Abdallah Kambangwa >laiti ungejua yale yaletanyo aman ungekuwa huru kama Mungu alimfukuza Luzifa na malaika wenzake wakawa pepo wabaya ninyi mnawaamini kuwa ni wazuri hongereni ndioaana mtume wenu hajui litakalo mpata kwenye kiyama hajui atajinjwa au atakarangwa je? wewe unae jisifia ndini ambayo haina matendo vip hukumu anaetoa ni Mungu peke yake wewe watoa wapi mamlaka ya kumlaani shetani na siyo tu shetan hata wanadamu wenzio unawaita makafiri je? wajijua wewe uko wapi na jee?kesho yako itakuaje? pia mnajisifia eti alie arabuni ni muhamadi kweli kusoma hamjui hata picha hamuon neno "arabuni " maana yake ni "mdhamini" na huyu mdhamini ni Roho mtakatifu ambae ninyi hamuwezi kumpokea maana haonekani
Allah ilinde dini yako, hakuna wa kuivunja hali ya kuwa watakao taka ivunja ni wanadamu ulowaumba mwenyewe, yaarabu nashkuru kuniumba nikiwa ndani ya dini ya kiislam na unifishe ndani ya dini hii iliyo ya khaki.
Eeeh mola wetu ALLAH mtukufu muumba wa vitu vyote vilivyopo duniani tunavyovijua na tusivyovijua hakika viumbe wako si wakamilifu tunaomba utusameh madhambi yetu
Fatuma Sumish mungu hana mtoto wala mungu haja zaaa wala haja zaliwa wala hafa nani na chochote kile iweje leo hii wa maskofu mna waongopea watu wenu mna wambia yesu nimwana wa mungu
YESU NI MWANA WA MUNGU ABADANI. Makafiri ni nyinyi Waislamu, mmekuja kuwapinga Mungu wa kweli YEHOVA na Manabii wake watakatifu,,, Manabii WOOOTE WANASEMA MUNGU ANA MWANA
Ukweli ni kwamba dini nyingine tofauti na uislam ni dini babaishi historia zake ukichimba ukweli ni maslahi ya watu uislamu raha bana ni universal na uko uniform kila pahala watu waswali wakitamka na kusoma aya zile zile historia yake ni Allah mwenyew uliza about kristo utapata ushahid wake maskini wamepotosha adi utume wa issa aleiykh salaam afu wanakaririshwa hawajitambui mpk papa kiongoz wao anawakana na kusujudu ila hawaelewi yan
Mohd Eddy > ukweli ni Kwamba Mungu ni Mmoja nae ni Roho asiyeonekana tatizo ninyi wanadamu mnapenda kushabikia Nino la Mungu kanakwamba mpo kwenye mechi ya zimba na yanga badala mwelimishane kwa upole na unyenyekevu ninyi waislamu mnajifanya mnajua sana na hakuna mnacho kijua kumkana Yesu ambae manabii walitabiri habari zake leo mnajifanya mnawaamini manabii na mitume wote hali walitabiri habari zake Yesu aliye fanyika dhambi kwa ajili ya Ulimwengu wote leo mnamwona zii kitu sijui kama tangia umezaliwa ulisha chinja mnyama yoyote kwa ajili ya dhambi zako kama inavyo agiza torati ya musa kama hujafanya hivyo unasubiri nn
Kama upo na ROHO MTAKATIFU unaweza elewa otherwise msijisumbue kuelewa utatu huu maana HAMTAKAA MUELEWE MPAKA SIKU YA HUKUMU MTAKAPOKUTANA NAYE AKATI HUKU MNAMKANA
Siwajibu Farida .ndio ujue watu wanapotea kwa kukosa maarifa kila kitu wanashabikia hawaeleweki wako upande gani kwe shetani amewakalia kila kona ndio mana wakiwa wanaswali wana angalia kulia kushoto maana kuna majamaa yako pembeni yana waongoza
Ivi maana ya mabishano haya ni nini maana awa ni watu wa dini alafu nashangaa wanabishania dini Hamjui dini sio kwajili ya kukosoa nikufundisha na kuelimisha
