DEREVA WA SERIKALI ALIYEBEBA WAZUNGU ANASWA AKIWA SPEED
Вставка
- Опубліковано 25 лис 2018
- Tunayo story kutokea kwa Kamanda Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Muslim ambapo anaendesha Opareshi Maalum ya kuwasaka madereva wanaoendesha magari kwa kasi wakiwemo wa serikali.
Hongera sana afande wangu pamoja na askari wengine makini na waadilifu mnaofanya kazi nzuri ya jeshi la polisi Tanzania kwa kazi nzuri.
Woow ,i like this.
Our brothers in Tanzania you have your own Matiang'i
,that's what we need in all East African countries.
No excuse for bending the rules. Drive as the law says. Thank you commander for the lecture
Many of government drivers think they are above the law. Now they can learn a lesson from their fellow. Big up commander keep it up!!
watanzania tubadilike ,hii tabia ya kuponda mtu akiongea kingereza ndio inatufanya tuzidi kutokujua ,we unaecheka hata kuongea sekunde 10 mfululizo huwezi,pumbavu sana,,,afande kaongea vzr tena saana,heshima kwake sana
Ushamba kuchekana,hujiulizi kuwa hiyo sio lugha yake??.
Kwa kuwa mwendo kasi limeshakuwa janga, mi nadhani kuna sababu ya kuanza kuandaa njia rafiki za kutumia kilometer zilizopo kwenye magari. Maana. Sheria mwisho speed 80 wakati gari zina 160 - 280 mapaka 320. Haya makosa ya mwendo hatuwezi kuyaepuka, mi mwenyewe nikikutaga sehem imenyooka na mimi nanyooosha mguu 😂😂😂. Harafu dereva naina kama gari haikimbii sana, Walio nje ndio wanasema jamaa kapita na mwendo wa ajabu 😂😂😂😂. Waturekebishie miundombinu bwana tujiachie,wasitufanyie hivi hadi tunaomba tuwe chini ya miguu yao 😂😂😂
Kunasehem ambayo inaruhusu gar kukimbia
Very good communicator this policeman. "Experts" lives must be preserved even when they are looting our countries in the guide of development aid.
First of all I appreciate the Good English kamanda, secondly, everyone must follow traffic rules and regulations "BIG UP" good job
Fantastic good JOB! Madereva wa serikali vichwani wabovu. wanaamini wana kinga ya serikali bila kujua hatari haikwepi serikali.
BAADHI YA WATANZANIA SAWA NA BICHWA LA WENDA WAZIMU.SASA UNAPO KOSOWA ETI KAMANDA KAONGEA KI NGEREZA KIBOVU,MI NAMPOGEZA KWA JINSI AIIVYO ITENDEA HAKO CV YAKAZI YAKE BIG UP KAMANDA.TUPATE NAWENGINE WAWILI TU KAMA HUYU NCHI NZIMA MA DRIVER WATAKAA SAWA.
I respect this officer he understands his work. Kamanda ako juu tu Sana.
Safi sana mkuu. Mbona hao wazungu wasiongee kiswahili?? kiingereza ni lugha tu kama lugha zingine tu! kama kichaga, kisukuma, kihehe n.k. Acheni ushamba ndugu zangu waTz kudhani kuwa kiingereza ndio kigezo cha ueledi.
Safi sana kamanda kwa kazi nzuri, Mungu akubariki saaaaaaana , na wengine wakuige , HAPA KAZI TU," hakuna mbwela "o
Safi sana kamanda kwa kazi nzuri, Mungu akubariki saaaaaaana , na wengine wakuige , HAPA KAZI TU," hakuna mbwela "
Kamanda kazi nzuri sana, hapo umewawajibisha kwa haki, maana madereva wa serikali, wa wazungu na wa raia wote wanaweza kufanya ajali wanapoacha kufanya sheria. Na umetumia diplomasia kumwelewesha mzungu na superiority complex yake. Kiingereza chako mkuuu kiko standard, kweli ulistahili ukubwa
Yupo vizuri kwenye lugha ya kiingereza japo sio necessary na sio point hapa haitumii kila siku. Kuna wabongo marekani miaka 10 na mbado ni some like some like hata kunyoosha setence hawawezi.
mimi mwenyewe nimeshangaa
Kamanda yupo very strictly namgongea tano na ninampongeza Sana kingereza sio ishu ya msingi mm na angalia nn kafanya HONGERA KAMANDA
kiingereza haituhusu ila ukiijua hamna noma
Kamanda Shkamoooo! Nimekuelewa vzr japo tia maji tia maji napenda kuendesha kasi kidogo lkn nazingatia alama za barabarani. Asante kwakuonesha mfano!
