Duh anasema gari haiwezi kukata kona ikiwa imesimama na mtu mwingine asiejua anachoongea anasapoti, hii ni shida kweli!!!! Gari inatakiwa ikate hata kama imesimamia rim ili mradi liwe limewashwa
Hongera sana kamanda kwa kazi yako nzuri. Natoa ushauri acheni biashara ya cheti, cheti ni karatasi tu. Tukirudi nyuma tulipotoka enzi ya leseni ya kitabu ajili ilikuwa nadra, kwanini umri wa kupewa leseni claass c. Mimi mwenyewe nilianza chini hadi kufikia class E ambayo kwa kipindi hicho imeandikwa To drive all type of motor vehicles except PSV and motor cycles ya mwaka 1990 na kurudi nyuma mpaka leo. Rudini kwenye mfumo wa zamani.Nilipata leseni class C mwaka 2000 June tafakarini kwanini sijapewa class C Mwaka 1999? Ukomavu wa kumudu kuendesha gari la Abiria
Huyu dereva yuko sawa sio kila anachosema polisi kiko sawa dereva ndo anaendesha gari anaiona gari iko sawa ww utamlazimishaje akubali unachokisema? Huyu dereva ni mfano mzuri sana
Ofisa kashindwa majibu kakimbilia poleka gari police drive yupo sawa lkn police anatumia cheo chake na ofisa hataki kuelekezwa sheria iagalie huku nahuku tz bhana
Kiukweli madere saizi hatuna hakii kabisa mimi ninacho kijua gali yoyote ikiwa imezima kukata kona huwa ningumuu mpaka gari uwashe ndio adrolic iisaidie staring power kuwa rainii afu pia hiyo nigali yakizamanii pia miundo yake sio ya kisasaa zaidi kuchekecha gali sio kona kuwa ngumu ni tairi kukata kwa kiasi ganii .. Gari za kizamani kona huwa hazimalizi ka gari za toleo jipya.
Acha uongo ndugu gari unakata kona hata ikiwa imezima wenda uwe mvivi wa kuzungusha steringi maana inakuangumu alafu kukata kona tuangaria bearing adjustment brother
Na ndomana katika maisha ukipenda Sana kufatilia Sheria kila kitu utaona si sawa na ndomana ata vita wanakufundisha namna ya kujiongeza kwaiyo na asikali wa usalama wawe wanafanya na ubinadam nao kwa sababu kila kitu ukitaka kufanya kishelia mh
Hapa inshu ni pale gar litakapo acha njia na kuua wa2 mnageuka tena ku2pa lawama kwa askal we2 usalama barabara acheni ulmbuken wa kulaumu polic wakat wanaokoa maisha ndg ze2 tajr au dereva hutawaona hospital au msban na baada ya cku yy anaendelea kudunda mtaani nyie mnapka baba au mama
Kwan hyo askar utamwon apo mcbani? Mnapokubali kitu mue na uelewa kwanza yajue mabas meng sasa ni ya kisasa na unajua kwamb likizma vitu km hvyo avifany kazi sasa unang'ang'aniza nn kisa yy ni askar? Hyo ndo talanta yake na mwenzie ni dereva wakasomeag na wenyew ndo wajuage
Acha uwongo wewe nini maana ya steering power na hydraulic inafanya kazi gani...kama gari itakuwa imezima sawa ila inawaka steering iwe ngumu sio kweli
@@salmasebastian1340 hiyo gari imekaguliwa wakati imewashwa,kingine dereva hajui mfumo wa steering ya hiyo gari,anachojua ni gari ikitembea steeting inakuwa laini,hapo kwa tafsiri ya dereva ni kama landlover 109 ukitembea kwa kuwa steering ni mechnical inakuwa sio ngumu ila ukisisima ni ngumu,,kule chini jamaa wanakagua pipe kuanzia kwenye mitungi,fuller mpk kwenye steering power,piah kuhusu upepo basi mara nyingi mfumo unabadilishwa kwa kuwa kama hiyo ni fuso 16 au 17 inamtungi mmoja ambao honi,steering,brake,clutch ingekuwa tipper ningesema na pto gear So mfumo unabadilishwa na kuweka retarder so hata steering power inaweza badilishwa kwenda mfumo wa umeme na hydraulic
