Huyu mbabe wa dunia aliyesimamia nywele za wazungu bila maji akazawadiwa kifo ndio rais pekee aliyenifanya nihifadhi hotuba zake zaidi ya mia NNE nikajifunza yakwamba "kiongozi mwenye msimamo duniani asipokuwa mzungu ni dikteta"
Tunaomba kujua huyu mama kama yupo hai..hii siku alijiskiaje...half hapa bado walikuwa hawajamjua vizuri mwendazake...shenzi sana hawa....na uskute hii hali imejirudia sasa hv...huyu baba mungu amuhifadhi huko aliko...kilikuwa chumaaaa
Kwa Nini tusiendelee kukumbuka Kazi ya Magu yatupasa, Ukiwa mwizi hata majibu yako nayo yatakuwa Ni ya wizi tu, Majibu yamekuwa sifuri kabisa pumbavu zao!
Mungu bado yupo nasi tutapata tu rais mwengine atakuwa kama wew baba ila kwa sasa atuna kiongoz wa kuendesha kazi zako ila yupo aliyekalia kiti tu na kula kuku na mrija
4:16 mhudumu wa uwanja 'Ni arrivals'...4:19 Rais maghufuli 'Arrival!kwa hivyo unataka kusema staffs wote huwa ni arrival'?😆😂😅,..Rais maghufuli ulikuwa kiongozi wa pekee sana,endelea kupumzika kwa amani 😢🙏🙏
Alipokwenda Bandarini Alikuta MITA Za Kusoma Mafuta Yanayoingia Zote Zimechezewa Makusudi halafu majizi Eti Yalikuwa Yanakadiria Kiwango Cha Mafuta Yanayo Ingia yaani Yaliharibu MITA Kwa makusudi Ili Yawe Yanakadiria kwa Matakwa Yao Daa!!??
Kweli baba, nchi yetu na wananchi wetu tunaibiwa, hivi kwann watanzania dhambi yetu ni kubwa? Hali ni mbaya Tanzania yetu. Pumzika kwa amani. Mungu akuondolee adhabu ya mauti.
Duuh huyu mwamba huyu!RIP.Tunapoongoza watu lazima kuwashirikisha staff wote kuanzia ngazi ya chini.Sasa hivi Domestic pia wanakagua Daresalaam wakati wa kufika
Ifikie hatua sehemu nyeti zijulikanike pia na wakuu wa mikoa kumsaidia rais, kama isingekuwa kusafiri na ndege maana yake hiyo ingekuwa njia ya panya...Tanzania tuamke hadi viongozi wa chini sio mpaka mawaziri au wakuu wa mikoa...na ni vyema kuthibitisha kwa uhakiki...mpaka rais afanye haya...lol...inaweza kuchukua muda mrefu kukua kiuchumi kwa mwenendo wa kumtegemea rais, viva rais na uwe na afya njema siku zote za uongozi wako...
Haleluyaaa Jipatie vitabu vya maombi ya kiroho bureee Kwa njia ya WhatsApp 1=Maombi ya kuvunja nguvu za kichawi zinazoshambulia maisha yako 2=Maombi ya vita vya kiroho Bonyeza picha Bonyeza picha kushoto mwa comment hii tutakutumia bureee Kwa njia ya WhatsApp
Huyu mbabe wa dunia aliyesimamia nywele za wazungu bila maji akazawadiwa kifo ndio rais pekee aliyenifanya nihifadhi hotuba zake zaidi ya mia NNE nikajifunza yakwamba "kiongozi mwenye msimamo duniani asipokuwa mzungu ni dikteta"
Umesema kweli baba
Trueeee
Uyu wazungu na wasaliti baina yetu, walimmaliza...
Hakika kaka
P0a
@@gabylove4602
Ni mafisadi tu wanaweza kutuambia kuwa huyu alfuwa hafai kabisa.
Shida ya African ni wa africa tu ! 😢😢😢 RIP BAba najia uchungu kila siku , na misi mutanzania so sad 😢
Tunaomba kujua huyu mama kama yupo hai..hii siku alijiskiaje...half hapa bado walikuwa hawajamjua vizuri mwendazake...shenzi sana hawa....na uskute hii hali imejirudia sasa hv...huyu baba mungu amuhifadhi huko aliko...kilikuwa chumaaaa
Ameshafariki alikua anakaa tabata mke wa jjjj marangu
@@majumbatv1116 mungu amlaze mahali pema na tunamuombea kwa mungu amsamahe dhambi zake... Mungu amrehem.
Alifàriki kwa kuumwa? Au kwa kihoro cha tukio hili?
Taarifa za habari zilikuwa za moto sanaaa; Rais alikuwa mchapakazi..
