Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
DC MAGOTI ARUDI MSIKITI ULIOLAZA WATOTO 90+, ACHANGIA MIFUKO 300 YA CEMENT “MMETEKELEZA AGIZO HARAKA
Вставка
- Опубліковано 12 лип 2024
- Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti akiwa ameambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama, ametoa mifuko 300 ya cement kwenye vituo viwili vinavyotoa mafundisho ya Dini ya Kiislamu ikiwemo kituo kilichopo Msikiti wa Masjid Salaf uliopo Kiluvya Madukani, hatua hii inakuja siku mbili tangu aagize kituo hicho kifungwe na kuwarejesha Watoto zaidi ya 90 kwa Wazazi wao hadi watakapojenga mabweni na kupewa kibali maalum cha kuendesha mafunzo hayo, hii ni baada ya kubaini Watoto hao wanalazwa katika eneo dogo Msikitini na wengine nje ya Msikiti huku mazingira wanayopikia chakula na yanayowazunguka yakiwa hatarishi na machafu.
DC Magoti ambaye amefika Msikitini hapo akiwa na Sheikh wa Mkoa wa Pwani Sheikh Khamis Mtupa, ametoa mifuko 150 ya cement kwenye Msikiti huo na mifuko mingine 150 kwenye Msikiti mwingine unaoitwa Masijid Abdulaziz Ashlak ambako nako walibaini Watoto wakiwa wanalala kwenye mazingira yasiyo rafiki na salama na akaagiza warejeshwe mwakao “Nimefurahi agizo limetekelezwa ndani ya saa 24, nimeamua kuchangia ujenzi na nitasaidia michakato yote ya hati ya kiwanja na usajil wa kituo”
Kiongozi wa kituo hicho, Sheikh Abdul Hamid amemshukuru DC Magoti kwa kuwachangia cement huku akimuomba Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan na Watanzania wote kwa ujumla kuwachangia pia kila mmoja kwa kile atakachojaaliwa ili wawezeshe kujengwa kwa Hostel ya ghorofa 5 na Watoto warejee kuendelea na masomo… namba za kuchangia ni Tigo Pesa 0719380268 (Jina Abdallah Samudu)
Mimi ni mkristo lakini uyu shekh kiukweli yuko vizuri ni mtu mwenye eshima na mnyenyekevu nimempenda sana mwenyezi mungu ampe maisha marefu.🙏🙏🙏🙏
Uislamu sahihi ndio huo unyenyekevu, masalafi ndio hao karibu sana ujifunze mengine mengi
Charlesmugisha6529 Nikweli nduguyangu hatamimi kanihuzunisha sana huyu sheghe mpole mnyenyekevu duh
anakukaribisha ukamtembelee
Shukrani Miradi Ayo kwa kutusapoti sisi waislam katika hili insha-allah Allah akulipe na akujalie ya heri na akuepushe na yashari
Mwenyezi mungu akupe maisha marefu DC wangu,na akutangulie katika majukumu yako ya Kila siku.
Kiongozi mwenyezimungu hakujalie hakupe maisha marefu hakupe hulizi wa kutosha kwa kutusitili Aameen ya rabb
Huyu DC hapo ata akifa Leo ghafla PEPONI anaenda
@@jojomdosi-ip4rgkabisa yani sikutegemea aseeeee kama angerudi kwa staili hiyo huyu BANA mi namuombea aseeee ni mtu mwema
Kwel,Allah amesema kwel ktk Quruan ,Mnaweza mkachukia jambo likawa heri yenu na mnaweza mkapenda jambo likawa shari yenu,Allah tuzidishie subra Waislam na hekma na busara kwan aman kwetu ndo tulio usiwa na mtukufu wa daraja.Allah iongeze nchi yetu muongoze Dc Magot aijue haki na aifuate,Amyn Amyn Amyn.bila kusahau Mpe Hekima na Busara Rais wetu Samiya Suluhu Hassan❤Amyn Amyn Amyn
Samia
Wallah DC Allah akupe maisha malefu na akuonyeshe haki aamin. Sheykh Allah akulipe Kila kheiri liwe kwako kwa jitihada zako fidunia walikhera aamin.
