Magufuli aamsha dude jingine bandarini

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 сер 2024
  • Rais John Magufuli, ametoa siku saba kwa vyombo vya dola kuchunguza magari 50 yaliyopo bandarini yaliyoingizwa nchini kwa jina la Ofisi ya Rais.

КОМЕНТАРІ • 343

  • @Uswazi_kids
    @Uswazi_kids 3 роки тому +145

    Kama umemkumbuka mh magufuli like hapa 🇹🇿

  • @johnthobius6543
    @johnthobius6543 6 років тому +13

    Laa Rais anafanya kazi mpaka mamwonea huruma laa!! Mungu ampe maisha marefu

  • @mkemiamagege8477
    @mkemiamagege8477 2 роки тому +12

    Kwa hii kazi uliyoifanya Magufuli Rais wangu. Ndio maana walikuuwa!! Walioumia kwa kutopig misheni town zao no wengi kinyama!!

  • @eliaikawilhelm3541
    @eliaikawilhelm3541 2 роки тому +19

    Pumzika kwa aman baba magufuli😭😭😭😭😭😭

  • @maryammeme2615
    @maryammeme2615 6 років тому +19

    Huyu rais Ni jembe sijawai ona duniani long live magu

  • @williammaroa3928
    @williammaroa3928 6 років тому +8

    Hongera Sana Mzee jpm. kiongozi wa Mali ya umma

  • @gaspermganga8900
    @gaspermganga8900 2 роки тому +24

    Rest In Peace my president the son of Africa. Naamini uliletwa na Mungu Kufungua macho watanzania na Waafrika kwa ujumla, muda sio mrefu watu wengi wataanza kugundua kuwa kifo chako wengi tulijua kitatokea kwasababu hakuna rahisi yeyote kwenye Historia ya afrika Aliyejitolea maisha yake kwa wananchi, akapendwa na Mataifa ya ulaya. Angalia, Thomas Sankara, Patrice Lumumba, Ghadafi, kwame nkuruma, Na wengine wote. Afrika we must unite before it’s too late.

  • @jacksonpeter6099
    @jacksonpeter6099 3 роки тому +49

    Rest in peace Baba. Nilikukubali mno.

  • @annafrancis9699
    @annafrancis9699 2 роки тому

    That is wonder full and nice one for our better president

  • @sayibahati7316
    @sayibahati7316 6 років тому +5

    Inatia huluma sana Mzee wetu,,,,,,mijitu haisikii,,ama kweli watu wakozoea wizi ni kazi sana kuacha

  • @neozoran244
    @neozoran244 Рік тому +1

    Greatest Of All Time (G.O.A.T) ❤️💪

  • @kisayansimedia1626
    @kisayansimedia1626 3 роки тому +10

    Magufuri good job 👍

  • @malcomg1004
    @malcomg1004 2 роки тому

    Sasa ni 2022,kma umeshammis sana jembe Magu gonga like tumuenzi Baba yetu

  • @ayoubbusanya8290
    @ayoubbusanya8290 6 років тому +61

    Nimemuonea huruma sana raisi wangu baada ya kumaliza kuongea na Kusema "haya bana", inaonesha mawaziri wake wanamuangusha Sana maana kaonesha uchungu Sana

    • @emanuelmartin389
      @emanuelmartin389 6 років тому +3

      Makonda apewe awaoneshe kazi

    • @emanuelmartin389
      @emanuelmartin389 6 років тому +2

      Makonda apewe hiyo kaz awnyoshe

    • @mohamedfogo8820
      @mohamedfogo8820 6 років тому +1

      Kwa kweli moyo ni safi
      Anaumia sana ila mijizi ktk nchi hii ni mingi sana.yaani bado wanamzunguka tu dah!!

    • @st99ngeni35
      @st99ngeni35 6 років тому +2

      Ayubu Busanya Ina uma sana kwakweli. Tuzidi kuiombea hii nchi na raisi wetu ili tufike

    • @st99ngeni35
      @st99ngeni35 6 років тому +4

      mohamed selungwi Ndiyo maana wanaompinga ni wengi....WATU WANATAMANI HATA AFE ILI MAMBO YARUDI KULEX2 KWA ZAMANI. NI LAZIMA WATZ TUKUBALI KUBADIRIKA NA TUMOE SUPPORT RAISI WETU

