SULEMAN MAZINGE AKIMFUNZA MURTAD ALI.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 гру 2018
  • TANA RIVER COUNTY DAAWAH PROGRAM.

КОМЕНТАРІ • 586

  • @husseinmwenja4398
    @husseinmwenja4398 5 років тому +27

    MASHALLAH ALLAH AFANYE WEPESI popote penye uzito kwenye kazi hii adhwiiim.....amiin

  • @mamuwashev4772
    @mamuwashev4772 5 років тому +7

    Nilijikuta nasema rahaaaa kwanguvu pare alipouluza laha sio lahaaa wallah najivunia kua mwisilam

  • @assfzainab912
    @assfzainab912 2 роки тому +1

    Wanadamu wengine wamepotea et mungu anamtoto pole sana mungu akuongoze INSHAALLAH

  • @waridiwaridi7147
    @waridiwaridi7147 5 років тому +6

    Masha allah
    Allah waongoze sana mana kazi mnayo ifanya si ndogo kuwaelimisha ao mpaka kuelewa si kazi ndogo

  • @faizabaishe5172
    @faizabaishe5172 5 років тому +16

    Alhamdulilah, mungu awaongeze watu katika njia ilo nyoka shukran sana mazinge

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 5 років тому +54

    Alhamdulillah Nashukuru Allah kwakuzaliwa Muislm, nipo kwenye dini ya haqak

    • @sidisaid4833
      @sidisaid4833 5 років тому +3

      Dini ya haki mbele mwenyezi mungu ni uislam si ukresto na si dinii

    • @mapendomrosso2270
      @mapendomrosso2270 5 років тому

      Abdallah Kambangwa >laiti ungejua yale yaletanyo aman ungekuwa huru kama Mungu alimfukuza Luzifa na malaika wenzake wakawa pepo wabaya ninyi mnawaamini kuwa ni wazuri hongereni ndioaana mtume wenu hajui litakalo mpata kwenye kiyama hajui atajinjwa au atakarangwa je? wewe unae jisifia ndini ambayo haina matendo vip hukumu anaetoa ni Mungu peke yake wewe watoa wapi mamlaka ya kumlaani shetani na siyo tu shetan hata wanadamu wenzio unawaita makafiri je? wajijua wewe uko wapi na jee?kesho yako itakuaje? pia mnajisifia eti alie arabuni ni muhamadi kweli kusoma hamjui hata picha hamuon neno "arabuni " maana yake ni "mdhamini" na huyu mdhamini ni Roho mtakatifu ambae ninyi hamuwezi kumpokea maana haonekani

    • @meshakikigumbi4459
      @meshakikigumbi4459 5 років тому

      Abdallah Kambangwa mpumbavu ni mpumbavu tu.

    • @rashidkalimbo2451
      @rashidkalimbo2451 5 років тому

      MashaAllah..

    • @gerkombo6512
      @gerkombo6512 4 роки тому

      @@sidisaid4833 we ndo fala kweli

  • @rilkabuya6519
    @rilkabuya6519 4 роки тому +1

    Subuhanallah mashaallah tabarak kweli kabisa shekh wangu u islamu ni dini ya haki

  • @rizone8298
    @rizone8298 2 роки тому +1

    Mashallah Allah akuzidishie kwa kazi unayoifanya

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 4 роки тому +1

    Maa Shaa Allah, Allah awabariki Ma Sheikh Wetu, Alhamdulillah.Wanaelewa Hawa ila Ushindani tuu.

  • @mohamedfauz2369
    @mohamedfauz2369 5 років тому +5

    Allah akuzidishiye sheikh Sulaymaniyah mazinge

  • @gacalibnuabdiabdi5776
    @gacalibnuabdiabdi5776 4 роки тому +2

    Sheikh Suleiman mazenge we love you our sheikh

  • @daudimmary3965
    @daudimmary3965 4 роки тому +1

    Allah ilinde dini yako, hakuna wa kuivunja hali ya kuwa watakao taka ivunja ni wanadamu ulowaumba mwenyewe, yaarabu nashkuru kuniumba nikiwa ndani ya dini ya kiislam na unifishe ndani ya dini hii iliyo ya khaki.

