Sirjeff Dennis: Mtanzania mwenye miaka 24 aliyepata UMILIONEA kupitia kilimo, ufugaji kuku na FOREX
Вставка
- Опубліковано 12 бер 2018
- Sirjeff Dennis ana umri wa miaka 24 tu, lakini amefanya mambo makubwa katika biashara. Ana takriban makampuni matatu sasa likiwemo THE MILLION TEAM (TMT) ambalo limejikita katika biashara ya FOREX, utoaji elimu kuhusu biashara na masuala ya fedha (financial consultancy) na zingine.
Pia ni mfugaji wa kuku wa kisasa akiwa na uwezo wa kuzalisha matrei 3,000 ya mayai kwa wiki na kuku wa nyama 12,000 kwa mwezi. Pia ana mashamba yafikayo hekali 60 akilima mahindi, mpunga, mboga na mazao mengine..
OMG
mbona sasa nazeeka sijatajilika
Hahahahaha
Naanza kuwa serious kuanzia kesho
Ctaki mchezo
Kama umeamua pia gonga like
frozah julius hhhhhhh ati kuanzia kesho
Hahaha gutuka my mimi mbona nimeanza sasa 😂😂😂
frozah julius 😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 imefeli wenzetu h ao wanajijuwa Italian mpaka nvi zikuote
Real..... let's be serious friends
Zamzam Hamisi
Ndiooooo sahv staki mchezo mm
Naamua kabisaaaaaa
Myaka 25 cmiliki ata bajaji!
😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃
Huku Jamii Forum tunamtambua kwa jina la Ontario...huyu jamaa ni noma
Nikawa nataka kusema uyu si ontario uyu
@@marlonstudios4408 hahaa sitasahau tmt
Kawapiga watu huko jf wanalia. 😀😀 wakina cnnp engneer.
Ontario huyu? Siku izi JF haonekani ama ana ID nyengine?
@@el_chilubi7458 inawezekana maana watu wanamshutumu kwa utapeli
The boy is very confident and inspiring! I like his hustles.
Ameni- inspire kuanzisha channeli hii yenye content (Video yenye muziki wa kinanda na gitaa) muhimu sana kwa binadamu kutuliza mwili na akili (relax) baada ya kuchoka na kazi, kwa wanafunzi wanaotaka ku-concentrate katika masomo yao (sikiliza ukiwa unasoma), wafanyakazi makazini, pia kwa wale wanaopata shida wakati wa kulala ukisikiliza muziki huu tulivu usio na kelele utapata usingizi mololo. Jionee video za drone zikionesha uzuri wa dunia.
Kujua zaidi, tafadhali fanya kama unabonyeza hapo kujionea mwenyewe.
Waafrika tutainuana wenyewe! One Love!!
Congrats kaka!there is no foolish job,wajinga ndio wanakuwa wanazarau na wanakufa maskini,kazi ni kazi bro❤
sir jeff history yako mwanangu daah..! enzi za batian doms mpka uku
Hata mm nimependa jmn uwiiiii ngoja niendeleee kukazana bado hata sijachelewa wallah daaaah had raha In shaa Allah nami nitafika huko
Nmekukumbuka vp umepiga hatua?
Daaaaah kwakweli Atari,mazingira ukiyashinda lazima utoboe.the most problems for Tanzanian young is environment ,mazingira ukiyadhinda baass
Safi Sanaa Jeff
shda ya ss vjana tunalalama na siasa na c kaz
thanks bro skytz
EXECUTION....PROCESS......NIMEPATA KUJIFUNZA BURE....THANKS SANA SIRJEFF
uko vizuri mkuu asante kwa kutushauli
Duh kwa mara ya kwanza kuona mjasiliamali anasema ukweli😀😀😀
Hongera kaka , unainspire vijana wengi .
I am so moved by your presentation...Big up
Great... hongera sana
Ni elimu bora sana kuizingatia kujifunza Hongera sana!!!
The only thing I can say is congratulation you have done The best for yourself and the country too all the best Son of the soil
Confident...compitent...geniuz big up broth👏👏👏
Kwasababu ,mfano most of family za kitanzania mwanafunzi anasubiliwa amalize chuo akatatue matatizo ya familia yoa,kila kidogo anacho kipata anatumia kusolve matatizo yaliyo tengenezwa tangu hajazaliwa,atakuja kujishtukia kushughulikia matatizo yake mda usha endaaaa.ila cha msingi ni kukubali kuchukiwa tu mda mwingine
shadrack deogratius .kweli yani umeongea swadakta ndo tupo hivi kma tumejizaa wenyewe
Lutphia Gharib yaaaanni ni sawa kuuchuma mchicha kabla hauja komaaa,na bado unategemea ukomae ukupe na mbegu.jaman daaaaaa!!!