Askari wa awamu hii ni kutafuta umaarufu tu.. Ye n nan asieleweshwe? Anahisi anafahamu kila kitu? Elimu ya darasani n tofauti na uhalisia wa mambo kazini
Wengi huku youtube tumekaa km majinga tu watu awajui gar km ilo alwez kata kona lkw off mm niliwah fanyiwa upuuz na maaskar kitu kikawa kikubwa mpka nikaenda pata msaad mahakaman. Maaskar walkua awana taalum ile nnayofanyia kazi mm wakang'ang'ania upuuz
Ujue kwa Umasikini wa Nchi yetu ni Ngumu sana Tajiri kununua gari Mpya zote..afu isitoshe Hiyo gari inapita kwenye barabara mbovu..so sometimes Askari wetu wangekuwa wanatambua hayo..sasa anapoelekezwa yeye anatumia wadhifa kukomandi iwe hivyo wakati Driver ni Fundi mtaalamu kuliko hata yeye Mwenye wadhifa so inabidi wawe fair sometimes hawa Ndugu zetu
Tena boss aje kusafirisha abiria mbona police hamjali mda wa abiria.Wapatieni ninyi gari wasafirishwe alafu gharama walipe dereva na mwenyegari na si kusubiri gari hadi ajae boss.Eboo mlikuwa wapi kulikagua kabla ya kuondoka uzaifu mkubwa sana huo mnayumba mno.
Mtu anamtetea dereva halafu anasema kuna aina mbili halafu mojawapo ndio hiyo inaitwa makemiko sasa haya sijui ya madawa au yanini maana ya madawa ni machemical ok kiswanglish sio mbaya ila ni mechanical then halafu kwa ufupi tu kuna aina kuu tatu na sio mbili nazo ni hydraulic power steering (HPS) na yapili ni electric power hydraulic steering (EPHS) na ya tatu ni Electric and electronic power steering (EPS) aina hii zote zinafanya kazi kwenye mfumo mmoja, tusiwe tunatetea upuuzi hapa tushindane kwa hoja watanzania sisi tunajua sana kuliko wenye taaluma zao ndio mana tunafeli.
Mnaokoment... Hamjui hata hata anachoongea afande....ndo mana mnapata ajali huyu dreva hajui ...kitu...kukata ikiwa imesimama tunaangalia bearing adjustment
Watanzania huwa wananiudhi kitu kimoja embu waelekeze bro ,,,MTU anabisha kwakua amezoea kubisha,,,nawanao komenti wote wanafuata tu mkondo,,,hata wengine wanajiita wasomi lakini wasomi wapumbavu,,MTU anashangilia dereva kubisha mbele ya afisa ,, kwaio kuonesha msuli nikitu cha maana kjliko matatizo ya magari dah!!!
Wengi mlio comment naona kias gan hamuelew uwiano kati ya traffic na dereva mm ni dereva tena nimesoma askari hapo hana kosa kilicho mponza dereva ni dharau tu na jins ya kuongea na askari hajuw, sasa akitoka hapo anakwenda kumpigia magoti ampe lesen yake wakat huo nyie nitakuwa hamjaona anavoomba sbb itakuwa tena c kweny camera kiburi c uungwana
tatizo hawa askari wetu wanakurupukia hivi vtu bila elimu navyo huyo askar anahc hiyo ni km pikpk waweza kata kona tu hata ikizma af bila ya haibu anang'ang'ana stearing power hivi we askari ucotaka kuelimishwa stearing power itafanyaje kazi bila gari kuwaka em achen kutumia mabavu oneni aib kidogo
Hapa Marekani auwezi bishana na polisi, hakisha ku pull over unasubiri ndani ya gari yako ...chakwnza anakuomba Driving licence kitachofata ni ticket ambayo uwenda mbele ya kuilipa unaweza jibu sitaka lako mahakamani.
