Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

Namna Dkt. Nawanda alivyobadili wafugaji Simiyu kupitia Unenepeshaji

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 січ 2024
  • Programu ya kujenga kesho iliyo bora kwa vijana kwa upande wa sekta ya Mifugo maarufu kama BBT-LIFE mbali na kujizolea umaarufu imeonekana kuwa suluhu ya changamoto ya ukosefu wa ajira inayolikabili kundi la vijana na wanawake hapa nchini na kwa kuwa linaweza kutekelezwa na yoyote mwenye nia, Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. Daktari Yahya Nawanda aliiona fursa hiyo ya unenepeshaji wa Mifugo na kuamua kuingia kwa miguu yote……..

КОМЕНТАРІ • 14

  • @nguchenankutwanga1984
    @nguchenankutwanga1984 7 місяців тому +1

    Hongera saana kiongozi, vuta mradi hapa Chilangala tujifunze

  • @GdFf-ik2eo
    @GdFf-ik2eo Місяць тому

    Huyu mpuuzi
    Mpenda nyuma
    Tigo

  • @MwendaAdam
    @MwendaAdam 23 дні тому

    Naona ameonewa na siasa tu

  • @nestor384
    @nestor384 Місяць тому

    Mpuuzi huyu bwana

  • @AgnesKalage
    @AgnesKalage 2 місяці тому +1

    Naomba jinsi ya kunenepesha ngombe

  • @user-zd1jj6tp6r
    @user-zd1jj6tp6r 7 місяців тому +1

    pointiii

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 2 місяці тому

    Yaani huyu mkuu wa mkoa alikuwa yuko vizuri sana, sijui hiyo kashifa ilitoka wapi, na hawa ndiyo viongozi wanaotakiwa

    • @nestor384
      @nestor384 Місяць тому

      Hakuna zuri lolote kwa huyu bwana kwa tabia aliyoionesha!

  • @josephsasa7497
    @josephsasa7497 5 місяців тому

    Naomba kuuliza Mradi WA Mkuu WA Mkoa upo sehemu Gani Bariadi?

  • @gigiman5465
    @gigiman5465 4 місяці тому

    Kilimo cha simu kizuri no stress

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 2 місяці тому

    Ufugaji n mzur lkn achen kumnad samia kusko na maana kwan hapo ana uckaje ?alikupa hao ng'ombe bule au kapen zimeanza

  • @gigiman5465
    @gigiman5465 4 місяці тому

    Kilimo cha simu kizuri no stress