hawa jamaa wapotoshaji wanatumia ujanja kama nyoka,waanabadilisha maneno kiujanjaujanja wanasoma sawa wanaeleza tofauti kidoga kama nyoka wa edeni alivyomdanganya Adam ,lkn tatizo ni kutokumjua MUNGU muumbaji kwamba anaweza yote hakuna jambo gumu LA kumshinda MUNGU, bora kumjua Mungu wa Lugha zote kuliko kuamini mungu wa lugha moja
Dah YESU wetu ni mzur sana nawapenda waislamu kwa kua siku moja watamkiri YESU Kristo kuwa ni Bwana na mwokozi wa maisha yao na kubatizwa kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu sema Amen
Waislam Leo mnamkubali Paulo neno arabuni halijatumika kama nchi ina maana ya rehani,amana hiyo aya igeuze kwa kiingereza sehemu arabuni utaona imeandikwa Guarantee
ukhty sakina @ asante kwa kujiona unajua kumbe unaungua na jua tatizo elimu ya dunia ni tofauti na elimu itokayo kwa Mungu .yiyi hata jina la Mungu hamlijui mmebaki uitia cheo tu ukubalini wokovu utokanao na injili acheni kungangania dini tena mnasema eti uislamu ndiyo dini sijui hata kama mnajua maana ya uislam kama mngejua mgekua vielelezo vya kuwahubiria watu injili ya wokovu aliyoiitia Mungu ili watu muache mambo ya dunia mumfwate yeye aliyewaumba na kuacha kujisifia kansu na vibarakashee ambavyo nje mnaonekana wasafi lakini moyoni ni wachafu wenye kumtukana Mungu na weye majivuno iweni wapole kama huwa na wanyenyekevu kama lilivyo jina la wislamu mmejaa matuzi weye kuhukumu kana kwamba ninyi hamjawahi kukosea kiongozi wenu hajawahi kurudi akawaambia kwamba mpo sahii sisi tunao mwamini Mungu kwa njia ya imani katika jina la Bwana Yesu tunauhakia na ujaziri wa kujivunia jina la Bwana maana yeye ndiye yule jana leo na hata milele alisema na adamu kwa neno alisema na Musa kwa neno na manabii wote mwisho akajidhihirisha kwa mwili aliouumba ndani ya tumbo la bikira mariamu ili kwa huo mwili ufanyike sadaka ya kulipa madeni ya watu wote katika dunia wale watakaoiamini injili na kuliamini jina la Bwana kisha kajitoa nafzi yake ili Damu yake iwe dhabihu safi mbele za Mungu / ukweli kimwili alikua mwanadamu asilimia mia ila Roho alikua Mungu na dio maana alisema sisemi mimi bali Baba ndie anasema ndani yangu tatizo watu masikio magumu na mioyo ni migumu laiti mngejua kusoma mngeelewa lakin kusoma hamjui mpaka msomewe na wasio na uelewa tangu lini kipofu akamwongoza kipofu mwenzake ? mmebaki kubishana na kuongea hata mzicho kielewa mnashangilia sijui huwa mnaitwa mzikitini mnaambiwa kesho tutakuwa na mkutano mjitokeze kutushangilia kana kwamba mpo kwenye mechi ya simba na nyanga badilikeni na mwombeni mungu awafungue macho na masikio na mioyo yenu maana Nabii isaya anasema watu hawa wamefungwa macho yao yanatazama hayaoni masikio yanasikia hawaelewi na mioyo ni migumu hawaamini .
Ile Sauti iliyotoka mawinguni niya Mungu Baba mwenyewe akisema Yesu ni mwanawe,, Luka 3:21-22 21 Ikawa, watu wote walipokwisha kubatizwa, na Yesu naye amebatizwa, naye anaomba, mbingu zilifunuka; 22 Roho Mtakatifu akashuka juu yake kwa mfano wa kiwiliwili, kama hua; sauti ikatoka mbinguni, Wewe ndiwe Mwanangu, mpendwa wangu; nimependezwa nawe.
