Polisi Dodoma ilivyombananisha mkulima wa bangi “Nilienda kwa mganga”
Вставка
- Опубліковано 28 бер 2018
- Kamanda wa Polisi Dodoma Gilles Muroto alifunga safari hadi katika msitu wa Wotta uliopo kijiji cha Mwanawotta Wilaya ya Mpwapwa mkoani humo na kuendesha Operation ya kufyeka na kuchoma mashamba ya bangi ambapo pia katika tukio hilo Askari walifanikiwa kumkamata mtu mmoja anayefahamika kwa jina la Julius Luagala mwenye umri wa miaka 51 kwa tuhuma za kujihusisha na kilimo cha zao hilo.
Sasa mnachoma bangi mpo hapo c mnavuta na nyinyi😂😂😂😂😂😂
vizuri afande KO mesh a wamezidi
Habily BoyTz ha ha ha watatangulia wenyewe kituoni kujishitaki
+Zainab Boo sawa na ww lima upate tabu
Habily BoyTz kweli kabisa😯😂😂😂😂😂😂
Hapana! Ni mpaka ivutwe jinsi inavyotakiwa.
mbona huyu mzee hkuna haja ya kumfunga pingu,Tufanye research tujue why watu walime bangi badala ya mazao mengine?
mtanzania mzalendo acha uk... hyo hairuhusiwi.... akalime karanga.. aache upunguani
Best comment ever
Uko sasa
huyo mzee dish sidhan kama liko sawa
kama huwa mnatumia hicho kiungo cha mboga gonga like
Daah inawezekana Uyu ndie aliyekuwa anamuuzia Wema Sepetu na Rayc maana sio mchezo hizo ni nomaaa
KAMANDA WA DODOMA KWA KAZI NI NZURI SANA.👏
RPC Murotto maswali yako huwa yananikosha sana
Science Arusha Kamanda hata Me namkubali
Science Arusha HANA KAZI....ANAACHA MASUALA YA KIUSALAMA ANAKIMBILIA KESI ZA BANGE??? KWANI JESHI LA POLISI HALINA MSEMAJI??MZEE MSAKA KIKI TU HUYU HANA JIPYA NA SURA YAKE KAMA BUNDUKI
daaah nani hapo mzee sasa halafu nyinyi mnawakamata hao watoto wakati mapapa mnawaacha wanao uza madawa ya unga
Safi sana kamanda 🙏
Muacheni tu maana hana msaada
kazi nzuri.
watanzania nawambien ukwel hua naumia napowaona wez kama kina tibaijuka,change,nawengine wakitamba mtaani lkn masikini wakifanywa ivo,mungu tuokoe.
Daa! inaskitisha kweli
Kwenye kushika bangi namba moja VP wezi na mafisadi walioiba taifa na mnawajua
RPC murotto hkk unambana mtu ile ile hkk maswali yk nimeyapenda kazi nzuri kamanda nakubari na na mm naunga mkono juu ya hilo
Daah! Inauma xn
Bangi tamu sanaaaa ,Mimi naipenda mno
Juma Shabani acha utaahira wewe sifa za kijinga
😂 😂 Njooni mumkamate uyu ukuuuuuu
Juma Shabani yaani napata kaharufu kwa mbaaalii duuuu utamu Wa bangi banaaaa
wa mtwara ongera sana jeshi la polic
Ligalise it....... In love with weed from kenya
Hiyo ni dawa ya degedege. Mkakamate wauwaji na watekaji. Konyagi ina madhara kuliko bangi.
hongera
Sio vzur kumzalilisha huyu baba masikin mbona matajir wanaouza madawa ya kulevya hamuwasubui na wengine ni wafanyakaz serikalin au Kwa sababu Sheria inabagua inatekelezwa Kwa masikin tu, kama angekuwa kigogo asingedharirishwa
Nakubali
siasa,,,
Kilimi cha kawaida mnazuiaa watuu kuuza njee...na bado mauxo ya ndan makodi kibaaoo sa mtu afanyeje sasa..
Ajira hakuna jamani akiiba nizambi napia bangi ndo inamfanya endeshe maisha yake chaku ishauli selikali kama wamekata bangi napia hawataki aendelee na kulima bangi inabidi wampe mtaji ili aweze kuendesha familia yake maana kwa umli alio fikia hawezi kufanya biashala nyingine zaidi ya bangi mazao hayana faida napia hakuna bei lasmi ya mazao
Huyu dingi namkubali sana, Tanzania maafisa wote wawe na moyo wa kulipenda Taifa kama alivio basi, kwa kila MTZ atapata amani.
