Polisi feki waliokamatwa Dodoma, RPC Muroto akiwahoji maswali

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 сер 2018
  • Jeshi la Polisi mkoani Dodoma likiongozwa na Kamanda wake Gilles Muroto limeendelea na operation ya kusaka na kuwakamata wahalifu mbalimbali ambapo miongoni mwa waliokamatwa ni pamoja na Polisi feki, wakabaji wa kutumia nguvu, wavunjaji wa nyumba pamoja na wahamiaji haramu ambao wanadaiwa kuingia nchini bila vibali maalum.

КОМЕНТАРІ • 480

  • @ezekielmichaelmsigala8545
    @ezekielmichaelmsigala8545 6 років тому +251

    huyo kamanda anafaa sana maana mal za raia anazirudisha mikonon mwao. kama umemkubal muroto gonga rike hapa

    • @kassimandrea8540
      @kassimandrea8540 6 років тому +6

      Ezekiel michael Msigala Namkubali kwelikweli huyu Kamanda Mungu mpe umri mrefu Amin amini amini.

    • @anthonyluhumbika4693
      @anthonyluhumbika4693 6 років тому +1

      Ezekiel michael Msigala siyo rike ni like correction please.

    • @komboomar8275
      @komboomar8275 6 років тому +1

      Ezekiel michael Msigala swadakta

    • @shekhekhandereizer559
      @shekhekhandereizer559 6 років тому +1

      ninomaa dom

    • @azizamwimbe9417
      @azizamwimbe9417 6 років тому +2

      Hata mimi namkubali kwa kweli may Allah protect him.

  • @BurhaniLiyau
    @BurhaniLiyau 6 років тому +87

    MTU MNENE AFYA NZURI LAKINI MHALIFU KAMANDA MAKINI SANA HUYU

  • @mosesjnr8436
    @mosesjnr8436 5 років тому +7

    Huyu RPC murotto ni kiongozi bora wa mwaka 👏👏

  • @maikomgwao4906
    @maikomgwao4906 5 років тому +63

    Kama unamkubali kamanda gonga laik apa twende sawa

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 6 років тому +52

    Wanahitajika makamanda kama hawa kwakweli Mungu akulinde wasije kukutoa roho maana kazi unayofanya kuna wanaochukizwa nayo

    • @mohammedabdallah6390
      @mohammedabdallah6390 6 років тому +1

      Mwanajuma Mahundumla kweli sister Mungu awe nae

    • @mustaphahassan589
      @mustaphahassan589 6 років тому

      Mwanajuma Mahundumla welcome to my channel ukhtyua-cam.com/video/ctGxynrpAZA/v-deo.html

    • @mimielias5422
      @mimielias5422 6 років тому

      Mwanajuma Mahundumla kweli kabisa

    • @davidmakwala6012
      @davidmakwala6012 5 років тому

      Huyo policy aneshikwa tumbo Alisha wahikunikamata kumbe feki.

    • @faridafarida4314
      @faridafarida4314 4 роки тому

      Nimekubali kamanda hapo kazi tu wakomesheni hao

  • @peterchesam5737
    @peterchesam5737 5 років тому +1

    Kamanda Honge kwa kazi Nzur , Naomba makamanda wengne waige mfano huu mikoa yote Tz

  • @user-tu8nm8wb4o
    @user-tu8nm8wb4o Місяць тому +1

    Rpc uko vzr sana unafanya kazi vzr kabisa

  • @trilionea_online_TV
    @trilionea_online_TV 5 років тому +2

    Nimekupenda sana kamanda, uko vizuri, ulistahili kua IGP

  • @limokisuda4145
    @limokisuda4145 6 років тому +27

    dingi muroto hoyeeee wataelewa tu ukingia dodoma hutokiii

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo7001 6 років тому +4

    Watapata taabu sanaaa!!!! Huyu Afande asitoke Dom,Presdaa usimpandishe cheo mapema asafishe kwanza Dodoma!!! Hongera Sanaa MUROTO.

