ALIYEKUWA M/KITI wa Juma Magoma Tawi la Yanga AWASHA MOTO/ ANATAFUTA KIFO Injinia hawezi KUONDOKA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 жов 2024
  • _________________________________________________________________________________
    Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe UA-cam channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
    _________________________________________________________________________________
    Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp

КОМЕНТАРІ • 373

  • @FrankLuhaha-dt5sh
    @FrankLuhaha-dt5sh 2 місяці тому +190

    Waliomkubaliiiii huyuuu mzeeee gonga like. 😂😂😂😂😂hawa ndo wazeee wa busala tunaooo watakaaa sis

  • @FaridiMussa-qc2bk
    @FaridiMussa-qc2bk 2 місяці тому +37

    Hawa ndio wazee wa yanga
    Gonga like kama umemkubali huyu mzee

  • @josephmathayo5139
    @josephmathayo5139 2 місяці тому +1

    Asante Mzee Umeongea maneno ya Msingi na imetoa Ushauri Sahihi Kwa Juma Magoma.

  • @ALLYBULULA
    @ALLYBULULA 2 місяці тому +56

    Hongera mzee upo vyema sana chikia maua uako🎉

  • @SarhaSaid
    @SarhaSaid 2 місяці тому +67

    Yanga oyeeeeeee💚💛💛💛💚mzee wamaana kabisa uyu

  • @JumaMukhtar
    @JumaMukhtar 2 місяці тому +49

    Mzee Abdallah sakho una upeo wa mbali sana 🎉🎉🎉🎉 utaishi miaka 100 mzee 😂😂😂😂

  • @AllanAthuman
    @AllanAthuman 2 місяці тому +38

    Mze ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥ulindwe na mungu zaid yaa apo ulipo

  • @InnocentBoatLake-bq4gk
    @InnocentBoatLake-bq4gk 2 місяці тому +58

    Mzeee upewe maua yako 🎉🎉🎉🎉🎉watuache na Yanga yetuuuuuuu❤❤❤

  • @DanielSinavangi
    @DanielSinavangi 2 місяці тому +1

    Mzee kaongea point sana.nakutakia maisha marefu babuyangu🙏

  • @Rukaka_jr
    @Rukaka_jr 2 місяці тому +15

    Good wise Oldman we love you, achia vijana waendeshe gurudum,

  • @abdulrahmanisaid4127
    @abdulrahmanisaid4127 2 місяці тому +25

    mzeee wa kwanza anayezeekaa na akili zake❤❤❤❤❤

  • @mwajumampokileomckapela7541
    @mwajumampokileomckapela7541 2 місяці тому +22

    Daima mbele nyuma mwiko button ✅✅✅✅✅

  • @AshphauShomary
    @AshphauShomary 2 місяці тому +7

    Kumbe wazee wenzake wapo bana Aya magoma mjibu mzee mwenzako Sasa mzeee Asante sanaaaaa nipe nmba zako nikupe gahawaaa

  • @AlexMbagata
    @AlexMbagata 2 місяці тому +7

    Busara inapimwa hivi na ujasiri wa kutosha kabisa hongera mzee kwa kwenda na wakati.

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 2 місяці тому +3

    Eng huyu mzee apewe posho swafiiiii❤❤❤

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 2 місяці тому +36

    Kweli magoma njaa Kali ana tia aibu Hana watoto wamshauri vijana watapiga

  • @rubenikambio1718
    @rubenikambio1718 2 місяці тому +14

    Asante Mzee umetupa location, asante sana🥺

  • @KudraEliasa
    @KudraEliasa 2 місяці тому +4

    Hongela San Mzee wetu nyie ndio wazee wa yanga🎉🎉🎉🎉🎉

  • @YohanaMadaha-y8l
    @YohanaMadaha-y8l 2 місяці тому +24

    Mzee wamaana kwel huyuuu gonga like hapo 🤣🤣🤣

  • @MakoyeMakoye-i4h
    @MakoyeMakoye-i4h 2 місяці тому +3

    Asante mzee wetu kwa busara zako nyingi kwa yanga

  • @DeviLyaumi
    @DeviLyaumi 2 місяці тому +2

    Mzeee mngu akujallie unaenda nawakati❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @HawaAlznezbar
    @HawaAlznezbar 2 місяці тому +11

    😂😂😂😂😂😂safiii san baba semaa semaa daima mbelee nyuma mwikooo

  • @edmundhenrykagimbo9776
    @edmundhenrykagimbo9776 2 місяці тому +8

    Wow! Mzee Abdallah Sako yupo vizuri mno! 👏👏👏!

