HIZI NI DAKIKA 8 ZA MANJONZI KWA KILA MWENYE IMANII
Вставка
- Опубліковано 5 кві 2023
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Mashallah Alfatah Mungu Awajazie pale palipokuwa na Pungufu
Subhanallah! Allah awafanyie wepesi
Mashaallah alifataa allah awajaalie maisha marefu
Subhanallah
Kiukweli tatizo Hilo ninatibika maalim hata baba yangu mzazi alitibiwa mkoa wa pwani na kapoa alhamdulilah dah!mtihani yanatuliza sana hayo mambo
Mtihani mkubwa huo masikini kuwa masikini mupo wapi zanzibar tukipata kitu tuwatumie mtihani nitawambia warabu wangu oman kama watakubali watotowa ishaalah rais hawezi kuwapa chochote ni mtihani hii mungu atawasaidia ishaalah
Asiwape kitu rais basi hata huduma ya afya kuiweka vizur mtu akiumwa awe na amani ya moyo kuwa napata matibabu lkn mpk matibabu watu waombewe misaada jamani hee mtihani mkubwa huu mana baada ya kusaidia mengine usaidie matibabu tutasikia kuna maendeleo uchumi wa blue mtihani mkubwa huu zanzibar
@@nailamohd7693ah kwa kweli mtihani tu huko kwetu hakuna chochote kinafanywa na serekali ambachi kinawafaidisha wanannchi
@@shamsahaji6202 wallahy mtihani nchi nzima inanuka njaa na umaskini nani atamsaidia mwenziwe hayupo na watu bado wanatoa misaada lkn maskini ni wengi hakitoshi mbali na umaskini kuna michango ya wagonjwa sasa hapo sasa basi hata afya serikali kuweka mazingira mazuri aibu kubwa ah Allah anarehma zake.
Mashallah Allah azidi kuwapa nguvu alfatah ili muweze kusaidia watu wasio jiweza😭😭😭inasikitisha kwa kweli Kuna hizi Hali.
Wallah kwakila aliejaaliwa mali n akazibania sikuya qiyama anamengi yakujibu. Inasikitisha sana
Allah akulipe maalim mambo unayo yafanya ni makubwa sana
Pamoja na waislam wote lakini wenye mamlaka wayaone haya,,niaminivyo mimi hayapiti bure haya lazima watakwenda ulizwa siku ya kiama,,,wao wamejimilikisha neema kubwa kubwa wao na jamaa zao ,,lakini umma uliochini yao unateketea kama hivi,,wamejifungia maofisini na viyoyozi wakizungukwa na wafanyakazi na walinzi wengi wa kila aina ,,
Kamwe hawazukuru kutafuta shida za watu kama hivi,,basi ndio yapite tu hivi hivi ,,imani yangu inaniambia pasingelikua na mantiki ya kuishi,,kama mmoja iwe haki yake kuneemeka,,na mwengine iwe ni haki yake kudhulumika,,hapana lazim Allah atayahukumu kiamani inshaallah
Subbuhanallah 😓
Allah atafanya wepesi inshallah 😥
SubhanaAllah
Asalam alekum nnimeguswa sana aowatoto yati maombakujua.nikijiji Gani naombanijue
Allah Akbar
Maalim Allah akuzidishie
Subhaanallah
Subhallah allah awape wepes ila je ni sehem gani hii ndg mtangazaji inafaa uwe unatuambia sehem
Sheikh Rashid salim Allah akulipe
Mashaallah mashaallah
Subhanallah!!!!
Sisi tunaona juhudi yako Ila ndugu yako Bado Niko kwenye masomo nahitaji kusaida lakini nashindwa kutoka na mazingira
Allah awafunike kwenye mikono yake
subhana Allan
Husna Ali said.kutoka Oman imenigusa sana naomba nambazao
Asalaam aleiykum sehem Gani huko jamani
Subhanalha naomba namba zao hili niweze kuwasaidia
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Maskni
Mbona amtuonyeshi nyumba aliyo jengea
Mbona hamjaacha namba z cm japo za ndugu wa huyo mzee.?
🥺🥺
Watu wako kutukananana kuhusu barzanji..wengne wako kutafuta maskini wawasaidie....pepo wataiona watukanananao?
alfatha mnapokwend sehem tunapend kujuw ni wapi piya ni sehem gani
Hawataki wenyewe wanafanya siri 😮
@@nailamohd7693 siku nyengine wanapitikiwa tu , kwn video ngp wanazitaja sehemu
Gamba
Duuh
Ni katika kijijini gani hicho kipo wapi
Gamba mkoa wa kaskazini A
Subhanallah
SubhanaAllah