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 6 років тому +28

    I love my president❤️💛💚 magufuli forever

  • @elisha5693
    @elisha5693 6 років тому +15

    tuombe kwaajili ya rais wetu

  • @mtotowaraila5397
    @mtotowaraila5397 6 років тому +10

    Raisi mchapa kazi East African👊👊

  • @nyangimarwa3448
    @nyangimarwa3448 3 роки тому +12

    Pumzika kwa Amani Baba, Mzalendo wetu wa nchi yake Daima hatutakusahau Kipenzi cha Watanzania utaendelea kuishi mioyoni mwetu Daima

  • @erickkihuru4529
    @erickkihuru4529 6 років тому +3

    Hongera prezda kaz Nzur xana bandarn hakuna uongoz mzur angalia tena

  • @sheilatezura5652
    @sheilatezura5652 6 років тому +5

    Nakukubali rais wangu jpm.

  • @albertkimaro8493
    @albertkimaro8493 6 років тому +2

    Mungu akutangulie katika kuingoza Tz, nimesikitika sana hapo mwishoni ulipo sema "Haya banna" imeonesha ni jinsi gani unavyo kerwa,

  • @ibel4lf
    @ibel4lf 2 роки тому

    Our Late beloved president Pole
    sana nchi ilikuchosha... pumzika kwa amanj John P Magufuli

  • @rizbfighter8574
    @rizbfighter8574 5 років тому

    Hongera mh.rais tuko nawew kila hatua na tunakuombea Mungu akulinde uzidi kufanya kaz kwa mkono wa Mungu usikate tamaa atakaye kukwamisha fukuza Mungu anataka haki Fanya kazi ya Mungu

  • @jummawetu
    @jummawetu 6 років тому +8

    huu ndie raisi yaani afrika tukipata maraisi wa 5 kama mafufuli yaani tunatona ugaibuni tunalejea kwetu afrika UVWF tunamupongeza sana RAISI MAGUFULI

  • @omarmwalimu92
    @omarmwalimu92 6 років тому +20

    Uwozo wote huu unahitaji katiba mpya ambayo itakuwa Smart kwa kumshughulikia mtu yoyote bila kujali cheo au hadhi yake.Kama Rais anapambana na rushwa ,je itakuwaje kama Mungu anamchukua kabla ya kumaliza kipindi chake? ,na je itakuwaje kama akimaliza kipindi chake ?.Je tunaimani gani kama Raisi atakayefuata atafuata sera zake?.Hapo ndipo tunaposema kuna umuhimu wa katiba mpya anayoendana na usasa na kizazi cha sasa ,katiba ambayo itaweza kumshughulikia mtu yoyote hata kama ni Raisi ama waziri. Msingi wa Utawala bora ni sheria ambazo zinaweza kufanya kazi hata kwa mtu hohehahe (fukara)

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 6 років тому +15

    haya bana!!!! pole rais wetu funga majambazi hayo waishazoea wizi

  • @mropeamadeus5445
    @mropeamadeus5445 6 років тому +24

    huyo ndie Mkuu Safi Sana

  • @loatalothi8784
    @loatalothi8784 6 років тому +6

    Communication hata kwenye familia ikikosekana Mambo hayataenda, vivyohivyo na nchi viongozi,mawaziri,wakuu wa idara za serikali no communication Tanzania mnaichelewesha kuendelea,Mungu ibariki Tanzania yetu

  • @mtungilandegeya6312
    @mtungilandegeya6312 6 років тому +10

    Rais Magufuli kazi anayo
    ... maana mijitu inayomzunguka inajifanya mizuzu sana

  • @gerardpaul2322
    @gerardpaul2322 6 років тому +4

    Mkuu mungu akupe ulinzi unamaaduwi wengi unauma xana bandar mkabidhi Makonda.

  • @richardsoka2400
    @richardsoka2400 6 років тому +5

    Uzembe wa hali ya juu! They have purposely done this, it is just an open sabotage by TPA and TRA leaders. Kudos President Magufuli. God Bless Tanzania.

  • @rammyissa5928
    @rammyissa5928 2 роки тому

    Tutakukumbaka daima mzee wetu mungu hakupumuzishe kwahamani baba

  • @sentejr2821
    @sentejr2821 2 роки тому +3

    Tunakukumbuka raisi wetu
    Raisi pekee aliependa wanyonge
    Dah RIP MWAMBA

  • @kitangacharles5818
    @kitangacharles5818 6 років тому +8

    Nimekuelewa jpm

  • @gemkachar
    @gemkachar 6 років тому +1

    Pole Mhe Rais. mwenyezi mungu yupo nawe.