  • @najmaalzaabi8385
    @najmaalzaabi8385 5 років тому +19

    alhamdulinllahi kuwa mm ni muslim kwakweli wenzetu mmepotea mnajiaibisha tu

    • @mudkhamis3078
      @mudkhamis3078 4 роки тому +2

      Hongera sna najma kwa kushkuru kwahilo, hakuna dini ya kweli ispokuwa ni uislam pekee

    • @danielmsafiri8635
      @danielmsafiri8635 4 роки тому

      Unajiabixha ww

  • @mgazaathumani3446
    @mgazaathumani3446 4 роки тому +4

    Eeeh mola wetu ALLAH mtukufu muumba wa vitu vyote vilivyopo duniani tunavyovijua na tusivyovijua hakika viumbe wako si wakamilifu tunaomba utusameh madhambi yetu

  • @munamuhammad211
    @munamuhammad211 5 років тому +13

    Ma Shaa Allah masheik wetu,Allah awalipe fil duniya wal akhera In Shaa Allah.Leo nimekua wakwanza kucommet na wapili kuview

  • @ibrahimiddi3134
    @ibrahimiddi3134 3 роки тому

    Nashkur mungu kunijaalia kuw muislam maana mtihan upo kw wakiristo alaf n wakaid sn ila tuwaombee duwa ipo cku mungu atawajaalia wataslim

  • @fatumasumish5752
    @fatumasumish5752 5 років тому +36

    MashaAllah Mungu awazidishie elimu yenu

    • @kenyadawahtv90
      @kenyadawahtv90  5 років тому +1

      Allahuma Amin

    • @bongo3006
      @bongo3006 5 років тому

      Jinga ww

    • @alawibakari7852
      @alawibakari7852 5 років тому

      Fatuma Sumish
      mungu hana mtoto wala mungu haja zaaa wala haja zaliwa wala hafa nani na chochote kile iweje leo hii wa maskofu mna waongopea watu wenu mna wambia yesu nimwana wa mungu

  • @absameosman9113
    @absameosman9113 4 роки тому

    Manshallah sheikh wangu Suleiman mazinge.... Am abig fan of you..... Hapo uliweza n kumwambia almayo ukwli

  • @fahadjuma5150
    @fahadjuma5150 5 років тому +11

    Jazakallahu Kheyr Sheikh Suleimani Mazinge

  • @frankmpembu2505
    @frankmpembu2505 2 роки тому

    YESU NI MWANA WA MUNGU ABADANI. Makafiri ni nyinyi Waislamu, mmekuja kuwapinga Mungu wa kweli YEHOVA na Manabii wake watakatifu,,, Manabii WOOOTE WANASEMA MUNGU ANA MWANA

  • @machanomachano2047
    @machanomachano2047 4 роки тому

    Asante sh mange hawajielewi hao uyo yesu nimuungu Mara mwanawamuungu ukweliwao hawause

  • @hamidurumanywa5023
    @hamidurumanywa5023 4 роки тому +1

    Allah awajalie mwisho mwema na mdumu ktk kaz yake aamina

  • @ismaeldaprince4797
    @ismaeldaprince4797 4 роки тому +3

    Alhamdhulillah kwa kua ktka dini ya hakhi Allah atujaalie tufe tukiwa waislam

  • @mohammedzyenhassan1401
    @mohammedzyenhassan1401 5 років тому +31

    Muovu hukimbia Mezani pasipo fuata na mtu bali sisi Waislamu ni wajasiri kama Simba ..May Allah bless all Ummah of Muhammad(p.b.h)

  • @mohammedzyenhassan1401
    @mohammedzyenhassan1401 5 років тому +17

    Allah akuzidishe Hekma sheikh Mazinge

  • @issakabwende5083
    @issakabwende5083 5 років тому +3

    Ukweli ni kwamba dini nyingine tofauti na uislam ni dini babaishi historia zake ukichimba ukweli ni maslahi ya watu uislamu raha bana ni universal na uko uniform kila pahala watu waswali wakitamka na kusoma aya zile zile historia yake ni Allah mwenyew uliza about kristo utapata ushahid wake maskini wamepotosha adi utume wa issa aleiykh salaam afu wanakaririshwa hawajitambui mpk papa kiongoz wao anawakana na kusujudu ila hawaelewi yan

  • @wondersmotivation5543
    @wondersmotivation5543 5 років тому +2

    As salaam aleykum,,,,Allah awape ufafanuzi kwa kila watakalo,,,washushiye ujasiri kwa lolote watendalo,,,In shaa Allah,,,

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du 4 роки тому

    Wamejichanganya kisawa sawa ndugu zetu. Mimi huwa sijui wanamuomba mungu au yesu? Haina mantik naona. Mungu awaongoe.

