Kufukuza askari kazi sio sawa kuwe na greza lao la kifungo chakijeshi wakimaliza warudushwe kazini mpaka wazeeke huko huko jeshini kuwatupa uraiyani ni shida inaongeza
Huyu kwanza ana kauhongo flani umeenda Ccp moshi mwaka 1990 na hapo una umri wa miaka 49 ina maana polisi ulikuchukua ukiwa na 15 kwa hiyo jeshi linatumikisha watoto kweli ngada aijatoka kichwani
Afande Ambali anasema uongo, kasema anatimiza miaka 49 mwaka huu 2024? Hivyo alizaliwa mwaka 1975? Alijiunga chuo cha Police mwaka 1990 akiwa na miaka 15?? Aliajiriwa kama Police mwaka 1991 akiwa na miaka 16?? Mbengo TV muulize alisoma Secondary gani akaishia form three? Alianza lini Shule ya Msingi? Shule gani??
Kumbe polisi ndiyo wanatuangamiza. Na bado wanawalinda. Huyu anayeongea hakustahili hata awe huru. Ilikuwa awe gereza la askari. Hivi serikali inasikia hivi bado huyu polisi hawajamhoji awataje hao vigogo. Kwa kweli nitazidi kushangaa sana kama itaishia hivihivi
kila kitu sawa sema kwenye hesabu za miaka sijaelewa dakika ya 2:00 anasema ana umri wa miaka 49 ina maana kazaliwa 1975 ,halafu anasema kaajiriwa mwaka 1991 ina maana alikuwa na umri wa miaka 16. je jeshi wanaajiri wenye umri chini ya miaka 18
Huyu bwana arudushwe kazini atasadia mamboo kuzidi kumwacha uraiyani ni hatari sana wezetu markani huwatia kwenye kazini maalumu
Pole saba afabde. Huyu ni muelimishaji mzuri sana. Apewe platform nyingi zaidi.
Elimu nzuri sana ni muhimu ukapewa kipindi cha kuelimisha hata katika TV ya taifa ....
Mapito yako ni noma,jeshi la police likuajiri upya ,ww ni super man,wizara husika ww ni dhahabu
Pole sana Afande, Maisha sio mstari mnyoofu, huwa yana makonakona mengi! Nimejifunza vingi kupitia historia yako Afande
Big lesson to young generation
Uko vizuri kaka ambali. Nimepata somo.
Pole Ally kowapi kashinde kiwalani shule
Sawa Mbengo tv tunashukuru kwa taarifa nzuri
ila neno Askari usiandike Askali
Naona hawa jamaa hawana Editor msomi, sio tu wameandika Askali hata huyu msoma habari anatamka Askali au hawa ndio wale wakimbizi.
Waandishi watangazaji wa mtaani hamna kitu apo
Afande ulikula vya kharam kama kawaida yenu. Waelimishe na maaskari wenzio. Mwishowenu hua mbaya sana. Pole lakini
@@ahmed-shakirmwamba4992😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😊😢😢😢
Mbona
Duhh aisee Mr. AMBALI
Tamaa bay
Dah Hatari sana
Haya maisha haya,pole sana bro
Masikin pole lakin tamaa mbaya turidhike na tunachokipata
Amani kwako ndugu🎉
Mwandishi unababaisha sana maswali hayabebi maana kubwa unarudiarudia sana maswali. Kama huwezi kujipangilia siyo mbaya ukaandika maswali.
Pole sana afande
Kufukuza askari kazi sio sawa kuwe na greza lao la kifungo chakijeshi wakimaliza warudushwe kazini mpaka wazeeke huko huko jeshini kuwatupa uraiyani ni shida inaongeza
Badooo WApoo wengi dizaini Kamaaa ya uyuu mpakaa sasaa kwenyee jeshi raaaa porisii tunawajua wotee Kama anavosemaa serekari ipoo rikizoo
Pole sana kaka mkubwa
Sura ngumu ya polisi
Askari sio askali
Ebwana huyu jamaa amepangilia vizuri sana hadith yake. Wafikishiwe Netflix watengeneze movie based on true story.
Yan kaeleweka vizuri sana💯💯💯
Elimu nzuri .
Wahalifu wengi wanashirikiana na ma 5:06 skari
Amani kwako ndugu
Wasambazaji wakubwa ni vigogo wakubwa Sasa itakuwa je.
Mungu akufanyie wepesi
Mungu amxaidie😊
Pole sana afande🤲
Duu pole sana!😢😢😢😢😢😢😢😢
Pole ambali
Kwa Nini asioneshe sehemu moja aliofanya tukio na thamani yake alipe
Mungu akufungulie milango ya mafanikio
Pole
Huyu kwanza ana kauhongo flani umeenda Ccp moshi mwaka 1990 na hapo una umri wa miaka 49 ina maana polisi ulikuchukua ukiwa na 15 kwa hiyo jeshi linatumikisha watoto kweli ngada aijatoka kichwani
Huyu inawezekana umri wake ni 52 au 53 nadhani kazi Alianza na 18 huko ila umri atakua alipunguza kwaajili ya mambo ya kikazi😂😂😂
Pole sans! Unapaswa kumpa Yesu maisha Yako Sasa! Yuko tayari kukusamehe.
Usilete udini hapa, kwani Yesu kama kweli yuhai, basi kwanini anaachia mambo mabaya yaendelee kufanyika dun?!
