Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

DUH! MAGUFULI ASHTUKIA MCHEZO MCHAFU - AMBANA MEYA - "PESA ZIKO WAPI?"....

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 жов 2019
  • DUH! MAGUFULI ASHTUKIA MCHEZO MCHAFU - AMBANA MEYA - "PESA ZIKO WAPI?"....
    Rais Dkt John Magufuli, leo Oktoba 07, amewasili mkoani Sumbawanga akiendelea na ziara yake nchini ya kukagua na kuzindua miradi mbalimbali...
    Katika ziara yake ambayo ilianzia mkoani Songwe, Rais Magufuli, ameongozana na mawaziri mbalimbali akiwemo Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga, Waziri wa mambo ya nje, Profesa Kabudi pamoja na naibu waziri wa michezo, Juliana Shonza..
    #RAISMAGUFULI
    YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 739 750 910 au +255 784 888982)
    ---------------------------------------------------------------------------------------
    HABARI MPYA DAILY: www.youtube.co....
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
    www.youtube.co....
    GLOBAL RADIO TV:
    www.youtube.co....
    EXCLUSIVE INTERVIEWS:
    www.youtube.co....

КОМЕНТАРІ • 482

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  5 місяців тому +5

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u6Dk3QxRsVCJ7kW2e

  • @KelvyKessy-sy4dd
    @KelvyKessy-sy4dd 3 місяці тому +23

    Alieangalia mwaka huu gonga like

  • @carlmax2221
    @carlmax2221 Рік тому +36

    God bless Tanzania 🇹🇿🇹🇿 and rest in peace President Magufuli...much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪

  • @goldgod9963
    @goldgod9963 4 роки тому +74

    E mwenyezi Mungu nipe namimi kipaji cha kua kiongozi bora kama cha Rais wetu kipenzi Magufuri

  • @saidntisi5994
    @saidntisi5994 4 роки тому +32

    Aliesikia kuwa kiongozi wa soko ni mnene anipe like zang.

  • @yusraswalah4734
    @yusraswalah4734 3 роки тому +45

    Rest in peace Doctor John Pombe Magufuli no one will replace your party

  • @omarbunu3412
    @omarbunu3412 10 місяців тому +13

    I am Kenyan but I miss magufuli BaBa wa wanyonge

  • @emmanuelraphael679
    @emmanuelraphael679 2 роки тому +15

    Tunakumiss sana rais wetu
    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @rajabukhalfan3026
    @rajabukhalfan3026 4 роки тому +33

    President JPM to be honest I appreciate you very much for your strong leadership You are the Gift from God to Tanzanians.. CCM didn't do mistake to nominate you.

  • @DottRoBroc
    @DottRoBroc 3 роки тому +47

    I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!

  • @davidmayenga48
    @davidmayenga48 3 роки тому +16

    Asante Mungu kwa maisha na uhai uliompa JPM!

  • @hadijaangura6572
    @hadijaangura6572 4 роки тому +37

    Makufuli i wish ww ungekuwa rahisi wa kenya jamani

    • @kelvinjohn6851
      @kelvinjohn6851 4 роки тому +4

      Karibu Tanzania. Tunaenjoy kuwa na Rais Magufuli.

    • @victorsudi2687
      @victorsudi2687 4 роки тому

      Kweli bro

    • @aliandrew3537
      @aliandrew3537 3 роки тому +3

      Ndo nuru ya magufuli isha enda ALLAH ATUREHEMU FROM KENYA... SITOKUSAHAU

    • @hamissuche6576
      @hamissuche6576 3 роки тому +1

      Mie 🇰🇪 ila nauliza wakenya wenzangu na waganda respectively,.. Je akifa uhuru na yoweri watu watauzunika kama alivyokufa jpm jmni naomba majibu yenu,. Rest in peace magu,.. Nalia sana

    • @nsanzetito1453
      @nsanzetito1453 3 роки тому

      Na Uganda si Kenya tu

  • @awiloligola7674
    @awiloligola7674 2 місяці тому +1

    KAMA UNAMUONA MAKONDA HAPAA!! NDANI YA MAGUFULI
    GONGA HAPA!!❤

  • @presidentzenith
    @presidentzenith Рік тому +7

    Always a pleasure listening to you JPM ❤

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  4 роки тому +22

    JE, una habari ungependa wana You Tube waijue? Tutumie au
    tupigie WhatsApp No: +255 657 955825 au +255 784 888982 - GLOBAL TV ONLINE.

