IGP SIRRO AMSIMAMISHA KAMANDA MUROTO WA DODOMA “NATENGUA HAPAHAPA”

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 203

  • @kenethjaphet8130
    @kenethjaphet8130 5 років тому +91

    kama na ww huon sababu ya mroto kutenguliwa kwenye ukamanda wake like yako ni mhimu

  • @eliazarinyakiema1969
    @eliazarinyakiema1969 5 років тому +52

    Adhabu za kijeshi, sisi sio lazima tujue. Wamalizane huko huko.

  • @e.j.starelia5672
    @e.j.starelia5672 5 років тому +17

    Umekosea sana kumsimamisha muroto!!!! Tena umekosea mnoo!!!!! Kamanda muroto nakubali kazi zake za kukomesha uhalifu,,,bora utoke wew lkn siyo kamanda Wa Dodoma plz

    • @samweljohn7960
      @samweljohn7960 5 років тому

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 bora atoke yy

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 3 роки тому

      Wanajuana hao we nyamaza

    • @MpiganajiFundi
      @MpiganajiFundi 4 місяці тому

      Ww unamuona t ila humjui

  • @musasimba3689
    @musasimba3689 5 років тому +8

    Muroto usimtengue IGP muache Kama unamkubali muroto gonga like hapa

  • @isayakazimoto3192
    @isayakazimoto3192 9 днів тому

    Yani watu kama Hawa ndio wanahitajika TZ maana Wana maamuzi ya hapo Kwa hapo safi sana Afande bg up 💯

  • @aloycekiwia8613
    @aloycekiwia8613 5 років тому +12

    Muroto mnamfukuza kweli.!!?? Mbona Ni kipenzi cha wengi jamani.! Wow..

    • @bockernyarusahi3655
      @bockernyarusahi3655 5 років тому +1

      Aloyce Kiwia utawaweza hawa Waandishi wetu,kisemawacho na uhalisia ni tofaut(kichwa cha habar na yaliyomo ni tofauti)

    • @aloycekiwia8613
      @aloycekiwia8613 5 років тому

      @@bockernyarusahi3655 Kweli Aisee ilinishtua nilipoona kichwa cha habari.

    • @aminahamisi2837
      @aminahamisi2837 3 роки тому

      Mruto yuko sasa mbona wanamfukuza

  • @mercykimuto9882
    @mercykimuto9882 5 років тому +2

    I love you kamanda Sirro unafanya kazi watendaji wasikuangushe piga kazi tunakuombea

  • @paulebby1552
    @paulebby1552 5 років тому +10

    Mambo ya kijeshi uswahilini??!! Nchi imepoteana Polisi wacheni kiki mnadhalilisha jeshi

    • @stanslausmteme8455
      @stanslausmteme8455 7 місяців тому

      Anakosea sana hili jeshi sio vema kudhalilishana

  • @edrickmbilig1021
    @edrickmbilig1021 5 років тому +33

    Mbona kamanda Muroto anapiga kazi saf Nini shida kwake jaman akuna kama kamanda wa dodoma

    • @mehdyahmed8479
      @mehdyahmed8479 5 років тому

      Oya ndugu muroto Hana issue kabisa yeye ni mtu wakujipendekeza kazini anajifanya anachapa kazi ili 2mradi jina lake linuke

    • @mwambietv7614
      @mwambietv7614 5 років тому

      Edrick Mbilig mbwembwe tu hakuna kazi

    • @emanuelmwanga4
      @emanuelmwanga4 4 роки тому

      Huwezi jua pengine kavunja sheria

  • @jimsonjimmy9232
    @jimsonjimmy9232 5 років тому +13

    Tuachie mroto wetu huyu kamanda ddm ameisafisha kabisa mfano wizi wabodaboda saivi umepungua siro chonde

  • @omarymohammed2880
    @omarymohammed2880 5 років тому

    muroto no muadilifu na mpiga kazi sana katika sekta la jeshi la polisi dodoma very exelent n hard working

  • @EK-kp2np
    @EK-kp2np 5 років тому +11

    Hao walionyanyuliwa wote wachapa kazi, sijui changa la macho hili🤷🏼‍♂️🤔

  • @kebo2155
    @kebo2155 5 років тому +21

    Aaaa mbona wa dodoma anafanya kazi yake kizalendo???!!!

