MFANYABIASHARA EDA ASIMWE, ALIANGUKA MARA 7 NA KUPATA HASARA KISHA AKAJIPATA NA KUSIMAMA MARA YA 8

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 231

  • @millardayoTZA
    @millardayoTZA  3 місяці тому +29

    WALE MNAOULIZA KUHUSU NAMNA YA KUMPATA EDA NA INSTAGRAM YAKE NI 0735-28-28-11, 0747-75-35-66 INSTAGRAM NI @classic_finishesTZ @mkeka_wa_mbao-original DUKA LIPO KARIAKOO MTAA WA KIUNGANI NA NYAMWEZI

  • @lydiaaugustino6417
    @lydiaaugustino6417 3 місяці тому +11

    Hongera sana CEO kwa kutupatia solution ya afya zetu kwa kuleta mkeka wa mbao na bedhaa ambazo ni unic 🔥

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 3 місяці тому +5

    MashaAllah 🙏🙏🙏kila kitu ni hatua,if you dont jave the patience and passion for something lazima utapata ugumu katika harakati za maisha.
    Tatizo sio mtaji,bali passion na uelewa wa kutosha wa biashara iyo,ukiongeza na uvumilivu na ustahimilivu ,ukamtegemea Mungu lazima utoboe.
    God's time is the best time,as long as bado upo hai usikate tamaa,

  • @melch3097
    @melch3097 3 місяці тому +14

    Welldone sister, Nina kibiashara changu usafirishaji, semi trailer. Tujuane, niwenasafirisha mizigo yako,

  • @RoncyMroki
    @RoncyMroki 2 місяці тому +2

    Nitakutafuta ukatuwekee nyumbani kwetu lushoto ❤❤❤❤❤ nimeupenda mkeka wa mbao ❤❤❤❤

  • @yusuphkayuni8188
    @yusuphkayuni8188 3 місяці тому +20

    Napenda sana moment kama izi uwe unatupa mara kwa mara

  • @samnyambabe2529
    @samnyambabe2529 3 місяці тому +5

    She is so cute

  • @marthahiliyai5181
    @marthahiliyai5181 3 місяці тому +4

    God Bless you

  • @revocatusmishelyludovick
    @revocatusmishelyludovick 3 місяці тому +2

    Enough to inspire ! #GoBigEda

  • @engineeragri293
    @engineeragri293 3 місяці тому +4

    Unatuinspire Wengi Boss 🔥🔥

  • @DosianaLulakuze-bv7fg
    @DosianaLulakuze-bv7fg 3 місяці тому +4

    Da Mungu nione na Mimi nimeteseka sana kuthubutu nathubutu sana

  • @SarahtzWilliam
    @SarahtzWilliam 3 місяці тому +1

    huyu dada ana background nzuri sana na anajisoma pia ana moyo wa kuelewesha wengine

  • @hellenlimo3208
    @hellenlimo3208 2 місяці тому

    Mungu akuinue zaidi Edda big up

  • @fidesbernard4835
    @fidesbernard4835 3 місяці тому +2

    Hongera sana❤

  • @CpbKizota
    @CpbKizota 2 місяці тому

    Hongera sana dada.nazidi kujifunza

  • @ImeldaIsdory
    @ImeldaIsdory 3 місяці тому +1

    Hongera sana Asiimwe.

  • @AluminiumMandela
    @AluminiumMandela 3 місяці тому +7

    Vijana wengi Wana uwezo shida ni mtaji

    • @SwaibuBilali
      @SwaibuBilali 3 місяці тому +6

      Shida sio mtaji @AluminiumMandela vijana wengi hawana uwezo wa kufanya biashara wengi tumekosa elimu ya kuendesha biashara h

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ 3 місяці тому

      @@SwaibuBilali uko sahihi Saaana tena saaana

    • @classicfinishestz
      @classicfinishestz 3 місяці тому +1

      Uko sahihi pia

    • @erickashindi2666
      @erickashindi2666 3 місяці тому

      ​@@SwaibuBilaliukweli ndo huo pia hakuna uwaminifu

  • @pceodhc
    @pceodhc 3 місяці тому +1

    Congratulations!