  • @missfa4650
    @missfa4650 5 років тому +11

    mashallah sheikh wetuu miss u..Allah akbat

  • @mohdeddy123
    @mohdeddy123 5 років тому +13

    Hiiii jamani hawa wakristo ndo tuseme hawajuwi kama ni mungu mmoja au hawanaadabu wataadhibiwa kesho akhera wache tu

    • @minaminaa1669
      @minaminaa1669 5 років тому +1

      wadanganywa kanisani

    • @mapendomrosso2270
      @mapendomrosso2270 5 років тому

      Mohd Eddy > ukweli ni Kwamba Mungu ni Mmoja nae ni Roho asiyeonekana tatizo ninyi wanadamu mnapenda kushabikia Nino la Mungu kanakwamba mpo kwenye mechi ya zimba na yanga badala mwelimishane kwa upole na unyenyekevu ninyi waislamu mnajifanya mnajua sana na hakuna mnacho kijua kumkana Yesu ambae manabii walitabiri habari zake leo mnajifanya mnawaamini manabii na mitume wote hali walitabiri habari zake Yesu aliye fanyika dhambi kwa ajili ya Ulimwengu wote leo mnamwona zii kitu sijui kama tangia umezaliwa ulisha chinja mnyama yoyote kwa ajili ya dhambi zako kama inavyo agiza torati ya musa kama hujafanya hivyo unasubiri nn

    • @gerkombo6512
      @gerkombo6512 4 роки тому

      Muumin wa kweli wa mwenyezi Mungu lazima ale kitimoto kama huli wewe mdo haramu kumshinda hata nguruwe

    • @brigithadidas5128
      @brigithadidas5128 4 роки тому

      Kama upo na ROHO MTAKATIFU unaweza elewa otherwise msijisumbue kuelewa utatu huu maana HAMTAKAA MUELEWE MPAKA SIKU YA HUKUMU MTAKAPOKUTANA NAYE AKATI HUKU MNAMKANA

  • @yusuphumohammed5833
    @yusuphumohammed5833 5 років тому

    shekh mazinge Kauli nzuri tumia, ishaalar kwa daawa yako

  • @egetinginyemachoka2726
    @egetinginyemachoka2726 4 роки тому +2

    Asante sana Mazinge niko nanyinyi.

  • @siwajibufarida3428
    @siwajibufarida3428 5 років тому +53

    Mbona raha kuwa mwisilamu jamani kila kitu sawa

    • @kenyadawahtv90
      @kenyadawahtv90  5 років тому +6

      ni neema kubwa sana kuwa muislam

    • @mapendomrosso2270
      @mapendomrosso2270 5 років тому

      Siwajibu Farida .ndio ujue watu wanapotea kwa kukosa maarifa kila kitu wanashabikia hawaeleweki wako upande gani kwe shetani amewakalia kila kona ndio mana wakiwa wanaswali wana angalia kulia kushoto maana kuna majamaa yako pembeni yana waongoza

    • @josephosborne3818
      @josephosborne3818 5 років тому

      Kuna Raha gani,,mbona wako waislamu tupu??wangemkaribisha na mchungaji Daniel Mwankemwa anayewaelimishaga

    • @mudkhamis3078
      @mudkhamis3078 4 роки тому +2

      Hapo hata aje mchungaji gani basi uislam utabaki kuwa ndodini yakweli tu

  • @yahayazedy9779
    @yahayazedy9779 4 роки тому +1

    Manshaallah Allah awalipe kwakazi kubwa mnayo fanya

  • @Amakurutv764
    @Amakurutv764 2 роки тому

    Jazak'Allahu Khayran Ndugu yangu

  • @mgunduzimedia364
    @mgunduzimedia364 5 років тому +2

    Ivi maana ya mabishano haya ni nini maana awa ni watu wa dini alafu nashangaa wanabishania dini
    Hamjui dini sio kwajili ya kukosoa nikufundisha na kuelimisha

