"NENDA KAMKAMATE SASA HIVI, UMUWEKE NDANI HARAKA" - JPM

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025
  • "NENDA KAMKAMATE SASA HIVI, UMUWEKE NDANI HARAKA" - JPM
    Rais Dkt John Magufuli, leo Oktoba 06, anaendelea na ziara yake Nchini, ambapo leo Oktoba 06, ameanza rasmi ziara mkoani Rukwa na kutoa maagizo ya watu kutiwa ndani kwa kufuja fedha za mradi wa maji!.
    YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
    ---------------------------------------------------------------------------------------
    HABARI MPYA DAILY: www.youtube.co....
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:www.youtube.co....
    GLOBAL RADIO TV:www.youtube.co....
    EXCLUSIVE INTERVIEWS:www.youtube.co....
    Category
    News & Politics

КОМЕНТАРІ • 600

  • @kihiyoedith4674
    @kihiyoedith4674 5 років тому +226

    Kuanzia Leo natangaza Mungu anisamehe sana nilikuwa na ukakasi na rais wangu ila sasa namkubali aendelee hata miaka 50

    • @justineulimule6530
      @justineulimule6530 5 років тому +10

      Kihiyo Edith pamoja sana

    • @aminaluttu649
      @aminaluttu649 5 років тому +5

      Pole kumbe ulichelewa kumjua

    • @godwinmpazi1560
      @godwinmpazi1560 5 років тому +9

      Na mimi pia kupitia propaganda za wapinzani nilianza kudhani Rais wetu ni dictator.Maghufuli oyee

    • @noorkhamisi2490
      @noorkhamisi2490 5 років тому +5

      Mimi nilikuwa hivyo hivyo lakini sasa natamani atawale miakayote

    • @jemspeter4240
      @jemspeter4240 5 років тому +3

      Kihiyo Edith vizuri sana

  • @ommybiggie4825
    @ommybiggie4825 5 років тому +331

    Yani mm ni mkenya ila ndani ya moyo wangu natamani niwe mtanZania nilipe ushuru kwa ridhaa ...kwa ajili ya kazi ya MAGUFULI...anae mpenda magufuli like hapa

    • @bakarshaban703
      @bakarshaban703 5 років тому

      Da rais pole sana

    • @hkmayala414
      @hkmayala414 5 років тому

      Karibu

    • @emmanuelzao
      @emmanuelzao 5 років тому

      Mimi natamani ningekuwa Mkenya 😎

    • @mamarhodah9018
      @mamarhodah9018 5 років тому

      Utanzania ungekua uraia wangu na sio Kenya.

    • @salimali3035
      @salimali3035 5 років тому +1

      Wakenya wananchi wamejitenga kwa ukabila ndio maana atutawai pata kiongoz vizaz na vizaz

  • @daniellukindo1190
    @daniellukindo1190 5 років тому +45

    Kama unamuelewa huyu mzee wetu gonga like hapa tafadhali ✍️

  • @manofreality3656
    @manofreality3656 5 років тому +48

    naomba uraa watanzania jamani nihame kenya...kenya inanuuuka kwa ufisadi...we love u baba

  • @emmanuelpolisi1343
    @emmanuelpolisi1343 5 років тому +44

    Rais nakupenda kweli kweli bila kuficha rais uko vzr huu ndo ukweli mungu akuzidishie maisha

  • @munyaonormankioko1426
    @munyaonormankioko1426 5 років тому +48

    This is the kind of President we need in Kenya, Magufuli woyee!!

  • @emmanuelkonki59
    @emmanuelkonki59 5 років тому +77

    Sikh hizi nimezeeka ingekuwa zamani hiiiiiiiiii...,..
    Weka like kama unamkubali jpm

  • @westonrashid1128
    @westonrashid1128 5 років тому +3

    Asante Sana mh Rais wetu fanya kazi Tunazidi kukuombea kwa Mungu akupe maisha marefu Asante Sana baba

  • @نايفالشمري-ط3د
    @نايفالشمري-ط3د 5 років тому +22

    Anointed present sure
    May God protect u indeed
    More grace

  • @dominicomakungwa729
    @dominicomakungwa729 5 років тому +68

    I love my second president since independence,the first one was J.K.nyerere

    • @husainabdu2676
      @husainabdu2676 5 років тому

      True u are like me

    • @bigbossmanbossman6946
      @bigbossmanbossman6946 5 років тому +2

      I think Tanzania had more than two presidents since independence

    • @kiatu
      @kiatu 5 років тому

      dominico makungwa What a coincidence, that’s how I feel about Magufuli. - The 2 are what a president should be like.

