THE CLASSIC MASANJA PT 4 EP 1 : KAZI YA UKONDA WA DALA DALA /MKASA WA ZE COMEDY NA TAJIRI JACK PEMBA
Вставка
- Опубліковано 12 кві 2024
- Masanja ameweka rekodi ya kua mgeni wa kwanza aliefanya vipindi vinne katika kipindi cha The Classic,hii ni sehemu ya kwanza ya mahojiano haya ambapo anaelezea wakati alipokua konda wadala dala na chagamoto zake na changamoto za ndani wakati wanafnya vipindi vya Ze Comedy
Sema episode zinachelewa sana hzi
Masanja bado tunamdai sana asee
Yaaaaaan masanja hata hachoshi kumsikiliza kabisaaaa, tunaomba aje tena na tena
Umekata story ya ukonda mzee umeniboa mzee
Akija amalizie kwenye ukonda
Arud Tena tunamdai sanaaaa
Anaweza kutengeneza movie based in true story
Very interested story 😊
KITUKWE GUY
Dakika chache sana
Kitukwe Guy😂😂😂 aendeeeee tunafurahia sana mambo yake
🔥🔥🔥🔥
Lovely interview
Haya maisha aiseh! Mpaka upiga debe na mateja!? Yaani Unaweza mcheki mtu ukamchukulia oya oya au kumuhukumu lakini??!! Daah!
Kuna mstari mmoja wa wimbo wa ben pol ft darasa kuna mstari unasema "nikikusimulia nlipotoka naona kama hunisomi, labda nikufungulie chest now you can really know me..
Daah!! Masanjaa! Hapana aiseh... Na hapo usikute kidogo sana kaeleza...
Its stories like this zenye uhalisia
Aisee napenda sana kumskiliza mkandamizaji lifestyle yake ni funzo tosha Kwa maisha yetu ya unga unga Mwana, Kwamba Cha kuzingatia ni kuamin Mungu yupo na kutokata tamaaa
What happen? Upande wa ukondo mbona story imekatwa halafu ikaenea mbele sana?
Oya mtangazaji umezingua sana mbona umekatisha story ya konda
Me isubili sana
Hakika mafanikio ya Kweli na sahihi lazima upambane Kweli Kweli!! Nakubali masanja story yako imenifanya niinuke Tena baada ya kukata tamaa... Unarikiwe pastor
Jamaaa huchoki kumsikiliza
Atumalizie kwenye ishu ya ukonda
😊
Masanja unatakiwa umpe siku nzima
😂😂😂😂
Umenikumbusha sana starlet gari yangu ya kwanza kabisa, ila mimi niliuziwa laki 4 na mch Mboma😂
Duuuu
Ila masanja story zake hazichoshi aisee😅😅 andelee bwna
Maadhbutiiiiiiii😅😅😅
Masanja alikuwa anauwa paka kwenye daladara za usiku(kuuwa paka)
Masanja arudi Tena na Tena dah! 😂
Masanja anavyohadithia story yake kama sio magumu aliyopitia
Arudi tena
Atoe documentary ili tusimdai
Mtaani jamaa kibao tumejikuta tuna AUDIO INTERVEW TULIZO DOWNLOAD YUTUBE sababu ya MASANJA ...nimeshangaa watu wa 4 kila mtu anayo....duuu
Respect 🫡
Hata mimi amefanya niamke tena nianze kupambana na kufanya nimheshimu tena na tena
Oya...Mbona umemkata kwenye ukonda??? Unazengua bob
Anazinguaga hapo tu
Bro Jabir nakukubali sana maana unajua mashabiki zako tunataka nani
Pamoja sana
@@KuviFacts Poa
ua-cam.com/video/1qSlTNDn4LU/v-deo.html INSTUMENTAL BEAT PIGANA NA MUNGU BY OBY ALPHA
✊🏿👮🏿♂️
Oi Niggahood Mc, mtu wa hip hop sana wewe, salute 🫡🫡✊🏾✊🏾.