    • @drtobias_
      @drtobias_ 4 роки тому +1

      Huu ujumbe wenu sijauewa mnatakaje

    • @dicksontillya5843
      @dicksontillya5843 4 роки тому +2

      Huku kwetu tanga kuna mzee kamuoa mke mpka polisi waingilia kati

    • @didimhutila8985
      @didimhutila8985 4 роки тому +4

      Unalipaje?

    • @umojatunzwetv
      @umojatunzwetv 4 роки тому +1

      Habali zahuko. Mimi nipo Canada ila ninahabali into umiza kweli. Kama inawezekana tutafutane WhatsApp +1 204 615 4043

    • @masoudtwaufik4953
      @masoudtwaufik4953 3 роки тому

      Mihi

  • @mbwanaomary7537
    @mbwanaomary7537 Рік тому +5

    Allah ailaze roho yako mahali pema peponi amiin

  • @dismassabinus7031
    @dismassabinus7031 3 роки тому +8

    tutakukumbuka daima rais John pombe magufuli

  • @emmanuelbonifase1114
    @emmanuelbonifase1114 4 роки тому +17

    Nimegoma kuitisha uchaguzi 2020 namtaka MAGUFULI aendelee kuongoza

  • @ernestonesmo405
    @ernestonesmo405 4 роки тому +23

    Kiongoz wa soko naye mnenee 😂😂😂😂 daaah magu ni shidaaa sijui maneno anayatolea wap

  • @fabiankyando1189
    @fabiankyando1189 4 роки тому +39

    Mungu akulinde Rais wangu,Mungu akurehemu,Mungu akupe hekima uishi miaka mingi ili tuone nchi yetu itafika wapi,Viva Tanzania, Viva Rais Magufuli

  • @mcmwasha9668
    @mcmwasha9668 4 роки тому +11

    Kuna mtu anasema eti utawala wa kisheria umekufa ulitaka sheria gani sasa inayobembeleza mpk lijengwe ghorofa wakat wafanyabiashara hawana tena soko,tunga sheria yako weka ghetto kwako we need to move far now

    • @pendael02
      @pendael02 4 роки тому +1

      Ulituchelewesha, na watu huwa wanataka kupata mianya ya jato asilimia kumi. Tupilia kule

    • @pendael02
      @pendael02 4 роки тому +1

      Pia ni mifumo ya kizungu

    • @neemahalisi9302
      @neemahalisi9302 4 роки тому

      nice nice niceeee

  • @wilisonastone660
    @wilisonastone660 4 роки тому +12

    For you to be leader you need to have wisdom from God.karibu Kenya uwe rais wetu hapa Kenya hakuna haki

  • @neemaalby5825
    @neemaalby5825 4 роки тому +64

    Mungu akuwezeshe
    Akupe umri
    Sijapata kuona kiongozi kama wewe MHESHIMIWA RAIS.
    MIMI NI MKENYA NA NATAMANI NINGEKUWA MTANZANIA NIKAJIONEA NA KUFAIDI KATIKA UONGOZI WAKO.

    • @kiswahilikitukuzwe2547
      @kiswahilikitukuzwe2547 4 роки тому +7

      Usijali kwani tutamchagua JPM kuwa raisi wa kwanza wa Jamhuri ya Shirikisho la Afrika Mashariki atakapomaliza awamu yake ya pili ya uraisi wa Tanzania.