  • @calvintheone299
    @calvintheone299 2 місяці тому +24

    Safi mzeee wangu😊

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 2 місяці тому +3

    Mwendo mdundooooo 💃💃💃 mfukishieni salam mze kasema🎉❤😂

  • @SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct
    @SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct 2 місяці тому +5

    Point mzee ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @khamiskhan-m8m
    @khamiskhan-m8m 2 місяці тому +12

    Babu mwambieh mangoma atuachie yng yetuu😂😂😂😂😂

  • @moshielfesty7992
    @moshielfesty7992 2 місяці тому +8

    😂😂😂Mzee agiza gahawa bili nitalipa Baba 🎉🎉🎉

  • @Agath45
    @Agath45 2 місяці тому +15

    Huyo mzee magoma anatafuta kifo cha mapema😂😂

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc 2 місяці тому +1

      Mzee wa hovyo Sana anataka pakufia , njaa inamsumbua eti wapewe timu na pesa zilizopo 😂😂😂😂 wao wawili waiendeshe timu kweli njaa mbaya Sana! Mara nataka Wana Yanga wamtambue juma magoma kuwa ni nani😂😂

  • @perepetuajohn
    @perepetuajohn 2 місяці тому +3

    Akome kabisaa aiache Yanga yetuuu💚💚💚💚💛💛💛

  • @christianjohnmwalugaja8090
    @christianjohnmwalugaja8090 2 місяці тому +24

    Kiukweli huyo Juma Magoma anatumika na Simba issue kubwa wanawazuia Yanga kwenda kuweka Bango pale mtaa wa msimbazi

  • @selemannyamafu8840
    @selemannyamafu8840 2 місяці тому +3

    Nzee mungu akuweke miaka zaidi na zaidi uyo atakua katumwa atuache na furahaa yetu wana Yangq

  • @SadikBakary
    @SadikBakary 2 місяці тому +2

    Hawa ndio wazeee wa yanga yetu❤❤ tunakupenda san❤❤

  • @mohamedyk1163
    @mohamedyk1163 2 місяці тому +6

    Huyu mzee katisha sana yani ni🔥🔥💥

  • @CosmaMwale
    @CosmaMwale 2 місяці тому +9

    Kweli babaangu jinaskujui munguakubaliki

  • @BenPeter-vp2cy
    @BenPeter-vp2cy 2 місяці тому +14

    😂😂😂😂😂 nimecheka sana apo mzee alivyoanza kujibu. Namim nikizeeka ntakua najibu kama mzee apo😂😂😂

  • @GodbrownZacharia
    @GodbrownZacharia 2 місяці тому +25

    Mzee safi Sana engineer abaki

  • @josephmwangita7041
    @josephmwangita7041 2 місяці тому +3

    Safi sana Mzee wetu wakina ubwela fc hapo wanaumia sana

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 2 місяці тому +39

    Walishamzoea Yusuf manji wakimtikisa kidogo anatoa pesa huu sio utawala ule

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc 2 місяці тому +1

      Sasa safari hii kaingia chakike, kayatimbaaaaaa😂😂 Sura yake sijui ataiweka wapi, atatembea kwa wasiwasi kuanzia sasa😂😂

    • @زيتونتنزانيا
      @زيتونتنزانيا 2 місяці тому

      😅😅😅

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 2 місяці тому +5

    Mwenye kiti wa yanga ananguruma. Yanga waleeeeeeee!!!!!!!!.

  • @ZainabuBakari-yb4vj
    @ZainabuBakari-yb4vj 2 місяці тому +22

    Namba za cm za huyu Mzee apewe kahawa,anabusara sana.lusheni

  • @djmuketztv
    @djmuketztv 2 місяці тому +9

    Uyu mzee ni noma😅😅😅

  • @James-sz4ec
    @James-sz4ec 2 місяці тому +43

    Mzee tumekuelewa taja namba yako tufanye miamala

  • @TomaskoinaseiKanunga
    @TomaskoinaseiKanunga 2 місяці тому +19

    Mm nashindwa kuelewa yeye nani mpaka aanze kutusumbua mda huu wakati timu imetulia au sisi Tanzania tumelogwa?