  • @sirizavitabu
    @sirizavitabu 3 місяці тому +8

    Yes kuanguka mara nyingi ni lazima ili usimame🎉

    • @classicfinishestz
      @classicfinishestz 3 місяці тому

      Kabisa Asante sana

    • @MtegekiKaijage
      @MtegekiKaijage 3 місяці тому

      Ni kweli kaka mimi pia nimefanya biashara nne naanguka since 2020 nilipoamua kuacha kazi na kujiajiri mpaka nilipokuja kukaa kwenye mstari last year. Mungu mwema japo kuna waliokuwa wananikatisha tamaa, kunicheka, na mengine mengi. Ila kwa vijana wenzangu wapambanaji mkae mkijua kuwa ni mara chache sana kuanza na biashara moja na ukatoboa kupitia biashara hyo hyo, so ingine inakuwa km mafunzo ya awali downfalls ni kawaida kwenye utaftaji

  • @yaredamos7664
    @yaredamos7664 3 місяці тому +3

    Hongera

  • @judithsimon7892
    @judithsimon7892 2 місяці тому

    Kuna tofauti kubwa Sana Kati ya kujitafuta na kijipata na kushikwa mkono na ndgu zake pomoja na mumewe

  • @hassankongolilo8408
    @hassankongolilo8408 3 місяці тому +1

    maashaallah

  • @kevinmary7129
    @kevinmary7129 3 місяці тому +3

    Husband business in her name

  • @alexmwalingo5020
    @alexmwalingo5020 3 місяці тому

    Hiyo nzuri sana❤❤

  • @neemamkami2029
    @neemamkami2029 3 місяці тому +2

    Wengi tumeanguka sanaa ila tunazidi kupambana hatukati tamaa

  • @karlschrader4026
    @karlschrader4026 3 місяці тому +3

    Inaitwa vaino flo sio vino froling

  • @jacobsimon9649
    @jacobsimon9649 3 місяці тому +6

    bei yake inaendaje

  • @internmoses
    @internmoses 3 місяці тому +1

    Vijana sasa tuelewe kwa sabab Ana watu waliomsaidia nyuma lkn angekuwa anahustle mwenyewe sio kirahisi

  • @Tonymaki-g9c
    @Tonymaki-g9c 3 місяці тому +2

    Toto kafanana babake.cheus beauty

  • @KobeJohn-k3d
    @KobeJohn-k3d 3 місяці тому +2

    Yeye mwenyew amebeba ajira Kwa iyo anajiajiri tu

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 3 місяці тому +1

    Smart

  • @silivestatesha9262
    @silivestatesha9262 3 місяці тому +2

    Chali yamta utajikomboa mwenyewe

  • @funnyboy369
    @funnyboy369 Місяць тому

    Vipindi kama hiv ni bora sana kaka millard ayo tunaomba uwe unatupatia sana sisi vijana tunaelimika

  • @seifkulwa3346
    @seifkulwa3346 3 місяці тому +1

    Nyuma ya Biashara ya a mwanamke Kuna mwanaume awe baba/Mme/hawara/kaka nk

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Місяць тому

    mmmh faida Lukuki lakin mmh hatari

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 3 місяці тому +1

    🎉

  • @elikananzibanka4186
    @elikananzibanka4186 3 місяці тому +1

    Bei ipoje?

  • @vanessapatrick4542
    @vanessapatrick4542 3 місяці тому +1

    SAHIHI KABISA BORA MKOMBOZI UMEKUJA CEMENT NA MCHANGA SOMETIME NI GHARAMA BORA TUMEPATA SOLUTION NITAWATEMBELEA DUKANI KWAO KUPATA ELIMU ZAIDI ....NIMEONAA VITU VIZURI SANA

  • @nasrahozza9231
    @nasrahozza9231 3 місяці тому

    Hongera sana

  • @MussacharlesSongo
    @MussacharlesSongo 3 місяці тому

    The problem mbona inakuwa nyingi.

  • @HonorathaKimambo
    @HonorathaKimambo 2 місяці тому

    Mkeka wa mbao nikitaka kupata nitapataeje,nipo mkoani.

  • @janethmihali1381
    @janethmihali1381 2 місяці тому

    Inatia moyo kwa wale tulioanguka mara nyingi

  • @mzalendomzalendo2567
    @mzalendomzalendo2567 3 місяці тому +2

    Wewe dada huwezi kuweka plastic juu ya tiles nzuri, hizi kwa nchi za watu wengine zinawekwa jikoni kwenye nchi zenye carpet lakini uweke hiyo kwenye nyumba zenye tiles za ghali

  • @mercyipokela
    @mercyipokela 3 місяці тому

    Jamani mimi napenda Sana, Sasa sijjui kama unaweka na jikoni haziunguwi na jiko?