    • @view2387
      @view2387 5 років тому

      Not true at all he is just trying to show public I'm good but is not like that

  • @lutammasawa6075
    @lutammasawa6075 5 років тому +25

    Mzee uko sawa mno.Mungu akulinde.jinsi unavyotushep ndivyo tutakavyo kuwa.kaza baba.

    • @elaimbwale8132
      @elaimbwale8132 5 років тому +1

      Nema ya kristo ikufunike baba magufuli yani jembe toka chato

  • @sabuomar2420
    @sabuomar2420 Рік тому +1

    Mungu aendelee kukuweka mahali pema peponi. Kama ulikuwa ni mfano wa uongozi na kiongozi bora basi Ma Samia ni sifuri kabisa.

  • @Bizmind472
    @Bizmind472 Рік тому +1

    Mr.continue rip 😢from Kenya we loved you so much mchapa kazi wa africa

  • @bensonmogaka93
    @bensonmogaka93 5 років тому +12

    mzee magufuli mimi ni mkenya napenda style ya uongosi wako,.you are really
    a true president, i wish you well mr president,i admire your wisdom and the way
    you put God first.wakenya wanakupenda mno baba,tunakuombea mungu aendelee
    kukupa afya njema na hekima.

  • @dieudonnejean4925
    @dieudonnejean4925 5 років тому +12

    I like you meheshimiwa pombe magufuli.god bless you excellence

  • @dolomentluge3918
    @dolomentluge3918 5 років тому +5

    kama watanzania tungekuwa na shukrani basi tungetoa sadaka za shukrani kwa Mungu kwa kutupatia mtoto wa kiume Uncle Magufuri

    • @timbukwa9771
      @timbukwa9771 3 роки тому

      @Dolo. maneno hayo uliyasema mwaka jana mwanzoni lakini impact yake ingekuwa kubwa sana,pengine tungekuwa nae hadi sasa Daddy wetu, kama tungefanya hivyo!!!RIP Daddy.

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 5 років тому +10

    Safi sana baba yetu.Tunakupenda mungu akuzidishie afya njema.utuongoze miaka 40 mingine..Una busara,akili nyingi sana

  • @sultanaswaleh8892
    @sultanaswaleh8892 5 років тому +9

    👏👏👏👏👏👍 rais mpedwa mwenye huruma na maadili mema asiokua na ubaguzi .bwana rais magufuli ...I love you. Mungu akubariki🙏🙏🙏

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi9761 5 років тому +2

    Sema mheshimiwa waambie hao.vitambi vilikuwa vinaongezeka kwa hao mafisadi.mheshimiwa mungu akupe maisha marefu.wengi tunakuombea mema.

  • @princechris195
    @princechris195 5 років тому +48

    Kama umesikia mafisadi wanyongwe gonga like

    • @uzabumwanasadi4933
      @uzabumwanasadi4933 5 років тому +1

      Prince Chris' nyinyi wa Tanzaniya, mungu amewapa Raisi ka ma Nyerere!! mushukuru mungu sana !!

  • @fadhilaramadan5143
    @fadhilaramadan5143 5 років тому +11

    Huyu baba nampenda akisema wallah. Hongera sna kwa kazi nzuri

  • @gasparyeugene4855
    @gasparyeugene4855 5 років тому +17

    Hapa kazi tu!!

  • @queentellynyaga2645
    @queentellynyaga2645 5 років тому +20

    Mimi ni mkenya but ningekubaliwa kumpigia kura ningempa mpaka ya watoto wangu 🙏

    • @prospermakela7791
      @prospermakela7791 5 років тому +1

      Telly Nyaga vlog ,karibu sana, ipo siku mtapata uongozi wa kuwafariji

    • @tabumussa9406
      @tabumussa9406 5 років тому

      Telly Nyaga vlog endelea kupiga kazi baba magufuri ndiyo raisi tuliopewa na mungu .