inasikitisha xna kuona mkristo anamwacha yesu aliye Mungu wa kweli na uzima wa milele na kwenda kusilimu , mimi nina swali moja na ambayo imewashinda waisilamu wote kujibu, the question is just simple if Allah is the god that people must worship, please give provide me with a verse from Quran that says Allah is the true God and eternal life?? I can change my faith and become a Muslim at any time
Yan nyny niwapumbavu saana unaacha kutangaza imani zakweli mnabishana2 upuuz mambo yadini hayana maana yoyote acheni ushindani wakidini wapuuz mhubilin MUNGU alie hi nasyo majengo yamakanisa nimisikiti pmbavu nyny
Nashukuru MUNGU kwa kuniumba mkristo na kunipa upeo wa kuweza kusoma na kueelewa maneno yako pasipo kubabaika,, naamini YESU ni mwanao na umenena kwa kinywa chako japokuwa shetani anainua watu na kutaka kupotosha wenzao.... Mazinge kaka yangu labda nikuelekeze unapoisoma biblia usisome kama unasoma gazeti na hii nasema na waislam wote. Biblia sio gazeti kuisoma kwake kunatakiwa utulivu wa akili kwa hali ya juu ni hilo tu
Sikia we mazinge unafanya ubishi2 na ndy mana yesu hakutongoza kwasababu kwanza hakuja dunian kwasababu ya mambo hayo ila kwasababu wewe una wauliza vipofu bac we tamba baba ila unajipoteza mwenyewe na wengine wenye elimu kama yako
Mazinga ww unaonyesha kumbe kutojua kusoma ni shida quote ‘yesu kristo uliye mtuma’ weka sentensi iyo katika nyakati ni wakati uliopita na ni yesu mwenyewe alikua amekamilisha kazi yake enda ukadanganye Waislamu ambao unawaambia Merikani inawaua huku huwaambii kile ambacho Alishabab,Isis na Alkaida inafanya wacha kua Chui umevalia ngozi ya kondoo na ujue yesu ni mwana wa Mungu na ni Mungu mwana na usipo omba kupitia yeye Jehanam inakungoja soma yohana moja 1 yote # danganya waislamu wapotevu
Ww utaingia motoni kufata wazungu wako kuabudu binadam hata cc wailam tunaujua yesu ni na bii hata kat guruani yupo na mmungu ni huyohuyo mmoja ukiwa ukiwa hufatilizii utaona hawajui dini kumbe ww umepoteaaaa maskini mazinge kashtukaa kaona ataingizwa motoni mmungu kampenda ww endelea kuabudu mipicha ya yesu wa kizungu mcheza filamu
@@oliviakemuto1412 mmungu ni mmoja angekua mwingine tusinge ona ktk quruani yesu aliandikwa na mama yake ila wazungu ndio walibadili dini ya yesu kua sio wana isrzel walimpiga wakasulubu paulo akasema yesu mungu yy yesu hajasema yy mungu aliomba msada bada ya kusulubiwa na katahiriwa hv mungu anatahiriwa huo ni kukufuru
Hiyo Yohana 5:37-38 Yesu anawaambia mafarisayo, nani kweli hao mafarisayo hawajawahi kuisikia Sauti ya Baba yake walioisikia sauti ya Baba yake ni Wanafunzi wake Yohana 5:37 37 Naye Baba aliyenipeleka amenishuhudia. Sauti yake hamkuisikia wakati wo wote, wala sura yake hamkuiona. 38 Wala neno lake hamnalo likikaa ndani yenu, kwa kuwa ninyi hammwamini yule aliyetumwa na yeye.
Asa unahisi kuwa tunamwomba mungu kwaajili ya pesa pole we baba ila biblia inatuambia tusishindane na walio waovu ko wew unajilisha upepo mwenyewe au nyie wote mnataka sadaka za hao walio kusanyika hap kwa ushabiki tu
Makanisa ndio mnadanganywa kila kukicha wanajita manabii na mkwaya ili wachukue pesa zenu wenzenu wanakua matajiri ww unamfata yesu ysu wala hayuko na ww yesu ni muislam hajaingia kanisani wala hasali kama nyiyi nyiyi mmewafata wazungu wamewakea kuabudu mipicha za wazungu wenzenu wanafatilia dinii wanaelewa ww unajifanya unajua dini hebu nsmbie ww muizrael yesu yuko na mayahudi na mitume wale woote ni wako na udugu haya ww je na mitume wako nchi za uarabunii
Mara nyingi magugu huisonga mbegu/mmea kwa kutumia rasrimali zote kama vile udongo,maji,hewa Na mwanga na kuidhofisha mbegu / mmea hadi kufa.Hii ndiyo hatari ya magugu!!!
What i gather from all this is religion is separating all of us we all believe in a God thats what matters i have muslim friends we respect each other despite our different religions....i also school with muslims they are respectable people we are also respectable...sa hii matusi yoote ni ya nini??