    • @walivyojuma7095
      @walivyojuma7095 5 років тому

      Mengi yapo ndani yamtungi

    • @isaacemily1889
      @isaacemily1889 5 років тому

      Siro mjanja hao ni wanafiki nawajua wanajipendekezaga wapate vyeo

    • @clementmathias9512
      @clementmathias9512 5 років тому +2

      Kudhalilisha watu ndo uzalendo? Utaendaje kumtangaza mtu mwizi na mahakama haijadhibitisha

  • @emmanuelndahan1421
    @emmanuelndahan1421 5 років тому +7

    Yy mbna kawaonesha wenzake, angewapa ordér kiaskari zaidi

  • @fortyyellu9971
    @fortyyellu9971 5 років тому +6

    Asante IGP siro... hapa mkwaju popote hakuna kuhofia

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 5 років тому +2

    Nadhani hii Ni sababu tu.... Makamanda wanapiga kazi nzuri Sana.... JPM anamjua Muroto na huwa anatazama clips zake za kazi inayofanyika dodoma, Sasa Sirro nawewe jipange mzee atakuhoji hili....

  • @uledimtumwa2406
    @uledimtumwa2406 5 років тому +14

    Yeye mbona anawaonesha sasa!!!??? Tusifichane wahalifu lazima tuwajue.

  • @hambalgullam8178
    @hambalgullam8178 5 років тому +1

    I like it

  • @younginspired3899
    @younginspired3899 5 років тому +2

    Muroto kazidisha show off, kutokana na ethics police officers hawaruhusiwi kumchukua mtuhumiwa na kumpeleka kwenye cameras what for!!

  • @nipolive..2745
    @nipolive..2745 5 років тому +4

    Siro uko vizuli sana hao utaza wagombea. Wanazalilisha jeshi

  • @Rashidmhedhery
    @Rashidmhedhery 5 років тому +4

    Nchi imekufa,!!!!! Haya mambo yanatakiwa yawe public!? Kudhalilishana huku, ovyooooooooooo!

    • @alexkabeho5609
      @alexkabeho5609 5 років тому

      Police ni public servants not defence so sijui una maana gani hapo, unafikili unawzidi kua professional?

    • @Rashidmhedhery
      @Rashidmhedhery 5 років тому

      alex kabeho : does this needs to be public? Use your common sense 😓

  • @SholeBigsaund
    @SholeBigsaund 12 днів тому

    Huyu mroto ndie alıe nibambikia kes adı mdogo wangu kupotea mpaka Leo huyo sio mwanadam

  • @subiramohd885
    @subiramohd885 5 років тому +8

    mimi Huyo wa Dodoma na mambo sasa siwapendi

    • @aminahamisi2837
      @aminahamisi2837 3 роки тому

      Mruo yuko Sawa kwenye kazi ila mambo sasa ni balaa tupu

  • @awadhirajabu7754
    @awadhirajabu7754 5 років тому +9

    Kamanda Wewe Utaki Makamanda Kuonesha Watuumiwa Live Mbona Wewe Uko Live Apo Vipi Muroto Anafanya Kazi Nzuli Sana

    • @simontamba1285
      @simontamba1285 5 років тому

      Awadhi Rajabu kwani yy yupo Na watuhumiwa?

    • @awadhirajabu7754
      @awadhirajabu7754 5 років тому

      simon tamba ..Atupaswi Kujua Mambo Yao Ya Ndani Unajua Polic Wanapozidi Kujionesha Kila Muda Ndivo Waarifu Nao Wanapata Mwanya Zaidi Wa Kujifunza Vitu Ambavo Adimu Waarifu Niwengi Sana Isipokua Wanaogopa Awamu Hii Ni Moto Sasa Nao Polic Wasiwe Na Muda Mwingi Wa Kujianika Ovo Mitandaoni Muroto Kutuonesha Live Watuumiwa Ni Jambo Jema Kwasababu Ni Sehemu Ya Azabu Pia Napia Inatusaidia Kujua Tabia Ya Mtu Mana Unaweza Kumkalibisha Mtu Ndani Asubui Unajikuta Na Kilio Mwizi Atabiliki Polic Apaswi Kujianika Ovo Ovo Kwasababu Watu Wanaowatazama Wako Majambazi Vibaka Na Magaidi Sasa Hata Siku Akienda Sehemu Kuperereza Jambo Hata Akivaa Kilaiya Sura Yake Itajulikana Sasa Kijiji C Kitajua Kama Yuko Asikari Majambazi Wanaambiana Fasta Hii Njia Ya Kujionesha Sio Nzuli Hii Mitandao Inatumaliza Sana

