LIVE : RAIS DKT. JOHN P. MAGUFULI AKIWA NJIANI KURUDI DAR ES SALAAM
Вставка
- Опубліковано 29 лип 2020
- Rais Dkt. John P. Magufuli arejea Dar Es Salaam baada ya kuhudhuria mazishi ya Hayati Mhe. Benjamin W. Mkapa; Rais mstaafu wa awamu ya Tatu.
Anahutupia wananchi na kuwasikilia.
Style yako ya uongozi John pombe Magufuli nimewahi isoma kwenye biblia kipindi cha sulemani yaan Mungu ametuona
Notokea Kenya but kwakweli nlikua nampenda Sana magufuli..I miss him, jamaa alikua mtenda kazi na haki kwa wotee..may His soul rest in peace
Mungu akujalie maisha marefu na nguvu ya kuendelea kuijenga Tanzania yetu 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hongera Rais wetu kwa kutatua migogoro papo kwa papo,mungu aendelee kukutunzs
Super Mheshimia Dkt Magufuli unasikiliza kero za Wananchi kwa uamifu na kwa uhaki asante Mungu akulinde akupe Afya katika miaka mingine
Watanzania tumshukuru mungu kwa hili jembe
Uko vizuri baba na kwa kutetea wanyonge,nasi tunakuomba uwangazie watu wa mafao ndani ya mfuko wetu wa jamii ppf tunapata shida tunachukua mda na mambo mengi mengi,tusaidie na tulipwe madai yetu.
Huyu sio rais huyu ni mtetezi wa wote
Hongera muheshimiwa kwa ,kaz saf unazozifanya.hakika mungu akulinde na kukuongoza vyema katika kaz zako,
Umetixha we babalao
The best president Africans have ever had may good God keep his soul in internal 💪🏾♥️
Hongera Sana Rais, kwa kweli wewe ni kiongozi Na.moja nakupongeza na Kila mmoja ana-appreciate na kazi yako Kila nyanja.
Our father is in good hands with god😉😉😉😌😌
bazaar |is ❤.. 😮😮ablm❤ze 2:11 👩🔬😅🇺🇬❤
Raisi Wa wanyonge,nani awezaye haya,isipo JPM apewe kura zote.
Natamani uongoze hii nchi milele aiseee Mungu akutunzeee Raisi wangu
Ahsante sana jembe letu
Jamanii,INANIUMASANA
Born a leader dead a leader RIP mzee .
Mhe. Rais anavyojieleza kwa data ni zaidi ya Mtafutakazi na anastaili kupewa kazi. Gonga like.
huyu rais jaman mungu mjalie maisha marefu aish mpaka miaka 200 kwel ni mungu katupa nampenda tangia akiwa wazir wa ardhi
Hongera mama Samia, rais wetu mpendwa kumrudisha Komorefi Makonda kwenye uringo.
Safi Sana Raisi 💯💪🏼 Tuko pamoja
Dah jpm Allah aendelee kukupa afya na khekma katika utendaji wako
ila rais wangu me nakupenda mno ungepumzika kwanza baba maana tangia msiba umeenza hujapumzika baba pata muda wa kupumzika baba wa wanyonge
Ukweli mtupu.. 🇹🇿
Mwenyezi mungu akutunze Mh raisi
Hivi huyu raisi kazaliwa na mwanamke au kashushwa kutoka minguni ? Maana yupo tofauti na hawa binaadam wengine kama wanyama .
Ziada fanya kustaghafiru kwanza unakosea ukisema hivyo
mimi hapa nampenda sana jpm He is so genius
Rais maghufuli, unastaili uje hapa kwetu kenya unyoroshe wabunge wetu.
Am frm kampala watching these videos
Mweeee yale mengine yatakuwa yametoa macho kodo wakimwangalia mwamme akiunguruma na wananchi wake kwa upendo magu Mungu akulinde kila utokako na uingiapo baba damu ya Yesu ikufunike pole na msiba pia pole na safari ndefu
Mungu akupe maisha marefu kwa kutetea wanyonge
Ahsante sana mzee baba
If Africa had leaders like the late j p m we would have been in the first world countries rip jpm
Am also akenyan but I was alover of magufuli ,we cant get like this ,rip magufuli
Hongera sana mh rais kwa juhudi zako mungu akutunze
Your the only president in Africa who cares common mwanainchi.. Rest in peace John Pombe Magufuli.... Tanzania mlipoteza sana...sisi hapa Kenya tulimaliza kura but hakuna maendeleo tumeeka mbele masuala ya vyeo sasa hivi tunashughulikia kutoa term limit ya president
rais ananifrahisha pale anapo sema pesa kama imeliwa kuna kakicheko fran hiv kicheko cha tahazari
Ihiiiiii
magufuli we noma walah
Hmmmm barikiwa sanaaaaa
Malaika anamwambia mh kua huyu Mama hadanganyi😁😁😁kwl huyu n malaika anaeishi dunian Kwa kuonekana
Maikopaul Maiko😂😂😂😂😂😂😂😂😲😂😚😂😂🤭🤭🤭
Abarikiwe mwnanamke aliyekuzaa
JPM rais wa watu na watanzania
Kweli kabisa huyu ndo tumtakayo
We will miss a straight forward prezido who used to work for the tanzanian not his self
Gud rais wangu jpm. We we rais Wa wanyonge
Mungu akuweke mahali pema pepon amen
Mungu akupumzishe mahari pema peponi
Nakupenda mnoo baba wa haki
pole baba yangu mwenye hekima ya sulemani mungu akulinde rais
Magu uiongoze Tanzania kwa miaka ishirini nasio kumi tena
Magufuli was a great leader for the people of Tanzanian majority and All intaia continatal may he also ready in peace
😂😂😂😂😂😂😂 dah Huyu Raisi hapana mm ningependa aongoze miaka mpaka Allah amchukue lazima ujichanganye
I am a kenyan and I love magufuli and his leadership
😭😭😭 Kuna viongozi hapa Tz mafala hasa wabunge na madiwani mafala sana yani wanapewa mamlaka lakini wanalala hovyo tu
Continue resting well Rais magufuli
Rais wa moyo wangu,kama kuna aliyehusika na kifo chako! Laana iwe juu yake na vizazi vyake vyote,pumzika kwa amani,Ameni.