Huyu sheikh muelevu sana msikilivu mungu Awabariki viongozi wote na sheikh wangu ❤❤❤
Kwa hapa DC umekua kiongozi unaepaswa kua mfano wakuigwa.
alhamdulillah kiongozi wewe allah akubarik. asante DC kwa kazi nzur mashallah
SI mnatuita makafir,haya kafiri kawasaidia Kwa hekima ti
@@christinewomanoffaith5479 kufanya wema hakuondoi dini ya mtu, na wala si makosa kumsifia kafiir anapofanya jambo la maslah kama hili. na huo ndio uadilifu.
@@AllybinamourNa Wewe kafiruna pia
Tunaomba namba ya kutuma michango japo kidogo jambo la kheri Hilo,hongera MKUU WA Wilaya Kwa Moyo Mkuu
Namba c zimetajwa Skiza vizuri basi
Mashallah
Hamna kidogo mbele ya kuchangia msikiti, chochote ulicho nacho ni kikubwa mno mbela ya Allah
@@winfordmwangonda5375siyo msikiti ni majengo
AL hamdulillah namshukuru Allah juzi niliandika comment yng nikasema simlaumu mkuu wa wilaya ktk hili ila nnao walaumu ni matajiri wa kiislamu wapo tyr kutoa mamilioni ya mapesa ktk mipira na baadhi ya mambo ya kipuuzi yasiokua na faida . Sasa kiongozi Magoti hapa umeqapiga pini kubwa sana sasa baada kiongozi wng kutoa cement 150 + 150 sehemu nyengine tutawaona wanaafiki matajiri sasaiv kujitokeza. Mungu akubariki Hon Magoti
Takibir takibir anaye mtaka DC aendre n moyo huuu weka laik nyingi kwenye komenti yangu alhu akibal mungu anasababu kufanya k2
Mashallah Mungu akubariki ulipo towa hicho Mungu azidishe kingine Baada ya dhiki ni faraja Mungu atujaalie subra katik wakati mgumu huwezi juwa nilip litakacho fwata Allahul mustaan
Huyu Mkuu wa Wilaya nimemkubali mapema sana japo Mimi niko Kigoma. Big up DC Petro Magoti
Kwaio ulijua ukiwa nae mkoa moja ndo utamjua vizuri au
Unajua kwann kafanya hvyo huyu kafungia madrasa na waislamu wamekuja juu hapo anajisafisha juz tena katangaza wauza mkaa na pikpik wakamatwe fain milion 1 na vijana wengi wa kisarawe ndo kaz yko
Na mm nilitaka nishanga yaani kw Maneno yale yakuwaambia watoto waende shule wakasome wapate kuajiriwa kwa kweli ningeshangaa sana kuona uislam ungekaa kimya 😅@@adambakari9276
Tupatieni namba ya kuchangia
Kuna watu walitafsir vibaya sana leo sura zao wataweka wapi Dc kawaumbua vibaya mno Alhamdulillah Allah afanye wepesi In'shaallah
Na ni sura mbaya kweli...na hao hao uliowaita wametafsiri vibaya sauti zao ndy zimefanya huyo jamaa yako akajikosha.....huwezi sema mazingira yale ni mabovu kuliko mahala pa kulala nguruwe....sisi tumesoma shule mbovu vyoo vibovu tena za serikali hakuna aliezivamia usiku wala kuzifunga na hata leo shule za namna hiyo zipo...bado alichokifanya hakijafunika uvundo alioufanya ..
Mimi sijui kuongea kiingereza lakini kwa kitendo cha DC MAGOTI najaribu kukiongea nikisema "VERY GOOD DISRICT COMMISIONER MAGOTI " Kumbe ziara yake pale siku za nyuma Alisikitishwa na alichokiona akaona afanye jambo .
😂😂😂😅
Mi ni mchungaji nawapongeza sana sheikh kwa unyenyekevu ambao umezaa mema hayo. Viongozi wa dini tujifunze mema, toka kwa mtu yoyote mwenye karama hizo.
Mmbarikiwe sana Kisarawe na Dc wenu.