  • @kulwawaziri3866
    @kulwawaziri3866 6 років тому +2

    Sawa sawa rais wetu mpendwa John pombe magufuli tunakusapot

  • @agnesakazinzurbadamwemanel8909
    @agnesakazinzurbadamwemanel8909 2 роки тому +2

    nimelia upya nilivyotazam hii video kwa mara nyingine raisi wetu leo haupo tena daa mungu mkali jamani pumzika kwa amani raisi wetu bado unaishi moyoni mwangu😭

  • @elvunielvuni6637
    @elvunielvuni6637 6 років тому +7

    duuu nakuogopa kama motoooo mkuu magugufuri

  • @isayangwahi9251
    @isayangwahi9251 6 років тому

    Baba Magu piga kazi Baba Nakuombea wallah Mungu akulinde....Lazima wanyooke

  • @mkemiamagege8477
    @mkemiamagege8477 2 роки тому +3

    Huyu Kikwete huyu Alichotufanyia katika nchi hii kwakweli. Mungu anjua kuna siku atamuaibisha kwa kila jambo alilotutendea wananchi kipindi cha uwongozi wake na kipindi ambacho alipotuondolea huyu Mzee kuiingilia Serikali ya awamu ya Tano.

  • @skeetergodwins2576
    @skeetergodwins2576 4 роки тому

    Baba fanya kazi ya kuwatumikia watanzania uliowaahidi. Tunakupongeza sana. Wewe fanya sehemu yako wasioelewa achana nao baba.

  • @mathiasnsegenelo7598
    @mathiasnsegenelo7598 6 років тому

    Mungu azidi kukulinda rais wangu mpendwa,nakupenda kweli rais wang

  • @machinefannatic99
    @machinefannatic99 6 років тому +11

    Tanzania pasua kichwa, magari yanakaa miaka yanachomwa na jua, yanapata rust na corrosion taasisi za uma zinakosa magari ya kutosha na kuagiza mengine kijinga jinga

  • @mcjabbyevents4938
    @mcjabbyevents4938 6 років тому

    Endelea kutunyoosha mambo mazuriiii hakika wewe ni role model viva mheshimiwa tafadhali fika na mtibwa kuna majipu

  • @SuperKibwana
    @SuperKibwana 6 років тому +19

    Mjomba Magu, safisha tu nchi. Huu uchafu lazima utoweke kabisa na kwa Njia yoyote ile.

  • @jacklinekimario787
    @jacklinekimario787 2 роки тому +1

    Natamani hata Mungu aturejeshee magufuli kidg tu hatamwezi mmoja tu afu amrudshe akapmzke aliko🥺🤲tunataka MAGUFULIFICATION🤒
    Dah rip legend❤️bba wa mioyo ya wanyonge

  • @mihambokitambo421
    @mihambokitambo421 6 років тому +6

    jama Mungu amsadie rais

  • @godwinsanga2412
    @godwinsanga2412 2 роки тому

    Matokeo darasa la saba ramadhani njombe 2021

  • @mcjabbyevents4938
    @mcjabbyevents4938 6 років тому

    Mungu akuzidishie mheshimiwa

  • @barakamasanja8466
    @barakamasanja8466 2 роки тому

    Very good anko magu lala salama

  • @emmanuelmichael3012
    @emmanuelmichael3012 2 роки тому

    Daa speech zake sijui Kama zitasahaulika

  • @ahmedysaidy9874
    @ahmedysaidy9874 2 роки тому

    Hayo magari yana siri kubwa.

  • @stahncalifornia214
    @stahncalifornia214 6 років тому +7

    Maguuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu

  • @elisha5693
    @elisha5693 6 років тому +27

    huyu Rais tumwache atuongoze mpk atakapo itwa na Mungu,maana anatusaidia sana

    • @ndelemwalonde2145
      @ndelemwalonde2145 6 років тому

      Dunia ya Leo haiendiii hivyoooo.

    • @basharahamtzhalisi6871
      @basharahamtzhalisi6871 6 років тому +1

      Hayo mawazo yako. Wako wazuri wengi, sema tu hawakupata nafasi hiyo.

    • @basharahamtzhalisi6871
      @basharahamtzhalisi6871 6 років тому +1

      ndele mwalonde. Kweli ndg dunia ya leo haiendi hiyo.