  • @ngometvarusha4030
    @ngometvarusha4030 5 років тому +7

    Labda walibainika wakimtete igp kuwa hatoshei nafasi hiyo alafu wakawa wanakaidi amri zake

  • @raphaelrespichius8508
    @raphaelrespichius8508 5 років тому +4

    Chombo cha kuthibitisha uharifu ni mahakama tu,police wanakuwa na watuhumiwa wa uharifu

  • @allyduwa9914
    @allyduwa9914 5 років тому

    Good job afande siro

  • @Ndu-wa.uroony2
    @Ndu-wa.uroony2 5 років тому +6

    Mzee WA kipigo cha mbwa koko leo utapata tabu sana! hiiiii mi huwa nacheka tu

  • @paull8659
    @paull8659 5 років тому +2

    Nimeliona lile Gorila la Dodoma( ..nitawapiga waandamaji mpaka wachakae, kama mbwa koko)..🤨😟

  • @e.j.starelia5672
    @e.j.starelia5672 5 років тому

    Kamanda siro na wew kuwa makini na kazi zako pia siyo vizuri kuwaaibisha wenzako ni bora ungeongea nao private bila kuchukua mikanda ya video

  • @shafiiomar6505
    @shafiiomar6505 5 років тому +1

    Kamanda murito usimsimamishe kazi ukimsimamisha kazi na wewe nitamwambia raisi magufuli akusimamishe kazi au tunakuroga sawa,🇲🇾

  • @amosgerald7763
    @amosgerald7763 3 роки тому

    Aisee

  • @mtitimtiti376
    @mtitimtiti376 5 років тому

    Afande siro mpiga kazi sanaaaa

  • @gasperkunambi9538
    @gasperkunambi9538 5 років тому +4

    Vizuri ila msifokeane hadharani,mbarikiwe

  • @ceciliajimmy5652
    @ceciliajimmy5652 5 років тому +2

    Tusichanganye uhalifu au utuhumiwa na uwajibikaji. Hapo Kamanda yupo sahihi kabisa maana hataki kumwonea mtu ndio maana anawahoji mmoja baada ya mwingine. Big-up IGP.

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 5 років тому +2

    Leo silali kabla sijafikisha 500 subscribers💕💓. So fans fanyeni yenu.🙏

  • @emmanuelmogela5871
    @emmanuelmogela5871 3 роки тому

    Hii sio powa siro,mnaabisha jeshi fanyeni mambo kimya kimya

  • @josephatalphonce4474
    @josephatalphonce4474 5 років тому +1

    Kwa murot umefeli utengunz coz ni mtu strong

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 3 роки тому

      Mwiz balaa unqdhqni sababu ni hyo unayoiona hapo😪✍️🤣

  • @ameenaameena1224
    @ameenaameena1224 3 роки тому +1

    Hee nanyie kumbe

  • @godfreydaniel6167
    @godfreydaniel6167 4 роки тому

    Bring back our Muroto

  • @sembojwamaterial8409
    @sembojwamaterial8409 5 років тому

    😢😢afande muroto..poleee

  • @rehemakasebele6254
    @rehemakasebele6254 5 років тому +1

    Mmevuka mpaka sasa hayakutakiwa tuyajue haya jamn

  • @godfreydaniel6167
    @godfreydaniel6167 4 роки тому

    Mteue tena sisi tunamkubali Muroto wetu...anapiga kazi sana kwanini umtoe kamanda

  • @magingapaulo6673
    @magingapaulo6673 5 років тому +1

    Safi siro

  • @allyduwa9914
    @allyduwa9914 5 років тому +3

    Kumbe kila mtu ana m,babe wake unashau mpka tarehe hii kali wacha nicheke

  • @hanafiwakileo2865
    @hanafiwakileo2865 5 років тому +3

    Sija wahi kuona tangu tupate uhulu kweli magu hachekina mtu

  • @carlosndyetabula656
    @carlosndyetabula656 5 років тому +1

    Waandishi wa habari mnaharibu hii taaluma huu upotoshaji tafuta hela kwa uhalali kichwa cha habari hakihusu hiyo habari,naelewa taaluma ya habari inaniuma kuona umeandika kichwa kinyume na habari kwa masilahi binafsi,tabia mbaya hii,watakaoponda kwasababu hawajui au kutokufikiri vzr

