Polisi feki waliokamatwa Dodoma, RPC Muroto akiwahoji maswali

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 31 січ 2025

КОМЕНТАРІ • 516

  • @peterchesam5737
    @peterchesam5737 6 років тому +4

    Kamanda Honge kwa kazi Nzur , Naomba makamanda wengne waige mfano huu mikoa yote Tz

  • @raphaelmwamakimbula9642
    @raphaelmwamakimbula9642 Рік тому +2

    Hongera sana jeshi letu la polisi kun'gamua na kuchukua hatu Kali kwa wapuuzi hao👏❤

  • @labanakyoo4177
    @labanakyoo4177 2 роки тому +1

    Hongera kwa jeshi la polisi, wezi wakomeshwe ,hatuafanyii kazi wao pumbavu

  • @ezekielmichaelmsigala8545
    @ezekielmichaelmsigala8545 6 років тому +263

    huyo kamanda anafaa sana maana mal za raia anazirudisha mikonon mwao. kama umemkubal muroto gonga rike hapa

    • @kassimandrea8540
      @kassimandrea8540 6 років тому +8

      Ezekiel michael Msigala Namkubali kwelikweli huyu Kamanda Mungu mpe umri mrefu Amin amini amini.

    • @anthonyluhumbika4693
      @anthonyluhumbika4693 6 років тому +1

      Ezekiel michael Msigala siyo rike ni like correction please.

    • @komboomar8275
      @komboomar8275 6 років тому +1

      Ezekiel michael Msigala swadakta

    • @shekhekhandereizer559
      @shekhekhandereizer559 6 років тому +1

      ninomaa dom

    • @azizamwimbe9417
      @azizamwimbe9417 6 років тому +2

      Hata mimi namkubali kwa kweli may Allah protect him.

  • @trilionea_online_TV
    @trilionea_online_TV 6 років тому +3

    Nimekupenda sana kamanda, uko vizuri, ulistahili kua IGP

  • @paulmadundo8084
    @paulmadundo8084 6 років тому +1

    Asante sana kamanda wangu!!, kamanda Muroto on air again!!. Kazi nzuri, endelea kuimarisha ulinzi wa raia wema na mali zao. Kwa kufanya hivo unaokoa mambo mengi sana Kamanda M.
    Dhibiti! tupe na taarifa.... tunafarijika kuona na kusikia hivo

  • @Rose-h8e1m
    @Rose-h8e1m Місяць тому

    Hongelen sana jesh lapolis kwakaz nzur munayo ifanya

  • @maikomgwao4906
    @maikomgwao4906 6 років тому +67

    Kama unamkubali kamanda gonga laik apa twende sawa

  • @BurhaniLiyau
    @BurhaniLiyau 6 років тому +91

    MTU MNENE AFYA NZURI LAKINI MHALIFU KAMANDA MAKINI SANA HUYU

  • @mindirajabu9039
    @mindirajabu9039 4 роки тому

    Mgogo mpiga kazi nakukubali sana muroto💯💯💯🙏🙏🙏

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 6 років тому +52

    Wanahitajika makamanda kama hawa kwakweli Mungu akulinde wasije kukutoa roho maana kazi unayofanya kuna wanaochukizwa nayo

    • @mohammedabdallah6390
      @mohammedabdallah6390 6 років тому +1

      Mwanajuma Mahundumla kweli sister Mungu awe nae

    • @mustaphahassan589
      @mustaphahassan589 6 років тому

      Mwanajuma Mahundumla welcome to my channel ukhtyua-cam.com/video/ctGxynrpAZA/v-deo.html

    • @mimielias5422
      @mimielias5422 6 років тому

      Mwanajuma Mahundumla kweli kabisa

    • @davidmakwala6012
      @davidmakwala6012 6 років тому

      Huyo policy aneshikwa tumbo Alisha wahikunikamata kumbe feki.

    • @faridafarida4314
      @faridafarida4314 5 років тому

      Nimekubali kamanda hapo kazi tu wakomesheni hao

  • @mosesjnr8436
    @mosesjnr8436 6 років тому +7

    Huyu RPC murotto ni kiongozi bora wa mwaka 👏👏

  • @jensennashon6147
    @jensennashon6147 6 років тому +2

    Mungu akulinde kamanda Muroto kwa kazi nzuri.

