KWA HALI HII KILA MMOJA ATAULIZWA NA ALLAH.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 тра 2020
  • Kutoka AL FATAH CHARTABLE ASSOCIATION.
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline
    #AlfatahCharitableAssociation
    #ZANZIBAR

КОМЕНТАРІ • 339

  • @shanishamsi9576
    @shanishamsi9576 3 роки тому +8

    Allah huakbar yarabi tujaalie subra katka maisha yetu utujaalie mioyo yenye huruma ktk maisha yetu na utujaalie mwisho mwem😢😭😭🤲🤲

  • @Da-cr6ow
    @Da-cr6ow 4 роки тому +16

    Macho yanalia moyo unaumia ya Allah mwingi wa rehma wazidishie kila watoaji wallahi inaumiza inaumiza sana nashkuru nnachopa kicho hicho kidogo na kula na wenzangu Alhamdulilah natamani nipate niwasaidie kila wenye uhitaji ila sijakataa tamaa insha allah Allah nirazzak naumia mno

    • @mulhazinzibar6912
      @mulhazinzibar6912 3 роки тому

      Pole mungu akufanyie wepesi allha atakulipa nawewe

  • @theroots2743
    @theroots2743 4 роки тому +3

    Waonesheni hao makumbaro wajue kama kutoa ni moyo sio mpaka zifike siku za karibu na uchaguzi wawatundike watu kwa tonge yao Alfatah ni mfano pekee hapo nyumbani na ishaallah mwenyezi mungu akuongozeni ktk njia aitakayo Amin

  • @zainabyousof3742
    @zainabyousof3742 4 роки тому +4

    YaaRabb mjaalie Sheikh Rashid kwa kazi hii anayoifanya umlipe mema ya Dunia na Akhira ALLAHUMMA AAMIIN

  • @ummoislam4832
    @ummoislam4832 4 роки тому +9

    Mashaallah Alfatah Allah awazidishe imani muje muwajengee hawa wazee hizo nyumba zao

  • @user-qr5rv2eg8l
    @user-qr5rv2eg8l 3 місяці тому

    Wallahi mumevunja record.ulimwenguni tumeshuhudia wenyewe walimwengu na timetafakari .allahu Akbar God blessu

  • @fdhjffdhjfsjdjfjfi9477
    @fdhjffdhjfsjdjfjfi9477 4 роки тому +5

    Allahu akbar Allahu Akbar tustiri yarabi utusamehe utufungulie riksi tuweze kuwasaidia wenzetu inshaallalla moyo unaniuma sana lakini sina chakuwasilisha kwa wenzangu shukran AlFatah TV

  • @ashaj8433
    @ashaj8433 4 роки тому +1

    Yarab Yarab yarab

  • @khamisfaki4640
    @khamisfaki4640 4 роки тому +4

    Waallah mwil umesismka kuona hli allah walipe kila la kheri muliofikisha ujumbe huu AMIIN

  • @fatmaaly3056
    @fatmaaly3056 4 роки тому +17

    😭 wallah nigelikua na uwezo mimi binafsi chakwanza ningelijenga nyumba kwa ajili ya wazee hawa km gorofa 😭😭😭

    • @ukhtyalpha1344
      @ukhtyalpha1344 4 роки тому +3

      Fatma kwani uko wapi tuweze kutafuta mfadhili au Wazanzibar sote tukachangishana kila pembe tulipo tukishiriana tutawezeshwa na Allah tukaacha kufanya maarusi ya kifhari yalio hayana mpango wa faida yoyete

    • @sabahbille294
      @sabahbille294 4 роки тому +2

      @@ukhtyalpha1344 tungekuwa na huruma walahi hakuna muislam angelipata shida,Bali tuko wabinafsi sana,walahi sijui tutajibu nini kesho.

