SHEIKH OTHMAN MAALIM NA BOPAR WAWAFUTA MACHOZI WATU WALIOLIA MAISHA MAGUMU PEMBA
Вставка
- Опубліковано 25 сер 2024
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Maneno yako ni kweli brother Bopar. Allah akuzidishie rizki na wale wale na uwezo basi Allah awape imani yakuweza kutoa. Ameen
Yaa rabbi awajaalie niingie Imani muwakumbuke na wazee wetu WA tibirinzi muwakumbuke nao Allah awajaalie muzidi kuwa na roho y Imani Kwa uwexo wake
MASHALLAH TABARAKALLAH ILYK allah izidak fii dunya wa akherah INSHALLAH BRAVO
Mashallah mashallah amjaalie nuru ya duniani na akhera amuhifadh kila aina ya maradhi amjaalie sah na afya ya raab
napenda ht hv anavo jituma huyo bopari masha allah honger sana
Mashallah nalia kwa furah kubwa kwakua akh umejua ndgu zetu wa hari ngum sana allh akulipe akh matajir wote wa tz na bar unapesa ila wanawasahu ndgu zao
Allah awafanyie wepes katika kila hali
Namuomba allah amjalie bopar ampe maisha ya kheri na yey na amuingize katika pepo yak amiin
Mungu akujaz kher baba bopar ndunianii nakher nafurah kwakufik nyumban kuon jamaazet wameonekan
Mungu awajalie maisha marefu kikund cha mzee bopar na watu walo mzunguka ka shekh othuman na mtangazaj pia anaitaj pongez popot alipo bopar na yup rashid heshima kwak kk
hawa wameomba duwa mzur masha allah ameen
Jazaka'Allahu
Allah akufanyie wepesi akupe Tele na Tele uzid kukumbuka waislam wenzako wenge Hali za nchini Allah atakulipa khr dunia na akhera
Allah akuzidishie rizki na akutilie baraka katika mali zako amin 🤲LAKİNI pia usiwasahau watu wa mkowani pia wanahitaji sana.
Ma Shaa Allah...Allah akujaalie Pepo ya firdaus
Ameena yaaraabbi
Mashallah mashallah. Allah amhifadhi kaka etu bopar na amzidishie alichokitoa alahmdulilah tumshukuru Allah
Allah awalipe duniani na akhera me naomba Allah ajaalie muende na kaskazini pemba
Allah Azidi Kukupa Afya Na Maisha Marefu
Mwenye kutoa sadaka kwamkono wake anafafhila zaidi kuliko anatosadaka kwamtuma mtu mwengine kumtolea. Allah ampe kheri zaidi Bopar nakila mwenyekutoa.
Bado hamjatembelea kibit pwani karibuni sana
Mashaaallah ,lkn na znz kwa babangu mtu mzima jamani mumkumbuke yupo migombani
I wish governor wamombasa afanyi hivi
Mbon huk wapo
Tunaelewa juhudi zenu lakini pia nawaomba km sio mwaka huu basi mwakani lkn tunaomba mufike wambaa kuna watu wanamahitaji makubwa sana wambaa ni kubwa sana lkn wote na kila maaeneo ni wahitaji wa hiyi swadaka
maashaallah
Maa Shaa Allah
Allah akubarikieni akuzidishieni mufanikiwe zaidi Yaaaaaarabi Ameeeeeen
tanga ndio wapi uko mkoani
Ukiamuakutoa swadaka siokujitangaza kamahivi kujitoa katika vyombo via habari tukumbuke njiazakutoa swadaka bado niziro
Hapana dini imeturuhusu
إن الذين يتلون كتاب الله و أفاموا الصلاة و أنفقوا مما رزقناهم *سرا و عالمية*...
Hili linashawishi na kuwapa Mori wengine
Allaah amlipe sh saidi bopar
Hakika
Nikweli kabisa