Asante sana kamanda wangu!!, kamanda Muroto on air again!!. Kazi nzuri, endelea kuimarisha ulinzi wa raia wema na mali zao. Kwa kufanya hivo unaokoa mambo mengi sana Kamanda M. Dhibiti! tupe na taarifa.... tunafarijika kuona na kusikia hivo
Kamanda hao ndo wezi wa pikipiki maaa uku dar es salamu zina ibiwa sana pkpk hebu muwe mna zitaja pleti namba zao na chesesi na injini namba ili tuzitambue izo pikipiki kamanda huwenza tuka pata pikipiki zetu kama una amini hawa ata pikipiki wana iba gonga like apaa
Eti ameshawahi kukaba ata mama yake, ujanja hapa mjini hakuna, hili tumbo brother fanya kazi huyu afande kila nikiona taarifa yake lazma nimsikilize nakuwa nacheka sana
Hawa ndio makamanda wanaotakiwa na sio Wale wanaotesa na kunyanyasa viongozi wa upinzani hongera sana kamanda muroto viongozi na makamada wengine waige mfano WA kamanda Muroto.
Muroto RPC unatisha kamanda unafanya kazi kubwa kuliko police wote nchini rais akupe zawandi ya nishani maana wewe ndiyo kamanda pekee unayefanya kazi za uhakika mungu akubariki sana na akulinde watapata TABU SANA
Kamanda Honge kwa kazi Nzur , Naomba makamanda wengne waige mfano huu mikoa yote Tz
Hongera sana jeshi letu la polisi kun'gamua na kuchukua hatu Kali kwa wapuuzi hao👏❤
Hongera kwa jeshi la polisi, wezi wakomeshwe ,hatuafanyii kazi wao pumbavu
huyo kamanda anafaa sana maana mal za raia anazirudisha mikonon mwao. kama umemkubal muroto gonga rike hapa
Ezekiel michael Msigala Namkubali kwelikweli huyu Kamanda Mungu mpe umri mrefu Amin amini amini.
Ezekiel michael Msigala siyo rike ni like correction please.
Ezekiel michael Msigala swadakta
ninomaa dom
Hata mimi namkubali kwa kweli may Allah protect him.
Nimekupenda sana kamanda, uko vizuri, ulistahili kua IGP
Asante sana kamanda wangu!!, kamanda Muroto on air again!!. Kazi nzuri, endelea kuimarisha ulinzi wa raia wema na mali zao. Kwa kufanya hivo unaokoa mambo mengi sana Kamanda M.
Dhibiti! tupe na taarifa.... tunafarijika kuona na kusikia hivo
Hongelen sana jesh lapolis kwakaz nzur munayo ifanya
Kama unamkubali kamanda gonga laik apa twende sawa
MTU MNENE AFYA NZURI LAKINI MHALIFU KAMANDA MAKINI SANA HUYU
Watapata tabu sana
Mwngne anardsha tumbo
Ajali dar
Kamanda safi sana unastahili pongezi umeitendea haki taaluma yako...
Mgogo mpiga kazi nakukubali sana muroto💯💯💯🙏🙏🙏
Wanahitajika makamanda kama hawa kwakweli Mungu akulinde wasije kukutoa roho maana kazi unayofanya kuna wanaochukizwa nayo
Mwanajuma Mahundumla kweli sister Mungu awe nae
Mwanajuma Mahundumla welcome to my channel ukhtyua-cam.com/video/ctGxynrpAZA/v-deo.html
Mwanajuma Mahundumla kweli kabisa
Huyo policy aneshikwa tumbo Alisha wahikunikamata kumbe feki.
Nimekubali kamanda hapo kazi tu wakomesheni hao
Huyu RPC murotto ni kiongozi bora wa mwaka 👏👏
Mungu akulinde kamanda Muroto kwa kazi nzuri.
Nalipongeza jeshi la polis Kwa kazi nzuri ya kuwakamta hao waaalifu, opreshen hiyo ifanyike nchi nyima
Hongera Kwa kazi nzuri unastahili pongezj zaidi
uyu afande nampenda sana anafanya kazi nzuri sana natamani sikumoja nionane nae japo nimpe mkono
Hongelen sana jeshi lapolisi mungu awalinde🙏🙏🙏
Danzania,, police wenu wezuri kweli god bless all danzania police,,Aki Kaa Ni Kenya utafinywa,,, Kenyan police learn something here,,,
Dodoma ipo vizir kamanda anaupiga mwingi mashallah
Kazi nzuri sana kamanda nakupongeza sana na serikali kwa ujumla ujanja ujanja hakuna mjini twendelee tu kupata tabu sana
Watapata taabu sanaaa!!!! Huyu Afande asitoke Dom,Presdaa usimpandishe cheo mapema asafishe kwanza Dodoma!!! Hongera Sanaa MUROTO.
mtanzania mzalendo
Mwenyez Mungu akuongezee maisha maref yny baraka kwa kaz yako nzr
safi kamanda Mtoto hapa kazi tu
Mungu muweke Kamanda wa Dodoma mpe umri mrefu na wajaalie wakuu wa mikoa wengine utendaji kama huu
Afande kazi nzuri kwa kiingereza wanaita "dirty work"
dingi muroto hoyeeee wataelewa tu ukingia dodoma hutokiii
Jembe sana makamanda Dodoma, Dodoma saaaaaafi
Kazi nzuri makamanda,Mungu awe nanyi siku zote
Hongera murotto ucilewe cfa mkuu wakalishe wotee
Hongera sana afande wa Dodoma.