    • @semeninyerere3573
      @semeninyerere3573 6 років тому

      Jinga

    • @junubmedia3831
      @junubmedia3831 4 роки тому

      Haijalishi unavyocheza vizuri lkn mwishowe unafaa ushuke jukwani, mawazo nzuri iyo yako lakini hatufanyi ivo.

  • @jimmyjay9594
    @jimmyjay9594 2 роки тому +20

    Rest in peace king

  • @PH-hg2vn
    @PH-hg2vn 3 роки тому

    Kweli wewe ulikuwa Kiongozi baba, basi Mungu alikupenda zaidi. Amina

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla 2 роки тому

      Baaada ya hapo hizo ambulance ziliishia wapi naona ilikua km stunts tu kupata public sympathy

  • @mpumulagrandson7880
    @mpumulagrandson7880 2 роки тому

    Tunakukumbuka Sana JPM Allah akupumzike na akupunguzie adhabu ya kaburi Ameen

  • @keloboy7844
    @keloboy7844 6 років тому

    kazi juu ya kaz yani bamba tubamba

  • @elisanteshelukindo2745
    @elisanteshelukindo2745 6 років тому +2

    Tunamshukuru Mungu kwa ajili ya JPM ,Bwana azidi kumpa hekima mara trilion

  • @barikichichimu3502
    @barikichichimu3502 6 років тому

    j..p..m mungu akubariki na akupe nguvu daima.saaaf sana .

  • @franklazaro7660
    @franklazaro7660 6 років тому

    upo sawa mzee wangu

  • @frankrobert2856
    @frankrobert2856 3 роки тому +3

    Big up

  • @godfreyhiza1075
    @godfreyhiza1075 2 роки тому

    Miss U my president!!!!You are legend is with us

  • @mirrykirungi3223
    @mirrykirungi3223 3 роки тому +4

    Rest easy my president daima tutakukumbuka tulikupenda ila MUNGU amekupenda Zaid umeondoka Bado twakuitaji

  • @pauljuma5713
    @pauljuma5713 6 років тому +4

    Ndo maana huwa namkubali Paul makonda unadhani uchafu kama huo angeuvumilia raisi angemkabidhi hyo bandari awanyooshe

  • @andason5406
    @andason5406 2 роки тому

    Tutakukumbuka sn bb saizi wale uliowabana kwahaki saizi wanatusumbuwa sisi maskin

  • @kitimethegreat52
    @kitimethegreat52 6 років тому +4

    Yaani nimejisikia sana uchungu uchungu, kwanini mzigo wote huo ubebeshwe peke yako, wao wanakodoa tu mimacho.

    • @clementhiddi1486
      @clementhiddi1486 4 роки тому

      Viongozi Tanzania ni aibu tu no accountability nor patriotism, rais anaumia sana.

  • @joshuanyamkokoma1467
    @joshuanyamkokoma1467 6 років тому

    Mungu azid kukuongoza na kukulinda Raisi wetu

  • @nestorykayombo8681
    @nestorykayombo8681 6 років тому +3

    Mmmm magufuri ninoma

  • @josephmkemangwa4389
    @josephmkemangwa4389 6 років тому

    Safi sana mkulugezi izo gali zije na ilinga gali ni chache ilinga!

  • @bekabakari7394
    @bekabakari7394 3 роки тому

    Tumempoteza shujaa
    Mungu ndiye anaye jua

  • @muzdalfaaladina6943
    @muzdalfaaladina6943 2 роки тому

    Dah nimekumis sanaa baba pumzika kwa amani😭😭😭😭🇹🇿

  • @yonasangitho4485
    @yonasangitho4485 6 років тому +4

    kudadeki huhu anko huyu ni balaa hatari anakaba mpaka penalty

  • @Crabtree1844
    @Crabtree1844 2 роки тому

    Jembe kutoka Chato. Ewe mwenyezi Mungu ulitupatia dume kweli. Sijaona Afrika mzima. Aaah, shuja wetu! Asante Mungu, hapa tumeona Rais wa wanyonge.

  • @upendorobert7298
    @upendorobert7298 6 років тому +3

    duuh, nchi hii, huliwa na wenye meno. mawaziri wote ni mizigo tu. utafukuza wote tu

  • @kyaro5945
    @kyaro5945 6 років тому

    i cried mr President. thanx for seeing this.

