Sirjeff Dennis: Mtanzania mwenye miaka 24 aliyepata UMILIONEA kupitia kilimo, ufugaji kuku na FOREX

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 12 бер 2018
  • Sirjeff Dennis ana umri wa miaka 24 tu, lakini amefanya mambo makubwa katika biashara. Ana takriban makampuni matatu sasa likiwemo THE MILLION TEAM (TMT) ambalo limejikita katika biashara ya FOREX, utoaji elimu kuhusu biashara na masuala ya fedha (financial consultancy) na zingine.
    Pia ni mfugaji wa kuku wa kisasa akiwa na uwezo wa kuzalisha matrei 3,000 ya mayai kwa wiki na kuku wa nyama 12,000 kwa mwezi. Pia ana mashamba yafikayo hekali 60 akilima mahindi, mpunga, mboga na mazao mengine..

КОМЕНТАРІ • 281

  • @frozahjulius3581
    @frozahjulius3581 6 років тому +109

    OMG
    mbona sasa nazeeka sijatajilika
    Hahahahaha
    Naanza kuwa serious kuanzia kesho
    Ctaki mchezo
    Kama umeamua pia gonga like

    • @zamzamhamisi7332
      @zamzamhamisi7332 6 років тому +2

      frozah julius hhhhhhh ati kuanzia kesho

    • @clemmyamani7566
      @clemmyamani7566 6 років тому +2

      Hahaha gutuka my mimi mbona nimeanza sasa 😂😂😂

    • @selemanihussein5073
      @selemanihussein5073 6 років тому +2

      frozah julius 😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 imefeli wenzetu h ao wanajijuwa Italian mpaka nvi zikuote

    • @TheOne-fi6cs
      @TheOne-fi6cs 6 років тому +2

      Real..... let's be serious friends

    • @frozahjulius3581
      @frozahjulius3581 6 років тому +2

      Zamzam Hamisi
      Ndiooooo sahv staki mchezo mm
      Naamua kabisaaaaaa
      Myaka 25 cmiliki ata bajaji!
      😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃

  • @juliusuronu7862
    @juliusuronu7862 5 років тому +31

    Huku Jamii Forum tunamtambua kwa jina la Ontario...huyu jamaa ni noma

    • @marlonstudios4408
      @marlonstudios4408 5 років тому +2

      Nikawa nataka kusema uyu si ontario uyu

    • @godfreywebiro4058
      @godfreywebiro4058 5 років тому +2

      @@marlonstudios4408 hahaa sitasahau tmt

    • @godfreywebiro4058
      @godfreywebiro4058 5 років тому +2

      Kawapiga watu huko jf wanalia. 😀😀 wakina cnnp engneer.

    • @el_chilubi7458
      @el_chilubi7458 5 років тому +2

      Ontario huyu? Siku izi JF haonekani ama ana ID nyengine?

    • @juliusuronu7862
      @juliusuronu7862 5 років тому +2

      @@el_chilubi7458 inawezekana maana watu wanamshutumu kwa utapeli

  • @kilimanjaromeditationfrequ7871
    @kilimanjaromeditationfrequ7871 4 роки тому +6

    The boy is very confident and inspiring! I like his hustles.
    Ameni- inspire kuanzisha channeli hii yenye content (Video yenye muziki wa kinanda na gitaa) muhimu sana kwa binadamu kutuliza mwili na akili (relax) baada ya kuchoka na kazi, kwa wanafunzi wanaotaka ku-concentrate katika masomo yao (sikiliza ukiwa unasoma), wafanyakazi makazini, pia kwa wale wanaopata shida wakati wa kulala ukisikiliza muziki huu tulivu usio na kelele utapata usingizi mololo. Jionee video za drone zikionesha uzuri wa dunia.
    Kujua zaidi, tafadhali fanya kama unabonyeza hapo kujionea mwenyewe.
    Waafrika tutainuana wenyewe! One Love!!

