RPC Muroto kaja na hii nyingine, Madereva Dodoma wapata tabu sana
Вставка
- Опубліковано 4 лип 2018
- Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma likiongozwa na RPC Gilles Muroto limeanza operation ya kukagua na kukamata madereva wanaokiuka sheria za usalama barabarani pamoja na wenye magari mabovu ambapo hadi sasa zaidi ya magari 30 yakiwa yamekamatwa huku wahusika wakitarajiwa kufikishwa Mahakamani muda wowote ili waweze kushugulikiwa kwa mujibu wa sheria.
- Розваги
Safi sana mkuu wote wangekuwa km ww ni raha sana shukurani mkuu mungu akupe maisha marefu
excellent RPC Gilles muroto hivi ndivo inavo takiwa inchi yetu iwe bora, lakini watanzania sio dodoma ,watanzania ni mikoayote ya tanzania hivyo kila mkoa ,na RPC wote waige mfano wa gilles muroto hapo ndipo inchi yetu itasonga mbele na itabadilika ,ajali zitapungua ,watanzania tutasafiri salama salimini,eeeee MUNGU ibariki tanzania
Nice..lazima wapate tabu sana
😂😂😂😂 Piga like kama unamkubari G Muroto
Aloyce Steven ajali
hahaha
Asante
Vaaa vizuri brother, kamanda mungu akupe nguvu
safi sanaaaah Kamanda... coz uzembe Mdgo kama Huuu unaleta madhara makubwa...kisha tunaanza kulaumu serikali..@
😃😃😃😃😃😃😃😃😃😂😂😂😂😂😂😂😂😃😅😅😅😅😅😅😅😅😅 Etii ilo janga likuendee wewe na ndugu zako 😃😃😃😃😃 Be blessed Kamanda kwa kazi yako
Trey Ibrahim hahahahaaaa nimecheka
Trey Ibrahim afu nqona kama kapendezaaa vile
marry chacha hata mm hahahahahahahah 😃😃😃😃
😃😃😃😃😃😃😃 Asha uyu mzee nouma aiseee
Ila muroto bana unatuma maombi ya kwenda gerezan😂😂😂😂😊😂😂
Very good kamanda
kazi nzuri sana afande
i love this officer how he handles stuff bring him to Nairobi...
safi kamanda mngu akulinde
Nakukubali sana mheshimiwa mroto, uliinyoosha nyakato national mwanza ,endelea kupiga kazi usiogope
Jamani ajari zimezidi cn kwa kweli afande piga kazi, mungu akusimamie.
Mumeo angekuwa drive hayo usingesema maana ingekula kwako
Mm namkubali Sana kamanda
Kamandaa wangu hapo nimekuelewaa.....kwaaambaaaa.......'"UNAPELEKA MAOMBI KUINGIA GEREZANI'"..... . ......kiukweli watapataa tabu sanaaa.....nimesemaa ..watapata tabu sanaaa
Ivi KAZI ya huyo RPC nikukamata magari. Kwann asigawe kaz Kwa waliochini yake??
Piga kz baba mungu akupe afya na akurinde daima ayataisha ila yatapungua
murotoo nomaaa
naipenda sana kazi zako piga kazi baba
Namkubali sanaa kamanda
Mh vip kuhusu magar ya serikali kuvunja sharia?
😂😂😂😂 jamani ningekua dodoma ningehama mimi watapata tabu sanaa
Ukifanya makosa barabarani unapeleka maombi kwenda gerezani 😂😂😂😂😂 jamani kazi ipo kwakweli
Mambo ni motooo....
kama hali ndio hii watapata tabu sanaa
baby
cyno Baby co poah
cyno Baby umeolewa
cyno Baby mambo
Noma Sana uyu Mzee
Nchi nzima kungekuwa na maaskari kama huyu tungekuwa mbali sana,chapa kazi kamanda,achana na wapuuzi wanaosema kwamba unatafuta kiki,tushawazoea mazoba kama hao hawakosekani😂😂😂😂😂😂
Goood muroto
Yote hayo kuficha mambo wanayo fanya.badala watupe majibu ya watu wasio julikana badala watupe muafaka kwann wanapiga raia mpaka wanawaua.badala watupe ripoti ya lisu kupigwa risasi.mpaka leo kimya.
Haaaahaaaaa..Eti sasa unakwenda Mahakamani Brother..
Unakwenda mahakamani brother😯😀😀😀
Piga kaz #kamanda saryuti kwako
Simamia paka wanao jamba ovyo siwapendi mimi jitu linajamba 24hrs bila ata kuonea huruma wezio walio mzunguka 😂😂😂
Hahahaahha uyu kamanda nampenda
mchungaj nnkon
Piga kazi kamanda G.Muroto "Mchuma janga hura na ndugu zake" hapa nimekuelewaa kamandaa.