  • @mohammedabdallah6390
    @mohammedabdallah6390 6 років тому +38

    Eti ameshawahi kukaba ata mama yake, ujanja hapa mjini hakuna, hili tumbo brother fanya kazi huyu afande kila nikiona taarifa yake lazma nimsikilize nakuwa nacheka sana

    • @mwanajumaomahundumla6504
      @mwanajumaomahundumla6504 6 років тому +1

      mohammed abdallah mi nampenda sana sio Dar kila siku kuona matako tu na chuki za kisiasa na wanaompinga huyu basi na wao wezi au vibaka

    • @mohammedabdallah6390
      @mohammedabdallah6390 6 років тому

      Mwanajuma Mahundumla kweli sister huyu afande Mungu amsimamie kwa kweli

    • @p.kasongot979
      @p.kasongot979 6 років тому +1

      mohammed abdallah Hahahaha iyo yakukaba mama yake noma .eti usirudishe tumbo nyuma

    • @mwalukoerick2801
      @mwalukoerick2801 6 років тому

      mohammed abdallah

    • @gregorychogelo2013
      @gregorychogelo2013 5 років тому

      mohammed abdallah 😂😂😂😂

  • @paulmadundo8084
    @paulmadundo8084 6 років тому

    Asante sana kamanda wangu!!, kamanda Muroto on air again!!. Kazi nzuri, endelea kuimarisha ulinzi wa raia wema na mali zao. Kwa kufanya hivo unaokoa mambo mengi sana Kamanda M.
    Dhibiti! tupe na taarifa.... tunafarijika kuona na kusikia hivo

  • @jensennashon6147
    @jensennashon6147 5 років тому +1

    Mungu akulinde kamanda Muroto kwa kazi nzuri.

  • @emmanueljuvieh4316
    @emmanueljuvieh4316 5 років тому +1

    nlikua namchukia huyu afande ila sahiv nataman kuona matukio zake 😅😅😅😅😅😅

  • @raphaelmwamakimbula9642
    @raphaelmwamakimbula9642 8 місяців тому

    Hongera sana jeshi letu la polisi kun'gamua na kuchukua hatu Kali kwa wapuuzi hao👏❤

  • @kassimandrea8540
    @kassimandrea8540 6 років тому +2

    Mungu muweke Kamanda wa Dodoma mpe umri mrefu na wajaalie wakuu wa mikoa wengine utendaji kama huu

  • @yahyamajidyahyahilalal-har8762
    @yahyamajidyahyahilalal-har8762 6 років тому +4

    Kazi nzuri Kamanda nakukubali sana.

  • @JOSEPHASSENGA-jk2iu
    @JOSEPHASSENGA-jk2iu Місяць тому

    Afande kazi nzuri kwa kiingereza wanaita "dirty work"

  • @labanakyoo4177
    @labanakyoo4177 2 роки тому

    Hongera kwa jeshi la polisi, wezi wakomeshwe ,hatuafanyii kazi wao pumbavu

  • @sembosayenda7182
    @sembosayenda7182 5 років тому +1

    Jamani mpaka anazeeka ndo wanampandisha cheo huyu Kamanda mzuri sana

  • @jilindamalgwe1811
    @jilindamalgwe1811 4 роки тому +1

    Jembe sana makamanda Dodoma, Dodoma saaaaaafi

  • @remedymoody
    @remedymoody 6 років тому +1

    RPC Muroto. Kazi nzuri🤣😂

  • @divineidentity9445
    @divineidentity9445 5 років тому +2

    Muroto akiwa anakuhoji utazani anakuachia kumbe anakusukuma ndani 😂😂😂😂

  • @thepowerofsilentsoul2135
    @thepowerofsilentsoul2135 2 роки тому

    Danzania,, police wenu wezuri kweli god bless all danzania police,,Aki Kaa Ni Kenya utafinywa,,, Kenyan police learn something here,,,

  • @mindirajabu9039
    @mindirajabu9039 3 роки тому

    Mgogo mpiga kazi nakukubali sana muroto💯💯💯🙏🙏🙏

  • @thomassylivester6751
    @thomassylivester6751 5 років тому +1

    uyu afande nampenda sana anafanya kazi nzuri sana natamani sikumoja nionane nae japo nimpe mkono

