WALE MNAOULIZA KUHUSU NAMNA YA KUMPATA EDA NA INSTAGRAM YAKE NI 0735-28-28-11, 0747-75-35-66 INSTAGRAM NI @classic_finishesTZ @mkeka_wa_mbao-original DUKA LIPO KARIAKOO MTAA WA KIUNGANI NA NYAMWEZI
MashaAllah 🙏🙏🙏kila kitu ni hatua,if you dont jave the patience and passion for something lazima utapata ugumu katika harakati za maisha. Tatizo sio mtaji,bali passion na uelewa wa kutosha wa biashara iyo,ukiongeza na uvumilivu na ustahimilivu ,ukamtegemea Mungu lazima utoboe. God's time is the best time,as long as bado upo hai usikate tamaa,
Ni kweli kaka mimi pia nimefanya biashara nne naanguka since 2020 nilipoamua kuacha kazi na kujiajiri mpaka nilipokuja kukaa kwenye mstari last year. Mungu mwema japo kuna waliokuwa wananikatisha tamaa, kunicheka, na mengine mengi. Ila kwa vijana wenzangu wapambanaji mkae mkijua kuwa ni mara chache sana kuanza na biashara moja na ukatoboa kupitia biashara hyo hyo, so ingine inakuwa km mafunzo ya awali downfalls ni kawaida kwenye utaftaji
SAHIHI KABISA BORA MKOMBOZI UMEKUJA CEMENT NA MCHANGA SOMETIME NI GHARAMA BORA TUMEPATA SOLUTION NITAWATEMBELEA DUKANI KWAO KUPATA ELIMU ZAIDI ....NIMEONAA VITU VIZURI SANA
Wewe dada huwezi kuweka plastic juu ya tiles nzuri, hizi kwa nchi za watu wengine zinawekwa jikoni kwenye nchi zenye carpet lakini uweke hiyo kwenye nyumba zenye tiles za ghali
Yaani usithubutu , hiyo pesa yako dunduliza ununue tiles tu , naishi ulaya Tena Belgium , hatutumii Hilo liplastic aisee, nilihamia nyumba yangu ilikuwa Haina tiles nikaliweka weee, ndani ya miezi michache nililitoa , nikaweka laminaat afadhali. 😅😅
Halidumu Hilo , ni plastic na pia sio nzuri ki afya . Hapa Belgium hakuna mtu anayetumia , bei rahisi sana , inatumika tu Kwa muda mchache mpaka upatapo pesa ya kununua tiles, Tena Ina chemicals mbaya sana . Inaitwa (vinyl vloer) vinyl floor Kwa watu maskini.
Hongera kwake. Kuna kujipata kwa kushikwa mkono na familia (family background) alafu kuna kujipata kuanzia zero ..wewe kama wewe. Wengi waliofanikiwa hawaweki wazi wamefanikiwa vip. By the way maisha yana formula na kila mtu anaformula yake. Ijue formula yako tembea humu....
Biashara ni ngumu sana mwanzoni usipotuliza akili unaweza kuchanganyikiwa na pia kuanguka ni kawaida wakati unaanza biashara mimi pia nilifanya biashara zaidi ya nne ndo nikaja kupata ramani, vingine nilikuwa nafunga mpk baadhi ya vitendea kazi vipo nyumbani. Ila niwaambie wapambanaji wenzangu ni mara chache sana kuanza biashara ya kwanza ukatoboa kupitia hyo hyo aisee. Biashara za awali kabla hatujasimama zinakuwa zinatupa lesson
WALE MNAOULIZA KUHUSU NAMNA YA KUMPATA EDA NA INSTAGRAM YAKE NI 0735-28-28-11, 0747-75-35-66 INSTAGRAM NI @classic_finishesTZ @mkeka_wa_mbao-original DUKA LIPO KARIAKOO MTAA WA KIUNGANI NA NYAMWEZI
Àsante Millard Naamini umetubariki wengi
Hongera sana CEO kwa kutupatia solution ya afya zetu kwa kuleta mkeka wa mbao na bedhaa ambazo ni unic 🔥
Asante sana
MashaAllah 🙏🙏🙏kila kitu ni hatua,if you dont jave the patience and passion for something lazima utapata ugumu katika harakati za maisha.
