JE! ULIDANGANYWA HISTORIA YA ZANZIBAR- MANGAPWANI?

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 жов 2024
  • Katika muendelezo wa kuendelea kukujulisha kuhusu historia ya Zanzibar na watu wake, mwandishi wetu amekutana na BI Nasra Mohammed ambae ni mtafiti na mwandishi wa zamani, mwenyeji wa eneo la mangapwani ambae ana historia kubwa ya eneo hilo.
    Eneo hilo linajulikana kwa historia nyingi moja ikiwa ni chumba ambacho kinadaiwa kilitumika kama maficho ya watumwa, Bi nasra anaeleza Kwa nini chumba hicho kilijengwa.. ungana nasi
    Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
    #Habari #Zanzibar #KtvTzOnline
    Follow Ktv Tz Online
    Facebook | KTV TZ ONLINE
    INSTAGRAM |@ktv_tz_online
    cc: Sadia Rashid
    cc: Masoud Maganga #hakikahiinifahariyetu #hakikahiinifahariyetu

КОМЕНТАРІ • 129

  • @111dudi
    @111dudi 5 років тому +5

    Makes a lot of sense. Those blaming Arabs for slavery esoecially European missionaries and rulers and their Christian followers,should stop telling lies

  • @111dudi
    @111dudi Рік тому +1

    Watu wenye chuki na waarabu na waislam hawapendi kusikia haya

  • @masoudmasoud8138
    @masoudmasoud8138 4 роки тому +3

    Uondoukweli nautabakia kua ukweli asante bi naaa

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf9566 5 років тому +3

    Shukran Ktv tz ONLINE HAKIKA HII NI FAHARI YETU HODI ZENJIBAR

  • @111dudi
    @111dudi 4 місяці тому

    Ukitaka kuwafuragisha waznz we ye chuki, waam ie kuwa waarabu ndio waliokiwa wafanya biashara ya watumwa, rena wanafurahi sana. Kheri za waarabu hawapendi kuzosikia,ikiwemo lugha,dini,mavazi,ustaarabu, majengo,mabarabara nk

  • @suheilsuheil8780
    @suheilsuheil8780 5 років тому +2

    Sheria imebadilisha ukweli mpaka mashuleni watoto wanasomeshwa uongo na historia ya zanzibar ,ukweli unafichwa ,zanzibar nchi ya barka

  • @ssur5797
    @ssur5797 5 років тому +6

    Nipewe no za huyo mama nimfte kwake inaonekana anayajua mengi huyo ntmni ungekuwa mma angu wwe ningefaidi mengi kutka kwako👌👌👌👌👌👌👌

  • @yahyaibrahim6934
    @yahyaibrahim6934 4 роки тому +2

    Zanzibar na oman nimoja kama nimungano bora ungekua oman na Zanzibar nibora zaidi kwasbb waoman wanaahistoria yao oman nilazima watakua nahuruma na upendo wenyewe waomna wanasema kua Zanzibar ninyumbani

  • @SaidIssa-tq3yv
    @SaidIssa-tq3yv 7 днів тому

    Bado kule kanisani mkunazini.
    Wanaendeleza uongo na kudanganya watalii ,

  • @rafaelmarquez9396
    @rafaelmarquez9396 Рік тому

    Watu zanzibar wanatiwa chuki na uongo waarabu wabaya katika zanzibar hao waarabu wamechangaya na waafrica na fisiemu ni chuki tu wakionayo

  • @AzhadSaid-j1t
    @AzhadSaid-j1t 5 місяців тому

    Huyu alojenga cave akija mbagala harud😊

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 5 років тому +5

    Mangapwani ni nyumbani na hy mzee ni babu yangu mzee Hamed Allah amraham

  • @saydbarakismailiya1515
    @saydbarakismailiya1515 5 років тому +4

    Mangapwani ndo nymbani kwetu huko najisifia sana home sweety home

  • @muthannajuma6896
    @muthannajuma6896 3 роки тому +1

    Masha Allah. Asante sana Bi Na. Nafsi yangu nilikuwa siamini hio historia ya kuwa walikuwa wanafugwa watumwa humo. Lkn sikuwa najua ilikuwa ni sehemu nini. Wengi wanapenda kutoa historia ya kueneza chuki na ubaya bila kuangalia kuwa wengi wetu wazanzibari tuna pande zote mbili za watumwa na za mabwana.

  • @samo5315
    @samo5315 4 роки тому +4

    Historia ya Zanzibar inafichwa hata maskuli hawagusi zaidi nikusema Waarabu walitesa wazee watu.