  • @hopechidera
    @hopechidera 6 років тому +17

    Congrats kaka!there is no foolish job,wajinga ndio wanakuwa wanazarau na wanakufa maskini,kazi ni kazi bro❤

  • @abdullytwaha978
    @abdullytwaha978 5 років тому +6

    sir jeff history yako mwanangu daah..! enzi za batian doms mpka uku

  • @mashaclassic2345
    @mashaclassic2345 6 років тому +11

    Hata mm nimependa jmn uwiiiii ngoja niendeleee kukazana bado hata sijachelewa wallah daaaah had raha In shaa Allah nami nitafika huko

    • @watchme5678
      @watchme5678 4 роки тому

      Nmekukumbuka vp umepiga hatua?

  • @shadrackdeogratius6760
    @shadrackdeogratius6760 5 років тому +7

    Daaaaah kwakweli Atari,mazingira ukiyashinda lazima utoboe.the most problems for Tanzanian young is environment ,mazingira ukiyadhinda baass

  • @chamygama6049
    @chamygama6049 6 років тому +17

    Safi Sanaa Jeff
    shda ya ss vjana tunalalama na siasa na c kaz
    thanks bro skytz

  • @salhinakm4733
    @salhinakm4733 4 роки тому +7

    EXECUTION....PROCESS......NIMEPATA KUJIFUNZA BURE....THANKS SANA SIRJEFF

  • @erickmdegela4921
    @erickmdegela4921 6 років тому +6

    uko vizuri mkuu asante kwa kutushauli

  • @bishoomsomi6360
    @bishoomsomi6360 6 років тому +25

    Duh kwa mara ya kwanza kuona mjasiliamali anasema ukweli😀😀😀

  • @inallahitrust1888
    @inallahitrust1888 6 років тому +9

    Hongera kaka , unainspire vijana wengi .

  • @erickkyojo1725
    @erickkyojo1725 5 років тому +3

    I am so moved by your presentation...Big up

  • @allilutavi6603
    @allilutavi6603 6 років тому +4

    Great... hongera sana

  • @aminatabakari2741
    @aminatabakari2741 4 роки тому +1

    Ni elimu bora sana kuizingatia kujifunza Hongera sana!!!

  • @edwardmsongelwa5455
    @edwardmsongelwa5455 4 роки тому +2

    The only thing I can say is congratulation you have done The best for yourself and the country too all the best Son of the soil

  • @bmpchanneltz2438
    @bmpchanneltz2438 5 років тому +3

    Confident...compitent...geniuz big up broth👏👏👏

  • @shadrackdeogratius6760
    @shadrackdeogratius6760 5 років тому +14

    Kwasababu ,mfano most of family za kitanzania mwanafunzi anasubiliwa amalize chuo akatatue matatizo ya familia yoa,kila kidogo anacho kipata anatumia kusolve matatizo yaliyo tengenezwa tangu hajazaliwa,atakuja kujishtukia kushughulikia matatizo yake mda usha endaaaa.ila cha msingi ni kukubali kuchukiwa tu mda mwingine

    • @lutphiagharib1409
      @lutphiagharib1409 5 років тому +1

      shadrack deogratius .kweli yani umeongea swadakta ndo tupo hivi kma tumejizaa wenyewe

    • @shadrackdeogratius6760
      @shadrackdeogratius6760 5 років тому +1

      Lutphia Gharib yaaaanni ni sawa kuuchuma mchicha kabla hauja komaaa,na bado unategemea ukomae ukupe na mbegu.jaman daaaaaa!!!

    • @jeremiahburton8999
      @jeremiahburton8999 5 років тому

      Kweli Sana Kaka....