Asikari wa tz wapuuz sana yaani ubabe tuu amtakielekezwa gar kama haijawaka siterng razima iwe ngum.ila kuhusu vyuma yupo sahihi gari ya abiria ni kosa kupakia vyuma au mzigo
RTO wangu Francis nakufahamu ulivyo msaada na msikivu Sana kwa watu,hakika wewe kufikia hatua hiyo Ni kwamba huyo dereva ameshindikana kabisa,ningekuwa Mimi ndio wewe ameshakula pingu kitambo
Kwanza fransi cyo rto pili unaunga mkono vitu ucvyo vijua kiukweli watu wengi hum tuna coment zetu tuu ilikuonyesha kua tumepita ktk page ya Milard ayo niwakumbushe2 karibia madreva wote wamesoma shelia alama za barabarani napia wengineo nimafundi hivyo wanaelim ya gari uzuri acheni kuwapa kasolo watu wa kgm kuaniwabishi bari wasifieni kwakua Niwasomi wanaongea wanacho kifaham.
Huo ndo usenge huwa staki abiria kushushwa bila kutafutiwa gari sometimes Police watumie akili kutatua hilo sababu wenyewe huamua tu abiria washuke bila kpat gari lingn😏😏😏😏
Huyu askari anatutishia madereva, kwani hajui kila gari ina model tofaut kuna zenye sterling power na makamiko, tena anaanika vitu ambavo hata haviingii kichwan kabisa ajali haizuiwi namna hio. Ila simfundishi kazi ni mwisho wa mawazo yangu.
Ismail mkaima, unachozungumza hapa ni ushabiki usiokuwa na maana, sio lazima dreva awe na elimu ya ufundi. Na hata kama wewe ni dreva siamini kama unajua kila kitu kwenye gari unayoiendesha.
@@realtastebakers2855 Dhuuuuu! Sasa usipokuwa na ufahamu wa hiyo gari unayoiendesha ni tatizo. Dereva anabisha kitu ambacho kiko wazi kabisa sasa wewe kama unaona ushabiki ni sawa! Ila uhalisia ndio huo.
sikuizi maafande wanapita greg naninoma hata mzungu hakagui gari kwa kuitizama ikiwa imezimwa kingine sielewi leseni unampa au nikumwonyesha madereva bana alafu ukimpa unaendesha lanini mwambiye aendeshe yeye
Huyo Dereva ni rafiki yangu, Sabi wa Burundi😂😂
Mbishi kweli kweli
Unaelekezwa kwakua umesoma kama alivyo soma dreva ebhana dreva wa adventure upo sawa
Dereva anamsimamo nimeipenda hiii😁😁🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂
Hata mimi napenda watu jasiri hamna kuonewa kijinga jinga
uyu dereva nmempenda sana,,anajisimamia
Afande anajiona nabii hataki kuelekezwa
Hongela deleva hongela sanaaa deleva askali katumia cheo2 kazi ngumu
Kaka Millard Ayo kwenye Kamusi yetu ya kiswahili sanifu TUKI toleo la 13 hatuna neno Balalani tuna neno Barabarani naomba zingatia marekebisho vizuri.
