ALIYEKUWA M/KITI wa Juma Magoma Tawi la Yanga AWASHA MOTO/ ANATAFUTA KIFO Injinia hawezi KUONDOKA
Вставка
- Опубліковано 11 жов 2024
- _________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe UA-cam channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
Waliomkubaliiiii huyuuu mzeeee gonga like. 😂😂😂😂😂hawa ndo wazeee wa busala tunaooo watakaaa sis
Mimi wa Kwanza
@@FrankLuhaha-dt5sh mashani yakii pamoja hayakosi kugombana jamànii
❤❤
Naqubali kaka
Anatak kifo😅😅
Hawa ndio wazee wa yanga
Gonga like kama umemkubali huyu mzee
Asante Mzee Umeongea maneno ya Msingi na imetoa Ushauri Sahihi Kwa Juma Magoma.
Hongera mzee upo vyema sana chikia maua uako🎉
Yanga oyeeeeeee💚💛💛💛💚mzee wamaana kabisa uyu
Hoiyeeeee
Mnajifariji tuu lkn mumeshindwa kesi subirin kitachotokea
Mzee Abdallah sakho una upeo wa mbali sana 🎉🎉🎉🎉 utaishi miaka 100 mzee 😂😂😂😂
Miaka 1000 Kwa Mzee wetu
Wewe ni mganga
Mze ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥ulindwe na mungu zaid yaa apo ulipo
Mzeee upewe maua yako 🎉🎉🎉🎉🎉watuache na Yanga yetuuuuuuu❤❤❤
Mzee kaongea point sana.nakutakia maisha marefu babuyangu🙏
Good wise Oldman we love you, achia vijana waendeshe gurudum,
mzeee wa kwanza anayezeekaa na akili zake❤❤❤❤❤
😂😂😂😂
Daima mbele nyuma mwiko button ✅✅✅✅✅
Kumbe wazee wenzake wapo bana Aya magoma mjibu mzee mwenzako Sasa mzeee Asante sanaaaaa nipe nmba zako nikupe gahawaaa
Busara inapimwa hivi na ujasiri wa kutosha kabisa hongera mzee kwa kwenda na wakati.
Eng huyu mzee apewe posho swafiiiii❤❤❤
Kweli magoma njaa Kali ana tia aibu Hana watoto wamshauri vijana watapiga
Asante Mzee umetupa location, asante sana🥺
Hongela San Mzee wetu nyie ndio wazee wa yanga🎉🎉🎉🎉🎉
Mzee wamaana kwel huyuuu gonga like hapo 🤣🤣🤣
Asante mzee wetu kwa busara zako nyingi kwa yanga
Mzeee mngu akujallie unaenda nawakati❤❤❤❤❤❤❤❤
😂😂😂😂😂😂safiii san baba semaa semaa daima mbelee nyuma mwikooo
Wow! Mzee Abdallah Sako yupo vizuri mno! 👏👏👏!
Safi mzeee wangu😊
Mwendo mdundooooo 💃💃💃 mfukishieni salam mze kasema🎉❤😂
Point mzee ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Babu mwambieh mangoma atuachie yng yetuu😂😂😂😂😂
😂😂😂Mzee agiza gahawa bili nitalipa Baba 🎉🎉🎉
Huyo mzee magoma anatafuta kifo cha mapema😂😂
Mzee wa hovyo Sana anataka pakufia , njaa inamsumbua eti wapewe timu na pesa zilizopo 😂😂😂😂 wao wawili waiendeshe timu kweli njaa mbaya Sana! Mara nataka Wana Yanga wamtambue juma magoma kuwa ni nani😂😂
Akome kabisaa aiache Yanga yetuuu💚💚💚💚💛💛💛
Kiukweli huyo Juma Magoma anatumika na Simba issue kubwa wanawazuia Yanga kwenda kuweka Bango pale mtaa wa msimbazi
Nzee mungu akuweke miaka zaidi na zaidi uyo atakua katumwa atuache na furahaa yetu wana Yangq
Hawa ndio wazeee wa yanga yetu❤❤ tunakupenda san❤❤
Huyu mzee katisha sana yani ni🔥🔥💥
Kweli babaangu jinaskujui munguakubaliki
😂😂😂😂😂 nimecheka sana apo mzee alivyoanza kujibu. Namim nikizeeka ntakua najibu kama mzee apo😂😂😂
Niwachache wanao zeeka vizur
Kuzeeka unachukulia rahisi siyo
Mzee safi Sana engineer abaki
Safi sana Mzee wetu wakina ubwela fc hapo wanaumia sana
Walishamzoea Yusuf manji wakimtikisa kidogo anatoa pesa huu sio utawala ule
Sasa safari hii kaingia chakike, kayatimbaaaaaa😂😂 Sura yake sijui ataiweka wapi, atatembea kwa wasiwasi kuanzia sasa😂😂
😅😅😅
Mwenye kiti wa yanga ananguruma. Yanga waleeeeeeee!!!!!!!!.
