Polisi Dodoma baada ya kuwakamata matapeli
Вставка
- Опубліковано 4 кві 2018
- Jeshi la Polisi Dodoma linawashikilia jumla ya watu 23 kwa makosa mbalimbali ya kiuhalifu ikiwemo utapeli, wizi wa kuvunja nyumba na maduka pamoja wauzaji na watumiaji wa dawa za kulevya
Bangi ni nzuri.....sivuti ila naelewa .....alafu mwonekano wa mtu haujalishi kila mtu na preference yake
kazi nzuri makamanda wangu kamata watu hao tia ndani Tz nchi ya amani saruti kwenu makamanda
Asanteni Polisi wetu ,kazi zenu ni nzuri mno,Mungu Awabariki.
Kamanda nikupe hongera kwa kazi nzuri, natamani unge kuwa kilimanjaro moshi kwani biashara ya mirungi imeshamiri sana
Big up sana mzeee Fanya kazi
Hans Ramadhan
l love u kamanda,mmakonde kwa malavidavi ndo mwenyewe,tanga inasubiri sanaaaa.......
Mzee namuelewa Sana huwa nacheka Sana Sanaa gani inasema I love u
Minja Csd hahaha hatar sana huyu mzee
Minja Csd .
.
...
.
matuklp
Ngw
loving Tanzania public justice from Kenya.
simba sc
Much respect Kamanda !👍 Dodoma is nw under cctv surveillance ...no escape from udm 😂 😂 😂
Q111111ààa1ààÀ
Yes no escape from udm
Huyu afisa kazi yake nzuri Kenya twataka kamahawa
Very good job,go on keep Sir
Kweli polisi mnafanya kazi nzuri na kweli mnajitahidi kuwasihi vijana lakini hawaelewi.mungu awafungue waweze kuelewa na kuacha uovu🙏🏼
Police fanyeni kaz vizuri sana
Hongera sana mkuu wa police mkoa wa dodoma unafaa kuwa next IGP
E Tv
kweli
Kazi nzuri mzee wangu piga kazi
Camanda nimekupenda sana bravo kwa kazi nguvu. Unaonekana kabisa umemtumikiya rais magufuli. Tunatamani tzt nxima ingekuwa ivo
hongera kamanda pambana saivi hakuna namna ata bakuli ukiiba tunaanikana tu ningejua wap kuna wakurugenz wa halmashaur hewa daaah pambana kamanda
Ladislaus
Good job guys didn’t good job thank youb
Hongera sana Kamanda kwa kazi nzuri
Safi sana kamanda, andaa waharifu kisaikolojia wajue Dodoma hakufai
mi naomba askar woote wapmwe weng wao ni wavuta bang fanyen uchunguz tafadhali
He just respect you police boss the man work he say he smoke weed and he work respect that.Mr police boss know your work tattoos is not a crime it's an Art.
Wafungwe hawooo
Kazi nzuri kamanda, fyekelea mbali.
safi san,kamanda yupo sawa
hongereni jeshi la polisi
Kazi nzuri kamanda kwa kuwaweka wazi ni vizuri zaidi kwani kuwaficha si vema kabisa.
Vita hiyo ni nzuri ifike hadi maofisini pia wapo wengine mnao humohumo,hongera mkuu
Bora umewaonyesha hao matapeli kamanda,wanaotapeliwa ni wengi mnoo kazi yako inaonekana mkuu🔥🔥
Raisi watanzania makufu John pombe huyo m kubwa wapolisi na wa fanya kazi wake wa ongezwe mshaara mkubwa
Kijana mzuri Afya nzuri.. hahaa😂😂😂😂😂
Nimecheka kumuona Prosper Nchembele,kitambo sana
Hongera kamanda kazi nzuri piga kazi Na kufuata sheria
hongera jeshi la polisi, ila tattoo sio bangi.
Mafya media jux
Mafya media jux
Tanzania mtaniua Shiku moja.
Mueshimiwa kamanda njoo uku dar uwakamate na mastar wakibongo kutokana wana makosa yakuji chora mwilini
Hongera polisi hata huku kwetu wapo wanatusumbua sana ksw
He is the police and he is the judge at the same time, asking very silly questions . Welcome to Africa .
Duuuh naona jamaa amejilimbikizia vyeti kibao, daa matapeli sio watu wazuri
Daaaa!!!!!! matapeli nomaaa vitambulisho vyote noooooaaaa????