  • @frankjohn8570
    @frankjohn8570 5 років тому +1

    hawa jamaa wapotoshaji wanatumia ujanja kama nyoka,waanabadilisha maneno kiujanjaujanja wanasoma sawa wanaeleza tofauti kidoga kama nyoka wa edeni alivyomdanganya Adam ,lkn tatizo ni kutokumjua MUNGU muumbaji kwamba anaweza yote hakuna jambo gumu LA kumshinda MUNGU, bora kumjua Mungu wa Lugha zote kuliko kuamini mungu wa lugha moja

  • @cosmasmasawe9875
    @cosmasmasawe9875 5 років тому +7

    Upotoehaji huuu waislamu

    • @godisgreat1845
      @godisgreat1845 4 роки тому

      Wakristo hamuoni aibu wachungaji wanashindwa kutetea Imani yenu

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du 4 роки тому

    Waislamu tumshukuru mungu katupa hidaya tumekuwa waislam. Tuwaombee wengine nao waione dini ya haki.

  • @amashamnemwa3484
    @amashamnemwa3484 5 років тому +7

    Maashallah

  • @fatumarashid8001
    @fatumarashid8001 5 років тому +8

    MUNGU AWASAMEHE KWA KUPOTEZA WATU WA MUNGU MAZIGE NA WEZAKO ASIRA YA MUNGU HITAWAKA JUU YENU NDIPO MTAKAPO JUWA KWELI YA MUNGU ....

  • @mohammedzyenhassan1401
    @mohammedzyenhassan1401 5 років тому +8

    Uislamu Neema

  • @hashimmhashim2663
    @hashimmhashim2663 5 років тому +15

    ماشاء الله!

  • @paixpong7426
    @paixpong7426 4 роки тому +1

    Pastor mazinge Umetoa neno lenye Moto ndani yake. Pia wokovu ni neema kwahio usipate tabu watakao sikia watakombolewa

  • @nurudinamchome6852
    @nurudinamchome6852 5 років тому +1

    Maashaallah Allah wajaze kheir wahadhir wetu Aaamin

  • @mahdiyusuf3431
    @mahdiyusuf3431 2 роки тому +2

    Mansha Allah

  • @nooordubem2802
    @nooordubem2802 5 років тому +2

    Ali Murtad ni mlevi maana analotamka haieleweki,kweli njaa ndio inawapeleka kanisani

  • @zamzamahmed5718
    @zamzamahmed5718 4 роки тому +1

    Hahahaha mashaallah sheikh mazinge nakupenda sana ndugu yangu

    • @kimsi682
      @kimsi682 Рік тому

      Ushawahi fanya kazi kwa Mall of America?

  • @mathiasmpundukwa5473
    @mathiasmpundukwa5473 4 роки тому

    Dah YESU wetu ni mzur sana nawapenda waislamu kwa kua siku moja watamkiri YESU Kristo kuwa ni Bwana na mwokozi wa maisha yao na kubatizwa kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu sema Amen

  • @PastorZakariaTzTV
    @PastorZakariaTzTV 4 роки тому +1

    Hamna mkristo hapo ni kamchezo kama ni mkristo hajafundishwa vizuri sisi hatukaagi kwenye mashindano ya dini.

    • @eliyahaule6801
      @eliyahaule6801 3 роки тому

      Usiludie usemiwako nilazima kushindania injili

  • @hashimmhashim2663
    @hashimmhashim2663 5 років тому +14

    جزاكم الله خير

  • @mucomwizaruqaiyah4064
    @mucomwizaruqaiyah4064 5 років тому +6

    Mazinge wew kipoko 👌👌

  • @shishshikoh4979
    @shishshikoh4979 4 роки тому

    Kila mtu ni kiumbe Cha Mungu lakini wanaosikia neno na kutii amri za Mungu ndio wana wake.....na Yesu ni mwana wa Mungu...