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 2 місяці тому +2

      Tatizo ssi watanzania ni watu ambao hatupendi challenge ndo maana ht mtt akijenga mtaani badala wampe motisha wanamroga ili wengine washindwe ndo kma mpira badala ya kuzipa sapoti timu ili zilete ushindani wao wanawaza kudidimiza na ndo mana tunashindwa kuendelea ht kitaifa

    • @MosesKameka-z8o
      @MosesKameka-z8o 2 місяці тому

      Mzee uko vizuli

  • @augustinoflavian1738
    @augustinoflavian1738 2 місяці тому +18

    Mzee wa maana kabisa huyu

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 2 місяці тому +12

    Huyo magoma mshamba sana na walomtuma hao wotee

  • @H3s4d
    @H3s4d 2 місяці тому +9

    Nimesema. Hiyo. Ni. Njaa. Mzee. Nimekuamini😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @BethoridKaro
    @BethoridKaro 2 місяці тому +3

    Nzee uko sawaaa

  • @WestonSamwelly1
    @WestonSamwelly1 2 місяці тому +6

    Yup Sawa mzee

  • @FidesWillbard
    @FidesWillbard 2 місяці тому +8

    Yangaaaa weeee watafte watu wakushindana nao so yangaaaa

  • @charlespeternsangano9219
    @charlespeternsangano9219 2 місяці тому +14

    Safi mzeee

  • @kakamau0384
    @kakamau0384 2 місяці тому +9

    Yanga yangu mbele tu nyuma aaahh 😂😂

  • @TatuHusseni-hs7mu
    @TatuHusseni-hs7mu 2 місяці тому +15

    Yanga bingwa tena

  • @Theopithmachali
    @Theopithmachali 2 місяці тому +6

    Safi Sana babu

  • @MariaMsuku
    @MariaMsuku 2 місяці тому +15

    😅 mitano tena 🔥🔥🙌

  • @BabaMkuu
    @BabaMkuu 2 місяці тому +9

    Hizi ndo kauli anazotakiwa apewe mshamba Magoma .MPE BABA 56.10 ISAYA.

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx 2 місяці тому +5

    Aende kwa madunduka ndio kwa fujo sisi tupo kwetu KENYA lkn titakuja kufanya mandamano huko mumtoe magoma aende burundi

  • @DeusiAloyce
    @DeusiAloyce 2 місяці тому +9

    Mzeee safisana ameangea vizuri sana

  • @pascalnkondo-y5c
    @pascalnkondo-y5c 2 місяці тому +2

    Salute mzee

  • @DoreenTesha-kk2kw
    @DoreenTesha-kk2kw 2 місяці тому +3

    Mtu wa maana kabisa👏

    • @DulaMudi
      @DulaMudi 2 місяці тому +1

      mze safi babu

  • @abdalahasuman8740
    @abdalahasuman8740 2 місяці тому +13

    Mzee kunywa kahawa chupambili nakuja lipa😂

  • @athumanishabani1143
    @athumanishabani1143 2 місяці тому +1

    Mashaallah

  • @fazo-kl9fu
    @fazo-kl9fu 2 місяці тому

    Asante sana mzeee wetu unazewka na uelewa wako

  • @fettiemaganza1484
    @fettiemaganza1484 2 місяці тому +10

    Wazee wanaojielewa kma hawa wapo wachache sana

  • @MohamedSharafi-w7q
    @MohamedSharafi-w7q 2 місяці тому +8

    Huyo magoma kama hana kazi aje newla tumpe mikorosho apulize atuachie yanga yetu

  • @FaustinaMkama
    @FaustinaMkama 2 місяці тому +13

    Tuma namba Yako mzee.tumimine muhamara

  • @mudricabuy3309
    @mudricabuy3309 2 місяці тому +7

    Ankari bin Ansu 😂😂😂

  • @BilalMsuya
    @BilalMsuya 2 місяці тому +1

    Mzee anakitu asikilizwe mtu wamana kbs huyu 👏👏👏

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 2 місяці тому +1

    Umenena kweli Baba yangu Mungu akulinde

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 2 місяці тому +3

    Mambo haya wayapeleke Kwa MAKOLO.....sio YANGA, ukilizua ujue utabaki mwenyewe.. Magoma njaa tu' inamsumbua