    • @mtorosaidkassim9587
      @mtorosaidkassim9587 4 роки тому +1

      Wallah hata na mm pia ningekua mmoja wapo wakuchangia

    • @salmamansour3718
      @salmamansour3718 4 роки тому

      @@ukhtyalpha1344 ww uko wp

    • @khadhoujjojo338
      @khadhoujjojo338 4 роки тому +1

      A'alaykoum akhawaty fii llah yaani hata tukaungana kidogo chetu tunaweza biidhnillah😭😭it's heart touching story.... Je, tunaweza patana vipi mm am from Kenya

  • @ratiffahahmadi3434
    @ratiffahahmadi3434 4 роки тому +2

    JazakaAllah lkheir

  • @fatmaaly3056
    @fatmaaly3056 4 роки тому +5

    😭😭😭y'rabby najikuta nalia tu na kushkuru alhamdulilah alhamdulilah allah ndio mueza watu wanakula na kutupa na kufanya kila aina ya starehe ukiwakumbusha wanasema tunaenda na wakat 😭😭😭😭😭😭

  • @abdallaabeid2951
    @abdallaabeid2951 4 роки тому +2

    Hongera Mkurugenzi wa Alfatah Allah akupe umri na afya njema kaka yng

  • @safiaothman1098
    @safiaothman1098 3 роки тому +1

    Allah Subhannahu Wata'ala awajaalie Alfatah kila la kheyr fil Dduniyyah wal Akhiyra, Aamiin.

  • @AbeidkhalfanAbdalla
    @AbeidkhalfanAbdalla 3 місяці тому +1

    Allah akufanyien wepes alfatah

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 Рік тому

    SubhanaAllah 😭😭😭😭 Alhamdulillah

  • @issahassan8361
    @issahassan8361 4 роки тому +3

    Mtihani sana. Allah atufanyie wepesi duniani na akhera آمين يارب العالمين.
    اللهم ارزقنا رزقا واسعا حلالا طيب مباركاً فيه.

    • @maryammct3967
      @maryammct3967 4 роки тому

      Amin

    • @mariamjuma3831
      @mariamjuma3831 3 роки тому

      mnavofanya nivizuri namungu awabariq ila mnajisahau pale mungu alivosema mtowe kwamkono wakulia nawkushoto usijue jee?hamkuifaham nn maana yke?

  • @tajiriskitchenswahiliflavo1723
    @tajiriskitchenswahiliflavo1723 4 роки тому +1

    Alhamdhulilah. Allahumma Barik😭😭😭

  • @agiraali7693
    @agiraali7693 3 місяці тому

    Mashaallah Allah akubariki sheik 🙏🙏🙏

  • @alikurran150
    @alikurran150 2 роки тому

    Inauma sana wallah.Shekh Hii inasaidia umetuhamasisha

  • @sifajacky7779
    @sifajacky7779 2 роки тому +1

    Subhanah Allah Allah! Allah Akbarr! Allahuma Amina ya Raab ya Mujib duwah 🤲🏻

  • @nassorfarhat5045
    @nassorfarhat5045 4 роки тому +3

    Mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah 🙏🙏🙏🙏

  • @miracleslike3775
    @miracleslike3775 4 роки тому +2

    alfatah hakika ni chaguo langu Allah ibaraki Alfatah wabariki viongozi na wafanya kazi wake

  • @chefwakitaakaithar2039
    @chefwakitaakaithar2039 4 роки тому +2

    Subhannallah, Namuomba Allah ajaalie kupatikana zaidi wasamaria wema na kuweza kuwapa (kutoa) michango kw familia (wazee w icho kijiji uko Pemba) inasikitisha sana wazee ni watu wazima sana na wengine wagonjwa hawawez tena hata kuenda shamban kulima na ukiangalia kama icho kipindi cha ramadhan na wanakwmbia hawajui hata watafutari nini manake hawana hata uwezo w kujinunulia chakula.
    Na nina swali kwa AL FATAH TV ONLINE kuusu izo namba za sim na majina ya watu waliokuwepo sehem tofauti kama UK, MAREKANI, CANADA, DUBAI, OMAN, N.K ni wasimamizi w kushughulikia michango/misaada ya watu watakaoguswa na kutaka kuchangia chochote walichojaalia, naomba mnijuze manake ss wengin tunataka kuchangia ila tuko mbali na nchi yetu tuliozaliwa Zanzibar na jee ninaweza kutumia njia ya Money Gram.?

