mifugouvuvi Online Tv
mifugouvuvi Online Tv
  • 807
  • 260 737
Tuna fursa nyingi za Uwekezaji kwenye Sekta ya Uvuvi-Majaliwai!
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa ametumia jukwaa la Mkutano wa 8 wa Mawaziri wa Uvuvi wa Bahari na Maji ya Ndani kutoka nchi wanachama wa Umoja wa Afrika, Karibiani na Pasifiki kuainisha fursa mbalimbali zinazopatikana kwenye Sekta ya Uvuvi nchini.
Переглядів: 24

Відео

Ulega aanika faida lukuki za Mkutano wa OACPS!
Переглядів 544 години тому
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega amesema kufanyika kwa mkutano wa OACPS nchini Tanzania kutasaidia kuweka mikakati madhubuti ya kuinua sekta ya uvuvi na kuchechemua uchumi wa taifa kwa ujumla.
FAHAMU MIKAKATI KUDHIBITI UVUVI HARAMU
Переглядів 3521 годину тому
Wizara ya Mifugo na Uvuvi na mikakati mbalimbali ya kudhibiti uvuvi haramu na biashara haramu ya mazao ya uvuvi
PROF. SHEMDOE APOKEA MAKASHA 70 YA KUHIFADHIA SAMAKI
Переглядів 21День тому
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Prof. Riziki Shemdoe amepokea jumla ya makasha 70 ya kuhifadhia samaki kwa niaba ya wanawake wanasiriamali waliopo kwenye mialo ya Kibirizi na Katonga mkoani Kigoma yaliyotolewa na mawakala wa usafiri wa anga wa "Alliance" na Swissport leo Agosti 30, 2024 kwenye Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere jijini Dar-Es-Salaam.
Zaidi ya Mataifa 70 kukutana Dar-Es-Salaam kujadili Uchumi wa Buluu!
Переглядів 38День тому
Zaidi ya Mataifa 70 kukutana Dar-Es-Salaam kujadili Uchumi wa Buluu!
RAIS SAMIA ATOA NENO KWA MAAFISA UGANI NA WANAUSHIRIKA
Переглядів 10321 день тому
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amezungumza na maafisa ugani na wanaushirika katika kikao kilichofanyika Ikulu (Chamwino) jijini Dodoma. (10.08.2024)
WAZIRI ULEGA AELEZEA UMUHIMU WA MAAFISA UGANI
Переглядів 2821 день тому
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega akielezea umuhimu wa maafisa ugani katika sekta za wizara hiyo Ikulu (Chamwino) jijini Dodoma wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan alipohudhuria kikao na maafisa ugani na wanaushirika. (10.08.2024)
RAIS DKT. SAMIA ARIDHISHWA NA KUTOA MAELEKEZO YA NANENANE
Переглядів 721 день тому
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akigusia baadhi ya mambo aliyorishishwa nayo na kutoa maelekezo kuhusu sekta za mifugo na uvuvi, wakati wa kuhitimisha Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi (Nanenane) 2024, ambayo kitaifa yamefanyika katika viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma. (08.08.2024)
WAZIRI WA ULEGA AELEZEA MIPANGO YA WIZARA MAONESHO YA NANENANE 2024
Переглядів 3121 день тому
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega akielezea mipango ya wizara wakati kuhitimishwa kwa Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi (Nanenane) 2024, ambayo kitaifa yamefanyika katika viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma. (08.08.2024)
Tupo tayari Ziwa lipumzishwe kila Mwaka-Wavuvi Rukwa!
Переглядів 7021 день тому
Siku moja tu baada ya Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega kufungua shughuli za Uvuvi wa Ziwa Tanganyika, Wavuvi mkoani Rukwa wamebainisha kuwa wapo tayari Ziwa hilo lifungwe kila Mwaka kutokana na matokeo mazuri na makubwa waliyoyaona, Tazama hapo
Ng'ombe wa Kitulo amshangaza Ridhiwani Kikwete!
Переглядів 162Місяць тому