  • @leticiaclemence
    @leticiaclemence 4 місяці тому

    Nalipongeza jeshi la polis Kwa kazi nzuri ya kuwakamta hao waaalifu, opreshen hiyo ifanyike nchi nyima

  • @lonickmpumilwa
    @lonickmpumilwa 4 роки тому

    Hongera Kwa kazi nzuri unastahili pongezj zaidi

  • @thomassylivester6751
    @thomassylivester6751 6 років тому +1

    uyu afande nampenda sana anafanya kazi nzuri sana natamani sikumoja nionane nae japo nimpe mkono

  • @TedyDaudy-c8t
    @TedyDaudy-c8t 5 місяців тому

    Hongelen sana jeshi lapolisi mungu awalinde🙏🙏🙏

  • @thepowerofsilentsoul2135
    @thepowerofsilentsoul2135 3 роки тому

    Danzania,, police wenu wezuri kweli god bless all danzania police,,Aki Kaa Ni Kenya utafinywa,,, Kenyan police learn something here,,,

  • @RahimaMct-ik8mr
    @RahimaMct-ik8mr 2 місяці тому

    Dodoma ipo vizir kamanda anaupiga mwingi mashallah

  • @Loftyattorneys
    @Loftyattorneys 6 років тому

    Kazi nzuri sana kamanda nakupongeza sana na serikali kwa ujumla ujanja ujanja hakuna mjini twendelee tu kupata tabu sana

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo7001 6 років тому +4

    Watapata taabu sanaaa!!!! Huyu Afande asitoke Dom,Presdaa usimpandishe cheo mapema asafishe kwanza Dodoma!!! Hongera Sanaa MUROTO.

  • @darweshathumans8302
    @darweshathumans8302 6 років тому

    Mwenyez Mungu akuongezee maisha maref yny baraka kwa kaz yako nzr

  • @selemankilawa1589
    @selemankilawa1589 6 років тому

    safi kamanda Mtoto hapa kazi tu

  • @kassimandrea8540
    @kassimandrea8540 6 років тому +2

    Mungu muweke Kamanda wa Dodoma mpe umri mrefu na wajaalie wakuu wa mikoa wengine utendaji kama huu

  • @JOSEPHASSENGA-jk2iu
    @JOSEPHASSENGA-jk2iu 8 місяців тому

    Afande kazi nzuri kwa kiingereza wanaita "dirty work"

  • @limokisuda4145
    @limokisuda4145 6 років тому +28

    dingi muroto hoyeeee wataelewa tu ukingia dodoma hutokiii

  • @jilindamalgwe1811
    @jilindamalgwe1811 5 років тому +1

    Jembe sana makamanda Dodoma, Dodoma saaaaaafi

  • @anatorydesdery4593
    @anatorydesdery4593 6 років тому

    Kazi nzuri makamanda,Mungu awe nanyi siku zote

  • @cassianandrewnyonyo2894
    @cassianandrewnyonyo2894 6 років тому

    Hongera murotto ucilewe cfa mkuu wakalishe wotee

  • @swithinshayo8586
    @swithinshayo8586 4 роки тому

    Hongera sana afande wa Dodoma.

  • @hajihansy9598
    @hajihansy9598 5 років тому +1

    Kamanda hao ndo wezi wa pikipiki maaa uku dar es salamu zina ibiwa sana pkpk hebu muwe mna zitaja pleti namba zao na chesesi na injini namba ili tuzitambue izo pikipiki kamanda huwenza tuka pata pikipiki zetu kama una amini hawa ata pikipiki wana iba gonga like apaa

  • @angelamartinchiteji2461
    @angelamartinchiteji2461 6 років тому

    Pita kote lakin usisogee kweny sumaku ya Muroto... Aiseee utapata tabu saaaana . hongera kamanda ..

  • @yahyamajidyahyahilalal-har8762
    @yahyamajidyahyahilalal-har8762 6 років тому +4

    Kazi nzuri Kamanda nakukubali sana.

  • @ShangweMfilinge
    @ShangweMfilinge 8 місяців тому +1

    Rpc uko vzr sana unafanya kazi vzr kabisa

  • @VitusTumwesige
    @VitusTumwesige Місяць тому

    Hongera polisi kwa msako

  • @sadikidaudi1223
    @sadikidaudi1223 6 років тому

    Nakuelewaga saana Kamanda kazi kazi

  • @KlemenceShirima-r6i
    @KlemenceShirima-r6i 5 місяців тому

    Kamanda upo vizuri

  • @sembosayenda7182
    @sembosayenda7182 6 років тому +1

    Jamani mpaka anazeeka ndo wanampandisha cheo huyu Kamanda mzuri sana

  • @DjSulleTz
    @DjSulleTz Місяць тому +1

    Ao machalii wafungw miaka yao yote yan

  • @simpeponestory7637
    @simpeponestory7637 6 років тому

    Amani kwako bro Yusuph

  • @rajabumazua1935
    @rajabumazua1935 6 років тому

    kamanda upon making hongera sana

  • @thomasnyarusanda2608
    @thomasnyarusanda2608 6 років тому

    Hongera Kamanda,kweli wewe ni AFANDE. Ukistaafu,tutakumiss sana.