Kamanda hao ndo wezi wa pikipiki maaa uku dar es salamu zina ibiwa sana pkpk hebu muwe mna zitaja pleti namba zao na chesesi na injini namba ili tuzitambue izo pikipiki kamanda huwenza tuka pata pikipiki zetu kama una amini hawa ata pikipiki wana iba gonga like apaa
Pita kote lakin usisogee kweny sumaku ya Muroto... Aiseee utapata tabu saaaana . hongera kamanda ..
Kazi nzuri Kamanda nakukubali sana.
Rpc uko vzr sana unafanya kazi vzr kabisa
Hongera polisi kwa msako
Nakuelewaga saana Kamanda kazi kazi
Kamanda upo vizuri
Jamani mpaka anazeeka ndo wanampandisha cheo huyu Kamanda mzuri sana
Ao machalii wafungw miaka yao yote yan
Amani kwako bro Yusuph
kamanda upon making hongera sana
Hongera Kamanda,kweli wewe ni AFANDE. Ukistaafu,tutakumiss sana.
Big up kamanda #mroto. watapata Tabusana!
Mungu akujalie kamanda na jeshi lako la polis kaz nzur watu tunapata shida kwenye kaz
.safiiii kamada
nlikua namchukia huyu afande ila sahiv nataman kuona matukio zake 😅😅😅😅😅😅
This officer deserves to be promoted share this video and show the president the good job this officer doing for the country and community
Kamanda nakukubali sana kaz nzur
Chapa kazi wajina
Muroto baba uko vizuri
Muroto akiwa anakuhoji utazani anakuachia kumbe anakusukuma ndani 😂😂😂😂
Chapa kazi baba murotu
Kamanda fanya kazi yako nakupa zote zote wezi wanaturudisha maendereo nyuma
Kamandaaaaa👏👏👏👏👏
Funny 🤣🤣 haha huyu aje Kenya 🇰🇪🇰🇪
Nakukubali xana Afande Muruto,wape tabu sana hao
Mzee upo vizuri
duu kweli naomba wafikishwe tu mahakamani haooo
Hongera sana kamanda
Nampenda sana kamanda huyu
Dodoma safiiiiiiiiii
man jaruu jr safi kabsaaaa
Achakurudisha tumbo.
Nakukubali sana afande wangu muroto kwa kuliweka jiji salama
Eti ameshawahi kukaba ata mama yake, ujanja hapa mjini hakuna, hili tumbo brother fanya kazi huyu afande kila nikiona taarifa yake lazma nimsikilize nakuwa nacheka sana
mohammed abdallah mi nampenda sana sio Dar kila siku kuona matako tu na chuki za kisiasa na wanaompinga huyu basi na wao wezi au vibaka
Mwanajuma Mahundumla kweli sister huyu afande Mungu amsimamie kwa kweli
mohammed abdallah Hahahaha iyo yakukaba mama yake noma .eti usirudishe tumbo nyuma
mohammed abdallah
mohammed abdallah 😂😂😂😂
kungekuwepo makamanda kama hawa Tanzania ingekuwepo safi sana
woooyooh!!!!!!
Dodoma safi!!
Uko vzr mkuuu big up
kazi nzur afande
Kamanda tunakuitaji Dar💪💪
Muroto ww Mungu akulinde.
we baba uishi miaka mingi,, natamani ungekua mkoani kwangu uwanyooshe waharifu. mungu akupe afya
Pouw Michael msombe presenter kumbuka mbali Sana miaka hyo kilimo primary school kizaz Sana mzee
Dodoma noma aipimiki
Kamanda uko vizuri sana, Allah akutie nguvu kwa kila hatua unayosonga, wewe ni shujaa.
Gudd
Kamanda hongera
Kazi nzuri
kamanda hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hapa kazi tu
Safi sana kamanda mroto.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂daaah..huyu afande anajua kukunanga .
daah si waje huku chuga tuondoke na milonjo yaoo daadeki zao
Dodoma kunamatukio nako khaaaaa😠😠😠 wakaozeee jela
Nimekupenda afande,!
kazi njema kamanda
Rpc kwa kweli Mungu akulinde japo wakuu wako wanakuludisha nyuma,Mh Magu unamfaa sanaaaaaàà
Mkuu wa mkoa mwenyewe hanambavu😂😂😂😂😂 muroto kwakweli hua ana nifurahisha
Hawa ndio makamanda wanaotakiwa na sio Wale wanaotesa na kunyanyasa viongozi wa upinzani hongera sana kamanda muroto viongozi na makamada wengine waige mfano WA kamanda Muroto.
Atwambie basi majambazi waliompiga risasi lisu...hajawakamata tu .
nakukubali sana kamand
Safi sana kamanda unasafisha jiji
uko sawa baba
Kamanda wewe nizaidi yakamanda mungu akubarik sana
toa tumbooo likingia dodoma halitoki lazima utapike sawaaaa
good,gari iliyomuumiza Lisu?
Nakukubali sana we kamanda umetupa msemo wenye maana na pia unaufanyia kazi
Muroto RPC unatisha kamanda unafanya kazi kubwa kuliko police wote nchini rais akupe zawandi ya nishani maana wewe ndiyo kamanda pekee unayefanya kazi za uhakika mungu akubariki sana na akulinde watapata TABU SANA
safi sana kamanda
Safi sana kamanda Muroto
Hiyo ndio kazi.TV yangu inch 42 lg imeibiw
Njoo Dar Kamanda utusaidie maana uku siasa tu badala ya kazi,
Aman Mark katokea Dar,Mkoa wa Kipolisi Temeke😆
Aman Mark .
kamand mchapakaz 👏
RPC Muroto. Kazi nzuri🤣😂