UTAJIRI WA MPOKI, ASEMA ANAMILIKI NYUMBA 11, MASHAMBA YA MPUNGA HEKA 50 NA MENGINE
Вставка
- Опубліковано 23 тра 2021
- Mchekeshaji Mpoki ameamua kuweka wazi sehemu ya vile anavyovimiliki, ambapo amesema anazo nyunba 11 kwa hapa Daresalaam na mkoani Pia Ana viwanja ambavyo hajajenga Pamoja na shamba la mpunga la Heka 50. Play kupata taarifa kamili
Unayo nidhamu ya pesa. Umekuwa Mwl. Mzuri kwa hili. Mwenyezi Mungu tubariki Watoto wa Tz
Mashallah habipty wangu Allah akuongezee
Safi somo zuri kwa wakadiriaji wa maisha ya watu kengeeeee
Mungu azidi kumpa barka
Hongera jamaa ,unapothubutu unafanikiwa
Hongera Sana Aiseee uko vizur Sana
Masha Allah
Masha'allah
Mashaa Allah
Safi kaka safi sanaa
Ma shaa allah
🇦🇪Nice mpoki
Ooooh nice
Hongera San Kaka kuweka adhzina
Hongera sana
Maashaallah
Mashallah
Konde boy fanya mamb makubwa like mpok
🤣🤣Bongo unahaso ukifanikiwa Wabongo wanakunanga we FreeMason🙌🙌
HONGERA MPOKI
MashaAllah
Hongera sana kaka
Maa Shaa Allah
ua-cam.com/video/fpP0bvnfeOs/v-deo.html🔥🇹🇿🇷🇼
Tafuta kwanza ufulume wa mbingun mengineyo achana nayo ndugu
Huyo Ndiyo mhaya halisi sasa macho kwenye pesa achana na makabila mengine watu wakipata pikipiki tu hatupumui mtaan
Kina nan asee hao 😅😅
@@wilsonthomas9176 baba levo mwiny jaku nk
@@kishingokishingo1840 🤣🤣🤣🤣🤣🤣💃💃💃💃
Tanzania hakuna ukabila
kweli kagera asili yenu ni waganda, sasa ukabira umekujaje hapo? acheni ushamba wa kizamani
Mashaallah
H baba angewekeza kama ivi sasa ivi asingekuwa na stress za maisha #mpoki wasanuwe wana wajuwe kujiongeza😍😍😍😍
H. baba Anamijengo miwili mikubwa Mwanza. Jaribu kugoogle NYUMBA ZA H. BABA MWANZA utaona
Njoo mwanza uone mijengo ya h.baba utoamin
Waoneshe......nyoo
Uyu mwamba fwedha anazo, maana nikitazama ndinga anazomiliki ni kwere asee
Hao ndo wanaume wenye KOROMEA 🤸🙌sio sadala unaropoka hovyo kamvaa dira sifa nyingi majigambo ushamba mwingi sadala kama sadala
Acha kumsema mtu msifie aliyokuonesha nyumba zake nyoooo
Sna sana mpoki
Gems
Ngoja tu gugo FORBES
Kajitahidi sana
SIsi Tuna Hela Weweee
Umesahau zigine zipo kibada na kisalawe ii
safisana mpoki
🙄🙄🙄🙄 ZAKE AU 🙆♀️🙆♀️🤷♀️
Kweli MUNGU MKUBWA.UKIFANYA KAZI KWA BIDII LAZM UBALIKIWE.MPOKI MUNGU AKUZIDISHIE
Mmmh hongera. Yake
haya Tajiri wa ndevu
😂😂😂Nilitaka kushangaa, Muhaya?
Hahaha 🤣🤣😂🤣 kajitahidi masha'allah
Hivi ni muhaya wa ukweli
Duh
Kweli wenye hela hawana maneno mengiiiii
Hii ndio maana ya kuongea kwa vitendo nasio porojo kama yule dogo mwenye nyumba mia hewa au dream nyumba mia 😃😀 . Nyumba ni bonge la biashara na zitakuelea alafu ni biashara isiyo kuwa na stress sana . Hongera tena.
