Polisi feki waliokamatwa Dodoma, RPC Muroto akiwahoji maswali
Вставка
- Опубліковано 6 сер 2018
- Jeshi la Polisi mkoani Dodoma likiongozwa na Kamanda wake Gilles Muroto limeendelea na operation ya kusaka na kuwakamata wahalifu mbalimbali ambapo miongoni mwa waliokamatwa ni pamoja na Polisi feki, wakabaji wa kutumia nguvu, wavunjaji wa nyumba pamoja na wahamiaji haramu ambao wanadaiwa kuingia nchini bila vibali maalum.
huyo kamanda anafaa sana maana mal za raia anazirudisha mikonon mwao. kama umemkubal muroto gonga rike hapa
Ezekiel michael Msigala Namkubali kwelikweli huyu Kamanda Mungu mpe umri mrefu Amin amini amini.
Ezekiel michael Msigala siyo rike ni like correction please.
Ezekiel michael Msigala swadakta
ninomaa dom
Hata mimi namkubali kwa kweli may Allah protect him.
MTU MNENE AFYA NZURI LAKINI MHALIFU KAMANDA MAKINI SANA HUYU
Watapata tabu sana
Mwngne anardsha tumbo
Ajali dar
Kamanda safi sana unastahili pongezi umeitendea haki taaluma yako...
Huyu RPC murotto ni kiongozi bora wa mwaka 👏👏
Kama unamkubali kamanda gonga laik apa twende sawa
Wanahitajika makamanda kama hawa kwakweli Mungu akulinde wasije kukutoa roho maana kazi unayofanya kuna wanaochukizwa nayo
Mwanajuma Mahundumla kweli sister Mungu awe nae
Mwanajuma Mahundumla welcome to my channel ukhtyua-cam.com/video/ctGxynrpAZA/v-deo.html
Mwanajuma Mahundumla kweli kabisa
Huyo policy aneshikwa tumbo Alisha wahikunikamata kumbe feki.
Nimekubali kamanda hapo kazi tu wakomesheni hao
Kamanda Honge kwa kazi Nzur , Naomba makamanda wengne waige mfano huu mikoa yote Tz
Rpc uko vzr sana unafanya kazi vzr kabisa
Nimekupenda sana kamanda, uko vizuri, ulistahili kua IGP
dingi muroto hoyeeee wataelewa tu ukingia dodoma hutokiii
Watapata taabu sanaaa!!!! Huyu Afande asitoke Dom,Presdaa usimpandishe cheo mapema asafishe kwanza Dodoma!!! Hongera Sanaa MUROTO.
mtanzania mzalendo
Eti ameshawahi kukaba ata mama yake, ujanja hapa mjini hakuna, hili tumbo brother fanya kazi huyu afande kila nikiona taarifa yake lazma nimsikilize nakuwa nacheka sana
mohammed abdallah mi nampenda sana sio Dar kila siku kuona matako tu na chuki za kisiasa na wanaompinga huyu basi na wao wezi au vibaka
Mwanajuma Mahundumla kweli sister huyu afande Mungu amsimamie kwa kweli
mohammed abdallah Hahahaha iyo yakukaba mama yake noma .eti usirudishe tumbo nyuma
mohammed abdallah
mohammed abdallah 😂😂😂😂
Asante sana kamanda wangu!!, kamanda Muroto on air again!!. Kazi nzuri, endelea kuimarisha ulinzi wa raia wema na mali zao. Kwa kufanya hivo unaokoa mambo mengi sana Kamanda M.
Dhibiti! tupe na taarifa.... tunafarijika kuona na kusikia hivo
Mungu akulinde kamanda Muroto kwa kazi nzuri.
nlikua namchukia huyu afande ila sahiv nataman kuona matukio zake 😅😅😅😅😅😅
Hongera sana jeshi letu la polisi kun'gamua na kuchukua hatu Kali kwa wapuuzi hao👏❤
Mungu muweke Kamanda wa Dodoma mpe umri mrefu na wajaalie wakuu wa mikoa wengine utendaji kama huu
Kazi nzuri Kamanda nakukubali sana.