😂😂😂😂
Duh anasema gari haiwezi kukata kona ikiwa imesimama na mtu mwingine asiejua anachoongea anasapoti, hii ni shida kweli!!!! Gari inatakiwa ikate hata kama imesimamia rim ili mradi liwe limewashwa
Ibrahim Baamer hawa trafic wakuda sana
Hongera sana kamanda kwa kazi yako nzuri. Natoa ushauri acheni biashara ya cheti, cheti ni karatasi tu. Tukirudi nyuma tulipotoka enzi ya leseni ya kitabu ajili ilikuwa nadra, kwanini umri wa kupewa leseni claass c. Mimi mwenyewe nilianza chini hadi kufikia class E ambayo kwa kipindi hicho imeandikwa To drive all type of motor vehicles except PSV and motor cycles ya mwaka 1990 na kurudi nyuma mpaka leo. Rudini kwenye mfumo wa zamani.Nilipata leseni class C mwaka 2000 June tafakarini kwanini sijapewa class C Mwaka 1999? Ukomavu wa kumudu kuendesha gari la Abiria
Opareshen uchwara dereva asitoe maelezo kweli polisi force
Huyu dereva yuko sawa sio kila anachosema polisi kiko sawa dereva ndo anaendesha gari anaiona gari iko sawa ww utamlazimishaje akubali unachokisema? Huyu dereva ni mfano mzuri sana
Trector za sasa pia zinayo steering power kwa taarifa tuu
Tena sana
Unaposema abilia washuke, unawapa gari? Au mmezoea kusumbua watu, kwanini gari isikaguliwe kabla haijaanza safari?
Wataonekanaje kua wanafanya kazi bila kukagua gari ikiwana abiria
Washenzi sana hawa punda askar sasa hawa abiria mumewapa cheo gani kuwashusha
hhh
Ofisa kashindwa majibu kakimbilia poleka gari police drive yupo sawa lkn police anatumia cheo chake na ofisa hataki kuelekezwa sheria iagalie huku nahuku tz bhana
Kiukweli madere saizi hatuna hakii kabisa mimi ninacho kijua gali yoyote ikiwa imezima kukata kona huwa ningumuu mpaka gari uwashe ndio adrolic iisaidie staring power kuwa rainii afu pia hiyo nigali yakizamanii pia miundo yake sio ya kisasaa zaidi kuchekecha gali sio kona kuwa ngumu ni tairi kukata kwa kiasi ganii .. Gari za kizamani kona huwa hazimalizi ka gari za toleo jipya.
huskiii hapo gari imewaka
Acha uongo ndugu gari unakata kona hata ikiwa imezima wenda uwe mvivi wa kuzungusha steringi maana inakuangumu alafu kukata kona tuangaria bearing adjustment brother
Na ndomana katika maisha ukipenda Sana kufatilia Sheria kila kitu utaona si sawa na ndomana ata vita wanakufundisha namna ya kujiongeza kwaiyo na asikali wa usalama wawe wanafanya na ubinadam nao kwa sababu kila kitu ukitaka kufanya kishelia mh
Hilo dereva ni chizi
Sterling power haiwezi kufanya kazi gari ikiwa imezimwa. Inafanya kazi pale gari inapokuwa imewashwa. 🤔🤔🤔
Adventure Oyeee
Nilichogundua mh unatumia nguvu dereva anatumia akili
Dereva ❤
Upo vizuri kamanda
Ubishi watu wa kigoma ni kawaida yetu
Jerrykase kasebula Hahahah watuache
😀😀😀ubishi tuuu namba moja
Kabisa
MUKESH WW HATAR KGM HATAR UYO NI FUND WA MDA MREFU
Duh yaleo Kali😂😂😂
Makamanda wengine ni wastaarabu sana wangekuwa wa kung'ata kingenuka hapo hpo stend.
Wewe unajua gari kuliko alietengeneza
We dereva shukuru camera.. hivi hivi ungechakaa...
Hahahaha hiyo kweli
Huyo msenge hasumbui,sisi tunabishana na askari akiwa na chuma sembuse Hugo yupo na kirungu
Hapa inshu ni pale gar litakapo acha njia na kuua wa2 mnageuka tena ku2pa lawama kwa askal we2 usalama barabara acheni ulmbuken wa kulaumu polic wakat wanaokoa maisha ndg ze2 tajr au dereva hutawaona hospital au msban na baada ya cku yy anaendelea kudunda mtaani nyie mnapka baba au mama
Ni kweli lkn dereva pia yuko sahh huwez kata kona kwa gar kubwa kama hilo likiwa limezima. Kwa nn hapo hamtak kukubali??????