    • @thebmcblackmiccatcher3949
      @thebmcblackmiccatcher3949 5 років тому

      Unachukia kusaidia kwa sababu unachukia changamoto, hilo unaloliita tatizo la wazazi wako kabla hujazaliwa ndo ulishinde ili tuone unapambana na changamoto kweli na sio kuziahirisha, hata kama utatega mgongo kuwa hayakuhus upo muda utajisikia mjinga na utarudi kutatua, changamoto ni pamoja na kuwasaidia wajinga ama wazembe (grupu ulilowaweka wazazi ama ndugu unaochukia kuwasaidia), sasa ukishindwa kuwasaidia wazembe halafu utataka watu wenye akili timamu wakuone unatatua matatizo gani labda? Ulishawahi kufikiria kwa nn wazaz ama ndugu zako ni masikin na mwisho wanakutegemea? Sasa mtu anayetambua tatizo halafu akatega mgongo kama halimhusu unazani yeye pia siyo tatizo?
      ISHI UKIJUA WOTE WALIOFANIKIWA KIFEDHA WALIFANYA KUSOLVE MATATIZO YA WATU, AMA KUPATIA MAJIBU MASWALI YA JAMII.

    • @gilbertmtey9633
      @gilbertmtey9633 5 років тому +1

      Hongera bro

  • @salamia__mwangu599
    @salamia__mwangu599 6 років тому +1

    nimejifunza ki2 kutoka kwako brother hongera sana

  • @hesbonken9663
    @hesbonken9663 5 років тому +5

    your really impressive bro ,,you have made me think in another way ...Thanks a lot

  • @goldmansun5859
    @goldmansun5859 6 років тому +10

    u made me jealous n very inspired ,congrats one day ntakukutafuta after making my goals alive ,yo are blessed

    • @watchme5678
      @watchme5678 4 роки тому

      Nmekukumbuka vp umepiga hatua?

  • @yourstarboy
    @yourstarboy 6 років тому +6

    big up bro sky interview zako zina niinspire sana

  • @lameckclement2804
    @lameckclement2804 5 років тому

    Hongera Denis kwa kutengenezaaisha

  • @thebroski9763
    @thebroski9763 5 років тому +4

    We all in same journey INSHAALLAH

  • @RomanusTv
    @RomanusTv 6 років тому +8

    Asante sana

  • @eddahhawa7471
    @eddahhawa7471 4 роки тому +1

    Asante kwa ajiri yangu

  • @ameuljulius7328
    @ameuljulius7328 5 років тому +26

    Forex is life

  • @immasudi2221
    @immasudi2221 6 років тому +4

    Huyu jamaa kanivutua Sana, pongezi nyingi kwake

  • @abousiu3753
    @abousiu3753 6 років тому +3

    nice interview! very smart guy

  • @letsenjoy631
    @letsenjoy631 4 роки тому

    Thanks brother jap nimechelew kukufaham ila thank nashkur kw hich ulichotup appreciate

  • @shebesalim9806
    @shebesalim9806 5 років тому +4

    Great inspiration brother,keep it up

  • @yulithersilivester8321
    @yulithersilivester8321 6 років тому +4

    Hongera Sana kijana, uliyoyaongera ni very true! Wajasiliamali tunaohustle tunakuelewa Sana, stay blessed

  • @Techzonekenya
    @Techzonekenya 4 роки тому +1

    yale yote umesema ni muhimu sana kaka ,,pongezi na umekaribishwa sana Kenya.

  • @zennakailo8106
    @zennakailo8106 6 років тому +12

    Waoooooooo!!!!mungu mwema hongera san kak

  • @arthurvuitton6419
    @arthurvuitton6419 6 років тому +4

    dah mawazo mazuri i wish niwe kama wewe tofauti na wale wanaopiga kelele mitaan i think my dream will come true soon as possible

    • @MZIZE
      @MZIZE 5 років тому +1

      God bless you

  • @vanessanyanda4148
    @vanessanyanda4148 6 років тому +3

    Very inspired..