Sana mungu atalipa
Reaching to the poor good. God bless you.
Hapanaaa. Huyu ni Mfalme. Wa Jamhur ya Muungano wa Tanzania. Jaman wa Tanzania. Tumpeni Mfalme. John. Josef. Pombe. Magufuli nchi. Kama Jamhur ya watu wa China. Magufuli ni chaguo la Mungu. Ni msaada wa nchi ya Tanzania. Na bars nzima la Afrika na Dunia nzima. Magufuli. Big up. Sana Rais wangu. Kipenzi. Mwenyezi Mungu. Akujalie Maisha marefu. Na Afyanjema. Na Familia yako.
Ni kweli kabisa ,mambo ya ardhi kuna uonevu sana.
Hapo tu ndio unapokua rais wa miaka 20 yaan unajua kuwasaidia wanyonge president JPM
I lyk how prez magfuri how he was doing his things in kiswahili kasoma jambo kwa umakini kwa uadilifu na undani na kumweka Mungu mbele kati na mwisho
Huyu rais ningekua nauwezo ningempa hata mkono kwajinsi ninavompenda
AGAIN AND AGAIN, A MAN OF SEASON A PRESIDENT OF TIME
Yaaah
Pombe is the best president in the world.
Mungu wetu tunakuomba pitisha moto wako kwa wale wote waliohusika na kumuondoa huyu kiongozi wetu alietupenda.
Magufuli ana kazi
Kweli kabisaa sina hamu huu ni wito kama huna huwezi!
Ila wasaidiz wa mh wanaonekana wamechokaaa
Mwenyezi mungu atakulinda popote utakapo kwenda wewe ni kiongozi wa wawanyonge utashinda ushindi mkubwa sana
Maendeleo yanahitaji kujipanga vizuri na kupunguza kubembelezana Hongera JPM kwa kujitaidi kumaliza baadhi ya matatizo papo kwa papo 👍
We lost great leader😭😭😭😭
Mungu akulaze pema pepon,Ila speech yako hii imeniingia moyoni.Mimi binadamu tu
True & real thinker Magufuri RIP MJOMBA MAGUFURI..
God is able ..grow Tanzania.
A
Your man power are coming back. R.I.P
Thanks God for Magufuli time.R.I.P MAGU always I remember you
Huyu ndo rais
Pumzika Kwa amani mzee magufuli hakika ulipigana sana.......
NO WHERE TO GO AND NO WHERE TO HID. (TIME )
MATH and l0ve.
MZEE JPM NI MTU WA WATU..
Good job.
Pumzika Kwa Mani baba yetu magufuli
Continue resting in power Magufuli
Yyyuh ZZQ
Citizen
Citizen
Mungu akupumzishe Kwa aman,baba,,ulikuwa mzalendo hass
Tutakukumbuka sana,saa hii ni wananchi wanakaliwa na viongozi kichwani-HAKUNA HAKI
R.I.P Mr president .We miss u
The best president ever in Africa ❤❤❤❤❤❤
Mungu akulaze mahala pema. Uliyafanya makubwa.
president of the all time...!! katiba hakika ni lazima ibadilishe utawale milele, Mwenye kupinga afanye kama anajikuna hivi..
Good president ever.
This was a real leader MYSRIP sir 🫡❤️🙏🏿
Huyu ndio rais Allah amuhifadhi
Magufuli was a tough but a fair leader...
Magufuli baba lao
👌
Wewe DC acha kuongea sana wakati Mhe Rais anaongea na wewe unaongea ongea tu.
Huyo DC Ni mtu mmoja makini Sana na mfuatiliaji sema tu mkuranga majanga mengi Sana kule na rais anatambua Hilo
Aksante baba, RIP
Roho yako ipumzike katika amani
Mr. President chapa kazi...
Sawa kabisa.
Amina
Wana jua wao
Tume ikosa sana sauti yako Baba.Baba lala kwa buriani. Bado kivuli chako hadi sasa kitawatesa sana Mbowe na Rissu usiku wakiilala wanaweweseka vitandani mwao na kupiga mayowe.!!!!!!
Dah rest in peace Magufuli
Piga kazi baba
🔥🔥🔥🔥🔥