Mama Samia hili Jambo nilaheri sio mnasapiti mpira tu Jambo la mungu mnaacha nyuma mnasafirisha paka mashabiki naomba mlione nahili la mungu muweke akiba duniani na ahera💪💪💪💪💪
Allah akujaalie DC Magoti, Lakini pia Ustaadh alikuwa na hekima kwa clip ya kwanza majibu yalikuwa mazuri na pia alikwa msikivu sana Allah atamjaalia Ustaadh wetu❤
Maashaallah.
Allah akupe zawasi ya kuingia katika uislamu na akufishe ukiwa katika imani sahihi .
Allah akubariki DC magoti Allah azidi kukuongoza katika njia iliyonyooka na hiyo sadaka Yako iwe ni nyumba Yako yakuishi akhera.
Ni Dc mfanowa kuigwa, the best Dc.
mungu akubaliki sadaka hii itaish miaka na miaka hongera sana unafaa kuigwa
mashaallah
Kesho tuu mnanza kuwaita makafili alaa kumbe kafili anaweza kuwa lulu hivi waisilamu wote leoa wanapompongeza
@@stevenmanase8162uyo kiongozi yupo apo kwa ajili ya wananchi
kwaiy kwa sababu katoa sadaka Ndio ukafili wake umeisha ukafili haundolew Nasadak Na hata kafili akifanya jema anastahili kushukuliwa japokua ukafili wake upo pale pale mpaka asilim
Tunashukuru sana mkuu wa wilaya kwa hicho ulicho toa.mungu akulipe kila lenye heri na wewe pamoja na familia yako awafanyie wepesi kwa kila jambo.ubarikiwe sana🙏
Asante sana DC huo ndo uongozi na utu maana rengo ni zuri ivyo tuna shukuru kwa saport yako.
Maaashaalllllah maashaallah maashaallah maashaallah maashaallah maashaallah maashaallah..........hongeraaa sannaaaa mungu akufanyie wepes....kwajuhudikuuubwaaa ulizofanya mkuu wa wiliyaa...
SUBIRI NA WEWE MUDA SI MREFU ALLAH ATAKUPA MAKIPO YAKO,,,,SUBHANNALLAH,!!!!!
Umeupiga mwingi sana DC kwa kuonesha mfano kwa viongozi wengine ,mungu akubariki sana!!Inshallah jengo litakamilika kwa uwezo wake ALLAH S.W .INNAH BAADA USRI YUSRA🎉🎉🎉
Asante DC hakika umefanya vema kulichukulia jambo hilo kwa uzito,Sadaka yako ikawe kheri kwa watoto wetu.
Allahuakbar shekh Allah hatakuacha peke yako na malengo ulio weka yata timia tu kwa uwezo wake ndugu zangu waislam na wale wote tunao amini uwepo wa mungu tuchanga usidharau hela hata buku tuma kwa maana buku kwa watu milioni ni bilioni jambo linaenda nuia sadaka yako tuma huenda na wew ikawa ndo sababu ya kufunguliwa matatizo yako.
Mtangazaji Mungu akubariki kaka unajua kuriport hongera sana kwa taarifa yako
Takbiiiiiiiirrr
ALLAHU AKBARU ALLAHU AKBARU ALLAHU AKBARU
Walillah Llihamdu
Mashalahaa Alha akufanyiewepesi kwenye uongoziwako
Mueshimiwa laisi wangu mpendwa Samia suluhuhasani ujawaikuniangusha una tupa viongozi makini sana awakulupuki na kupenda laisi wangu Samia
Siku zile nilijisikia vibaya lakini lengo lako lilikuwa jema kabisa...Mungu akutunze DC
Mungu anatufundisha katika quran kua na subra katika kila Jambo. "Waeza chukia Jambo kumbe Lina kheir nawe na ukapenda Jambo kumbe Lina shari nawe.Awali wengi tuliona Shari kumbe mbeleni DC Magoti ameleta faida kwetu.Kaka Magoti mungu akupe umri mrefu na akufanyie wepesi katika maisha yako.Yaraby mpe furaha kama alivyo tufariji.
