LIVE : RAIS DKT. JOHN P. MAGUFULI AKIWA NJIANI KURUDI DAR ES SALAAM

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 лип 2020
  • Rais Dkt. John P. Magufuli arejea Dar Es Salaam baada ya kuhudhuria mazishi ya Hayati Mhe. Benjamin W. Mkapa; Rais mstaafu wa awamu ya Tatu.
    Anahutupia wananchi na kuwasikilia.

КОМЕНТАРІ • 257

  • @nehemiaisakwisa8604
    @nehemiaisakwisa8604 4 роки тому +34

    Style yako ya uongozi John pombe Magufuli nimewahi isoma kwenye biblia kipindi cha sulemani yaan Mungu ametuona

  • @kaystyle614
    @kaystyle614 Рік тому +6

    Notokea Kenya but kwakweli nlikua nampenda Sana magufuli..I miss him, jamaa alikua mtenda kazi na haki kwa wotee..may His soul rest in peace

  • @petermillanzi960
    @petermillanzi960 4 роки тому +16

    Mungu akujalie maisha marefu na nguvu ya kuendelea kuijenga Tanzania yetu 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @neemantandu5852
    @neemantandu5852 4 роки тому +5

    Hongera Rais wetu kwa kutatua migogoro papo kwa papo,mungu aendelee kukutunzs

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 4 роки тому +9

    Super Mheshimia Dkt Magufuli unasikiliza kero za Wananchi kwa uamifu na kwa uhaki asante Mungu akulinde akupe Afya katika miaka mingine

  • @festokibiki8961
    @festokibiki8961 4 роки тому +10

    Watanzania tumshukuru mungu kwa hili jembe

  • @florajohn1927
    @florajohn1927 4 роки тому +9

    Uko vizuri baba na kwa kutetea wanyonge,nasi tunakuomba uwangazie watu wa mafao ndani ya mfuko wetu wa jamii ppf tunapata shida tunachukua mda na mambo mengi mengi,tusaidie na tulipwe madai yetu.

  • @festokibiki8961
    @festokibiki8961 4 роки тому +15

    Huyu sio rais huyu ni mtetezi wa wote

  • @bernaddimosso9121
    @bernaddimosso9121 4 роки тому +2

    Hongera muheshimiwa kwa ,kaz saf unazozifanya.hakika mungu akulinde na kukuongoza vyema katika kaz zako,

  • @jafarimkova9173
    @jafarimkova9173 4 роки тому +8

    Umetixha we babalao

  • @frankoiputa8181
    @frankoiputa8181 8 місяців тому +3

    The best president Africans have ever had may good God keep his soul in internal 💪🏾♥️

  • @omarumwanjali4614
    @omarumwanjali4614 4 роки тому +1

    Hongera Sana Rais, kwa kweli wewe ni kiongozi Na.moja nakupongeza na Kila mmoja ana-appreciate na kazi yako Kila nyanja.

  • @johnpeter404
    @johnpeter404 9 місяців тому +9

    Our father is in good hands with god😉😉😉😌😌

    • @Nikolasmatabaro-fl5ez
      @Nikolasmatabaro-fl5ez 6 місяців тому

      bazaar |is ❤.. 😮😮ablm❤ze 2:11 👩‍🔬😅🇺🇬❤

  • @brownmwangome7816
    @brownmwangome7816 4 роки тому +12

    Raisi Wa wanyonge,nani awezaye haya,isipo JPM apewe kura zote.

  • @priscameshack6288
    @priscameshack6288 4 роки тому +8

    Natamani uongoze hii nchi milele aiseee Mungu akutunzeee Raisi wangu

  • @JustusMwania
    @JustusMwania 10 місяців тому +5

    Born a leader dead a leader RIP mzee .

  • @mkemiamagege8477
    @mkemiamagege8477 4 роки тому +1

    Mhe. Rais anavyojieleza kwa data ni zaidi ya Mtafutakazi na anastaili kupewa kazi. Gonga like.

  • @esterkimario1126
    @esterkimario1126 4 роки тому +8

    huyu rais jaman mungu mjalie maisha marefu aish mpaka miaka 200 kwel ni mungu katupa nampenda tangia akiwa wazir wa ardhi

  • @samsonmakombe9636
    @samsonmakombe9636 8 місяців тому +1

    Hongera mama Samia, rais wetu mpendwa kumrudisha Komorefi Makonda kwenye uringo.