Hapo mm ndoo nachoka wangekuwa vijana mnasema vijana umri mdogo kama huu ndoo mnajishilikisha na kulima bangi wawe na mri mkubwana umri mkubwa ndoo unajishikisha na kula bangi sasa walime wa umri gani
Kalima kubwa asee, uo utajiri wake
Ingekuwa dhahabu ingekuwa ya police ila kwakuwa nibangi basi niyako mzee wey weka tu mkono juuh
Bangi ni dawa isipokuwa wengi hufanya mambo ndio wasifiwe , lkn mbn Askari wachome mali ya mtu na baadaye utawaona wakinunua hizo bangi
bangi mimea t kam mimea nyengine mbn wasanii wakubwa hwakmatw n wnvuta bangi kam afande sele
subscribe kwenye youtube channel yetu kupata kipindi kipya kinachokujia karibuni kinachohusu mapenzi na namna ya kumnasa mpenzi anayekusaliti
KAZI. IPO
Ongera Sana kamanda kwalazi unazozipiga lkn angalia wasikuue maana unaokiereere sana
Bangi hiyalalishwe n ipande beai uwone km watu watatumia
Nambn sijawahi muon mtu aliye haribik kwakuvuta bangi
mnafanya kazi nzuri,lkn kwann msiwakamate mafisadi nawezi Wa escro ambao kila MTU anajua waliiba nchi nzima na nchi ishudie wakifungwa na sio kuishia mahabusu nn manake.
Kwel kabisa wakamate na mafisadi
Mzee mroto nakukubari sana sana
Aah huyu kamanda bhana ana sifa sana kwenye mambo yasiyo na maana
Mahouse gelo
Bangi is medicine
Medication
izi ndizo mambo za kudanganyana eti kacha bani kumbe kawa muzaji
jamani bangi sio mbaya mbn gamaika wanatumia mfano bob male ilikuwa anavuta bangi na kacha history kubwa duniani tufanye uchunguz kubain bangi pengine ni tiba
Mh raisi aliagiza askar wake wasifyeke bangi.kamanda kamata kijiji chote vitu vngne haviitaji huruma afande mtoro
Muroto go Back to school na ufanye reseach,Bangi ni Dawa! Wazungu wanawadanganya wakati huku ulaya ndio Bangi wanatengeneza dawa,nakuja kuwauzia, Hao washamba kama Muroto! Nenda Uganda wanalima Bangi kwa ajili da dawa!
Bangi ni mbaya kwakwel
unafeli kamanda bangi tam mnoo mwachie tu. jaman a MWe. we kamanda misifs
Polen mungu awape kaz za kufany zipo nying
Mi nina swali nisaidieni wadau.hivi hapo wanapochoma bangi hyo yote huo moshi wakiuvuta hauwazulu? Au mpaka bangi iwe kavu? Mana naona hapo huyo afande anaechoma anajifanya anawasha kiberiti mara mbili huku moshi unamfunika usoni wala hakwepeshi😂😂😂.huo moshi si haujawadhuru hao walichoma na majirani kweli?
Anny Onesmo mmm
Anny Onesmo Lol
Alikuwa anatesti mitambo na ardhi kama itakubali aje bungeni apendekeze kuwa eneo hilo linafaa manaa mliisha jadili kilimo hicho kwa hiyo naye alikuwa anafanya research
Wata pata tabu sana na rudia tena wata pata tabu sana iseeeee hahaaaaaa nakukubari sana mzee Mroto
Dodoma mtapata tabu saana maana huu moto wa RPC wenu sopoaaa!!!
Kazi nzuri
baba wwatu mumuache kuna vitu vingi sana vipo kwenye jamii mbona hamuvikemei
Huyu kamanda ana maswali ya mitego balaa😁😁😁😁
Na pombe nayo wangekuwa wanafanya kama wanavyofanya kwenye bange nchi ingesonga mbere maana pombe baya kuliko bangi
Bangi ni Dawa.
This commander should come to kenya n we see if he got the guts😂😂
Bangi haina mazara yoyotee
Sample amepatikana dah
juzi raisi kasema asikari msikate bangi alielima na wanakijiji wa sehemu hiyo ndo wazikate
Hyu kamanda namkubali san 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mtapata tabu sanaaa kipigo chake kitakua nikipigo cha mbwa koko
Moshi nao vipi apo sikuvuta pia au mm ndio sielew
Wanaharibu hela hawa!
yaani imestawi mpka natamani,il hapo kapata hasara kweli
Kamanda muroto ninoma ukiingia kwenye kumi na nanezake umeenda ndugu yangu
Kwetu mpwapwa kwa bangi hatujambo 😁😁
Amen and Amen jesus
Ila apo kunamaafande wanavuta mkuu
Aliye mpiga lisu mmeshampata au?
BOLIZOZO SHIRIMA ,?????????????