  • @munezeroamida2102
    @munezeroamida2102 5 років тому +6

    ManshaAllah😍

  • @mpondamedia2416
    @mpondamedia2416 5 років тому +6

    Jazaakumu llahu khayra

  • @libentchristopher9448
    @libentchristopher9448 5 років тому +6

    Ahaaaaaaa,,,mazinge

  • @brightonwashira5420
    @brightonwashira5420 5 років тому +17

    Uslaam raha

  • @mashakamalimi7363
    @mashakamalimi7363 4 роки тому +5

    Hivi mnafikiri Bible inafsiriwa kwa namna hiyo 🙄🙄🙄 Mungu anawaona na UJINGA wenu..

    • @HusseinMaarufu-zf1kc
      @HusseinMaarufu-zf1kc 10 місяців тому

      Fasili ww basi

    • @aliroro9344
      @aliroro9344 4 місяці тому

      Wewe kwnza iyoo Bibiliaa alipewa Mtume ganii ndio tujue nkitabu cha Mungu 😁

  • @mbidadaud1256
    @mbidadaud1256 4 роки тому

    Waislam Leo mnamkubali Paulo neno arabuni halijatumika kama nchi ina maana ya rehani,amana hiyo aya igeuze kwa kiingereza sehemu arabuni utaona imeandikwa Guarantee

  • @amourjamal7292
    @amourjamal7292 4 роки тому +1

    Waislaamu Amna chochote kabsa Nimeamini.!

  • @bigmapesa1449
    @bigmapesa1449 5 років тому +4

    Kwanza kuzaliwa mwislamu raha mangine yanafata mashallah

  • @abubakarmpole4000
    @abubakarmpole4000 5 років тому +1

    Hhhhhhhh absolutely true, wanaenda tu kwa sabbu ya pesa.

  • @martinmkoba361
    @martinmkoba361 5 років тому +2

    Waisilamu mmebaki kushangiliwa tu,ukisikiliza mada waisilamu mnashindwa kazi kutukana

  • @ukhtysakinaa7664
    @ukhtysakinaa7664 5 років тому +6

    Masha Allah, hongereni masheikh kwa kazi nzuri mnayoifanya , Allah awajaalie mwisho mwema yaa Rabbi

    • @neelamrassul4224
      @neelamrassul4224 5 років тому +1

      Allah hakujalie mwisho mwema ustadhi mazinge

    • @mapendomrosso2270
      @mapendomrosso2270 5 років тому

      ukhty sakina

    • @ukhtysakinaa7664
      @ukhtysakinaa7664 5 років тому +3

      @@mapendomrosso2270 uso haya n wewe mpotevu unojipotosha

    • @mapendomrosso2270
      @mapendomrosso2270 5 років тому

      ukhty sakina @ asante kwa kujiona unajua kumbe unaungua na jua tatizo elimu ya dunia ni tofauti na elimu itokayo kwa Mungu .yiyi hata jina la Mungu hamlijui mmebaki uitia cheo tu ukubalini wokovu utokanao na injili acheni kungangania dini tena mnasema eti uislamu ndiyo dini sijui hata kama mnajua maana ya uislam kama mngejua mgekua vielelezo vya kuwahubiria watu injili ya wokovu aliyoiitia Mungu ili watu muache mambo ya dunia mumfwate yeye aliyewaumba na kuacha kujisifia kansu na vibarakashee ambavyo nje mnaonekana wasafi lakini moyoni ni wachafu wenye kumtukana Mungu na weye majivuno iweni wapole kama huwa na wanyenyekevu kama lilivyo jina la wislamu mmejaa matuzi weye kuhukumu kana kwamba ninyi hamjawahi kukosea kiongozi wenu hajawahi kurudi akawaambia kwamba mpo sahii sisi tunao mwamini Mungu kwa njia ya imani katika jina la Bwana Yesu tunauhakia na ujaziri wa kujivunia jina la Bwana maana yeye ndiye yule jana leo na hata milele alisema na adamu kwa neno alisema na Musa kwa neno na manabii wote mwisho akajidhihirisha kwa mwili aliouumba ndani ya tumbo la bikira mariamu ili kwa huo mwili ufanyike sadaka ya kulipa madeni ya watu wote katika dunia wale watakaoiamini injili na kuliamini jina la Bwana kisha kajitoa nafzi yake ili Damu yake iwe dhabihu safi mbele za Mungu / ukweli kimwili alikua mwanadamu asilimia mia ila Roho alikua Mungu na dio maana alisema sisemi mimi bali Baba ndie anasema ndani yangu tatizo watu masikio magumu na mioyo ni migumu laiti mngejua kusoma mngeelewa lakin kusoma hamjui mpaka msomewe na wasio na uelewa tangu lini kipofu akamwongoza kipofu mwenzake ? mmebaki kubishana na kuongea hata mzicho kielewa mnashangilia sijui huwa mnaitwa mzikitini mnaambiwa kesho tutakuwa na mkutano mjitokeze kutushangilia kana kwamba mpo kwenye mechi ya simba na nyanga badilikeni na mwombeni mungu awafungue macho na masikio na mioyo yenu maana Nabii isaya anasema watu hawa wamefungwa macho yao yanatazama hayaoni masikio yanasikia hawaelewi na mioyo ni migumu hawaamini .