    • @edwardmbonika5102
      @edwardmbonika5102 5 років тому

      Mm mtz karibu dada angu pia shemeji angu nimeowa mkenya

    • @queentellynyaga2645
      @queentellynyaga2645 5 років тому

      @@edwardmbonika5102 wow that's good shemeji

    • @queentellynyaga2645
      @queentellynyaga2645 5 років тому

      @@prospermakela7791 yes I trust God he will give us

  • @oscarkasalile8146
    @oscarkasalile8146 5 років тому +5

    Yani mungu akulinde nakupenda mheshimiwa

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 5 років тому +58

    Hakuna raisi kama huyu Africa nzima aseee😱

    • @kassimkassim6386
      @kassimkassim6386 5 років тому +1

      Exactly

    • @eliyajelemia6244
      @eliyajelemia6244 5 років тому

      Kwenaww

    • @eliyajelemia6244
      @eliyajelemia6244 5 років тому

      Munira Ahmed kwema muzima

    • @josetabua3634
      @josetabua3634 4 роки тому

      Very true... I 100% agree with you. I am from Mozambique but President is number one. Even if he goes to lead in Iraq he will put down all Talibans.

  • @selemanikassim7018
    @selemanikassim7018 5 років тому +40

    Magufuliiiii my presdent is fireeee

    • @masulucas6124
      @masulucas6124 5 років тому

      Selemani Kassim m

    • @view2387
      @view2387 5 років тому

      He is doing this Everything to show public I'm good but is not like that at all

  • @kilioppamasaka9590
    @kilioppamasaka9590 5 років тому +7

    Baraka za mungu ziwe na wewe mahala popote uendapo na uyafanyayo yawe mema mbele za mungu ubalikiwe Sana rais wetu

  • @jaffaryhassany9832
    @jaffaryhassany9832 5 років тому +48

    Jaman MUNGU amtunze utu rais milele kwel MUNGU ametuletea uyu RAIS MUNGU ASANTE SANA 🙏🙏

  • @realchendex
    @realchendex 4 роки тому

    Najisifia,najiamini pia nafurahia sana kuwa na kiongozi wangu mh raisi magufuli, nampenda pia namkubali sana ,mungu amlinde sana raisi wangu ,naipenda Tanzania nchi yangu

  • @hasanially9294
    @hasanially9294 5 років тому +28

    Wanatia uchungu sana hawa viongozi wazembe watakutia preshaa Mzee tumbua tuu

  • @magambobundala4558
    @magambobundala4558 5 років тому +36

    piga kaz Mzee Mungu awe pamoja nawe

  • @fatumashakoor9313
    @fatumashakoor9313 5 років тому +2

    Mungu azidi kukupa afya njema na nguvu uzidi kutetea wanyonge👏

  • @zuhrasulyman5701
    @zuhrasulyman5701 5 років тому +14

    MWENYEZI MUNGU AMJAALIE UMRI MREFU RAIS WETU MAGUFULI INSHA ALLAH

    • @aloissirima7642
      @aloissirima7642 5 років тому

      Wafisadi hamna haja kuwapeleka mahakamani kuwanyanganya mali yao yote wanzie ziro .

  • @chriskingnampoto3214
    @chriskingnampoto3214 5 років тому +16

    Duuuuh huyu kweli king

  • @소송소송
    @소송소송 5 років тому +56

    OHURU KENYATTA LEARN FROM THIS

    • @vinjaoko8083
      @vinjaoko8083 5 років тому +1

      Mwabie

    • @alloyce3boniphace787
      @alloyce3boniphace787 5 років тому +2

      Uhuru Kenyatta is better than thiz dictator

    • @jarsaduba2626
      @jarsaduba2626 5 років тому +2

      @@alloyce3boniphace787 President Mangufuli don't love corrupt leaders so are you you one of them

    • @jarsaduba2626
      @jarsaduba2626 5 років тому +2

      Uhuru ajawai kutembea na kukagua miradi ya serikali kazi kubwa yake ni kuenda ulaya kukopa fedha ili mafisadi waendele kupora alafu tubabaki na kubwa ya kulipa bure kabisa

    • @alloyce3boniphace787
      @alloyce3boniphace787 5 років тому

      Uhuru is the most calm President l have herd. to me l love the man than worst President we have in our country with full of dictator just wanted to be worship like a god and if u disagree u got kiled by non men.

  • @robertterry8909
    @robertterry8909 5 років тому +26

    kamua baba kamua jembe kamua inchi iende nakupenda sana kiongozi wangu

  • @chongolee1426
    @chongolee1426 5 років тому +2

    Mungu akulinde kwa upendo wake

  • @simonhaule6567
    @simonhaule6567 5 років тому +2

    Safi sana rais wetu mwenyez mungu akupe maisha marefu!!

  • @DjTijay254
    @DjTijay254 5 років тому +2

    i wish kenya we had such a President....