  • @sameermilo2492
    @sameermilo2492 4 роки тому +4

    Safi Sana Raisi 💯💪🏼 Tuko pamoja

  • @mohamedkikale7241
    @mohamedkikale7241 4 роки тому +14

    Dah jpm Allah aendelee kukupa afya na khekma katika utendaji wako

  • @esterkimario1126
    @esterkimario1126 4 роки тому +13

    ila rais wangu me nakupenda mno ungepumzika kwanza baba maana tangia msiba umeenza hujapumzika baba pata muda wa kupumzika baba wa wanyonge

    • @kebo2155
      @kebo2155 4 роки тому

      Ukweli mtupu.. 🇹🇿

  • @kelvinmwambandile2783
    @kelvinmwambandile2783 4 роки тому +3

    Mwenyezi mungu akutunze Mh raisi

  • @ziadasalim1459
    @ziadasalim1459 4 роки тому +8

    Hivi huyu raisi kazaliwa na mwanamke au kashushwa kutoka minguni ? Maana yupo tofauti na hawa binaadam wengine kama wanyama .

    • @fatmas7338
      @fatmas7338 4 роки тому

      Ziada fanya kustaghafiru kwanza unakosea ukisema hivyo

  • @jeanmubemba1204
    @jeanmubemba1204 4 роки тому +3

    mimi hapa nampenda sana jpm He is so genius

  • @nemuelombasa8810
    @nemuelombasa8810 4 роки тому +6

    Rais maghufuli, unastaili uje hapa kwetu kenya unyoroshe wabunge wetu.

  • @ZediKangulumira-pk2uu
    @ZediKangulumira-pk2uu Рік тому +1

    Am frm kampala watching these videos

  • @faustinemavere1450
    @faustinemavere1450 4 роки тому +5

    Mweeee yale mengine yatakuwa yametoa macho kodo wakimwangalia mwamme akiunguruma na wananchi wake kwa upendo magu Mungu akulinde kila utokako na uingiapo baba damu ya Yesu ikufunike pole na msiba pia pole na safari ndefu

  • @jacobphilemon6394
    @jacobphilemon6394 4 роки тому +2

    Mungu akupe maisha marefu kwa kutetea wanyonge

  • @ramadhanihussein3918
    @ramadhanihussein3918 4 роки тому +3

    Ahsante sana mzee baba

  • @ZediKangulumira-pk2uu
    @ZediKangulumira-pk2uu Рік тому +1

    If Africa had leaders like the late j p m we would have been in the first world countries rip jpm

  • @dennisjuma3940
    @dennisjuma3940 Рік тому +1

    Am also akenyan but I was alover of magufuli ,we cant get like this ,rip magufuli

  • @stanleymsenga9118
    @stanleymsenga9118 4 роки тому +6

    Hongera sana mh rais kwa juhudi zako mungu akutunze

  • @isaacnyongeza167
    @isaacnyongeza167 Рік тому +3

    Your the only president in Africa who cares common mwanainchi.. Rest in peace John Pombe Magufuli.... Tanzania mlipoteza sana...sisi hapa Kenya tulimaliza kura but hakuna maendeleo tumeeka mbele masuala ya vyeo sasa hivi tunashughulikia kutoa term limit ya president

  • @dullyyesu9036
    @dullyyesu9036 4 роки тому +10

    rais ananifrahisha pale anapo sema pesa kama imeliwa kuna kakicheko fran hiv kicheko cha tahazari

    • @RioIpo
      @RioIpo 4 роки тому +1

      Ihiiiiii

  • @zakkaumeme9829
    @zakkaumeme9829 4 роки тому +5

    magufuli we noma walah

  • @maryoswad7022
    @maryoswad7022 4 роки тому +2

    Hmmmm barikiwa sanaaaaa

  • @maikopaulmaiko1900
    @maikopaulmaiko1900 4 роки тому +7

    Malaika anamwambia mh kua huyu Mama hadanganyi😁😁😁kwl huyu n malaika anaeishi dunian Kwa kuonekana

    • @annakulanga5415
      @annakulanga5415 4 роки тому

      Maikopaul Maiko😂😂😂😂😂😂😂😂😲😂😚😂😂🤭🤭🤭

  • @nurusimbeye562
    @nurusimbeye562 4 роки тому +2

    Abarikiwe mwnanamke aliyekuzaa

  • @nehemiaisakwisa8604
    @nehemiaisakwisa8604 4 роки тому +8

    JPM rais wa watu na watanzania

  • @ZediKangulumira-pk2uu
    @ZediKangulumira-pk2uu Рік тому +3

    We will miss a straight forward prezido who used to work for the tanzanian not his self

  • @mangegervas9651
    @mangegervas9651 4 роки тому +5

    Gud rais wangu jpm. We we rais Wa wanyonge

  • @selemaniathumani9855
    @selemaniathumani9855 Рік тому +1

    Mungu akuweke mahali pema pepon amen

  • @DamianNdege-gh3tj
    @DamianNdege-gh3tj 8 місяців тому +1

    Mungu akupumzishe mahari pema peponi

  • @gracebruno2644
    @gracebruno2644 4 роки тому +2

    Nakupenda mnoo baba wa haki

  • @fedelinamahenge6649
    @fedelinamahenge6649 4 роки тому +3

    pole baba yangu mwenye hekima ya sulemani mungu akulinde rais

  • @niokoemahenge4312
    @niokoemahenge4312 4 роки тому +4

    Magu uiongoze Tanzania kwa miaka ishirini nasio kumi tena

  • @KabazoMumba
    @KabazoMumba 8 місяців тому +1

    Magufuli was a great leader for the people of Tanzanian majority and All intaia continatal may he also ready in peace