Waulize walio badilisha mazunge biblia yote iko kichwani kwani yy alikua mkristo akaona kapotea maskini hajajua ila ,mungu kampenda kamfata huku isa wa ukweli sio yule wa picha manazo bandika madkini huu ni ukafir kumshirikisha mmungu
MASHALLAH ALLAH AFANYE WEPESI popote penye uzito kwenye kazi hii adhwiiim.....amiin
Allahuma Amin thenks Alhabib
hussein mwenja muvi
Pumbav zenu nyie makafir waislam msiekula kitimoto
W
Nilijikuta nasema rahaaaa kwanguvu pare alipouluza laha sio lahaaa wallah najivunia kua mwisilam
Wanadamu wengine wamepotea et mungu anamtoto pole sana mungu akuongoze INSHAALLAH
Masha allah
Allah waongoze sana mana kazi mnayo ifanya si ndogo kuwaelimisha ao mpaka kuelewa si kazi ndogo
Alhamdulilah, mungu awaongeze watu katika njia ilo nyoka shukran sana mazinge
Alhamdulillah Nashukuru Allah kwakuzaliwa Muislm, nipo kwenye dini ya haqak
Dini ya haki mbele mwenyezi mungu ni uislam si ukresto na si dinii
Abdallah Kambangwa >laiti ungejua yale yaletanyo aman ungekuwa huru kama Mungu alimfukuza Luzifa na malaika wenzake wakawa pepo wabaya ninyi mnawaamini kuwa ni wazuri hongereni ndioaana mtume wenu hajui litakalo mpata kwenye kiyama hajui atajinjwa au atakarangwa je? wewe unae jisifia ndini ambayo haina matendo vip hukumu anaetoa ni Mungu peke yake wewe watoa wapi mamlaka ya kumlaani shetani na siyo tu shetan hata wanadamu wenzio unawaita makafiri je? wajijua wewe uko wapi na jee?kesho yako itakuaje? pia mnajisifia eti alie arabuni ni muhamadi kweli kusoma hamjui hata picha hamuon neno "arabuni " maana yake ni "mdhamini" na huyu mdhamini ni Roho mtakatifu ambae ninyi hamuwezi kumpokea maana haonekani
Abdallah Kambangwa mpumbavu ni mpumbavu tu.
MashaAllah..
@@sidisaid4833 we ndo fala kweli
Subuhanallah mashaallah tabarak kweli kabisa shekh wangu u islamu ni dini ya haki
Mashallah Allah akuzidishie kwa kazi unayoifanya
Maa Shaa Allah, Allah awabariki Ma Sheikh Wetu, Alhamdulillah.Wanaelewa Hawa ila Ushindani tuu.
Allah akuzidishiye sheikh Sulaymaniyah mazinge
Sheikh Suleiman mazenge we love you our sheikh
Allah ilinde dini yako, hakuna wa kuivunja hali ya kuwa watakao taka ivunja ni wanadamu ulowaumba mwenyewe, yaarabu nashkuru kuniumba nikiwa ndani ya dini ya kiislam na unifishe ndani ya dini hii iliyo ya khaki.
alhamdulinllahi kuwa mm ni muslim kwakweli wenzetu mmepotea mnajiaibisha tu
Hongera sna najma kwa kushkuru kwahilo, hakuna dini ya kweli ispokuwa ni uislam pekee
Unajiabixha ww
Eeeh mola wetu ALLAH mtukufu muumba wa vitu vyote vilivyopo duniani tunavyovijua na tusivyovijua hakika viumbe wako si wakamilifu tunaomba utusameh madhambi yetu
Ma Shaa Allah masheik wetu,Allah awalipe fil duniya wal akhera In Shaa Allah.Leo nimekua wakwanza kucommet na wapili kuview
Aamin aamin
@@mudkhamis3078 Assalama Allaykum
Assalama Allaykum
Nashkur mungu kunijaalia kuw muislam maana mtihan upo kw wakiristo alaf n wakaid sn ila tuwaombee duwa ipo cku mungu atawajaalia wataslim
MashaAllah Mungu awazidishie elimu yenu
Allahuma Amin
Jinga ww
Fatuma Sumish
mungu hana mtoto wala mungu haja zaaa wala haja zaliwa wala hafa nani na chochote kile iweje leo hii wa maskofu mna waongopea watu wenu mna wambia yesu nimwana wa mungu
Manshallah sheikh wangu Suleiman mazinge.... Am abig fan of you..... Hapo uliweza n kumwambia almayo ukwli
Jazakallahu Kheyr Sheikh Suleimani Mazinge
YESU NI MWANA WA MUNGU ABADANI. Makafiri ni nyinyi Waislamu, mmekuja kuwapinga Mungu wa kweli YEHOVA na Manabii wake watakatifu,,, Manabii WOOOTE WANASEMA MUNGU ANA MWANA
Asante sh mange hawajielewi hao uyo yesu nimuungu Mara mwanawamuungu ukweliwao hawause
Allah awajalie mwisho mwema na mdumu ktk kaz yake aamina
Alhamdhulillah kwa kua ktka dini ya hakhi Allah atujaalie tufe tukiwa waislam
Muovu hukimbia Mezani pasipo fuata na mtu bali sisi Waislamu ni wajasiri kama Simba ..May Allah bless all Ummah of Muhammad(p.b.h)
hakika....Allahuma amin
amin thuma amin
Kila lahle waslaamu mungu atujalie tuwe watu wa peponi
Jazaakumu Allahukhairi.