Umelipwa na Mungu mwenywe
Kweli maisha hayana kanuni dunia rangi rangire
Na bado Anatumia Hawezi kuacha huyo mpaka Abadili na damu maana damu yake ishakua chafu
Duh
Kuachishwa kazi bila malipo yoyote ndio kwanza anakuwa jambazi sugu.
😢
Afande Ambali anasema uongo, kasema anatimiza miaka 49 mwaka huu 2024? Hivyo alizaliwa mwaka 1975? Alijiunga chuo cha Police mwaka 1990 akiwa na miaka 15?? Aliajiriwa kama Police mwaka 1991 akiwa na miaka 16?? Mbengo TV muulize alisoma Secondary gani akaishia form three? Alianza lini Shule ya Msingi? Shule gani??
Huyu ana 55 huko.
Itakua anataka kuoa anazuga apate kigoli 😂
Kiukweli Eneo la miaka kadanganya huyu yuko 55+
Wanaajili darasa la saba pia kwa vitengo mfano bigla wale wapuliza buruji ni kawaida alafu form four ni siku hizi
Kweli tamaa ni mbaya o
Wapo wengi sanaa hao
Umejifunza kitu agement wangu ila pole sana
Nimependa namna kamanda anavyoelezea, amenyooka sana
Bina damu embu tusaidiee maana maisha ay😢😢😢
Palikuwa na disco la nguvu miaka hyo mi nilikuwa meneja pale
Wengine wamejifunza kupitia hiyo njia
Hadi leo watu wa namna hii wapo majeshini humo.
Ajila bila Elimu husababisha tamaa na hata watu wanaopenda rushwa ni wale Ambao hawajasoma na limbukeni kama huyu
Elimu sio ishu ndugu tatizo watu wengi wanakuwa na tamaa na hawaridhiki na wakipatacho wala hawataki kufanya biashara halali
Kiswahili chenu kibovu, jirekebisheni
Arudishwe Kazin Akabidhiwe kitengo hicho Cha madawa amesha jifunza mengi
Japo nusu mshahara Apewe
MWANDISHI MTAG MAMA SAMIA HIYO STORY
Keri kabix
Nakukumbuka miaka ile ulikuwa unakuja msasan pale ccm
Kweli tamaa nibay
Vya kharam mwishowake hua mbaya waelimishe na maafande wenzio wasiburuze watu iyo ni kazi tu
Mbona humuulizi mke yaani yule waliozaa naye wakati anatumia madawa alimtafuta?
Hiro ndio tatizo la mwanadamu kutoridhika na anachopata sasa ona kesho yako imeharibika pole
Mungu akurinde
Kaka mzuri ulijiingiza kwenye mambo ya ushetan pole brother lkn kwakuwa ujitambua nakuacha mrudie mungu kaka ndo kila kitu usijekuishia pabaya
umetoa code
Sio askali . Ni askari
Fikiria kabla ya kuamua
Panaitwa sis club
Waomba muvi
Jifunze kumuachia MTU Muda wakujieeza , usimkatishe katishe mtu
Mwandishi ulisomea kweli hii kazi?
Pole sana Mkuu!!! nimeifuatilia Story yako kwa umakini mkubwa.....Umeeleza mambo mengi sana muhimu
Kumbe polisi ndiyo wanatuangamiza. Na bado wanawalinda. Huyu anayeongea hakustahili hata awe huru. Ilikuwa awe gereza la askari. Hivi serikali inasikia hivi bado huyu polisi hawajamhoji awataje hao vigogo.
Kwa kweli nitazidi kushangaa sana kama itaishia hivihivi
@@eppiemodest Alishatumikia adhabu Gerezani na adhabu ya Uteja na sasa anatumikia Jamii kupitia Uelishaji kama anavyosema
Anaonekana kama bado anavuta sigara ama bangi
Kuacha moja kwa moja ni ngumu kwahyo anatoa arosto kwa style hiyo.
Anaonesha sura yake ya kijambqzi
Alishaacha
😂😂sura yake mbona ni handsome tu kabisa yaani hapo ni kama naibu waziri vile.
Pole kaka naweza kunipatia phone no yako please
Kuna watu wako jela miaka mingi kwa makosa madogo sasa huyu jambazi yuko nje anafanya kazi 😏😏
Alishatumikia Adhabu ya Kifungo
Naona Yuko kwenye kitengo cha DCEA hongera nyingi kwake pia madawa siyo poa kabisa
kila kitu sawa sema kwenye hesabu za miaka sijaelewa dakika ya 2:00 anasema ana umri wa miaka 49 ina maana kazaliwa 1975 ,halafu anasema kaajiriwa mwaka 1991 ina maana alikuwa na umri wa miaka 16. je jeshi wanaajiri wenye umri chini ya miaka 18
Hakuna linaloshindikana. Usikariri.
Angefanya jambo jema kama angewataja majambazi waliobakia ndani ya jeshi la police.
kha kha kha
......
😂😂😂😂😂 kweli kabisa
Kila mtu uvuna alichokipata
Mnampa pole ya nini
Jambazi sugu mnamtetea😢
Weeeckuma kweli
@@amossmabangotz2032 unafilwa na maafande Acha usenge
Auliwe huyu jambazi hatoacha ujambazi ukila nyama yamtu huachi
Bado macho yake yanatisha namuogopa.
😂😂😂
Kazi ya laana
Pole
Kha kha kha
Kwan mumeo 😂😂😂
Bina damu embu tusaidiee maana maisha ay😢😢😢
Dah amejieleza vzuri sana Serikal ikuangalie kwa jicho la pili ikirudishe kazin