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  3 місяці тому

      DUKA LIPO KARIAKOO MTAA WA KIUNGANI NA NYAMWEZI, 0735282811 na 0747753566

    • @marykennedymarwa1641
      @marykennedymarwa1641 3 місяці тому

      Yaani usithubutu , hiyo pesa yako dunduliza ununue tiles tu , naishi ulaya Tena Belgium , hatutumii Hilo liplastic aisee, nilihamia nyumba yangu ilikuwa Haina tiles nikaliweka weee, ndani ya miezi michache nililitoa , nikaweka laminaat afadhali. 😅😅

  • @annaBenkras
    @annaBenkras Місяць тому

    haichanikii?

  • @RufinaCharles
    @RufinaCharles 3 місяці тому

    Ongera sana dada angu namba yako tafadhari ata ya ofisi ili ili tuweze kuwasiliana

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  3 місяці тому

      DUKA LIPO KARIAKOO MTAA WA KIUNGANI NA NYAMWEZI, 0735282811 na 0747753566

    • @RufinaCharles
      @RufinaCharles 3 місяці тому

      @@millardayoTZA THANKS A LOT

  • @iampantah9284
    @iampantah9284 3 місяці тому

    Sio kwa ubaya but Mtaji wa kuanzisha biashaea nyingine baada ya kufeli ya kwanza alikuwa anatoa wap?

    • @DM.2200
      @DM.2200 3 місяці тому

      Kasema alikua ana wa kumshika mkono ndo last mme wake akamwambia ukifel ndo bas

    • @hildagabriel1003
      @hildagabriel1003 3 місяці тому

      Ana mume

  • @mercyipokela
    @mercyipokela 3 місяці тому

    Naomba namba zake.

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  3 місяці тому

      DUKA LIPO KARIAKOO MTAA WA KIUNGANI NA NYAMWEZI, 0735282811 na 0747753566

  • @mzalendomzalendo2567
    @mzalendomzalendo2567 3 місяці тому

    Huwezi hata kuhama nayo ukisha weka gundi kuitoa hapo lazima ina haribika sema hizi ni kwa watu wasio weza kununua tiles kwa sababu ni cheap

  • @derickbundutuz3445
    @derickbundutuz3445 3 місяці тому

    CAMER UNYAMAAAAAA

  • @hb_design_decorationdesign7705
    @hb_design_decorationdesign7705 2 місяці тому

    ukimuiga umeumia

  • @FanuelSulle
    @FanuelSulle 3 місяці тому

    Nikihitaji nitapataje

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  3 місяці тому

      DUKA LIPO KARIAKOO MTAA WA KIUNGANI NA NYAMWEZI, 0735282811 na 0747753566

  • @OsbonMusa
    @OsbonMusa 3 місяці тому +1

    Huyu alikua tajiri tangu zamani sio story ya kusisimua
    Labda tu hapo alipomchukua tu huyo alie mfundisha

  • @doreenkweka3869
    @doreenkweka3869 3 місяці тому

    Unadumu kwa muda gani?

    • @marykennedymarwa1641
      @marykennedymarwa1641 3 місяці тому

      Halidumu Hilo , ni plastic na pia sio nzuri ki afya . Hapa Belgium hakuna mtu anayetumia , bei rahisi sana , inatumika tu Kwa muda mchache mpaka upatapo pesa ya kununua tiles, Tena Ina chemicals mbaya sana . Inaitwa (vinyl vloer) vinyl floor Kwa watu maskini.

    • @melanialeonard4031
      @melanialeonard4031 3 місяці тому

      Mmmh haya maisha jaman tunalindwa na mungu tu

  • @kevinmary7129
    @kevinmary7129 3 місяці тому

    Mtaji alipata wap??? Mtaji alikuwa napata wao mara zote , epuka story za ladies wanakuwaga na wababa au vibabu au family funded sio kama kama wanaume

    • @mohammedkhimji7505
      @mohammedkhimji7505 3 місяці тому

      kweli kabisa.. nasema hi story ni ya kuzalilisha kwa kweli... mtu anapata mtaji wa bure afu unafeli mara 7???

