • @mdl6463
    @mdl6463 3 роки тому

    📷 vipi tungehesabu wote basi

  • @husseinissa4182
    @husseinissa4182 3 роки тому

    Ila kuna watu wao kupinga tu yaaan kabisa MTU anawekà👎kwa stor hii duuuu😂

    • @unclepwechnov1381
      @unclepwechnov1381 3 роки тому

      Wivu ni ugonjwa mbaya sana, huwa wanakuwa nao watu waliogubikwa na depression.
      Kuwanga si mpaka kutembea uchi usiku, waonee huruma tu.

  • @sadockchengula5542
    @sadockchengula5542 Рік тому

    Wekeza unachoweza. Unajuajuaje kama wenye mali hawana wema? Wengi wanasaidia wahitaji.

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers4734 3 роки тому +3

    Nilijua analima mpunga na mchele na matango pia😂😂😂😂😂

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 3 роки тому

    Nikuchekesha tuuu au. Niache kazi sasa hivi nianze vituko

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 3 роки тому

    Nyumba vibanda ivyo nyumba anazijua

  • @sylviamombo815
    @sylviamombo815 3 роки тому +1

    ...

  • @abbyadams8691
    @abbyadams8691 3 роки тому +3

    Faida ya kipaji. Hapo sio degree wala PHD yenye kukohoa. Kudadadeki!

    • @amaniomballa1855
      @amaniomballa1855 3 роки тому +2

      Bro ..kila kitu kina nafasi yake Kuna wasom wanamaisha hivyo hivyoo na wanapesa kwa sabb ya shule pia Kun wenye vipaj na Wana elim

    • @abbyadams8691
      @abbyadams8691 3 роки тому

      @@amaniomballa1855 Shule ilikuwa zamani sio kwa sasa

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 3 роки тому

      @@abbyadams8691 Acheni ujinga,,, Pelekeni watoto wetu shuleni,,,

    • @mchembethomas601
      @mchembethomas601 3 роки тому

      Watoto kampeni ya kupinga shule hivi ni nani kaianzisha?

    • @abbyadams8691
      @abbyadams8691 3 роки тому +1

      @@mchembethomas601Umuhimu wa shule kwa sasa ni kujua kusoma na kuandika basi. Vingine ni mbwe mbwe tu!.Kidogooo kwa baadhi ya kozi km udaktari.

  • @moleopardonlinetv7151
    @moleopardonlinetv7151 3 роки тому

    Mngejitamba hivo kipindi cha Magufuli

    • @hassanally511
      @hassanally511 3 роки тому

      Ili iweje

    • @Omarion268
      @Omarion268 3 роки тому

      ua-cam.com/video/fpP0bvnfeOs/v-deo.html🔥🔥🔥🇹🇿🇷🇼

  • @alhaddajmohammed4768
    @alhaddajmohammed4768 3 роки тому

    Mali zako ni zile ulizozitanguliza Akhera hizo ni za Warithi wako.
    Kadhalka jiandae kujibu masawali ulizipataje na ulizitumiaje?!
    Na kama ulizichuma kwa njia za haram jiandae kwa mkong'oto warithi wako watatumia kiulaiyniiiii wewe unabanikwa.

  • @amazontv4862
    @amazontv4862 3 роки тому

    Nyumba siyo zake hizo kiki tu

  • @abednego3876
    @abednego3876 3 роки тому +4

    Diamond ata fanya hawa mastaa wakiume wauze matako, ili wajilinganishe nae.

    • @lovvy854
      @lovvy854 3 роки тому

      Kwanini unasema ivo au kwaajilia Kujenga

    • @utambevilla9585
      @utambevilla9585 3 роки тому

      @@lovvy854 kumbe mond na yy anauza matako ndio mana amejenga eeee!!!!

    • @lovvy854
      @lovvy854 3 роки тому

      @@utambevilla9585 nawewe ukitaka uzapia utajirike😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @utambevilla9585
      @utambevilla9585 3 роки тому

      @@lovvy854 we mbona unauza na bado huajatajirika?

    • @lovvy854
      @lovvy854 3 роки тому

      @@utambevilla9585 muulize mamakoo kwasabu yeye ndio anayo sababu

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 роки тому

    Acheni uongo kwenye UA-cam zenu

  • @raphaelbruno2743
    @raphaelbruno2743 3 роки тому

    Na uyu ni sadala??

  • @barikiwa22
    @barikiwa22 2 роки тому

    🤣

  • @kokualex6948
    @kokualex6948 3 роки тому +3

    Mbona ni nyumba zangu nimezijenga kijichi?

  • @sayunirelevation7863
    @sayunirelevation7863 3 роки тому

    Roma mkatoliki

  • @rashidomar2771
    @rashidomar2771 3 роки тому

    Kiki hozo,,si kama kawaida yake si anachekesha

  • @mishwanwanmish8803
    @mishwanwanmish8803 3 роки тому

    Forbes bc irudiwe

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 3 роки тому +2

    Walipie na Kodi basi sio wanakaa tu kuzitaja

    • @mussamayele3134
      @mussamayele3134 3 роки тому

      hapo hamsemi angekuwa chibu mngesema limbukeni .