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete ameshangazwa na ukubwa wa ng'ombe waliopo kwenye ranchi ya Kitulo mkoani Njombe.
Yanayofanywa na Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwenye 88 jijini Mbeya!
Переглядів 193Місяць тому
Mratibu wa Maoneshi ya NaneNane 2024 kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa kanda ya Nyanda za Juu Kusini Bw.Edwin Chang'a anaeleza teknolojia mbalimbali zinazooneshwa na Wizara yake katika maonesho hayo ikiwa ni pamoja na zile zinazohusu ufugaji bora wa ng'ombe bora wa maziwa na nyama na aina mbalimbali za malisho ya Mifugo.
TAFIRI YATOA ELIMU YA UFUGAJI SAMAKI MAONESHO YA NANENANE KANDA YA ZIWA MAGHARIBI
Переглядів 113Місяць тому
Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania yatoa elimu kuhusu mbegu Bora za ufugaji wa samaki pamoja na chakula Bora Cha samaki Kwa wadau waliotembelea banda la Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Nanenane yanayoendelea kufanyika Kanda ya ziwa Magharibi katika Viwanja vya Nyamhongolo jijini Mwanza Agosti 04,2024.
Mnyeti aitaka sekta ya umma kuwa mfano kwenye NaneNane 2024
Переглядів 50Місяць тому
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Alexander Manyeti amezitaka taasisi za Serikali zinazoshiriki kwenye Maonesho ya kimataifa ya wakulima (NaneNane) kuwa wabunifu na kuonesha bidhaa bora ili sekta binafsi waweze kujifunza kutoka kwao.
Dozi za chanjo ya Sotoka ya Mbuzi na Kondoo zawasili Arusha..
Переглядів 28Місяць тому
Ni zile zilitolewa na FAO Julai 16, 2024..
FAO WATOA DOZI MIL.3.9 ZA CHANJO YA SOTOKA YA MBUZI NA KONDOO
Переглядів 57Місяць тому
FAO WATOA DOZI MIL.3.9 ZA CHANJO YA SOTOKA YA MBUZI NA KONDOO
DKT. MHEDE: MASHARTI YA MASOKO YAWE NA TIJA KWA SEKTA ZA MIFUGO NA UVUVI
Переглядів 55Місяць тому
DKT. MHEDE: MASHARTI YA MASOKO YAWE NA TIJA KWA SEKTA ZA MIFUGO NA UVUVI
TALIRI NDANI YA SABASABA
Переглядів 1282 місяці тому
TALIRI NDANI YA SABASABA
LITA NDANI YA SABASABA
Переглядів 542 місяці тому
LITA NDANI YA SABASABA
MKURUGENZI WA UVUVI NDANI YA SABASABA
Переглядів 302 місяці тому
MKURUGENZI WA UVUVI NDANI YA SABASABA
FETA NDANI YA SABASABA
Переглядів 202 місяці тому
FETA NDANI YA SABASABA
BBT UVUVI SABASABA
Переглядів 152 місяці тому
BBT UVUVI SABASABA
Mnyeti ageuka "Mbogo" kwa wafugaji wasiobadilika!
Переглядів 2262 місяці тому
Mnyeti ageuka "Mbogo" kwa wafugaji wasiobadilika!
Wavuvi Wadogo wampa maua yake Rais Samia! Ulega ampa "Uchampioni" wa Uvuvu Mdogo Afrika!
Переглядів 433 місяці тому
Wavuvi Wadogo wampa maua yake Rais Samia! Ulega ampa "Uchampioni" wa Uvuvu Mdogo Afrika!
Historia yaandikwa Tanzania! Mkutano wa Wavuvi wadogo Afrika 2024 wafana!
Переглядів 873 місяці тому
Historia yaandikwa Tanzania! Mkutano wa Wavuvi wadogo Afrika 2024 wafana!
Wakaguzi wa Mifugo na Mazao yake Vituoni wapigwa Msasa!
Переглядів 993 місяці тому
Wakaguzi wa Mifugo na Mazao yake Vituoni wapigwa Msasa!
Pazeni sauti tumuokoe Punda-Mnyeti
Переглядів 703 місяці тому
Pazeni sauti tumuokoe Punda-Mnyeti
BIL. 3.1 KUTUMIKA KWENYE UKUZAJI VIUMBE MAJI RUVUMA, LINDI
Переглядів 1464 місяці тому
BIL. 3.1 KUTUMIKA KWENYE UKUZAJI VIUMBE MAJI RUVUMA, LINDI
MAFANIKIO YA MIFUGO NA UVUVI MIAKA 60 YA TANZANIA
Переглядів 2574 місяці тому
MAFANIKIO YA MIFUGO NA UVUVI MIAKA 60 YA TANZANIA
Jinsi mahindi yanavyoweza kuwa malisho bora ya Mifugo!
Переглядів 6714 місяці тому
Jinsi mahindi yanavyoweza kuwa malisho bora ya Mifugo!