Aaamin aamin
Allah akuzidishe Hekma sheikh Mazinge
Allahuma Amin
Mbowe
Upuuzi mtupu
Ukweli ni kwamba dini nyingine tofauti na uislam ni dini babaishi historia zake ukichimba ukweli ni maslahi ya watu uislamu raha bana ni universal na uko uniform kila pahala watu waswali wakitamka na kusoma aya zile zile historia yake ni Allah mwenyew uliza about kristo utapata ushahid wake maskini wamepotosha adi utume wa issa aleiykh salaam afu wanakaririshwa hawajitambui mpk papa kiongoz wao anawakana na kusujudu ila hawaelewi yan
Kumbuka Mungu hakuleta dini
As salaam aleykum,,,,Allah awape ufafanuzi kwa kila watakalo,,,washushiye ujasiri kwa lolote watendalo,,,In shaa Allah,,,
Waalaykum salaam
Aamiin
Wamejichanganya kisawa sawa ndugu zetu. Mimi huwa sijui wanamuomba mungu au yesu? Haina mantik naona. Mungu awaongoe.
mashallah sheikh wetuu miss u..Allah akbat
Muhimpundu Assiya
Hiiii jamani hawa wakristo ndo tuseme hawajuwi kama ni mungu mmoja au hawanaadabu wataadhibiwa kesho akhera wache tu
wadanganywa kanisani
Mohd Eddy > ukweli ni Kwamba Mungu ni Mmoja nae ni Roho asiyeonekana tatizo ninyi wanadamu mnapenda kushabikia Nino la Mungu kanakwamba mpo kwenye mechi ya zimba na yanga badala mwelimishane kwa upole na unyenyekevu ninyi waislamu mnajifanya mnajua sana na hakuna mnacho kijua kumkana Yesu ambae manabii walitabiri habari zake leo mnajifanya mnawaamini manabii na mitume wote hali walitabiri habari zake Yesu aliye fanyika dhambi kwa ajili ya Ulimwengu wote leo mnamwona zii kitu sijui kama tangia umezaliwa ulisha chinja mnyama yoyote kwa ajili ya dhambi zako kama inavyo agiza torati ya musa kama hujafanya hivyo unasubiri nn
Muumin wa kweli wa mwenyezi Mungu lazima ale kitimoto kama huli wewe mdo haramu kumshinda hata nguruwe
Kama upo na ROHO MTAKATIFU unaweza elewa otherwise msijisumbue kuelewa utatu huu maana HAMTAKAA MUELEWE MPAKA SIKU YA HUKUMU MTAKAPOKUTANA NAYE AKATI HUKU MNAMKANA
shekh mazinge Kauli nzuri tumia, ishaalar kwa daawa yako
Asante sana Mazinge niko nanyinyi.
Mbona raha kuwa mwisilamu jamani kila kitu sawa
ni neema kubwa sana kuwa muislam
Siwajibu Farida .ndio ujue watu wanapotea kwa kukosa maarifa kila kitu wanashabikia hawaeleweki wako upande gani kwe shetani amewakalia kila kona ndio mana wakiwa wanaswali wana angalia kulia kushoto maana kuna majamaa yako pembeni yana waongoza
Kuna Raha gani,,mbona wako waislamu tupu??wangemkaribisha na mchungaji Daniel Mwankemwa anayewaelimishaga
Hapo hata aje mchungaji gani basi uislam utabaki kuwa ndodini yakweli tu
Manshaallah Allah awalipe kwakazi kubwa mnayo fanya
Jazak'Allahu Khayran Ndugu yangu
Ivi maana ya mabishano haya ni nini maana awa ni watu wa dini alafu nashangaa wanabishania dini
Hamjui dini sio kwajili ya kukosoa nikufundisha na kuelimisha
hawa jamaa wapotoshaji wanatumia ujanja kama nyoka,waanabadilisha maneno kiujanjaujanja wanasoma sawa wanaeleza tofauti kidoga kama nyoka wa edeni alivyomdanganya Adam ,lkn tatizo ni kutokumjua MUNGU muumbaji kwamba anaweza yote hakuna jambo gumu LA kumshinda MUNGU, bora kumjua Mungu wa Lugha zote kuliko kuamini mungu wa lugha moja
Upotoehaji huuu waislamu
Wakristo hamuoni aibu wachungaji wanashindwa kutetea Imani yenu
Waislamu tumshukuru mungu katupa hidaya tumekuwa waislam. Tuwaombee wengine nao waione dini ya haki.