  • @SimbaJumanne
    @SimbaJumanne 3 місяці тому

    Usisahau kuwashukuru mabwana ulioua unawapiga pesaaa

  • @glorymsangi5971
    @glorymsangi5971 3 місяці тому

    Naomba namba

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  3 місяці тому

      DUKA LIPO KARIAKOO MTAA WA KIUNGANI NA NYAMWEZI, 0735282811 na 0747753566

  • @djurio
    @djurio 3 місяці тому +21

    Hongera kwake. Kuna kujipata kwa kushikwa mkono na familia (family background) alafu kuna kujipata kuanzia zero ..wewe kama wewe. Wengi waliofanikiwa hawaweki wazi wamefanikiwa vip. By the way maisha yana formula na kila mtu anaformula yake. Ijue formula yako tembea humu....

  • @MtegekiKaijage
    @MtegekiKaijage 3 місяці тому +13

    Biashara ni ngumu sana mwanzoni usipotuliza akili unaweza kuchanganyikiwa na pia kuanguka ni kawaida wakati unaanza biashara mimi pia nilifanya biashara zaidi ya nne ndo nikaja kupata ramani, vingine nilikuwa nafunga mpk baadhi ya vitendea kazi vipo nyumbani. Ila niwaambie wapambanaji wenzangu ni mara chache sana kuanza biashara ya kwanza ukatoboa kupitia hyo hyo aisee. Biashara za awali kabla hatujasimama zinakuwa zinatupa lesson

    • @msomezsaid
      @msomezsaid 3 місяці тому

      atamimi biashara mbili sasa

  • @RutaEmmaMachumu
    @RutaEmmaMachumu 3 місяці тому +9

    Nimeipenda sana ni nzuri, tupe kazi hiyo Madam Eda

  • @EliberthaKazaula
    @EliberthaKazaula 3 місяці тому +9

    Eda kama Eda very smart hongera sana my Met Ngaza1 hiyooo

  • @Djso26
    @Djso26 3 місяці тому +5

    Kongole kwako dada Eda,kweli mtafutaji hachoki… furahia matunda ya juhudi na kutokukata tamaa💪

  • @elikananzibanka4186
    @elikananzibanka4186 3 місяці тому +2

    Vipi kuhusu moto? Mkeka wa mbao ukiangukiwa na Kaa la moto una resist vipi?

  • @givennsamweli
    @givennsamweli 3 місяці тому +4

    Hongereni sana, wale tunaofanya interior designing na ujenzi tuwashauli wateja wetu wachukue hizo bidhaa nzuri na adimu, binafsi nimezikubali, unique & bright ideas za madam

  • @noeljacob9644
    @noeljacob9644 3 місяці тому +6

    Leads elewaha hapo mtaji alipata kwa kupata support kwa ndugu na jamaa😂😂

  • @kelvinkibenje
    @kelvinkibenje 3 місяці тому +22

    Safi sana. Kuna mengi ya kujifunza kwake

  • @VickyDickson-v2c
    @VickyDickson-v2c 3 місяці тому +3

    Bei ya huo mkeka wa mbao ni sh ngapi? Mfano chumba cha mita 3x3x room 4?

  • @joycekaje8755
    @joycekaje8755 3 місяці тому +3

    Zipo huku Europe, hilo ni kapet la plastics lkn kuna mbao kabisa ambazo ni LAMINAAT

  • @isunga1964
    @isunga1964 3 місяці тому +5

    Mume wa maana kabis😂😂😂

  • @mrambadiana9678
    @mrambadiana9678 3 місяці тому +4

    She is 2 natural cutieee❤🙌

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 3 місяці тому +4

    Very beautiful with brain

  • @redemptaanisio2770
    @redemptaanisio2770 3 місяці тому +4

    Tunaomba namba yake ili waje watuwekee kwenye nyumba zetu

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  3 місяці тому

      DUKA LIPO KARIAKOO MTAA WA KIUNGANI NA NYAMWEZI, 0735282811 na 0747753566

  • @zsports7630
    @zsports7630 4 дні тому

    Nazipataje niko bukoba

  • @SomoKidawa
    @SomoKidawa 3 місяці тому +2

    Naona nzi jamani amefikaje hapo shenzi huyuuu?