  • @dowhatyourepassionateoftra1668
    @dowhatyourepassionateoftra1668 4 роки тому +1

    Ila mafanikio hayana umri. Kuna hawa vijana waliopiga Milioni mia NNE katika kubeti. Pia KFC baada ya kustaafu ndo alitoka.
    Umri sio kuwa ni mafanikio. Unaweza ukazaa mtoto akawa mbunge na wewe hata balozi nyumba kumi hukugusaga. Kila MTU ana namna yake ya kutoka. Sio kama umefanya kilimo namie nitokee kwa kilimo

  • @ericjonstz3120
    @ericjonstz3120 4 роки тому

    Hongera sna dogo kwani vjana wengi hatutaki kujtu Bali kuoneana wivu basi

  • @wilsonkaijage1909
    @wilsonkaijage1909 5 років тому +2

    Hongera sana kaka jerf! Karbu sana Mtwara pia kwa sabb vijana huku tuna changamoto katika matumiz ya opportunity kama hizo! Be blcd

  • @twahaissa3333
    @twahaissa3333 4 роки тому +10

    From petroleum eng to stock exchange, good lucky bro, For reference forex is not for layman it needs skills and patience ,kwa yeyote anayesoma comments awe makini hakuna mafanikio ya rahisi

  • @abdullytwaha978
    @abdullytwaha978 5 років тому

    mbegu ya macharia kajiado Hills academy home boy bravoo

  • @queenmaa7892
    @queenmaa7892 6 років тому +6

    Awe blessed...napenda anavyo eleza na kiswahili chake sanifu

  • @5minutescrafthacks295
    @5minutescrafthacks295 5 років тому

    Sante sana bro

  • @georgeirungu4286
    @georgeirungu4286 3 роки тому

    congratulation from Kenya.I am also setting foot in forex trading.

  • @emmanuelbashweka3577
    @emmanuelbashweka3577 6 років тому +8

    Transformative Thinking..Congrats kaka.

  • @shau78
    @shau78 5 років тому +3

    This is the way. Hakuna namna

  • @imekuwacompanyltd5796
    @imekuwacompanyltd5796 5 років тому +2

    very good interview

  • @hilarygodfrey5862
    @hilarygodfrey5862 4 роки тому

    Thanks my brother

  • @emiliamulaki3600
    @emiliamulaki3600 6 років тому

    Hongera sana kaka.

  • @emmanuelrenatus3546
    @emmanuelrenatus3546 6 років тому +1

    barikiwa

  • @mwaminindayishimiye4434
    @mwaminindayishimiye4434 6 років тому +1

    Hongera sana kaka

  • @tahrinkessy7119
    @tahrinkessy7119 6 років тому +4

    M/mng akuzdshie bro

  • @ibnabou1886
    @ibnabou1886 5 років тому +3

    big up uko vzr brother

  • @marymayeye7947
    @marymayeye7947 6 років тому +3

    Ongera,

  • @djmullay5376
    @djmullay5376 6 років тому +2

    hongera broooo

  • @swariotibi6134
    @swariotibi6134 Рік тому

    Asante kaka kabisa

  • @selenhomtendjwa9270
    @selenhomtendjwa9270 6 років тому +5

    Great inspiration!

  • @zamzamhamisi7332
    @zamzamhamisi7332 6 років тому +6

    Congratulation

  • @ashminaabdullah5626
    @ashminaabdullah5626 6 років тому +1

    Hongera mm hata 100 sina uko vzur yng broo

  • @amanichanga3448
    @amanichanga3448 5 років тому +18

    Huyu ndiye alieitambulisha Forex Tanzania

  • @SiscoPrinceAmos
    @SiscoPrinceAmos 6 років тому +5

    Blessed by your words bro, an insparation for real

  • @Delyamedia
    @Delyamedia 5 років тому +10

    Toka nimeanza kuangalia youtube, leo ndio nimepata nilichokuwa nakitafuta

  • @jumannejumbe2396
    @jumannejumbe2396 4 роки тому +1

    jamaa ana miaka 24 na kamaliza chuo 2016 .

  • @watotowamungubyfreconicide1505
    @watotowamungubyfreconicide1505 6 років тому +3

    Inspired

  • @BrayanSadiki-jc9du
    @BrayanSadiki-jc9du Рік тому

    Naomba uniunganishe na Mimi kwenye mafunzo

  • @trishtrish2349
    @trishtrish2349 6 років тому +2

    sky this is the best video so far on your channel

  • @juliussanane1860
    @juliussanane1860 5 років тому

    Ofisi zenu zinapatikana wapi tafadhali brother Sky naomba msaada

  • @evancelusekelo1957
    @evancelusekelo1957 5 років тому

    Nice brother

  • @rebeccajohn629
    @rebeccajohn629 6 років тому +3

    Jaman unanivutia huo ujumbe lazima na mm nijiajili mwenyewe na niwe siliaz na maamuz yangu hongera kaka

    • @watchme5678
      @watchme5678 4 роки тому

      Nmekukumbuka vp umepiga hatua?

