Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Terminal One JNIA Mei 13,2016

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 жов 2024
  • Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Terminal One JNIA Mei 13,2016

КОМЕНТАРІ • 225

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 2 роки тому +43

    Huyu mbabe wa dunia aliyesimamia nywele za wazungu bila maji akazawadiwa kifo ndio rais pekee aliyenifanya nihifadhi hotuba zake zaidi ya mia NNE nikajifunza yakwamba "kiongozi mwenye msimamo duniani asipokuwa mzungu ni dikteta"

  • @edwardnamakonde156
    @edwardnamakonde156 2 роки тому +17

    Ni mafisadi tu wanaweza kutuambia kuwa huyu alfuwa hafai kabisa.

  • @MuchomaMucomani
    @MuchomaMucomani Рік тому +13

    Shida ya African ni wa africa tu ! 😢😢😢 RIP BAba najia uchungu kila siku , na misi mutanzania so sad 😢

  • @dalali_professionalwa_dodo8330
    @dalali_professionalwa_dodo8330 2 роки тому +23

    Tunaomba kujua huyu mama kama yupo hai..hii siku alijiskiaje...half hapa bado walikuwa hawajamjua vizuri mwendazake...shenzi sana hawa....na uskute hii hali imejirudia sasa hv...huyu baba mungu amuhifadhi huko aliko...kilikuwa chumaaaa

    • @majumbatv1116
      @majumbatv1116 2 роки тому +2

      Ameshafariki alikua anakaa tabata mke wa jjjj marangu

    • @dalali_professionalwa_dodo8330
      @dalali_professionalwa_dodo8330 2 роки тому +4

      @@majumbatv1116 mungu amlaze mahali pema na tunamuombea kwa mungu amsamahe dhambi zake... Mungu amrehem.

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 Рік тому

      Alifàriki kwa kuumwa? Au kwa kihoro cha tukio hili?

  • @punchlinetz
    @punchlinetz 2 роки тому +19

    Taarifa za habari zilikuwa za moto sanaaa; Rais alikuwa mchapakazi..

  • @stevenmundi3142
    @stevenmundi3142 Рік тому +11

    Akitokea rais mwenye kujua vitu kama magu mniite mbwa niko lape👉 nimekaa

    • @PatrickMaina-u9l
      @PatrickMaina-u9l 6 місяців тому

      Haha, yani wewe

    • @FadhilMsuku
      @FadhilMsuku 2 місяці тому

      Philip mpango
      Palamagamba John kabudi
      Paul makonda

    • @mahobesiku5921
      @mahobesiku5921 Місяць тому

      Hawez tokea mwamba Kama huyu,tunzen Maneno haya....Bongo hii sku akitokea atapgwa ndan ya saa6 tu

  • @eliakimyesse6086
    @eliakimyesse6086 2 роки тому +17

    Lala pema peponi kamanda,

  • @jumaakida5951
    @jumaakida5951 2 роки тому +14

    Huyu alikuwa rais mfuatiliaji!! Hakika amepita sijui kwamiaka yaribuni kama atapatikana mtu kama huyu muadilifu na mzalendo

    • @fakiinajummwe9972
      @fakiinajummwe9972 2 роки тому

      Atotokea Kwa kizazi hiki

    • @mpabwas5916
      @mpabwas5916 Рік тому +1

      Mungu hutoa kwa namna inavyompendeza tusubiri Maamuzi ya Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema

  • @johnmichire7809
    @johnmichire7809 Рік тому +7

    Huyu rais ana akili sana,yaani arrival and departure passengers wanaweza tumia scanning machine moja

  • @zainabubalama8869
    @zainabubalama8869 2 роки тому +11

    Huyu mwamba alikuwa chuma

  • @frenziangella6676
    @frenziangella6676 Рік тому +10

    Siwezi kumlaumu MUNGU ila kila jambo linamakusudi yake lakini tunaumia sana

  • @issayasosolo6033
    @issayasosolo6033 Рік тому +5

    Kwa Nini tusiendelee kukumbuka Kazi ya Magu yatupasa, Ukiwa mwizi hata majibu yako nayo yatakuwa Ni ya wizi tu, Majibu yamekuwa sifuri kabisa pumbavu zao!