  • @safiyaalrawahi7526
    @safiyaalrawahi7526 4 роки тому +3

    video hii imenigusa na nimetokwa n machozi kwa huzuni nliyoina ya wazee maskini. shkrn sana

  • @maryamsalim3233
    @maryamsalim3233 4 роки тому +3

    Shekh rashid twaombea mupate nguvu na uwezo muwajenge hizo nyumba zao yasikitisha sana cc letu ni kuwaombwa kwa allah 😭😭

    • @suleimanmohamed4367
      @suleimanmohamed4367 3 роки тому

      Tuchangieni ili wape nyumba sisi tunaweza kwa Kila Atakae ona

  • @wahidashabaz5982
    @wahidashabaz5982 4 роки тому +6

    Natokwa na machozi😭😭Allah atawalip kwa kila hatua yenu.mashallah

    • @learnonline8033
      @learnonline8033 4 роки тому

      Wahida Shabaz kama kweli una imani hasa na ndugu zako waislamu lazma machoz yatoke

    • @kwigayamitto175
      @kwigayamitto175 4 роки тому

      Mimi naomba namba zenu na wapi Unguja au Pemba mnapatikana

  • @jasminali5921
    @jasminali5921 4 роки тому +1

    Subhanallah nalia kwa uchungu yarabi mola wangu

  • @hawaamkubwa2020
    @hawaamkubwa2020 3 роки тому

    alhamdulillah Allah awalipe kher inshaallah

  • @rossamengo7211
    @rossamengo7211 4 роки тому +6

    Nijambo la kuhuzunisha sana,ya ALLAH tupe mioyo yakutoa na utukinahishe na anasa za dunia,utuongoze tuweze kununua pepo yako kwa neema zako unazo tujalia IN SHA ALLAH Amiin

    • @ukhtyalpha1344
      @ukhtyalpha1344 4 роки тому

      Naam kabisa wanawake kuna Group la Wanawake wema kuna Group la aljanah hands kuna mengi tu jiungeni haba na haba tujaze kibaba kuna hao Alfath tuchaguweni wapi na hii isiwe Ramadhan tu 😰😰😰😰😰😰

    • @ukhtyalpha1344
      @ukhtyalpha1344 4 роки тому

      Allah tupe nguvu tuwasimamie hawa waja wako 😰😰

    • @ukhtyalpha1344
      @ukhtyalpha1344 4 роки тому

      Tunalia unatamani utowe pesa zako zote

    • @rossamengo7211
      @rossamengo7211 4 роки тому

      Mimi nikitoa naona bado haitoshi natamani nitoe tena na tena ila uwezo ndio kidogo, ALLAH atujalie tugawane hichi kidogo alicho tujalia na wenzetu ambao hawana,kwani kutoa nimoyo wallahi,hakika imenitoa machozi kabisa

    • @edenimmasianase7569
      @edenimmasianase7569 4 роки тому

      😭😭😭

  • @seifkhatib4512
    @seifkhatib4512 4 роки тому +2

    Allahuakbar kaka Rashid allah atakulipa kutokana na juhudi zako katika uislam na waislam kwa jumla hakika nimfano wakuigwa kaka allah akujaze nguvu juu ya kuwasaidia waislam wengine amin ya rabbi

    • @seifkhatib4512
      @seifkhatib4512 4 роки тому +2

      Wallah cna uwezo wakutoa ila kaka Rashid kama unahitaji msaidiz wakusabaza izo sadakat katika jamii wallah nipo mm nitakuja kukusaidia kwa ajili yaallah na din yetu sitohitaji lolote kutoka kwako ila nitatumia nguvu zangu alizo nipa allah kukisaidia insha allah
      allah akbar

    • @allishaibu1272
      @allishaibu1272 4 роки тому

      Seif Khatib Jamani wko wapi watoaji wale ambao wanajinasibu kuwa niwaislam mbona waislam wenzetu tunawaacha wanadhalilika tunaendeleza kutoa sehemu ambazo hazina manfa Jamani hebu tutafuteni radhi za Allah tupate mafanikio kwa allah

  • @shadiahshadiahshadiahshadi4060
    @shadiahshadiahshadiahshadi4060 2 роки тому

    Allah awawekeye wepesi mwe woteeee

  • @zuhuraadinani8819
    @zuhuraadinani8819 4 роки тому +1

    Allah azidi kukupa moyowaiman tuombee nass tupate tuwasaidie wasojiweza

  • @issandolilo4276
    @issandolilo4276 4 роки тому +4

    May Allah guide this channel in its daily endeavours insha'Allah.