    • @MatukioDaily
      @MatukioDaily 5 років тому

      Huelewi Taaluma ya Habari Wewe: Hicho Kichwa cha Habari Kiko Sawa Kabisa... Ukijifunza Vizuri "Writing the Best Headline for Hard News" Utagundua ni namna gani kichwa hiki cha habari kiko sawa.... na Pia Katika "Qualities of News Headlines" kuna mambo ya msingi ya kuzingatiwa kama vile Prominence, Conflict etc
      1. Ni kweli IGP Kamsimamisha Kamanda Mroto ili Ajieleze (Hapo Mwandishi Kaandika Heading inayoshika Attention ya Msomaji na Mtizamaji ili Afuatilie Ajue imekuwaje)
      2. Ni Kweli IGP Kasema "Natengua Hapahapa"... Hapo pia Mwandishi kama makini kugundua ni maneno yapi yataifanya habari yake kuwa ma vionjo vya tofauti.
      Mengine Mengi Siwezi Kuyaeleza Hapa Lakini Nampa Kongole Mwandishi wa Headline...
      NOTE: Ungekuwa ni Mwanahabari unayeijua vizuri taaluma hii Hakika ungenielewa bila kubisha lakini kama siyo mwanahabari ni ngumu sana kunielewa.

    • @carlosndyetabula656
      @carlosndyetabula656 5 років тому

      @@MatukioDaily naelewa na mimi ni mtaaluma,kuna aina za leads nyingi hiyo aliyoandika ni provocative,quotation kwa wakati mmoja,instead angeandika IGP SIRRO AKAA NA RPCs au namna nyingine maana sio muroto pekee

    • @francisnkinga6550
      @francisnkinga6550 5 років тому +1

      Carlos Ndyetabula 👍

  • @rashidijumaaorwaka6699
    @rashidijumaaorwaka6699 5 років тому

    Jamani kuna tofauti kati ya watuhumiwa na waarifu. Waarifu huthibitishwa na mahakama na sio mtu mwingine. Muroto anaowaonyesha huwa ni watuhumiwa na sio waarifu sasa nashangaa mnaomtukana sirro

  • @mgongolwajoseph6901
    @mgongolwajoseph6901 5 років тому +5

    Leo muroto umekiwa mpole kila mbabe na mnyinge utapata tabu sana

  • @aminirapa2470
    @aminirapa2470 5 років тому +1

    Kiukweli hii aijakaa vizur naona kama umemzalilisha muroto na kumfanya ashindw kufanya kazi yake kwa Uhuru ni heli mngeyaongea kimyakimya mkuu

    • @upendohalisi80
      @upendohalisi80 5 років тому

      Kabisa Amini da!! Hi siyo ya kuleta huku

  • @othmanmussa8492
    @othmanmussa8492 5 років тому +1

    Mimi binafsi namkubali sanaaaa,,,kamanda Muroto.

  • @mariamukajiru1898
    @mariamukajiru1898 5 років тому +8

    TUNAPOTAKA KUTATUA MATATIZO KUPITIA MITANDAO UKIZINGATIA NI JESHI LA POLICE HATUONI KUWA TUNA- EXPOSE UDHAIFU WETU KWA NCHI NYINGINE , KWAKUWA UMESEMA KUNA MAJUNGU NA FITNA...TAFSIRI MPO DISUNITY...