  • @anatorydesdery4593
    @anatorydesdery4593 5 років тому

    Kazi nzuri makamanda,Mungu awe nanyi siku zote

  • @manjaruujr6504
    @manjaruujr6504 6 років тому +23

    Dodoma safiiiiiiiiii

  • @limokisuda4145
    @limokisuda4145 6 років тому +9

    toa tumbooo likingia dodoma halitoki lazima utapike sawaaaa

  • @mdzainb3722
    @mdzainb3722 3 роки тому +1

    Dodoma kunamatukio nako khaaaaa😠😠😠 wakaozeee jela

  • @sembosayenda7182
    @sembosayenda7182 5 років тому

    Hahahahahaahs nimependa Kwa kauri mbio watapata tabusaaaaana muroto noma kama unamkubari gonga like hapa

  • @Loftyattorneys
    @Loftyattorneys 5 років тому

    Kazi nzuri sana kamanda nakupongeza sana na serikali kwa ujumla ujanja ujanja hakuna mjini twendelee tu kupata tabu sana

  • @swithinshayo8586
    @swithinshayo8586 4 роки тому

    Hongera sana afande wa Dodoma.

  • @amandusmark3060
    @amandusmark3060 6 років тому +20

    Njoo Dar Kamanda utusaidie maana uku siasa tu badala ya kazi,

  • @warsamemahamud1626
    @warsamemahamud1626 3 роки тому

    This officer deserves to be promoted share this video and show the president the good job this officer doing for the country and community

  • @lonickmpumilwa
    @lonickmpumilwa 3 роки тому

    Hongera Kwa kazi nzuri unastahili pongezj zaidi

  • @pacxym3874
    @pacxym3874 6 років тому +1

    woooyooh!!!!!!
    Dodoma safi!!

  • @peemoneybags410
    @peemoneybags410 5 років тому +1

    Natabiri huyu RPC atakuja kuwa IGP dah ananichekesha sana anavyoongea 😀😀😀😀

  • @user-pk2ch7lu5e
    @user-pk2ch7lu5e Місяць тому

    Kamanda nakukubali sana kaz nzur

  • @hajihansy9598
    @hajihansy9598 5 років тому +1

    Kamanda hao ndo wezi wa pikipiki maaa uku dar es salamu zina ibiwa sana pkpk hebu muwe mna zitaja pleti namba zao na chesesi na injini namba ili tuzitambue izo pikipiki kamanda huwenza tuka pata pikipiki zetu kama una amini hawa ata pikipiki wana iba gonga like apaa

  • @saddykayage6519
    @saddykayage6519 6 років тому +1

    Nampenda sana kamanda huyu

  • @jackrinaman7521
    @jackrinaman7521 6 років тому +10

    Utrafik gn matumbo kama vigoda nyoo munge nikaba mm pumbavu zenu ningewazalisha

  • @wazirisukari5178
    @wazirisukari5178 5 років тому

    Asiempenda kamanda mroto na afe

  • @omaryzuberi2897
    @omaryzuberi2897 5 років тому

    Kamanda fanya kazi yako nakupa zote zote wezi wanaturudisha maendereo nyuma

  • @princessfettyrashidi2409
    @princessfettyrashidi2409 6 років тому +2

    Hayo makofi mdogo madogo huwa yananiacha hoi wallah 😁😁😁😁 watapata tabu sana

  • @sadikidaudi1223
    @sadikidaudi1223 5 років тому

    Nakuelewaga saana Kamanda kazi kazi

  • @simpeponestory7637
    @simpeponestory7637 5 років тому

    Amani kwako bro Yusuph

  • @thomasnyarusanda2608
    @thomasnyarusanda2608 6 років тому

    Hongera Kamanda,kweli wewe ni AFANDE. Ukistaafu,tutakumiss sana.