    • @happymsaki1720
      @happymsaki1720 4 роки тому +4

      Njoo Tz ndgu yngu sie tunaraha kama zote na MAGUFULI wetu kipenzi changu wanyonge 2020 bila kupingwa

    • @yasingawaza3087
      @yasingawaza3087 4 роки тому

      Neema Alby

    • @lastborn6620
      @lastborn6620 2 роки тому

      @@kiswahilikitukuzwe2547 ndugu zangu kizuri hakidumu.

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena5922 2 роки тому +6

    Lala Salama Nahoza wetu Jahazi umeliacha ila Manahoza wamekuwa wengi sasa na limeshazama 😭😭😭😭

  • @husseinomary4466
    @husseinomary4466 4 роки тому +28

    Sidhani Kama kunasababu yakufanya uchaguz labda wawabunge tu lakini kiapnde hiki aapishwe tu Mambo yaende

  • @samwelimoshi5614
    @samwelimoshi5614 4 роки тому +11

    Kibonge ameongea kweli

  • @gesusgegangphray7689
    @gesusgegangphray7689 4 роки тому +22

    Wajinga ndio viongoz.watanzinia mjuwe magufuli ni nyota 5 star

  • @stanydizzy480
    @stanydizzy480 4 роки тому +11

    Daaah kwa Uncle Magu ukienda kichwaa kichwaa Unaumbukaa

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 Рік тому +4

    Nalia Sana kila nikitazama izi hotuba.JPM wetu jamani??😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿

  • @ramamtetu2327
    @ramamtetu2327 4 роки тому +24

    Magufuli hoyeeeeeeeee
    "Uzeni nyanya Uzeni dagaaa"
    Hahhhhh Safiiiiii

  • @orgenessjasper7649
    @orgenessjasper7649 4 роки тому +7

    Hongera Rais wetu kwa kazi nzuri ya ufwatiliji unayofanya mungu akubariki

  • @arthurochieng386
    @arthurochieng386 3 роки тому +14

    This man Magufli . It's only that we cannot question God , but we say 'let thy will be done'

  • @mansourmkanakuta6641
    @mansourmkanakuta6641 2 роки тому +5

    Tunakukumbuka Sana kwa ajili ya wanyonge unaenda peponi hayati magufuli

  • @agesag.m2476
    @agesag.m2476 3 роки тому +19

    He was really a wise man I say, Rest in Peace Mr. President.

  • @leonardmrope9528
    @leonardmrope9528 4 роки тому +8

    Uyu ndio Rais wawatu banah,, acha mzee Magu awanyooshe

  • @guleedadan3403
    @guleedadan3403 3 роки тому +11

    We want president uhuru to do exactly this kind of work and he should start it with Wajir county goverment.

  • @br.luckieafrica9233
    @br.luckieafrica9233 2 роки тому +8

    Africa needs more presidents like jp magufuli

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 4 роки тому +6

    Nakufuatilia vzr sanaaaaaaa baba. Na mm naomba kazi tuu ya kukusaidia. Maana upoooo vzr nkpnd presidaaaaa wanguu

  • @Mariaclala536
    @Mariaclala536 4 роки тому +18

    Ila huyu mzee ni genius Sana ndo anasafisha njia hvyo 2020

  • @SammySammy-es4ug
    @SammySammy-es4ug 2 місяці тому

    Me namkubali makuvuli mungu naomba utuurumie utupe rais kama makuvuli jee kama mnaamini tutapata sema amen 🙏

  • @felixkanyimbu6862
    @felixkanyimbu6862 3 роки тому +11

    Long live magufuli. We truly shall miss you.

    • @onesmothimos2635
      @onesmothimos2635 2 роки тому

      Sema ndo mungu tu ame mchukua lakini ninge pata kuku tana nae ninge mshauli kwenye mikutano yake tuwe tuna Ingia Kwa kiingilio jamaa alikuwa ana tupa mzuka kwelikweli

  • @olamegahararo
    @olamegahararo 5 годин тому

    Rais wa wanyonge 😢😢we will never forget your kindness 💔💔💔

  • @jamesakhabuhaya6194
    @jamesakhabuhaya6194 4 роки тому +10

    2020 kura yangu hiyooo

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 4 роки тому +10

    Thks god for give us Good leader🙏😊.

