Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
Wezi wa mitandaoni walivyoingia kwenye 18 za Polisi Dodoma
Вставка
- Опубліковано 4 сер 2024
- Jeshi la polisi Dodoma limewakamata watu wawili wanaofanya matukio ya wizi wa fedha kwa njia ya mitandao ambapo pia wamekuwa wakitumia usafiri wa pikipiki kusafiri katika maeneo mbalimbali kwa ajili ya kuiba bidhaa za dukani na fedha.
Kwa kweli RPC Dodoma anapiga kazi, kweli anastahili hicho kiti hajakaa kwenye kiti hicho kwa bahati mbaya Mungu ambariki.
Huyu mm namkubali,Kuna mmoja Yule sijui wa mwanza au sijui Ni geita huwa anatetea ujinga wa maaskari wake simpendagi kabisa
❤kamanda wezi Awana adabu wakafungwe wakafanye kazi
Safiii kamanda kazi nzuri,unafanya kazi nzuri kama kamanda wa mkoa wa Mbeya Munguu awabariki
Safi kwa kazi zuri
haaaa watapata tabu sana mkuu upo vizuru sana.
Mzee wa #UtapataTabuSana. Gonga Like Kama unamkubali sana 😂😂😂😂
Safi sana kamanda safisha uchafu ,,tena musafishe tanzania nzima tabia zote tanzania iwe shule ya maadili
Yani nampenda uyu kamanda anatuonesha
Mambo live👌👌👌😁😁😁😁
Hongera SNA Kamanda Mruto kwa kazi nzuri
Ety unaendashaje, kwamba naendesha kawaida hahaha u can't be serious brother
😢kosa siyo lao kosa ni huduma kwa wateja kurudisha pesa kiurahisi ivyo kila siku
Hapo KAMANDA Leo kama nimekuelewa sasa..
SAFI sana
Rais masikio
Rais
Asante sana jeshi la polisi kwakuwa kamata hao matapeli
Ni mekupenda sana kamanda mtoto watapataa tabu sanaa 😀🤝
Huyo mwita ni jambazi wa miaka mungu mi simpendi alishawai kuniibia mwaka1994
Safi Kamanda watapata tabu sana
safi sana kamnda piga kazi
Yani uyu wamuongezee mshaallah yeye na kikundi chake maana ananikosha roho yangu kwa matukio anatuonesha live
safi kamanda uko vizuri
Wakubwa ovyo,hongera Sana kamanda wa dodoma
We ndo kamanda safi sana
Safi sana command
Huyu Kamanda anapiga kazi hasa!!
Ulikuwa jambazi! Mbona unasema ulikuwa jambazi 😂😂😂🤣🤣🤣 utafia jela mzee
Mm nataka wauwawe wameshanitapeli sn
Safi sana
Huwa wanatusumbua sana hana na msg zao "ile ela 2ma kwa no. Hii"
Kamanda mloto. Aky mtaniwetu kumkamata. Mshamba.mwenziee. Wata. Patatabu
Sim inaita toka hapa.Pikipiki unaendeshajeee?Mruto bg up sana
HAYA UNAENDESHAJE???
Sasa hili ni swali la kuuliza kweli??? 😂😂😂😂😂
Killer Bona hahahaha
Hehwhee eti Hawala zao 😂
Daaaah dodoma yangu inakuwa safii sanaaa
man jaruu jr ok
Safi sana kamanda waazibiwe kisheria hao watapeli
Conglatulation mkubwa
Giles Muroto..! Kamanda shida sana.. 😁
Mungu akupe maisha marefu kamanda
Unatugea raha ivyo ndivyo inavyotakiwa wezi wakikamatwa waoneshwe
camanda safi sana
uyu mzee ukiiba Dodoma bx jiandae kuonekana Kwa you tube
Kwanini unafanya ivo una iba kwanini una endeshaje pikipiki 😂😂😂
H
Kama kawaida 😂😂😂
Jamani wapigeni risasi hao wasumbufu sana
Unafanya kaz sana mkuu. Asante sana
safi sana
Mzee nakukubali sana
Mzee unakwenda wapi mzee?? Huyu mzee vitu vyote viwili anapiga!!! Mzee utafia hela mzee acha ujambazi... Wee mzee unafanya kazi gani!! Umestaafu ujambazi!! Hahaaaaa!! Hapa kazi tu, safi sana jeshi LA POLISI
Hiyo ni kali mzee atafia jela......
Mzee mbona unamvyonya Asikari wako na kumfukuza kwa kuita simu kwa Bahati mbaya aloona ilo agonge like hapa
Iyoooo mbona kama cyo
Njooni patrol pia maeneo ya nkuhungu west, vibaka wanatupora simu zetu!
Mwaka huu watapata taabu sana
Kamanda safi sana
Kamata ao kamanda wananisumbua sana kwenye sm
Ao washenzi nawatamani sana nikiwapata watajuta
Usiombee kunaswa na rada za kamanda muroto!