  • @johnpesambili4806
    @johnpesambili4806 5 років тому +1

    Well said Rais wetu , tutakuelewa tu. Nasema tutakuelewa tu. Mungu azidi kukusimamia Rais wetu na afya tele naona nyumbani kunanoga sasa safi.

  • @prosperswenya5310
    @prosperswenya5310 3 роки тому

    Asante kiongoz wawanyonge pumnzika kwaaman

  • @deuskisabo3223
    @deuskisabo3223 5 років тому +1

    Nakupenda Rais wetu Mungu akupe maisha marefu uwe rais Wa nchi yetu miaka 50

  • @geofreymsengi9971
    @geofreymsengi9971 5 років тому +3

    Hongera mkuu kwa uwazi na ukweli

  • @nassiromari8030
    @nassiromari8030 5 років тому +6

    Thanks my president that was my home land

  • @samsoncosmas2034
    @samsoncosmas2034 2 роки тому

    Dah😭😭😭😭😭😭najiskia kuliaaa kwa nguvu Kila nikikukumbuka baba nikiangalia na maisha tunayoishi kwasasa maharge kilo elf4 nazid kuumia hakuna wakusikiliza shida zetu pumzika kwa amani kipenzii Cha watanzania masikini umeenda umetuacha na wakati mgumu ila ipo siku Mungu atatusikia ulitusihi tumtegemee Mungu Kila wakati 😭😭😭😭😭

  • @vinjaoko8083
    @vinjaoko8083 5 років тому

    Mungu akubariki Rais wa tz.

  • @danielmngujini1617
    @danielmngujini1617 5 років тому +4

    Keep on moving Mr President..

  • @niasanga2373
    @niasanga2373 5 років тому +51

    Kudadadeki huyu ndo kiongoz mtaisoma mwaka huu

  • @salimalghannami3059
    @salimalghannami3059 5 років тому +3

    Absolutely, corruption is a cencer should be eliminated from the society to allow the development 👍

  • @eliazarinyakiema1969
    @eliazarinyakiema1969 5 років тому +18

    Nakukubali sana Magufuli,,
    CCM Oyeeeee
    👍👍👍👍👍

  • @josephmlela9757
    @josephmlela9757 5 років тому +1

    dah am so proud to have u my President JPM

  • @andallaathman3856
    @andallaathman3856 5 років тому

    Hongera hongera muheshimiwa magufuli mungu akueke akupe nguvu na uwezo wakuchapa kazi

  • @zallomwachupa4137
    @zallomwachupa4137 5 років тому

    Asante baba

  • @robisontubili9466
    @robisontubili9466 5 років тому

    Mh; magufuri nakutakia maisha marefu na Mungu akuzidishe hekima.

  • @KingrasKibaki
    @KingrasKibaki 5 років тому +7

    Kenya president and rest of African leaders should learn from this

  • @بيمالزدجالي
    @بيمالزدجالي 5 років тому +42

    Na Zanzibar rais shein angalikuwa kama magufuli ingalikuwa raha sana tuna ziki vijijin ya maji

    • @hajiabdalla5772
      @hajiabdalla5772 5 років тому +2

      Huyo sheni mwenyewe tamaa mwiz tapeli mkwubwa yule sheni mwanga. Hajakinai wala imani hana ndio wale wanaotaka uongozi kwa ajili ya maisha ya mkato ale kwa wakat upate pesa na kunyanyasa raia na sio la kutaka uongozi kwa ajili ya kuondowa umaskin

    • @seifsaid590
      @seifsaid590 5 років тому +1

      Koma zanzabar akuna shda ya maji acheni ujinga wengu wazanzibar ushawai kutembea atua ngapi kuyatafuta maji

    • @mrfix6596
      @mrfix6596 5 років тому

      بيم الزدجالي kwa Zanzibar usahau, maana viongozi wengi wao ni walafi

    • @mrfix6596
      @mrfix6596 5 років тому

      Seif Said Tembelea Michamvi ndipo utajua km IPO au haipo

    • @papikikukumesse5132
      @papikikukumesse5132 5 років тому

      Zanzibar niyengine inchi ama ni tanzanie tu. Samahani nauliza tu

  • @agesag.m2476
    @agesag.m2476 3 роки тому

    Kwa kweli Watanzania wamepoza kiongozi wa watu....poleni sana.....

  • @crispinnguru2273
    @crispinnguru2273 5 років тому +7

    President Kenyatta should go for "Corruption fighting lessons" to JPM.