  • @anniyahfacebeat8937
    @anniyahfacebeat8937 5 років тому +2

    historia ya znz ni kubwa mnoo
    ipo historia nzur na mbaya pia. hakuna shm ina historia nzur 2pu. allah atustiri na atuekee mahala pe2 znz .. m.naomba historia ya oman na znz kwa ujumla jinc ilvyo hapo mwanzo.. kuna wa2 hawaamin waznz walio wngi hasa wazee wao wote wametoka nchi za kiarab ..

  • @ssur5797
    @ssur5797 5 років тому +5

    Chechei wadau jmni mmi Zanzibar nyumbani lkin wallah manga pwani cpajui hta kukovipi itbidi niwe mtalii nitalii kila saham mskunduchi.nungwi nisehm nying mmicizifahmu kiwengwa hdi aybu kusema ivo zanzbar kisiwa chenye history bungi dah inatosha jmni mna nitmlza majina .

    • @ukhtyrahma.3922
      @ukhtyrahma.3922 5 років тому +1

      @S Sur pole sana mpz itabidi ufanye ziara ya kutembea na ukitaka kampany naweza kukupa inshaAllah ucjali.

    • @ssur5797
      @ssur5797 5 років тому +1

      @@ukhtyrahma.3922 kweli ishllh tuwombe uhai na uzima nikirudi kwetu nitkutfuta kwani nko mbali na TANZANIA😗😗😗

    • @ukhtyrahma.3922
      @ukhtyrahma.3922 5 років тому +1

      @S Sur inshaAllah ucjali

    • @fatmahmwinyi4061
      @fatmahmwinyi4061 5 років тому +1

      Uninambie na mm nije nipo dar nipate wenyejiii

    • @ukhtyrahma.3922
      @ukhtyrahma.3922 5 років тому +1

      Fatmah Mwinyi inshaAllah msijali nyie njooni tu hasara miguu yenu na nauli zenu.

  • @Queen-te3lz
    @Queen-te3lz 4 роки тому +1

    wakati zipo shule znz 2012 chuini secondary school tulienda wanafunzi na walimu kujionea history ya watumwa kote tumesha ingia kutizam

  • @yahyaibrahim6934
    @yahyaibrahim6934 4 роки тому +1

    Kweli behle mtihani hadi Leo me nipo uku wanakusifia behle kwavibwengo 😂😂😂

  • @yahyaibrahim6934
    @yahyaibrahim6934 4 роки тому +1

    Kuhusu majini znz kuwepo kwanza A majini wapi enzi tangu visiwa vya zanzibar haviishi watu ninamaana tangu enzi za nabii suleiman nyuma nyuma halaf majini wengi wanaish visiwani na inamaana kwamba visiwa viko Bahraini namajini wengi wanaishi Bahraini tangu enzi

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu 5 років тому +2

    Kwahio ni kweli Warab wa Oman ndio walioleta majin visiwani Zanzibar!

    • @yahyaibrahim6934
      @yahyaibrahim6934 4 роки тому

      Majini wapo tangu enzi za nabiii suleiman

    • @tecnof1232
      @tecnof1232 4 роки тому

      Majini ni viumbe km ww, wapo kila mahali

  • @chinaboyzanzibar5328
    @chinaboyzanzibar5328 Рік тому

    ASSALAAMU ALEYKUM MASHALLAH I LOVE 🇿🇦 ZANZIBAR AND PEOPLE OF ZANZIBAR THE ARE TOO KINDNESS ❤️ 💖 ♥️ 💗 💜 MY ALLAH ALWAYS MAKE THEM HAPPY 😊 😃 😀 😄 😁 🤣

  • @shammoha5297
    @shammoha5297 5 років тому +1

    Duh! Historia nzuri lakini ya kusikitisha😔. Mola atusitiri

  • @allysaid6742
    @allysaid6742 5 років тому +1

    Ahsante bi NASRA kwa kutujuza

  • @abuuhamzasuleiman7005
    @abuuhamzasuleiman7005 4 роки тому

    Fanyeni tuipate iyo historia ilokuwemo kwwnye CD anayosema bi NAa kisha chengnie mmetubania iyo mangapwani hamkutuonyesga vizuri. Asanteni

  • @belgieboys9867
    @belgieboys9867 5 років тому +4

    niliwaambia yule KTV na wapeni wenzetu wa KTV kuwa huyu kijana ni muongo aliotoa hadithi ya mwangapwani.
    historia ya watumwa yote ipo kwa waengereza na watumwa walikuwa wanafichwa makanisani.
    lakini watumwa na wakiristo wenzao wakishirikiana na waengereza historia ya znz wakaibadilisha kama biblia.
    hapa kule kisiwa cha changuu kilikuwa ni kisiwa cha kufichia watumwa..
    hata mpaka Leo znz watumwa wapo kutoka bara wakiona wanatoroka kwao zamani mtumwa kukimbia kwenda kwao hawezi.
    historia imepinda pinda.