  • @abdullmalik7847
    @abdullmalik7847 4 роки тому +3

    Subhanallah 🇰🇪

  • @hashirsalim9570
    @hashirsalim9570 3 роки тому

    Mashallah

  • @user-uk8gr1im8b
    @user-uk8gr1im8b 4 роки тому +1

    Allah awabarik alfath kwa jitihada yenu na wasiotoa allah awape moyo wa kutoa inshaallah

  • @misfatima8953
    @misfatima8953 4 роки тому +2

    😭😭😭😭😭😭alfatah is the all foundation that inspared me nipo n imani nami siku itwayo moja atanijalie nami niwe mionginoni mwa kujitolea kwa ajili ya Allah kaka mungu akuzidishie kher n akuneemeshee nema kubwa n za kher ndani yake kila siku ninapotazama alfatah machozi unitoka usichoke kaka upo n makao mema kesho jasho n macho unayo yamwaga leo kesho mble ya Allah itakua nuru kwako ameen ameen ameen. Ya Allah nami nipee muongozo na huruma wa kujali wenzangu wa tabaka langu . Na uwape ufumbuzi wale walo navyo wajali wasokua navyo ameen

  • @mohdsururu3335
    @mohdsururu3335 4 роки тому +2

    Allah akupeni nguvu kwa kuwakumbuka Waze wetu Amin

  • @teteshlbrahim3718
    @teteshlbrahim3718 4 роки тому +2

    Amin,my Allah bless you

  • @rabiamussa3228
    @rabiamussa3228 4 роки тому +2

    Allah tujaliye tuweze kuwasaidiya wenzetu

  • @ummabood8268
    @ummabood8268 4 роки тому +1

    SubhnaAllah. Imenitouch Sana Sana. Allah akulipeni kwa kila step. Na sie atupe moyo wakutoa

  • @mrbubaaside4388
    @mrbubaaside4388 3 роки тому

    mungu awazidishie alfatah

  • @inabikorwaneema8815
    @inabikorwaneema8815 4 роки тому +1

    Laa ilaha ilallah. Allah awalipe mema duniani na kesho Akhera

  • @allahinbendesi3464
    @allahinbendesi3464 3 роки тому +1

    ALLAHIM seni ozun komey ol butun mezlum qullarina.Amin

  • @abdoi5780
    @abdoi5780 4 роки тому +1

    Dahh Allah azidi kuwatiya nuru na uwezo muzidi kufanya kazi kwa ajili ya Allah...na sisi Allah atuwe uwezo na nguvu wakusaidiya kwa kidog atakachotujaaliya 🙏🏻🙏🏻😥😥

  • @khalidderrossi8165
    @khalidderrossi8165 Рік тому

    Amiin yarabil alamiin

  • @salumhemed8516
    @salumhemed8516 4 роки тому +1

    Subahaana llah allah awape kila kheri inshaallah

  • @runigangwamizungo7647
    @runigangwamizungo7647 3 роки тому +1

    Allah tupe khidaya ummat Muhammad swalallahu alaihi wasalaam

  • @bintsalimalbimany5340
    @bintsalimalbimany5340 4 роки тому +1

    Alhamdulillah alhamdulillah thumma alhamsulillah ndio mana mim sipend kumwaga chakula kikibakia naweka kwenye fridge sik yapil tunapasha moto tu. Jmn jmn mola wetu tufanyie wepes waj wako utuwezesh tuwez kutoa kwa ajil yako👐👐👐

  • @zeinabathman4969
    @zeinabathman4969 10 місяців тому

    Mashallah mungu akupe huohuo moyo inshallah na akufanyie wepesi inshallah katika kila hatua unayoifanya ameen inshallah mwenyezimngu akupe afya na umri na swiha njema inshallah ameen thuma ameen inshallah

  • @munatwalib2808
    @munatwalib2808 3 роки тому

    Ameen

  • @omarsuleiman6039
    @omarsuleiman6039 Рік тому +1

    Allaha awalipe kheri kwa mazito mnayo pitia.