Afande kazi nzuri kwa kiingereza wanaita "dirty work"
Hongera kwa jeshi la polisi, wezi wakomeshwe ,hatuafanyii kazi wao pumbavu
Jamani mpaka anazeeka ndo wanampandisha cheo huyu Kamanda mzuri sana
Jembe sana makamanda Dodoma, Dodoma saaaaaafi
RPC Muroto. Kazi nzuri🤣😂
Muroto akiwa anakuhoji utazani anakuachia kumbe anakusukuma ndani 😂😂😂😂
Danzania,, police wenu wezuri kweli god bless all danzania police,,Aki Kaa Ni Kenya utafinywa,,, Kenyan police learn something here,,,
Mgogo mpiga kazi nakukubali sana muroto💯💯💯🙏🙏🙏
uyu afande nampenda sana anafanya kazi nzuri sana natamani sikumoja nionane nae japo nimpe mkono
Kazi nzuri makamanda,Mungu awe nanyi siku zote
Dodoma safiiiiiiiiii
man jaruu jr safi kabsaaaa
Achakurudisha tumbo.
toa tumbooo likingia dodoma halitoki lazima utapike sawaaaa
Dodoma kunamatukio nako khaaaaa😠😠😠 wakaozeee jela
Hahahahahaahs nimependa Kwa kauri mbio watapata tabusaaaaana muroto noma kama unamkubari gonga like hapa
Kazi nzuri sana kamanda nakupongeza sana na serikali kwa ujumla ujanja ujanja hakuna mjini twendelee tu kupata tabu sana
Hongera sana afande wa Dodoma.
Njoo Dar Kamanda utusaidie maana uku siasa tu badala ya kazi,
Aman Mark katokea Dar,Mkoa wa Kipolisi Temeke😆
Aman Mark .
This officer deserves to be promoted share this video and show the president the good job this officer doing for the country and community
Hongera Kwa kazi nzuri unastahili pongezj zaidi
woooyooh!!!!!!
Dodoma safi!!
Natabiri huyu RPC atakuja kuwa IGP dah ananichekesha sana anavyoongea 😀😀😀😀
Kamanda nakukubali sana kaz nzur
Kamanda hao ndo wezi wa pikipiki maaa uku dar es salamu zina ibiwa sana pkpk hebu muwe mna zitaja pleti namba zao na chesesi na injini namba ili tuzitambue izo pikipiki kamanda huwenza tuka pata pikipiki zetu kama una amini hawa ata pikipiki wana iba gonga like apaa
Nampenda sana kamanda huyu
Utrafik gn matumbo kama vigoda nyoo munge nikaba mm pumbavu zenu ningewazalisha
Hhhhhh asante
Asiempenda kamanda mroto na afe
Kamanda fanya kazi yako nakupa zote zote wezi wanaturudisha maendereo nyuma
Hayo makofi mdogo madogo huwa yananiacha hoi wallah 😁😁😁😁 watapata tabu sana
Nakuelewaga saana Kamanda kazi kazi
Amani kwako bro Yusuph
Hongera Kamanda,kweli wewe ni AFANDE. Ukistaafu,tutakumiss sana.
kungekuwepo makamanda kama hawa Tanzania ingekuwepo safi sana
Halafu nyie mashoga kila video eti gonga like hapa mnaboa kinoma yaani
Kwel as
😁😅👌
hha hata kwako tumefonga like haha 😂
Muroto baba uko vizuri
safi kamanda Mtoto hapa kazi tu
kamand mchapakaz 👏
Chapa kazi baba murotu
Uko vzr mkuuu big up
Hongera murotto ucilewe cfa mkuu wakalishe wotee
Kamanda uko vizuri sana, Allah akutie nguvu kwa kila hatua unayosonga, wewe ni shujaa.