Tatizo sio mtaji,bali passion na uelewa wa kutosha wa biashara iyo,ukiongeza na uvumilivu na ustahimilivu ,ukamtegemea Mungu lazima utoboe.
God's time is the best time,as long as bado upo hai usikate tamaa,
Welldone sister, Nina kibiashara changu usafirishaji, semi trailer. Tujuane, niwenasafirisha mizigo yako,
Correct ur words sister don't say kabiashara
Toa namba dear
Nitakutafuta ukatuwekee nyumbani kwetu lushoto ❤❤❤❤❤ nimeupenda mkeka wa mbao ❤❤❤❤
Napenda sana moment kama izi uwe unatupa mara kwa mara
She is so cute
God Bless you
Enough to inspire ! #GoBigEda
Unatuinspire Wengi Boss 🔥🔥
Da Mungu nione na Mimi nimeteseka sana kuthubutu nathubutu sana
Mungu akusaidie sana 🙏🏾
Jifunze unakosea wapi? Endelea kuthubutu. Utatoboa.
huyu dada ana background nzuri sana na anajisoma pia ana moyo wa kuelewesha wengine
Mungu akuinue zaidi Edda big up
Hongera sana❤
Hongera sana dada.nazidi kujifunza
Hongera sana Asiimwe.
Vijana wengi Wana uwezo shida ni mtaji
Shida sio mtaji @AluminiumMandela vijana wengi hawana uwezo wa kufanya biashara wengi tumekosa elimu ya kuendesha biashara h
@@SwaibuBilali uko sahihi Saaana tena saaana
Uko sahihi pia
@@SwaibuBilaliukweli ndo huo pia hakuna uwaminifu
Congratulations!
Yes kuanguka mara nyingi ni lazima ili usimame🎉
Kabisa Asante sana
Ni kweli kaka mimi pia nimefanya biashara nne naanguka since 2020 nilipoamua kuacha kazi na kujiajiri mpaka nilipokuja kukaa kwenye mstari last year. Mungu mwema japo kuna waliokuwa wananikatisha tamaa, kunicheka, na mengine mengi. Ila kwa vijana wenzangu wapambanaji mkae mkijua kuwa ni mara chache sana kuanza na biashara moja na ukatoboa kupitia biashara hyo hyo, so ingine inakuwa km mafunzo ya awali downfalls ni kawaida kwenye utaftaji
Hongera
Asante sana
Kuna tofauti kubwa Sana Kati ya kujitafuta na kijipata na kushikwa mkono na ndgu zake pomoja na mumewe
maashaallah
Husband business in her name
Hiyo nzuri sana❤❤
Wengi tumeanguka sanaa ila tunazidi kupambana hatukati tamaa
Inaitwa vaino flo sio vino froling
bei yake inaendaje
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Vijana sasa tuelewe kwa sabab Ana watu waliomsaidia nyuma lkn angekuwa anahustle mwenyewe sio kirahisi
Toto kafanana babake.cheus beauty
Yeye mwenyew amebeba ajira Kwa iyo anajiajiri tu
Smart
Chali yamta utajikomboa mwenyewe
Vipindi kama hiv ni bora sana kaka millard ayo tunaomba uwe unatupatia sana sisi vijana tunaelimika
Nyuma ya Biashara ya a mwanamke Kuna mwanaume awe baba/Mme/hawara/kaka nk
mmmh faida Lukuki lakin mmh hatari
🎉
Bei ipoje?