  • @OLPrimary
    @OLPrimary 4 роки тому

    Blessed

  • @musamoe2604
    @musamoe2604 6 років тому

    asante

  • @marlonstudios4408
    @marlonstudios4408 Рік тому

    Ontario uyo ali tutapeli hela jamii forums

  • @maryjoseph7931
    @maryjoseph7931 5 років тому +3

    nipo mwanza nataman sana kuingia kwenye system mpo mwanza sehem gan?

  • @tinyaanosiatha1118
    @tinyaanosiatha1118 4 роки тому

    Nice 👍🏻

  • @aishamattar6381
    @aishamattar6381 6 років тому +2

    Napenda mnavohamasisha vijana kazi

  • @filbertnashon7160
    @filbertnashon7160 4 роки тому +3

    Hivi sisi tunakwama wapi ba ndugu ebu tuelezane ukweli hapa

  • @halfahalfa9728
    @halfahalfa9728 5 років тому

    Mwenye hela ndio anapata hela siku zote
    Mimi nilijua mkulima wa jembe la mkono halafu kafikia mafanilio hayo
    ☺☺☺☺

  • @tete-ma8640
    @tete-ma8640 4 роки тому

    Bigup bro,

  • @cactuscarter-le2ld
    @cactuscarter-le2ld Місяць тому

    Sir Jef 🔥

  • @mohammadmpinga7404
    @mohammadmpinga7404 6 років тому +7

    Akili Nyingi..

  • @maryjoseph7931
    @maryjoseph7931 5 років тому +2

    nipo mwanza nataman kujifunza forex naomba namba jmn jeff dennis

  • @kidrayofficial1591
    @kidrayofficial1591 6 років тому

    Boss kwa dodoma mnapatikana wapi?

  • @jimmyjohn8184
    @jimmyjohn8184 6 років тому +2

    Hicho ndiyo nilikuwa nakitaguta, watu wengi hawasemi uhalisia wa changamoto, ila ukiingia kwenye vitendo ndiyo utaona na kujifunza na hapo utapata uzoefu na hatimaye kufanikiwa

  • @lantanalantana6838
    @lantanalantana6838 3 роки тому

    One day like you i will be bro

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 4 роки тому +2

    I tried Forex nimeibiwa $900 = 2M Tsh. Haya mambo yanahitaji ufahamu wa hali ya juu

    • @flaviusmwemezi9961
      @flaviusmwemezi9961 4 роки тому +1

      Hukuibiwa umepoteza kwa kutokuelewa

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 4 роки тому

      @@flaviusmwemezi9961 The guy who said ananishow how it works ameniibia. He promised me success akanionyesha I won amount but sijui kuliendaje

    • @hotnigga619
      @hotnigga619 4 роки тому

      u met a scammer si mbona tunapiga hela tu mdogo mdogo za madafu

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 4 роки тому

      @@hotnigga619 Nikija Bongo nitajaribu tena

    • @mudhakkirhemed
      @mudhakkirhemed 3 роки тому

      Sema umechoma account yko kwny forex pia na broker unaemtua rabda sio mzr amekuchezea michezo na pia hujaisoma vzr forex umeingia kichwa kichwa tu ukisoma na ukatumia demo account ndio utapata kuielewa forex ni nn

  • @cathbertymbwambo5238
    @cathbertymbwambo5238 4 роки тому

    Big up

  • @salscommunication1910
    @salscommunication1910 4 роки тому

    Please mbona Zanzibar sijawaona?