ila kutoa siyo tatizo msinganganie sadaka mnazopewa tuu . angalia na dosari aliyoiweka kwenye dini . yapasa atuombe radhi
@@abuuhafswaDosari kubwa sana kwa kweli nilishangaa sana yale sio maneno yakuwaambia watoto, eti watoto wazuri mama samia anawapenda amewajengea shule nzuri zenye ubora ili muene mkasome muwe watumimishi kama hawa niliokuja nao so kungangania kulala hapa mahala hapafai, kwakwelu nilimshangaa sana ana maanisha nini kuwaambia vile watoto na kuwashushia lawama wazazi kua wamewatelekeza watoto wao wamewatupa kama hawana uchungu nao, yan imeniuma sana ivi unazani mm kama mzazi unakuta nimepeleka mtoto wangu hapo na naona video ya mazingira kama hio na maneno kama hayo alafu naambiwa mtoto anarudishwa nyumban unazani ntajiskiajee ?? Mwengine anaweza akagairi kabisa kumrudisha mtoto hapo atamtaftia sehem nyengine kbs na kuichukia dini, na kwa hao watoto walio rudishwa sizan kama watarudi kwa idadi sawa kama walivyoondoka wengi watabak makwao,
mm ninachojua kama yeye kiongozi alipoona hilo tu angechukua maamuz ya kusaidia ujenzi watoto wakae mahal salam kam wanavyofanya makanisani ila kwasbb ameona ni waislam hawana wakuwasemea amejifanya yeye kama hajali kinachoendelea hapo wala hakina maana anawaambia watoto waende shule waende shule wakati watoto karibia wote hapo wanaenda shule na wanarud hapo kupata elimu ya dini ila yy akataka kufikisha ujumbe waonekane kana kwba waislam wamewarundika watoto hapo kama kuwakusanya ty kwa kwel. Iliniuma sana ile vd jinsi alivyoongea 😢
nikweli alisema vibaya sana naamekosea sana waislam na hiyo sio lizaa yake itakua amepokea maagizo kutoka juu
@@user-ow7pl6tz2c safi
Ahsante sana Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe. MUNGU akubariki. Tunakuombea MUNGU kwa wema ulioifanyia Madrasa hiyo. Tunaamini huku fanya lile zuio kwa utashi wako, ila kwa utekelezaji wa majukumu yako ya kuangalia maslahi ya baadae ya watoto hao. Tunamwomba MUNGU akuinue kupitia Raisi mwenye huruma kwa watu wa makundi, rangi na dini zote na na hata huruma kwa watu waakundi maalum. Mama yetu Dkt
SAMIA SULUHU HASSAN. MUNGU anakupenda, wananchi wote wanakupenda. Kuna watu hawakuona Kam unaweza. Kwa Rehma na Huruma ya MUNGU amempa jicho Raisi wetu kukuteua na sisi tunaona. MUNGU akulinde na akulipe heri nyingi. Amin.
Usimjaji mtu kwa muonekan wake hakik Dc umekuwa mwema na umetend haki mungu akutangulie
Shekh uwaz na ukweli wake mungu kamfungulia upande mwengine hakika ukweli ni baraka nyoote Allah akutangulie
Mashaallah allahumma barik mwenyezi mungu awajaalie awape maisha marefu awaepushe na hasadi za walimwengu ameen ameen ameen yaa Allah 🙏
Big up Doto Magoti Allah akuhifadhi
Ma sha allah
Tunashukuru kwa kusema alhamdulilahi
Mwenyezi mungu akujakie ds magoti Kwa moyo waupendo allah akulipe kheri ww na timu yako inshaallah
Allah atie nuru ya uislam ktk kifua chako mkuu wa wilaya bora kuwahi kutokea
Mungu akuzidishie
Masha Allah DC Allah akufanyie wepesi katika utendaji wako wa kazi .