Kweli Sana Kaka....
Unachukia kusaidia kwa sababu unachukia changamoto, hilo unaloliita tatizo la wazazi wako kabla hujazaliwa ndo ulishinde ili tuone unapambana na changamoto kweli na sio kuziahirisha, hata kama utatega mgongo kuwa hayakuhus upo muda utajisikia mjinga na utarudi kutatua, changamoto ni pamoja na kuwasaidia wajinga ama wazembe (grupu ulilowaweka wazazi ama ndugu unaochukia kuwasaidia), sasa ukishindwa kuwasaidia wazembe halafu utataka watu wenye akili timamu wakuone unatatua matatizo gani labda? Ulishawahi kufikiria kwa nn wazaz ama ndugu zako ni masikin na mwisho wanakutegemea? Sasa mtu anayetambua tatizo halafu akatega mgongo kama halimhusu unazani yeye pia siyo tatizo?
ISHI UKIJUA WOTE WALIOFANIKIWA KIFEDHA WALIFANYA KUSOLVE MATATIZO YA WATU, AMA KUPATIA MAJIBU MASWALI YA JAMII.
Hongera bro
nimejifunza ki2 kutoka kwako brother hongera sana
your really impressive bro ,,you have made me think in another way ...Thanks a lot
u made me jealous n very inspired ,congrats one day ntakukutafuta after making my goals alive ,yo are blessed
Nmekukumbuka vp umepiga hatua?
big up bro sky interview zako zina niinspire sana
Hongera Denis kwa kutengenezaaisha
We all in same journey INSHAALLAH
Asante sana
Pamoja sana bro
asante
Asante kwa ajiri yangu
Forex is life
Ikoje
Huyu jamaa kanivutua Sana, pongezi nyingi kwake
nice interview! very smart guy
Thanks brother jap nimechelew kukufaham ila thank nashkur kw hich ulichotup appreciate
Great inspiration brother,keep it up
Hongera Sana kijana, uliyoyaongera ni very true! Wajasiliamali tunaohustle tunakuelewa Sana, stay blessed
yale yote umesema ni muhimu sana kaka ,,pongezi na umekaribishwa sana Kenya.
Waoooooooo!!!!mungu mwema hongera san kak
dah mawazo mazuri i wish niwe kama wewe tofauti na wale wanaopiga kelele mitaan i think my dream will come true soon as possible
God bless you
Very inspired..
Ila mafanikio hayana umri. Kuna hawa vijana waliopiga Milioni mia NNE katika kubeti. Pia KFC baada ya kustaafu ndo alitoka.
Umri sio kuwa ni mafanikio. Unaweza ukazaa mtoto akawa mbunge na wewe hata balozi nyumba kumi hukugusaga. Kila MTU ana namna yake ya kutoka. Sio kama umefanya kilimo namie nitokee kwa kilimo
Hongera sna dogo kwani vjana wengi hatutaki kujtu Bali kuoneana wivu basi
Hongera sana kaka jerf! Karbu sana Mtwara pia kwa sabb vijana huku tuna changamoto katika matumiz ya opportunity kama hizo! Be blcd
From petroleum eng to stock exchange, good lucky bro, For reference forex is not for layman it needs skills and patience ,kwa yeyote anayesoma comments awe makini hakuna mafanikio ya rahisi
Well said
Jeff bhna anaon fx is so easy buy gold afu ulale
mbegu ya macharia kajiado Hills academy home boy bravoo
Awe blessed...napenda anavyo eleza na kiswahili chake sanifu
.
.
Sante sana bro
congratulation from Kenya.I am also setting foot in forex trading.
Transformative Thinking..Congrats kaka.
This is the way. Hakuna namna
very good interview
Thanks my brother
Hongera sana kaka.
barikiwa
Hongera sana kaka
M/mng akuzdshie bro
big up uko vzr brother
Ongera,
hongera broooo
Asante kaka kabisa
Great inspiration!
Congratulation
Hongera mm hata 100 sina uko vzur yng broo
Huyu ndiye alieitambulisha Forex Tanzania
Ntakuchap fimbo ww
Blessed by your words bro, an insparation for real
Toka nimeanza kuangalia youtube, leo ndio nimepata nilichokuwa nakitafuta
jamaa ana miaka 24 na kamaliza chuo 2016 .