Kati ya ajali mbaya sana nizile zinazo husishwa na magari ya michanga.
Ndomaana juzi kawa mnyonge kwa mkuu wake utafikiri siyo yy
Nafurahi sana nikimuona tu afande muroto
Siyo kila kosa faini na kesi ukisoma sheria hipo sehemu.inaelekeza kumuelekeza dereva kosa lake kwa mara ya kwanza na mara ya pili ya tatu unamchukulia hatua
Kwann brother unaendesha bus bovu😀😀😀
dah huu mtihani maana wasio soma na tulitegema ajira ugera sasa imekuwa kazingumu sana kwa sasa
Huyu kwanini asichukue uku wa jeshi la police tz IGP...... anapiga sana kazi.
Iendelee tu ni safi sana
Gilles Muroto jembeeeeee
nadhani ingefaa kupewa elimu kabla ya kupelekwa mahakamani.. ukimfunga sio kumsaidia.. unafanya kazi njema ila hekima itafutwe badala ya kwenda kumtia mtu jela aache kuzalisha na kuendesha familia.. please sheria ni mawazo yetu na utu ni wetu ambao ndio wa thamani zaidi..
wazo jema
Bro unadhani hawajui,ndio maana inaitwa kuvunja sheria ya barabara means wanajua fika.watu kazini
Kama hutak kufanya kaz utapata taabu sana kaz kaz tu kamanda tanzania ya mafanikio ileee naiona inakujaaaa
Hadi rais ongee ndio mnafanya kazi zakuonea na sio zakuepusha ajari..inakela hadi Magufuli alalamike ndio nanyi mnaonea watu...Barabara mbovu na finyo.na kibaya gari hazna service rekod...anzieni garage na used spare parts. Na barabara then mtoe mafunzo sahihi...mfano mnapopishana dereva wapunguze speed.na upepo kwenye matairi ni muhimu sana..tyrod end.lake end.ball joint. Driving shaft.. Toshen bar.hivi muhimu sana
Braza utaenda mahakaman sawa
navitabu vinasema ukimzallisha mtu hufi naww hadi uzalilike
Wanyooshe babu nakuona kwa mbali unawapa funzo tamu
AO waendeshaji wamagari makubwa wangetengenezewa jia zao mapolini uko Cz wanaua tu watu kwa ushamba wao wa matumizi mabaya ya barabara siyapendi kuyaona
Kamand njoo na huku mwanza kuna gari zinatembea upande huku
Hahhaaaa
Kama za igombe
Hahahaha hahahaha haha dah kwamba linatembela upande
Mzee anavowadisplini kwa kuwatoa mikono mfukoni vijiti mdomoni anafurahisha..
Haya makosa Ni kupiga faini ili wakatengeneze magari kwenda mahakamani Ni kupotezea muda mahakama na kila mtu
Mimi nomeona magari yamagereza mabovu lakini yanatembea haya kuna yanayo beba taka hayana hata taa waniruhusu nikae hapa barabarani niwakamatie mawili tu yakwao wanatuonea tu magari yanabeba mawe lazima libondeke bwana
watapata tabu sanaaaaaa ila uangalie na trafik wanachukua rushwa wao ndio wanayaona hayo yote lakin hawafanyi kitu ....ajali kila siku
Kamua mzee kamanda
Bongo Kazi na Kamera bhana....tutauzaje Sura sasa ....Kazi haziuziki....
uyu father namuerewaga sanaaaaa yani huyu na Media wana undugu
AFANDE moroto huka haki ya kumuagiza mtu kupelekwa mahakamni wewe kazi yako ni ulinzi na usalama acha kudhalilisha watu
Kufa kibudu dag😂😂😂🙌🙌🙌😂😂
Huyumwenye asili ya kiarabu alipoambiwa kapakia watu 21 alistuka na kumuangalia kamanda in kama MTU aliyesingiziwa kosa.
Sheria ipi jaman inasema huna kiakisi mwanga unapelekwa mahakamani naombeni elimu juu ya hilo kwa mwenye kujua
mkuu Wewe ulifaa uje usimamie mkoa WA daresalaam. yaani barabarani town city center bus zinajaza abiria mpaka inakuwa hatari Kwa afya sio tu Kama itatokea ajali. hasa hayo MA bus 🚌 ya mwendo kasi wao wanapakia tu na speed Kali Sana.
Jamani mtu akikaa tu ofisini mtasema akipiga kazi anatafuta kiki eeh mwalimwengu mnamazito sana
Rockyst Naftali fanya kile unachokiona ni sahihi usifate maneno ya watu....