  • @ommyakili552
    @ommyakili552 4 роки тому +3

    😂😂😂😂😂😂😂 dah Huyu Raisi hapana mm ningependa aongoze miaka mpaka Allah amchukue lazima ujichanganye

  • @rasnews1703
    @rasnews1703 4 роки тому +17

    I am a kenyan and I love magufuli and his leadership

    • @ommyakili552
      @ommyakili552 4 роки тому +1

      😭😭😭 Kuna viongozi hapa Tz mafala hasa wabunge na madiwani mafala sana yani wanapewa mamlaka lakini wanalala hovyo tu

  • @natashamwikali3413
    @natashamwikali3413 Рік тому +3

    Continue resting well Rais magufuli

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 8 місяців тому +2

    Rais wa moyo wangu,kama kuna aliyehusika na kifo chako! Laana iwe juu yake na vizazi vyake vyote,pumzika kwa amani,Ameni.

  • @patrickmuchiri7480
    @patrickmuchiri7480 4 роки тому

    Reaching to the poor good. God bless you.

  • @fredkyara3278
    @fredkyara3278 4 роки тому +4

    Hapanaaa. Huyu ni Mfalme. Wa Jamhur ya Muungano wa Tanzania. Jaman wa Tanzania. Tumpeni Mfalme. John. Josef. Pombe. Magufuli nchi. Kama Jamhur ya watu wa China. Magufuli ni chaguo la Mungu. Ni msaada wa nchi ya Tanzania. Na bars nzima la Afrika na Dunia nzima. Magufuli. Big up. Sana Rais wangu. Kipenzi. Mwenyezi Mungu. Akujalie Maisha marefu. Na Afyanjema. Na Familia yako.

  • @evelyinipaja1202
    @evelyinipaja1202 4 роки тому +3

    Ni kweli kabisa ,mambo ya ardhi kuna uonevu sana.

  • @nehemiaisakwisa8604
    @nehemiaisakwisa8604 4 роки тому +8

    Hapo tu ndio unapokua rais wa miaka 20 yaan unajua kuwasaidia wanyonge president JPM

  • @eliudkimari-wt5cl
    @eliudkimari-wt5cl 8 місяців тому

    I lyk how prez magfuri how he was doing his things in kiswahili kasoma jambo kwa umakini kwa uadilifu na undani na kumweka Mungu mbele kati na mwisho

  • @hamidjuma6109
    @hamidjuma6109 4 роки тому +8

    Huyu rais ningekua nauwezo ningempa hata mkono kwajinsi ninavompenda

  • @raphaellyela2910
    @raphaellyela2910 4 роки тому +14

    AGAIN AND AGAIN, A MAN OF SEASON A PRESIDENT OF TIME

  • @user-sp4jr4vw6t
    @user-sp4jr4vw6t 2 місяці тому

    Mungu wetu tunakuomba pitisha moto wako kwa wale wote waliohusika na kumuondoa huyu kiongozi wetu alietupenda.

  • @eischerschwederm7876
    @eischerschwederm7876 4 роки тому +3

    Magufuli ana kazi

    • @joearm5551
      @joearm5551 4 роки тому

      Kweli kabisaa sina hamu huu ni wito kama huna huwezi!

  • @maikopaulmaiko1900
    @maikopaulmaiko1900 4 роки тому +4

    Ila wasaidiz wa mh wanaonekana wamechokaaa

  • @christophermganga5216
    @christophermganga5216 4 роки тому +2

    Mwenyezi mungu atakulinda popote utakapo kwenda wewe ni kiongozi wa wawanyonge utashinda ushindi mkubwa sana

  • @emmanuelturuka8528
    @emmanuelturuka8528 4 роки тому

    Maendeleo yanahitaji kujipanga vizuri na kupunguza kubembelezana Hongera JPM kwa kujitaidi kumaliza baadhi ya matatizo papo kwa papo 👍

  • @josephmbugua2580
    @josephmbugua2580 Рік тому +1

    We lost great leader😭😭😭😭

  • @athumanidona4944
    @athumanidona4944 Рік тому

    Mungu akulaze pema pepon,Ila speech yako hii imeniingia moyoni.Mimi binadamu tu

  • @Vincentsyona-bj6qj
    @Vincentsyona-bj6qj 5 місяців тому

    True & real thinker Magufuri RIP MJOMBA MAGUFURI..