Inspired
Naomba uniunganishe na Mimi kwenye mafunzo
sky this is the best video so far on your channel
Ofisi zenu zinapatikana wapi tafadhali brother Sky naomba msaada
Nice brother
Jaman unanivutia huo ujumbe lazima na mm nijiajili mwenyewe na niwe siliaz na maamuz yangu hongera kaka
Nmekukumbuka vp umepiga hatua?
Blessed
asante
Ontario uyo ali tutapeli hela jamii forums
nipo mwanza nataman sana kuingia kwenye system mpo mwanza sehem gan?
Nice 👍🏻
Napenda mnavohamasisha vijana kazi
Hivi sisi tunakwama wapi ba ndugu ebu tuelezane ukweli hapa
Mwenye hela ndio anapata hela siku zote
Mimi nilijua mkulima wa jembe la mkono halafu kafikia mafanilio hayo
☺☺☺☺
Bigup bro,
Sir Jef 🔥
Akili Nyingi..
nipo mwanza nataman kujifunza forex naomba namba jmn jeff dennis
Boss kwa dodoma mnapatikana wapi?
Hicho ndiyo nilikuwa nakitaguta, watu wengi hawasemi uhalisia wa changamoto, ila ukiingia kwenye vitendo ndiyo utaona na kujifunza na hapo utapata uzoefu na hatimaye kufanikiwa
One day like you i will be bro
I tried Forex nimeibiwa $900 = 2M Tsh. Haya mambo yanahitaji ufahamu wa hali ya juu
Hukuibiwa umepoteza kwa kutokuelewa
@@flaviusmwemezi9961 The guy who said ananishow how it works ameniibia. He promised me success akanionyesha I won amount but sijui kuliendaje
u met a scammer si mbona tunapiga hela tu mdogo mdogo za madafu
@@hotnigga619 Nikija Bongo nitajaribu tena
Sema umechoma account yko kwny forex pia na broker unaemtua rabda sio mzr amekuchezea michezo na pia hujaisoma vzr forex umeingia kichwa kichwa tu ukisoma na ukatumia demo account ndio utapata kuielewa forex ni nn
Big up
Please mbona Zanzibar sijawaona?
Mungu tusaidie😄😄😄😄
Mm nataka kufundishwa Iyo biashara ya forex
forex
Nauli tu zakutembelea hzo nchi nimtaji tosha kwa wengine
Kilimo cha kuku! Enhe
Yeah
Bro sky jmn vp mbona unakatisha utamu wa handak la kifo mm sijalala naweweseka nahiyo simuliz hapa nimeamka nimekuta hakuna handak bas aaah naona ovyoo kwel yan km sijapata handak sitakuwa shwar kabisaaa
hongera sn,lkn familia zetu zinatofautiana, ww umetoka ktk familia iliyokuwezesha mpaka malengo yako yametimia.lkn kwa wengine inakuwangumu hata kwa kidogo.
Siyo kweli, kupata maisha mazuri siyo chanzo wazazi, hapo ulipo unaweza anza hata Leo kwa mtaji wa 10000 na ukafikia Marengo yako na ukawa tajili mkubwa!
Na unaweza kupewa milion 10 ukaharibu zote bila hata kufanya cha Maana.
Cha msingi angalia vipaumbele vyako ni Nini.
Epuka kuwaza vitu vidogo vidogo Waza mambo makubwa!
Usijione kushindwa, hapo unajiroga mwenyewe,
Amini unaweza na utaweweza! Jione unaweza na usimamie Marengo yako, na usikubari kukata tamaa!
Zaidi mshirikishe mungu na umatangulize kwa kila Jambo.
MTAFUTE AKUPE HISTORIA YAKE ALIVYO TOBOA ,START WITH WHAT YOU HAVE IS THE KEY TO SUCCESS!
KAMWE USIJIDHARAU KWA NAMNA YEYOTE ILE ....
@@adambasenya6862 Vizuri mwalimu mzuri.
Huyo ni mboga saba tokea zamani. ukifikia kiwango Cha kusomeshwa Hadi ulaya ww kwenu Mambo Safi. Hela inaenda kwenye hela . Ila nimpongeze kwa ubunifu tu .Ila sio from 0 to hero .
Sio mboga saba hata kidogo mm nimesoma nae shule moja na ni mshikaji wangu
@@geraldrusasag638 😹 haha
Nandio hapo watanzania tunafeli, kusoma nje ya nchi ni milion 4 kaka, kusoma chuo cha kairuki Tanzania ni milion 7. Ni wewe tu unaamua kuwa tajiri au maskin
@@kingcopper_tz Great
Dar huyu jama ni noma
hongera sana
Inspired at max. .......
Mwanza mnapatikana wapi sirjeff