    • @ukhtysakinaa7664
      @ukhtysakinaa7664 5 років тому +2

      @@mapendomrosso2270 yani cna mda wa kusuma hii comment yako na cna mda wa kubishana nawe so fata dini yako niache kwenye dini yangu tusibabaishaneee

  • @Hoodoayaan2000
    @Hoodoayaan2000 4 роки тому +3

    Mashalaah

  • @frankmpembu2505
    @frankmpembu2505 2 роки тому

    Ile Sauti iliyotoka mawinguni niya Mungu Baba mwenyewe akisema Yesu ni mwanawe,,
    Luka 3:21-22
    21 Ikawa, watu wote walipokwisha kubatizwa, na Yesu naye amebatizwa, naye anaomba, mbingu zilifunuka;
    22 Roho Mtakatifu akashuka juu yake kwa mfano wa kiwiliwili, kama hua; sauti ikatoka mbinguni, Wewe ndiwe Mwanangu, mpendwa wangu; nimependezwa nawe.

  • @martinouma8163
    @martinouma8163 4 роки тому

    inasikitisha xna kuona mkristo anamwacha yesu aliye Mungu wa kweli na uzima wa milele na kwenda kusilimu , mimi nina swali moja na ambayo imewashinda waisilamu wote kujibu, the question is just simple if Allah is the god that people must worship, please give provide me with a verse from Quran that says Allah is the true God and eternal life?? I can change my faith and become a Muslim at any time

  • @ahdahmed8383
    @ahdahmed8383 4 роки тому +2

    Maashaallah

  • @mgazaathumani3446
    @mgazaathumani3446 4 роки тому

    Maana watu wanapotosha watu kuwa Kuna dini nyngn Zaid ya uislam..... tunaomba utusameh mola wetu ALLAH mtukufu

  • @nsabimanahussein6054
    @nsabimanahussein6054 5 років тому +3

    kuwa mwisilamu nilahasana namushukulu mungu kuona mm nimwisilamu asantii mungu

  • @hafidhkolela3263
    @hafidhkolela3263 5 років тому +1

    tatizo munatumia ubabe tambueni mungu no mumoja hakuna lolote

  • @gabrielpott3325
    @gabrielpott3325 4 роки тому

    Yan nyny niwapumbavu saana unaacha kutangaza imani zakweli mnabishana2 upuuz mambo yadini hayana maana yoyote acheni ushindani wakidini wapuuz mhubilin MUNGU alie hi nasyo majengo yamakanisa nimisikiti pmbavu nyny

  • @mohamedsalat1066
    @mohamedsalat1066 4 роки тому

    Mashaallah Mara yangu ya mwisho kumwona suleman mazinge ilikua 2003 jamani yuko wapi siku hizi