  • @amanijacquestwambaje696
    @amanijacquestwambaje696 4 місяці тому

    Magufuli was a Beacon of Hope for Africa, but our enemies did not want him to stay. However, let his exploits be our motivation we the upcoming African leaders. Let them be a guide to the incumbent African leaders if they desire to see a Continent free from chaos and divisions.

  • @kibajetihassan6218
    @kibajetihassan6218 3 роки тому +5

    Yani tundurisu na jamaa zake watasubiri sana

  • @biashaallyally3701
    @biashaallyally3701 4 роки тому +19

    Magu shikamoooo uko vzr 2020 kura yangu nakupa tu

  • @MengineyoBernad
    @MengineyoBernad 17 днів тому +1

    Dah tutakumbuka rais wawanyonge

  • @peninamusilim4469
    @peninamusilim4469 28 днів тому

    GREAT AFRICAN LEADER /PRESIDENT JOHN POMBE MANGUFULI. YOU WEREVERY HONESTY TRANSPARENT IN YOUR LEADERSHIP .TANZANIAN LOVED YOU MORE RIP

  • @valentinemtei2927
    @valentinemtei2927 4 роки тому +5

    Sidhani kama Meya anastahiki kumjibia mkurugenzi

  • @elijahm.muthini
    @elijahm.muthini 4 роки тому +7

    Anco magu hatari💥

  • @munguaibarikitanzanianawat9254
    @munguaibarikitanzanianawat9254 4 роки тому +5

    Mungu akubariki sana kwa kazi zurii mashallah nakuombea sana hunatafauti nakabus wallah

  • @yasser_yosa255
    @yasser_yosa255 6 місяців тому +1

    Dah Uyo jamaa sjuw kwann hakuslimu

  • @emmanuelbonifas3517
    @emmanuelbonifas3517 3 роки тому +3

    Mungu akusamehe rais wetu upumzike kwa aman sipati picha kbs kwamba atujikukuona tena ukiongea na ss

  • @imaninjau9135
    @imaninjau9135 Рік тому +8

    Rest in peace my hero father

  • @agnessjumanne1819
    @agnessjumanne1819 3 роки тому +4

    Pumzka kwa amani baba,,, tutakukumbuka sana

  • @sammygichuki5664
    @sammygichuki5664 3 роки тому +2

    Fantastic article

  • @wanzambinya8501
    @wanzambinya8501 Рік тому +2

    The best president in the world. i miss u Mr. Prezo. Continue to rest in peace.

  • @delicateone9214
    @delicateone9214 3 роки тому +7

    Rest Easy President 😭😭we miss you alot

  • @chachamwita9987
    @chachamwita9987 2 роки тому +2

    Laa Rais wetu sijui tutakuja kupata mtumwingine kamawewe mungu atujalie

  • @zahramunir8596
    @zahramunir8596 4 роки тому +9

    Raisi hawa viongozi wengi ni majanga tuu..usiwacheleweshee ktk taifa fagia tu..weka watu mwingine..

  • @alphoncenestorybishirangon1836
    @alphoncenestorybishirangon1836 4 роки тому +17

    2020 kura yangu na za familiya zangu zote kwa JPM 100%

    • @cassiusniyimpagaritse5347
      @cassiusniyimpagaritse5347 4 роки тому +2

      Nikikuwa mutanzania mwaka 2020 na familiya yangu yote nikwa JPM 100% arakini niko murundi

  • @simbaboy9435
    @simbaboy9435 3 роки тому +12

    RIP Magufuri Rais wetu wa Africa Allah ailaze Roho yako mahari pema peponi Amiin

  • @nameless533
    @nameless533 4 роки тому +41

    Kwanin tuharibu mamilioni kwa ajili ya uchaguzi wa 2020?