SAHIHI KABISA BORA MKOMBOZI UMEKUJA CEMENT NA MCHANGA SOMETIME NI GHARAMA BORA TUMEPATA SOLUTION NITAWATEMBELEA DUKANI KWAO KUPATA ELIMU ZAIDI ....NIMEONAA VITU VIZURI SANA
Hongera sana
The problem mbona inakuwa nyingi.
Mkeka wa mbao nikitaka kupata nitapataeje,nipo mkoani.
Inatia moyo kwa wale tulioanguka mara nyingi
Wewe dada huwezi kuweka plastic juu ya tiles nzuri, hizi kwa nchi za watu wengine zinawekwa jikoni kwenye nchi zenye carpet lakini uweke hiyo kwenye nyumba zenye tiles za ghali
Jamani mimi napenda Sana, Sasa sijjui kama unaweka na jikoni haziunguwi na jiko?
DUKA LIPO KARIAKOO MTAA WA KIUNGANI NA NYAMWEZI, 0735282811 na 0747753566
Yaani usithubutu , hiyo pesa yako dunduliza ununue tiles tu , naishi ulaya Tena Belgium , hatutumii Hilo liplastic aisee, nilihamia nyumba yangu ilikuwa Haina tiles nikaliweka weee, ndani ya miezi michache nililitoa , nikaweka laminaat afadhali. 😅😅
haichanikii?
Ongera sana dada angu namba yako tafadhari ata ya ofisi ili ili tuweze kuwasiliana
DUKA LIPO KARIAKOO MTAA WA KIUNGANI NA NYAMWEZI, 0735282811 na 0747753566
@@millardayoTZA THANKS A LOT
Sio kwa ubaya but Mtaji wa kuanzisha biashaea nyingine baada ya kufeli ya kwanza alikuwa anatoa wap?
Kasema alikua ana wa kumshika mkono ndo last mme wake akamwambia ukifel ndo bas
Ana mume
Naomba namba zake.
DUKA LIPO KARIAKOO MTAA WA KIUNGANI NA NYAMWEZI, 0735282811 na 0747753566
Huwezi hata kuhama nayo ukisha weka gundi kuitoa hapo lazima ina haribika sema hizi ni kwa watu wasio weza kununua tiles kwa sababu ni cheap
CAMER UNYAMAAAAAA
ukimuiga umeumia
Nikihitaji nitapataje
DUKA LIPO KARIAKOO MTAA WA KIUNGANI NA NYAMWEZI, 0735282811 na 0747753566
Huyu alikua tajiri tangu zamani sio story ya kusisimua
Labda tu hapo alipomchukua tu huyo alie mfundisha
Unadumu kwa muda gani?
Halidumu Hilo , ni plastic na pia sio nzuri ki afya . Hapa Belgium hakuna mtu anayetumia , bei rahisi sana , inatumika tu Kwa muda mchache mpaka upatapo pesa ya kununua tiles, Tena Ina chemicals mbaya sana . Inaitwa (vinyl vloer) vinyl floor Kwa watu maskini.
Mmmh haya maisha jaman tunalindwa na mungu tu
Mtaji alipata wap??? Mtaji alikuwa napata wao mara zote , epuka story za ladies wanakuwaga na wababa au vibabu au family funded sio kama kama wanaume
kweli kabisa.. nasema hi story ni ya kuzalilisha kwa kweli... mtu anapata mtaji wa bure afu unafeli mara 7???
Usisahau kuwashukuru mabwana ulioua unawapiga pesaaa
Naomba namba
DUKA LIPO KARIAKOO MTAA WA KIUNGANI NA NYAMWEZI, 0735282811 na 0747753566
Hongera kwake. Kuna kujipata kwa kushikwa mkono na familia (family background) alafu kuna kujipata kuanzia zero ..wewe kama wewe. Wengi waliofanikiwa hawaweki wazi wamefanikiwa vip. By the way maisha yana formula na kila mtu anaformula yake. Ijue formula yako tembea humu....