    • @alexkabeho5609
      @alexkabeho5609 5 років тому

      Polisi ni under waziri wazili ya mambo ya ndani (home affairs ) Not defence minster so no exposure yoyote pale. Ni watumishi ya uma hawalinde mpaka ya inchi. Hope umeelewa

  • @minaside6717
    @minaside6717 5 років тому +4

    Magufuli oyee 😁😁 Mpaka askari anasahau tarehe

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 5 років тому +13

    Mzeee wa mtapata tabu sana kauli imemuandama yy mwenyew leo hhhhh

  • @maxmaizer4631
    @maxmaizer4631 5 років тому +2

    Daaaaaa mzee waukiingia Dodoma kufanya ualifu utoki salama Leo ymekuwa aya

    • @rajabmhando3819
      @rajabmhando3819 5 років тому +1

      Hahahaaaaa yamemkuta leo

    • @maxmaizer4631
      @maxmaizer4631 5 років тому +1

      @@rajabmhando3819 daaaa km zali mzee kapoa leo

    • @luperbukuku2659
      @luperbukuku2659 5 років тому

      Anachokesea mroto ni kudhalilisha watuhumiwa na watuhumiwa hawajathibitishwa kuwa wana makosa ....je wakishinda kesi mahakamani na umewadhalilisha nan atawasafisha

  • @josephkessy5486
    @josephkessy5486 5 років тому +2

    Hiki kikao ingefaa tusikione.

  • @charugamba218
    @charugamba218 3 роки тому

    Kamanda Siro wasisitize hao makamanda wakaze kamba ujambazi umerudi kwa kasi sasa baada ya kifo cha hayati Mh: Dr JPM sijui shida nini?

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 5 років тому

    Asante kamanda mkuu,hata sisi raia tunahitji kujuwa

  • @masudinangololo3672
    @masudinangololo3672 4 роки тому

    Namkubali Sana kamanda muroto

  • @abrahmapenzionlinetv
    @abrahmapenzionlinetv 5 років тому

    Acheni uhanithi huo wa vichwa vya habari vya ajabu #wasafisimulizi

  • @pichabapa2201
    @pichabapa2201 5 років тому

    Kwani hiki kikao si cha ndani??? Mbona tena UA-cam?????

  • @sylvestermsafiri4372
    @sylvestermsafiri4372 5 років тому

    Du! Ndiyo kwanza naona ukali wa IGP Siro kwa makamanda wake.
    Safi Kamanda!

  • @charlesemmanuel9434
    @charlesemmanuel9434 3 роки тому

    Sikuhizi hatuna waandishi wa habari wasomi

  • @wistonmnubi3104
    @wistonmnubi3104 5 років тому

    Good

  • @gidionelias6276
    @gidionelias6276 5 років тому +6

    Siro waharifu waonyeshwe tuwajue

  • @abdullaabdulla8618
    @abdullaabdulla8618 3 роки тому

    Wewe uliepost huna adabu,unatoa kichwa cha habari yako vile unavyojisikia

  • @abdikadirabdisalan9902
    @abdikadirabdisalan9902 5 років тому

    Naamini katikati africa mashariki tanzania inaongoza katikati uwendeshaji bora na utawala..Kenya and UG wana mengi ya kujifunza kutoka TZ

  • @samsondominiki3906
    @samsondominiki3906 5 років тому

    Safi sana mh:siro .

  • @oopsm3574
    @oopsm3574 5 років тому

    Siku hizi kila mkubwa tz anataka kujionesha..

  • @reubendick4033
    @reubendick4033 3 роки тому

    Hahahahaha heka heka hizi bora kujiajiri

  • @getrudalufega9770
    @getrudalufega9770 3 роки тому

    Hafai kwanza aliwatukana mama zetu

  • @bakarimussa4164
    @bakarimussa4164 3 роки тому

    Mambo za kijeshi malizeni kimyakimya haya tuhusu raia.

  • @salehsuleiman1218
    @salehsuleiman1218 5 років тому +3

    Nadhan kuna namna2 hapa lkn Muroto si wakutolewa jmn mbn ni mchapa kazi vzr2 anajitahid au chuki zishapelekwa.

  • @mrprotocolremmy5830
    @mrprotocolremmy5830 5 років тому +1

    Mi nadhani hata Bunge lingeanza kurushwa live

  • @abaafarhat9191
    @abaafarhat9191 5 років тому

    Kila mtu ana boss wake

  • @miltonmiltonpaulo3436
    @miltonmiltonpaulo3436 4 роки тому

    Ahahaha mi sina neno

  • @emanuelmwanga4
    @emanuelmwanga4 4 роки тому

    Si alisema atachakaza watu we unachakazwa leo

  • @alexmatt9504
    @alexmatt9504 3 роки тому

    Mbona hatujasikia kauli ya Mroto kusimamishwa kazi au ni kusimamishwa ili atoe hoja?
    Waandishi mnatuchanganya.