  • @pubghackermatch9011
    @pubghackermatch9011 5 років тому +3

    Nashukuru MUNGU kwa kuniumba mkristo na kunipa upeo wa kuweza kusoma na kueelewa maneno yako pasipo kubabaika,, naamini YESU ni mwanao na umenena kwa kinywa chako japokuwa shetani anainua watu na kutaka kupotosha wenzao....
    Mazinge kaka yangu labda nikuelekeze unapoisoma biblia usisome kama unasoma gazeti na hii nasema na waislam wote. Biblia sio gazeti kuisoma kwake kunatakiwa utulivu wa akili kwa hali ya juu ni hilo tu

  • @dottomarko6213
    @dottomarko6213 4 роки тому

    Sikia we mazinge unafanya ubishi2 na ndy mana yesu hakutongoza kwasababu kwanza hakuja dunian kwasababu ya mambo hayo ila kwasababu wewe una wauliza vipofu bac we tamba baba ila unajipoteza mwenyewe na wengine wenye elimu kama yako

  • @makeleledegreat5510
    @makeleledegreat5510 4 роки тому

    Mazinga ww unaonyesha kumbe kutojua kusoma ni shida quote ‘yesu kristo uliye mtuma’ weka sentensi iyo katika nyakati ni wakati uliopita na ni yesu mwenyewe alikua amekamilisha kazi yake enda ukadanganye Waislamu ambao unawaambia Merikani inawaua huku huwaambii kile ambacho Alishabab,Isis na Alkaida inafanya wacha kua Chui umevalia ngozi ya kondoo na ujue yesu ni mwana wa Mungu na ni Mungu mwana na usipo omba kupitia yeye Jehanam inakungoja soma yohana moja 1 yote # danganya waislamu wapotevu

  • @idrissajumakona5871
    @idrissajumakona5871 5 років тому +3

    ماشاءاللہ

  • @mohammedbemunda878
    @mohammedbemunda878 5 років тому +5

    Mazinge kasilimu mwaka wa 2000 na kafanya mengi ya kumridhisha Allah je mm na wewe tumefanya nn kwa dini ya Allah

  • @mchricharderickmtoni438
    @mchricharderickmtoni438 5 років тому +7

    mazinge na hao wafuasi wake wote moto unawangojea nyinyi....

    • @bwegelanyakhaido3088
      @bwegelanyakhaido3088 5 років тому

      Richard Erick kwann unasema ivyo

    • @oliviakemuto1412
      @oliviakemuto1412 5 років тому +1

      Hawa waislamu wanajisifu kwamba wao ndo wamjua Mungu kwani nani kawambia,sisi wote tuasubiri Mungu mwenyewe atuhukumu

    • @mchricharderickmtoni438
      @mchricharderickmtoni438 5 років тому

      Kwasababu anapotosha watu.....

    • @eastafrica6858
      @eastafrica6858 3 роки тому

      Ww utaingia motoni kufata wazungu wako kuabudu binadam hata cc wailam tunaujua yesu ni na bii hata kat guruani yupo na mmungu ni huyohuyo mmoja ukiwa ukiwa hufatilizii utaona hawajui dini kumbe ww umepoteaaaa maskini mazinge kashtukaa kaona ataingizwa motoni mmungu kampenda ww endelea kuabudu mipicha ya yesu wa kizungu mcheza filamu

    • @eastafrica6858
      @eastafrica6858 3 роки тому

      @@oliviakemuto1412 mmungu ni mmoja angekua mwingine tusinge ona ktk quruani yesu aliandikwa na mama yake ila wazungu ndio walibadili dini ya yesu kua sio wana isrzel walimpiga wakasulubu paulo akasema yesu mungu yy yesu hajasema yy mungu aliomba msada bada ya kusulubiwa na katahiriwa hv mungu anatahiriwa huo ni kukufuru

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 2 роки тому

    Jadhaakallahu kher

  • @frankmpembu2505
    @frankmpembu2505 2 роки тому

    Hiyo Yohana 5:37-38 Yesu anawaambia mafarisayo, nani kweli hao mafarisayo hawajawahi kuisikia Sauti ya Baba yake walioisikia sauti ya Baba yake ni Wanafunzi wake
    Yohana 5:37
    37 Naye Baba aliyenipeleka amenishuhudia. Sauti yake hamkuisikia wakati wo wote, wala sura yake hamkuiona.
    38 Wala neno lake hamnalo likikaa ndani yenu, kwa kuwa ninyi hammwamini yule aliyetumwa na yeye.