  • @aysherkitoi6547
    @aysherkitoi6547 3 роки тому

    Hakika wewe unaweza kuwa tajiri kuliko Sadala

  • @leverimlaki5667
    @leverimlaki5667 3 роки тому +1

    Onyesha moyo wako mwema na wala si mali za ulimwengu huu. Moyo unalipa kuliko mali za dunia

    • @wilsonkaseha2034
      @wilsonkaseha2034 3 роки тому

      Wewe bhanaaa!barakaza utamu wa maisha zinaanzia hapa hapa duniani

    • @amaniomballa1855
      @amaniomballa1855 3 роки тому

      Khaa. Sasa Ni Mali zake Asionyeshee viip

  • @annajohn2488
    @annajohn2488 3 роки тому

    Sasa yule domokaya analilia awekwe kwenye list ya top 10 fb🤣🤣 basi na mpoki alilie wenzake kimyaaa

  • @amaniomballa1855
    @amaniomballa1855 3 роки тому +1

    Ndio Tunacho kitaka utuambie unanyumba na tuzionee sio Kama sadala yeye Ni Ndotoo tuuu..na kutu hadithia hadithi ..

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 3 роки тому +1

    Mbona kwenye kura ya maoni kwenye uchaguzi wa ubunge kigamboni kapata kura sifuri

  • @ramangadu6451
    @ramangadu6451 3 роки тому +2

    Tatizo Watu Tuliowengi Uwekezaji Wetu Nikatika Mali. Kumbe Pia Mtu Unaweza Ukawekeza Wema Kitu Ambacho Watuwengi Wamiaka Yahivi Karibuni Tumeacha Kuwekeza Katika Kwema. Wakasema Wenye Kusema Chochote Ukionacho Duniani Nindoto Yamchana Kweupe. Nikwanini Basi Mpaka Wakasema Dunia Yamchana Kweupeeee Nikwasababu Mtu Katika Hii Dunia Unaweza Kumiliki Kilakitu Lakini Cha Kustajaabisha Unaacha Kilakitu. Sikwa UchaMungu Tunakumbushana Natukumbuke Kujenga Nyuma Zakuishi Baada Yamaisha Haya Ikiwemo Kumuabudia MOLA nakuwa Mwema Kwabinadamu Wenzio

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 3 роки тому

      C'est vrai,,,

    • @AlenKinyina
      @AlenKinyina Рік тому

      Unajuaje hajawekeza katika wema ? roho ya umasikini, wivu na roho mbaya shindwa

  • @charlesmwisera7175
    @charlesmwisera7175 3 роки тому

    Hiyo misifa tuu ya kijinga wakifa ndio tutajua ukweli.

  • @charlesmihuwa6287
    @charlesmihuwa6287 3 роки тому +5

    Idiot! Sio mbaya kujenga nyumba ila ni kosa kubwa sana afrika kila mtu kufikiria lazima kujenga nyumba na kununua gari na kuitwa tajiri no sence!. Nyumba ni kitu lazima na si anasa au utajiri na ni kazi inatakiwa ifanywe kwa lazima na serikari kupitia NATIONAL HOUSES na kila mtu akae iwe bure au kwa gharama ndogo kama huko duniani wanavyofanya.

    • @mamussi6872
      @mamussi6872 3 роки тому

      Ndio usemayo lakini si nyumba 11 kumiliki nyumba 11 ni utajiri tosha ndugu yangu sana sana binaadamu wa kawaida atamiliki moja tu au wivu tenaaaa

  • @minabuelysee8
    @minabuelysee8 3 роки тому

    Mpoke Allah akupe zaidi na zaidi
    Ivi niuze swali kweli kama Mpoke a nanyumba 11 ive Monde hana nyumba kweli kama Hbaba anavyo sema

  • @youngteo4158
    @youngteo4158 3 роки тому +2

    Mashallah

  • @Zainab-sq1tc
    @Zainab-sq1tc 3 роки тому +4

    Na bado anafanya kaz

    • @shukuranikibona5893
      @shukuranikibona5893 3 роки тому +1

      Wakati Mimi nikipata eti vijumba viwili tu,nanunua kitanda chenye IC ili nilalage tu...Eti full kuridhika!!!

  • @matukiotv9041
    @matukiotv9041 3 роки тому

    Mpoki Na ww unataftakiki aa we jamani bongo tutakua hatuaminihata mtu akiongea ukweli yaani mpoki hm nakujua acha tu ninyamaze

  • @monicamtewele9921
    @monicamtewele9921 3 роки тому +1

    Nahuyo paka ninyumba ua kitoweo