    • @nelsonnmwaipaja6980
      @nelsonnmwaipaja6980 4 роки тому +2

      umenena mzee

    • @lazarosilayo6918
      @lazarosilayo6918 4 роки тому

      Elias Dioniz Katibu ndvyo inavyosema uchaguz n kila baada y miaka 5, sasa hayo mawazo yko tafuta sehemu sahihi y kuyasemeaa au kasome katiba vzur uielewe uache kuropokaropoka.

    • @issamaulidi8407
      @issamaulidi8407 4 роки тому +3

      Lazaro Silayo Acha useng mangu atabak kuwa juuu

    • @mbwanaomary7537
      @mbwanaomary7537 4 роки тому +3

      @@lazarosilayo6918 mbona kama unateseka unajibu kwa hasira na gazabu hayo ni mawazo yake tu kama yeye kwa mtazamo wake ameona hamna haja ya uchaguzi ni mtazamo wake yaheshim

    • @nameless533
      @nameless533 4 роки тому +1

      @@lazarosilayo6918 😊 nidhahiri unateseka nahii spidi ya JpM. Mbona Mr Freeman mmempa uenyekiti w kudumu nawala hatusemi.?

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 4 роки тому +10

    Hakuna uamuzi umenifurahisha Kama leo. In maana Hawa viongozi walikuwa hawayaoni mpk rais ajeeeeeeeee jamani. Tumbua woteee haoooo

    • @lazarosailepu5666
      @lazarosailepu5666 4 роки тому +1

      Kweli Tanzania mungu katupa kiongoz mungu akbariki ras wet

    • @khalidjohn6576
      @khalidjohn6576 3 роки тому +1

      Mungu akukinge na majanga ,

  • @user-zk8sg3iw1z
    @user-zk8sg3iw1z 5 місяців тому

    Mungu akuepushie na mateso ya kuzimu na akuvishe taji ya Mbinguni nankukupa Raha ya mile Amina.....❤❤️‍🔥💗💓💞💕♥️🤍❤️🧡💛💚💙💜🤎

  • @willywaire50
    @willywaire50 2 роки тому +3

    Mungu aiwekeroho yake mahali pema peponi,watanzania mlikua na ndume jasiri kweli Mungu alimpenda Zaidi..

  • @edisonmaliva1719
    @edisonmaliva1719 4 роки тому +4

    Hahahaaa ngoja nimalize hili,mnababaisha tu,hahaaaa make some noise for the prezidaaaa.

  • @mariammatitu6392
    @mariammatitu6392 4 роки тому +3

    Ahsante rais wa wanyonge mungu akupe uhai mrefu wenye mafanikio

  • @mathiask128
    @mathiask128 9 місяців тому +3

    "Mr President, rest in peace."❤

  • @abdulfatahjuma5355
    @abdulfatahjuma5355 4 роки тому +6

    kiongozi wa soko nae ni mnene ,anakula hela nini?

  • @adinanipaulobogaadinanipau3665
    @adinanipaulobogaadinanipau3665 3 роки тому +2

    Mm nakupenda sana rais wangu mungu akubariki

  • @akidanyanje9072
    @akidanyanje9072 2 роки тому +2

    Mungu ebu tufufulie Jpm ,tuko chini ya miguu yakoo

  • @samiraali5505
    @samiraali5505 4 роки тому +4

    Sijuti kura yangu Magu oyeeeee,2020 InshaAllah, utapita tu babalao!!

  • @peterandrew2795
    @peterandrew2795 9 місяців тому

    Punzika kwa amani baba naumia sana nikisikia sauti yako tuu jpm.....mungu umpunguzie adhabu huyo baba kwake uongo ni mdogo.