Kwan hyo askar utamwon apo mcbani?
Mnapokubali kitu mue na uelewa kwanza yajue mabas meng sasa ni ya kisasa na unajua kwamb likizma vitu km hvyo avifany kazi sasa unang'ang'aniza nn kisa yy ni askar? Hyo ndo talanta yake na mwenzie ni dereva wakasomeag na wenyew ndo wajuage
Anachokisema dreva yuko sawa, kwani kuwa askari ndo unaelewa kila kituuu......k
Kaa kimya ww unajua nn
Unatumia cheo jamaa yupo sahihi mbona unajifanya utaki kuelekezwa wakat ujui afande
Dereva yupo sawa uwezi kukata gari ikiwa imesimama na ikiwa imepakia mzigo Kwa sababu wao ni wamesomea kuonea ndio sawa
Acha uwongo wewe nini maana ya steering power na hydraulic inafanya kazi gani...kama gari itakuwa imezima sawa ila inawaka steering iwe ngumu sio kweli
Oya unaakili zote wewe
@@salmasebastian1340 hiyo gari imekaguliwa wakati imewashwa,kingine dereva hajui mfumo wa steering ya hiyo gari,anachojua ni gari ikitembea steeting inakuwa laini,hapo kwa tafsiri ya dereva ni kama landlover 109 ukitembea kwa kuwa steering ni mechnical inakuwa sio ngumu ila ukisisima ni ngumu,,kule chini jamaa wanakagua pipe kuanzia kwenye mitungi,fuller mpk kwenye steering power,piah kuhusu upepo basi mara nyingi mfumo unabadilishwa kwa kuwa kama hiyo ni fuso 16 au 17 inamtungi mmoja ambao honi,steering,brake,clutch ingekuwa tipper ningesema na pto gear
So mfumo unabadilishwa na kuweka retarder so hata steering power inaweza badilishwa kwenda mfumo wa umeme na hydraulic
Askari wa awamu hii ni kutafuta umaarufu tu.. Ye n nan asieleweshwe? Anahisi anafahamu kila kitu? Elimu ya darasani n tofauti na uhalisia wa mambo kazini
hahaha et huwez kata kona gari ikiwa imesimama duuh kama hujui vunga mzee
Kuna steering aina mbili makeniko steering na pawa steering sasa hatujui hiyo Gari ina sistim gani ili tuhukum vizuri.
Hhahahaha jamaaa anamuelekeza polisiiiii
Usielekezwe we mungu
Waacheni wenye taaluma zao wafanye kazi zao......mtu hujawah hata kumiliki licence class d ila unasupport upuuzi wa huyo dereva........ Afande good
Dereva yuko sahihi...kwanini hampendi kuambiwa ukweli!!?utakataje kona gar kama hilo likiwa limezima!?