  • @fadhilikawambwa5159
    @fadhilikawambwa5159 3 роки тому

    wapige chini wanaanza hujuma ili muonekane mnakwama baada ya mzee kuondoka

  • @mohammednassor3081
    @mohammednassor3081 3 роки тому

    Binasra nimeshajihika sana na maelezo yako naomba telephone number yako

  • @ameirameir4930
    @ameirameir4930 5 років тому +2

    Watu waliopewa dhamana ya kuenzi historia Idara ya Makumbusho na Mambo ya kale mnatuelezaje juu ya mabadiliko hya ya historia iliyokwisha enea dunia nzima?why hya mabadiliko yaelezwe wakat huu?tunahitaji muongozo kutoka kwenu

  • @danielx8
    @danielx8 3 роки тому

    Hii history or story

  • @hammerQ954
    @hammerQ954 5 років тому +1

    ❤zanzibar

  • @aishasaid5702
    @aishasaid5702 5 років тому +1

    Historia tamu iyo jamani

  • @ameirameir4930
    @ameirameir4930 5 років тому

    Baadhi ya maandiko ya vitabu vingi vya kihistoria vinatujuza kwamba watumwa walipitishwa hpo kwa muda mfupi sana ili waweze kuteremshwa kwenye Bandari ambapo tyr majahaz yapo kwa kuwachukuwa

  • @issaali1321
    @issaali1321 4 роки тому

    Mie nipo nawee mtangazaji alhamdulilah upo vizuri sana bibiye.

  • @abdul-razakamour5136
    @abdul-razakamour5136 5 років тому

    Ktv hongereni lakini udadisi ni muhimu katika kutoa habary sahihi na historia haibadiliki mamb ya nasabu sawa lkni alisema kuwa chimbuko la huyooo ni mahodary na alimpa mikoba gani...... ¿

  • @pastoryconrad7313
    @pastoryconrad7313 5 років тому +1

    History ya ukweli ya Zanzibar imeamza mwaka 1964 mpaka sasa hivi huko nyuma hatujui chochote.

    • @nassorsharifu9837
      @nassorsharifu9837 4 роки тому

      Wee wa kuja ndio mnaojaribu kuipindindisha historia ili kujenga chuki miongoni mwa wazanzibari asilia. Angalia unajaribu kuwaaminisha watu kuwa waznzibari hawaijui historia yao

    • @saeedqaseem7423
      @saeedqaseem7423 3 роки тому

      Hujui wewe ambae historia yako kuhusu Zanzibar imeanzia baada ya hayo mapinduzi...... inaonekana huna ujualo kakojoe ukalale

    • @ladislausngoyinde4384
      @ladislausngoyinde4384 3 роки тому

      @@nassorsharifu9837 kama yeye wakuja, je hao waarabu nao vp, au ndo wenyeji

    • @khalfansuleiman6206
      @khalfansuleiman6206 3 роки тому

      USILOLIJUA NI USIKU WA KIZA NYAMAZA KIMYA

    • @Muba3304
      @Muba3304 3 роки тому

      Tatzo lako unaitwa pastory huwez jua mambo ya said wa moh'md we ukae kimya mzigua mtumwa

  • @khamisjuma9340
    @khamisjuma9340 3 роки тому

    Inafichwa eti lakini ikiwa kama hivi si tutafahamu

  • @maubarak9831
    @maubarak9831 5 років тому

    kiukweli historia ya znz inajulikana nawazanzibar wenyewe nashangaa wanakuja watu ambao hata mama wababu zao hawakuzaliwa hapa stori yakweli wataneipata wapi ndio maana wanaongopa kama lugha yao

  • @maubarak9831
    @maubarak9831 5 років тому

    kwamimi nashkuru histy ya nchi yangu naijua kwamaana mama mkuu wangu amefariki akiwa namiaka 100nazaidi miaka 14 iliopita nababu yangu wa kwanza yupo hai na anamiaka 97 kwasasa

  • @belgieboys9867
    @belgieboys9867 5 років тому

    samahani Ktv ile ilikuwa zaima tv niliposema hiyo historia ya uongo

  • @galayagalaya48
    @galayagalaya48 5 років тому +1

    Mashaallah

  • @mohammednassor3081
    @mohammednassor3081 3 роки тому

    Mashaallah binassra historia ya kusisimua

  • @maubarak9831
    @maubarak9831 5 років тому

    sham acha matusi sisi waungwana matusi kwetu haramu

  • @ladislausngoyinde4384
    @ladislausngoyinde4384 3 роки тому

    Uongo mtupu

  • @rashidseif6103
    @rashidseif6103 5 років тому

    Zanzibar history yake ni utata tu

  • @maubarak9831
    @maubarak9831 5 років тому

    na cha kufurahisha niwatu waingeaji

  • @issaabdallaissa1473
    @issaabdallaissa1473 4 роки тому

    Sasa km suria vp alikuwa shekhe

  • @dr.ajeyfemed5895
    @dr.ajeyfemed5895 4 роки тому

    So history inaishia kwako bi naa🤭
    Woow

  • @ashuashu3843
    @ashuashu3843 5 років тому

    Ahsante bi mkubwa,wahenga twawaheshimu sana.