Exactly 💯
Hongera haya girl your so smart g
Biashara ni ngumu sana mwanzoni usipotuliza akili unaweza kuchanganyikiwa na pia kuanguka ni kawaida wakati unaanza biashara mimi pia nilifanya biashara zaidi ya nne ndo nikaja kupata ramani, vingine nilikuwa nafunga mpk baadhi ya vitendea kazi vipo nyumbani. Ila niwaambie wapambanaji wenzangu ni mara chache sana kuanza biashara ya kwanza ukatoboa kupitia hyo hyo aisee. Biashara za awali kabla hatujasimama zinakuwa zinatupa lesson
atamimi biashara mbili sasa
Nimeipenda sana ni nzuri, tupe kazi hiyo Madam Eda
Eda kama Eda very smart hongera sana my Met Ngaza1 hiyooo
Kongole kwako dada Eda,kweli mtafutaji hachoki… furahia matunda ya juhudi na kutokukata tamaa💪
Vipi kuhusu moto? Mkeka wa mbao ukiangukiwa na Kaa la moto una resist vipi?
Hongereni sana, wale tunaofanya interior designing na ujenzi tuwashauli wateja wetu wachukue hizo bidhaa nzuri na adimu, binafsi nimezikubali, unique & bright ideas za madam
Leads elewaha hapo mtaji alipata kwa kupata support kwa ndugu na jamaa😂😂
Hongera sana Asiimwe!
Safi sana. Kuna mengi ya kujifunza kwake
Asante sana
Kaka mkubwa
@@classicfinishestz hongera sanaa sanaaa
Bei ya huo mkeka wa mbao ni sh ngapi? Mfano chumba cha mita 3x3x room 4?
Zipo huku Europe, hilo ni kapet la plastics lkn kuna mbao kabisa ambazo ni LAMINAAT
Mume wa maana kabis😂😂😂
😂😂
She is 2 natural cutieee❤🙌
Very beautiful with brain
Tunaomba namba yake ili waje watuwekee kwenye nyumba zetu
DUKA LIPO KARIAKOO MTAA WA KIUNGANI NA NYAMWEZI, 0735282811 na 0747753566
Nazipataje niko bukoba
Naona nzi jamani amefikaje hapo shenzi huyuuu?
Bro how can I get her business number....???
She is so inspiring ❤
Leta branch kahama
Kitu kizuri sana👏 sema wabongo kama tunavyo wajua wakiona hiii watu wengi wataiga mnooo tutarajie kuletewa feki za china sasa😂😂😂
CHINA hizo zipo na ndio wazalishaji , ulaya wananunua china pia,
Waaooo!🎉❤
Wooww kumbe kunahamishwa
Aise Safi saana
Hii itawaamsha wengi walo lala
Kwani hii sio carpet
nimedrop hii 4th times
Arusha mko sehemu gani
Naomba namba zako mm naitaji
Unapatikana wapi dd
Vizuri sana mdogo wangu ubalikiwe ❤❤
Asante sana
naomba namba zake za simu
0735282811 na 0747753566
Weka simu au Arusha mko wapi
DUKA LIPO KARIAKOO MTAA WA KIUNGANI NA NYAMWEZI, 0735282811 na 0747753566
Bei yake ikoje? Niko Arusha nikitaka?
simu yake
Bei yake ni shilingi ngapi?
Boss wanguuuuuu
Aiseee so impressive 😊❤
Hongera sana Eda
that winning mind >>>
Tafadhali Milard nipatie connection nae nahtaji fursa hyo
Helloo my dada! I bless you...
Tunashukuru kwa kujitolea Mkeka kwa Kanisa letu!!!
God bless your family and your business!!
mimi nina miaka zaidi ya kumi sjajipata
Ni kama mimi 😂😂😂😊
@@aishaabrahaman9957 usikate tamaa mimi sasahiv nasumbiliwa na mtaji tu lakin nimepata idea moja ya kuniinua sana
@@khamisswalehetushee mawazo ndh
Utajipata tuuu