Dereva yuko sawa upuuz ni wa huyo anayeng'ang'ania kisa ana cheo
Wengi huku youtube tumekaa km majinga tu watu awajui gar km ilo alwez kata kona lkw off mm niliwah fanyiwa upuuz na maaskar kitu kikawa kikubwa mpka nikaenda pata msaad mahakaman. Maaskar walkua awana taalum ile nnayofanyia kazi mm wakang'ang'ania upuuz
Dereva uposawa
Rudisha pesa kwa abiria
Hawana makosa ni wenye mabus dereva ndi akamatwe
Dereva safi hao niwaonevu
Ujue kwa Umasikini wa Nchi yetu ni Ngumu sana Tajiri kununua gari Mpya zote..afu isitoshe Hiyo gari inapita kwenye barabara mbovu..so sometimes Askari wetu wangekuwa wanatambua hayo..sasa anapoelekezwa yeye anatumia wadhifa kukomandi iwe hivyo wakati Driver ni Fundi mtaalamu kuliko hata yeye Mwenye wadhifa so inabidi wawe fair sometimes hawa Ndugu zetu
kwa hiyo abiria tupande magari mabovu siyo
Iyo ni sawa gar la abilia isipakie mizigo kwan tulitakaga kuwaka moto kisa mkaaa amvao aukuzimwa vizur shamban na ukapakizwa ktk gar la abiria
Gari kubwa hilo kwanini usielekezwe kwamba halikati kona likiwa limesimama
Tena boss aje kusafirisha abiria mbona police hamjali mda wa abiria.Wapatieni ninyi gari wasafirishwe alafu gharama walipe dereva na mwenyegari na si kusubiri gari hadi ajae boss.Eboo mlikuwa wapi kulikagua kabla ya kuondoka uzaifu mkubwa sana huo mnayumba mno.
Wewe do unayumba
big up dereva
Jamaa mbishi sana
Polisi hamjui magari kbsaaa msikataee ... kwa sabab hamtaki kujisomea ...mjishakuwa polisi mnaona mnajua kila kitu ....
Sasa unamnyang`anya lessen alafu unampa gari alipeleke polisi ni sheria za namna gani hizi
mnatumia nguvuu nyiiiingi baada ya kuwekana sawa kwan ww asikali si binadamu tu kama mwingine achen kutuonea watanzania
Dereva Yuko sahihi
Mtu anamtetea dereva halafu anasema kuna aina mbili halafu mojawapo ndio hiyo inaitwa makemiko sasa haya sijui ya madawa au yanini maana ya madawa ni machemical ok kiswanglish sio mbaya ila ni mechanical then halafu kwa ufupi tu kuna aina kuu tatu na sio mbili nazo ni hydraulic power steering (HPS) na yapili ni electric power hydraulic steering (EPHS) na ya tatu ni Electric and electronic power steering (EPS) aina hii zote zinafanya kazi kwenye mfumo mmoja, tusiwe tunatetea upuuzi hapa tushindane kwa hoja watanzania sisi tunajua sana kuliko wenye taaluma zao ndio mana tunafeli.
Huu ndo ujasiri tunaotaka polisi hawezi kunipanda kichwani😂😂😂😂
Safi sana hyo ndo inatakiwa
Jamaa ashukuru iyo camera iyo ndo imemuokoa 😆😆😅 nauko kituon ataelekeza vizuri
Ki Do yani angekula mbata kusingekua na camera...😂😂😂
Rumonge-Burundi na Kigoma-Tanzania wabishi mpaka basi
Kwani afisa ni mungu tanzani a bwana
Dereva upo sahihi
Najaribu kutafakari hiyo gali kama mbovu steering haikati imewezaje kwenda kiyuoni
Mnaokoment... Hamjui hata hata anachoongea afande....ndo mana mnapata ajali huyu dreva hajui ...kitu...kukata ikiwa imesimama tunaangalia bearing adjustment
Watanzania huwa wananiudhi kitu kimoja embu waelekeze bro ,,,MTU anabisha kwakua amezoea kubisha,,,nawanao komenti wote wanafuata tu mkondo,,,hata wengine wanajiita wasomi lakini wasomi wapumbavu,,MTU anashangilia dereva kubisha mbele ya afisa ,, kwaio kuonesha msuli nikitu cha maana kjliko matatizo ya magari dah!!!
Wengi mlio comment naona kias gan hamuelew uwiano kati ya traffic na dereva mm ni dereva tena nimesoma askari hapo hana kosa kilicho mponza dereva ni dharau tu na jins ya kuongea na askari hajuw, sasa akitoka hapo anakwenda kumpigia magoti ampe lesen yake wakat huo nyie nitakuwa hamjaona anavoomba sbb itakuwa tena c kweny camera kiburi c uungwana
Watafahamu vp akt hawataki kufahamishwa shida ya watanzania tunajua kilakitu
kelvin kimisha bearing adjustment wap ww? Kumbe na ww ni walewale wasojua kitu halafu mnajifanya mnajua.