I love this traffic police action
Bravo!!!!!
Very good job Officer, tukifanya kazi kama ivi inarudisha imani Na Nchi yetu, Safi sana Baba
Pole sana sukaa(dereva) ckuizi Ayo mnarusha matangazo live from traffic police....ila wao hawana hawana Channel.
Ally maganga nami pia ni dereva lakini ninafaham A~F maana yake vipengele 6 tu navyo ni (A) kuhakikisha unawezo wa kuona mbele umbali wa mita 70 au zaidi. (B)hakikisha hakuna chombo chochote kinachotumia barabara kinachokuja toka upande wa pili barabara. (C) hakikisha hakuna chombo kutoka nyumba kilichoonesha nia ya kukupita. (D) hakikisha chombo unachotaka kukipita hakijaonesha nia ya kufanya over take pia (E)hakikisha chombo chako kinakuwa na mkubwa kuliko unachotaka kukipita. (F)hakikisha eneo linaruhusu kufanya kitendo hicho na ufanye hivyo bila kusababisha madhara. Asante kaka
Tusipende kuangali makesa tu.Kamanda wa posi yupo vizuri sana na maelekezo anayotoa hongera sana kamanda wa trafiki Tz,pia hongera kamanda Siro.
Daaaaah kiukwel madereva wa serikal wanasifa sana wachukuliwe tuu hatua ila kwa uyo Jamaa anavyo omba msahaaa daaaaah jaman asamehewee tuuu aiisee anatia huruma daaah chezea kibarua kuota nyasss ze ngerii iz ngumuzz soz dontz kunicheka mee
yaani we kamanda mungu amekuona hao madereva wa selekali nafala kweli nandio wanao tuletea sisi madeleva wa plaivet matatizo asante sana kamanda
Hua wanakera sana hawa maderee wa sirikali wanakupita speed kali mpaka unasema ina maana wao hizi sheria haziwahusu ama nene hongera kamanda kamata hao wazembe kabisa
Hongera sana Jeshi la Polisi pia Kamanda kwa kazi nzr..Tuwe wazalendo
Uko vizuri kamanda wangu.hata kingereza kina eleweka babaangu, wataelewa tuu.💪💪💪
Good kamanda Muslim...endelea hivyohivyo!!
we dnt want to loose u my frnd.
I really really appreciate this Officer big up
Dah kama movie la akshekumar india
Tanzania is onfireeee
Ayo TV imezidi kuchimba vitu mpaka kero,ila kamanda yuko vizuri sana nimekubali kazi yake
Eti we don't wanna lose u
Ooh ur doing a gud jobu
Ur an expert ..... Anampa sifa zote na Leo ndo amemwona kwa mara ya kwnza
hahahaha
Also me nimemuona Mtaaram😅😅😅😅
Amanda nimefurahi sana kwa msimamo Wako kwani madereva serikale wamekuwa chanzo Kirkuk
Cha ajali . Tanzania inaitaji watu wengi kama we we.
Saf sana kamanda wanaokuponda kingereza wao hata darasa la saba walifeli
Safi kamanda na hao muwe mnawadaka wapo lafu sana good
Wengine et lugha ya kuunga unga, we kaaa na likingereza lako, wakati upo mtaani tu na kingereza lako nyumbani kwenu unaomba had I sabuni ya kuoga
Mzee ur doing great job kind of this people their a lot so do ur job mzee
Safi kabisa ningekuwa kalibu ningemopa tano kamanda hhhhh wanauwa baba zetu wakati bodo tuna waitajii .
Fukuza huyo,wao ndo kujua hata mijini tunawaonaga mfano mzuri kwenye mataa wanapitaga tu ovyooo sana
Safi sana kamanda mzungu lazima akahadithie kwao jeshi letu linavyowajibika kulinda usalama wa watumia barabara wote
trafic yuko vizuri! sio mchezo, one in a thousand!