  • @firdaushamid8200
    @firdaushamid8200 Рік тому

    Mashallah Allah akuzidishiye imani na azidi kukubariki na akulipe pepo

  • @user-nh9fl5tv9u
    @user-nh9fl5tv9u 2 місяці тому

    Mungu awalipe jama ni

  • @mwanaishahussein2635
    @mwanaishahussein2635 4 роки тому +1

    ALLAH TUPE WINGI WA IMANI KWA WENZETU WALIO WANYONGE🤲🤲🤲🇰🇪

  • @williammsendo499
    @williammsendo499 2 роки тому

    Allah name anajakie kher Niya fanye haya

  • @AliAli-bt5db
    @AliAli-bt5db 3 роки тому

    Subhana llah jamani matajiri wa kiislamu tutakwenda kuulizwa jamani wenzetu wana Hali mbaya na ngumu wanahitaji kusaidiwa

    • @mbarouksuleiman4351
      @mbarouksuleiman4351 3 місяці тому

      sio matajiri tu hata maskini aliejuu ya hawao anapaswa kusaidia alio chini yake

  • @faju4real800
    @faju4real800 4 роки тому +1

    Allah tupe uwezo na iman yakutoa misaada kwa ajili yko

  • @aishasalim7516
    @aishasalim7516 Рік тому

    Allah awabariki

  • @faju4real800
    @faju4real800 4 роки тому

    Allahuakbar kuna watu wapo chini sana kimaisha wanahitaj misaada kwakwl Allah tupe wepes

  • @user-es9qs9vs8y
    @user-es9qs9vs8y 4 роки тому +1

    Baarakallah fiyk

  • @fatummsagat5177
    @fatummsagat5177 4 роки тому +1

    Subhannallah! Allah amijaze kheri inshaalla,

  • @salmaallysaid1187
    @salmaallysaid1187 4 роки тому +3

    Wallah Allah ndo anajua jinsi nnavoumia nawaza kama wanapata swadaka kwa ramadhan jee sku za kawaida wanaish vipi wawakilishi Madiwan wabunge wako wapi ?? Allah atawahukumu kwa kila chozi la mnyonge

    • @nurualamoody4305
      @nurualamoody4305 4 роки тому +1

      Uongozi ni dhima kubwa Sana Kwa huu umasikini wa hawa wazee hakuna kiongozi kuona pepo

  • @salmasalim6055
    @salmasalim6055 4 роки тому +8

    😭😭😭😭🤲Alhamdullilah

  • @georgegichinga81
    @georgegichinga81 4 роки тому

    Mungu akubari sana ndugu yangu

  • @malikhabibali4651
    @malikhabibali4651 3 роки тому

    Alhamdulillah

  • @fammamourchy2164
    @fammamourchy2164 2 роки тому

    Allah awazidishie kheri wana alfatah
    😭😭😭😭
    Subha Allah

  • @jasminjuma6390
    @jasminjuma6390 3 роки тому +1

    Subhanallah

  • @Miynuh_01
    @Miynuh_01 4 роки тому +1

    Alhamdulillah alla kul neemah
    Yaa Allah sahal yaa rabb

  • @malikhabibali4651
    @malikhabibali4651 3 роки тому

    Amiin

  • @kharithbinmasoud9429
    @kharithbinmasoud9429 4 роки тому +2

    IshaAllah mwenyezmungu atulipe heri kwa sote

    • @sulemohd4812
      @sulemohd4812 3 роки тому

      Wallah inaliza ukitowa unakuwa unafuraha

  • @rukiamohammed5031
    @rukiamohammed5031 4 роки тому +1

    Mtangazaji walia cc tufanye nn 😭😭😭wallh machoz yamenitoka kwa mm nasema Familiya yangu Ina shida kumbe Kuna watu wanashida kuliko Familiya yangu wallh 😭😭😭Daah ht cjui niseme nn kwa kweli ila mungu ndio anajua 😭😭

  • @iddijumaali7192
    @iddijumaali7192 Рік тому

    MASHALLAH

  • @yussufamani3437
    @yussufamani3437 4 роки тому

    yallah walipe kheir na Baraka zaid kutowa sadaka zao katika njema iliyo nzuri

  • @omanseeb8609
    @omanseeb8609 4 роки тому +1

    Mashaaallh

  • @kautharmbarak8667
    @kautharmbarak8667 3 роки тому

    Alfatah Allah awaajaalie kila kher wallahi inaumiza hasa sisi tunachopata tusemeni Alhamdulillah wazee wetu wanapata tabu .