BOLIZOZO SHIRIMA hahaaa
Lisu acha afie mbele
+Isack Baton ww utaish milele punda ww
Kamanda huyu no safi sana
Ifanywe zao la biashara
huyu Mzee anapenda camera
kweli kwahuyu mzee kamera kwake kiki tosha
Jeremiah Sengasu 😂😂😂umeonae
hadi anakera
😂😂😂😂😂nimeshuka kwenye comment niseme hivyo nikakuta mshasema😂😂😂😂 au anatafuta msemo mwingine
Jeremiah Sengasu Mzee Tupi anapendwa Kramer’s au huoni anaopiga kaz? Au unaweza kupigwa kaz kama yake?
Muacheni tu kwani sibola akarime bangi bila kuiba
Hawa jamaa si walikatazwa kuchoma na kung'oa bangi wakiwa na sare za jeshi.
mzee acha kuuliza maswali mengi huyo ni mzee mwenzio
Sasa mnachoma weezenu watengeza pesa Duniani Haina haja kuwataja ,Pia ya kutumia ,?uliza Agrey mwanri Alie kua mkuu was mkoa waTabora
.
Mbona pombe ina madhara kibao, uchizi, magonjwa ya ini, familia kuvunjika, watoto kukosa walezi, lakini bado mnairuhusu na watu wanapiga hela. Bangi iruhusiwe tu na wakulima na wauzaji walipe kodi.
RPC upo vizuri
Huyu babu ni muigizaji kweli kweli yaani kanikumbusha majuto marehemu
Dah, shaza zinapigwa moto hadi roho inaniuma
Tunaluka mikojo uku tukikanyaga mavi.....wenzetu wanauza mirungi Kenya na inawasaidia ,bongo misigara ndo mnaiona inaumuhimu kwa serikali. Zuieni michezo ya kubet ndo inaaribu vijana kipindi iki.bangi ni dawa ya magonjwa kibao
Bangi dawa ya wtoto mulize bangine mboga
Jmn siyo poa ivyo ...we kamanda ☹️☹️
Kwelii kamanda wanakua wamelegea
Hivi Rais alisema askari wasikate bangi au nilisikia vibaya...amedharau amri ya mkuu wa nchi
😁😁😁umze ana nifurahisha sana
ganja haina madhara hayo ya kipumbavu hizo nizama za kale ndo mana inaota kama mmea asilia ,ni upuuzi kubania watu ridhiki et dawa za kulevya ....naimani hakuna watu wanatumia sana kama askari ,na watu wenye wadhifa ..
hause gelo
Ramadhan Urassa l
hii ni ya lini mnakiuka maagizo ya mkuu was Kaya askari wasikatishwe bangi wakusanyeni watu was maeneo hayo wakafyeke ili wamlaumu aliyelima agizo LA mkuu wa kaya ni amri.
Asa c mzipeleke Canada Ndo soko la Bangi huru,hv Cku tz ikapitisha sheria ya kuruhusu kulima Bangi hawa mnawao wafunga Leo mtawalipa fidia yao? 😂😂😂nivuta nn cjui mbn Kama nmeongea Point
hahahahahahaha hao polis naona wanazid kuchangamka kila znavozid kuungua, alf huyo mzee keshakua maarufu... mchangamfu sana
ma police nyie wenyewe mna vutaaa tuuu arafu mnatukamata acheni swaga nyieeee mnavyo waaafanyia wananchi sio kabisaa yaaaani
#kwa nn tusilime tukasafilisha ktk nchi ambazo wanatumia bangi?
RPC anaweza fukuzwa kazi baada ya kuupuza agizo LA rais
Rais alisema hajaajil polis kwa ajil ya kufyeka bangi
Ukikuta shamba LA bangi kama wa husika au kijiji kizima wafyeke mpaka mwenye shamba apatikane
Kamanda katumia polis kufyeka bang kuchoma
Polis wametuta bangi Leo kupitia moshi
Afande mbwa koko raisi magu alishasema hataki kiona asikali wake wanafieka bangi sasa ww unaludi hukohuko kwenye makosa
Harafu bangi ni dawa Mwenyezimugu hakuteremsha vitu kwa makosa mungu ni mkamilifu kwa kilakitu kuliko binadamu Tanzania etabaki kuwa inchi masikini duniani
chomeniiiiii mkesha choma na nyny wenyewe mtakua tyr mshavuta maana huo mzigo c mdg ..jiangalieni apo 😃😃😃😃
Ila mheshimiwa Raisi ameshakataa Polisi wake kwenda kukata bangi
ila ukweli ni kwamba bangi na konyagi ; hailife haina tofaut jmn ni bora waruhucin kutumia ila wasizidishe
Mh anailima kabisa bila woga hatar sana
Tumekusi afande