  • @lupamwakyusa1582
    @lupamwakyusa1582 5 місяців тому

    R I P realy leader Magufuli ❤, waliobaki wahuni

  • @gharibislam1586
    @gharibislam1586 2 роки тому +1

    The best president of Africa,Watu watakukumbuka

  • @user-zy5ru7pu9m
    @user-zy5ru7pu9m 2 місяці тому

    Tuacheni dini , kabila mbali ,,, huyu jamaa kwenye haki nahuruma alikuwa sawa. Udhaifu wakibinaadamu anao ila mema nimengi.

  • @kelvinkaniki7186
    @kelvinkaniki7186 4 роки тому +6

    Bravo my president

  • @vitussnowery
    @vitussnowery 3 місяці тому

    utuwez kumpata rais Kama uyu mungu umubariki❤

  • @maniscamullah6282
    @maniscamullah6282 2 місяці тому

    LEO NI JUNE 2024 TUJUANE TULIO MMIS RAIS KIPENZ CHETU

  • @samwelmlingi7822
    @samwelmlingi7822 2 роки тому +2

    Eeemwenyezi mungu mpumzishe mahari pemapeponi raisi wetu, Amina

  • @stephenkilele5071
    @stephenkilele5071 2 роки тому +1

    Yaani uyu alikuwa kiongozi ...real president

  • @chuwaloonlinetv6672
    @chuwaloonlinetv6672 4 роки тому +4

    Yan baba umepita kula yang 2020 we Chukua

  • @claudekimu9511
    @claudekimu9511 2 роки тому +3

    Hakika Mungu amrehemu

  • @francisgichuhi4337
    @francisgichuhi4337 2 роки тому +2

    Kwanini uhuru wa Kenya hawesi kufanya kama huyu raisi wa Tanzania?

  • @abuyabally5086
    @abuyabally5086 4 роки тому +3

    salute nakuukubali sana raisi wangu mpendwa jpm heshima yako mkuu

  • @pastorrusagarajosephsolo8692
    @pastorrusagarajosephsolo8692 2 роки тому +2

    Mwenye haki akiwa na Amri watu hufurahi. Pumzika kwa amani Mhe.JPM

  • @annakisiga889
    @annakisiga889 3 роки тому +2

    Duhu mpka naumia Sana ka har hii tawala mpka mwenyez mungu akutwaee

  • @abuyabally5086
    @abuyabally5086 4 роки тому +4

    uchaguzi wa urais ufanyike 2025 tu 2020 ifanyike wabunge na madiwani tu urais no hatutaki

  • @JumanneRashid-kr2nv
    @JumanneRashid-kr2nv 10 місяців тому

    Raisi wa wanyonge mungu akubaliki sana magufuri

  • @zenamilanzi1471
    @zenamilanzi1471 4 роки тому +5

    Magu oyeeee

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 Рік тому +2

    Ndo maana watu walizimia baada ya kifo chako baba🙏🙏

  • @evelynebwire7684
    @evelynebwire7684 3 роки тому +6

    Baba kweli ndio maana tulizimia na kukata tamaa baada ya msiba wako kutokea. Pumzika kwa Amani Rais wangu JPM

  • @ZawadiSamy
    @ZawadiSamy 2 місяці тому

    Mzee magufuli munguakulinde peponi

  • @alexolelaba6118
    @alexolelaba6118 Рік тому

    Best president in Africa

  • @samwelmbaule5003
    @samwelmbaule5003 4 роки тому +4

    Ahsante sana Rais.

  • @rastalukumai
    @rastalukumai 2 роки тому +1

    Akiyamungu magufuli. Mungu aisamehe roho yako. Naukojuu akupeuongozi wowote. Tumekumiss sana

  • @msetikebwasi1469
    @msetikebwasi1469 3 роки тому +2

    Huyu mzee alitakiwa aendelee kuishi ,alikuwa anafurahisha sana .

  • @godfreylyimo4177
    @godfreylyimo4177 4 роки тому +9

    Taifa limepata Rais! Miaka inakimbia lkn Mungu hata sasa amtusaidia. Miaka 5 ijayo Mungu akupe afya njema umalize kazi njema uliyoianzisha