Kamanda safi sana...sie tunaokua mda mwingi barabarani tunaonaga mambo ya ajabu na kipumbavu kuliko upumbavu...hasa madereva.....Overtaking and speed za hovyo kabisaaaaa
Sitaki uwe chini miguu yangu, nataka ufuate sheria. Safi sana Kamanda, na huyo mzungu umempa zake hata Kama angekuwa anakikao na rais dereva lazima afuate sheria, otherwise wangewahi kuondoka Kama kikao ni muhimu hivo.
Good I love this
Chezea kingereza weweee .. Wewe unafikili hayo mawe hapo begani yamejiweka... Safi kamanda chukua particulars zake huyo mtoa roho.
Huyo kamanda badala aseme let me take his details ati let me take particulars....hahhahaha kamanda ningeomba urudi shule....
hahahah😂😂eti mto roho
J K 😀😀😀😀
Acheni dharau nyie kingereza kinatafsiri nyingi sana taja sehemu zote unazohis kakaosea ili nikueleweshe vizuri
Kamanda yuko vzr sana. Wanaojua lugha hawawezi kumponda kamanda. Ila wanaojifanya wanajua kumbe maji matupu ndio wanaokosoa
Millardayo kwa saabu kamela iko apo duuuuhhhh naona kwa mbali anaichungulia kamera uyoooo
Nmecheka sana aisee
Hongera kamanda kwajitiada zakufatilia maisha ya huyo mzungu kwani angekufa watu wengeanzakusema gari lilikuwa mwendo mkali
Kazi nzuri Kamanda!
Asee utaratibu ufatwe...
Naona mzungu anaelezewaaaa 😁😁😁
La sivyo mawaziri na maofisa wengine wa serikali wako hatarini.
Mpaka sasa magari mengi sana ya serikali yashakula mizinga sana.
Kamanda ameongea lugha vizuri sana alafu waswahili waliozoea kibanyamulenge na kihutu mko busy kumkosoa.
Wanaosema kamanda anaungaunga lugha wenyewe hata kujielezea hawajui. Acheni hizo tabia za kuanglia watu na kuwakosoa pasipo kujiangalia ww upo wapi. Big up kamanda
Haka kalugha si kakigeni kwani mzungu si kaelewa
Najiuliza ayoTv walitoka wapi muda huo mpaka walikutana na tuki hilo!? Nisaidieni jibu.
Ayo tv wamefaamika sana mpak wana wa invite kumatokeo kama hayo w hona hata rais akiwa akisema utakuta ni ayo tv tu
Wanatembea nao
Siku tukijua maana halisi ya uzalendo sidhan km tutakuwa hivi. Mtanzania unamkatili kujieleza lakini Mtaalamu unamsklizia 😂. Mungu ibrk Tz na watu wake.
Umebeba mtaalam🤣🤣🤣🤣, unamwona huyo? Huyo mtaalam huyo
Kamanda unawajibika ipasavo usijali kuhusu ngeli sio lugha yako so ataelewa tu huyu kama alikuwa na haraka angeondoka jana yake kuja dsm
Elite police Officer.
Good job Sir
fatilieni mabas
Naye huyo mzungu hawezi kuongea kiswahili
Good job Afande Muslimu.
Kama umegundua kamanda hajui kizungu.. Gonga like
Safi sana kamanda umeonesha msimamo wako uko sawa
Good cop thanks
Mzeee anapiga kazi safiiii
we nchi yangu weee mweeeh.,haya bhna napita tu!
Hahaahahahha anamkimbiza mtaalamu,, hahahah atamua mtaalamu aisee
Gonga like kama umemsikia kamanda kajiitaidi ngeli yake.
Hahaha yupo vizuri
Chapa kaz baba
Thank you Commender its real driving crazy same government drivers overtakes line not allowed over drive speed at 50 sign
Gonga like kama umemuona kamanda akiunganisha na kizaramo kny ngeli
Habari mpya
Habari mpya za jana
Shadrack John
Shadrack John
Kazi nzuri, ila bongo ninavyo ifaham usikute huyo dereva ana cheo kuliko huyo askari, na yupo na kazi maalum ya ku monitor hao ndugu zetu, Mungu ibariki Tanzania
Hongera afande.