Pita kote lakin usisogee kweny sumaku ya Muroto... Aiseee utapata tabu saaaana . hongera kamanda ..
Mwenyez Mungu akuongezee maisha maref yny baraka kwa kaz yako nzr
Kazi nzuri
Kamandaaaaa👏👏👏👏👏
Huyo afande anafaa sana dar es salaam muheshimiwa tunamuomba huyo afande dar es salaam. Anafaa sana.
Hawa ndio makamanda wanaotakiwa na sio Wale wanaotesa na kunyanyasa viongozi wa upinzani hongera sana kamanda muroto viongozi na makamada wengine waige mfano WA kamanda Muroto.
Atwambie basi majambazi waliompiga risasi lisu...hajawakamata tu .
Kamanda big up! 💪💪💪👏👏👏👏
Chapa kazi wajina
Mkuu wa mkoa mwenyewe hanambavu😂😂😂😂😂 muroto kwakweli hua ana nifurahisha
Big up kamanda #mroto. watapata Tabusana!
Mzee upo vizuri
.safiiii kamada
😝😝😝😝ety kamchape,,huyu kamanda namkubali sn,,yupo sw ila minataka niwaambie kwa Dodoma mtapata tabu sn 🤣🤣🤣
Hongera kwa kaz nzur RPC wangu kipenz...mtenda Kaz uliyetukuka
Funny 🤣🤣 haha huyu aje Kenya 🇰🇪🇰🇪
😂😂😂😂😂😂Usiombe ushikwe na huyu kamanda
sheillah chisika Aisee kweli 😂😂😂
sheillah chisika 😂😂😂😂 hapo kazi tu
sheillah chisika vp anachapa
4:13 hapa alitamani kumlamba kofi. 😂 Eti _Mtu munene afya nzuri lakini muhalifu_ 🤣🤣🤣
Sheria ifuate mkondo
Dodoma noma aipimiki
daah si waje huku chuga tuondoke na milonjo yaoo daadeki zao
Safi sana kamanda mroto.
Kamanda Mroto: We unafanya kazi gani..?
Muhalifu: Nafanya biashara..!
Kamanda Mroto: Biashara gani..?
Muhalifu: Nauza Chips..!
Kamanda Mroto: Weee wacha habari za Chips..kwa nini unavunja nyumba za watu..?
....hahaha...Salute kamanda..!
Muroto RPC unatisha kamanda unafanya kazi kubwa kuliko police wote nchini rais akupe zawandi ya nishani maana wewe ndiyo kamanda pekee unayefanya kazi za uhakika mungu akubariki sana na akulinde watapata TABU SANA
Police dodoma wanachapa kz kwel kwel WALLAH
Wanatakiwa makamanda kama hawa katika ichi hii nakukubali sana
Huo namkubali sana kamanda huyu bgp kwako mkuu
Du ksmanda anachapa kazi sana
wacha kurudisha tumbo😂😂😂😂
kazi nzur afande
Safi sana kamanda unasafisha jiji
Nakukubali xana Afande Muruto,wape tabu sana hao
Dodoma number one ☝️
kamanda huyu namkubali sana
Safi kamanda
Safi sana kamanda Muroto
Siku akiwakamata waganga wa jadi matapeli nitacheka sana
Silver Richard 😂😂😂
Mungu akujalie kamanda na jeshi lako la polis kaz nzur watu tunapata shida kwenye kaz
Kamanda safi sana
Piga kazi kamanda
Nimekupenda afande,!
duu kweli naomba wafikishwe tu mahakamani haooo
Shukrani RPC, Tunaomba Patrol usiku maeneo ya chuo cha MIPANGO. Kuna wezi sana.
Safi sana Afande Muroto 💪🏽
Kazi ya jambaz au mwizi ni kuchoma moto