SAID BOPAR AWAELEZA KWA VITENDO MATAJIRI WENGINE
Вставка
- Опубліковано 5 жов 2024
- fair use is a use permitted by copyright statute that might otherwise be infirnging non - profit education, or personal use tips the balance in favor of fair use all credit for copyright material used in video goes to the respected owner, Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#HabariZaUhakika #Zinjibartv
Follow Zinjibartv
Facebook | Zinjibartv
INSTAGRAM |@Zinjibar_tv_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 772 281 879
+255 773 071 409
Zinjibartv Journalists
cc: Zuhura Hussein
cc: Swaleh Watamaama
cc: Ramadhan Yussuf
Camera Department & Editors
Dr D.sam
DOP Kahale
Kifelety
Is-hak Juma
Video Zingine:
Angalia hapa - MTOTO WA TURKY AJITOSA KUMRITHI BABAYAKE UBUNGE
HIZI NDIO TEGO ZA KICHAWI, SHEIKH SALUM MARDHIYA
• MTOTO WA TURKY AJITOSA...
• HIZI NDIO TEZO ZA KICH...
Allah amjalie wepes inshallh acheni roho mbaya mkimuona mtu anatoa muombeni dua so kumsema Allah mfanyie wepes inshallh mja wako na mzidishie zaid na zaid
Mashallah Allah ambarik amjalie firidausi pamoja nasi Amin.
Allah amlinde bopar na hasad
Maa shaa Allah, toa kaka etu kwa Siri na dhahiri na Allah akulipe ujira kamili akhera na duniani, amiin
Masha Allah🙏🙏🙏🙏
Allah akuzidishie neema.Wallah natamani niwe ka wewe Allah anizidishie pia na mimi nitowe
Mashallah ❤
Allah akuzidishie zaidi na zaidi. Amin.
mashallah Allah amlope kilalaheri filduni wa filahera amcmamie mamboyake awafikie nawengine inshallah
mia kuanzia Leo nataka ninunua bizaa za uyu mzee bopar
Sawa
ALLAH AZIDI KUKU FUNGULIA WEWE NA MATAJIRI WOTE WA ZANZIBAR. AMIYN....... AAMIYN...... 💕💓❤️💓💕🙏🙏🙏🙏🙏
Allah akupe afya na utulivu na nafs akhera na duniani, amiin
Halafu matajiri wengi sana hua wana watu nje ambao wanawaamini na kuwapa Mali zao wazitoe. Hatuezi kujua inaeza kua anatoa kwa kudhihirisha ili wale wanaomuamini kwa kuwapa Mali zao awatolee waridhie. Na km zake mwenyewe hatujakatazwa kutoa kwa kudhihirishq muhimu nia yako tu.
Masha Allah
Asalam alaykum mimi nnashida naomba kujengewa nyumba japo chumba kimoja nimeanza fondesheni ila mpaka leo mpaka leo chumba hicho kimoja hakijaisha kutoka na na hali yangu mbaya ya maisha.muheshimiwa bopar naomba unisaidie.
hiii huoni haibu kuomba fondesheni umewezaje kujenga ushindwe rofari
Tukipata matajiri wengi kama Hawa nchi itapiga hatua
Allah ndo mjuzi msihukumu mtu
Nikweli Bopar alianza kutoa vyeti vya hospital
Hiyo ni riyaa watu wakuone serekali ikuone na huna fadhila mungu hapendi mambo ya riyaa
@masoudlriyamy6298 ushakuwa Unajua ? unajua vp nia yake Na kweni dini imekataza kutoa dhahir Nia yake ndio Kila kitu Yeye mwenyewe anajua fadhila za kutoa Siri na dhahiri Kwaiyo bora ulizia Kwa wenye ilmu
Hakika wale wanao soma Kitabu cha Mwenyezi Mungu, na wakashika Sala, na wakatoa kwa siri na kwa dhaahiri katika tulivyo waruzuku, hao hutaraji biashara isiyo bwaga. (Surat fatir aya ya 30)
Umejuaje anafanya riyaa .
Chunga maneno yako. Allah pekee na yeye mwenyewe ndiye anajua nia yake.
sasa kaliya namashekhe wanao towa mawaidha wakilikodiwa waonekane acha ujinga uwo
Wadau hii kutoa kwa kujionyesha imekaaje hii haina shida ktk malipo ya Allah
Kwanikakwambia KAMA kwa kuijionesha
Iyoo nihamasa kwa wengine
huyu tajiri mm namwelewa sana maashallah mungu amzidishie
Haina shida muhimu nia yake kama anatoa kwa kuonekana Tuuu kama anatoa ili kwa kusifiwa fulani bwada tajiri na nimtoa Lakini Hata kama anaonyesha tv kwania ya kuwafanya wengine watoe Si vibaya Nia ndio muhimu
Hakika wale wanao soma Kitabu cha Mwenyezi Mungu, na wakashika Sala, na wakatoa kwa siri na kwa dhaahiri katika tulivyo waruzuku, hao hutaraji biashara isiyo bwaga. Surat fatir aya ya 30
Nia yake ndo inayotakiwa
Haitakiwi unapotoa kujitangaza hiyo inaitwa riyaa hulipwi chochote unapotoa halafu ukajitangaza ni upotofu mkubwa ukitoa mkono wa kulia wakushoto usijue
Kutoa kwake sio kama anajionyeshe Pia anatuhamasisha mimi na wewe tufanye hivi kama Anavyo toa yeye.
Wewe Katoe kwa siri
Hakika wale wanao soma Kitabu cha Mwenyezi Mungu, na wakashika Sala, na wakatoa kwa siri na kwa dhaahiri katika tulivyo waruzuku, hao hutaraji biashara isiyo bwaga.surat fatir aya ya 30
Usiseme kitu ambacho Huna elimu nacho rudi darasani uliza masheikh sio unaongea tu wakat Allah katika Quran kashalieleza hilo ukitoa kwa siri na kwa dhaahiri katk kile ambacho amekurukuni Allah basi kuna malipo makubwa mbele ya Allah