Maashallah
MUNGU AWASAMEHE KWA KUPOTEZA WATU WA MUNGU MAZIGE NA WEZAKO ASIRA YA MUNGU HITAWAKA JUU YENU NDIPO MTAKAPO JUWA KWELI YA MUNGU ....
Uislamu Neema
Naam
ماشاء الله!
TabarakaLLAH
Hao kiboko yao ndacha
Pastor mazinge Umetoa neno lenye Moto ndani yake. Pia wokovu ni neema kwahio usipate tabu watakao sikia watakombolewa
Maashaallah Allah wajaze kheir wahadhir wetu Aaamin
Mansha Allah
Ali Murtad ni mlevi maana analotamka haieleweki,kweli njaa ndio inawapeleka kanisani
Hahahaha mashaallah sheikh mazinge nakupenda sana ndugu yangu
Ushawahi fanya kazi kwa Mall of America?
Dah YESU wetu ni mzur sana nawapenda waislamu kwa kua siku moja watamkiri YESU Kristo kuwa ni Bwana na mwokozi wa maisha yao na kubatizwa kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu sema Amen
Mungu wa mbingu na nchi ni mkuu sanaa
Hamna muumin wa kweli akakiri ukafir
Hamna mkristo hapo ni kamchezo kama ni mkristo hajafundishwa vizuri sisi hatukaagi kwenye mashindano ya dini.
Usiludie usemiwako nilazima kushindania injili
جزاكم الله خير
amin
Mazinge wew kipoko 👌👌
Kila mtu ni kiumbe Cha Mungu lakini wanaosikia neno na kutii amri za Mungu ndio wana wake.....na Yesu ni mwana wa Mungu...
ManshaAllah😍
Jazaakumu llahu khayra
Imamu Online Tv uislam rakhaa sanaa
Ahaaaaaaa,,,mazinge
Uslaam raha
Hivi mnafikiri Bible inafsiriwa kwa namna hiyo 🙄🙄🙄 Mungu anawaona na UJINGA wenu..
Fasili ww basi
Wewe kwnza iyoo Bibiliaa alipewa Mtume ganii ndio tujue nkitabu cha Mungu 😁
Waislam Leo mnamkubali Paulo neno arabuni halijatumika kama nchi ina maana ya rehani,amana hiyo aya igeuze kwa kiingereza sehemu arabuni utaona imeandikwa Guarantee
Waislaamu Amna chochote kabsa Nimeamini.!
Kwanza kuzaliwa mwislamu raha mangine yanafata mashallah
Hhhhhhhh absolutely true, wanaenda tu kwa sabbu ya pesa.
Waisilamu mmebaki kushangiliwa tu,ukisikiliza mada waisilamu mnashindwa kazi kutukana
Masha Allah, hongereni masheikh kwa kazi nzuri mnayoifanya , Allah awajaalie mwisho mwema yaa Rabbi
Allah hakujalie mwisho mwema ustadhi mazinge
ukhty sakina
@@mapendomrosso2270 uso haya n wewe mpotevu unojipotosha
ukhty sakina @ asante kwa kujiona unajua kumbe unaungua na jua tatizo elimu ya dunia ni tofauti na elimu itokayo kwa Mungu .yiyi hata jina la Mungu hamlijui mmebaki uitia cheo tu ukubalini wokovu utokanao na injili acheni kungangania dini tena mnasema eti uislamu ndiyo dini sijui hata kama mnajua maana ya uislam kama mngejua mgekua vielelezo vya kuwahubiria watu injili ya wokovu aliyoiitia Mungu ili watu muache mambo ya dunia mumfwate yeye aliyewaumba na kuacha kujisifia kansu na vibarakashee ambavyo nje mnaonekana wasafi lakini moyoni ni wachafu wenye kumtukana Mungu na weye majivuno iweni wapole kama huwa na wanyenyekevu kama lilivyo jina la wislamu mmejaa matuzi weye kuhukumu kana kwamba ninyi hamjawahi kukosea kiongozi wenu hajawahi kurudi akawaambia kwamba mpo sahii sisi tunao mwamini Mungu kwa njia ya imani katika jina la Bwana Yesu tunauhakia na ujaziri wa kujivunia jina la Bwana maana yeye ndiye yule jana leo na hata milele alisema na adamu kwa neno alisema na Musa kwa neno na manabii wote mwisho akajidhihirisha kwa mwili aliouumba ndani ya tumbo la bikira mariamu ili kwa huo mwili ufanyike sadaka ya kulipa madeni ya watu wote katika dunia wale watakaoiamini injili na kuliamini jina la Bwana kisha kajitoa nafzi yake ili Damu yake iwe dhabihu safi mbele za Mungu / ukweli kimwili alikua mwanadamu asilimia mia ila Roho alikua Mungu na dio maana