@@issakamba1902 weee msenge nini kusema ukweli ni roho mbaya ? Nikamuonee mtu wivu mwenye mali za haramu ? Kama mkweli aonyeshe basi 😀😌
@@issakamba1902 huwezi kujua haramu kama na wewe ni mwanaharamu. Embu achana na mimi Nguruwe pori wewe . Tena koma kunitag.
@@issakamba1902 mkundu akupe baba ako sio mimi . Mimi mtu na heshima zangu.
@@issakamba1902 mimi nimecoment maneno yangu nani kakwambia unijibu Kwa kunitag ? Kwani ungepita kimya kimya unge pungua nini ? Au ina uchungu sana na boss wako ? By theway Alhamudilah mama angu ana Kuma wako sijui kakuzaa na mkundu. Khanithi wewe.
@@issakamba1902 mimi mwanamke sio shoga wewe ndio shoga sio kawaida kutoka povu na kuchanganyikiwa kisa boss kaambiwa hana nyumba 😀😅 wallah sio Rizki wewe
Hawa ndio watu muhim
Bado sana huo sio utajiri bado amjaelewa maana ya utajiri
Mmh
Msimpandishe mtu. Mpoki Ni wakawaida sanaaaa.sio tajiri
Mpaka hapo tayari kashaonyesha sifa ikumbukwe huyo ni MUHAYA 😀😀😀 WATU WA KUJISIFIA
Mpoki ni mpogoro si mhaya!huwa anaigiza Kama mhaya tuu
Haters mtabaki hiyo stage kisa mhaya ndo udhan uongo eeeh leta zao tuonee..
Mhaya pure tena wazaz woteee .. na wahaya ndo kabila linalojivunia kuwa wahaya wengine makabila they don’t proud
@@anicyaedward5605 Wasukuma? Wazanaki?
Kiki izo!
Kaka
Zote zako nisaidie na mimi nimalize kakibanda kangu kamoja tu nipate hifadhi
.mashalllah
Dhubutu 11 ni viota vya ndge nyumbaaaaa
📷 vipi tungehesabu wote basi
Ila kuna watu wao kupinga tu yaaan kabisa MTU anawekà👎kwa stor hii duuuu😂
Wivu ni ugonjwa mbaya sana, huwa wanakuwa nao watu waliogubikwa na depression.
Kuwanga si mpaka kutembea uchi usiku, waonee huruma tu.
Wekeza unachoweza. Unajuajuaje kama wenye mali hawana wema? Wengi wanasaidia wahitaji.
Nilijua analima mpunga na mchele na matango pia😂😂😂😂😂
Ww 😂😂😂
Nikuchekesha tuuu au. Niache kazi sasa hivi nianze vituko
Hahhh
Nyumba vibanda ivyo nyumba anazijua
Wivu tu
...
Faida ya kipaji. Hapo sio degree wala PHD yenye kukohoa. Kudadadeki!
Bro ..kila kitu kina nafasi yake Kuna wasom wanamaisha hivyo hivyoo na wanapesa kwa sabb ya shule pia Kun wenye vipaj na Wana elim
@@amaniomballa1855 Shule ilikuwa zamani sio kwa sasa
@@abbyadams8691 Acheni ujinga,,, Pelekeni watoto wetu shuleni,,,
Watoto kampeni ya kupinga shule hivi ni nani kaianzisha?
@@mchembethomas601Umuhimu wa shule kwa sasa ni kujua kusoma na kuandika basi. Vingine ni mbwe mbwe tu!.Kidogooo kwa baadhi ya kozi km udaktari.
Mngejitamba hivo kipindi cha Magufuli
Ili iweje
ua-cam.com/video/fpP0bvnfeOs/v-deo.html🔥🔥🔥🇹🇿🇷🇼
Mali zako ni zile ulizozitanguliza Akhera hizo ni za Warithi wako.
Kadhalka jiandae kujibu masawali ulizipataje na ulizitumiaje?!
Na kama ulizichuma kwa njia za haram jiandae kwa mkong'oto warithi wako watatumia kiulaiyniiiii wewe unabanikwa.
Nyumba siyo zake hizo kiki tu
Sasa za kwako
Ni za nan?
Ni za nan?
Diamond ata fanya hawa mastaa wakiume wauze matako, ili wajilinganishe nae.
