FURAHA YA MTOA MACHOZI MFANYA BIASHARA (BOPAR)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 тра 2021
  • Kutoka AL FATAH TV ONLINE
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​

КОМЕНТАРІ • 64

  • @abdulkheri7322
    @abdulkheri7322 3 роки тому +3

    Masha Allah...Mola akujaalie kila la heri hapa dunian na kesho akhera Bobar

  • @mohammednassor3081
    @mohammednassor3081 3 роки тому +2

    Shukran sana Mr. Bopar Allah ndie mlipaji bora

  • @khamisdaima1455
    @khamisdaima1455 3 роки тому +2

    Maashalla, Mr said Bopar Mungu akuzidishie ishaalla.

  • @jumamunga1414
    @jumamunga1414 3 роки тому +1

    Allah awazidishie wote wale walio husika kwa njia moja au myingine na wote wale wenye nia ya kushiri awewezeshe

  • @mrajjasissa5909
    @mrajjasissa5909 3 місяці тому

    Allah awafanyie wepesi na huku mfike amin

  • @maryammussa7929
    @maryammussa7929 3 місяці тому

    Allah ampe umri mrefu bopar mashallah

  • @habibuhabibuzahoromakamezahoro
    @habibuhabibuzahoromakamezahoro 3 роки тому +1

    Maashalah maashalah maashalah mwenzetu kashaingia peponi walahi anatomy malizake ma tajiri wengi hua Hawaii Mali zao Allah akujaalie peponi firdausi

  • @ayshaabrahaman6068
    @ayshaabrahaman6068 4 місяці тому

    MashaAllah Sh.Bopar ujumbe mzito, kweli wewe ni unaujuwa uislamu, Daima ukimtakia kher mwenzako ujue kher zile zinarudi kwako na faida zaidi. Alhamdulillah Mungu akuzidishie na akuhifadhi. MashaAllah hongera sana mfano mzuri wa kuigwa.

  • @hassanally286
    @hassanally286 3 роки тому +6

    Allah akupe zaidi unachotoa dunian na kheir,huu ni mfano wa kuigwa kw matajir waliopo Tz

  • @shamilamo9159
    @shamilamo9159 4 місяці тому

    Mashaallah tabaraka Allah mwenyezi mungu akuhifadhi insha'Allah

  • @zuhairal-ajmi5862
    @zuhairal-ajmi5862 2 роки тому +1

    I met this person with good manners on the plane from Muscat to Jakarta and he was always talking about helping people and his great love for Zanzibar Island. In summary, he is a smart trader and a person with a big heart who helps everyone, even with simple information, and I benefited from him during this meeting by knowing him personally.

  • @ShamsiMikdad-bj7me
    @ShamsiMikdad-bj7me 3 місяці тому

    Masha allah jakallahu khaira

  • @user-iq6mj5ev3l
    @user-iq6mj5ev3l 4 місяці тому

    Allah akuhifadhi na maradhi akupe umr mref wenye kher na barka zaid na akujaalie husnulkhatima

  • @stonetown578
    @stonetown578 3 роки тому +1

    Allah akuzidishie kheri kwa kuwakumbuka wahitaji.

  • @HajiSinaihaji-us5sr
    @HajiSinaihaji-us5sr 3 місяці тому

    Maashaallah

  • @mwannerichardoo1018
    @mwannerichardoo1018 3 роки тому +1

    Mwenyezi mungu akulipe ziyada unachotowa inshaallah na al Fatah nanyiye mungu awalipe kwakutukumbusha ktk heri

  • @fayeezomary6563
    @fayeezomary6563 3 роки тому +1

    Mashaallah im crying

  • @abdallahdullah8642
    @abdallahdullah8642 4 місяці тому

    Allah akupe wingi wa Mali, afya njema , nguvu na hatma njema inshaallah. Akulinde na husda za waja waovu.

  • @bintsalimalbimany5340
    @bintsalimalbimany5340 3 роки тому

    Mashallah Allah barik Kaka ang Kka Said na alfattah mnafanya kazi kubwa sana sana mola ibarik alfattah tv online

  • @safiaothman1098
    @safiaothman1098 3 роки тому

    Maa Shaa Allah na Jazak Allahu Khairaan Kathiraan.
    Nashauri Misaada hiyo iendelee hata baada ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhan.

  • @Wardda27
    @Wardda27 3 роки тому +2

    Masha Allah Allah akujaalie akuzidishie afia umri na mwisho mwema Insha Allah

  • @salmasalim6055
    @salmasalim6055 3 роки тому

    Mashallah Allah akupe zaidi pale ulipotoa akuzidishie mara elf

  • @modricseif1018
    @modricseif1018 3 роки тому

    MashaAllah, Allah amdumishe katika kheri
    Awape wepesi na matajiri wengine inshaAllah

  • @rahimasaid3674
    @rahimasaid3674 3 роки тому

    Mashaallah mashaallah allah akuzidishie

  • @nyatya199
    @nyatya199 3 роки тому

    Maashaallah Allah amzidishie Bopar kwani anamoyo wa kipekee saana.