  • @hakunamatataznz5508
    @hakunamatataznz5508 Рік тому

    ❤❤❤

  • @asiaa5196
    @asiaa5196 5 років тому

    Haya asanteni KTV TZ ONLINE

  • @belgieboys9867
    @belgieboys9867 5 років тому +2

    vijana wa kitumwa hawawezi kutoa historia ya znz

  • @ausihaji2398
    @ausihaji2398 5 років тому +1

    Tulidanganywa wakati tupo Chuo Nukuu ila sisi wengine v ichwa vyetu vipo vizuri

  • @suzanapatricks4512
    @suzanapatricks4512 5 років тому +1

    Faki tu fuck!! Ukweli uko wapi?

    • @111dudi
      @111dudi 5 років тому +1

      Of course u dont want to admit

    • @111dudi
      @111dudi 5 років тому +1

      That's the difference between civilised and non civilised ppl. Non civilised ppl use a abusive language

    • @tecnof1232
      @tecnof1232 4 роки тому

      They hide the truth for their self benefit

    • @hamadali5062
      @hamadali5062 4 роки тому

      Of course you will say that because you're name suzan patricks. Hii historiya ya zanzibar na warabu kuuza watumwa ni history iliyoletwa na British na nyerere ili kuiponda dini ya kiislamu na kuitawala nchi ya zanzibar kwa hoja za kiongo.

  • @salmajadi3695
    @salmajadi3695 5 років тому

    Mbona sauti haitoki

  • @dulakess8928
    @dulakess8928 5 років тому

    storia ya ukwel ya Zanzibar haisemwi

  • @abdulrahmanrajab4369
    @abdulrahmanrajab4369 4 роки тому

    😗😚😍🤞

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 Рік тому

    Suria hakuna Hata siku 1 Enzi za Mtume Muhammad Walikuwa,Warabu wana teka watumwa na kutembea nao kwa nguvu Watu walikuwa wafichwa huko tena chumba hicho ni ngome ya majin ndio Warabu walivyo tufanya kutudhalilisha Watu weusi,

  • @2nukhamis447
    @2nukhamis447 4 роки тому

    ❤ zenji

  • @khayratsalim8576
    @khayratsalim8576 5 років тому

    Naogopa 😂

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf9566 5 років тому

    😲Sioni vizuri wacha nitanue mijicho

  • @ukhtyrahma.3922
    @ukhtyrahma.3922 5 років тому +4

    MashaAllah

    • @ssur5797
      @ssur5797 5 років тому +1

      Ukhty Rahma Ilo jengo linatisha dah hatari

    • @ukhtyrahma.3922
      @ukhtyrahma.3922 5 років тому +1

      S Sur hahaha ucjali nitakukamata mkono twend pa1

    • @ssur5797
      @ssur5797 5 років тому +1

      @@ukhtyrahma.3922 shukrani mydear

    • @ukhtyrahma.3922
      @ukhtyrahma.3922 5 років тому

      S Sur Afuwan my dear.

  • @ameirameir4930
    @ameirameir4930 5 років тому +1

    Mangapwani " wamanga wapo pwani"

    • @tecnof1232
      @tecnof1232 4 роки тому

      Anasema mwangaza, lete hoja!

  • @abdulrahmanrajab4369
    @abdulrahmanrajab4369 4 роки тому

    Upo vizur bii naah mashallah endelea kutujuza na mengine😍

  • @amnemkubwa7353
    @amnemkubwa7353 5 років тому +1

    Nawish ningekuepo izo zama 😎😎😣

    • @sulleyalriyamiy
      @sulleyalriyamiy 5 років тому

      Mkubwa

    • @mwagilomasukuzi5464
      @mwagilomasukuzi5464 5 років тому +1

      Nilivyosikia mie kulikuwa na mtemi wa kabila la kizigua akiitwa mhelamwana alikimbilia znz kupitia saadan akafikia mahali hapo na kupaita manga ya pwani kwa maana alitokea sehemu iitwayo manga iliopo wilaya ya handeni mko a wa tanga

    • @danielx8
      @danielx8 3 роки тому

      Viringo walikuwa wengi during that time

    • @Muba3304
      @Muba3304 3 роки тому

      Ila ungekua ushakua kibudu🙄