  • @lambooluseba8875
    @lambooluseba8875 6 років тому

    Big up kamanda #mroto. watapata Tabusana!

  • @ommyd7196
    @ommyd7196 3 роки тому

    Mungu akujalie kamanda na jeshi lako la polis kaz nzur watu tunapata shida kwenye kaz

  • @maheligati2936
    @maheligati2936 4 роки тому

    .safiiii kamada

  • @emmanueljuvieh4316
    @emmanueljuvieh4316 6 років тому +1

    nlikua namchukia huyu afande ila sahiv nataman kuona matukio zake 😅😅😅😅😅😅

  • @warsamemahamud1626
    @warsamemahamud1626 4 роки тому

    This officer deserves to be promoted share this video and show the president the good job this officer doing for the country and community

  • @HALIHAMISI
    @HALIHAMISI 8 місяців тому

    Kamanda nakukubali sana kaz nzur

  • @gileskandege4950
    @gileskandege4950 6 років тому +2

    Chapa kazi wajina

  • @yohanajamestz9950
    @yohanajamestz9950 5 років тому

    Muroto baba uko vizuri

  • @divineidentity9445
    @divineidentity9445 6 років тому +5

    Muroto akiwa anakuhoji utazani anakuachia kumbe anakusukuma ndani 😂😂😂😂

  • @dogowamwaza8519
    @dogowamwaza8519 2 роки тому

    Chapa kazi baba murotu

  • @omaryzuberi2897
    @omaryzuberi2897 6 років тому

    Kamanda fanya kazi yako nakupa zote zote wezi wanaturudisha maendereo nyuma

  • @lucky9285
    @lucky9285 6 років тому +1

    Kamandaaaaa👏👏👏👏👏

  • @alextercisio
    @alextercisio 2 роки тому +1

    Funny 🤣🤣 haha huyu aje Kenya 🇰🇪🇰🇪

  • @yohanambonankila932
    @yohanambonankila932 6 років тому

    Nakukubali xana Afande Muruto,wape tabu sana hao

  • @aishachambo3293
    @aishachambo3293 6 років тому

    Mzee upo vizuri

  • @pascalyfredynandy7220
    @pascalyfredynandy7220 5 років тому

    duu kweli naomba wafikishwe tu mahakamani haooo

  • @msafirmasiku9721
    @msafirmasiku9721 6 років тому

    Hongera sana kamanda

  • @saddykayage6519
    @saddykayage6519 6 років тому +1

    Nampenda sana kamanda huyu

  • @manjaruujr6504
    @manjaruujr6504 6 років тому +23

    Dodoma safiiiiiiiiii

  • @danielmahega5873
    @danielmahega5873 3 роки тому

    Nakukubali sana afande wangu muroto kwa kuliweka jiji salama

  • @mohammedabdallah6390
    @mohammedabdallah6390 6 років тому +39

    Eti ameshawahi kukaba ata mama yake, ujanja hapa mjini hakuna, hili tumbo brother fanya kazi huyu afande kila nikiona taarifa yake lazma nimsikilize nakuwa nacheka sana

    • @mwanajumaomahundumla6504
      @mwanajumaomahundumla6504 6 років тому +1

      mohammed abdallah mi nampenda sana sio Dar kila siku kuona matako tu na chuki za kisiasa na wanaompinga huyu basi na wao wezi au vibaka

    • @mohammedabdallah6390
      @mohammedabdallah6390 6 років тому

      Mwanajuma Mahundumla kweli sister huyu afande Mungu amsimamie kwa kweli

    • @p.kasongot979
      @p.kasongot979 6 років тому +1

      mohammed abdallah Hahahaha iyo yakukaba mama yake noma .eti usirudishe tumbo nyuma

    • @mwalukoerick2801
      @mwalukoerick2801 6 років тому

      mohammed abdallah

    • @gregorychogelo2013
      @gregorychogelo2013 6 років тому

      mohammed abdallah 😂😂😂😂

  • @isaacbusungu9670
    @isaacbusungu9670 6 років тому

    kungekuwepo makamanda kama hawa Tanzania ingekuwepo safi sana

  • @pacxym3874
    @pacxym3874 6 років тому +1

    woooyooh!!!!!!
    Dodoma safi!!

  • @desultansaid3647
    @desultansaid3647 6 років тому

    Uko vzr mkuuu big up

  • @sasherbaiby7277
    @sasherbaiby7277 6 років тому

    kazi nzur afande

  • @azizamwimbe9417
    @azizamwimbe9417 6 років тому +1

    Kamanda tunakuitaji Dar💪💪

  • @felixmuzambele9031
    @felixmuzambele9031 6 років тому

    Muroto ww Mungu akulinde.