  • @abrahamwafula2586
    @abrahamwafula2586 5 років тому +3

    ni dhambi sana

  • @dottomarko6213
    @dottomarko6213 4 роки тому +1

    Asa unahisi kuwa tunamwomba mungu kwaajili ya pesa pole we baba ila biblia inatuambia tusishindane na walio waovu ko wew unajilisha upepo mwenyewe au nyie wote mnataka sadaka za hao walio kusanyika hap kwa ushabiki tu

    • @eastafrica6858
      @eastafrica6858 3 роки тому

      Makanisa ndio mnadanganywa kila kukicha wanajita manabii na mkwaya ili wachukue pesa zenu wenzenu wanakua matajiri ww unamfata yesu ysu wala hayuko na ww yesu ni muislam hajaingia kanisani wala hasali kama nyiyi nyiyi mmewafata wazungu wamewakea kuabudu mipicha za wazungu wenzenu wanafatilia dinii wanaelewa ww unajifanya unajua dini hebu nsmbie ww muizrael yesu yuko na mayahudi na mitume wale woote ni wako na udugu haya ww je na mitume wako nchi za uarabunii

  • @abdiosmail4653
    @abdiosmail4653 2 роки тому +1

    MashaAllah

  • @mohamedwario8368
    @mohamedwario8368 2 роки тому +1

    Masha Allah

  • @akanishabani5789
    @akanishabani5789 5 років тому +2

    Msitupe lulu kwenye nguruwe, wataikajaga tu.

  • @welsonlameckdodere4277
    @welsonlameckdodere4277 4 роки тому

    Mara nyingi magugu huisonga mbegu/mmea kwa kutumia rasrimali zote kama vile udongo,maji,hewa Na mwanga na kuidhofisha mbegu / mmea hadi kufa.Hii ndiyo hatari ya magugu!!!

  • @richadamsmovementstv9723
    @richadamsmovementstv9723 4 роки тому +3

    Mashaallah

  • @swalehkiuga167
    @swalehkiuga167 4 роки тому +1

    Jamani mvona wakristo wanavichwa vigumu ivi

  • @shabanalphonice5281
    @shabanalphonice5281 5 років тому +4

    Huyo Almayo kama muuza vishata

  • @fidamohammed5275
    @fidamohammed5275 5 років тому +2

    Mashaallaah

  • @hildababyabdullah5627
    @hildababyabdullah5627 5 років тому +2

    Mashaallahu

  • @abrahamwafula2586
    @abrahamwafula2586 5 років тому +2

    amen hio ni ukweli

  • @muddykhamisi9464
    @muddykhamisi9464 4 роки тому +1

    Wachafu kama bongo zinu wakristo

  • @samanthaali873
    @samanthaali873 5 років тому

    Allahu Akbr

  • @moodyhassany8928
    @moodyhassany8928 5 років тому +7

    Wakrsto ni matoi wanachezshna2

  • @wazaitunikajagwe4274
    @wazaitunikajagwe4274 5 років тому +2

    Uislam raha mno☝️☝️

  • @petermomanyi3335
    @petermomanyi3335 4 роки тому

    What i gather from all this is religion is separating all of us we all believe in a God thats what matters i have muslim friends we respect each other despite our different religions....i also school with muslims they are respectable people we are also respectable...sa hii matusi yoote ni ya nini??

  • @teachingtruthmissionafrica9998
    @teachingtruthmissionafrica9998 5 років тому +2

    Hamuijui biblia ..waislam mnaifanya biblia iseme mnachotaka

    • @eastafrica6858
      @eastafrica6858 3 роки тому

      Waulize walio badilisha mazunge biblia yote iko kichwani kwani yy alikua mkristo akaona kapotea maskini hajajua ila ,mungu kampenda kamfata huku isa wa ukweli sio yule wa picha manazo bandika madkini huu ni ukafir kumshirikisha mmungu

  • @fatumamroki2716
    @fatumamroki2716 3 роки тому

    Allah akuhifazin inshaAllah