  • @ArafatHussein-e2b
    @ArafatHussein-e2b 7 місяців тому +3

    14:23 MR PRESIDENT YUKO NA QUESTIONING MIND 😎😎

  • @daudpaulo2867
    @daudpaulo2867 2 роки тому +7

    Rais Wa Dunia JPM pumzika kwa Amani

  • @richardmalley68
    @richardmalley68 2 роки тому +10

    Endelea kupumzika kwa amani mwamba na shujaa wa Afrika

  • @BushiriAlly-d7f
    @BushiriAlly-d7f 6 місяців тому +9

    Naasikiliza 3/2024 kama angekuwa hai huyu mtu hadi leo tz ingekuwa mbali sana

  • @flova7022
    @flova7022 2 роки тому +8

    Jaman Kuna wanawake Wana adabu mkono tu na goti kuchuchumia daah l wish all now days girls be like these mamas

  • @mialanomangobo9356
    @mialanomangobo9356 2 роки тому +7

    Poleni kumpoteza jembe huyo
    Hona ukaguzi wake sehemu nyeti

  • @CatherineJoshua-fi4gw
    @CatherineJoshua-fi4gw 24 дні тому +1

    Naangalia leo Tarehe 08.09.2024, ila naona kama chuma bado kipo hai. Mungu akurehemu JPM.

  • @khamisali5978
    @khamisali5978 7 місяців тому +1

    Ulishapewa mkono then umejikoroga

  • @machoguhameri7757
    @machoguhameri7757 2 роки тому +10

    Mungu akupe pumziko la Amani

  • @apboy8944
    @apboy8944 2 місяці тому +1

    Huyu mwamba huwezi kumlinganisha na kitu chochote forever and ever aaan ila basi tu 😢😢😢😢😢😢

  • @starworldengineering9523
    @starworldengineering9523 2 роки тому +9

    Duh magu mungu akulaze maali pema

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 21 день тому +1

    Enzi za nyeupe ni nyeupe na nyeusi ni nyeusi.
    Chuma ulifanya kazi kiufundi sana roho yako ipumzike kwa amani.

  • @emmanuelsitayo1977
    @emmanuelsitayo1977 Рік тому +5

    Hivi ndivyo mambo ya nchi yetu yalivyo.
    Inasikitisha mno.
    Hakuna anayesema ukweli, taaluma haitumiki na haku dhana ya uwajibikaji kabisa

  • @manigajr5127
    @manigajr5127 Рік тому +3

    Huyu wiki mbili huyu mwez huyu miez m3 ila hiiiii bongo nyoso

    • @omarybakari1681
      @omarybakari1681 Рік тому

      Wabongo waongo sana

    • @emmanuelhema186
      @emmanuelhema186 Рік тому

      Machozi yamenitoka baada ya kumsikiliza Mwamba wetu aliyetangulia mbele za haki

  • @evancykashaga6576
    @evancykashaga6576 2 роки тому +5

    Daaa uyu jaaaaa niatareee sana pumzika kwa amani jembe

  • @ishipalemypasco2567
    @ishipalemypasco2567 2 роки тому +6

    Hilo lizee la nyuma mbona kama museveni wa uganda

  • @jumahassan273
    @jumahassan273 2 роки тому +12

    Mungu bado yupo nasi tutapata tu rais mwengine atakuwa kama wew baba ila kwa sasa atuna kiongoz wa kuendesha kazi zako ila yupo aliyekalia kiti tu na kula kuku na mrija

  • @emmanuelntalima1717
    @emmanuelntalima1717 2 роки тому +15

    Huge Loss of a true Hero..😔🤨😪

  • @pascalntandu1217
    @pascalntandu1217 Рік тому +3

    R.I.P daddy;hii nchi watu wetu uaminifu hakuna;kwa mfano kwa bahati mbaya nikawa raisi wa hii nchi mtatafuta pa kwenda wajinga wajinga wote.

