SAID BOPAR AWAELEZA KWA VITENDO MATAJIRI WENGINE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 жов 2024
  • fair use is a use permitted by copyright statute that might otherwise be infirnging non - profit education, or personal use tips the balance in favor of fair use all credit for copyright material used in video goes to the respected owner, Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
    #HabariZaUhakika #Zinjibartv
    Follow Zinjibartv
    Facebook | Zinjibartv
    INSTAGRAM |@Zinjibar_tv_online
    Wasiliana nasi kupitia number
    +255 772 281 879
    +255 773 071 409
    Zinjibartv Journalists
    cc: Zuhura Hussein
    cc: Swaleh Watamaama
    cc: Ramadhan Yussuf
    Camera Department & Editors
    Dr D.sam
    DOP Kahale
    Kifelety
    Is-hak Juma
    Video Zingine:
    Angalia hapa - MTOTO WA TURKY AJITOSA KUMRITHI BABAYAKE UBUNGE
    HIZI NDIO TEGO ZA KICHAWI, SHEIKH SALUM MARDHIYA
    • MTOTO WA TURKY AJITOSA...
    • HIZI NDIO TEZO ZA KICH...

КОМЕНТАРІ • 38

  • @AzutyHemed-go8yv
    @AzutyHemed-go8yv 6 місяців тому +1

    Allah amjalie wepes inshallh acheni roho mbaya mkimuona mtu anatoa muombeni dua so kumsema Allah mfanyie wepes inshallh mja wako na mzidishie zaid na zaid

  • @binadimseif2668
    @binadimseif2668 Рік тому +2

    Mashallah Allah ambarik amjalie firidausi pamoja nasi Amin.

  • @OthmamAbdalla
    @OthmamAbdalla 3 місяці тому

    Allah amlinde bopar na hasad

  • @Fear_Allah394
    @Fear_Allah394 Рік тому

    Maa shaa Allah, toa kaka etu kwa Siri na dhahiri na Allah akulipe ujira kamili akhera na duniani, amiin

  • @saeedsaeed7381
    @saeedsaeed7381 Рік тому +1

    Masha Allah🙏🙏🙏🙏

  • @lusakaone7782
    @lusakaone7782 Рік тому

    Allah akuzidishie neema.Wallah natamani niwe ka wewe Allah anizidishie pia na mimi nitowe

  • @ahmedhamdan8526
    @ahmedhamdan8526 Рік тому +1

    Mashallah ❤

  • @saheedali7467
    @saheedali7467 Рік тому

    Allah akuzidishie zaidi na zaidi. Amin.

  • @hajiabdullakoba-jz5vj
    @hajiabdullakoba-jz5vj Рік тому

    mashallah Allah amlope kilalaheri filduni wa filahera amcmamie mamboyake awafikie nawengine inshallah

  • @MHDFURNITURE-jn2rx
    @MHDFURNITURE-jn2rx 6 місяців тому

    mia kuanzia Leo nataka ninunua bizaa za uyu mzee bopar

  • @msellemseif3102
    @msellemseif3102 Рік тому

    ALLAH AZIDI KUKU FUNGULIA WEWE NA MATAJIRI WOTE WA ZANZIBAR. AMIYN....... AAMIYN...... 💕💓❤️💓💕🙏🙏🙏🙏🙏

  • @Fear_Allah394
    @Fear_Allah394 Рік тому

    Allah akupe afya na utulivu na nafs akhera na duniani, amiin

  • @Fear_Allah394
    @Fear_Allah394 Рік тому +1

    Halafu matajiri wengi sana hua wana watu nje ambao wanawaamini na kuwapa Mali zao wazitoe. Hatuezi kujua inaeza kua anatoa kwa kudhihirisha ili wale wanaomuamini kwa kuwapa Mali zao awatolee waridhie. Na km zake mwenyewe hatujakatazwa kutoa kwa kudhihirishq muhimu nia yako tu.

  • @HamadySaidy-et5qw
    @HamadySaidy-et5qw Рік тому

    Masha Allah

  • @MaadamAisha-qx5pu
    @MaadamAisha-qx5pu 8 місяців тому

    Asalam alaykum mimi nnashida naomba kujengewa nyumba japo chumba kimoja nimeanza fondesheni ila mpaka leo mpaka leo chumba hicho kimoja hakijaisha kutoka na na hali yangu mbaya ya maisha.muheshimiwa bopar naomba unisaidie.

