Sababu za madini kutoroshwa hizi hapa

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025
  • Rais Magufuli aliposikia sababu za wafanyabiashara wanavyosafirisha madini "kiujanja" kutokana na msusuru wa malipo.
    Sikiliza mlolongo huo na namna Rais anavyosikiliza.

КОМЕНТАРІ • 41

  • @eliasthomas1547
    @eliasthomas1547 7 місяців тому +9

    Mungu azidi kumpumzisha jpm.

  • @beatuskazimily457
    @beatuskazimily457 6 років тому +9

    Hongera xn umefunguka

  • @notburgamaskini7324
    @notburgamaskini7324 2 роки тому +11

    Apumzishwe kwa amani Mungu amlipe kwa mema haya na mengi ya haki aliyotutendea

  • @wilemakunga1016
    @wilemakunga1016 3 роки тому +6

    Allah akulaze mahali pema peponi

  • @akidasalim9798
    @akidasalim9798 6 років тому +8

    Mh hongera baba

  • @harunimfaume6280
    @harunimfaume6280 6 років тому +14

    huu jamaa yuko sahihii sana alio yaongea hajakosea kabisaa

  • @danielyfidelis7102
    @danielyfidelis7102 6 років тому +11

    huyu jamaa anajua njia nyingi

  • @Ochoabuilderslimited
    @Ochoabuilderslimited 9 місяців тому +2

    Dah Mzee Magu RIP 😢 🙏

  • @agapemunyi2095
    @agapemunyi2095 22 дні тому

    Alitoa uhuru sana kwa wananchi kumshauri nn afanye ndo maana alifanikiwa

  • @wycliffenyamweya.w
    @wycliffenyamweya.w Рік тому +1

    Ndugu mnenaji mwema tu Hadi kaongezwa muda size yake tu,heko🎉jamani naye rais aliyekuwa na maslahi ya nchi yake rohoni make apumzike Kwa amani🙏

  • @mohamedyeslam5194
    @mohamedyeslam5194 8 місяців тому +1

    Jamaa ako Sawa Kwa maelezo, magufui mchaguwe huyo jamaa

  • @apboy8944
    @apboy8944 6 місяців тому +1

    My former president r.i.p 🙏🙏

  • @fraviansweetberty8819
    @fraviansweetberty8819 3 роки тому +6

    Mara ih atukusikii ata saut Jpm wetuuu dunian ama tunapta

  • @salumabdallah5529
    @salumabdallah5529 6 років тому +5

    saf sana

  • @godfreymsemwa
    @godfreymsemwa 3 місяці тому

    Sema leo nasikiliza nikiwa nimevuta bangi kwahyo hata simsikii na kumuelewa

  • @AbubakarAli-y6d
    @AbubakarAli-y6d Місяць тому +1

    😊

  • @jerrywilhelm
    @jerrywilhelm 6 років тому +8

    Nimekuelewa mwinji

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 6 місяців тому +1

    Mashallah

  • @eliaslazaro2809
    @eliaslazaro2809 3 роки тому +2

    Mwinjilist Solomon nyang'hwale nakuona mtumishi.

  • @mawazoaliselemani8909
    @mawazoaliselemani8909 2 роки тому +2

    WATU wana uchungu na TAIFA

  • @petromtakati2975
    @petromtakati2975 3 роки тому +3

    King Solomon 💯💯💯💯

  • @hamidmkwizu6379
    @hamidmkwizu6379 2 роки тому +1

    Mungu aku

  • @chumilahazard2713
    @chumilahazard2713 6 років тому +6

    nikwel kabisa muinjilist

  • @abuumashua4971
    @abuumashua4971 2 роки тому +1

    Nikweli asa ayo ndio usika tunamkumbuka sana aliekuwa rais wetu rais wawanynge rais mwenye ofu ya mungu wamemziki kwaaliokuwa anatufanyia watanzania amepambana namafisadi ametutia ujasiri watanzania wote eeeeh ulazwe pema peponi arp josefu pombe makufuli

  • @farajikilindila8907
    @farajikilindila8907 2 роки тому +1

    Ni raisi mwenyewe msimamo Sana na mfuatiliaji hatu kwa hatu toka akiwa waziri wa ujenzi kwakwel atutopata raisi mwenyewe msimamo km huyu tena

  • @patrickmarwa5024
    @patrickmarwa5024 10 місяців тому +1

    Hili swala la dhahabu hata wabunge wa upinzani awaongei hili swala ni kupewa bahasha tu.

  • @wilemakunga1016
    @wilemakunga1016 3 роки тому +2

    Dah jpm tutakukumbuk

  • @feisal6592
    @feisal6592 2 роки тому +1

    Suluhisho ni machine tu

  • @JohnJoseph-z8k
    @JohnJoseph-z8k Місяць тому +1

    13:44

  • @emmanuelsanga34
    @emmanuelsanga34 2 роки тому +1

    Wazalendo was kweli

  • @fidelislugusi5361
    @fidelislugusi5361 2 роки тому +1

    R.i.p Jpm

  • @yudamsafiri7427
    @yudamsafiri7427 5 років тому +5

    Bila chenga kabisa

  • @nehemiazakeo2746
    @nehemiazakeo2746 3 роки тому +4

    Huo ndo uongozi ulivyo kuwa bora na ilikuwa hivyo kipindi hicho. yani ukiwa kiongozi bora yani hata watumishi wako huwa waminifu na kusema ukweli na kuwa na ujasili katika kazi yake kwa sababu anachokuwa akikisema kinakuwa na ukweli ndaniyake nakutekelezeka kwa halaka hivyo selikali na wana nchi wake hufulahiya matunda ya utendaji wao kwa uaminifu muzuli na kuiamini selikali na raiya kuamini selikali yake: Sijui? hii leo je, hayo yanayo semwa na huyo mubunge yana tekelezwa au ndo imebakia kama histolia? kama hivi zamani vile?

  • @abdillahkinande1057
    @abdillahkinande1057 7 місяців тому +1

    😅
    😊

  • @kassimloav2402
    @kassimloav2402 3 роки тому +1

    Uongoz Wa maguli hakuna kiongozi anayesema vijisent au helaya chai maliuma unasema hela ya chai vijisent ni aibu

  • @kassimloav2402
    @kassimloav2402 3 роки тому +1

    Hapa maguli anaitendea HAKI kiti Cha urahis wapigaji mabeberu wazawa wanashikina na wanje ya nchi hapa anapata ukweli

    • @amanifataki1714
      @amanifataki1714 2 роки тому

      Magu tinao wengi ila wamebanwa na matajiri wa nchi hii ila tukimuomba mungu kwa pamoja hanaga roho mbaya.

  • @mosesmzakwe7774
    @mosesmzakwe7774 Рік тому +2

    HIVI HUYUU JAMAAA ALIKUWA MWINJILISTI KWELI
    ALIKUWA AMEVAA KIVULI CHA UINJILISTI?
    HAKIKA ALIKUWA MTUMISHI MWEMA.

    • @davykisabo875
      @davykisabo875 8 місяців тому

      Hahaha sahihi jamaa ni mwinjilisiti sahihi Mimi jirani ukitaka hata namba yake nikupe umsalimie

  • @kassimloav2402
    @kassimloav2402 3 роки тому +2

    Hapa maguli anaitendea HAKI kiti Cha urahis wapigaji mabeberu wazawa wanashikina na wanje ya nchi hapa anapata ukweli