  • @paulkarani559
    @paulkarani559 11 місяців тому +1

    4:16 mhudumu wa uwanja 'Ni arrivals'...4:19 Rais maghufuli 'Arrival!kwa hivyo unataka kusema staffs wote huwa ni arrival'?😆😂😅,..Rais maghufuli ulikuwa kiongozi wa pekee sana,endelea kupumzika kwa amani 😢🙏🙏

  • @sisye1
    @sisye1 2 роки тому +5

    Kama drama vile.. Sema ukweli

  • @edmundbarongo8649
    @edmundbarongo8649 2 роки тому +5

    Great Loss, Mungu utulinde.

  • @mpabwas5916
    @mpabwas5916 Рік тому +3

    Tumepoteza chapakazi na mfuatiliaji mzuri

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 Рік тому +5

    My President forever R.I.P Baba

  • @ishipalemypasco2567
    @ishipalemypasco2567 2 роки тому +7

    Sema ukweli 😂😂😂😂👍👍👍

  • @deswaggz6185
    @deswaggz6185 2 роки тому +5

    Nimerudia mara mbili mbili, kila nikimuangalia mama dah n aibu

  • @MaryStambuli-r4p
    @MaryStambuli-r4p 6 місяців тому +2

    RIP JPM we really miss you. Mambo haya unaweza kuta yamerudi tena!!!

  • @tillionsmon6131
    @tillionsmon6131 2 роки тому +5

    Tutakukumbuka babaetu,Pumzika kwa AMANI baba.

  • @kelvinmugini6793
    @kelvinmugini6793 2 роки тому +9

    genious

  • @papangoda229
    @papangoda229 2 роки тому +4

    Ulinidanganya sindio

  • @robertchuri3222
    @robertchuri3222 Рік тому +11

    Lala salama mjomba magu yote maisha tu tumeshindwa kukutumia mungu ameamua kukubeba lala salama

  • @HasanKisome
    @HasanKisome 3 місяці тому

    Alipokwenda Bandarini Alikuta MITA Za Kusoma Mafuta Yanayoingia Zote Zimechezewa Makusudi halafu majizi Eti Yalikuwa Yanakadiria Kiwango Cha Mafuta Yanayo Ingia yaani Yaliharibu MITA Kwa makusudi Ili Yawe Yanakadiria kwa Matakwa Yao Daa!!??

  • @mfarijikibinga9281
    @mfarijikibinga9281 2 роки тому +4

    daah, RIP JPM

  • @stanslausbereghe3819
    @stanslausbereghe3819 2 роки тому +10

    Kweli baba, nchi yetu na wananchi wetu tunaibiwa, hivi kwann watanzania dhambi yetu ni kubwa? Hali ni mbaya Tanzania yetu. Pumzika kwa amani. Mungu akuondolee adhabu ya mauti.

  • @motivational_leader
    @motivational_leader Рік тому +3

    Nakukumbuka sana magu 😢

  • @ipyanamwangonda5286
    @ipyanamwangonda5286 9 місяців тому +1

    Alikuwa baba wakuyipenda inchi yake

  • @deusmtiri6341
    @deusmtiri6341 2 місяці тому

    ulinzi wote huo kumbe ulinzi feki.R.I.P JPM,hakuna hata siku moja ipite bila kutaja jina lako.

  • @halunimnenwa5224
    @halunimnenwa5224 Рік тому +1

    Kwahiyo awo asubuhi wanaamka wanaoga wanajiandaa wanaenda kazini kumbe mashine zenyewe hazifanyi kazi

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oq Рік тому +1

    Elimu siyo uelewa haya majitu sijui vyeti vya kugushi

  • @ArafatHussein-e2b
    @ArafatHussein-e2b 7 місяців тому +1

    Mwaka mmoja bado ni mgeni 😂😂😂😂😂😂😂 7:00

  • @richardtungaraza7509
    @richardtungaraza7509 2 роки тому +4

    Huyu mwamba dah

  • @ArafatHussein-e2b
    @ArafatHussein-e2b 7 місяців тому

    12:36 😂😂 MR PRESIDENT I SALUTE DELEGATION OF POWER 🫡🫡🫡

  • @ArafatHussein-e2b
    @ArafatHussein-e2b 6 місяців тому

    HII SIKU KUNA MTU ANGELIWA KICHWA HAPA😂😂😂😂 10:32

  • @waswajumbe1075
    @waswajumbe1075 Рік тому +2

    Magufuli rip 😭😭 ulikuwa rais Wa nguvu

  • @Joseph-lu4yj
    @Joseph-lu4yj 6 місяців тому +1

    Ahsante Jpm hata maisha yangu yamebadilika kwa misimamo yangu niliyo copy kutoka kwako