Gari Hata km limetoka kiwandan Leo laweza pata ajali vilevile kaz ya mzungu hyo
Hata trekta kuna zenye starring power na zisizo na starring Power. Tambueni starring box ziko za Aina mbili. Kuna Makemiko na Power starring
Power sterling
Tatizo la watanzania haraka ikitokea tatizo kulaumu serikali
Goodjob Jeshi la Polisi
Ndo maaana watanzania tunapata maajali kibao tunawasupport madereva kuliko wale wanaojali uhai wetu
emanuel mwalukasa umesema kweli
Yaan Mungu atusaidie
Haha haaa uwiii ukiwa na vyuma viwili km hivyo ukodi fuso ibebe....mhhh ni shida
Mbona Kama kamanda kalamba mvinyo mda huu
@@kinabomac6374 kabisa yani hata mimi naona
Kwnn hujafuata sheria.. Wakat kila kit kinasheria zake...
Nikweli huwezi kata kona gari ikiwa imezima bhana...Tatizo afande anachukulia kama vigari vidogo ilo bas bhana
Huyu afande ni muelewa ila yule dereva wa adventure kilichomkosti ni kutaka kubishana na sio kukubali kosa ili kutafuta suluhu .
shabanimoney shabanimoney unajua ukibishana na afande
@@husseinsalimmaula4254 kweli kabisa kaka huyu afande ni muelewa sana unaona hawa wa basi lingine walikubali kosa mambo yakawa poa
shabanimoney shabanimoney kakurupuka huyo anajua Landover
tatizo hawa askari wetu wanakurupukia hivi vtu bila elimu navyo huyo askar anahc hiyo ni km pikpk waweza kata kona tu hata ikizma af bila ya haibu anang'ang'ana stearing power hivi we askari ucotaka kuelimishwa stearing power itafanyaje kazi bila gari kuwaka em achen kutumia mabavu oneni aib kidogo
Huo niujinga tofauti yako namtu alivyo kujibu ushushe watu kweli nyingi mmekuawa mafundi garage
Rto yuko sawa
..huyo driver hakupaswa kuonysha ujeuri..mwenzake kamwonyesha kiburi..
Hahahaaa ila waha kwa ubishi hahahah tumeshindikana...
Hapa Marekani auwezi bishana na polisi, hakisha ku pull over unasubiri ndani ya gari yako ...chakwnza anakuomba Driving licence kitachofata ni ticket ambayo uwenda mbele ya kuilipa unaweza jibu sitaka lako mahakamani.
That is abuse of power askari mzima hajui sheria
Madereva wa Kigoma wenye asili ya Kigoma wanaakili mbovu sana wanaendekeza ubishi.
Duh eti jambazi hawez kumuelekeza piga hapa ! Sasa dereva ni jambazi ! Alafu rto mwenyewe mleeeevi pumbaaaavi
Umeona mzee baba
Asikari wa tz wapuuz sana yaani ubabe tuu amtakielekezwa gar kama haijawaka siterng razima iwe ngum.ila kuhusu vyuma yupo sahihi gari ya abiria ni kosa kupakia vyuma au mzigo
dereva mbishi sana huyo
Tatizo polic Kila ki2 wanajifanya wanaju, angalia polic bwege
"Ukitaka kuishi vyema na mfalme akikwambia asali ni chungu,mwambie yashinda shubiri "
Hahaha ....lakini kimya itafanya mkaliwe....ukatili utaendelea
RTO wangu Francis nakufahamu ulivyo msaada na msikivu Sana kwa watu,hakika wewe kufikia hatua hiyo Ni kwamba huyo dereva ameshindikana kabisa,ningekuwa Mimi ndio wewe ameshakula pingu kitambo
Lwaga Mwakalinga anaonekana mpole sana na msikivu uyo RTO
Kwanza fransi cyo rto pili unaunga mkono vitu ucvyo vijua kiukweli watu wengi hum tuna coment zetu tuu ilikuonyesha kua tumepita ktk page ya Milard ayo niwakumbushe2 karibia madreva wote wamesoma shelia alama za barabarani napia wengineo nimafundi hivyo wanaelim ya gari uzuri acheni kuwapa kasolo watu wa kgm kuaniwabishi bari wasifieni kwakua Niwasomi wanaongea wanacho kifaham.