Usiombe mzee wa ku touch bega akukamate😂😂😂
Ahaaahaa eti mbona hakuandika kimakonde hongera afande kwakaz zuri
Kamanda safi sana...Mungu yupo naye kuokoa vijana wengi wanaotamani mafanikia ya shortcut
makonde 2anajua I LOVE YOU
Tupo pamoja
Mbona watu wenyewe wameshiba wana mbavu wanaongea wanajiamini angaria usije ukapigika kamanda
Ok waadabishwe
Shikamoo Kamanda! Hongera kwa kuwanasa hao jamaa ila tambua kwamba kukiri mbele ya polisi siyo sawasawa na kukiri mbele ya mahakama, "retracted and repudiated evidence" kwa hiyo maonesho hayo yatakuwa na maana zaidi endapo watakiri mbele ya makama s.27(2) &(3) of TEA/1967
fanya kazi usijali wana ichi wanao kunyima raa kajili yakukuvunja moyo achana nao uta sikia mengi kwasasa kwakuwa ume kuwa policy mchapa kazi asante Tanzania
hivi tundu lisu alipopigwa risasi Mkuu wa polisi alikuwa naniiii
Alikuwa mama yako. tundu wako na dereva wake mpaka leo wewe umeshawahi kuwaona wamefungua jarada? au kuzungumzia kwenda huko na kutoa maelezo? wanakimbia kwenda Polisi sasa waulize kwa nini kwanza ndio ujue mkuu wa Polisi alikuwa nani
Kenyan police have no time with media they just take action unless it's reasonable. Media in tz is cheap.
Kenyan Police bribery
You are crazy
Shut up
Say hi to nairobarry
What next my dear?
Mungu akuzidishie afya njema na maisha marefu uweze kusaidia jamii ya tanzania.
Asante kwa kazinzuli
Peer groups killing the youths' powers, congratulations Tanzania police for your good work
I love you si Sana'a jamani duuuuuh
konde boy uyoo
Gives the advice!
hahahaa jaman ati ilove u inamaan gani😂😂
Hahaha🤣
Uyo aliyejiandika I love you amenifurahisha sana😂😂
Men at work
Thanks alot of
Mofuta bangi😄😄😄😄😄🤣🤣🤣mutaniua na tsheko.Kazi safi sana police ya Tanzanie 👋👋👋
I love u
Jamani I LOVE YOU si nakupenda
hahahaha😁😁
Safi kamanda wetu mungu akusaidie ktk KAZI hiyo ❤❤❤😂❤😂
Huyu askari yafaa awe na cheo zaidi. R CO. Hongera sana Baba
uyo rasta ni kicha full na hao wezi INA manisha hawawezi kuji shulisha waka lime mashamba ya jeshi
Bora wamewakamata maana ni too much hongereni jeshi la polisi
Binadamu kazi
Aisee tumesha tapeliwa sana very good kamanda point kwako
Hatari sana wezi Wana akili sana inabidi njia nyingi sana kuwasoma
Any one who can explain what that officer has said and his interview aswell? Thanks
makonde wanajua I love you Hahahaaa
Kazi nzuri afande
Good job
Ndo ujikute umemtia mimba binti yake wa chini ya miaka 18 hayo mabega yatakavyopigwa!! 😀
OG Joh umeua😂😂😂
😁😁😁😁😁
Hatareeeee
🤣🤣😂😂😂
Duuuuh
ONLY IN TANZANIA WHERE POLICE ACT LIKE COMEDIANS
Hongeren xana
Nasshukuru. Jeshi kwakazi njema naomba namba ya porice ya hapo dodoma Kuna wengine wamebaki nataka muwatafiti nao ili wakamatwe nao
hahaha bro hiyo i love you ulitakiwa uiandike kwa kimakonde
😂😂😂😂🏃♀️🏃♀️
Kwa kamera hizo afande, lazma uharifu utapungua2😂
Good job, mm ni mkenya
Hongera sana serikali kwa kukamata hao wahaeifu ,,,,Lakini kunamambo ambayo si mazuri kwa kibinasamu,,,, sivyema kuwa vua mashati hao watuhumiwa Na kuwaonesha kwenye media.
Niushauri tu kwa serikali.