  • @tatutumbi4640
    @tatutumbi4640 Рік тому +8

    Pumzika kwa Amani Baba. Umetimiza wajibu wako. RIP. 😭

  • @alexmpoke2610
    @alexmpoke2610 2 роки тому +13

    Duuh huyu mwamba huyu!RIP.Tunapoongoza watu lazima kuwashirikisha staff wote kuanzia ngazi ya chini.Sasa hivi Domestic pia wanakagua Daresalaam wakati wa kufika

    • @huguetteomari3198
      @huguetteomari3198 2 роки тому +2

      Kwa kweli Kuna watu mungu aliwapa hakili ya kuhongoza lchi na kufatilia kweli kweli, pumzika kwa Amani aliekuwa Rais mkamilifu mwenye busara ndefu,

    • @huguetteomari3198
      @huguetteomari3198 2 роки тому +3

      Kila siku nikiona video ya ayati mangufuli huwa na humiaka kwenye rohoo Sana ,

  • @fredythomas1848
    @fredythomas1848 2 роки тому +5

    R.i.p jpm🙏🙏

  • @magesagambajr3546
    @magesagambajr3546 3 місяці тому

    Manabii na mitume wa Mungu mara Nyingi huja km kivuli huyu Jpm bila shaka alikuwa nabii amefanya sehem yake Nakutuachia sisi tuliyo hai kubaki na somo

  • @saidymbagalla6622
    @saidymbagalla6622 23 дні тому

    Hadi hudhuni sana kumpoteza jembe kama huyu....wakamuondoa sasa ni mwendo wa kanyaga twende

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 Рік тому +1

    Kwani hyo mwanamke ni WA Nini? Kuna watanzania smart kuliko huyo Muongo

  • @stn4873
    @stn4873 Місяць тому

    Mkuu alikua anaenda sehemu akiwa na taarifa nzuri kabisa, alafu anakuhoji kuchekecha kukupima aone uwajibikaji wako ukoje.

  • @saidsalum4602
    @saidsalum4602 Рік тому +2

    Tutakukumbuka baba

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oq Рік тому +1

    Mpaka arepot pot kweli inchi hii ndomana masikini hatufanikiwa wiz mtupu

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 Місяць тому

    Namuona makonda😭😭😭😭mungu akulaze roho ya marehem mahala pema

  • @stn4873
    @stn4873 Місяць тому

    Kione ki Ally Hapi kilivyo kodoa macho.😂😂😂😂😂😂😂

  • @rosemongi5273
    @rosemongi5273 Рік тому +9

    Mpaka sasa bado ningali na maumivu ninapo tizama kazi zako baba pumzika kwa amani,mwenyezi mungu tukumbuke tena tunakuomba ameeen

  • @fadhilimbilinyi274
    @fadhilimbilinyi274 8 років тому +14

    Ifikie hatua sehemu nyeti zijulikanike pia na wakuu wa mikoa kumsaidia rais, kama isingekuwa kusafiri na ndege maana yake hiyo ingekuwa njia ya panya...Tanzania tuamke hadi viongozi wa chini sio mpaka mawaziri au wakuu wa mikoa...na ni vyema kuthibitisha kwa uhakiki...mpaka rais afanye haya...lol...inaweza kuchukua muda mrefu kukua kiuchumi kwa mwenendo wa kumtegemea rais, viva rais na uwe na afya njema siku zote za uongozi wako...

  • @isayakiyeyeu6295
    @isayakiyeyeu6295 Рік тому +2

    Tutakukumbuka milele😭😭😭😭

  • @safarirockerz2781
    @safarirockerz2781 Рік тому +14

    R I P DADY.. you’ll always be in our hearts..

