Sababu za madini kutoroshwa hizi hapa

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 жов 2024
  • Rais Magufuli aliposikia sababu za wafanyabiashara wanavyosafirisha madini "kiujanja" kutokana na msusuru wa malipo.
    Sikiliza mlolongo huo na namna Rais anavyosikiliza.

КОМЕНТАРІ • 38

  • @eliasthomas1547
    @eliasthomas1547 3 місяці тому +5

    Mungu azidi kumpumzisha jpm.

  • @notburgamaskini7324
    @notburgamaskini7324 2 роки тому +7

    Apumzishwe kwa amani Mungu amlipe kwa mema haya na mengi ya haki aliyotutendea

  • @beatuskazimily457
    @beatuskazimily457 5 років тому +6

    Hongera xn umefunguka

  • @harunimfaume6280
    @harunimfaume6280 5 років тому +11

    huu jamaa yuko sahihii sana alio yaongea hajakosea kabisaa

  • @akidasalim9798
    @akidasalim9798 5 років тому +5

    Mh hongera baba

  • @danielyfidelis7102
    @danielyfidelis7102 5 років тому +8

    huyu jamaa anajua njia nyingi

  • @wilemakunga1016
    @wilemakunga1016 2 роки тому +3

    Allah akulaze mahali pema peponi

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 2 місяці тому

    Mashallah

  • @salumabdallah5529
    @salumabdallah5529 5 років тому +3

    saf sana

  • @fraviansweetberty8819
    @fraviansweetberty8819 3 роки тому +5

    Mara ih atukusikii ata saut Jpm wetuuu dunian ama tunapta

  • @chumilahazard2713
    @chumilahazard2713 5 років тому +5

    nikwel kabisa muinjilist

  • @mawazoaliselemani8909
    @mawazoaliselemani8909 2 роки тому +1

    WATU wana uchungu na TAIFA

  • @jerrywilhelm
    @jerrywilhelm 5 років тому +6

    Nimekuelewa mwinji

  • @petromtakati2975
    @petromtakati2975 2 роки тому +2

    King Solomon 💯💯💯💯

  • @OchoaHomeDecor_
    @OchoaHomeDecor_ 5 місяців тому

    Dah Mzee Magu RIP 😢 🙏

  • @hamidmkwizu6379
    @hamidmkwizu6379 2 роки тому

    Mungu aku

  • @mohamedyeslam5194
    @mohamedyeslam5194 4 місяці тому

    Jamaa ako Sawa Kwa maelezo, magufui mchaguwe huyo jamaa

  • @wycliffenyamweya.w
    @wycliffenyamweya.w 8 місяців тому

    Ndugu mnenaji mwema tu Hadi kaongezwa muda size yake tu,heko🎉jamani naye rais aliyekuwa na maslahi ya nchi yake rohoni make apumzike Kwa amani🙏

  • @apboy8944
    @apboy8944 2 місяці тому

    My former president r.i.p 🙏🙏

  • @yudamsafiri7427
    @yudamsafiri7427 4 роки тому +3

    Bila chenga kabisa

  • @wilemakunga1016
    @wilemakunga1016 2 роки тому +1

    Dah jpm tutakukumbuk

  • @abuumashua4971
    @abuumashua4971 2 роки тому

    Nikweli asa ayo ndio usika tunamkumbuka sana aliekuwa rais wetu rais wawanynge rais mwenye ofu ya mungu wamemziki kwaaliokuwa anatufanyia watanzania amepambana namafisadi ametutia ujasiri watanzania wote eeeeh ulazwe pema peponi arp josefu pombe makufuli

  • @eliaslazaro2809
    @eliaslazaro2809 2 роки тому

    Mwinjilist Solomon nyang'hwale nakuona mtumishi.

  • @feisal6592
    @feisal6592 2 роки тому

    Suluhisho ni machine tu

  • @abdillahkinande1057
    @abdillahkinande1057 3 місяці тому

    😅
    😊

  • @emmanuelsanga34
    @emmanuelsanga34 2 роки тому

    Wazalendo was kweli

  • @fidelislugusi5361
    @fidelislugusi5361 Рік тому

    R.i.p Jpm

  • @farajikilindila8907
    @farajikilindila8907 2 роки тому

    Ni raisi mwenyewe msimamo Sana na mfuatiliaji hatu kwa hatu toka akiwa waziri wa ujenzi kwakwel atutopata raisi mwenyewe msimamo km huyu tena

  • @kassimloav2402
    @kassimloav2402 2 роки тому

    Hapa maguli anaitendea HAKI kiti Cha urahis wapigaji mabeberu wazawa wanashikina na wanje ya nchi hapa anapata ukweli

  • @patrickmarwa5024
    @patrickmarwa5024 6 місяців тому

    Hili swala la dhahabu hata wabunge wa upinzani awaongei hili swala ni kupewa bahasha tu.

  • @kassimloav2402
    @kassimloav2402 2 роки тому

    Uongoz Wa maguli hakuna kiongozi anayesema vijisent au helaya chai maliuma unasema hela ya chai vijisent ni aibu

  • @nehemiazakeo2746
    @nehemiazakeo2746 2 роки тому +2

    Huo ndo uongozi ulivyo kuwa bora na ilikuwa hivyo kipindi hicho. yani ukiwa kiongozi bora yani hata watumishi wako huwa waminifu na kusema ukweli na kuwa na ujasili katika kazi yake kwa sababu anachokuwa akikisema kinakuwa na ukweli ndaniyake nakutekelezeka kwa halaka hivyo selikali na wana nchi wake hufulahiya matunda ya utendaji wao kwa uaminifu muzuli na kuiamini selikali na raiya kuamini selikali yake: Sijui? hii leo je, hayo yanayo semwa na huyo mubunge yana tekelezwa au ndo imebakia kama histolia? kama hivi zamani vile?

  • @CANAANTZ_TV
    @CANAANTZ_TV 4 місяці тому

    Haleluyaaa
    Jipatie vitabu vya maombi ya kiroho bureee Kwa njia ya WhatsApp
    1=Maombi ya kuvunja nguvu za kichawi zinazoshambulia maisha yako
    2=Maombi ya vita vya kiroho
    Bonyeza picha kushoto mwa comment hii tutakutumia bureee Kwa njia ya WhatsApp
    2=

  • @mosesmzakwe7774
    @mosesmzakwe7774 Рік тому +1

    HIVI HUYUU JAMAAA ALIKUWA MWINJILISTI KWELI
    ALIKUWA AMEVAA KIVULI CHA UINJILISTI?
    HAKIKA ALIKUWA MTUMISHI MWEMA.

    • @davykisabo875
      @davykisabo875 4 місяці тому

      Hahaha sahihi jamaa ni mwinjilisiti sahihi Mimi jirani ukitaka hata namba yake nikupe umsalimie

  • @kassimloav2402
    @kassimloav2402 2 роки тому

    Hapa maguli anaitendea HAKI kiti Cha urahis wapigaji mabeberu wazawa wanashikina na wanje ya nchi hapa anapata ukweli

    • @amanifataki1714
      @amanifataki1714 2 роки тому

      Magu tinao wengi ila wamebanwa na matajiri wa nchi hii ila tukimuomba mungu kwa pamoja hanaga roho mbaya.