    • @nancymuseve514
      @nancymuseve514 5 років тому

      Crispin Nguru• Uhuru cannot do that.. bcoz he is protecting his government..all government is Corrupt

  • @labanonyango7747
    @labanonyango7747 Рік тому +3

    I really miss you Mr President. ❤️❤️Continue Resting in Peace Sir

  • @florangido202
    @florangido202 5 років тому +15

    Na Dar Rais
    Bunju A njoo uone mwenyewe
    Nishamtumia msg Mkuu wa Mkoa,
    wanakata maji makusudi!
    Nimemueleza Injinia Dawasa Basiyaa, hanipi ushirikiano!!

  • @ahmedbaga26
    @ahmedbaga26 5 років тому

    Nakukubali sana Rais wangu piga kazi baba

  • @papaampondele1750
    @papaampondele1750 5 років тому +1

    Baba magufuri mungu akupe maisha malefuuu!

  • @elihaikamrema1693
    @elihaikamrema1693 Рік тому

    I miss you sir. Ungekuwepo bandari zetu zisingefikia bei. Amka uongee na watu wako hata kwenye ndoto. RIP Rais wetu wa mioyo yetu Fighter.

  • @OmarMohammed-b5x
    @OmarMohammed-b5x Рік тому +1

    Maguful mingu akuklz pepn❤❤

  • @zurahassan9447
    @zurahassan9447 5 років тому +4

    mashallah kazi nzuri

  • @jacksonmlay5257
    @jacksonmlay5257 5 років тому

    Nakuelewa sana mheshimiwa Raisi. Naipenda kasi unayokwenda nayo! Tulicheleweshwa sana kufikia maendeleo haya. Big up President Magufuli.

  • @joyprisy9114
    @joyprisy9114 5 років тому +1

    Mungu ibariki Tanzania mungu mbariki RAIS wetu wa Tanzania Magufuli

  • @abdullyabasiabasi2375
    @abdullyabasiabasi2375 5 років тому +3

    Wemzeee mungu Akulinde Sana Tena Zaid Yasana Kiukweli Nawatukamahao Wanakwamisha juudizako Mh Watimue

  • @j_gh812
    @j_gh812 5 років тому

    Usizeeke mapema mkuu..wananchi wako watakufa....usikate tamaa...ww ndio mkombozi wa taifa hili kamanda wetu...kazi ni kubwa sana bado mbeleni....usituvunje nguvu kwa kuzeeka.....africa kwa ufupi imeoza kama mzoga...inahitaji ujasiri wako....

  • @khajumkhamis7910
    @khajumkhamis7910 5 років тому +40

    Huyu ndo rais wa TANZANIA . TZ OYEEEEE

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl 4 роки тому

    Mungu tunaomba umuwekee uliz wakutosha Rais wetu magufuli

  • @nazirnoor4160
    @nazirnoor4160 5 років тому +1

    John Pombe unatisha.
    Hongera sana.
    Ila naona bado hujapata dawa ya hayo majinga

  • @malikkb6444
    @malikkb6444 Рік тому

    2023 ..Miss you Sir. Nyakati kama hizi ambapo taifa letu linakosa kiongozi mwenye dira ni wakati tunakumiss sana JPM.
    Tunamiss matokeo kama haya ya kiongozi kujichanganya na wananchi na kuchukua maamuzi bila unafki. Continue resting in peace

  • @abdulkareemlupepa7185
    @abdulkareemlupepa7185 5 років тому

    Mimi sko muTanzania ila huyu President naona ni number moja Rais mwenye kujali wana inchi wake 👍👍👍👍

  • @allycarvings2890
    @allycarvings2890 5 років тому

    Hongera bb. Wa taifa

  • @Paelimbo6649
    @Paelimbo6649 5 років тому

    Mungu akulinde baba.

  • @subiramohd885
    @subiramohd885 5 років тому +4

    Mzee kes Nakupenda sana Wallah Umesema ukweli.Hao wanyongwe tuuu

    • @jumamgema3356
      @jumamgema3356 5 років тому

      Subira Mohd kituo cha afya kabeba mgongoni kakimbia nacho

    • @marymabubakary1561
      @marymabubakary1561 5 років тому

      hivi kupiga dili huku watoto Wa wenzsko wanakufa!