Akitokea rais mwenye kujua vitu kama magu mniite mbwa niko lape👉 nimekaa
Haha, yani wewe
Philip mpango
Palamagamba John kabudi
Paul makonda
Hawez tokea mwamba Kama huyu,tunzen Maneno haya....Bongo hii sku akitokea atapgwa ndan ya saa6 tu
Lala pema peponi kamanda,
Huyu alikuwa rais mfuatiliaji!! Hakika amepita sijui kwamiaka yaribuni kama atapatikana mtu kama huyu muadilifu na mzalendo
Atotokea Kwa kizazi hiki
Mungu hutoa kwa namna inavyompendeza tusubiri Maamuzi ya Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema
Huyu rais ana akili sana,yaani arrival and departure passengers wanaweza tumia scanning machine moja
Huyu mwamba alikuwa chuma
chuma hasaa
Siwezi kumlaumu MUNGU ila kila jambo linamakusudi yake lakini tunaumia sana
Kwa Nini tusiendelee kukumbuka Kazi ya Magu yatupasa, Ukiwa mwizi hata majibu yako nayo yatakuwa Ni ya wizi tu, Majibu yamekuwa sifuri kabisa pumbavu zao!
14:23 MR PRESIDENT YUKO NA QUESTIONING MIND 😎😎
Rais Wa Dunia JPM pumzika kwa Amani
Endelea kupumzika kwa amani mwamba na shujaa wa Afrika
Naasikiliza 3/2024 kama angekuwa hai huyu mtu hadi leo tz ingekuwa mbali sana
Jaman Kuna wanawake Wana adabu mkono tu na goti kuchuchumia daah l wish all now days girls be like these mamas
Poleni kumpoteza jembe huyo
Hona ukaguzi wake sehemu nyeti
Naangalia leo Tarehe 08.09.2024, ila naona kama chuma bado kipo hai. Mungu akurehemu JPM.
Ulishapewa mkono then umejikoroga
Mungu akupe pumziko la Amani
Huyu mwamba huwezi kumlinganisha na kitu chochote forever and ever aaan ila basi tu 😢😢😢😢😢😢
Duh magu mungu akulaze maali pema
Enzi za nyeupe ni nyeupe na nyeusi ni nyeusi.
Chuma ulifanya kazi kiufundi sana roho yako ipumzike kwa amani.
Hivi ndivyo mambo ya nchi yetu yalivyo.
Inasikitisha mno.
Hakuna anayesema ukweli, taaluma haitumiki na haku dhana ya uwajibikaji kabisa
Huyu wiki mbili huyu mwez huyu miez m3 ila hiiiii bongo nyoso
Wabongo waongo sana
Machozi yamenitoka baada ya kumsikiliza Mwamba wetu aliyetangulia mbele za haki
Daaa uyu jaaaaa niatareee sana pumzika kwa amani jembe
Hilo lizee la nyuma mbona kama museveni wa uganda
Ahahaha mwenyewe nikajua museven
Mungu bado yupo nasi tutapata tu rais mwengine atakuwa kama wew baba ila kwa sasa atuna kiongoz wa kuendesha kazi zako ila yupo aliyekalia kiti tu na kula kuku na mrija
Huge Loss of a true Hero..😔🤨😪
Mrrtþtttþ¾eedèŕrŕŕrŕe
R.I.P daddy;hii nchi watu wetu uaminifu hakuna;kwa mfano kwa bahati mbaya nikawa raisi wa hii nchi mtatafuta pa kwenda wajinga wajinga wote.
😅😅😅 eti utafagia wote 😅
4:16 mhudumu wa uwanja 'Ni arrivals'...4:19 Rais maghufuli 'Arrival!kwa hivyo unataka kusema staffs wote huwa ni arrival'?😆😂😅,..Rais maghufuli ulikuwa kiongozi wa pekee sana,endelea kupumzika kwa amani 😢🙏🙏
Kama drama vile.. Sema ukweli
Great Loss, Mungu utulinde.
Tumepoteza chapakazi na mfuatiliaji mzuri
My President forever R.I.P Baba
Sema ukweli 😂😂😂😂👍👍👍
Nimerudia mara mbili mbili, kila nikimuangalia mama dah n aibu
RIP JPM we really miss you. Mambo haya unaweza kuta yamerudi tena!!!
Tutakukumbuka babaetu,Pumzika kwa AMANI baba.
genious
Ulinidanganya sindio
Lala salama mjomba magu yote maisha tu tumeshindwa kukutumia mungu ameamua kukubeba lala salama
Alipokwenda Bandarini Alikuta MITA Za Kusoma Mafuta Yanayoingia Zote Zimechezewa Makusudi halafu majizi Eti Yalikuwa Yanakadiria Kiwango Cha Mafuta Yanayo Ingia yaani Yaliharibu MITA Kwa makusudi Ili Yawe Yanakadiria kwa Matakwa Yao Daa!!??
daah, RIP JPM
Kweli baba, nchi yetu na wananchi wetu tunaibiwa, hivi kwann watanzania dhambi yetu ni kubwa? Hali ni mbaya Tanzania yetu. Pumzika kwa amani. Mungu akuondolee adhabu ya mauti.
Nakukumbuka sana magu 😢
Alikuwa baba wakuyipenda inchi yake
ulinzi wote huo kumbe ulinzi feki.R.I.P JPM,hakuna hata siku moja ipite bila kutaja jina lako.