  • @winniemwasenga
    @winniemwasenga 6 років тому

    we baba uishi miaka mingi,, natamani ungekua mkoani kwangu uwanyooshe waharifu. mungu akupe afya

  • @fabianmoses3105
    @fabianmoses3105 5 років тому

    Pouw Michael msombe presenter kumbuka mbali Sana miaka hyo kilimo primary school kizaz Sana mzee

  • @kharidilukanda895
    @kharidilukanda895 6 років тому +1

    Dodoma noma aipimiki

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 6 років тому

    Kamanda uko vizuri sana, Allah akutie nguvu kwa kila hatua unayosonga, wewe ni shujaa.

  • @henrybathoromayo142
    @henrybathoromayo142 2 роки тому

    Gudd

  • @MartinNdalo
    @MartinNdalo 4 місяці тому

    Kamanda hongera

  • @bakariathumani9011
    @bakariathumani9011 6 років тому

    Kazi nzuri

  • @asiaokeay1654
    @asiaokeay1654 6 років тому

    kamanda hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hapa kazi tu

  • @williamlema9682
    @williamlema9682 6 років тому +1

    Safi sana kamanda mroto.

  • @IbrahimuAlawi
    @IbrahimuAlawi Рік тому

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂daaah..huyu afande anajua kukunanga .

  • @MaaniBoniphas
    @MaaniBoniphas 7 місяців тому +1

    daah si waje huku chuga tuondoke na milonjo yaoo daadeki zao

  • @mdzainb3722
    @mdzainb3722 4 роки тому +1

    Dodoma kunamatukio nako khaaaaa😠😠😠 wakaozeee jela

  • @philip788
    @philip788 6 років тому

    Nimekupenda afande,!

  • @fadhilichawemba6071
    @fadhilichawemba6071 6 років тому

    kazi njema kamanda

  • @zegelibilishanga4761
    @zegelibilishanga4761 4 роки тому

    Rpc kwa kweli Mungu akulinde japo wakuu wako wanakuludisha nyuma,Mh Magu unamfaa sanaaaaaàà

  • @josephjoseph7348
    @josephjoseph7348 6 років тому

    Mkuu wa mkoa mwenyewe hanambavu😂😂😂😂😂 muroto kwakweli hua ana nifurahisha

  • @bibukaelias9900
    @bibukaelias9900 6 років тому +1

    Hawa ndio makamanda wanaotakiwa na sio Wale wanaotesa na kunyanyasa viongozi wa upinzani hongera sana kamanda muroto viongozi na makamada wengine waige mfano WA kamanda Muroto.

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 4 роки тому

      Atwambie basi majambazi waliompiga risasi lisu...hajawakamata tu .

  • @michaelgissi3008
    @michaelgissi3008 6 років тому

    nakukubali sana kamand

  • @joelsamson8752
    @joelsamson8752 6 років тому

    Safi sana kamanda unasafisha jiji

  • @lillianwanjiru3397
    @lillianwanjiru3397 6 років тому

    uko sawa baba

  • @yakwetutv8525
    @yakwetutv8525 6 років тому

    Kamanda wewe nizaidi yakamanda mungu akubarik sana

  • @limokisuda4145
    @limokisuda4145 6 років тому +9

    toa tumbooo likingia dodoma halitoki lazima utapike sawaaaa

  • @ziadaalute6836
    @ziadaalute6836 6 років тому

    good,gari iliyomuumiza Lisu?

  • @cleopatraefatha3859
    @cleopatraefatha3859 6 років тому

    Nakukubali sana we kamanda umetupa msemo wenye maana na pia unaufanyia kazi

  • @joshuasamson4174
    @joshuasamson4174 6 років тому

    Muroto RPC unatisha kamanda unafanya kazi kubwa kuliko police wote nchini rais akupe zawandi ya nishani maana wewe ndiyo kamanda pekee unayefanya kazi za uhakika mungu akubariki sana na akulinde watapata TABU SANA

  • @clarencechigoda8191
    @clarencechigoda8191 5 років тому

    safi sana kamanda

  • @geofreywadeya9972
    @geofreywadeya9972 6 років тому +1

    Safi sana kamanda Muroto

  • @gesusgegangphray7689
    @gesusgegangphray7689 6 років тому +1

    Hiyo ndio kazi.TV yangu inch 42 lg imeibiw

  • @amandusmark3060
    @amandusmark3060 6 років тому +21

    Njoo Dar Kamanda utusaidie maana uku siasa tu badala ya kazi,

  • @akbardasilva2028
    @akbardasilva2028 6 років тому

    kamand mchapakaz 👏

  • @remedymoody
    @remedymoody 6 років тому +1

    RPC Muroto. Kazi nzuri🤣😂