Afande yupo kwenye msimamo kbs hajakosea kitu kazi moja Afande
Kingereza huwa hatuelewani sisi watu weusi lakini kama unaongea na wenye lugha huwa wanaelewa haraka unacho Manisha.waswahili wanadaut sana
Mara nyingi wakuu wa mikoa makamanda wanatembea na waandishi wa habari ktk magari yao
Safi sana. sheria pale pale....Kamanda kakukamata sasa unategemea nini.
Huyu yuko sawa kabisa , i support him
thank you so much
Safi kamanda, tumepoteza ndugu zetu wengi kwa uzembe tu
Msamehe. Mkuu atakoma harudii tenaa
Big up commander!
Wafatilie Misafaranayo,,,Hatari
Ivi huku ni hamna sehemu ya vibango kwenda speed 70, 80, 100 ni vibango 30, 40, 50, 60....
Safi kamanda
Kazi nzuri kamanda
Upo vizuri kamandaa
Hata hao wazungu wenyewe wanajua huku kwao dereva hawezi kuendesha kama mwehu. alipishwe faini ya kutosha huyo. ili wajifunze.
Mkubwa kamanda wa usalama barabrani natumai huna neno kwa hakika kazi yako ni nzuri kaza kamba hivyo hivyo Mungu akubariki. Mimi ni Mkenya nilifika juzi kutoka Tanzania na nilikasirishwa sana na Hawa watu wako wa usalama barabarani niltoka Dsm kuelekea Tanga njiani kabla kufika Tanga nilinunua Mkaa gunia mbili ndogo yamatumizi nyumbani nikaenda vizuri mpaka Tanga tarehe 17/12/19 asubuhi naondoka Tanga nilipofika njiani kabla ya DUGA MAFORONI kilometer 3 au 4 saa tano kasorobo mpaka tano na nusu nikasimamishwa na trafiki watatu mtu mzima Alikuwa afande Ana tepe mbili nawapili mnene mweusi Hana tepe yoyote na watatu mwembamba kijana Hana tepe yeye ndie aliyekuja garini akasema mkaa hauruhusuwi njoo kwa mkubwa Mimi nikasema Kama hairuhusiwi nitauteremsha hapa hapa niende wakasema hatuwezi kuipokea na Sheria tukupeleke kituoni na utalipa milioni na gari lako walizuwie namimi Niko na familia hata hawajali wakataka niwahonge alfu 60,000/= Tshs nikasema Sina mwisho wakachukuwa rushwa ya Tshs 40,000/= bila risiti ndio wakanipa leseni yangu nikaondoka. Na mkaa nikampa mwenyeji mbele ya safari hapo DUGA MAFORONI . Jee nihaki hao matrafiki wenu wenye magwanda meupe kunyanyasa wageni hahuku munasema rushwa haifai.na isitoshe walipiga simu kwa kituo Cha mbele hapo DUGA kijijini na Askari aliyekuja kavaa uniform ya kijani kaniuluza mkaa umeupeleka wapi nikamwambia nimempa mtu sadaka kwani yule afande alitaka niweke Mkaa petrol station ya Duga ili aende baadae kuuchukua. Basi hayo ni yote Kamanda wa Usalama barabarani nataka uyachukulie hatua wawache kusumbuwa wageni na Kula rushwa Asante Sana.
Safi Sana
Kamanda yuko vizuri sana huyu. Na ni mchapa kazi sio utani.
Good afande
Nyoooosha hao mpk waelewe sheria inasemajee
Boss mwenyewe anaomba samahani we Askali acha kuwaminya watanzania wenzioo boss mwenyewe anajua kama jamaa yuko speed
Kumbe ulikua una ripotiwa tu hujui. Hata abiria wangefanya hivi na muwasikilize ajali zingepungua. Ila ni Kama mnawajali wataaalam tu
Unatafuta nini kwenye miguu yanguu😂😂😂😂😂
Huyo askari amenifuraisha sana kwa kujali maisha ya watu
Umenikosha sana kamanda
😀😀😀 iam laughing silently. . huyo kamanda Mzee mkavu
Dah aisee nacheka sana
Wew usiseme basi kwa sababu ya huyo mzungu inamana mtanzania hana umuhimu