  • @Hbk206
    @Hbk206 2 місяці тому +1

    We miss you

  • @bizzosela6186
    @bizzosela6186 2 роки тому +5

    😭😭😭R.I.P

  • @PrissilaHussein-og3cg
    @PrissilaHussein-og3cg Рік тому +1

    Huyu mama Muongo da watanzania kwel tubadilikeni

  • @rehemashabaniameen
    @rehemashabaniameen Рік тому +1

    Ndomana madawa yalikua mengi sana nchi

  • @laylatMuhammad
    @laylatMuhammad 3 місяці тому +2

    Wallahi angekuwepo mpk saiv tungekuwa mbali vby mno😢

  • @OsOs-l7c
    @OsOs-l7c 10 місяців тому +1

    Mungu amrehemu jpm, ndio maana walimmaliza kwa kutenda ukweli jamani

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 2 місяці тому

    Huu ndio ulikuwa mtambo wa kujenga nchi

  • @emarrgeorge8536
    @emarrgeorge8536 Рік тому +1

    Pumzika Baba..Ulifanya KazKutoka mtimani

  • @GernyLorentz-su6hu
    @GernyLorentz-su6hu Місяць тому

    Yani hawa hawakupangana kabsa ndio mana kila mmoja ana taarifa yake kwa mheshimiwa hahahahahaha

  • @ndikumanaismail5419
    @ndikumanaismail5419 7 місяців тому +2

    Allah akuhifadhi mzeh wetu

  • @FaridaIbrahim-ym6jy
    @FaridaIbrahim-ym6jy 6 місяців тому +1

    Rest in peace

  • @frankmwinuka6298
    @frankmwinuka6298 2 роки тому +2

    Chuma hicho tutakukumbuka baba yetu

  • @charlesgasper2243
    @charlesgasper2243 Рік тому +1

    Inawezekana timiza wajibu wako nawengine tufuate!!!!!

  • @frankmwinuka6298
    @frankmwinuka6298 2 роки тому +1

    Kweli mjomba huyu alikuwa na maswali kama tacknic

  • @clementmusa7799
    @clementmusa7799 2 роки тому +2

    Mungu acha aitwe Mungu

  • @nauwarykabuma3793
    @nauwarykabuma3793 3 місяці тому

    Punzika kwa amani baba yetu Magufuli

  • @CANAANTZ_TV
    @CANAANTZ_TV 4 місяці тому

    Haleluyaaa
    Jipatie vitabu vya maombi ya kiroho bureee Kwa njia ya WhatsApp
    1=Maombi ya kuvunja nguvu za kichawi zinazoshambulia maisha yako
    2=Maombi ya vita vya kiroho
    Bonyeza picha
    Bonyeza picha kushoto mwa comment hii tutakutumia bureee Kwa njia ya WhatsApp

  • @jumahassan273
    @jumahassan273 2 роки тому +2

    Mwamba uyo

  • @DeogratiusSoteri
    @DeogratiusSoteri 27 днів тому

    Huuuo ulikuwa maladi wawadanganyifu na wezi

  • @bonfaceomuhande6332
    @bonfaceomuhande6332 8 місяців тому +1

    That's management indeed.everyone must be accountable for his docket

  • @deusmtiri6341
    @deusmtiri6341 2 місяці тому

    ulinzi wote huo kumbe ulinzi feki

  • @ArafatHussein-e2b
    @ArafatHussein-e2b 7 місяців тому

    Huyu raisi angetawala miaka 40 😂 tu TANZANIA TUNGEKUA NA MAISHA YANAYO ELEWEKA TUSINGE ISHI MASHA YA KIJINGA😂

  • @patrickmarwa5024
    @patrickmarwa5024 Рік тому +1

    Kuna mambo unapo angalia naona kama na angalia tamthilia hapa

  • @alirashid4887
    @alirashid4887 2 роки тому +2

    BABA HAKUNA KAMA WW 😭

  • @LengaiSaruni
    @LengaiSaruni 8 місяців тому +1

    Baba umejitaidi Sana ila mungu kakupenda said

  • @expert5898
    @expert5898 2 роки тому +2

    Ulikuwa n uozo Ila!!!

  • @teulechristopher1845
    @teulechristopher1845 2 роки тому +1

    Huyu mwamba basi tu

  • @JacobMwera
    @JacobMwera 5 місяців тому

    ni mme atakayekumbukwa daima.