Namba za cm za huyu Mzee apewe kahawa,anabusara sana.lusheni
Mzee ikimpendeza anywe kahawa mwaka mzima nalipa mimi huku
Uyu mzee ni noma😅😅😅
Mzee tumekuelewa taja namba yako tufanye miamala
Sanaaaa
Ana staili kweli😂😂😂
Mm nashindwa kuelewa yeye nani mpaka aanze kutusumbua mda huu wakati timu imetulia au sisi Tanzania tumelogwa?
Tatizo ssi watanzania ni watu ambao hatupendi challenge ndo maana ht mtt akijenga mtaani badala wampe motisha wanamroga ili wengine washindwe ndo kma mpira badala ya kuzipa sapoti timu ili zilete ushindani wao wanawaza kudidimiza na ndo mana tunashindwa kuendelea ht kitaifa
Mzee uko vizuli
Mzee wa maana kabisa huyu
Huyo magoma mshamba sana na walomtuma hao wotee
Nimesema. Hiyo. Ni. Njaa. Mzee. Nimekuamini😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nzee uko sawaaa
Yup Sawa mzee
Yangaaaa weeee watafte watu wakushindana nao so yangaaaa
Safi mzeee
Yanga yangu mbele tu nyuma aaahh 😂😂
Yanga bingwa tena
Safi Sana babu
😅 mitano tena 🔥🔥🙌
Hizi ndo kauli anazotakiwa apewe mshamba Magoma .MPE BABA 56.10 ISAYA.
Aende kwa madunduka ndio kwa fujo sisi tupo kwetu KENYA lkn titakuja kufanya mandamano huko mumtoe magoma aende burundi
Mzeee safisana ameangea vizuri sana
Salute mzee
Mtu wa maana kabisa👏
mze safi babu
Mzee kunywa kahawa chupambili nakuja lipa😂
Mashaallah
Asante sana mzeee wetu unazewka na uelewa wako
Wazee wanaojielewa kma hawa wapo wachache sana
Huyo magoma kama hana kazi aje newla tumpe mikorosho apulize atuachie yanga yetu
Tuma namba Yako mzee.tumimine muhamara
Ankari bin Ansu 😂😂😂
Mzee anakitu asikilizwe mtu wamana kbs huyu 👏👏👏
Umenena kweli Baba yangu Mungu akulinde
Mambo haya wayapeleke Kwa MAKOLO.....sio YANGA, ukilizua ujue utabaki mwenyewe.. Magoma njaa tu' inamsumbua
Mzee mungu akubaliki Sana umemtuliza mshamba
Safi mzeee wangu naninataaka afeee kwer
Hao wazee itabidi tuanze kuwatafuta kimya kimya
Hivi huyo mzee anakili timamu anakumbuka tunapotoka
Mzeee wa maaana kabisa huyu
Mm smbaa lakini watuzeni chochote kama zawadi hawa wazee mii ni mtu wa burudani bwana naumia nikifungwa ila sio chuki za kichawi mpira starehe sasa kurudi ulikotoka starehe tutazipata wapi nambea tu timu yangu pendwaa simba Allah aipe mafanikio iwe zamu yetu kucheka kiroho safi
Tunamuomba Mwenyezi Mungu tushinde huu mtafaruku
Safi sana🎉
Kweli mzee
Huyu mzee ningepata namba yake ningemtumia hela ya kahawa
Huyu Asomewe Hasbillah Waneemalwakiyl Makolo Wanataka kutuondolea Raha ila Tutamuweka Chini Muweche Kama Kachoka Kaaa..
😂mpe kahawa mzee anywe
❤Mzee uko vuzuri Sana 👐
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤nakupenda Babu
Juma magoma kweli anataka kifo
Huyu mzee mtu wa maana kabisa❤❤❤
Uyo magoma ana njaaaa sanaaaaaaa😂😂😂😂😂😂
Magoma hana akili atuachia yanga yetu yanga mbigwa❤❤❤❤
tazipataje namba za huyu Mzee wamaana sana
Safi sana mzee wangu uko sawa kabisa huyo mzee anasumbuliwa na njaa hana kingine
Tuma namba Mzee tuweke pesa
Mzeeh anaongea point sana
Mzee yupo smart Sana 🎉🎉🎉
Mzee unatosha ❤❤❤❤❤😢😢
Mzee cc wananchi tumekuelewa tuma namba yako tufanye miamara💚💛💪💪😄😄😄
Mzee nimekupenda Bure wambile wasikile.
Engineer hersi tafuta na kadi ya ccm ugombee uraisi wa nchi tunakupa
Kwenye urais wa nchi badoo sana
@@OscarKasalile-u4kmmh!
😂😂😂😂mitano tena
W jamaa ww, kolozdad wakikusikia me sihusiki
Ebu nipe kahawa ninywee😂😂😂😂😂😂 hii nimeipenda
Baba nakuelewa sana endelea kutiririka❤❤❤❤❤❤❤
Eti wazee wa yanga hata hiyo mahakama ni wapumbavu tu wanasikiliza watu wamechoka maisha wanajitafutia umaarufi