  • @antoniasanga4974
    @antoniasanga4974 5 років тому

    Hongera rais awamu ya tano hapa kazi tu

  • @jollykabatoro1525
    @jollykabatoro1525 5 років тому +5

    He is best African leader that cares about human being at this moment

    • @apostlealexyusuf2416
      @apostlealexyusuf2416 2 роки тому

      Ukweli hakuna raisi mwenye hekima na kupenda kweli kama makufuli

  • @enockgerald1158
    @enockgerald1158 5 років тому

    Hakika hapa ni kaz tu Mungu akupe afya njema Naiyona Tanzania mpya

  • @salimnassor687
    @salimnassor687 5 років тому +11

    "Fuatilia wote hata Kama ni kunguni kwenye kitanda, aende akatoboke huko, ni hatareee

  • @bahatidamiani8546
    @bahatidamiani8546 5 років тому +2

    Safi sana rais wetu , watanzania 99% tunakupenda

  • @daudisiloma1531
    @daudisiloma1531 5 років тому +24

    Jamn hao wanae taka Tanzania irud Yuma nani..mbona mnapa kaz rais we2.?

  • @nurdinkisaria9476
    @nurdinkisaria9476 5 років тому

    Nimekuelewa Baba piga kazi naomba pia wakumbushe watendaji wako wajitahidi kuifikia jamii na kuisikiliza siyo kila kitu ufanye mwenyewe wapo viongozi wanafanya kazi vizuri na tunatambua michango yao ktk jamii lakini wengi wao wanafanya maigizo tuu kwenye media wakumbuke kuwa wanakuangusha na kufifisha jitihada na kazi kubwa unayoifanya Mh.Rais wakumbushe tena na tena kuwa watanzania wanaona na wanaelewa.
    Mungu ibariki Africa Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki Raisi wetu Dr.John Joseph Pombe Magufuli

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 5 років тому +16

    Baba ujazeeka bwana wewe ni jembe walipe watafutwe wengine wanaofanya kazi kweli maji ni shida kwa tz we love you rais wetu

  • @championtv255
    @championtv255 2 роки тому +1

    Rip Daddy 💖💖💖💖💖 tume ku miss mzeee

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 5 років тому +2

    hakuna ale salama mbele ya PREZ...BIG UP

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha2048 4 роки тому

    Umejificha utafichuliwa tu JPM 👏👏👏😍😍😍

  • @iddihassani1081
    @iddihassani1081 5 років тому +19

    Sikuizi nimezeeka tuuu ingekuwa zamani hiiiiiii😂😂😂😂

  • @judywangui9331
    @judywangui9331 3 роки тому

    I wish ningekua mtu wa Tz njuu ya raisi mungu saidia Kenya yetu isome na waanze kazi kwa kuogopa mungu

  • @yusufally6853
    @yusufally6853 5 років тому +1

    Waongo hao mzee hao walizoea na watu wanaokufa wanaona kama mbuz tu ndio kafa na wauaj baadhi yao wanaachiwa...dhulma sana RUKWA.... HAKIKA ARUBAINI ZAO ZIMEFIKA.hakika lenye mwanzo hapakosi mwisho...na mwisho wao umefika.acheni mungu aitwe mungu..wao ni nani.

  • @noronhacompanylimited5370
    @noronhacompanylimited5370 5 років тому

    Naomba Naomba sana Mheshimiwa Rais Magufuli aongezewe muda angalau miaka 20 katiba sio msahafu ibadilishwe!!!!!!

  • @FamelannesEg8562
    @FamelannesEg8562 5 років тому +1

    nakuelewa sana Mzee nataman utawale mpk kufa kwako

  • @guycalifataveiro8587
    @guycalifataveiro8587 5 років тому

    I love you JPMagufuli

  • @mulirohilary209
    @mulirohilary209 5 років тому

    Rais Lazima utakaa katika watakatif kwa moyo uu,ur fantastic for sure ww ni mtu sanaaaaaa

  • @edgarakoto2062
    @edgarakoto2062 5 років тому

    I wish kenya had such a president

  • @MsovetKabwel-ql2wr
    @MsovetKabwel-ql2wr Рік тому

    Dah'nmemuona Mzee nyangee

  • @tanzaniamycountry9308
    @tanzaniamycountry9308 5 років тому +4

    Baba hujazeeka bhado tusaidie nchi izid kunyoooka . Mungu akusaidie

  • @amrimadunda7821
    @amrimadunda7821 4 роки тому

    Baba anaongea kwa Uchungu San Mpaka liniiiiiii Daah Mungu akuwekee sijui km ukimaliza mud wako Baba sijui km tutap Raisi km wew Baba etu

  • @yunicondamo7590
    @yunicondamo7590 2 роки тому +2

    Watanzania tumwombe
    Mungu azidi kutulinda na kuilinda amani tuliyonayo