  • @isaacbusungu9670
    @isaacbusungu9670 5 років тому

    kungekuwepo makamanda kama hawa Tanzania ingekuwepo safi sana

  • @officialkamdudu
    @officialkamdudu 6 років тому +14

    Halafu nyie mashoga kila video eti gonga like hapa mnaboa kinoma yaani

  • @yohanajamestz9950
    @yohanajamestz9950 4 роки тому

    Muroto baba uko vizuri

  • @selemankilawa1589
    @selemankilawa1589 5 років тому

    safi kamanda Mtoto hapa kazi tu

  • @akbardasilva2028
    @akbardasilva2028 5 років тому

    kamand mchapakaz 👏

  • @dogowamwaza8519
    @dogowamwaza8519 Рік тому

    Chapa kazi baba murotu

  • @desultansaid3647
    @desultansaid3647 6 років тому

    Uko vzr mkuuu big up

  • @cassianandrewnyonyo2894
    @cassianandrewnyonyo2894 5 років тому

    Hongera murotto ucilewe cfa mkuu wakalishe wotee

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 5 років тому

    Kamanda uko vizuri sana, Allah akutie nguvu kwa kila hatua unayosonga, wewe ni shujaa.

  • @angelamartinchiteji2461
    @angelamartinchiteji2461 5 років тому

    Pita kote lakin usisogee kweny sumaku ya Muroto... Aiseee utapata tabu saaaana . hongera kamanda ..

  • @darweshathumans8302
    @darweshathumans8302 5 років тому

    Mwenyez Mungu akuongezee maisha maref yny baraka kwa kaz yako nzr

  • @bakariathumani9011
    @bakariathumani9011 5 років тому

    Kazi nzuri

  • @lucky9285
    @lucky9285 6 років тому +1

    Kamandaaaaa👏👏👏👏👏

  • @emelinmshana6265
    @emelinmshana6265 6 років тому +1

    Huyo afande anafaa sana dar es salaam muheshimiwa tunamuomba huyo afande dar es salaam. Anafaa sana.

  • @bibukaelias9900
    @bibukaelias9900 5 років тому +1

    Hawa ndio makamanda wanaotakiwa na sio Wale wanaotesa na kunyanyasa viongozi wa upinzani hongera sana kamanda muroto viongozi na makamada wengine waige mfano WA kamanda Muroto.

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 3 роки тому

      Atwambie basi majambazi waliompiga risasi lisu...hajawakamata tu .

  • @AmCool_
    @AmCool_ 6 років тому +5

    Kamanda big up! 💪💪💪👏👏👏👏

  • @gileskandege4950
    @gileskandege4950 6 років тому +1

    Chapa kazi wajina

  • @josephjoseph7348
    @josephjoseph7348 5 років тому

    Mkuu wa mkoa mwenyewe hanambavu😂😂😂😂😂 muroto kwakweli hua ana nifurahisha

  • @lambooluseba8875
    @lambooluseba8875 6 років тому

    Big up kamanda #mroto. watapata Tabusana!

  • @aishachambo3293
    @aishachambo3293 6 років тому

    Mzee upo vizuri

  • @maheligati2936
    @maheligati2936 4 роки тому

    .safiiii kamada

  • @khamiskhamis5323
    @khamiskhamis5323 5 років тому +1

    😝😝😝😝ety kamchape,,huyu kamanda namkubali sn,,yupo sw ila minataka niwaambie kwa Dodoma mtapata tabu sn 🤣🤣🤣

  • @nickodemsimchimba594
    @nickodemsimchimba594 6 років тому +2

    Hongera kwa kaz nzur RPC wangu kipenz...mtenda Kaz uliyetukuka

  • @alextercisio
    @alextercisio Рік тому +1

    Funny 🤣🤣 haha huyu aje Kenya 🇰🇪🇰🇪

  • @sheillahchisika8414
    @sheillahchisika8414 6 років тому +32

    😂😂😂😂😂😂Usiombe ushikwe na huyu kamanda

  • @tzviral7342
    @tzviral7342 5 років тому +3

    4:13 hapa alitamani kumlamba kofi. 😂 Eti _Mtu munene afya nzuri lakini muhalifu_ 🤣🤣🤣

  • @kharidilukanda895
    @kharidilukanda895 5 років тому

    Dodoma noma aipimiki

  • @user-qq8dj1rh9b
    @user-qq8dj1rh9b 22 дні тому +1

    daah si waje huku chuga tuondoke na milonjo yaoo daadeki zao

  • @williamlema9682
    @williamlema9682 6 років тому +1

    Safi sana kamanda mroto.