  • @AlfredRutaguza
    @AlfredRutaguza 2 місяці тому

    Mzee mungu akubaliki Sana umemtuliza mshamba

  • @FadhiliMkisi
    @FadhiliMkisi 2 місяці тому +2

    Safi mzeee wangu naninataaka afeee kwer

  • @jaffjeff6912
    @jaffjeff6912 2 місяці тому +9

    Hao wazee itabidi tuanze kuwatafuta kimya kimya

  • @samsitinasamweli
    @samsitinasamweli 2 місяці тому +12

    Hivi huyo mzee anakili timamu anakumbuka tunapotoka

  • @AliveGiant
    @AliveGiant 2 місяці тому +11

    Mzeee wa maaana kabisa huyu

  • @ibrahimabdullah1887
    @ibrahimabdullah1887 2 місяці тому +10

    Mm smbaa lakini watuzeni chochote kama zawadi hawa wazee mii ni mtu wa burudani bwana naumia nikifungwa ila sio chuki za kichawi mpira starehe sasa kurudi ulikotoka starehe tutazipata wapi nambea tu timu yangu pendwaa simba Allah aipe mafanikio iwe zamu yetu kucheka kiroho safi

  • @ChristopherKisarika
    @ChristopherKisarika 2 місяці тому +1

    Tunamuomba Mwenyezi Mungu tushinde huu mtafaruku

  • @Adrianolaurian
    @Adrianolaurian 2 місяці тому +4

    Safi sana🎉

  • @TanzanianTanzanian-p1q
    @TanzanianTanzanian-p1q 2 місяці тому +5

    Kweli mzee

  • @kaminambeho
    @kaminambeho 2 місяці тому +3

    Huyu mzee ningepata namba yake ningemtumia hela ya kahawa

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 2 місяці тому +7

    Huyu Asomewe Hasbillah Waneemalwakiyl Makolo Wanataka kutuondolea Raha ila Tutamuweka Chini Muweche Kama Kachoka Kaaa..

  • @abdaa800
    @abdaa800 2 місяці тому +4

    😂mpe kahawa mzee anywe

  • @PriscaBenjamin-ub7lu
    @PriscaBenjamin-ub7lu 2 місяці тому +5

    ❤Mzee uko vuzuri Sana 👐

  • @gloriaburamu8818
    @gloriaburamu8818 2 місяці тому

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤nakupenda Babu

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 2 місяці тому +13

    Juma magoma kweli anataka kifo

  • @suleimansalum4049
    @suleimansalum4049 2 місяці тому

    Huyu mzee mtu wa maana kabisa❤❤❤

  • @RabsonSalmon-ys7bf
    @RabsonSalmon-ys7bf 2 місяці тому

    Uyo magoma ana njaaaa sanaaaaaaa😂😂😂😂😂😂

  • @edinamwanasenga1584
    @edinamwanasenga1584 2 місяці тому +4

    Magoma hana akili atuachia yanga yetu yanga mbigwa❤❤❤❤

  • @IsaKinyonga
    @IsaKinyonga 2 місяці тому +3

    tazipataje namba za huyu Mzee wamaana sana

  • @Said13Mashakaog
    @Said13Mashakaog 2 місяці тому

    Safi sana mzee wangu uko sawa kabisa huyo mzee anasumbuliwa na njaa hana kingine

  • @BarakaJoseph-es7tx
    @BarakaJoseph-es7tx 2 місяці тому +6

    Tuma namba Mzee tuweke pesa

  • @MartinMadimilo-z6w
    @MartinMadimilo-z6w 2 місяці тому

    Mzeeh anaongea point sana

  • @moshielfesty7992
    @moshielfesty7992 2 місяці тому

    Mzee yupo smart Sana 🎉🎉🎉

  • @yonaantony
    @yonaantony 2 місяці тому

    Mzee unatosha ❤❤❤❤❤😢😢

  • @ramadhannjolesti
    @ramadhannjolesti 2 місяці тому +1

    Mzee cc wananchi tumekuelewa tuma namba yako tufanye miamara💚💛💪💪😄😄😄

  • @olgasalmus44
    @olgasalmus44 2 місяці тому +1

    Mzee nimekupenda Bure wambile wasikile.

  • @JoviceEustad-vv1hl
    @JoviceEustad-vv1hl 2 місяці тому +8

    Engineer hersi tafuta na kadi ya ccm ugombee uraisi wa nchi tunakupa

  • @abubakalimavumbi5846
    @abubakalimavumbi5846 2 місяці тому

    Ebu nipe kahawa ninywee😂😂😂😂😂😂 hii nimeipenda

  • @HajiMandari-b2i
    @HajiMandari-b2i 2 місяці тому

    Baba nakuelewa sana endelea kutiririka❤❤❤❤❤❤❤

  • @kanaelikanuya7919
    @kanaelikanuya7919 2 місяці тому +2

    Eti wazee wa yanga hata hiyo mahakama ni wapumbavu tu wanasikiliza watu wamechoka maisha wanajitafutia umaarufi