  • @african342
    @african342 3 місяці тому +2

    Bro how can I get her business number....???

  • @hannahriichie2004
    @hannahriichie2004 3 місяці тому +4

    She is so inspiring ❤

  • @girabayanyambeta9001
    @girabayanyambeta9001 3 місяці тому +3

    Leta branch kahama

  • @ishekellyfredy9714
    @ishekellyfredy9714 3 місяці тому +13

    Kitu kizuri sana👏 sema wabongo kama tunavyo wajua wakiona hiii watu wengi wataiga mnooo tutarajie kuletewa feki za china sasa😂😂😂

    • @vom84
      @vom84 3 місяці тому +2

      CHINA hizo zipo na ndio wazalishaji , ulaya wananunua china pia,

  • @AshaJuma-s7l
    @AshaJuma-s7l 3 місяці тому +5

    Waaooo!🎉❤

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 3 місяці тому +3

    Wooww kumbe kunahamishwa

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Місяць тому +1

    Aise Safi saana

  • @VictorGosbert
    @VictorGosbert 3 місяці тому +2

    Hii itawaamsha wengi walo lala

  • @kibibiproductszanzibar9085
    @kibibiproductszanzibar9085 3 місяці тому +2

    Kwani hii sio carpet

  • @beatriceclemence
    @beatriceclemence 3 місяці тому +2

    nimedrop hii 4th times

  • @azzaalmalki41
    @azzaalmalki41 3 місяці тому +2

    Arusha mko sehemu gani

  • @KhadijaAli-zd8jq
    @KhadijaAli-zd8jq 3 місяці тому +2

    Naomba namba zako mm naitaji

  • @davidlelo6192
    @davidlelo6192 3 місяці тому +2

    Unapatikana wapi dd

  • @mamelithaemmanuel2976
    @mamelithaemmanuel2976 3 місяці тому +3

    Vizuri sana mdogo wangu ubalikiwe ❤❤

  • @rosinamtauka9933
    @rosinamtauka9933 3 місяці тому +9

    naomba namba zake za simu

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 3 місяці тому +3

    Weka simu au Arusha mko wapi

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  3 місяці тому

      DUKA LIPO KARIAKOO MTAA WA KIUNGANI NA NYAMWEZI, 0735282811 na 0747753566

  • @edwigashayo2127
    @edwigashayo2127 3 місяці тому +1

    Bei yake ikoje? Niko Arusha nikitaka?

  • @SumuuKijoka
    @SumuuKijoka 3 місяці тому +3

    simu yake

  • @MariamAthuman-i8p
    @MariamAthuman-i8p 3 місяці тому +2

    Bei yake ni shilingi ngapi?

  • @aloycemathew3926
    @aloycemathew3926 3 місяці тому +3

    Boss wanguuuuuu

  • @spency2371
    @spency2371 3 місяці тому +2

    Aiseee so impressive 😊❤

  • @deboramsuya2940
    @deboramsuya2940 3 місяці тому +2

    Hongera sana Eda

  • @allenmushema5844
    @allenmushema5844 3 місяці тому +2

    that winning mind >>>

  • @nicodemvenant9855
    @nicodemvenant9855 3 місяці тому +1

    Tafadhali Milard nipatie connection nae nahtaji fursa hyo

  • @dominiclyochindilla1093
    @dominiclyochindilla1093 3 місяці тому +13

    Helloo my dada! I bless you...
    Tunashukuru kwa kujitolea Mkeka kwa Kanisa letu!!!
    God bless your family and your business!!

  • @khamisswalehe
    @khamisswalehe 3 місяці тому +4

    mimi nina miaka zaidi ya kumi sjajipata

    • @aishaabrahaman9957
      @aishaabrahaman9957 3 місяці тому +1

      Ni kama mimi 😂😂😂😊

    • @khamisswalehe
      @khamisswalehe 3 місяці тому +3

      @@aishaabrahaman9957 usikate tamaa mimi sasahiv nasumbiliwa na mtaji tu lakin nimepata idea moja ya kuniinua sana

    • @salmaalimusa6809
      @salmaalimusa6809 3 місяці тому

      ​@@khamisswalehetushee mawazo ndh

    • @hellenmassawe7284
      @hellenmassawe7284 3 місяці тому +1

      Utajipata tuuu