  • @brightonkimetelo6862
    @brightonkimetelo6862 4 роки тому

    Mungu tusaidie😄😄😄😄

  • @scolapeter4063
    @scolapeter4063 5 років тому +1

    Mm nataka kufundishwa Iyo biashara ya forex

  • @edwardclaude9224
    @edwardclaude9224 6 років тому +9

    forex

  • @moshatony4929
    @moshatony4929 5 років тому +1

    Nauli tu zakutembelea hzo nchi nimtaji tosha kwa wengine

  • @kevinmozz8109
    @kevinmozz8109 5 років тому +1

    Kilimo cha kuku! Enhe

  • @ibrahiimadam2452
    @ibrahiimadam2452 Рік тому

    Yeah

  • @mashaclassic2345
    @mashaclassic2345 6 років тому +3

    Bro sky jmn vp mbona unakatisha utamu wa handak la kifo mm sijalala naweweseka nahiyo simuliz hapa nimeamka nimekuta hakuna handak bas aaah naona ovyoo kwel yan km sijapata handak sitakuwa shwar kabisaaa

  • @celinamassawa8147
    @celinamassawa8147 6 років тому +6

    hongera sn,lkn familia zetu zinatofautiana, ww umetoka ktk familia iliyokuwezesha mpaka malengo yako yametimia.lkn kwa wengine inakuwangumu hata kwa kidogo.

    • @adambasenya6862
      @adambasenya6862 5 років тому +2

      Siyo kweli, kupata maisha mazuri siyo chanzo wazazi, hapo ulipo unaweza anza hata Leo kwa mtaji wa 10000 na ukafikia Marengo yako na ukawa tajili mkubwa!
      Na unaweza kupewa milion 10 ukaharibu zote bila hata kufanya cha Maana.
      Cha msingi angalia vipaumbele vyako ni Nini.
      Epuka kuwaza vitu vidogo vidogo Waza mambo makubwa!
      Usijione kushindwa, hapo unajiroga mwenyewe,
      Amini unaweza na utaweweza! Jione unaweza na usimamie Marengo yako, na usikubari kukata tamaa!
      Zaidi mshirikishe mungu na umatangulize kwa kila Jambo.

    • @blackwarrior-animations593
      @blackwarrior-animations593 5 років тому +1

      MTAFUTE AKUPE HISTORIA YAKE ALIVYO TOBOA ,START WITH WHAT YOU HAVE IS THE KEY TO SUCCESS!
      KAMWE USIJIDHARAU KWA NAMNA YEYOTE ILE ....

    • @theresiamasawe4792
      @theresiamasawe4792 2 роки тому +1

      @@adambasenya6862 Vizuri mwalimu mzuri.

  • @zeddybass6672
    @zeddybass6672 4 роки тому +5

    Huyo ni mboga saba tokea zamani. ukifikia kiwango Cha kusomeshwa Hadi ulaya ww kwenu Mambo Safi. Hela inaenda kwenye hela . Ila nimpongeze kwa ubunifu tu .Ila sio from 0 to hero .

    • @geraldrusasag638
      @geraldrusasag638 4 роки тому

      Sio mboga saba hata kidogo mm nimesoma nae shule moja na ni mshikaji wangu

    • @khalidyndi
      @khalidyndi 4 роки тому

      @@geraldrusasag638 😹 haha

    • @kingcopper_tz
      @kingcopper_tz 4 роки тому +1

      Nandio hapo watanzania tunafeli, kusoma nje ya nchi ni milion 4 kaka, kusoma chuo cha kairuki Tanzania ni milion 7. Ni wewe tu unaamua kuwa tajiri au maskin

    • @theresiamasawe4792
      @theresiamasawe4792 2 роки тому

      @@kingcopper_tz Great

  • @kennedymaster2000
    @kennedymaster2000 3 роки тому

    Dar huyu jama ni noma

  • @edwardmparange1042
    @edwardmparange1042 6 років тому

    hongera sana

  • @fayrashrashid1149
    @fayrashrashid1149 5 років тому +3

    Inspired at max. .......

  • @hilkiephillip716
    @hilkiephillip716 4 роки тому

    Mwanza mnapatikana wapi sirjeff