#TBC

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 14 жов 2024
  • Fuatilia habari na matukio mbalimbali kwa saa 24 kupitia tovuti yetu, www.tbc.go.tz au App yetu ya “TBC Live” inayopatikana
    Play Store (Android): bit.ly/3kYnnsr
    App Store (iOS): apple.co/31Yxjta
    Tufuatilie pia kwenye kurasa zetu za mitandao ya kijamii;
    Twitter: / tbconlinetz
    Instagram: / tbc_online
    Facebook: / tbconlinetz

КОМЕНТАРІ • 40

  • @PhineaceMusongo
    @PhineaceMusongo День тому

    Makala nzuri na elemishi kwa wafugaji,TBC endeleeni kuleta makala za aina hii kwa watanzania

  • @JigaluNangi
    @JigaluNangi Місяць тому

    Asante kwa elimu ya ufugaji wa ng'ombe

  • @shokakazini7135
    @shokakazini7135 Рік тому +1

    Safi sana huyu mkulima Anajitambua na hongera TBC kwa kipindi kizuri.. vipindi kama hivi vinaleta tija

  • @mashimbamale9664
    @mashimbamale9664 6 місяців тому +1

    Hongera afisa Mifugo Kwa elimu nzuri, hakika umeeleweka.

  • @YassinMugala
    @YassinMugala Рік тому +2

    Kipindi hiki ni kizuri mno na kimeandaliwa vyema. Hongereni TBC.

  • @judicalosika7642
    @judicalosika7642 Рік тому +1

    Mtangazaji unauliza maswali Vizuri sana hongera

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds 5 місяців тому +1

    Asante kwa elimu

  • @AllyMataka-r6l
    @AllyMataka-r6l День тому

    Naomba kufaham mtaj wa kuanza nao katika kunenepesha

  • @israelherman4984
    @israelherman4984 Рік тому +2

    Biashara nzuri sana

  • @scholaruben1611
    @scholaruben1611 2 роки тому +2

    Elimu nzuri sana,imejitosheleza.

  • @jumaharuna-uk3by
    @jumaharuna-uk3by Рік тому +1

    Nashukuru Kwa kuniongezea maarifa kipindi kinaweza kuongezea mapinduz ya ufugaji Kwa wengi sana

  • @erastophiri6644
    @erastophiri6644 2 роки тому +1

    Asante nimejifunza mengi

  • @husseinally2107
    @husseinally2107 2 роки тому +2

    Hongereni TBC kwa elimu hii kubwa

  • @lucasnyerere4295
    @lucasnyerere4295 3 роки тому +4

    Kipindi kizuri sana nimefurah sana kwa uelewa nilioupata juu ya unenepeshaji...ndugu mwanahabari ubarikiwe sana

  • @wilbertmlyuka5723
    @wilbertmlyuka5723 10 місяців тому +1

    Hongera sana

  • @marnettehabamungu4476
    @marnettehabamungu4476 2 роки тому +1

    Kutokeya Canada félicitations

  • @kyaro5945
    @kyaro5945 2 роки тому +2

    brother umeeleza vyema. nami naenda anza fuga.

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 Рік тому +4

    Elimu nzuri sana ya ufugaji, Tunaomba kufahamu eneo la hekari 1 linafuga ng'ombe wangapi?

    • @edwardmturi722
      @edwardmturi722 5 місяців тому +1

      Kwenye kipindi imefafanuliwa. Inategemea unatumia mfumo upi wa ufugaji

  • @EsheRama
    @EsheRama 16 днів тому

    Dah napataje namba ya huyu afisa

  • @williamsipiteck4577
    @williamsipiteck4577 2 роки тому +2

    Naomba namba za Afisa mifugo

  • @emmanuelobasy3718
    @emmanuelobasy3718 Рік тому +1

    Maswali mazuri mtangazaji

  • @mohamedshafi6683
    @mohamedshafi6683 Рік тому +1

    I need this bulls to buy

  • @kizozokizozo906
    @kizozokizozo906 2 роки тому +1

    Wow

  • @godwinsangawe1386
    @godwinsangawe1386 6 місяців тому +4

    Mimi pia nimeanza kufuga
    Nilijifunza sana huku huku Utube

  • @stevenasunga3917
    @stevenasunga3917 2 роки тому +1

    Nipe namba ya huyo mzee

  • @wemapaschal2325
    @wemapaschal2325 2 роки тому +1

    Tunaomba namba ya Mr Edward

  • @kigugujoseph8394
    @kigugujoseph8394 3 роки тому +2

    Mko poa sana kwa elimu

  • @mumuog7876
    @mumuog7876 Рік тому +1

    Tunaomba nanamba bas

  • @williamkishiva9446
    @williamkishiva9446 5 місяців тому +1

    TBC njoo huku KAGERA kuna hawa nyakole wenye asili ya UGANDA tunahitaji elimu

  • @freddiefx
    @freddiefx Рік тому +1

    Kipindii kizuri snaa majibu yangu yamejibiwa

  • @fadhilmtunha4070
    @fadhilmtunha4070 Рік тому

    Namba za uyu mfugaji

  • @nsibwenekaswaga6267
    @nsibwenekaswaga6267 2 роки тому +2

    TBC mbona hamuoneshi vifaa anavyotumia kulishia mifugo? Maelezo yangeendana na picha.

  • @abdulshariff-hf2ih
    @abdulshariff-hf2ih 3 місяці тому

    Tueleze wakenya pumba na kishudu nini kiingereza tafadhali

  • @mbulachujoseph2596
    @mbulachujoseph2596 Рік тому +1

    Nauliza maji yawe umbali gani

    • @edwardmturi722
      @edwardmturi722 5 місяців тому +2

      Yawe karibu. Ndani ya kilomita 1

  • @jullyamos6610
    @jullyamos6610 2 роки тому +1

    Asante kwa elimu