  • @asebeassumanimtainga4015
    @asebeassumanimtainga4015 2 роки тому

    Ya Rabi mjaaliye mfanya biashara huyu bwana said bopar umpe umri na afya nje azidi kuutumikiya uisilamu mzidishiye kipato katika mali yake nautiye baraka

  • @ayishaayisha8053
    @ayishaayisha8053 3 роки тому

    Masha Allah.

  • @abdulrahmanrajab4369
    @abdulrahmanrajab4369 3 роки тому

    allah akupe zaid na zaid duniani na akhera na akujaalie ukawe nao watoaji bora kina abuu bakar na omari na abdurahman

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 2 роки тому

    Mashaallah tabarakaallah

  • @salummohd7424
    @salummohd7424 3 роки тому

    Allah akujaalie kila la kheri Sheikh Said bopar

  • @user-vu1bf3rn6m
    @user-vu1bf3rn6m 3 місяці тому

    Kuna wengine hawapati huwo msaida pemba wasaidieni piteni kila pahala na Allah atawasaidia

  • @zainabkombo1724
    @zainabkombo1724 2 роки тому

    Allah akufanyie wepesi

  • @omaralihamad1687
    @omaralihamad1687 3 роки тому

    Allah akulipe dunian na Akhera

  • @fayeezomary6563
    @fayeezomary6563 3 роки тому

    Allah akup mwsh mema

  • @zainabkombo1724
    @zainabkombo1724 2 роки тому

    Hongera sn

  • @jumamohammed5378
    @jumamohammed5378 3 роки тому

    MashaAllah

  • @khalifamasoud5286
    @khalifamasoud5286 3 роки тому

    baii safi sana

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 3 роки тому

    Mashallah

  • @fayeezomary6563
    @fayeezomary6563 3 роки тому

    Allah Kareem atakup biidhnllh

  • @muliksuleiman1633
    @muliksuleiman1633 3 роки тому

    Mashaallah mashaallah mashaallah mwenyezi mungu atazidi kukufanyia wepesi katika maisha yako yawe mazuri pamoja na family yarabbi tunakuomba utuongoze katika kutenda mema na utuepushe na kila yalio mabaya

  • @abdullahalbalushi3856
    @abdullahalbalushi3856 3 роки тому

    Vp sheikh othman maalim hyupo marahii

  • @allahinbendesi3464
    @allahinbendesi3464 3 роки тому

    ALLAHIM saxlasin cemi muselmanlari

  • @zuwenaabrahman9913
    @zuwenaabrahman9913 3 роки тому +1

    daa Mung atakupa kila la kher faida utayaona kwa mung wako

  • @mrajjasissa5909
    @mrajjasissa5909 3 місяці тому

    Shekh na sisi huku kwetu tunaomba iyo miswaada ifike hpa katika mji wa konde kijiji cha mibran sote ni maskini watupu ila hatupati misaada Ata kidogo

  • @z.nalnabhani7194
    @z.nalnabhani7194 3 роки тому

    Wanafunzi fanyeni vizur masomo yenu,ili kumpa moyo sheikh said bopar

  • @abrahmanhija9904
    @abrahmanhija9904 3 роки тому +1

    Ipo ciku nami

    • @z.nalnabhani7194
      @z.nalnabhani7194 3 роки тому

      Allah akuwezeshe Aamiin

    • @saramussa1345
      @saramussa1345 Рік тому

      Kumbe nawe upo namawazo kama ya kwangu,Allah atukubalie nasi ahadi zetu zitimie

  • @salumabuu6074
    @salumabuu6074 3 роки тому

    Ni mfano mwema wallah wa kuigwa kwa wale matajir wenzakee, Hii ni njia moja wapo ya kuitafuta akhera, na ni Alama moja kat ya Alama ya Muumin wa kweli, Hutoa katika walivyoruzukiwaa..

    • @sulemohd4812
      @sulemohd4812 3 роки тому

      Hongera Kaka bopar jiekee Kaka a kiba.hukounakokwenda.ukitowa unakuwanafura wallah.

    • @sulemohd4812
      @sulemohd4812 3 роки тому

      Allah amekuchaguwa kukupa riski usifanyehiyana uwasaidiemaskini

  • @z.nalnabhani7194
    @z.nalnabhani7194 3 роки тому +1

    Matajiri wengine wajiulize kwanini bopar hafilisiki?jibu unalo

  • @hemedabry1906
    @hemedabry1906 3 роки тому

    Allah akulipe kila la kher na akulinde na husda

  • @marinamidagu2732
    @marinamidagu2732 3 роки тому

    Mashallah