alisema sisemi mimi bali Baba ndie anasema ndani yangu tatizo watu masikio magumu na mioyo ni migumu laiti mngejua kusoma mngeelewa lakin kusoma hamjui mpaka msomewe na wasio na uelewa tangu lini kipofu akamwongoza kipofu mwenzake ? mmebaki kubishana na kuongea hata mzicho kielewa mnashangilia sijui huwa mnaitwa mzikitini mnaambiwa kesho tutakuwa na mkutano mjitokeze kutushangilia kana kwamba mpo kwenye mechi ya simba na nyanga badilikeni na mwombeni mungu awafungue macho na masikio na mioyo yenu maana Nabii isaya anasema watu hawa wamefungwa macho yao yanatazama hayaoni masikio yanasikia hawaelewi na mioyo ni migumu hawaamini .
@@mapendomrosso2270 yani cna mda wa kusuma hii comment yako na cna mda wa kubishana nawe so fata dini yako niache kwenye dini yangu tusibabaishaneee
Mashalaah
Ile Sauti iliyotoka mawinguni niya Mungu Baba mwenyewe akisema Yesu ni mwanawe,,
Luka 3:21-22
21 Ikawa, watu wote walipokwisha kubatizwa, na Yesu naye amebatizwa, naye anaomba, mbingu zilifunuka;
22 Roho Mtakatifu akashuka juu yake kwa mfano wa kiwiliwili, kama hua; sauti ikatoka mbinguni, Wewe ndiwe Mwanangu, mpendwa wangu; nimependezwa nawe.
inasikitisha xna kuona mkristo anamwacha yesu aliye Mungu wa kweli na uzima wa milele na kwenda kusilimu , mimi nina swali moja na ambayo imewashinda waisilamu wote kujibu, the question is just simple if Allah is the god that people must worship, please give provide me with a verse from Quran that says Allah is the true God and eternal life?? I can change my faith and become a Muslim at any time
Maashaallah
Maana watu wanapotosha watu kuwa Kuna dini nyngn Zaid ya uislam..... tunaomba utusameh mola wetu ALLAH mtukufu
kuwa mwisilamu nilahasana namushukulu mungu kuona mm nimwisilamu asantii mungu
tatizo munatumia ubabe tambueni mungu no mumoja hakuna lolote
Yan nyny niwapumbavu saana unaacha kutangaza imani zakweli mnabishana2 upuuz mambo yadini hayana maana yoyote acheni ushindani wakidini wapuuz mhubilin MUNGU alie hi nasyo majengo yamakanisa nimisikiti pmbavu nyny
Mashaallah Mara yangu ya mwisho kumwona suleman mazinge ilikua 2003 jamani yuko wapi siku hizi
Nashukuru MUNGU kwa kuniumba mkristo na kunipa upeo wa kuweza kusoma na kueelewa maneno yako pasipo kubabaika,, naamini YESU ni mwanao na umenena kwa kinywa chako japokuwa shetani anainua watu na kutaka kupotosha wenzao....
Mazinge kaka yangu labda nikuelekeze unapoisoma biblia usisome kama unasoma gazeti na hii nasema na waislam wote. Biblia sio gazeti kuisoma kwake kunatakiwa utulivu wa akili kwa hali ya juu ni hilo tu
Sikia we mazinge unafanya ubishi2 na ndy mana yesu hakutongoza kwasababu kwanza hakuja dunian kwasababu ya mambo hayo ila kwasababu wewe una wauliza vipofu bac we tamba baba ila unajipoteza mwenyewe na wengine wenye elimu kama yako
Mazinga ww unaonyesha kumbe kutojua kusoma ni shida quote ‘yesu kristo uliye mtuma’ weka sentensi iyo katika nyakati ni wakati uliopita na ni yesu mwenyewe alikua amekamilisha kazi yake enda ukadanganye Waislamu ambao unawaambia Merikani inawaua huku huwaambii kile ambacho Alishabab,Isis na Alkaida inafanya wacha kua Chui umevalia ngozi ya kondoo na ujue yesu ni mwana wa Mungu na ni Mungu mwana na usipo omba kupitia yeye Jehanam inakungoja soma yohana moja 1 yote # danganya waislamu wapotevu
ماشاءاللہ
Mazinge kasilimu mwaka wa 2000 na kafanya mengi ya kumridhisha Allah je mm na wewe tumefanya nn kwa dini ya Allah
mazinge na hao wafuasi wake wote moto unawangojea nyinyi....
