Rais Magufuli aliposikia sababu za wafanyabiashara wanavyosafirisha madini "kiujanja" kutokana na msusuru wa malipo. Sikiliza mlolongo huo na namna Rais anavyosikiliza.
Nikweli asa ayo ndio usika tunamkumbuka sana aliekuwa rais wetu rais wawanynge rais mwenye ofu ya mungu wamemziki kwaaliokuwa anatufanyia watanzania amepambana namafisadi ametutia ujasiri watanzania wote eeeeh ulazwe pema peponi arp josefu pombe makufuli
Huo ndo uongozi ulivyo kuwa bora na ilikuwa hivyo kipindi hicho. yani ukiwa kiongozi bora yani hata watumishi wako huwa waminifu na kusema ukweli na kuwa na ujasili katika kazi yake kwa sababu anachokuwa akikisema kinakuwa na ukweli ndaniyake nakutekelezeka kwa halaka hivyo selikali na wana nchi wake hufulahiya matunda ya utendaji wao kwa uaminifu muzuli na kuiamini selikali na raiya kuamini selikali yake: Sijui? hii leo je, hayo yanayo semwa na huyo mubunge yana tekelezwa au ndo imebakia kama histolia? kama hivi zamani vile?
Haleluyaaa Jipatie vitabu vya maombi ya kiroho bureee Kwa njia ya WhatsApp 1=Maombi ya kuvunja nguvu za kichawi zinazoshambulia maisha yako 2=Maombi ya vita vya kiroho Bonyeza picha kushoto mwa comment hii tutakutumia bureee Kwa njia ya WhatsApp 2=
Mungu azidi kumpumzisha jpm.
Apumzishwe kwa amani Mungu amlipe kwa mema haya na mengi ya haki aliyotutendea
Hongera xn umefunguka
huu jamaa yuko sahihii sana alio yaongea hajakosea kabisaa
nikweli kaka hongera sana
Mh hongera baba
huyu jamaa anajua njia nyingi
Allah akulaze mahali pema peponi
Mashallah
saf sana
Mara ih atukusikii ata saut Jpm wetuuu dunian ama tunapta
nikwel kabisa muinjilist
WATU wana uchungu na TAIFA
Nimekuelewa mwinji
King Solomon 💯💯💯💯
Dah Mzee Magu RIP 😢 🙏
Mungu aku
Jamaa ako Sawa Kwa maelezo, magufui mchaguwe huyo jamaa
Ndugu mnenaji mwema tu Hadi kaongezwa muda size yake tu,heko🎉jamani naye rais aliyekuwa na maslahi ya nchi yake rohoni make apumzike Kwa amani🙏
My former president r.i.p 🙏🙏
Bila chenga kabisa
Dah jpm tutakukumbuk
Nikweli asa ayo ndio usika tunamkumbuka sana aliekuwa rais wetu rais wawanynge rais mwenye ofu ya mungu wamemziki kwaaliokuwa anatufanyia watanzania amepambana namafisadi ametutia ujasiri watanzania wote eeeeh ulazwe pema peponi arp josefu pombe makufuli
Mwinjilist Solomon nyang'hwale nakuona mtumishi.
Suluhisho ni machine tu
😅
😊
Wazalendo was kweli
R.i.p Jpm
Ni raisi mwenyewe msimamo Sana na mfuatiliaji hatu kwa hatu toka akiwa waziri wa ujenzi kwakwel atutopata raisi mwenyewe msimamo km huyu tena
Hapa maguli anaitendea HAKI kiti Cha urahis wapigaji mabeberu wazawa wanashikina na wanje ya nchi hapa anapata ukweli
Hili swala la dhahabu hata wabunge wa upinzani awaongei hili swala ni kupewa bahasha tu.
Uongoz Wa maguli hakuna kiongozi anayesema vijisent au helaya chai maliuma unasema hela ya chai vijisent ni aibu
Huo ndo uongozi ulivyo kuwa bora na ilikuwa hivyo kipindi hicho. yani ukiwa kiongozi bora yani hata watumishi wako huwa waminifu na kusema ukweli na kuwa na ujasili katika kazi yake kwa sababu anachokuwa akikisema kinakuwa na ukweli ndaniyake nakutekelezeka kwa halaka hivyo selikali na wana nchi wake hufulahiya matunda ya utendaji wao kwa uaminifu muzuli na kuiamini selikali na raiya kuamini selikali yake: Sijui? hii leo je, hayo yanayo semwa na huyo mubunge yana tekelezwa au ndo imebakia kama histolia? kama hivi zamani vile?
Haleluyaaa
Jipatie vitabu vya maombi ya kiroho bureee Kwa njia ya WhatsApp
1=Maombi ya kuvunja nguvu za kichawi zinazoshambulia maisha yako
2=Maombi ya vita vya kiroho
Bonyeza picha kushoto mwa comment hii tutakutumia bureee Kwa njia ya WhatsApp
2=
HIVI HUYUU JAMAAA ALIKUWA MWINJILISTI KWELI
ALIKUWA AMEVAA KIVULI CHA UINJILISTI?
HAKIKA ALIKUWA MTUMISHI MWEMA.
Hahaha sahihi jamaa ni mwinjilisiti sahihi Mimi jirani ukitaka hata namba yake nikupe umsalimie
Hapa maguli anaitendea HAKI kiti Cha urahis wapigaji mabeberu wazawa wanashikina na wanje ya nchi hapa anapata ukweli
Magu tinao wengi ila wamebanwa na matajiri wa nchi hii ila tukimuomba mungu kwa pamoja hanaga roho mbaya.