Si ndo hapo
Anatafuta kiki hata hivyo
Binadamu hawana wema ndugu yangu!!!
@@omarymbuguni4164 hata wewe unatafuta kiki!!!
Nilini mtaanza kuwabana wamiliki wa maabasi na maloli wawalipe madereva wao mishahara mizuri ili sisi abilia tunaotegemea usafiri huu uwe wa uhakika na kuondoa hofu za kimazingira
mikoa yote wangekuwa kama huyu safi.. sana... hawa ndio makamanda wanao endana na kasi ya prsidaaa... viva
Pigeni kazi ndugu, kila cku ajali jaman
Mtasema sana kama anasifa ila ndo anachapa kazi angekua anakaa ofisini tu mngesema mzembe hapa Tanzania tunaonekana wapumbavu sababu y majing michche
kama umechuma janga utakula na Ndugu zako Aiseee kaz kaz
Kweli mi ni dereva.kuvunja sheria nikituma maombi kwenda gerezani
Imma Mlowe.............. yeah hiyooo ndo kauli mbiu...kuvunja sheria nikutuma maombi ya kwenda gerezan
Hio yakuzidisha Abiria ndio wanapenda Sana hao MA Askari wabarabarani wakiingia ndani kukagua wanaona kabisa watu wamezidi lakini hawachukui hates yoyote
Bradha utakwenda mahakamani sawa
Ndiyo maana lGP siro akakupakazia kwa kupenda sifa hikukamata na wandishi wa habari imekujalini na ww unajisikiaje hasa
Noma sana
watu wa dodoma mmeppatwa
sawa
Watapata Tabu sana
Ghafla nmejikuta napenda kumfuatilia kamanda Moroto!
napenda sana kamanda
Geleza litajaa madeleva kwani kama mtu hajaweka kiaski mwanga kwanini usimuonye mpaka umpeleke gelezani
Majid katisha,co wamchezo mchezo
Kaingia kwenye radar za G.muroto
mtengeneze na barabara co mnakagua magari tu ajali nyingi zinachangiwa na barabara zetu mashimo kibao
Kamanda usiangalie upande mmoja tu, huko kwako kwa askari wako pia kumeoza, tafuta mbinu ya kudeal nao pia. Wanakula sana rushwa huku barabarani. Notification wanapewa madereva waadilifu ila wengi wanatoa tu KK.
mzee posho za barabarani nazo vipi? kwa trafiki? Anakufa kibudu.
SAFIIIIII SANAAAAAA
Huyu kamanda anastaili pongezi
Murota hanaga noma yy kazi yake kutoa ushauli na kuonya kisha anasamehe😂😂😂😂
Mie napenda kuwashauri serikali na uongozi mzima wa ki trafiki nipo nje ya nchii na system yao hapa naona nitofaut na kwetuu huko mnatakiwa muwe na center kubwa gari linapo fanyiwa renewal ya motor vehicle na insurence huwa yanakaguliwa kabla ya hvo vitu police anapotisha kuwa hizo gari ziwe renewed vitu vingine ndugu mapolisi muwe mna fanya ubunifu wa kazi zenu ushauri nilio wapa ufanyieni kazi tengenezeni center za renewal motor insurence gari zinakaguliwa na mapolisi kabla ya kuwa renewed
Mchuma janga hula na nduguze! Nimecheka mpaka basi
Uyu Kamanda anazingua bhana
Kamanda piga kazi bana
kazi unayoo
Simon Mkondya kiki wanatafuta
Ivi tudu lisu anaedeleaje
Au bado anapata tabu sana 🤗
Mbona mnanangania mambo za mahakamani tuu, hamuulizi mkataba wa dereva na tajirii au madereva hawana haki
Upo sawa 100% ikiwa utatumia madaraka yako kufwata sheria nayo mkosa ni kufikishwa mahakaman..
Kuhusu tairi hata yy ukiangalia hata kiatu chake kimeisha
Ilo janga likuendee ww na ndugu zako😂😂😂😂😂
Last Seen hahahahaaaa
Uwe mfano wa kuigwa uyu afande anachapa kazi sarut yako mzee fundisho kwa kila mtu ila anapenda kuongea kwa kuwapapasa watumiwa napenda
Anataka kuchukuwa nafasi yas Siro sasa na tutapata tabu sana, Hawa waandishi wameandaliwa
Pamoja na ubovu wa magari yenyewe,lakin maskari wa brbrn hupenda kukaa sehemu ambazo siyo korofi,sehem zenye miteremko au kona hakuna anae kaa
huyu kamanda mm nampenda sana