❤❤❤❤ mashallah mwenyezi mungu ampe maisha marefu na afya njema inshallah
Hongera mkuu wa wilaya umefanya jambo jema mno. Mungu akubaruki
Hongera Sana Mheshimiwa
Nimependa Ulivyorejea
Mwanzo Ulinishangaza Kwa Lugha Zako
Ila Hakuna Aliyekamilika
Allah Atusamehe, Atuongoze Na Atufanyie Wepesi Kwenye Harakati Zetu
BIG UP DC
MashaAllah.mkuuu.wawilaya.Allah.akupemwisho.mwema.naimani.mola.wetu.anaweza
Masha Allah tunahtaj viongoz kama wey mungu akupe afya
MashaAllah. Hongera sana Dc Petro magoti kwa moyo wako mkunjufu nakuombea kwa Allah akusimamie katika majukumu yako ya kazi inshaAllah. Ameen
Watu walianza kumdhihaki mh petrol sisi wakristo hatuna baya kazi kazi kwenu sasa ona hata milioni16 mnashindwa kuchangishana mnaomba kwa rais mmekalia kuwa ita watu makafili tuu
Taqabal Minah wa aminkum JAMIYAHTUL muslimunah..kila apangalo mungu hua lina kheri kubwa
Mashaallah ❤
asantesana mkuuwa wilaya munguakujaliye kwaupendowako akuogezeumrimrefu akuhfadhiwewe na familiyayako
Mama msikivu na mtendaji. Mwenyezi Mungu amuongoze kwa hili liwe jepesi Insha Allah
Mheshimiwa Petro Magoti ubarikiwe sana. Mungu azidi kukufungulia na akujaalie afya njema.
Mashaallah
Maa shaa allah
Mungu akusimamie katika kazi zako ..Kwa hakika huo ndio mfano mzur
Safi sana DC huo ndio uungwana mungu akupe Imani sabiti
Masha Allah allah akuongoze na akufanyie wepes upate neema ya uislam
Mashaallah Allah haitupi Qura'an alishaahidi
Allahu akbar DC mungu Allah akuhifadhi❤❤❤
Hakika DC Magoti were ni kiongozi bora sana. ALLAH akubariki ulipotoa
Hii inaitwa wajibisha alafu fundisha kwa hekima safi sana mkuu wa wilaya ni Jambo jema Sana la kuigwa na kufuatwa
Hongera sana MH magoti wewe ni mfano wa kuigwa ❤❤❤
DC wewe ni mfano wakuigwa kabisa mungu akuongoze hivyo hivyo kiongozi wangu mkuu wa wilaya safi kabisa na shekhe mungu akulipe kwa hekma wewe muelewa na msikivu na wewe mungu akuongoze hivyo hivyo na akujaalie mwisho mwema inshallah
mh.magoti Allah akupe afya njema sana kazi nzuri.
Mlikuwa mnamsema unafiki tu
Kuna ujinga unafanywa hapa. Kwa waisilamu wenye akili wameshaliona hili. Tuhimizane subira waisilamu. Tunakila sababu ya kulinda tunu ya uisilamu tuliyopewa na Allah. Waisilamu wote tunahitaji kuwa na jitihada ya kutafuta elimu ya dini haijalishi ni katika hali gani. Baadhi ya jamii elimu si kipaumbele chao.
mmh Dini Bila Elimu Dunia Ni bure
Mashallah
SUBIRI NA WEWE MUDA SI MREFU ALLAH ATAKUPA MAKIPO YAKO,,,,SUBHANNALLAH
Kitu cha maana sana na cha muhimu barikiwa DC maana niliwaza sana ni bora watoto au vijana kujua DIN kuliko kuwa mtaani au kuwa waharifu
Wanafiqi saana awa baada yakuaambia watoto kwamba elim ya dini aina maana wasome wawe madaktari na viongozi wakubwa serikalini leo tena 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 innalillahi wainna ilayhi raj'uun allah awape ufaham wakuitambua hakki
Asante sana mkuu huu ndiyo uwongozi mungu akulipe
masha allah kajitahifi mkuwamkowa.naselekari yetuwendwa
SAFI SANA DC MAGOTI, HAKIKA WEWE NI KIONGOZI MUADILIFU NA MUWAJIBIKAJI. MWENYEZI MUNGU AKULINDE NA AKUONGOZE KATIKA MAJIKUMU YAKO YA KUIJENGA JAMII.