  • @marysaimon2213
    @marysaimon2213 2 роки тому

    Nani atakaye fichua wizi kama huu, tunakumic sana Rais wetu

  • @ngusarobert7013
    @ngusarobert7013 6 років тому +6

    Makonda anasitaili kua wazili apewe bandali kuisimamia

  • @helmandidas715
    @helmandidas715 2 роки тому

    Tunakukumbuka Baba Magufuli

  • @hemedomary2281
    @hemedomary2281 6 років тому +4

    Mh.Rais hakuna haja ya maneno mengi,piga chini hao kisha weka ndani kwa uzembe wao pia piga chini waziri.Haiwezekani hadi Rais aende bandarini ndiyo uozo ugundulike,hawa jamaa wanajua kinachoendelea juu ya hayo magari na mengine mengi tu hapo bandarini.

  • @mussaikunda5641
    @mussaikunda5641 2 роки тому

    namkubali xn Magufuli

  • @mditijaphet7347
    @mditijaphet7347 6 років тому +4

    Ndiyo makonda itapendeza zaidi

  • @angelamarlow510
    @angelamarlow510 2 роки тому +1

    Hakika utabaki kua ww kwenye moyo wangu Rais Dr Magufuli Nina Iman ulijichagulia fungu sahihi wakati wa Uhai wako,,

  • @benjagabril9994
    @benjagabril9994 3 роки тому

    Dah mzee anasema Aya bana vigogo munamuangusha 🚶🚶🚶

  • @ezekielkimaro1647
    @ezekielkimaro1647 4 роки тому +3

    Live long my president!

  • @josephkinunda4211
    @josephkinunda4211 6 років тому

    Siyo mwepesi sn wa kucomment kuhusu mambo km haya lkn huu ni uzembe mkubwa ambao hata mm mwenyewe nikipewa nafasi km hii siwezi kuufanya. Hongera rais.

  • @strikerhussein9212
    @strikerhussein9212 6 років тому

    hahahahaa mister prisdent big up naona vidume kimyaaaa vijasho lainiiii hahahaha ukiwakuta kwenye office zao c mikwala hiyo watumbue tu mkongwe .na ktiba tuibadili uendelee 2040

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab 2 роки тому

    Leo nimejisikia kukukumbuka tu mzee dah No one is like you, No one watakuja wengi ila Hatotokea mwengine

  • @Tiffany340
    @Tiffany340 6 років тому +18

    natamani makonda awe waziri ausike na bandari watamkoma

  • @shaurikiyanga6033
    @shaurikiyanga6033 6 років тому

    pole sana mkuu hii ndio tz

  • @hamisisonga4357
    @hamisisonga4357 6 років тому +3

    Kusema ukweli mawaziri baadhi bado wanaboa aisee kama hawajuw wajibu wao wapishe two wenye ham na kazi waje kupiga coz hawawajibiki ipasanyo piga kazi jembe tunakusapoti

  • @barakamasanja8466
    @barakamasanja8466 2 роки тому

    Magufuli raid bora mungu akupe ufalme mbiguni

  • @stevenlyando1801
    @stevenlyando1801 6 років тому

    magu anapiga sana kazi huyu mzee,kaniumiza sana roho mwishoni hapo eti HAYA BWANA duuuh

  • @charlesjames5965
    @charlesjames5965 3 роки тому

    August 2021

  • @zaidiamza2297
    @zaidiamza2297 2 роки тому

    Poreni sana watanzania

  • @sayibahati7316
    @sayibahati7316 6 років тому +14

    MPE makonda bandari mkuu wetu,,,,,

  • @bahatimwakagugu979
    @bahatimwakagugu979 6 років тому

    Komaa nao Baba'! Hao watumishi mizigo watanyooka tuu. Kwani zama zimebadirika mambo ya kukaa maofisini tu zimeisha. Hapa kazi tu. Ufisadi hauna nafasi.

  • @sammweusimweusi780
    @sammweusimweusi780 6 років тому +4

    Mh rais watendaji wako hasa kwenye chama chako wanakuhujumu.

  • @romanshirima2972
    @romanshirima2972 6 років тому +7

    Huyo jamaa mwenye magari yuko na wewe ulipo mkuu wangu ""humjui"?? nimtajeee????

  • @mashaurimisungwirazalo8664
    @mashaurimisungwirazalo8664 2 роки тому

    Mashauri misungwi