Kwanini unasema ivo au kwaajilia Kujenga
@@lovvy854 kumbe mond na yy anauza matako ndio mana amejenga eeee!!!!
@@utambevilla9585 nawewe ukitaka uzapia utajirike😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@lovvy854 we mbona unauza na bado huajatajirika?
@@utambevilla9585 muulize mamakoo kwasabu yeye ndio anayo sababu
Acheni uongo kwenye UA-cam zenu
Na uyu ni sadala??
😀
🤣
Mbona ni nyumba zangu nimezijenga kijichi?
Mmmmhhh we nae
Kijichi ya zenji?
Roma mkatoliki
Kiki hozo,,si kama kawaida yake si anachekesha
Forbes bc irudiwe
Walipie na Kodi basi sio wanakaa tu kuzitaja
hapo hamsemi angekuwa chibu mngesema limbukeni .
Hakika wewe unaweza kuwa tajiri kuliko Sadala
😀😀😀irudiwe
Onyesha moyo wako mwema na wala si mali za ulimwengu huu. Moyo unalipa kuliko mali za dunia
Wewe bhanaaa!barakaza utamu wa maisha zinaanzia hapa hapa duniani
Khaa. Sasa Ni Mali zake Asionyeshee viip
Sasa yule domokaya analilia awekwe kwenye list ya top 10 fb🤣🤣 basi na mpoki alilie wenzake kimyaaa
Ndio Tunacho kitaka utuambie unanyumba na tuzionee sio Kama sadala yeye Ni Ndotoo tuuu..na kutu hadithia hadithi ..
Kwani sadala mwenyewe anasemaje?????
🤣🤣🤣🤣🤣
Bongo hakuna msanii mwenye pesa kama diamond na anawatesa weng sn
Mbona kwenye kura ya maoni kwenye uchaguzi wa ubunge kigamboni kapata kura sifuri
Tatizo Watu Tuliowengi Uwekezaji Wetu Nikatika Mali. Kumbe Pia Mtu Unaweza Ukawekeza Wema Kitu Ambacho Watuwengi Wamiaka Yahivi Karibuni Tumeacha Kuwekeza Katika Kwema. Wakasema Wenye Kusema Chochote Ukionacho Duniani Nindoto Yamchana Kweupe. Nikwanini Basi Mpaka Wakasema Dunia Yamchana Kweupeeee Nikwasababu Mtu Katika Hii Dunia Unaweza Kumiliki Kilakitu Lakini Cha Kustajaabisha Unaacha Kilakitu. Sikwa UchaMungu Tunakumbushana Natukumbuke Kujenga Nyuma Zakuishi Baada Yamaisha Haya Ikiwemo Kumuabudia MOLA nakuwa Mwema Kwabinadamu Wenzio
C'est vrai,,,
Unajuaje hajawekeza katika wema ? roho ya umasikini, wivu na roho mbaya shindwa
Hiyo misifa tuu ya kijinga wakifa ndio tutajua ukweli.
Idiot! Sio mbaya kujenga nyumba ila ni kosa kubwa sana afrika kila mtu kufikiria lazima kujenga nyumba na kununua gari na kuitwa tajiri no sence!. Nyumba ni kitu lazima na si anasa au utajiri na ni kazi inatakiwa ifanywe kwa lazima na serikari kupitia NATIONAL HOUSES na kila mtu akae iwe bure au kwa gharama ndogo kama huko duniani wanavyofanya.
Ndio usemayo lakini si nyumba 11 kumiliki nyumba 11 ni utajiri tosha ndugu yangu sana sana binaadamu wa kawaida atamiliki moja tu au wivu tenaaaa
Mpoke Allah akupe zaidi na zaidi
Ivi niuze swali kweli kama Mpoke a nanyumba 11 ive Monde hana nyumba kweli kama Hbaba anavyo sema
Mashallah
Na bado anafanya kaz
Wakati Mimi nikipata eti vijumba viwili tu,nanunua kitanda chenye IC ili nilalage tu...Eti full kuridhika!!!
Mpoki Na ww unataftakiki aa we jamani bongo tutakua hatuaminihata mtu akiongea ukweli yaani mpoki hm nakujua acha tu ninyamaze
Nahuyo paka ninyumba ua kitoweo