Huyo mpotezeni hukohuko
Utapata tabu sana, big up kamanda wa Dodoma hapa kazi tu.
Good job go ahead commando.
Keep it up.
Thinks
Hahahaahahahhahah kamanda njoo Dar tunaibiwa sana
Vzr sanaa
Uishi sana
Watapata tabu sn kwa Dodoma saiv,,,Namkubali sn huyu kamanda hafichi kitu yeye anakueka live ili tuwajuwe wabaya wetu mana saiv mambo magum,,
Watapata tabu sanaaa😂😂
Huyo mzee na penda shows Zake duuu
haki nimefurai sana
Mungu wangu mbavu zangu we mzee huna watoto kweli unataka kufua jela
wez watapata tabu sana
Kifungo cha maisha2 aooo
Hiyo ni kweli kuna jirani yangu kaibiwa elfu80.. kwenye simu yake alikuwa na sh.130000 ...alitumiwa elfu 90 mpesa na mtu asiemjua na salio lake likaongezeka likawa jumla zikawa 220000.akapigiwa simu na huyo aliemtumia kuwa amekosea kutuma pesa anaomba amrudishie kwakuwa ni ada ya mtoto.basi huyu jirani akamrudishia kweli elfu 90 yake..kumbe huyo jambazi akapiga tena simu voda kuwa kakosea kutuma pesa kwa mtu anaomba arudishiwe..so.voda wakamrudishia pesa yake na huyu jirani akawa kamrudishia pesa yake.akaliwa elfu 90..aliliaaaa
saitoti saitoti
Watapataaaaa taaaabuuu sanaaa
Dah mpaka jamaa anakubali kuwa pesa anayopata anahonga wanawake ujue kilichompta sio cha kitoto
Acha ndugu yanguuu kashabinywa pumbu hapo na virungu vya ugoko
Mzee rudii musomaa 😀😀
Aisee ni shida
Jino kwa Jino
Huyo FFU yuko bize na cm dadek.. Atapa taabu sana nae anadharu mkutano wa boss wake
Hawo jamaa nihatari sana
Duh hao jamaa sio poa
Safii sanaa kamanda wafungwee hao
Safi Sana kamanda was dodoma kwa kazi nzuri ya kukomesha wa halifu
Hao makuma nipeni mmoja nifire washa nikosa kosa mara nyingi sana mamaeeee
Naona wezi wamtandao wame amua kudislike
sm imeita Hahah toka hapa
Geoffrey Kayora 😂😂😂😂😂😂😂😂nimeskia
Hiyo sijui ni simu yake mwenyewe au ya huyo mpambe wake 😂
Geoffrey Kayora toka apa!!!teh teh
watapata taaaaabu sana! na wapigwe tu maana hakuna namna nyingine tumechoka sasa!
Alex Ml
safi kamanda mrot
tanzania pabaya sana
fungen hao wez nammi walitaka kunitapeli asante sana. jesh la polisi
Geofrey Anderson sawa kamanda
WATA PATA TABU SANA.NASEMA WATA PATA TABU KWELI NA KIPINGO CHAKE NI CHA UMBWA KOKO..Kamanda etiii Unaendesha je piki piki 😃😃😃😃😃😃
Wasenge sana hao watasababisha ata hudumu ya kutorudishwa pesa hata kama mtu kakosea kweli kutuma pesa, hao wanastahiri kunyongwa kuma mae zao washenzi hao,
toka hapa 😰😰😰
Funga kabisa miaka 30
Mmmh nini kifanyike sasa kama na mpesa washakuwa na unjanja na wengine kwel hukosea
sukuma ndani hawo Afande
Wanatafuta maish mpovizur makamand wet
Watapata tabu sana dodoma
jamn wanaaribu mkoa wa iringa na njombe tyunapata sifa mbaya sana jmn
Duh
Huyo wa njombe hatari.
kundi la cngeli duh😣mzee anabisha wakati2 mwanzo alikubali kua yy ni jjambarika mctaafu 😂😂😂😂sasa utafia jelaa
ua kabisa vibaka ao mi wameniliza elfu sabini mtandaoni mbwa wakubwa ao
ukitaka kukaa mjini fanya kazi bana. kkkkkkk
mtapata tabu sana😀😀😀😀
Watapata tabu sana
Safi sana kamanda mruto.
Unaendeshaje pikipiki😁😁😁
Wilson Wizz
Mbona wanaongea kirahisi sana?? Au mnawafanyiaga counseling ya kipolisi kabla!!😁😁😁😁😁😁
Vipi walio mshambulia tundu lisu?
Kwenye dakika ya 4:59 nimesikia kamanda akisema "toka hapa", alikuwa anamuambia nani?
Laurent Wambura kaambia bordygurd simu yake imeita
Jamani nikajua mesikia mwenyewe
KWAL M C W4ZI KULAHUMU MASHA MAGUMU