    • @MHDFURNITURE-jn2rx
      @MHDFURNITURE-jn2rx 6 місяців тому

      hiii huoni haibu kuomba fondesheni umewezaje kujenga ushindwe rofari

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 6 місяців тому

    Tukipata matajiri wengi kama Hawa nchi itapiga hatua

  • @AzutyHemed-go8yv
    @AzutyHemed-go8yv 6 місяців тому

    Allah ndo mjuzi msihukumu mtu

  • @lusakaone7782
    @lusakaone7782 Рік тому

    Nikweli Bopar alianza kutoa vyeti vya hospital

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Рік тому

    Hiyo ni riyaa watu wakuone serekali ikuone na huna fadhila mungu hapendi mambo ya riyaa

    • @salumnassor6555
      @salumnassor6555 Рік тому +1

      @masoudlriyamy6298 ushakuwa Unajua ? unajua vp nia yake Na kweni dini imekataza kutoa dhahir Nia yake ndio Kila kitu Yeye mwenyewe anajua fadhila za kutoa Siri na dhahiri Kwaiyo bora ulizia Kwa wenye ilmu

    • @salimazan105
      @salimazan105 11 місяців тому +1

      Hakika wale wanao soma Kitabu cha Mwenyezi Mungu, na wakashika Sala, na wakatoa kwa siri na kwa dhaahiri katika tulivyo waruzuku, hao hutaraji biashara isiyo bwaga. (Surat fatir aya ya 30)

    • @abduljabbarmohammed4188
      @abduljabbarmohammed4188 7 місяців тому

      Umejuaje anafanya riyaa .
      Chunga maneno yako. Allah pekee na yeye mwenyewe ndiye anajua nia yake.

    • @MHDFURNITURE-jn2rx
      @MHDFURNITURE-jn2rx 6 місяців тому

      sasa kaliya namashekhe wanao towa mawaidha wakilikodiwa waonekane acha ujinga uwo

  • @Maajidabdillah
    @Maajidabdillah Рік тому

    Wadau hii kutoa kwa kujionyesha imekaaje hii haina shida ktk malipo ya Allah

    • @mrjagenmuuz5704
      @mrjagenmuuz5704 Рік тому +1

      Kwanikakwambia KAMA kwa kuijionesha

    • @mrjagenmuuz5704
      @mrjagenmuuz5704 Рік тому +2

      Iyoo nihamasa kwa wengine

    • @Dullahfakih-hd7re
      @Dullahfakih-hd7re Рік тому

      huyu tajiri mm namwelewa sana maashallah mungu amzidishie

    • @salumnassor6555
      @salumnassor6555 Рік тому

      Haina shida muhimu nia yake kama anatoa kwa kuonekana Tuuu kama anatoa ili kwa kusifiwa fulani bwada tajiri na nimtoa Lakini Hata kama anaonyesha tv kwania ya kuwafanya wengine watoe Si vibaya Nia ndio muhimu

    • @salimazan105
      @salimazan105 11 місяців тому

      Hakika wale wanao soma Kitabu cha Mwenyezi Mungu, na wakashika Sala, na wakatoa kwa siri na kwa dhaahiri katika tulivyo waruzuku, hao hutaraji biashara isiyo bwaga. Surat fatir aya ya 30

  • @BibieAli-co1mb
    @BibieAli-co1mb Рік тому

    Nia yake ndo inayotakiwa

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Рік тому

    Haitakiwi unapotoa kujitangaza hiyo inaitwa riyaa hulipwi chochote unapotoa halafu ukajitangaza ni upotofu mkubwa ukitoa mkono wa kulia wakushoto usijue

    • @suleimanmuhammed1347
      @suleimanmuhammed1347 Рік тому

      Kutoa kwake sio kama anajionyeshe Pia anatuhamasisha mimi na wewe tufanye hivi kama Anavyo toa yeye.

    • @lusakaone7782
      @lusakaone7782 Рік тому

      Wewe Katoe kwa siri

    • @salimazan105
      @salimazan105 11 місяців тому

      Hakika wale wanao soma Kitabu cha Mwenyezi Mungu, na wakashika Sala, na wakatoa kwa siri na kwa dhaahiri katika tulivyo waruzuku, hao hutaraji biashara isiyo bwaga.surat fatir aya ya 30

    • @salimazan105
      @salimazan105 11 місяців тому

      Usiseme kitu ambacho Huna elimu nacho rudi darasani uliza masheikh sio unaongea tu wakat Allah katika Quran kashalieleza hilo ukitoa kwa siri na kwa dhaahiri katk kile ambacho amekurukuni Allah basi kuna malipo makubwa mbele ya Allah