SHEIKH OTHMAN MAALIM NA BOPAR WAWAFUTA MACHOZI WATU WALIOLIA MAISHA MAGUMU PEMBA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 сер 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

КОМЕНТАРІ • 33

  • @al-mamarial-mamari5457
    @al-mamarial-mamari5457 5 місяців тому +3

    Maneno yako ni kweli brother Bopar. Allah akuzidishie rizki na wale wale na uwezo basi Allah awape imani yakuweza kutoa. Ameen

  • @BimkubwaOthman
    @BimkubwaOthman 5 місяців тому +3

    Yaa rabbi awajaalie niingie Imani muwakumbuke na wazee wetu WA tibirinzi muwakumbuke nao Allah awajaalie muzidi kuwa na roho y Imani Kwa uwexo wake

  • @AnwarAli-vs9mp
    @AnwarAli-vs9mp 5 місяців тому

    MASHALLAH TABARAKALLAH ILYK allah izidak fii dunya wa akherah INSHALLAH BRAVO

  • @user-dx6dm6lh1i
    @user-dx6dm6lh1i 5 місяців тому

    Mashallah mashallah amjaalie nuru ya duniani na akhera amuhifadh kila aina ya maradhi amjaalie sah na afya ya raab

  • @zanzibar.
    @zanzibar. 5 місяців тому +2

    napenda ht hv anavo jituma huyo bopari masha allah honger sana

  • @jumaahmadi
    @jumaahmadi 5 місяців тому

    Mashallah nalia kwa furah kubwa kwakua akh umejua ndgu zetu wa hari ngum sana allh akulipe akh matajir wote wa tz na bar unapesa ila wanawasahu ndgu zao

  • @user-wz2hy2ih8t
    @user-wz2hy2ih8t 5 місяців тому

    Allah awafanyie wepes katika kila hali

  • @user-kc1be2qf8v
    @user-kc1be2qf8v 5 місяців тому

    Namuomba allah amjalie bopar ampe maisha ya kheri na yey na amuingize katika pepo yak amiin

  • @OmanOman-gu1wy
    @OmanOman-gu1wy 5 місяців тому +1

    Mungu akujaz kher baba bopar ndunianii nakher nafurah kwakufik nyumban kuon jamaazet wameonekan

  • @SleepyChocolateBonbons-ib6hv
    @SleepyChocolateBonbons-ib6hv 5 місяців тому

    Mungu awajalie maisha marefu kikund cha mzee bopar na watu walo mzunguka ka shekh othuman na mtangazaj pia anaitaj pongez popot alipo bopar na yup rashid heshima kwak kk

  • @zanzibar.
    @zanzibar. 5 місяців тому +2

    hawa wameomba duwa mzur masha allah ameen

  • @massykgaassfghjkkl5364
    @massykgaassfghjkkl5364 5 місяців тому

    Jazaka'Allahu

  • @talhiyaibrahim1074
    @talhiyaibrahim1074 5 місяців тому +1

    Allah akufanyie wepesi akupe Tele na Tele uzid kukumbuka waislam wenzako wenge Hali za nchini Allah atakulipa khr dunia na akhera

  • @bushraaljadidi7747
    @bushraaljadidi7747 5 місяців тому

    Allah akuzidishie rizki na akutilie baraka katika mali zako amin 🤲LAKİNI pia usiwasahau watu wa mkowani pia wanahitaji sana.

  • @salimmariga149
    @salimmariga149 5 місяців тому

    Ma Shaa Allah...Allah akujaalie Pepo ya firdaus

  • @mwajumaramadhan4127
    @mwajumaramadhan4127 5 місяців тому

    Ameena yaaraabbi

  • @aishamohamed5033
    @aishamohamed5033 5 місяців тому

    Mashallah mashallah. Allah amhifadhi kaka etu bopar na amzidishie alichokitoa alahmdulilah tumshukuru Allah

  • @hamadfakhi3195
    @hamadfakhi3195 5 місяців тому

    Allah awalipe duniani na akhera me naomba Allah ajaalie muende na kaskazini pemba

  • @alexkatana5037
    @alexkatana5037 5 місяців тому

    Allah Azidi Kukupa Afya Na Maisha Marefu

  • @OmaryAlly-mn6cv
    @OmaryAlly-mn6cv 5 місяців тому

    Mwenye kutoa sadaka kwamkono wake anafafhila zaidi kuliko anatosadaka kwamtuma mtu mwengine kumtolea. Allah ampe kheri zaidi Bopar nakila mwenyekutoa.

  • @fahadKorit
    @fahadKorit 5 місяців тому

    Bado hamjatembelea kibit pwani karibuni sana

  • @munaomar9532
    @munaomar9532 5 місяців тому

    Mashaaallah ,lkn na znz kwa babangu mtu mzima jamani mumkumbuke yupo migombani

  • @user-gw6hd1lc9q
    @user-gw6hd1lc9q 5 місяців тому

    I wish governor wamombasa afanyi hivi

  • @SalehKhamismohd
    @SalehKhamismohd 5 місяців тому

    Mbon huk wapo

  • @user-rk9qj9ob1p
    @user-rk9qj9ob1p 5 місяців тому

    Tunaelewa juhudi zenu lakini pia nawaomba km sio mwaka huu basi mwakani lkn tunaomba mufike wambaa kuna watu wanamahitaji makubwa sana wambaa ni kubwa sana lkn wote na kila maaeneo ni wahitaji wa hiyi swadaka

    • @MbaroukMbarouk-gd9yg
      @MbaroukMbarouk-gd9yg 5 місяців тому

      maashaallah

    • @saudmohammed3390
      @saudmohammed3390 5 місяців тому +1

      Maa Shaa Allah
      Allah akubarikieni akuzidishieni mufanikiwe zaidi Yaaaaaarabi Ameeeeeen

  • @abuuhafswa
    @abuuhafswa 5 місяців тому

    tanga ndio wapi uko mkoani

  • @user-sc5fz4gy5s
    @user-sc5fz4gy5s 5 місяців тому

    Ukiamuakutoa swadaka siokujitangaza kamahivi kujitoa katika vyombo via habari tukumbuke njiazakutoa swadaka bado niziro

    • @silimakhamis7088
      @silimakhamis7088 5 місяців тому +2

      Hapana dini imeturuhusu
      إن الذين يتلون كتاب الله و أفاموا الصلاة و أنفقوا مما رزقناهم *سرا و عالمية*...
      Hili linashawishi na kuwapa Mori wengine
      Allaah amlipe sh saidi bopar

    • @SubiraOmar-ld5bx
      @SubiraOmar-ld5bx 5 місяців тому

      Hakika

    • @SubiraOmar-ld5bx
      @SubiraOmar-ld5bx 5 місяців тому

      Nikweli kabisa