Lakini kuhusu kuwaonesha kwenye media nijambo jema. Hongera sana kamanda
mussa mkalawa kwan ye ndo amewavua nguo?? Mbn kuna ambao wanq nguo
mi huyu RPC nampenda kweli
Angalien nywlee zakeee amekuwa syo binadamu wa kawaida😂😂😂😂
😂😂😂
Babra Nana hahahaa jaman ati sio mtu wa kawaida
Sanaa bob 😁😁
kazi nzur makamanda wetu
Mbona huyu mzee anachefua....mtu kaandika "I love you" eti mbona umeandika....ushamba muuachage
Waache ukibaka
Harakati zako sawa ila kasoro ni
1. Kuvua mtu nguo na kumwacha kifua wazi. (ni inhumanity).
2. Kumshikashika mwanadamu style ya kwenye soko la watumwa. Yani kumpapasa kichwani kamavile kumsaminisha.
3. Haki ya mtuhumiwa itakuwa api endapo atashinda mahakamani wakati ushamwonesha kwenye media?
Otherwise fight more against social evils maana Mungu atakubariki!
marcko zakayo hyo ni sheria ya polis sa unataka mtuhumiwa ashikwe bega au mkono au
Hyo kuvuliwa shat kwa mtuhumiwa wa kiume ni kawaida tu na ndo utaratbu
marcko zakayo katika vitu sitaki kuvisikia ni kitu kinachoitwa haki za binadamu.
Kwanini
marcko zakayokhaaa
Hongera Kamanda lakini samaha ni kidogombona hawa watumiwa hawa kuulizwa wapi wanapata hizo stuff.....
Well done commander
Omary Juma
Mambo mengine binafsi sana. Kujichora inahusu na nn?Mnaturidhisha tu. Yanafanyika makubwa sana nchi hii... Kimyaaaaaaaa.
Unaoushahidi Wa moja Tuje Tukuchukue Ukautupe Maelezo kuhusu Hayo Makubwa Yanayofanyika Nchi Hii ?
rasta msenge sana anashindwa kusimulia mjani ulivyo
comrade kipepe Rasta feck huyo
comrade kipepe hahahaha
young taiz hayo ni madhara ya wasomi kukosa ajira! Huwez kufanya kaz kama hizo za mihur pasipo usomi
kaniuzi sana kashindwa elezea ladha ya majani boya kweli yani dah alitakiwa ateme cheche
XXX vbeo
Haya hakimu wa dodoma huyo anaedelea na makosa zile zile- IGP alicho wakumbusha mmesahau. Elimu ndogo kwa afisa huyu hata ushahidi anaweza kuharibu mwenyewe. This people are innocent until proven guilty by the court
True
Play your part .... peoples rights should not be questioned 😖
Mharifu kasema kakamatw na kete nne lkn hazion mkuu Wa police hamskiliz......police wenyew bange tu
safi sana , we endelea kutupa updates ili wengi wajifunze, hao wanaopiga kelele achana nao , mi nakupongeza boss wangu , piga kazi .
itapendeza wkienda gerezani wafanye kazi za nguvu, coz Huku uraiani wanatumia nguvu kuiba, Hongera sana kamanda mroto. mana hao wakibaki uraiani watatumaliza.
Nelson mumghamba ,nakuunga mkono
Mbona niwatoto wadogo
gameonjashe wade ila Hawana nepi
Unless you set those people free and that become as their warning, otherwise you are abusing them, that's is a public humiliation. You intimidate them and made them confess for unproven crimes. I love my country, but too much abuse of power, makes me sick.
safi sanaa Jeshi la police
safi sana mungu atakulinda
Amewazinguwa jamaa kweli kweli 🤣🤣🤣
Mgufuli
mirungi legal in Kenya.
Mirungi Kenya "miraa"its legal Kabisa and we export
kazi zuri afande
Mkuu mimi nakuunga mkono sana unakomesha sana ualifu lakn ninajambo langu mkuu kuhusu awa wasaidiz wako wachin wanao chafua jesh letu la police
mbona hizi report huwa zinarushwa na Ayo pekee.
you probably dont give a shit but if you're bored like me atm then you can watch all the latest movies on instaflixxer. Been binge watching with my girlfriend for the last few weeks xD
@Cole Harvey definitely, been using InstaFlixxer for years myself :D
Hahahaaaa! Mroto bhana! Eti wamakonde wanaijua I Love you?
Janeth Jackson Nicheki watsap kama vipi
Justine Revocatus tupia namba yako
Janeth Jackson ,fyuuu
Janeth Jackson mbavu zangu mieee
mtanzania mzalendo hahahaaaa! Mroto aache dharau,kuna asiejua I love u jamani!
Vijana wengi wanafanya hivyo kwa kukosa kazi vijana wengi wasaidie kuwapatia nafasi ya kwenda jeshini