Allah ampe maisha marefu na anyanyue uchumi wa nchi yetu kupitia hili. Amin.
ALHAMNDULILAh ,mungu anawaongoza watu kwanafsi zetu huku mwili ukitumikishwa
Hongera mheshimiwa kwa moyo wa kutowa msaada
Maashaallah. Allah akutoe kwenyegiza akuoete kwenyemwanga yaraby. Mjaalie huyo baba atukiewitowako. Amyn
Shukran Sana DC jaah bless 👍👍
Very Humble ichi ndo tunaitaj na sio yule wa UBUNGO
Wewe unaongea nini? ubungo kafanyaje? Je kwenye dini yako unaruhusiwa mtoto wa kike kujiuza? Je kwenye kabila lako ni ruksa kujiuza tafakari sana kuna wanawake wanajiuza utafurahi kwa kuwa hawatoki kwako 😢
@@jitabojilala6162 Dini yenyew inataka watu wasiopungua wa tatu walio na ushahid wa macho wakati kitend cha zinaa kinafanyik na sio kumkuta mtu guest basi umuhukumu mzinifu yule ansjiuz
Nimefurahi mkuu hakuwa na nia mbaya nimrmuelwa sana na namuombea mungu amsaidie na kumuongoza mkuu huyu wa wilaya mungu amuongoze na amlinde jaman
Anajikosha tena.....waache mihemko.....ukuu wa wilaya una mambo mengi ya kufanya....especially kusimamia sera
Sera ni pamoja na watoto siyo barabara na maji tu
Allah akulinde ktk uongoz wko mku wa wilaya yakisarawe wewe nikiongoz wakuigwa ktk uongoz
MashaALLAAH sheikh wa huo msikiti yupo smart sana
Allah alifanyie wepesi inshaallah
Asante sasa R C mungu akulinde kwaulichokifanya
Kila penye uzito Kuna wepesi.... alhamdulillah
MAA SHAA ALLAH ALLAH Awabariki wote
Mashalaah mashalaaah peter magot kwa hilo umengusaaa
Mungu akujalie sana kuona tatizo na kulitatua sio kuhukumu haijawahi tokea hili ungeeishia tu sehemu
Baadhi ya watanzania ni watu wa ajabu sana Kuna wanao mpongeza leo Mh.DC lakini mwanzoni walimponda na kusema anataka kuleta udini sijui anamkosea Mungu hebu acheni kuwa na unafiki ivoo😮
MashaaAllah tabaaraka llah Alhamdulillahi
Allah akbar , hadi machozi yananitoka kwa furaha
Na sio kazi kudhamin mipira na maahindano ya urembo tu
Nikajuwa peke yangu 😢
Honger mhshmiwa
Mungu ambariki amazing alipo pungunguza
Masha’Allah
Allah awalipe mumefanya kazinzuli
Alhamdulillah Allah awajazie kher hilo nijambo labaraka
Allah akubariki ujenzi utausha kwa uwezo wa wake
Mashaa Allah..wale walio kejeli na kutoa maneno ya kifedhuli wamefedheheka wao
مَا كَانَ لِلْمُشْرِكِينَ أَنْ يَعْمُرُوا مَسَاجِدَ اللَّهِ شَاهِدِينَ عَلَىٰ أَنْفُسِهِمْ بِالْكُفْرِ ۚ أُولَٰئِكَ حَبِطَتْ أَعْمَالُهُمْ وَفِي النَّارِ هُمْ خَالِدُونَ
إِنَّمَا يَعْمُرُ مَسَاجِدَ اللَّهِ مَنْ آمَنَ بِاللَّهِ وَالْيَوْمِ الْآخِرِ وَأَقَامَ الصَّلَاةَ وَآتَى الزَّكَاةَ وَلَمْ يَخْشَ إِلَّا اللَّهَ ۖ فَعَسَىٰ أُولَٰئِكَ أَنْ يَكُونُوا مِنَ الْمُهْتَدِينَ
DC Asante Sana..🙏🙏🙏
Allahu akbar
Mungu akupe hidaya mkuu
Shukran sn
Maashaallah nimefirahi sana