  • @patrickmuchiri7480
    @patrickmuchiri7480 4 роки тому +1

    God is able ..grow Tanzania.

  • @samsonmakombe9636
    @samsonmakombe9636 8 місяців тому

    Your man power are coming back. R.I.P

  • @joharikhatibu27
    @joharikhatibu27 Рік тому +10

    Thanks God for Magufuli time.R.I.P MAGU always I remember you

  • @JumanneSalisali
    @JumanneSalisali 9 місяців тому +1

    Huyu ndo rais

  • @emmanuelmashishanga5057
    @emmanuelmashishanga5057 Рік тому +1

    Pumzika Kwa amani mzee magufuli hakika ulipigana sana.......

  • @johnsentamu4353
    @johnsentamu4353 8 місяців тому +1

    NO WHERE TO GO AND NO WHERE TO HID. (TIME )
    MATH and l0ve.

  • @sweetbertmalimi1567
    @sweetbertmalimi1567 4 роки тому +5

    MZEE JPM NI MTU WA WATU..

  • @patrickmuchiri7480
    @patrickmuchiri7480 4 роки тому

    Good job.

  • @amosidaniel1830
    @amosidaniel1830 Рік тому +1

    Pumzika Kwa Mani baba yetu magufuli

  • @polycapnyongesa2466
    @polycapnyongesa2466 Рік тому +4

    Continue resting in power Magufuli

  • @saidaamir4462
    @saidaamir4462 Рік тому

    Mungu akupumzishe Kwa aman,baba,,ulikuwa mzalendo hass

  • @karimmveyange280
    @karimmveyange280 Рік тому

    Tutakukumbuka sana,saa hii ni wananchi wanakaliwa na viongozi kichwani-HAKUNA HAKI

  • @japhethcharles5791
    @japhethcharles5791 Рік тому +1

    R.I.P Mr president .We miss u

  • @keithmomanyi5188
    @keithmomanyi5188 6 місяців тому

    The best president ever in Africa ❤❤❤❤❤❤

  • @samsonmakombe9636
    @samsonmakombe9636 8 місяців тому

    Mungu akulaze mahala pema. Uliyafanya makubwa.

  • @odaxkasita8264
    @odaxkasita8264 4 роки тому

    president of the all time...!! katiba hakika ni lazima ibadilishe utawale milele, Mwenye kupinga afanye kama anajikuna hivi..

  • @patrickmuchiri7480
    @patrickmuchiri7480 4 роки тому

    Good president ever.

  • @abangaabanga4677
    @abangaabanga4677 Рік тому

    This was a real leader MYSRIP sir 🫡❤️🙏🏿

  • @allyhamisi2639
    @allyhamisi2639 Рік тому

    Huyu ndio rais Allah amuhifadhi

  • @luqmanmakarani8339
    @luqmanmakarani8339 Рік тому

    Magufuli was a tough but a fair leader...

  • @castokasekenya467
    @castokasekenya467 4 роки тому +2

    Magufuli baba lao

  • @emmanuelturuka8528
    @emmanuelturuka8528 4 роки тому +1

    👌

  • @mkemiamagege8477
    @mkemiamagege8477 4 роки тому +2

    Wewe DC acha kuongea sana wakati Mhe Rais anaongea na wewe unaongea ongea tu.

    • @raymondmsuya7127
      @raymondmsuya7127 4 роки тому

      Huyo DC Ni mtu mmoja makini Sana na mfuatiliaji sema tu mkuranga majanga mengi Sana kule na rais anatambua Hilo

  • @samsonmakombe9636
    @samsonmakombe9636 8 місяців тому

    Aksante baba, RIP

  • @ZawadiSamy
    @ZawadiSamy 5 місяців тому

    Roho yako ipumzike katika amani

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 4 роки тому

    Mr. President chapa kazi...

  • @samsonmakombe9636
    @samsonmakombe9636 8 місяців тому

    Sawa kabisa.

  • @benjaminonpiano304
    @benjaminonpiano304 4 роки тому

    Amina

  • @OnesmoKapinga-yi3lv
    @OnesmoKapinga-yi3lv 10 місяців тому

    Wana jua wao

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 Рік тому

    Tume ikosa sana sauti yako Baba.Baba lala kwa buriani. Bado kivuli chako hadi sasa kitawatesa sana Mbowe na Rissu usiku wakiilala wanaweweseka vitandani mwao na kupiga mayowe.!!!!!!

  • @emanuelsimbeye7538
    @emanuelsimbeye7538 8 місяців тому +1

    Dah rest in peace Magufuli

  • @steventambi6353
    @steventambi6353 4 роки тому +1

    Piga kazi baba

  • @gentlemanjunior1155
    @gentlemanjunior1155 4 роки тому

    🔥🔥🔥🔥🔥