Hapa kazi tu
Dasiyo powa
!!!!!!!!!!!!!!!!! Afandeeee... ..!!!!! Kwani kumsikiliza MTU keesiii??????
#kamanda mstaarabu sana"Anajua anachokifanya
Ningekuwa Mimi dereva nishamuwekea bangiri ...yaani watu wa kigoma wabishi balaaa.......sijui kwasababu chimbuko lao ni Burundi..!!!
Wanaoteseka ni abiria wala cyo ligi ya police na dereva
Waziri alikataza kusumbua abiria
Dereva ndio anaefahamu ... km kweli ww unafahamu isogeze mbele tuu kdg km unaweza
uyo askari akae akijua kuwa sheria dunian hak ni kwa mungu tu sio vzr
Hahahahahaaa kituoni inaendaaaa hahahahaaaa. Asambona sijaona professionalism yeyote hapo ubabe mwingi
Affande msengee kumamako unajua gar wew wenzio wameshinda garage miaka kadha wa kadha..?
Huo ndo usenge huwa staki abiria kushushwa bila kutafutiwa gari sometimes Police watumie akili kutatua hilo sababu wenyewe huamua tu abiria washuke bila kpat gari lingn😏😏😏😏
SAHIHI KULIKO INGETOKEA AJALI, RESPECT JESHI LAPOLISI
Huyu askari anatutishia madereva, kwani hajui kila gari ina model tofaut kuna zenye sterling power na makamiko, tena anaanika vitu ambavo hata haviingii kichwan kabisa ajali haizuiwi namna hio. Ila simfundishi kazi ni mwisho wa mawazo yangu.
Show za diamond mombasa hulet unatuma mambo ya ajabu
Huyodereva nijeuri sana
Ni aibu sana dereva hajui hata steering power ni nini.
Ismail mkaima, unachozungumza hapa ni ushabiki usiokuwa na maana, sio lazima dreva awe na elimu ya ufundi. Na hata kama wewe ni dreva siamini kama unajua kila kitu kwenye gari unayoiendesha.
@@realtastebakers2855 Dhuuuuu! Sasa usipokuwa na ufahamu wa hiyo gari unayoiendesha ni tatizo. Dereva anabisha kitu ambacho kiko wazi kabisa sasa wewe kama unaona ushabiki ni sawa! Ila uhalisia ndio huo.
Ismail mkaima,huyo jamaa ni dereva alafu ni fundi long time,sidhani kama atashindwa kujua stearing power
Ismail mkaim
Me naamin ata hyo cm unayotumia ujui kila kitu. Jiongez ss nn unachoongea
Sijui kama utendaji huo kama mama Rais atawapandisha vyeo mtindo huo
Hatar lakin salama
Kigoma Oyee
Hahaaaa this is tz babulay hakuna kuambiwa
Iyo Nondo Inayo Uwezo Wa Kutoboa Matumbo Ya Watu Wengi Ikiwa Ingepata Ajali Nondo Ndani Ya Gali
Kwnn afisa wa polisi asielekezwe ?
sikuizi maafande wanapita greg naninoma hata mzungu hakagui gari kwa kuitizama ikiwa imezimwa kingine sielewi leseni unampa au nikumwonyesha madereva bana alafu ukimpa unaendesha lanini mwambiye aendeshe yeye