  • @mako331
    @mako331 5 років тому +3

    Sheria ileile unayosema Muroto anaivunja na wewe pia mbona unawadhalilisha makamanda? Nafikiri sheria za kipolisi nidhamu ifanyike bila vyombo vya habari

  • @mwambietv7614
    @mwambietv7614 5 років тому +1

    Muroto anatetemeka haahahaah 😂 😂

  • @chimbokiswaga8662
    @chimbokiswaga8662 3 роки тому

    Sasa sheriaza kijeshi huku za nn mboni mdharirishajeshi hayo.muwe mna malizia hukhko huku sisi ya nn Sasa

  • @raphaelnestory1990
    @raphaelnestory1990 5 років тому

    Namkubali kamanda dodomaaa

  • @godfreydaniel6167
    @godfreydaniel6167 4 роки тому

    Tunamtaka Muroto wetu Kamanda kwanini umtengue?

  • @adamdaudi6191
    @adamdaudi6191 5 років тому

    Huyo kamanda wa Mwanza amekaa ki Mwanza Mwanza, siyo wa mchezo mchezo!.

  • @gwantahbrainhalisi3527
    @gwantahbrainhalisi3527 5 років тому +1

    IGP kanenepa sana... Achunguzwe na yeye

  • @emmanuelhilary8809
    @emmanuelhilary8809 5 років тому

    noma xana

  • @georgeerick3140
    @georgeerick3140 5 років тому +1

    uyu mroto yupo vizur sema anaenda kizamani xjui ni elimu!!! mroto jeshi lazamani la udhalilishaji alipo tena nenda kisomi,usitumbuliwe na siro hana mchezo uyo,ilo jembe alitaki masyala.

  • @harunakayega5531
    @harunakayega5531 5 років тому

    Dah aisee inaelekea wamemkwaza sana kamanda

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 3 роки тому

    Ikiwezekana atumbue wote aweke wapya nayy ajitumbue tu me sielewagi kabsa kazi zao kukmbzana na ving,ora tu et askari anaogopa kuingia nyumba haina umeme we hao askari au vyura😏😏😏

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga5866 5 років тому +3

    Muroto mumemuonea

  • @nelsonnmwaipaja6980
    @nelsonnmwaipaja6980 5 років тому +2

    nahisi hapa kuna mkono wa kisasa hawa wote waliosimama ni majembe kuwarusha wahalifu kwenye media ni vizuri tu kunamatukio mengine yanahitaji ufafanuzi wa kina.

  • @khalidmakuba3787
    @khalidmakuba3787 5 років тому

    Wengine wapigwe mpaka wachakae pamoja na kipigo cha mbwa koko Lakini sio kwa MUROTO.

  • @laiserkuyan6075
    @laiserkuyan6075 3 роки тому

    Kamanda moroto wa Dodona Ako Sawa hanapapana kweli Na uwalifu

  • @henrytimoth9967
    @henrytimoth9967 3 роки тому

    Mroto kawa mpole kama sio yeye

  • @andersonmarco1523
    @andersonmarco1523 5 років тому +1

    Mbona sijasikia sehemu ya kutamkwa kutenguliwa K!!

  • @ibrahimbaraka4607
    @ibrahimbaraka4607 Рік тому

    Sro turikua tunakupenda

  • @seifzongo320
    @seifzongo320 5 років тому +2

    Waharifu tuwajue ,siro huyu vp huyu mbna kama hatumsom

    • @rashidijumaaorwaka6699
      @rashidijumaaorwaka6699 5 років тому +1

      Kuna tofauti kati ya waharifu na watuhumiwa. Wanaooneshwa ni watuhumiwa ambao kisheria hutakiwi kuonyeshwa adharani kama waarifu

    • @clementmathias9512
      @clementmathias9512 5 років тому

      @@rashidijumaaorwaka6699
      Hapo ndipo lilipo tatizo. Watu hawajui kutofautisha

  • @josephshao475
    @josephshao475 5 років тому +1

    We mwandishi unagongwa

  • @othmanmgeni9232
    @othmanmgeni9232 3 роки тому

    Anapenda Sana kujiona Sana fala huyu

  • @fredjohntanzania3881
    @fredjohntanzania3881 5 років тому +1

    UNAMTENGUAJE MUROTO???????? DAAAAAAAH