  • @ismailyusuph740
    @ismailyusuph740 6 років тому +5

    Kamanda Mroto: We unafanya kazi gani..?
    Muhalifu: Nafanya biashara..!
    Kamanda Mroto: Biashara gani..?
    Muhalifu: Nauza Chips..!
    Kamanda Mroto: Weee wacha habari za Chips..kwa nini unavunja nyumba za watu..?
    ....hahaha...Salute kamanda..!

  • @joshuasamson4174
    @joshuasamson4174 6 років тому

    Muroto RPC unatisha kamanda unafanya kazi kubwa kuliko police wote nchini rais akupe zawandi ya nishani maana wewe ndiyo kamanda pekee unayefanya kazi za uhakika mungu akubariki sana na akulinde watapata TABU SANA

  • @user-nt9ex8tx2z
    @user-nt9ex8tx2z 5 років тому +1

    Police dodoma wanachapa kz kwel kwel WALLAH

  • @japhetnzunda5421
    @japhetnzunda5421 6 років тому +2

    Wanatakiwa makamanda kama hawa katika ichi hii nakukubali sana

  • @mwajumalugenja3895
    @mwajumalugenja3895 4 роки тому

    Huo namkubali sana kamanda huyu bgp kwako mkuu

  • @zuusaidibushiri5556
    @zuusaidibushiri5556 6 років тому +6

    Du ksmanda anachapa kazi sana

  • @brandyjohnny7522
    @brandyjohnny7522 6 років тому +8

    wacha kurudisha tumbo😂😂😂😂

  • @sasherbaiby7277
    @sasherbaiby7277 6 років тому

    kazi nzur afande

  • @joelsamson8752
    @joelsamson8752 5 років тому

    Safi sana kamanda unasafisha jiji

  • @yohanambonankila932
    @yohanambonankila932 5 років тому

    Nakukubali xana Afande Muruto,wape tabu sana hao

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free 5 років тому

    Dodoma number one ☝️

  • @mwanzamwanza8753
    @mwanzamwanza8753 5 років тому

    kamanda huyu namkubali sana

  • @khamismaulid6839
    @khamismaulid6839 6 років тому +1

    Safi kamanda

  • @geofreywadeya9972
    @geofreywadeya9972 6 років тому +1

    Safi sana kamanda Muroto

  • @silverrichard2975
    @silverrichard2975 5 років тому +5

    Siku akiwakamata waganga wa jadi matapeli nitacheka sana

  • @ommyd7196
    @ommyd7196 2 роки тому

    Mungu akujalie kamanda na jeshi lako la polis kaz nzur watu tunapata shida kwenye kaz

  • @basumegembotwa3437
    @basumegembotwa3437 5 років тому

    Kamanda safi sana

  • @geraldlucas5020
    @geraldlucas5020 6 років тому +1

    Piga kazi kamanda

  • @philip788
    @philip788 5 років тому

    Nimekupenda afande,!

  • @pascalyfredynandy7220
    @pascalyfredynandy7220 5 років тому

    duu kweli naomba wafikishwe tu mahakamani haooo

  • @mtaloycegonzaga2594
    @mtaloycegonzaga2594 4 роки тому

    Shukrani RPC, Tunaomba Patrol usiku maeneo ya chuo cha MIPANGO. Kuna wezi sana.

  • @akademkkz
    @akademkkz 6 років тому +1

    Safi sana Afande Muroto 💪🏽

  • @evancechapanga3073
    @evancechapanga3073 Рік тому

    Kazi ya jambaz au mwizi ni kuchoma moto