Richard Erick kwann unasema ivyo
Hawa waislamu wanajisifu kwamba wao ndo wamjua Mungu kwani nani kawambia,sisi wote tuasubiri Mungu mwenyewe atuhukumu
Kwasababu anapotosha watu.....
Ww utaingia motoni kufata wazungu wako kuabudu binadam hata cc wailam tunaujua yesu ni na bii hata kat guruani yupo na mmungu ni huyohuyo mmoja ukiwa ukiwa hufatilizii utaona hawajui dini kumbe ww umepoteaaaa maskini mazinge kashtukaa kaona ataingizwa motoni mmungu kampenda ww endelea kuabudu mipicha ya yesu wa kizungu mcheza filamu
@@oliviakemuto1412 mmungu ni mmoja angekua mwingine tusinge ona ktk quruani yesu aliandikwa na mama yake ila wazungu ndio walibadili dini ya yesu kua sio wana isrzel walimpiga wakasulubu paulo akasema yesu mungu yy yesu hajasema yy mungu aliomba msada bada ya kusulubiwa na katahiriwa hv mungu anatahiriwa huo ni kukufuru
Jadhaakallahu kher
Hiyo Yohana 5:37-38 Yesu anawaambia mafarisayo, nani kweli hao mafarisayo hawajawahi kuisikia Sauti ya Baba yake walioisikia sauti ya Baba yake ni Wanafunzi wake
Yohana 5:37
37 Naye Baba aliyenipeleka amenishuhudia. Sauti yake hamkuisikia wakati wo wote, wala sura yake hamkuiona.
38 Wala neno lake hamnalo likikaa ndani yenu, kwa kuwa ninyi hammwamini yule aliyetumwa na yeye.
ni dhambi sana
Asa unahisi kuwa tunamwomba mungu kwaajili ya pesa pole we baba ila biblia inatuambia tusishindane na walio waovu ko wew unajilisha upepo mwenyewe au nyie wote mnataka sadaka za hao walio kusanyika hap kwa ushabiki tu
Makanisa ndio mnadanganywa kila kukicha wanajita manabii na mkwaya ili wachukue pesa zenu wenzenu wanakua matajiri ww unamfata yesu ysu wala hayuko na ww yesu ni muislam hajaingia kanisani wala hasali kama nyiyi nyiyi mmewafata wazungu wamewakea kuabudu mipicha za wazungu wenzenu wanafatilia dinii wanaelewa ww unajifanya unajua dini hebu nsmbie ww muizrael yesu yuko na mayahudi na mitume wale woote ni wako na udugu haya ww je na mitume wako nchi za uarabunii
MashaAllah
Masha Allah
Msitupe lulu kwenye nguruwe, wataikajaga tu.
Mara nyingi magugu huisonga mbegu/mmea kwa kutumia rasrimali zote kama vile udongo,maji,hewa Na mwanga na kuidhofisha mbegu / mmea hadi kufa.Hii ndiyo hatari ya magugu!!!
Mashaallah
Jamani mvona wakristo wanavichwa vigumu ivi
Huyo Almayo kama muuza vishata
Mashaallaah
Mashaallahu
amen hio ni ukweli
Wachafu kama bongo zinu wakristo
Allahu Akbr
Wakrsto ni matoi wanachezshna2
Uislam raha mno☝️☝️
What i gather from all this is religion is separating all of us we all believe in a God thats what matters i have muslim friends we respect each other despite our different religions....i also school with muslims they are respectable people we are also respectable...sa hii matusi yoote ni ya nini??
Hamuijui biblia ..waislam mnaifanya biblia iseme mnachotaka
Waulize walio badilisha mazunge biblia yote iko kichwani kwani yy alikua mkristo akaona kapotea maskini hajajua ila ,mungu kampenda kamfata huku isa wa ukweli sio yule wa picha manazo bandika madkini huu ni ukafir kumshirikisha mmungu
Allah akuhifazin inshaAllah