КОМЕНТАРІ

  • @uziasinkamba7380
    @uziasinkamba7380 8 днів тому

    Mhogo kiasi gani

  • @farysamy8518
    @farysamy8518 14 днів тому

    Naomba namba za shamba la ngerengere la mifugo

  • @augustinosamson9360
    @augustinosamson9360 15 днів тому

    Anwani zenu.

  • @MwendaAdam
    @MwendaAdam Місяць тому

    Naona ameonewa na siasa tu

  • @Omary_Mjema
    @Omary_Mjema Місяць тому

    ❤🎉 comrade

  • @GdFf-ik2eo
    @GdFf-ik2eo 2 місяці тому

    Huyu mpuuzi Mpenda nyuma Tigo

  • @amaniaboubakar1187
    @amaniaboubakar1187 2 місяці тому

    Nipo Geita, nahitaji Hilo jiwe lishe. Naomba msaada wa kulipata

  • @avyalimanaathanassambuta6577
    @avyalimanaathanassambuta6577 2 місяці тому

    All the best Mkuu

  • @nestor384
    @nestor384 2 місяці тому

    Mpuuzi huyu bwana

  • @GeraldinaGerard-xy6pl
    @GeraldinaGerard-xy6pl 2 місяці тому

    No za Jossam kwa kqgera

  • @GeraldinaGerard-xy6pl
    @GeraldinaGerard-xy6pl 2 місяці тому

    No za Jossam kwa kqgera

  • @GeraldinaGerard-xy6pl
    @GeraldinaGerard-xy6pl 2 місяці тому

    Tuwekeeni no za simu zenu na wapi tuwapate kwa kagera

  • @cyprianmgogo7625
    @cyprianmgogo7625 2 місяці тому

    Nimekupata toka Zambia mkuu,nitaanza ufugaji wa ngo'mbe baada ya kuona video hii,umehamasisha sana .unapatikana upande upi na mbali gani toka mbeya mjini?

  • @lusajomwakalinga5813
    @lusajomwakalinga5813 2 місяці тому

    Tunashindwa kudownload

  • @mapambanotv19
    @mapambanotv19 2 місяці тому

    Njooni Tuwauzie vifaranga kama kilo 10000 tutawapatia kwa idadi mnayohitaji

  • @ekyochisikitaya5354
    @ekyochisikitaya5354 2 місяці тому

    Na mbegu tutaipata wapi?

  • @ekyochisikitaya5354
    @ekyochisikitaya5354 2 місяці тому

    Jani hilo linaitwa aje?

  • @JonasMtugulu
    @JonasMtugulu 2 місяці тому

    Naomba namba zenu za simu

  • @JonasMtugulu
    @JonasMtugulu 2 місяці тому

    Namba za simu

  • @edwinmbunda6709
    @edwinmbunda6709 2 місяці тому

    Aina gani ya samaki?kambale?

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 2 місяці тому

    Yaani huyu mkuu wa mkoa alikuwa yuko vizuri sana, sijui hiyo kashifa ilitoka wapi, na hawa ndiyo viongozi wanaotakiwa

    • @nestor384
      @nestor384 2 місяці тому

      Hakuna zuri lolote kwa huyu bwana kwa tabia aliyoionesha!

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 2 місяці тому

    Ufugaji n mzur lkn achen kumnad samia kusko na maana kwan hapo ana uckaje ?alikupa hao ng'ombe bule au kapen zimeanza

  • @maikoyona-cm5xu
    @maikoyona-cm5xu 3 місяці тому

    Good news ✅

  • @maikoyona-cm5xu
    @maikoyona-cm5xu 3 місяці тому

    Good news ✅

  • @JeremiahMashini-hs2xz
    @JeremiahMashini-hs2xz 3 місяці тому

    Ninaomba namba simu jinsi kuwapata

  • @AgnesKalage
    @AgnesKalage 3 місяці тому

    Naomba jinsi ya kunenepesha ngombe

  • @hildakamugisha1135
    @hildakamugisha1135 3 місяці тому

    Dar tunapata wapi

  • @IsayaMwalukasa-ur2zt
    @IsayaMwalukasa-ur2zt 3 місяці тому

    Hii ni nzuri saana kwa maendeleo ya mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla

  • @jacob.surassa725
    @jacob.surassa725 3 місяці тому

    Hongereni. Dodoma mbegu tunapata wapi

  • @dausonkahitira5597
    @dausonkahitira5597 4 місяці тому

    Kaz njema na madini mengi napatq

  • @PESASungula
    @PESASungula 4 місяці тому

    Mimi mfugaji wa sungura

  • @SHABANIMAKUSI
    @SHABANIMAKUSI 4 місяці тому

    Shukrani sana, kwa elimu hii ya upandaji wa majani

  • @gigiman5465
    @gigiman5465 4 місяці тому

    Kilimo cha simu kizuri no stress

  • @gigiman5465
    @gigiman5465 4 місяці тому

    Kilimo cha simu kizuri no stress

  • @SaidKondo-rw8wb
    @SaidKondo-rw8wb 5 місяців тому

    Hongera mama,upo wapi tuje tukutembeleee

  • @mengikibona1405
    @mengikibona1405 5 місяців тому

    Hawatoshi watam boda san

  • @mifugouvuvionlinetv9032
    @mifugouvuvionlinetv9032 5 місяців тому

    Mbegu za malisho ya Juncao zinapatikana kwenye mashamba ya Serikali ya mbegu za malisho likiwemo shamba la Vikuge (Pwani) na Langwira (Mbeya), Kwa mawasiliano piga simu namba 0714060849 (Reuben, Meneja wa shamba la Vikuge)

  • @mifugouvuvionlinetv9032
    @mifugouvuvionlinetv9032 5 місяців тому

    Mbegu za malisho ya Juncao zinapatikana kwenye mashamba ya Serikali ya mbegu za malisho likiwemo shamba la Vikuge (Pwani) na Langwira (Mbeya), Kwa mawasiliano piga simu namba 0714060849 (Reuben, Meneja wa shamba la Vikuge)

  • @innocentandrea6482
    @innocentandrea6482 5 місяців тому

    Kwa Moshi mbegu mnauza wap

  • @MATHIASLUGIKO
    @MATHIASLUGIKO 5 місяців тому

    Ni kiasi gani Cha mbegu Kwa hekta

  • @HawaShangla
    @HawaShangla 5 місяців тому

    Utaratibu wa kupata mbegu ya hayo ukome kwa hapa dodoma

  • @JastineMafushi-hl6lp
    @JastineMafushi-hl6lp 5 місяців тому

    Nahitaji vifaranga vya sato

  • @SaidKondo-rw8wb
    @SaidKondo-rw8wb 5 місяців тому

    Hongereni sana

  • @user-os8qc7pl1g
    @user-os8qc7pl1g 5 місяців тому

    Nimeipenda sana hiyo fursa naomba mawasiliano yako

  • @user-iw4ho4wb5p
    @user-iw4ho4wb5p 5 місяців тому

    Kwa Kagera ulizia mbegu kwa Bwana Jossam wa Kahama Fresh, Alhaji Shakiru Dangote na Katongo kwenye bustani ya mbunge Mwijage. Shambani kwa mbunge mbegu ni bure

    • @felixchristopher7018
      @felixchristopher7018 3 місяці тому

      Mawasiliano mkuu. Hongereni sana kwa jitihada za kufikisha majani haya nyumbani. Omukama abebembele muno mwaakora!!!

  • @user-iw4ho4wb5p
    @user-iw4ho4wb5p 5 місяців тому

    Tayari Muleba tuna mbegu nyingi

  • @davidkelvin1692
    @davidkelvin1692 5 місяців тому

    Wizara ingejitahidi kusambaza mbegu kwa kila kanda ili wafugaji wazipate kwa urahisi nakuanza kufuga kisasa

  • @ramamabinda5063
    @ramamabinda5063 5 місяців тому

    Hapa ndio tuonaona ubaguzi wa wazi wazi wa serkali kwa wananchi wake. Maziwa yapo mengi tu nchini, lakini naona mengne hayafai kwa miradi kama hiyo ispokua Victoria tu. Huko kwingine serkali inaweza kufunga ziwa, hata watu wakipata madhara yoyote, ni sawa tu, maana binaadam ni hawa walioizunguka Victoria.

  • @UDFdaycareRuvuma
    @UDFdaycareRuvuma 5 місяців тому

    Safi

  • @MagenLucas
    @MagenLucas 5 місяців тому

    Naitaji naomba ya sm yenu