Kwahiyo awo asubuhi wanaamka wanaoga wanajiandaa wanaenda kazini kumbe mashine zenyewe hazifanyi kazi
Elimu siyo uelewa haya majitu sijui vyeti vya kugushi
Mwaka mmoja bado ni mgeni 😂😂😂😂😂😂😂 7:00
Huyu mwamba dah
r i p magu mis you
12:36 😂😂 MR PRESIDENT I SALUTE DELEGATION OF POWER 🫡🫡🫡
HII SIKU KUNA MTU ANGELIWA KICHWA HAPA😂😂😂😂 10:32
Magufuli rip 😭😭 ulikuwa rais Wa nguvu
Ahsante Jpm hata maisha yangu yamebadilika kwa misimamo yangu niliyo copy kutoka kwako
Pumzika kwa Amani Baba. Umetimiza wajibu wako. RIP. 😭
Duuh huyu mwamba huyu!RIP.Tunapoongoza watu lazima kuwashirikisha staff wote kuanzia ngazi ya chini.Sasa hivi Domestic pia wanakagua Daresalaam wakati wa kufika
Kwa kweli Kuna watu mungu aliwapa hakili ya kuhongoza lchi na kufatilia kweli kweli, pumzika kwa Amani aliekuwa Rais mkamilifu mwenye busara ndefu,
Kila siku nikiona video ya ayati mangufuli huwa na humiaka kwenye rohoo Sana ,
R.i.p jpm🙏🙏
Manabii na mitume wa Mungu mara Nyingi huja km kivuli huyu Jpm bila shaka alikuwa nabii amefanya sehem yake Nakutuachia sisi tuliyo hai kubaki na somo
Hadi hudhuni sana kumpoteza jembe kama huyu....wakamuondoa sasa ni mwendo wa kanyaga twende
Kwani hyo mwanamke ni WA Nini? Kuna watanzania smart kuliko huyo Muongo
Mkuu alikua anaenda sehemu akiwa na taarifa nzuri kabisa, alafu anakuhoji kuchekecha kukupima aone uwajibikaji wako ukoje.
Tutakukumbuka baba
Mpaka arepot pot kweli inchi hii ndomana masikini hatufanikiwa wiz mtupu
Namuona makonda😭😭😭😭mungu akulaze roho ya marehem mahala pema
Kione ki Ally Hapi kilivyo kodoa macho.😂😂😂😂😂😂😂
Mpaka sasa bado ningali na maumivu ninapo tizama kazi zako baba pumzika kwa amani,mwenyezi mungu tukumbuke tena tunakuomba ameeen
Musa shegh dar
Ifikie hatua sehemu nyeti zijulikanike pia na wakuu wa mikoa kumsaidia rais, kama isingekuwa kusafiri na ndege maana yake hiyo ingekuwa njia ya panya...Tanzania tuamke hadi viongozi wa chini sio mpaka mawaziri au wakuu wa mikoa...na ni vyema kuthibitisha kwa uhakiki...mpaka rais afanye haya...lol...inaweza kuchukua muda mrefu kukua kiuchumi kwa mwenendo wa kumtegemea rais, viva rais na uwe na afya njema siku zote za uongozi wako...
Tutakukumbuka milele😭😭😭😭
R I P DADY.. you’ll always be in our hearts..
We miss you
😭😭😭R.I.P
Huyu mama Muongo da watanzania kwel tubadilikeni
Ndomana madawa yalikua mengi sana nchi
Wallahi angekuwepo mpk saiv tungekuwa mbali vby mno😢
Mungu amrehemu jpm, ndio maana walimmaliza kwa kutenda ukweli jamani
Huu ndio ulikuwa mtambo wa kujenga nchi
Pumzika Baba..Ulifanya KazKutoka mtimani
Yani hawa hawakupangana kabsa ndio mana kila mmoja ana taarifa yake kwa mheshimiwa hahahahahaha
Allah akuhifadhi mzeh wetu
Rest in peace
Chuma hicho tutakukumbuka baba yetu
Inawezekana timiza wajibu wako nawengine tufuate!!!!!
Kweli mjomba huyu alikuwa na maswali kama tacknic
Mungu acha aitwe Mungu
Punzika kwa amani baba yetu Magufuli
Haleluyaaa
Jipatie vitabu vya maombi ya kiroho bureee Kwa njia ya WhatsApp
1=Maombi ya kuvunja nguvu za kichawi zinazoshambulia maisha yako
2=Maombi ya vita vya kiroho
Bonyeza picha
Bonyeza picha kushoto mwa comment hii tutakutumia bureee Kwa njia ya WhatsApp
Mwamba uyo
Huuuo ulikuwa maladi wawadanganyifu na wezi
That's management indeed.everyone must be accountable for his docket
ulinzi wote huo kumbe ulinzi feki
Huyu raisi angetawala miaka 40 😂 tu TANZANIA TUNGEKUA NA MAISHA YANAYO ELEWEKA TUSINGE ISHI MASHA YA KIJINGA😂
Kuna mambo unapo angalia naona kama na angalia tamthilia hapa
BABA HAKUNA KAMA WW 😭
Baba umejitaidi Sana ila mungu kakupenda said
Ulikuwa n uozo Ila!!!
Huyu mwamba basi tu
ni mme atakayekumbukwa daima.