  • @zekhachimanga4484
    @zekhachimanga4484 4 роки тому +1

    Wallah mung akulipeni kheri kwa mnachokifanya awape moyo na wengne wa kuwasaidia inaskitisha sana

  • @aishasaid5702
    @aishasaid5702 4 роки тому +1

    Allah atawalipa ujira mwema in shaa Allah

  • @yussufamani3437
    @yussufamani3437 4 роки тому

    yaallah wape imani iliyonzuri wenye kutowa katika njia ya allah ili kuingia ktika firdaus ya allah

  • @omarramadhani767
    @omarramadhani767 4 роки тому

    Dah noma

  • @zeejaff2948
    @zeejaff2948 4 роки тому +1

    Subhanallah... Ya Allah

  • @hamadimussa2119
    @hamadimussa2119 2 роки тому

    Allaahulmus'taan,Alllaaah akulipeni kher, Ila viongozi wamche Allaah

  • @nimoomar4751
    @nimoomar4751 3 роки тому +1

    May Allah reward you brother

  • @khadijaallyissa5340
    @khadijaallyissa5340 4 роки тому

    ALLAH AKBAR

  • @alikurran150
    @alikurran150 2 роки тому

    Allah akbar

  • @fatimaalhabsii1728
    @fatimaalhabsii1728 Рік тому

    Allah atuwekee wepesi wake

  • @samiasalim8322
    @samiasalim8322 4 роки тому

    Jamani hawa jamani mpaka njia muwatengeze ndio.kuwe rahisi watu kuja fabzeni bidi njia barabara itengezwe ndio watu rahisi kuwafikia na misaada zao mungu awaonekanie yarabb

  • @wuwubdywiwiwisu6499
    @wuwubdywiwiwisu6499 3 роки тому

    Mungu awalip pepo

  • @mtendasaid5222
    @mtendasaid5222 4 роки тому +2

    Alhamdulillah. ...yarabi atupe wepesi sisi sote nshaaAllah. .katika maisha yetu. .

  • @salem9874
    @salem9874 4 роки тому

    Allah akupe zaidi na zaidi shekh kiukwwli Unajitahidi sana

  • @badrumbarouk3377
    @badrumbarouk3377 4 роки тому

    Allah akuzidishien iman ya kutoa na cc pia roho zetu zenye kutu azisafishe tuwe na moyo wa kua insha Allah kuto ni moyo wala sio utajir wabilah taufq

  • @user-qz2yd5wm2m
    @user-qz2yd5wm2m 4 роки тому

    Allah akuzidishieni inshaallah .yarabi tustrii duniani na akhera ameen.

  • @khalfanmbarouk112
    @khalfanmbarouk112 4 роки тому

    Mashaallah allah awalipe kila lakher mana allah ndio mlipa wa yote allah awalipe ujira mwema amin waallah inauma sana mimi kama kijana allah atujalie rizki halal tuje kujumuika nanyi kwa kile tulicho kipata kwa uwezo wa allah

  • @abdiganimohamed6692
    @abdiganimohamed6692 3 роки тому

    In shaa Allah al-fatah tv keep on

  • @mselemhaji1969
    @mselemhaji1969 4 роки тому

    Allah huakbar Mungu awapeheri mzidi kutoa

  • @saidfadhil6491
    @saidfadhil6491 4 роки тому +1

    Allah akupen zaid

  • @hcgghfgg6679
    @hcgghfgg6679 4 роки тому +1

    في ميزان حسناتك أخي كل هذا العمل عند الله غير غافل عنه
    يرحم الله موتاكم و يشفي مرضاكم وبارك الله فيك
    لنا زيارة أن شاء الله
    والله انك ابكيتا بما شاهدناه فنحن في عمان نشعر بكم ونسأل الله ان يسهل لنا المجئ ثانية لزنجبار عامة و بيمبا خاصة .

  • @bintsalimalbimany5340
    @bintsalimalbimany5340 4 роки тому

    Shekh Rashid wewe mola kashakuona jitihada zako wewe nimtumish waumma sisi 😢😢😢😢ndo wakulia zaidi😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @alimohamedhatub7947
    @alimohamedhatub7947 2 роки тому

    Maasha Allah..... mngu akumaarikini...insha Allah